#MEDANIZASIASA

  Рет қаралды 32,694

Star TV Habari

Star TV Habari

Жыл бұрын

Karibu utazame chaneli yako pendwa ya Star TV Africa.
Jiunge nasi kupata habari za kitaifa na kimataifa, makala, burudani na habari za michezo katika nyanja zote!
Kutoka Ilemela - Mwanza, Tanzania mpaka ulipo, TUNAKUFIKIA!
Star TV Brightens Your Day !

Пікірлер: 121
@billwaltermbilinyi2055
@billwaltermbilinyi2055 Жыл бұрын
The real dokta we can be proud of. Achilia mbali ya siasa, huyu ni kiongozi
@Kasyetaderrick
@Kasyetaderrick Жыл бұрын
Odemba you are the King of Political Interview...Safi sana !!
@bakaramourshaaban
@bakaramourshaaban Жыл бұрын
Asante sana ndugu mwandishi kwakumuuliza maswali muhimu ,ila Mzee anakwepa
@afropatriot7769
@afropatriot7769 Жыл бұрын
The best politician left in Tanzania
@charleskingimwakasagule5752
@charleskingimwakasagule5752 Жыл бұрын
Anzisha chama chako Mzee bado wengine tumekumiss sana mm nakupenda mismamo yako mungu akubaliki
@johnsonchonja4032
@johnsonchonja4032 Жыл бұрын
Chief odemba apewe maua yake aseeee ni 🔥🔥🔥🔥
@angelsgabriely3575
@angelsgabriely3575 Жыл бұрын
Safi sana dr silaa,..na hiyo mikataba ya bandari iandikwe kwa lugha ya kiswahili ili wananchi wote waelewe,.waache upuuz wao hakuna kuuza bandar
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji Жыл бұрын
NENDA SHULE WEWE NA AKUTAFSRIE KIKOJOZI WEWE NENDA KAKOJOE 😢😢😢😢
@nghabiorganicchickentanzan3671
@nghabiorganicchickentanzan3671 Жыл бұрын
​@@OmmyJames-xn7jiBasi utakuwa umeona umejibu sahihi !!!!!! Huzuni sana aiseeh .
@angelsgabriely3575
@angelsgabriely3575 Жыл бұрын
@@OmmyJames-xn7ji we ndo uende shule fala wewe!..hata maandshi yako yanaonyesha ubongo wako umejaa mavi hata std7 ulfel!.lugha ya Tz ni kiswahili hvyo ni muhimu kiswahili kitumike kwa wananchi wote sawa na lugha yao ilivyo,..shoga wewe
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji Жыл бұрын
@@angelsgabriely3575 WAGALATIA HAKUNA TENA KUIBA KWENYE BANDARI YETU 👍 INABIDI MUKARUDI KULIMA MAANA MJINI HAMUWEZI TENA
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji Жыл бұрын
@@angelsgabriely3575 WEWE ANGELS 👼 BIASHARA YA UMALA IMEKWISHA RUDI MACHAME UKACHEZE KAMARI NA KUNYWA MBEGE HAHAHAHA 😀😀😀😀
@bryanmagee5681
@bryanmagee5681 Жыл бұрын
Star tv natumaini hii tv ni mashuhuri sana tanzania na ulimwengu . Mtume wetu Rais pombe Magufuri alifunga mikutano ya dharura baada ya Chana cha chadema kuandamana pale jijini dar es salama. Kipenzi chetu dada yetu Aqurina alipo uwawa na wahuni wa chadema kwa kupigwa risasi hadharani ndipo mtume wetu Rais wetu alipofunga mikutano ya hadhara Tanzania.
@chrissymarcus5051
@chrissymarcus5051 Жыл бұрын
Thanks @Odemba kwa kufanyia kazi maoni yangu kuwaita watu Kama doctor slaa, Waite na akina shivji, Lisu na ikiwezekana wafanye mdahalo studio
@josephlorri431
@josephlorri431 Жыл бұрын
Tatizo la main stream media ni kwamba hawafanyi 'live' coverage kwa hao watu.. ni machawa. Vipindi mubashara ni kwa lusinde,'Dr ' musukuma et al.
@getitdoneright1938
@getitdoneright1938 Жыл бұрын
Well said Doctor
@samwelimalongo9668
@samwelimalongo9668 Жыл бұрын
Huu mkataba hatari sana kitaifa bila shaka hautapitishwa ukipita lazima Mungu ataingilia kati isaya 18:7
@andriessegotsane
@andriessegotsane Жыл бұрын
Umemuoji vizuti san broo ftpm27
@ellymaz2187
@ellymaz2187 Жыл бұрын
Binafsi namkubali sana huyu mzee.
@zingiberofficinale9843
@zingiberofficinale9843 Жыл бұрын
Odemba namkubaaali sanaa.. Sema pia hapa kakutana na mwamba kichiiz yaan. Dr. Slaa yuko deeep kichiiz
@ayubumwakabana2137
@ayubumwakabana2137 Жыл бұрын
Alaaaaa kumbe walitunyima huduma ya mafuta 🙄🙄🙄🙄🙄
@nghabiorganicchickentanzan3671
@nghabiorganicchickentanzan3671 Жыл бұрын
Mwenye nyumba hana viatu , Odemba anaviatu !!😅😅😅😅
@muhammadalibhaz1390
@muhammadalibhaz1390 Жыл бұрын
Dr slaa unahekima sana nakukubali sana lowasa hakustahili kupokelewa chadema na kuteuliwa kugombea urais kupitia chadema kinyesi ukitoa sehemu Moja nakuhamisha bado iitanuka
@bakarikaoneka1080
@bakarikaoneka1080 Жыл бұрын
1. Ili tusiipasue nchi kwa misingi ya udini, Ukanda, tutmie lugha yenye hekima na busara. 2. Tujizuie kudharau watu wenye mitazamo tofauti n ya kwetu. 3. Wale ambao wana mawzo mbadala, wayaw4ke kimaandishi kifungu kwa kifungu na kuwakilisha maandishi hayo kwa AG. 4. Tuheshimu mamlaka kama tulivyoagizwa na Mwenyezi Mungu kupitia vitabu vitakatifu. 5. Tujizuie na ihemko na hasira kwani tabia hizi siyo sehemu ya uongozi bora.
@anosiata8242
@anosiata8242 Жыл бұрын
Dr nakuaminia sana Uko vizuri
@mpwamtaa
@mpwamtaa Жыл бұрын
Mzee anakiri sanaa❤❤❤❤❤❤❤❤
@peemoneybags410
@peemoneybags410 Жыл бұрын
Wee huaminiki bwana ndumilakuwili mbinafsi tu huna lolote. Leo hiihii ikitokea Samia huyohuyo akikupa nafasi hutoskika tena ukiongea utakaa kimya. Huna ishu danganya wajinga wajinga
@kigahedavid2178
@kigahedavid2178 Жыл бұрын
Kalime Mzee tulikuamin
@law93king
@law93king Жыл бұрын
mzee jasiri kinoma🙌
@azonmlazo7013
@azonmlazo7013 Жыл бұрын
Asante sana baba kwa letuteral,huu ndio ubobevu na sio blabla za akina CC........
@josephlorri431
@josephlorri431 Жыл бұрын
Mzee ni kijana zaidi kuliko umri wake.. ukiishi ukweli utaishi miaka mingi.. huyu baba haumizi nafsi yake kwa kuishi unafiki.. mwanafalsafa hasa
@muddyausi8470
@muddyausi8470 Жыл бұрын
Mwishoni nimekuelewa mzee
@mawazoselemani614
@mawazoselemani614 Жыл бұрын
Umetumwa kuharibu mjadala wa Bandari umepewa hela na watu ivuruge mjadala
@tozzowilliams308
@tozzowilliams308 Жыл бұрын
Poor mindset
@abelikatemi8385
@abelikatemi8385 Жыл бұрын
Startv tafuteni camera bora.
@muddyausi8470
@muddyausi8470 Жыл бұрын
We mzee mbatia alikua ccm
@martinesongelaeli2579
@martinesongelaeli2579 Жыл бұрын
🇹🇿👏👏👏👏
@sir_ENOCKMACHA
@sir_ENOCKMACHA Жыл бұрын
Nimesikiliza jambo...nimenote neno mapinduzi
@amalikakiva4937
@amalikakiva4937 Жыл бұрын
Huyu mwandishi ni genius sna,anamchimba slaa ajue anafikiria nn na yeye anajileta inawezekana huyu jamaa ni usalama na anasema kabisa wananchi wapindue nchi
@MabulamalembekaMoris
@MabulamalembekaMoris Жыл бұрын
mwandishi umenifurahisha kwa namna maswali unavyo uliza kwa kutulia
@bakaramourshaaban
@bakaramourshaaban Жыл бұрын
Kwanza wewe mzee muongo kwanza hakuna ukumbi wa Jakaya Nyerere
@angelomalimi2444
@angelomalimi2444 Жыл бұрын
Hongera baba
@jamaa2760
@jamaa2760 Жыл бұрын
"UKWELI UTATUWEKA HURU"
@faridhassan6834
@faridhassan6834 Жыл бұрын
Docta vipi njoo basi upewe ubalozi,punguza njaa mzee kalee wajukuu.
@ezekielmaenda7001
@ezekielmaenda7001 Жыл бұрын
Lazima hata ukisema ukweli utapingwa.Wenye akili na busara wataamua.Hata Yesu alikataliwa na wakamuua.Dr.Slaa wapuuze endelea .
@KaburuKimath-eu5nf
@KaburuKimath-eu5nf Жыл бұрын
Jamani huyu mwandishi WA medani ni WA chama ganii
@bakaramourshaaban
@bakaramourshaaban Жыл бұрын
Wewe mzee muongo tena muongo usituongopee , wewe una chuki binafsi ,wewe siulisema Tundu Lisu alipigwa na genge la Mboe , unakataa acha ubandidu
@mawazoselemani614
@mawazoselemani614 Жыл бұрын
Wanataka kukugombanisha na tundulisu katika nguvu ya mjadala wa Bandari tumia hekima Mzee Dr slaa...usijibu mada za miaka sita iliyopita
@tozzowilliams308
@tozzowilliams308 Жыл бұрын
Maskini hujui hata kesho yakoo
@eliapendamaleto
@eliapendamaleto Жыл бұрын
Shida uyuvjamaa anayemuhoji dk slaa alizunguka mbali sana akachelewa kuhoji hoja za msingi
@HassanAli-lb6wy
@HassanAli-lb6wy Жыл бұрын
Huyu chama gani
@kapistranhaule-rn6ft
@kapistranhaule-rn6ft Жыл бұрын
Hujui majizi hayo WEWE umeandikiwa MASWALI namajjizi bila kujua
@venantrugabela6798
@venantrugabela6798 Жыл бұрын
Ujinga kabisa. Unauliza kitu cha 2015 baada ya miaka 8? Bahati mbaya mwandishi hajui kwamba Dr. Slaa ana PhD ya Philosophy
@hamadsheni8997
@hamadsheni8997 Жыл бұрын
Mzee una uroho wa mamlaka kama ulishindwa kuwachunga kondoo. Nyumbu huwaweza.
@nicojohn3920
@nicojohn3920 Жыл бұрын
Doctor slaa hakika kwa mtu anayefikiria na kutumia ubongo vizur atakuelelew na kwakweli unastahili kuwa kiongoz wa nchi tena ngazi ya juu kabisa sijui ni ipi ila ikiwezekn mfalme na siyo rais.
@alexmhufu2513
@alexmhufu2513 11 ай бұрын
Tanzania naona kiza kinene mbele yako eeeh MUNGU ingilia kati jambo hili wanyonge tunakandamizwa hata pale ambapo hatuko tayari kwa hilo MUNGU tulindie watu kama hawa watetezi wa wanyonge
@nicojohn3920
@nicojohn3920 Жыл бұрын
Kwa uchambuz wa doctor na Muuliza swali kam mtangazaji utajua Nini maana ya taaluma kwa kweli ni watu ambao wameenda shule maswali yana tija majibu yana tija this is what we want in politics no blabla like mwita waitar I hate him as he reacts bungen yaani asiyempend Samia atafute chama chake nonsense in politics
@ahmadmzoa74
@ahmadmzoa74 Жыл бұрын
Ni ushabiki tuu na mihemuko. Mzee amepoteza busara. Hata kama unaweza kuwa unaongea mambo sahihi lkn chunga mipaka na ukizingatia yeye ni kiongozi wa Dini.
@williamsenkoro2210
@williamsenkoro2210 Жыл бұрын
Slaa achana na Hawa waandishi wanakuomba interview Ili kukubana maswali hayo kukuchafua Ili walipwe😮
@amirjuma6928
@amirjuma6928 Жыл бұрын
Ila huyu mzee ni kiboko kuanzia dk ya 45 mpk mwisho odemba katulia kama kamwagiwa maji
@bahatymarco3450
@bahatymarco3450 Жыл бұрын
Odemba ujipange unapomhoji mtu makini Kama Dr slaa, Ni aibu kuuliza maswali ambayo huna evidence, kuja na porojo za mtandaoni
@kapistranhaule-rn6ft
@kapistranhaule-rn6ft Жыл бұрын
WEWE acha kutaja KAniSA Wala msikiti WEWE na huyu wa star tv NI darasa MOJA hamsomi hovyo kabisaaaaaa
@josehaulee1508
@josehaulee1508 Жыл бұрын
Odembaaaa kwenye misimamo yakee
@eliasnganira7661
@eliasnganira7661 Жыл бұрын
Tutashinikiza serikali ijitoe
@lgffumbuka183
@lgffumbuka183 Жыл бұрын
Samia hakusaini Katiba, kasaini nani? Au haikusainiwa? Akiyesaini anapata wapi madaraka hayo? Huyu interviewer ni very weak, hafai, anatukanwa bado hana maswali ya msingi. He is mesmerised, a complete idiot.
@josehaulee1508
@josehaulee1508 Жыл бұрын
Mwandishi pekee mwenye kuliza maswali kwa umakin
@bakaramourshaaban
@bakaramourshaaban Жыл бұрын
Vipimo vipo baada ya kutolewa ubalozi ,ndio maana unachuki
@tozzowilliams308
@tozzowilliams308 Жыл бұрын
Chuki ipii,,??
@hamidumpiga6283
@hamidumpiga6283 Жыл бұрын
Slaa mnafki sialipewa ubalozi uyo mbona alitulia
@johnbwirabukiza1878
@johnbwirabukiza1878 Жыл бұрын
Samia msaliti mkubwa wataifa si muzarendo haswa tulikua namashaka name m ukumbuke a ll ipotemberea kagera aliwambia wananaichi eti Magufuri anamasalimia wakati anajua kwamba aishafaliki hata anajitambulisha kwavitendo huyo ndiye aliondoa pombe John Mgufuri masaliti mukubwa huyo
@ezekielphilemon7343
@ezekielphilemon7343 Жыл бұрын
Wewe ndie Rais wangu ajaye,
@Wami-Sababisho
@Wami-Sababisho Жыл бұрын
Ndio maana JPM Alikuona wewe unakitu na utafika mbali ''Mtu mwenye akili timamu hawezi kusaini mkataba huo" na "ikishindikana ni KUMPINDUA Rais🤐🤫😂" mwisho wa kumnukuu. Kwa maneno uliyo yaongea na kujiamini Umenikumbusha JPM.Chukua form ya Urais uchaguzi ujao 🤫🤐
@frankkaronge1609
@frankkaronge1609 Жыл бұрын
Mwandishi umesahau loliondo,
@mnanasuly2585
@mnanasuly2585 Жыл бұрын
Huyu slaa hana akili kabisa
@YaeLondon-xy7sh
@YaeLondon-xy7sh 10 ай бұрын
Heshimu mawazo ya mtu
@bakermusa9033
@bakermusa9033 Жыл бұрын
Vyombo vyote mmelamba asali
@samoramussa5336
@samoramussa5336 Жыл бұрын
Wabunge kazi yake nini mbona hata hawajui au makusudi, kazi yabunge nikusimamia serekari au kuipongeza tu hata kwa mabaya? Msemaji wa serekari alinichosha kusema tutapata mahela, dp yeye hayataki hayo mahela, pesa nzuri niile ulio ipambania bwana, msiiuze nawaomba mtapigwa na MUNGU kwajinsi watanzania wanavyo lia kuhusu bandari zao, wandishi hayo maneno ya slaaa haywaumi kweli?
@fredrickmwakalinga6390
@fredrickmwakalinga6390 Жыл бұрын
Hii ccm bila moto kuwaka hawawezi kuwa na nidhamu watanzania tuodokane na woga hawa wajinga watatutesa sana tusipoamka
@bakaramourshaaban
@bakaramourshaaban Жыл бұрын
Siuwashe wewe uo moyo
@wadeelegbogun3015
@wadeelegbogun3015 Жыл бұрын
DR.SLAA SAFI SANA, NI BOLA HATA UNGEKUWA RAIS WETU.
@RajabuMsuya-yp9uv
@RajabuMsuya-yp9uv Жыл бұрын
Baba,njo,ccm,,ndochama,chetu,tawala,upinzani,ndo,unatugawa
@amalikakiva4937
@amalikakiva4937 Жыл бұрын
Kapindue wewe na wtoto acha kudanganya wtu
@ulayaz
@ulayaz Жыл бұрын
Slaa anatafuta riziki sasa kama kanisani kakosa, c.c.m., kakosa, chadema kakosa, anarudi tena chadema. Tusubiri tuone hizi tamaa na njaa za wanasiasa uchwara
@tozzowilliams308
@tozzowilliams308 Жыл бұрын
Poor mindset,,,,mpaka ujee uuzwe ndo utajuaa
@abednego3876
@abednego3876 Жыл бұрын
Lisu haingii ata robo kwa huyu mzee, alaf mwandishi ana pretend sana .
@bakaramourshaaban
@bakaramourshaaban Жыл бұрын
Jibu maswali wewe mzee acha fitna
@tozzowilliams308
@tozzowilliams308 Жыл бұрын
Fitina IPi???
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji Жыл бұрын
DP WORLD WANAKUJA NO MORE MAJIZI SERIKALI ITAPATA KODI NA BANDARI ITABORESHWA NA AJIRA ITAONGEZEKA. NA BAA ZITAPUNGUA INACHOHITAJIKA NI ELIMU WATANZANIA WAPEWE UJAMAA UMEPITWA NA WAKATI 😇😇😇😇😇
@emmapaul1766
@emmapaul1766 Жыл бұрын
unafilwa kumamako wewe na hao unaowakuwadia.
@josephrutta6834
@josephrutta6834 Жыл бұрын
Hujui unachoandika. Pole
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji Жыл бұрын
@@josephrutta6834 WAGALATIA NO MORE UWIZI BANDARINI
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji Жыл бұрын
SLAA UMEJULIKANA UKO NA MASLAHI YA MAJIZI BANDARINI NA KANISA LA KATOLIKI WAMEIBA KWA MIAKA60 SASA WANAFANYA PROPAGANDA KUPOTOSHA WATU NO MORE EXEMPTIONS KWENYE BANDARI YETU WAGALATIA WACHACHE WALIKUWA WANAIBA NA WANASIASA UCHWARA
@wilsonsikahanga1761
@wilsonsikahanga1761 Жыл бұрын
Ommy ..Kanisa katoliki limeiba limeiba nini kwa hiyo miaka uliyoitaja, ?
@wilsonsikahanga1761
@wilsonsikahanga1761 Жыл бұрын
Yaani pamoja na malizake nyingi kutaifishwa na serikari kanisa katoliki limeiba?
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji Жыл бұрын
@@wilsonsikahanga1761 LIMEIBA PESA NYINGI SANA SANA NA VIONGOZI WANAJUA ILA WANAOGOPA LABDA UTUSAIDIE TUINGIE DEMOSTRATION kkkkkkkkk
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji Жыл бұрын
@@wilsonsikahanga1761 MPAKA KESHO WANAIBA PALE BANDARINI NGOJA SYSTEM MPYA IFUNGWE NA DP WORLD UTASIKIA MA PASTOR WAKIANGUKA KKKKKK
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji Жыл бұрын
No BODY TRUST YOU MZEE MLANGO WA BANDARI UMEFUNGWA RUDI KANISANI KAUZE MAPAPAI USEME YAMETOKA MBINGUNI AMA UFUNGASHE VIRAGO UWENDE UKALIME NO BODY LISTENING TO YOU HAKUNA DILI NA MAJIZI YALIYO BAKI 😅😅😅
@Swahili_Digital_World
@Swahili_Digital_World Жыл бұрын
Inatakiwa tujibu hoja siyo kukashifu...
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji Жыл бұрын
@@Swahili_Digital_World problem hamuelewi hamuko OPEN MINDED mnachosikia kwa watu majizi muna amini MIMI NILIKUWA NAJUA WAGALATIA WASOMI KUMBE NI RAHISI KUPOTOSHWA EASY 🤪🤪🤪🤪🤪
@EL-DAD.
@EL-DAD. Жыл бұрын
Nmegundua huna darasa kichwani!!! Endelea tu kuandika ujinga wako!!! Namuhurumia mama yako aliyeleta kitu cha ajabu duniani!!!
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji Жыл бұрын
@@EL-DAD. KWANI WAGALATIA SIKU HIZI WAMEKUWA KONDOO KWENYE NYUMBA YA HAHAHAHA LOVE IT
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji Жыл бұрын
@@EL-DAD. TUKUTANE MWENGE KWENYE MISA YA SAA NNE PASTOR LEO ANAUZA PAPAI MILION LIMETOKA MBINGUNI 😍😍😍😍HALAFU TUNAKUTANA NA HOLY GOST LIVE FACE TO FACE
@MabulamalembekaMoris
@MabulamalembekaMoris Жыл бұрын
mwandishi anamaswali kama wakili kizimbani😂😂😂😂
@johnsonchonja4032
@johnsonchonja4032 Жыл бұрын
🤣🤣anaitwa chief odemba noma sana
@amalikakiva4937
@amalikakiva4937 Жыл бұрын
Kapindue wewe na wtoto acha kudanganya wtu
@amalikakiva4937
@amalikakiva4937 Жыл бұрын
Kapindue wewe na wtoto acha kudanganya wtu
#MEDANIZASIASA:RAIS WA TLS WAKILI BONIFACE MWABUKUSI-03/08/2024
1:13:50
Star TV Habari
Рет қаралды 10 М.
НЫСАНА КОНЦЕРТ 2024
2:26:34
Нысана театры
Рет қаралды 1,5 МЛН
Best Toilet Gadgets and #Hacks you must try!!💩💩
00:49
Poly Holy Yow
Рет қаралды 22 МЛН
Full video ya Dr Slaa kuhusu Lowassa
53:15
Millard Ayo
Рет қаралды 742 М.
Nilimnyang'anya Kikwete Mic Nikamzuia Kuongea - Dr Slaa
5:24
CLOUDSMEDIA
Рет қаралды 15 М.
#MEDANI ZA SIASA: HASHIM RUNGWE SPUNDA ANATEMA CHECHE
1:29:07
Star TV Habari
Рет қаралды 4,4 М.
UKIENDA KUOA KWA MUHAYA TAJIRI SASA, YOMBO KAYAKANYAGA🤣🤣
10:07
哈莉奎因以为小丑不爱她了#joker #cosplay #Harriet Quinn
0:22
佐助与鸣人
Рет қаралды 8 МЛН
Neden yüzünü saklıyor
0:19
H. DANIŞIK
Рет қаралды 35 МЛН
Я НЕ ОЖИДАЛ ЭТОГО!!! #Shorts #Глент
0:19
ГЛЕНТ
Рет қаралды 1,7 МЛН
Doing This Instead Of Studying.. 😳
0:12
Jojo Sim
Рет қаралды 22 МЛН