Nilikuwa najua bonge la Baba kumbe mwanangu kabisa mashalaah Mwenyezi Mungu amjalie akafanikiwe kwenye maisha yake
@ukhtyzainab72544 жыл бұрын
Aamiin
@elvisbernard94074 жыл бұрын
Amina😊🙏
@arqamibnarqam.71854 жыл бұрын
@@ukhtyzainab7254 amiina yaa rabbal a'lamiina
@bimsinani59443 жыл бұрын
😁😁😁Aamin
@khadijagundumu62103 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@fatumandunguru57824 жыл бұрын
Mtiga atakua mkubwa sana katika historia ya tanzania much lov mtiga very talented
@sharulchenja21674 жыл бұрын
Tatizo alikuwa anaandikiwa, ayuko vizuri darasan ila saut ndo nzurii
@Amneamne-qi2du3 жыл бұрын
Masha'allah sauti yako nzur ndio sauti ya kiume
@richardcastromzena5136 Жыл бұрын
@@sharulchenja2167 point
@juliusmwinga40514 жыл бұрын
Me namkubali sana Mtiga Abdhallah.
@hamadiabdallah39062 жыл бұрын
Mtiga mungu Amekujalia Sana Sauti ... Unajiamini Sana ndg Upo vizuri Sana jamaa yangu
@tariqkideu73684 жыл бұрын
Brother mpole kishenzi aiseeee daaah
@petermim4 жыл бұрын
Duh mwili mdogo SAUTI konki# hongera bro#😂
@totmohammed64304 жыл бұрын
Mashallh mtiga Allah tuna kupenda sana haswa unavyo simulia na kasaut cha mamlaka 😂😂😂😂 da sofi mungu ana kuona
@hassanathumani40023 жыл бұрын
Xio allah ni abdallah
@khalifawapili17994 жыл бұрын
Mwenyez mungu alimuumba yeye ndipo sisi tukamjua tunamzungumzia kijana mdogo ambae anaitwa MTIGA ABDALLAH daah mwanangu unatalent ya pekee sana
@directoroyo79984 жыл бұрын
mtiga nakuelewa sna broo we ndo nguli wa simulizi
@aminanamoyo834 жыл бұрын
Hakika sauti tamu,anayo 👌🏿 mi msikilizaji mzuri sana wa hadithi za mtiga,yeye na fredrick bundala (sky walker aaaaaa 👏🏾👍❤
@markmhongole4 жыл бұрын
uyuuu jamaaaa hatariiii sanaaaaaaaa,,, big up mtigaaa
@esthersimon44274 жыл бұрын
Swebe wewe ni 🔥🔥 nakupenda kukusikiliza
@geofreymhando37024 жыл бұрын
Ana sauti ya utangazaji, Kwa mbaaaali kama Millard Hayo.
@niyonzimageorge9174 жыл бұрын
Kweli
@geofreymhando37024 жыл бұрын
@@niyonzimageorge917 nashukuru kwa kuligundua hilo ndugu yangu.
@halimahalmaty66074 жыл бұрын
Kwel yn
@geofreymhando37024 жыл бұрын
@@halimahalmaty6607 umeligundua hilo nawe
@geofreymhando37024 жыл бұрын
@@halimahalmaty6607 Nashukuru Kwa Kuligundua.
@agnessherman29264 жыл бұрын
Soph anapenda ukubwa jamani,nimempenda bure,wadada wengi hapa dar hata kama mkubwa hawapendi shikamoo
@manenolugome9344 жыл бұрын
Daaah mtiga mwanangu longtime sana
@salmaalimusa5474 жыл бұрын
MASHA ALLAH tuleteeni na Ananias Edgar
@westlife90262 жыл бұрын
Huyo sasa moto
@issangelekele41864 жыл бұрын
mtiga abdallah kumbe wanyumbani maashaa.allah
@yusuphmandele53594 жыл бұрын
Upo vzr sana kijana, pambana zaidi utafika mbali.
@doubleymkuu42674 жыл бұрын
Dada Dina nimeipenda Sana kutuletea Huyu jamaa namkubali sana
@kudraayoub98554 жыл бұрын
Abdallah mtiga no 1,,,ananias ediga no 2,,
@stevek83183 жыл бұрын
Umenoa! Msikize Ananias Edgar vyema my friend
@rachelmikey83634 жыл бұрын
Anafanana na milard ayo
@hidoxtz35594 жыл бұрын
Namkubali xan huy mwamb✌
@faizadulla86634 жыл бұрын
I love mtiga's voice jamani and he looks humble
@johnnisilenisile19904 жыл бұрын
Daah mungu Hy mi namfatilia Sana nilijua mkubwa alafu kapitia viuoni mpaka vimepasuka
@selebushee78163 жыл бұрын
Mtiga nakukubali sana unajua mshkaji upo sawa sana
@agnessestoni56314 жыл бұрын
😀😀😀😀Nimefurai kukuona Mtigaa!!!! 💋💋
@saidiuchebe52033 жыл бұрын
Mashaallah mtani wanguuu mtiga...swebe kasema kweli tulikuwa tunasota Sana pale rufiji kabla daraja halijajengwa nimewapenda Sana jamani mungu awasimamie
@fadhilplatnumz62094 жыл бұрын
Good- Jemedali wa sauti zenye mamlaka nakukubaali sana MTIGA ABDALAH √√.
@mustaphambwana79444 жыл бұрын
Waaaoh mtigaa masha llah nakukubali mtiga wasafi kuna majungu na fitna pale wana logana wachawi walee efm mungu abaliki
Corona isha nirudi kwetu mie am in love with you mtiga much better all the best katika kazi zako
@daxmedia92 жыл бұрын
This guy talented🔥🔥
@amemasudi57352 жыл бұрын
Masha Allah Kaka Mtiga upo vizuri Allah amekupa sauti nzuri itumie vizuri Allah atakuongoza
@chunanachu25294 жыл бұрын
Huwa naskiliza hichi kipindi kwajili ya swebe ananifurahisha sana
@saidbabu91984 жыл бұрын
Mtiga kweli kabisa hata mimi nilifikiri ni bonge la mtu. Kumbe nikijana murua hongera,sana mimi ni mmoja wa wasikilizaji wa Hadithi zako ni nzuri sana kwa kweli huwa na kaa na kikombe changu cha kagawa,rasmi wakati nazisikiliza hadithi. Safi sana.
@stefanogizzler3 жыл бұрын
MTINGA ABDALLA hongera kaka!! Sauti Safi kabisa kweli nimependa story yako kuhusu Jomo Kenyatta wa Kenya!! Superb description!!
@yusufuheri65242 жыл бұрын
Na ile ya Thomas Sankara
@saisaikalyasi59984 жыл бұрын
Nakuelewa sana mwamba Bless up
@elkanakiprono62772 жыл бұрын
Much love from Kenya bro, your voice makes me to have the thirst of listening to your story book programs
@rajabubojoo94674 жыл бұрын
Coment apaa kama unaamn Abdallah mtiga kafanana na tommy freva
@thabitisimba11434 жыл бұрын
Wewe umetumwa eti umetumwa wewe sio Bure
@barakanswila69834 жыл бұрын
Kabisa
@faizadulla86634 жыл бұрын
Much love kwa mtiga🔥🔥🔥
@simonsweka73054 жыл бұрын
Mtigaa nicee man... For giving new... And other things in different countr
@TheSalma19994 жыл бұрын
Golden voice kumbe mdogo
@bellhdjdbdjd64952 жыл бұрын
Nilkuw najua u mbaba kumbe bado kijana Mashaallah Mungu akuweke uzidi kutuelinisha.
@suleimanhabibu73094 жыл бұрын
Nakupenda sana mtiga
@evancekimath74054 жыл бұрын
Keep it up kwenye uandishi nasimulizi zako....napenda sana kuziskiliza
@haitumikitena49784 жыл бұрын
Nakukubar Sana Bro Mtiga
@victoriadiones67592 жыл бұрын
Mashallah mtiga kwenye story zako una adisia vizuri
@mwalimabrahmanmohamed82454 жыл бұрын
Anajuwa sanaaaaa
@jacksonkilonzo14394 жыл бұрын
i like u edgar nko kenya uwa mm ni fun wako sana una sauti tamu sana ya utangazaji mungu akubariki
@nahyialetomia92844 жыл бұрын
Sauti safi after Millard na Mo (baba mtoto wa Gigi)
@tanzaniaomben96014 жыл бұрын
Ni zaid ya millard uyu
@qualitymoran66604 жыл бұрын
Ni zaidi ya Millard ndugu labda umfananishe na kikeke
@nahyialetomia92844 жыл бұрын
Tanzania Omben, maoni yangu
@allychaye34464 жыл бұрын
Namkubari sanaa mtiga
@kwizerakarim61944 жыл бұрын
Big up bro I'm from burundi
@loner_wolf4 жыл бұрын
Nikweli kijana anasimulia hadithi ambazo watu wengi wanakuwa hawazifahamu na wangependa kuzifahamu ..... Lkn stori ambazo huwa unasimulia huwa NI idea TU , kwamaana kwamba huwa sio UHALISIA wa stori yenyewe ..... Uongo huwa unautengeneza unaonekana NI ukweli ..... All in all keep it up .
@achsahcharles67284 жыл бұрын
Plus anasoma walizoandika watu wengine so it's good ku appreciate wanaomwandikia. Mtiga anapenda kusimulia mambo ya kufikirika na anayasimulia kama vile ni kweli mfano hiyo ya Pan American flight ni fix tupu. But ana sauti nzuri sana na ana juhudi. Ajitahidi kutofautisha mambo ya kufikirika na ya ukweli, aweke sana ubongo wake kuchambua anayoyatafiti
@KirangaHouston4 жыл бұрын
Nilijua ni baba mkubwa..kumbe Mtiga nikijana tu kama mimi tu. #KikiHouston @BURUNDI
@edwardguguyu75463 жыл бұрын
Niambie brother
@husseinmarusu43592 жыл бұрын
M my ..
@markobujashi11073 жыл бұрын
Mtiga kazaliwa kuwa hivo alivo Hongera
@immtm49304 жыл бұрын
Sidhani kama Kuna iyemsikia Mtiga akakosa kumpenda, Kiufupi ana Kipaji kikubwa. Hongera ndugu.
@fadhilmohamoud4 жыл бұрын
Tuleteee efm bukoba aiseee maana tunawapata kwenye vingamzi tu🔥🔥🔥
@EmanuelMkotomaka-bz6yb7 ай бұрын
Mtiga noma sana licha yaelimu pia anakipaji kabalikiwa na MUNGU
@hamisimkumba104 жыл бұрын
Saluti kwako mtiga abdalah wcb wameyumba
@princiouskdot63614 жыл бұрын
Saut like milard ayo
@erickcartona73524 жыл бұрын
Kweli jamaa anaongea kam millard
@beautymasatu12004 жыл бұрын
Sauti MashaAllah ...kama yangu jmn😍
@uthaymgalax1813 жыл бұрын
Mtiga ana aibu sanaa🙏
@bernardchibwana94114 жыл бұрын
Mwamba uko vzr sana
@hamzaadrin9414 жыл бұрын
Karibu sana mtiga Abdallah katika family ya majey
@ndaindahaze88164 жыл бұрын
Unajua me mwenye napenda sana simliz na ninaandika simliz anajua sana coz namkubal wcb hawajua kaz ya ndunguyangu mtiga anipe adis nyingine nazisubil @ndai ndahae
@charleschao50534 жыл бұрын
Hyu jmaa ni noma aiseee
@Hassanmofty4 жыл бұрын
Jamanii uyuu kakaaa,💝💝💝
@mwamedifabyeilunga52854 жыл бұрын
Kwa kweli mtiga sijawai kuona mtu ambaye anajua mengi kama huyu kijana mwenzangu yani mimi zamani nikuwaka nazani kama ni mzee kwa mambo ambayo anajua mungu aku zudishiye kipaji ili nasi tujue mengi sana kwako niko nawe miya kwa miya