MFANYABIASHARA MKUBWA ARUSHA ATOFAUTIANA NA GAVANA MKUTANONI "HAWATAKI KUONA DOLA YAKO"

  Рет қаралды 264,457

Millard Ayo

Millard Ayo

2 ай бұрын

Пікірлер: 788
@raphaelbadili5578
@raphaelbadili5578 2 ай бұрын
Huyu mtu anaakili sana.kama umemuelewa gonga like👍
@user-gy5en6cy8o
@user-gy5en6cy8o 2 ай бұрын
Nimemuelewa vinzur mno
@MauFundiElectronics
@MauFundiElectronics 2 ай бұрын
Genius huyu jamaa.
@mimisalama7473
@mimisalama7473 2 ай бұрын
Nyiye mkienda nje mtakubali kufanyiwa hivyo
@humphreybilly7437
@humphreybilly7437 2 ай бұрын
MFANO MZURI KWA WASOMI WASIO JITAMBUA KILA JAMBO MAWAZO OVYO.
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 2 ай бұрын
Hamna kitu wezi tu hao
@Mapenzi2635
@Mapenzi2635 2 ай бұрын
Mr Wilbard lectured the BOT governor on how to run the bank. What an amazing fact.
@sciencesocietyoftanzania5957
@sciencesocietyoftanzania5957 2 ай бұрын
😂😂😂
@Visualizer110
@Visualizer110 2 ай бұрын
Assholes wearing suits and ties and only thing they know kupata hela za haraka haraka usizovujia jasho lame ppl
@zanzibarsnorkeling5766
@zanzibarsnorkeling5766 2 ай бұрын
All facts are reality that we cannot ignore, the government itself wants dollar, if they want people to use Tshs, then they the government must stop taking dollars to make things fair
@africangirls482
@africangirls482 2 ай бұрын
Hawa ndio wanafaa kuwa viongozi governor hajui kitu yani achukue madini hayo
@joshuamacha8751
@joshuamacha8751 2 ай бұрын
He lectured him in a very simple language with vivid examples. .......asipoelewa tena apo basi
@JimTv001
@JimTv001 2 ай бұрын
I used to think I know something about Business until I listened to this man.
@hijazhija316
@hijazhija316 2 ай бұрын
😅
@angeliqueangelique9279
@angeliqueangelique9279 20 күн бұрын
😂😂
@katematv7529
@katematv7529 2 ай бұрын
Genius Chambulo, Nimefanya biashara na huyu jamaa muda mfupi sana.. lakini kwake Confident is game Changer...
@paspgroup
@paspgroup 2 ай бұрын
Jamaa yupo smart sana anastahili kuwa mwenyekiti👏👏
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 2 ай бұрын
Hamna kitu hapo anachokiongea ni bla bla haiwezekani anachokisema
@zuheorsalim7759
@zuheorsalim7759 2 ай бұрын
we boya kweli eti mwenyekiti 😅😅
@Josephineexsuper
@Josephineexsuper 2 ай бұрын
Huyu ni mwenyekiti wa TATO. Chama Cha WAMILIKI WA kampuni za utalii. Na anachokiongea kina mantiki. Ulienda nchi nyingine hawapokei dollar kwenye mauzi yoyote, badilisha dollar zako lipa in local currency​@@zuheorsalim7759
@lightnessmarwa1755
@lightnessmarwa1755 2 ай бұрын
Kweli nafasi yake ya Mwenyekiti anaitumia vizuri....Mungu amjalie Afya njema!!
@martinamahenge4476
@martinamahenge4476 2 ай бұрын
Tatizo mifumo ya Tanzania inaendeshwa na siasa sio professionalism imagine mtu kama huyu anaingia kwenye mfumo na anaakili kubwa ivi 👏 he reminds me of my dad
@issalesson8292
@issalesson8292 2 ай бұрын
Best comment ever
@user-cx7uz3ri6v
@user-cx7uz3ri6v 2 ай бұрын
Glad to see someone acknowledging her dad!
@Sylvester-zx4jo
@Sylvester-zx4jo 2 ай бұрын
Is your dad still alive?
@judicalosika7642
@judicalosika7642 2 ай бұрын
Hakika
@wariobamussa2462
@wariobamussa2462 2 ай бұрын
This man is very smart kiukweli serikali yetu inapaswa kubadilisha mfumo.... Big Up Mr Man
@JamesChrizestome
@JamesChrizestome 2 ай бұрын
Mama Samia hao ndiyo wakuwatumia maarifa yao yanaweza tufikisha mbali
@archbordygodfrey2614
@archbordygodfrey2614 2 ай бұрын
Kweli but unfortunately huyo huwezi mpa kazi serikalini ni mjasiriamali mkubwa.... ana hotel zaidi ya 30 Arusha mjini,ngorongoro,Serengeti ,tarangire na anazo land cruiser siyo chini ya 500,yaani ni BOSS.
@anwaryabdallah7782
@anwaryabdallah7782 2 ай бұрын
​@@archbordygodfrey2614Awe hata mshauri waserekali ktk sekta yautalii
@abdangembe4339
@abdangembe4339 2 ай бұрын
​@@archbordygodfrey2614 siyo lazima amwajiri anaweza mtumia kama mshauri kwenye mambo ya utalii
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj 2 ай бұрын
​@@archbordygodfrey2614Nani huyu kwa jina mbona Mali nyingi
@seemanishekiao
@seemanishekiao 2 ай бұрын
Ushauri wake mzuri, Serikali ikiamua yaweza utumia
@BLUBEENICE
@BLUBEENICE 2 ай бұрын
Huyu bwana ameongea point,tumpe maua yake
@koskeyella-ww6bd
@koskeyella-ww6bd 2 ай бұрын
huyo ndo mwenye KIBO SAFARI
@ezekieljacob5795
@ezekieljacob5795 2 ай бұрын
Kila kitu uchawa tu, wewe una maoni gani?
@BLUBEENICE
@BLUBEENICE 2 ай бұрын
@@ezekieljacob5795 kwani unataka kua chawa wangu ama
@AminaRamadhan-mg9lj
@AminaRamadhan-mg9lj 19 күн бұрын
​@@BLUBEENICEetii chawa wanguu😂😂😂😂🤔
@ukweli255
@ukweli255 2 ай бұрын
Bora huu mkutano alienda GAVANA...angeenda yule Wazir Mvaa Skafu ya 🇹🇿🇹🇿 sijui kama angeruhusu hata recoding ya haya na kuelewa pia
@nancyg8664
@nancyg8664 2 ай бұрын
😂😂😂
@dilludillu2747
@dilludillu2747 2 ай бұрын
😂😅
@barakakusa7606
@barakakusa7606 2 ай бұрын
Bila shakq ni Mwigulu huyo unaemzungumzia😂😂😂
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 2 ай бұрын
​@barakakusa7606kuna mwingine 😅😅😅😅😅
@musicheals1545
@musicheals1545 2 ай бұрын
hamna kitu mulee😂
@silverman6930
@silverman6930 2 ай бұрын
That dude should be the governor… very intelligent man 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿
@koskeyella-ww6bd
@koskeyella-ww6bd 2 ай бұрын
This man is Owner of KIBO SAFARI in tanzania Arusha
@fallykitwara1192
@fallykitwara1192 2 ай бұрын
Smart guy,Smart points 👌
@thedeo472
@thedeo472 2 ай бұрын
Serikali imeshindwa ku control na hawataweza ku control. Rushwa na ubadhirifu umezidi. Very sad🙁🙁
@Reginaldpeter2
@Reginaldpeter2 2 ай бұрын
Hapo ndo shida kuna watu wananufaika na mfumo
@norahmaxwell6853
@norahmaxwell6853 2 ай бұрын
Akili kubwa ndio hizi sasa 👏well said 👌
@Onlyfacts0224
@Onlyfacts0224 2 ай бұрын
YES
@piuskira7124
@piuskira7124 2 ай бұрын
Mchaga uyu c bure tulinyimwa nchi😅😅
@betricemainoya4176
@betricemainoya4176 Ай бұрын
Huyu sii masai kweli
@sugashTv
@sugashTv 2 ай бұрын
Governor amefunzwa kwamba politicians are only trusted with power by people but wisdom is inborn. Governor kageuzwa kuwa maembe kabisa
@DavalsonMarlony
@DavalsonMarlony 2 ай бұрын
nyanya bhn
@paulpsyche6381
@paulpsyche6381 2 ай бұрын
Wisdom is learnt not inborn
@zanzibarsnorkeling5766
@zanzibarsnorkeling5766 2 ай бұрын
Samahani niache nicheke 🤣🤣🤣
@sugashTv
@sugashTv 2 ай бұрын
@@DavalsonMarlony no knowledge is a acquired (learned) but not in born but wisdom is inborn. Unless if u are responding as a Tanzanian^^😂😂😂
@davidf.j.m6284
@davidf.j.m6284 2 ай бұрын
you don't have to say governor kageuzwa maembe. badala yake unapaswa kumpongeza kwa kutenga muda wakupokea maoni kutoka kwa hao wafanya biashara...this thing is very rare kwa office bearers wengi, na nijambo lenye werevu na busara ndani yake...otherwise mzungumzaji kanena vyema.
@pabliz_
@pabliz_ 2 ай бұрын
Jamaa yuko vizuri... sijui kama anaeleweka.
@csato9415
@csato9415 2 ай бұрын
Ni kweli gavana kama amemwelewa aanze kusafisha ndani kwanza halafu aje kwa wafanyabiasha, ubaya wanakurupuka bila kufanya utafiti.
@saleheinnocent7636
@saleheinnocent7636 2 ай бұрын
😂
@Worldunite
@Worldunite 2 ай бұрын
Huyu anazungumxia uzoefu alio nao, lkn walioko banki kuu wanaanzisha mifumo,ambapo labda mingine haiendani na hali halisi
@Onlyfacts0224
@Onlyfacts0224 2 ай бұрын
Amen
@user-ie2sr4fi4k
@user-ie2sr4fi4k 2 ай бұрын
👍👍
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj 2 ай бұрын
Mbona comment Kali sana hii.Ukweli ndo huo uliopo.
@malopemaliyamungu5243
@malopemaliyamungu5243 2 ай бұрын
Less cash kwenye mzunguko ndio inatakiwa. Unadhani Dealers wa Utalii hawana Dollar Acct benki? Wanazo. Anachosema Industry ipate credit card.. hata mgeni akija Kama mfumo wetu hausomi zao wapate za hapa ili watumie dollars zao kupitia credit card zetu badala ya kuanzisha bureau de change kila hoteli. Badala yake hoteli ziwe na epayment machine tu. Wananzengo wao walipe cash Kama kawaida. Hapo hata wananzengo siku hz tunawekewa Lipa Namba... Lakini hela yetu tunayo mkononi zaidi. Hufuma zetu nyingi hamna Lipa Namba. Ana exposure na Industry
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 2 ай бұрын
Huwezi endesha dolla kwa uzoefu au kwa maneno😂
@nathanpallangyo5244
@nathanpallangyo5244 2 ай бұрын
HEBU NCHI YETU IFUKE MAHALI SERIKALI IFANYE KAZI KWA WELEDI ZAIDI HAPA INAONESHA MFABIASHARA ANAVYOPATA SHIDA BILA SERIKALI KULIONA HILO. UPGRADE YOUR SYSTEM MY COUNTRY.
@makongorowassira6593
@makongorowassira6593 2 ай бұрын
Serikali inajua inachokifanya, wana create confusion ili wao wanufaike. Hawataki kuweka mfumo unaoeleweka maake watakosa rushwa zao. Shh 😊
@fauzibinzoo6563
@fauzibinzoo6563 2 ай бұрын
Hii nchi mfanyabiashara mzawa ananyanyasika Sana tofauti akienda nchi zingine
@jamesriwatuvana9561
@jamesriwatuvana9561 2 ай бұрын
Lets wait and see
@Visualizer110
@Visualizer110 2 ай бұрын
Pure failure ndio maana hatukui sekta ya utalii pamoja na potential tuliyo nayo
@barbarasara4033
@barbarasara4033 2 ай бұрын
Tulia Dawa ikuingie......
@rashidally7285
@rashidally7285 2 ай бұрын
Soo smart Hawa ndio wanaojielewa
@liboriusbabile1197
@liboriusbabile1197 2 ай бұрын
Hakuna hata siku moja serikali ikakubali kufanya Kazi na watu wenye akili kama hawa , itashindwa kuwaburuza, serikali huwa inawapa cheo ma mburura na machawa tuu. Huyu mtu anajua anacho ongea na confidence yake inamuelezea vizuri.
@nickmoshi8243
@nickmoshi8243 2 ай бұрын
Kweli kabisa
@sigorijoseph4977
@sigorijoseph4977 2 ай бұрын
Kweli kabisa
@Josephineexsuper
@Josephineexsuper 2 ай бұрын
Huyu kaishia la Saba tu. Tizama alivyo na akili. Ndo ujue akili sio lazima uende shule. Huyu la Saba ana akili kuliko PhD holders
@liboriusbabile1197
@liboriusbabile1197 2 ай бұрын
@@Josephineexsuper na watu kama hawa tunao wengi Sana wangeweza kusaidia mambo kibao, tatizo huo mfumooo😄😄😄😄
@faithjonathan3845
@faithjonathan3845 2 ай бұрын
Umeongea fact kabisa. Ofisi za serikali maboss hawataki kabisa mfanyakazi mwenye akili maana anajua hawezi kukuburuza...na wakati wao hawataki kufanya kazi kwa kufata utaratibu so wanataka wachukue wajinga tu wawe machawa...Watu wenye akili hata kwenye vikao maboss huwa hawataki uongee kabisa na wanasema eti ni wabishi. Bongo ukiwa na akili tu watu wanakutungia jina la MBISHI/ MCHOCHEZI/ MGOMVI. Ili wakufanye ukubaliane na upuuzi wao wakati deep down wanajua kabisa huna baya ila wanakutungia hayo majina kukumanipulate usiwachallenge. Na kamwe hatutaendelea kwa sababu watu wenye akili kama hawa hawatakiwi kuongea....
@barakapaschal2530
@barakapaschal2530 2 ай бұрын
Hawa ndio wanatakiwa kukabidhiwa wizara ya utalii👏👏👏
@Visualizer110
@Visualizer110 2 ай бұрын
Yep ana knowledge na uzoefu from the field
@igwe21
@igwe21 2 ай бұрын
I am so impressed! well done Mr. Chambulo. Genius explanation!
@josephmatemu4278
@josephmatemu4278 2 ай бұрын
Chambulo excellent clarification. Serikali ione huu ni mfano mzuri na wachukue.wizara zote ziwe na wazoefu walioko kwenye field kwa ushauri.nchi itasonga siasa ikae pembeni.
@lmdos4382
@lmdos4382 2 ай бұрын
Safi sana, Serikali imefaili moja kwa moja kwenye masaula mazima ya utalii
@nuruurio8319
@nuruurio8319 2 ай бұрын
Si vile wengi hawaju watu wanaona cruises zimepangana barabarani wanasema e nchi ina ela sasa watu biashara zetu zizunguke kumbe tunaliwa
@jumakessy7560
@jumakessy7560 2 ай бұрын
Tanzania ukiacha kwamba tuna vivutio vingi vya asili, wanyama, mlima kilimanjaro fukwe nzuri za bahari lakini mwaka 2023 wameingia watalii milioni 1.2 tu wakti misri wameingiza watalii milioni 13, halafu unaanza kusikia wanaleta sheria za namna hii
@lmdos4382
@lmdos4382 2 ай бұрын
@@jumakessy7560 Hii nchi ni ya ovyo sana
@MUSK_HARMONY
@MUSK_HARMONY 2 ай бұрын
Huyo Governersi ndye aliyesema maisha hayjawahi kuwa mepesi ... No wonder he is outsmarted by this man
@rlmtok6629
@rlmtok6629 2 ай бұрын
The only governor in Tanzania without a high education : Doctorate(PhD). Mwepesi sana kuongea compared na waliopita kabla yake kwakuwa Hana credentials
@JELSONMAUKI
@JELSONMAUKI 2 ай бұрын
Kweli kaskazini hakunaga fala . 🔥🔥🔥🔥
@user-kk7re2jl8y
@user-kk7re2jl8y 2 ай бұрын
😂😂😂😂
@shinipapaya846
@shinipapaya846 2 ай бұрын
Wengi wao ni mapunga 😊😊
@RafikimediaTZ
@RafikimediaTZ 2 ай бұрын
True watu wa kaskazini wametutangulia wapo Bright sana.
@shinipapaya846
@shinipapaya846 2 ай бұрын
@@RafikimediaTZ umetanguliwa ww na wazazi wako wasio jitambua na huenda ni mapunga chele 🤣🤣
@RafikimediaTZ
@RafikimediaTZ 2 ай бұрын
@@shinipapaya846 asante kwa kunitukana ndugu yangu.. sasa kama jirani yako anafanya vizuri zaidi yako kwani ni mbaya kumpa pongezi zake. Wewe unatoka mkoa gani? Kilimanjaro ni mkoa unaoongoza kwa kuwa mbele kimaendelea na hata kwa kuwa na shule nyingi za secondary pia. Niambie wewe unatoka mkoa gani?
@vero57
@vero57 2 ай бұрын
Very smart uncle 👍👌🔥🇹🇿
@BJMKANGALA1
@BJMKANGALA1 2 ай бұрын
Mzee Baba unafaa kuwa Mwenyekiti wa maisha. Unaongea kiukweli na uhakika tena kwa kujiamini. Shukran asante endeleza mapambano ya kujenga taifa letu Tanzania! Mungu akupe nguvu na afya njema!
@davidsillo916
@davidsillo916 2 ай бұрын
Kaburu very Smart lecture
@richardmbasha1411
@richardmbasha1411 2 ай бұрын
Well done KABURU,... wafanyie kazi basi
@abdulymaeda2697
@abdulymaeda2697 2 ай бұрын
Mchaga uyu kaburu wap
@user-pr7wj1nm1g
@user-pr7wj1nm1g 2 ай бұрын
KABuRu @ a k a Hilo jina ndio anajikana zaid​@@abdulymaeda2697
@domymerinyo8165
@domymerinyo8165 2 ай бұрын
Huyu jamaa alianza biashara kwa shida sana mwanzoni. Usimwone hapo anaongea ni mpambanaji kwelix2. Usikate tamaa kwenye kila unachofanya,ongeza juhudi na maarifa zaidi
@minboytz3575
@minboytz3575 2 ай бұрын
Ata kama ujaenda shule Kwa uyu mzee lazma utamuelewa
@winniemakundi6279
@winniemakundi6279 2 ай бұрын
Real fact💯 akili kubwaa hii
@alexikim7005
@alexikim7005 2 ай бұрын
Knowledge and wisdom kwa mpigo moja
@ulimbombonaulindi5088
@ulimbombonaulindi5088 2 ай бұрын
Very smart, narudia Tena VERY SMART. Maskini wa Mungu Governor imebidi atulie tubaskize. Tatizo lipo serikalini, kama ana mawazo maana ameelewa.
@neemabright3635
@neemabright3635 2 ай бұрын
Very very logic and smart congrats bro chambulo.....
@ismailmuna1604
@ismailmuna1604 2 ай бұрын
Watu Wafunguke Kama Hivi Afanyavyo Huyu Jamaa Hiyo Haliinatupa Taabu Sana Inchi Nzima Asante Sana Kwa Kazi Nzuri Kama Hiyo👍👍👍
@AlhajiIssa-jb9hr
@AlhajiIssa-jb9hr 2 ай бұрын
This man is very bright 🎉
@user-jh4hg2ev9s
@user-jh4hg2ev9s 2 ай бұрын
Serikali ikishauriwa mara nyingi inafanya the opposite. Hii inadumaza biashara.
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 2 ай бұрын
Wanajifanya wajuaji
@farijala1
@farijala1 2 ай бұрын
Hili suala limeshazungumzwa miaka nenda Rudi. Kuna Pahala Ukiuliza bei unaletewa Dola. Mahoteli hivyo.. unajiuliza kwani Marekani ukiuliza Bei wanakwambia Bei kwa Currency ya Wapi?
@idanysedrc1200
@idanysedrc1200 2 ай бұрын
Jamaa genius kuliko waliopo kwny Hy sctr
@FahadAbubakari
@FahadAbubakari 2 ай бұрын
Tz wasomi wanasuti kubwa kichwani weupe wamejaa nadharia theorist tu hao wafanyabiashara wako field wanafanya huwezi wafananisha na hao wavivu.
@user-it7ih1it3m
@user-it7ih1it3m 2 ай бұрын
Yupo saiti
@archbordygodfrey2614
@archbordygodfrey2614 2 ай бұрын
Hao ndo wanajua dollars kuliko hata benki kuu,since 1990s jamaa ni Boss mkubwa kwenye sector ya utalii nchini
@festohaule9716
@festohaule9716 2 ай бұрын
haaaaaaa haaaaaaa kweli ni wasomi kichwani kweupe kama theruji..​@@FahadAbubakari
@FahadAbubakari
@FahadAbubakari 2 ай бұрын
@@festohaule9716 tz usomi hauna maana tena watu wanaelimu ya umiliki wa mahudhurio ya darasani ni wasomi wachache mnoo labda unaweza waelewa wengi machawa na wavaa suti ila kichwani hamna jambo watu wakushangilia na kushabikia ila si watu wenye mawazo ya maana
@juliusngowi952
@juliusngowi952 2 ай бұрын
Very interesting to listen to this Man
@isaacjosephjoseph2733
@isaacjosephjoseph2733 2 ай бұрын
Yaani watu kama hawa tunawahitaji mno kwa mafanikio ya taifa letu la TANZANIA 🇹🇿 aisee daa anaakili balaa!!❤❤❤
@AbdalaBlackford
@AbdalaBlackford 2 ай бұрын
Genius kabisa 💯
@abuumohamed7090
@abuumohamed7090 2 ай бұрын
very smart guy
@natgeowildafrika7328
@natgeowildafrika7328 2 ай бұрын
Huyo ndo kaka yetu
@mathewdyzymaleyafrica9128
@mathewdyzymaleyafrica9128 2 ай бұрын
Ndio mana hamtaki warusha kubwa viongozi akili nyingi mnooo kwenye pesaa mazee
@aloycesamba998
@aloycesamba998 2 ай бұрын
Umeongea point sana mzee wangu pokea🌹💐🥀
@jimmychengs1338
@jimmychengs1338 2 ай бұрын
Absolutely genius 🎉
@kundaelikilewo7176
@kundaelikilewo7176 2 ай бұрын
jamaa ana akili kuliko Gavana,huyu mtu mama anatakiwa kumpa uwaziri wa utaliii ,very smart Man
@mussamhando22
@mussamhando22 2 ай бұрын
Aliyekwambia Serikali yetu Inawahitaji watu kama hawa nani?
@milley7185
@milley7185 2 ай бұрын
Unaffiliated wote serikalini ni smart vilaza tu ..Pampa na maphd ..jiulize mganga anaonaje siri zao za ndani na yuko kwa nyasi ..
@ElieshiMaphie-tw7rl
@ElieshiMaphie-tw7rl Ай бұрын
Abaki hapohapo ndo vizuri ajue madudu yaliyopo.Akitoka hatakuwepo wa kuongelea hayo maana hatayajua
@Wami-Sababisho
@Wami-Sababisho Ай бұрын
Mzee anaongea point sana,hao hawajui kama hela zinazotembea mkononi (Cash) nyingi hawalipii hata kodi na kama nchi hawawezi hata kujua mzunguko wa hela. Kikubwa hela itumike huko kwenye mabenki ( mzunguko uwe wa bank).
@fidelfidel-jz4iw
@fidelfidel-jz4iw 2 ай бұрын
Mr wilbard lectured the BOTgovanor on how torun the bank what is amazing fact this country.
@dullahaziz1227
@dullahaziz1227 2 ай бұрын
perfect explanation 💯
@russia1253
@russia1253 2 ай бұрын
Bongo mfanya biashara unapata tabu 😢 tatizo uongozi unatamka vitu wasivyovijua
@ahz6907
@ahz6907 2 ай бұрын
Na wanatumia nguvu kuweka sheria zisizo endana na hali halisi
@didasmswete678
@didasmswete678 2 ай бұрын
KUNA WATU WAPO NJE YA MFUMO WANA KITU KULIKO WALIOKO KWENYE MFUMO
@stevenmabungi3245
@stevenmabungi3245 2 ай бұрын
Exactly 💯
@Bensonfrank25
@Bensonfrank25 2 ай бұрын
Sure
@mariamikoa
@mariamikoa 2 ай бұрын
True
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 2 ай бұрын
Nyie serikali litumie hili jamaa lina akili sana sijawahi kuona.
@simonrusigwa3024
@simonrusigwa3024 2 ай бұрын
Wao wanamtukia bashite
@golebenson4597
@golebenson4597 2 ай бұрын
Wanaogopa watu Wenye akili mingi
@joelirunde2823
@joelirunde2823 2 ай бұрын
Uko vizuri Chairman
@johnbuluma8861
@johnbuluma8861 2 ай бұрын
Hongera sana
@demicratia4071
@demicratia4071 2 ай бұрын
Anaongea thru Experience sio vyeti fubafu
@bornkilla6173
@bornkilla6173 2 ай бұрын
Genius 🔥
@user-ek3rm1gz4b
@user-ek3rm1gz4b Ай бұрын
Mwarim wangu Babu hongera
@ayoubbenta4499
@ayoubbenta4499 2 ай бұрын
Mh wiliam chambulo,maarufu(kaburu) kaka upo vizuri sana you have got highest knowledge!! Hebu Toa somo kwa serekali,that’s true story’mama nadhani unasikia😂gavana sasa umepata mwanga
@neemamwanga5447
@neemamwanga5447 2 ай бұрын
😢wafundishe hso wanafanya kazi certificate hawajui kitu hao wanakaa tu ndani hawana uzoefu hawamiliki hata kibanda cha mboga na matunda wafundisheni hawajui jaman wanajua kushusha hesabu bila kujua inaanzia wapi
@user-ie2sr4fi4k
@user-ie2sr4fi4k 2 ай бұрын
😂😂😂😂
@boniphace1
@boniphace1 2 ай бұрын
Pale serikali inapopewa darasa.
@itanzaniaAS
@itanzaniaAS 2 ай бұрын
Nimecheka😂😂😂
@golebenson4597
@golebenson4597 2 ай бұрын
Wameyakanyaga 😂😂
@Hajer-be2kh
@Hajer-be2kh 2 ай бұрын
😂😂😂yani wanapewa somo na mwanachi 😂nimependa
@janethpallangyo3855
@janethpallangyo3855 Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@mammukaratu2084
@mammukaratu2084 2 ай бұрын
Hakuna Mchaga mjinga...The man is very smart
@user-yz3zi6ht3j
@user-yz3zi6ht3j 2 ай бұрын
Wapo wapumbavu but this man is very smart (bravo)
@kiulajoseph9194
@kiulajoseph9194 2 ай бұрын
Mbona wapo mamangulo wengi tu vilaza😅😅😅😅😅
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 2 ай бұрын
​@@kiulajoseph9194😂😂😂😂😂😂
@AhmedHassan-vl5zf
@AhmedHassan-vl5zf 2 ай бұрын
Hii nchi ya bangi ndio maana Tanzania pamoja na sehemu muhimu za utali na haina nusu milion ya watali Morocco hakuna urasimu watali wanao kwennda Morocco NI milion 30
@godfreyshao3914
@godfreyshao3914 2 ай бұрын
Big brain👊
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 2 ай бұрын
Jamaa ana confidence sana anajua anachokisema. Safi sana Bro.
@user-qv8qo3ff3q
@user-qv8qo3ff3q 2 ай бұрын
Umeangea kwa akili huko ndani safisheni kwanza ndo mje kwa wapiga kura, kumaanisha nyumba ni chafu inaitaji usafi, safi sana kaka Akili yako imekqmilika.
@user-nb6yh2bn9y
@user-nb6yh2bn9y 2 ай бұрын
MiMi mfanya biashala south nikitoka nje ya South nimeuza mzigo nikienda na dola Hakuna anaenipokea Hawataki kuiona dollar wanataka Rand Tuu ivyo nabalianae kabisa mkuu
@gabrielkokolo4251
@gabrielkokolo4251 2 ай бұрын
Very Smart man
@estermndeme1255
@estermndeme1255 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 my people wa kaskazini . Akili zetu zinafanyaga kazi vizuri sana.
@jamesngowi675
@jamesngowi675 2 ай бұрын
Uyo anaitwa Kaburu, he is smart
@noelnjementi8511
@noelnjementi8511 2 ай бұрын
Jamahaaa anaakili sana
@denssimon5585
@denssimon5585 2 ай бұрын
Hizi brain zipo nyingi sana hii nchi tukiamua zitumia tutasogea mbali sana👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿
@Josephineexsuper
@Josephineexsuper 2 ай бұрын
Imagine, wanatumia kigezi Cha elimu na wasomi wao ni tia maji tia maji😊😊.
@itanzaniaAS
@itanzaniaAS 2 ай бұрын
Knowledge is power
@kichuu981
@kichuu981 2 ай бұрын
Wamebaki wameduwaa jinsi jamaa anavyotema nondo😂😂😂
@AugustKisaka-qy7kl
@AugustKisaka-qy7kl 2 ай бұрын
Kakutana na nondo ya funga kinywa kimiaaa
@jasonwatz7457
@jasonwatz7457 2 ай бұрын
Kuna tofauti ya mtu alieko field na alieko ofisini, hapa ndio inaonekana
@abdulsaid2161
@abdulsaid2161 2 ай бұрын
Genius mwamba Yuko vzr san
@NadeemKhan-zo8dc
@NadeemKhan-zo8dc 2 ай бұрын
Respect
@samwelhechei8537
@samwelhechei8537 2 ай бұрын
Uko vizuri sana
@abdull_hafidh
@abdull_hafidh 2 ай бұрын
Huyu jamaa anaakili mno
@kikalarashid9003
@kikalarashid9003 2 ай бұрын
Tatizo ni hao hao wanaongoza kwa money laundering! Ndo maana wanajifanya wehu! Hawataki kufunga mifereji yao ya kuiba.
@jaggysingh1107
@jaggysingh1107 2 ай бұрын
Safi sana mr chambulo👍👍👍👍👍👍👍
@Uhuru351
@Uhuru351 2 ай бұрын
Wisdom❤
@njemamehuna9821
@njemamehuna9821 2 ай бұрын
Huyu jamaa anajua sana
@hijrymez_5680
@hijrymez_5680 2 ай бұрын
Geniuz
@salminwamu2297
@salminwamu2297 2 ай бұрын
Very smart and intelligent
@sebastiansalamba313
@sebastiansalamba313 2 ай бұрын
Mwigulu nchemba Dr
@kathrynmfm4801
@kathrynmfm4801 2 ай бұрын
Hao wazee wa suti nyeusi ndio black market yenyewe ndio maana they are acting stupid hapa wanajua sana kinachoendelea ndani ya nchi kifupi pale kwenye towers mbili pamejaaa uozooo
@bsmonline8482
@bsmonline8482 2 ай бұрын
Jamaa kaongea mpaka Gavana kapiga na Makofi. Huyu ni Big Brain Business Man
@jasonwatz7457
@jasonwatz7457 2 ай бұрын
Hawa ndio watu gavana awaweke karibu sio wana siasa
@user-ny7hm4ft7j
@user-ny7hm4ft7j 2 ай бұрын
point sana
@venayo
@venayo 2 ай бұрын
Very wise
@ayoubkilasi8124
@ayoubkilasi8124 2 ай бұрын
Thanks alote, tumeyaongea sikunyingi sana tumekuwa tukiyasema haya taangu 97
@zerochanneltanzania3797
@zerochanneltanzania3797 2 ай бұрын
Inauma sana Aisee. 🇹🇿
@user-hy3en6vk5f
@user-hy3en6vk5f Ай бұрын
Chambulo you are so bright 👍👍👍
@agreyminja9412
@agreyminja9412 2 ай бұрын
Jamaa anaongea point sana nadhani Bank kuu iwashirikishe wadau wa sekta mbalimbali kama hawa kabla ya Kutunga sera
@melkiorikalele7534
@melkiorikalele7534 Ай бұрын
❤ Hongera kwa ukweli
@nyandagapi3364
@nyandagapi3364 2 ай бұрын
😢😢kumbe huwa najitamkia dollar tuu sijui ata maana ake.. many thanks man kidogo nimepata pakuanzia
@jeremiahandrew1849
@jeremiahandrew1849 2 ай бұрын
Mtu sahii anayatakiwa kuwa wazir wa fedha sooo smart
@EdwinDunda-bu3lv
@EdwinDunda-bu3lv 2 ай бұрын
fact 100%
@philipsilayo
@philipsilayo 2 ай бұрын
Chali Ara👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽🤜🏽🤛🏽
Climbing to 18M Subscribers 🎉
00:32
Matt Larose
Рет қаралды 24 МЛН
New Gadgets! Bycycle 4.0 🚲 #shorts
00:14
BongBee Family
Рет қаралды 17 МЛН
"RPC ni Mtu mdogo siwezi kuzungumza nae, nimempa siku 3' - MSUKUMA
10:05
Climbing to 18M Subscribers 🎉
00:32
Matt Larose
Рет қаралды 24 МЛН