🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Ptv napenda sana interview za uyu mwamba Mii namuelewa sana keep it kumhoji Dingano 🔥🔥
@DAMIABOY8 ай бұрын
PTV FOREVER 🙏 Hakuna kitu APO , mwana mziki wa singeli hastahili iyo labels 🙏🙏 natena hakuna Mtuu wakumu pimanisha Na harmonize APO
@ernestcharles42888 ай бұрын
Yeye ni msanii wa singeri anaimb hadi bongo fleva
@nicholauskilosa53368 ай бұрын
Ni kweli hata mimi nkikuta Nyumbani kwangu inapigwa singeli ntachapa watoto vbya sana.
@DaniBoeeTz8 ай бұрын
😂
@pingumagongo19975 ай бұрын
😅😅mungu yu mwema😂😂 ding'ano for life🙌🙌
@Levinsky258 ай бұрын
This guy understands music💯
@chandiasamuel92928 ай бұрын
Matatizo and single again the best songs ever big up Hamonize keep moving
@abdalaauame38638 ай бұрын
Meneja digano sharrahut, onguera sana sana 👏👏👏👏
@mrsinia30648 ай бұрын
WCB itawachukua muda sana kumpata msanii geneus kama harmonize
@michelinemapendo66528 ай бұрын
🥳🥳🙌🙌🙌😂😂
@mamboshepea88888 ай бұрын
Unaumwa wewe....chawa tuuu😁
@felista51078 ай бұрын
Kabisa na ndoomana Toka atoke Hamo mambo yameharibika kabisa kwao
@Levinsky258 ай бұрын
Mob love from Kenya dingano
@deogratiaskatabwa52308 ай бұрын
Dinganoo Mwamba unatishaaa singeli inaishia bongo tu
@MohammedMohammed-uo5sk8 ай бұрын
Dibango kidogo nitakukosoa Leo ww ni best yangu sana but singeli itauza Spain coz huko ndio mambo Yao ila mjomba D Voice na mjomba Swara wawekeze sana katika lugha ya singeli kama ni kiswahili kiwe na mafunzo ya Hali halisis ya maisha na pia wafanye mix ya lugha kingereza na kispanyola ili watu wa Dunia wapate kuelewa na midundo iwe babukubwa but kama ni Sengeli ya kibongo bongo haiendi mbali .pia mjomba kitondoro ampe pumzi D voice afanya ya kwake coz naona makolabo kibao hii itamvunjavunja ila wampe ukubwa kwanza kivyakevyake Kisha kolabo za wastani.Doh Swara kaingia Kwa Sengeli sasa hii noma
@JoelRichard-hj3bi8 ай бұрын
Huyu ndio Dingano bwana Big up,waandishi wa mchongo.
@AshaMatola-hn2rd8 ай бұрын
Sasa domo amevaa nn icho amekaa kama fidodido amechekesha umma jamani
@cristianofabiao5378 ай бұрын
😂 ❤ding'ano 🔥🔥🇲🇿
@shaabanramadhan67708 ай бұрын
WCB sjui imekuaje
@mayahemede48418 ай бұрын
Meneja ni Noma sana
@desantos_official8 ай бұрын
Nakuaka nakukubali sana manager dingano
@OmarOmaramimoOmar8 ай бұрын
Diamond amefeli
@denismigayi85138 ай бұрын
Tembo Jeshiiii la mtu Moja
@bakarimnyubi26508 ай бұрын
Kwani mzee wa fact anasemaje nae AKA Mr Pimbi maana daah...🤣😃🤭
@mashramadhani19898 ай бұрын
Muacheni diamond harmoze bado ana safari ndefu kufikia mondi alipo sasa na D VOICE ANA kipaji sana sana
@user-ie2ww6vq5o8 ай бұрын
Mond so mjinga kumsaini uyu msanii wa singeli... Kwasbu mond kaongeza mashabiki .. na uyu d voice atafka mbali sana mpka watu watashangaa kwasbu mwanzo ni mgumu ila najua atafanya tu surprise watu hawatoamini.
@JulianaMushi-nq3kc8 ай бұрын
Ila daimond kakurupuka sana mimi binfsi cjamwelew huyo dtalaka
@Never-drc_officiel.8 ай бұрын
😂😂😂😂 Ding'ano na Ding'ano zake,...
@erastocyprian35558 ай бұрын
Nice Dingano
@nestonmarko3958 ай бұрын
Mbona Uyu haeleweki meneger
@j...8768 ай бұрын
VIP Angela , chid na kid, au Ibrah, bangi wewe chunga tu mu pumuwe vibaya😮😮
@user-om7zg6ug4z8 ай бұрын
Chambua babu din'gano😂😂😂
@hanifahkhamiss84858 ай бұрын
Mm nadhani d vois atabadili kutoka singel kuja bongo fever na amapiano....nyie pgeni ngenge tu😂😂😂
@BarakaKanyamibwa-lo4gc8 ай бұрын
Kiukweli ule jamaa hamuna kitu labda wamusaini FOUNDER TZ.
@ISSACCECYTIN8 ай бұрын
Hapama singeli ita vukaa alafu d vois ana badilikaa badilika d vois bongee la msniii mtakuja nambiaaa
@cuiteaishah72268 ай бұрын
Hiyo nguo alivyo vaa mondii inatoshaaa😅😅 jameeni
@peterongonga42428 ай бұрын
Dingano nakufatilia nikiwa Nairobi ,huko sawa waoshe hawa mwabino
@Jeymoh8 ай бұрын
From Kenya dinghano motor Sana 😅
@user-gz7db2uj8v8 ай бұрын
Ding'no facts 💫
@DaniBoeeTz8 ай бұрын
😅😅eti chakwacha kwachakwacha
@YohanaMusa-hy4gw8 ай бұрын
Wewe hauna akil kabixaaaa
@sandramutabazi86668 ай бұрын
Fact kbs maneger❤
@benson238238 ай бұрын
Ana tisha wapi kwa roho mbaya aliyo nayo hanaga akili wewe una waza mtu mwene ana akili ana weza ongea ivo mbona walishindwa kumu saidiya huyo anjela acha
@blandkubwatz44968 ай бұрын
Motomoto
@andrecarlos10248 ай бұрын
Dingano 👏👏👏👏💯
@EvaristeRadjabu8 ай бұрын
Ding kaongeya kweli kabisa
@happyvicent28378 ай бұрын
Wivu huyooo diamond anaona mbali
@user-ie2ww6vq5o8 ай бұрын
Mond ana target zake wala hana upinzani na upande wwote kwasbu kwa utajiri wake hana muda wa kushindana na mtu . Hata mkisema hamumpunguziii chochote.
@KingbabilonBabilon8 ай бұрын
True
@user-dr3ve2pm5t8 ай бұрын
Wcb wamechemuka sanaas
@user-mp4lf4ji8k8 ай бұрын
Chuki tuu huyo pimbi hajui chochota kuhusu mziki d voice msaanii tuacheni matani
@SululuZungu-kx8ws8 ай бұрын
True story wapuuz xn wasf😂😂😂
@Kinyonga-kinyonga8 ай бұрын
Ukweli ata Mimi singeli jamani ipite ivi kwaza
@user-jk6zk5lo9r8 ай бұрын
😂😅ding'ano et anamtukana baba levo pua😂😂 wakati yeye mwenyewe dingano mpua huoo😂😂😂 ama kweli nyan haoni kundu lakeeee
@damianmcba95258 ай бұрын
😂😂😂
@silageorge16388 ай бұрын
Shenziii ngoja tu kidogo awe mkumbwa kushinda huyo ibrah
@ElogbneyoBreezy-yz4vq8 ай бұрын
Kumbe Leber kubwa unajua
@LouisPadiri-im4xm8 ай бұрын
Kondegang nyie subirieni tu ajekumfunika ibraa😂😂
@hmedoggftherljih1998 ай бұрын
Meneja unajikuta TOP Quality, ila kupata ukubwani pia inachangia 😂
@albertoevaristo26438 ай бұрын
Apa WCB ime tiya maji
@thobiasbukali90088 ай бұрын
Huyu ni manager kweli au chawa? Maana kama manager unatakiwa kujua vionjo mbalimbali kila aina ya mziki.
@MkaliZuberi-rt3gb8 ай бұрын
Anae jua anajua tu yule ametokea kwenye singeli ndio aimanishi kua yeye ndio anaujua singeli tu msanii mkali ni yule anayeimba aina yoyote ya mziki huyo ndio msanii mkubwa
@Farajahelene230318 ай бұрын
No senile on konde village
@paulkifuku97308 ай бұрын
Atapotea kama lavalava
@user-wv1qy6uk6c8 ай бұрын
Unajua Kama huwez kuwa mbunifu utaishia kuwashangaa wasafi ukwely anaujua ila anavunga
@DiabTutty-ke9bs8 ай бұрын
Acha roho mbaya kenge weeee
@happyvicent28378 ай бұрын
Wewe mbona harmonize mbona kaimba sinqel hata mkumsema mondi ndio kwanza mnampaisha mnamzidishia kupanda chat mondi na mpenda mziki wake mpaka nainqia kabulini napenda sana
@Levymond8 ай бұрын
Mdomomdomo tu akifanikiwa mnanyamaza
@mashakamgonza8 ай бұрын
Kweli ata mm niliisikiliza nami nikaifuta chapu maana uwimbaji wake Kwa mbalii kama Omar kopa
@mushijohn64358 ай бұрын
Naulizaa😂😂 Ni naani kamshaurii Diamond avaee Pensi jamani miguu miguu mbona ni aibuu avae Trouser tuu
@Tintaaahasirakirende8 ай бұрын
😂😂😂😂😂 nilidhani nimeona peke yngu
@barakamnai41848 ай бұрын
Hata mimi kaka sipendi singeli
@GlamourMJ8 ай бұрын
😂😂😂nahc we unapenda me xielewagii ata wanaimbagaaa nn an full matuc
@user-tg2xi4mh6m8 ай бұрын
Hapo mwambino amegawanya riziki Tu hamna kitu hata wakaungana
@user-fz1kh9in2c8 ай бұрын
Kwahiyo unasema hivyo huyo harmonize alivyokuwa hajatoka nani alikuwa anamjua halafu dogo anafanya mziki wowote wewe usicrem Labda mkamroge
@ramadhanimohamedi39358 ай бұрын
Chuki tu
@awiloligola76748 ай бұрын
😂😂😆
@OmarNgoa8 ай бұрын
Wampigia kelele mtu mwenye humfukii hata robo 😂nipeni likes nilale mie fyoko
@GlamourMJ8 ай бұрын
😂😂😂aimbe singeli, mchiriku ata kwaya ndo kashatoboaa kwixhaaa iyooo kila m2 na bahat yak😏
@leonardchisutia85288 ай бұрын
Hapa ukweli 😅😅
@Barnizeboy8 ай бұрын
🎉🎉
@ikramzamando8108 ай бұрын
We dingano una chembechembe za ushoga
@acizazihalirwa71658 ай бұрын
Niliwaza mavicali ao lunya😢
@edwinmeenda91718 ай бұрын
💯💯
@legacyjini66518 ай бұрын
Azingua wesiwakuzungumza ww
@user-by9cu9to1y8 ай бұрын
Nyanyi wakumponda D Voice,si nyinyi mpeleke mama zetu ama dada zenu wenye vikipaji wafike mbali. Maubwa nyinyi na Roho mbaya kila siku ila mko sahihi masikini kila siku kazi ni kuongelea waliomzidi
@user-jq9rj4dm5u8 ай бұрын
Mchawi ww ding'ano
@YohanaMusa-hy4gw8 ай бұрын
Utaxema xema wewe hauna akil kabixaaaa Yani
@janetymatola66398 ай бұрын
Daimond kachemka hapo ila anajuwa snschokifanya
@ASALABOY8 ай бұрын
Singeli ?? ET Wanadidang'aya kama Anabadilika Sasa uyo Msanii wao akibadilika anatuimbia Mataharabu . ET mwandishi mzuli wabongo wanapenda kupigia kelele vítu vibovu.
@tomsijohni8 ай бұрын
Apo ndo wandishi wanafeli sana wanashindwa kusema harmonize alishinda Tuzo alafu kuna watu hawajui Harmonize alishinda Tuzo ya nini wanashindwa kusema hivyo
@user-gz2dq1sw8z8 ай бұрын
Japo mm ni team wcb but Hawa wasanii wa singeli siwaelewi kabisa
@ChrissMrinah8 ай бұрын
Mpaka hapo ukae ukijua singeli ndio itakuwa sokon
@SadamSaleh-ki8uf8 ай бұрын
Hata zuchu mlisema hivyo hivyo saivi ndio homa ya jiji kwa kila kitu kwaiyo tulieni dawa iwaingie
@musamatsaki798 ай бұрын
Wee unaumwa wallae😂😂Zuchu kafanya kitu gani toka aingie WCB😂😂
@KingbabilonBabilon8 ай бұрын
Hiyo ni jealous
@ChrissMrinah8 ай бұрын
Af huyu jamaa bila diamond atalal njaa Mana hang mtu mwingine wakumsema,,
@mamboshepea88888 ай бұрын
Ndo alivotumwa na boss😅😅 akili ya kunguni kukaa mchagoni...yamekushindaaaa kaa kwa kutulia...Simbaaaa
@agwalubifaridah70798 ай бұрын
Kumbe unajua kama WCB ni label kubwa kenge ww
@ZipoOnline42898 ай бұрын
Mwandishi unaongeaje hivyo wewe?
@tomsijohni8 ай бұрын
Mimi niliona siku walivyo mutambulisha niliona nikajiua huyu musanii mpya wa WCB ni bure sana singeli ni music wa East Africa peke yake
@aishaz18 ай бұрын
Yani had machoz yanakutoka kisha umbea kama mwanamke kwani kinakuuma nini ??eti ?Ajela alitoa siri zenu ebu tulia uko wewe ndo uwez pata kitu uku duniani kwa hii wivu yako nyooo mzee baba mzigo wako sepa pita paleeeee uka lale.
@ibbyikh17888 ай бұрын
Ding”ano mtoto wa Lindi chawa mi mtoto wa Lindi tukutuku stare mimba ILaLa DSM born Lindi grew up Ilala DSM, kichaa wa kujipakia I’m just kidding homie one love from states, what up Bc 100 shule ya msingi Ilala Boma Tz one love, kitovu changu kipo TZ, I love you all on my heart.
@ZackyFlavour-po3os8 ай бұрын
😂ila diamond sio chizi hamjui yeye kaona nn
@BAHATIKIBA-ul6wx8 ай бұрын
Ila Kwa Upande Mwengin Kam Wamekosey Kumsaini Msanii Wa Singeli
Nilisema tu huyu mchawi lazima tu litamchoma yani unaonekana uko na wivu kupitiliza sasa Ibra amekwisha ata sikuiz asikiki.ogea y Ibra wachana n WCB weeee chawa mchovu
@JulianaMushi-nq3kc8 ай бұрын
Kumbe dvoice ni mjukuu wa bikidude😅
@GlamourMJ8 ай бұрын
😂😂😂😂😂daaaah! Ila ww em niachee kwanz an nmechekaa 😆😆😆
@Tintaaahasirakirende8 ай бұрын
Ni kweli 😂😂😂
@oj65958 ай бұрын
Sasa wewe uko na akili ku liko mkubwa fela na Salam sk peleka ushamba konde mlitengezewa saizi mna bwata kama mbwa koko
@MkaliZuberi-rt3gb8 ай бұрын
Nyie wabongo muwe na akili kwani ukiwa deleva wa gari kubwa ndo inamanisha uwezi kuendesha gari dogo wangap walikua wanaimba bongo fleva na wakaamia kweny taarabu na wakatoboa wengine hip hap wakaamia bongo fleva mfano fid q, isha mashauzi na wakatoboa . Ukijua kuimba mziki utaimba mziki wowote ule acheni kujifanya wajinga
@benson238238 ай бұрын
Sasa yeye ali kuwa wapi ku msaidiya harmonize kabla haja pata number ya diamond ili amsaidiye acha wivu kaka sababu mume shindwa ku msaidiya anjela we umbwa hauna akili ata hausikiye haya kuweza kuongeya hayo mbona wasafi haikuongeleye wewe acha wivu umeshindwa wewe
@adamnasibu59318 ай бұрын
Kwahiyo mshaanza kumshindanisha Dvoice na harmomavi hebu angalieni hata urefu atakaekuwa mrefu ndo mkali
Diamond anatumia nguvu ya ushawishi lazima Nigeria wataimba sengel na huyo dvoice haimbi sengel pekee anaimba mpaka bongo mpka taarabu mpaka miduara sioni ubaya pia itanyanyua mziki wa sengel