MADUDU ya KUTISHA! MFANYABIASHARA AMUONESHA YOTE MAKONDA - ''UNANIITA SAA 2 WEWE UNAFIKA SAA 4''...

  Рет қаралды 227,658

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

MADUDU ya KUTISHA! MFANYABIASHARA AMUONESHA YOTE MAKONDA - ''UNANIITA SAA 2 WEWE UNAFIKA SAA 4''...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 504
@globaltv_online
@globaltv_online 4 ай бұрын
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@JonhSabuni
@JonhSabuni 4 ай бұрын
U
@owenwaane5285
@owenwaane5285 4 ай бұрын
​Ppl L
@IsayaChacha-g3x
@IsayaChacha-g3x 4 ай бұрын
❤Jkk​@@owenwaane5285
@nyahingathadeo826
@nyahingathadeo826 4 ай бұрын
😢
@jacoblaiser7634
@jacoblaiser7634 4 ай бұрын
Willy huna tabia ya wizi. Nakufahamu tangu kibo huna baya na mtu na huna konakona kwrnye kazi zako. Big Up Willy!! Just keep on going
@WardaFashion-n3y
@WardaFashion-n3y 4 ай бұрын
Nimempenda huyu Baba anajua kujielezea,ni kichwa Masha Allah
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 4 ай бұрын
Na ni bilionea
@swillalovedswilla829
@swillalovedswilla829 4 ай бұрын
@salymkitumbika8644
@salymkitumbika8644 4 ай бұрын
Pesa inaongeza confidence
@chumamasunga8855
@chumamasunga8855 4 ай бұрын
100% ​@@salymkitumbika8644
@jamesparadiso5516
@jamesparadiso5516 4 ай бұрын
Sanaaaa ​@@salymkitumbika8644
@emmanuelsitayo1977
@emmanuelsitayo1977 4 ай бұрын
Bravo brother. Hii nchi itakombolewa na wenye uthubutu kama wako. Wametumaliza hawa.
@daviddsouza735
@daviddsouza735 3 ай бұрын
Uthubutu changanya na uwezo wa kifedha na uzoefu wa miaka mingi
@thieryniyonkuru5023
@thieryniyonkuru5023 4 ай бұрын
Dah Mzee anakwenda na Facts kali I see👌👍
@Mapenzi2635
@Mapenzi2635 4 ай бұрын
The demeanour of his speaking is an evidence of his integrity, wits and intelligence.
@Tango696
@Tango696 4 ай бұрын
Dah mzee uko vizuri umesaidia upelelezi kwa kweli.
@WinfridaFabian
@WinfridaFabian 4 ай бұрын
Kwa wanvyobebana ushahid ipo waz hakitakua na hatua yoyote
@jamesakhabuhaya4747
@jamesakhabuhaya4747 3 ай бұрын
Huyu mwamba inaonyesha hata wafanyakazi wake wanainjoy sana.nikipata chance kwake aiseee nitajifunza mengi.willy big up bro
@rappachugz
@rappachugz 4 ай бұрын
One of the Best Administrator ever..!!!
@HaulSidney
@HaulSidney 4 ай бұрын
Makonda mungu akulinde na majitu yenye Roho mbaya na wewe,
@RASHIDMPUMU
@RASHIDMPUMU 3 ай бұрын
Duuh RC Makonda, pole sana naona kiasi gani unavyobeba mizigo mizito ya malalamiko, ulaghai, nk Mungu akutie nguvu na akupe afya njema
@hemedshalua2002
@hemedshalua2002 4 ай бұрын
Daaah alivosema "Tunapigika usiku na mchana" n kweli hayo ndo maisha ya mfanyabiashara.
@dorahmushi-we6ts
@dorahmushi-we6ts 4 ай бұрын
Huyu mtu kama sio ubize wake,angeweza hata kuwa waziri wa maliasili na utalii, anaujua utalii nje ndani. Mungu azidi kumlinda.
@aishahemedi8452
@aishahemedi8452 4 ай бұрын
Kabisa
@feisalyusuf496
@feisalyusuf496 2 ай бұрын
Mtu kawekeza bilioni 6 unategemea atakua na mbambamba
@janesuma-is4wc
@janesuma-is4wc 4 ай бұрын
Mungu akusimamie mh Makonda kuna madudu mengi sana kwenye hizi almashahuri nchi imeharibiwa na watu wasio kua na hutu majizi yaliyo ajiriwa ndani ya serekali
@ernestgeorge8412
@ernestgeorge8412 4 ай бұрын
Jamani naomba muhifadhi maneno yangu, kunasiku mtaamini huyu makonda atakuja kuwa kiongoz wa hii nchi Tena ataongoza vzur na Tanzania tutazungumziwa Sana na Dunia nzima nasio kwa mabaya ni mambo ambayo yakuushangaza ulimwengu Tena mazuri mno... One day yes❤️‍🔥
@nicolasaugustino8449
@nicolasaugustino8449 4 ай бұрын
Kabisa tena muda si mrefu
@jombilozoo
@jombilozoo 4 ай бұрын
Amen
@RoseJohn-js7kb
@RoseJohn-js7kb 4 ай бұрын
Watamuua hii nchi washeni wanawapiga vita watu wema
@mrmisosiliuma9366
@mrmisosiliuma9366 4 ай бұрын
Tumuombeeni asiuliwe tu jamani
@ernestgeorge8412
@ernestgeorge8412 4 ай бұрын
@@RoseJohn-js7kb tumuombee Sana kwaajili ya kizazi chetu anakitu huyu mtu Tena kikubwa sana
@MenelusCzar
@MenelusCzar 4 ай бұрын
Kitendo cha mh Makonda kumpa muda huyu bwana mkubwa kuongea mwanzo mpk mwisho ni utume tosha na kesho mbinguni MUNGU ATAMLIPA KWA WEMA HUU WA LEO❤🙏
@edgarmbegu1974
@edgarmbegu1974 4 ай бұрын
Sasa ulitaka ampige makofi bilionea? Kenge kweli ww
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 4 ай бұрын
Ahsante sana ndugu yangu❤
@KiongoziMwandamizi
@KiongoziMwandamizi 4 ай бұрын
Chambulo is something else, So transparent, direct and to the point, (Akili kubwa hii)👏👏👏👏🏋️🏋️
@verynicemonyo8671
@verynicemonyo8671 4 ай бұрын
Hongera sana mzee
@blandinapeter7004
@blandinapeter7004 4 ай бұрын
Jamaa Ana mzigo na documents zimenyooka mtamwambia nn😂😂
@skybatech7956
@skybatech7956 4 ай бұрын
Hatar jamaa amenyooka sana
@kidsontemba1641
@kidsontemba1641 4 ай бұрын
Hahahahha
@sophsoph4740
@sophsoph4740 4 ай бұрын
Kanyoooka😢 walahi pesa ipo pia akili kubwa
@mosesmwasanga7661
@mosesmwasanga7661 4 ай бұрын
😅😅 Daah, kweli ana Mzigo!!
@GeofreyBalyo
@GeofreyBalyo 4 ай бұрын
huo ni mfano wa jambo 1 ila nchi nzima kuna ugwadu sana
@dn.n4983
@dn.n4983 4 ай бұрын
Kwa baba si msanii ni msema kweli nikija kunulia bia kwa kweli mkweli Mungu hakulinde wewe na family
@goodluckmsoka3660
@goodluckmsoka3660 4 ай бұрын
Hiki ndio kinacho fanya watu wanakwepa Kodi
@qonquererqanquerer1781
@qonquererqanquerer1781 4 ай бұрын
Private Sector Iko Smart Sana Mf Ni Huyu Ndugu Chambulo.
@davidlyamboko7477
@davidlyamboko7477 4 ай бұрын
Maafisa wawajibikaji, Inatakiwa hawa uwaendee polepole, private sectors wapo vizuri ktk itifaki, sheria, kanuni na taratibu za mawasiliano serikalini.
@qonquererqanquerer1781
@qonquererqanquerer1781 4 ай бұрын
@@davidlyamboko7477 Locally Government Kuna Mambo Ya Ajabu Sana Watendaji Hawapogi Serious Kabisa Yale Mavilaza Kabisa Ndiyo Huudumu.
@DoraNasinyari
@DoraNasinyari 16 күн бұрын
I proud of you mkuu upo vizuri
@richardmshiu5118
@richardmshiu5118 4 ай бұрын
He is so serious and smart guy..
@shalomchaula4420
@shalomchaula4420 4 ай бұрын
Jamaa anaongea very smart lakini inauma sana watanzania wenzangu daaah Kwann lakini ...? Tunakosa vya kusema ila mh Paul apewe ukuu wa mkoa Kila mkoa mwaka mmoja mmoja tu afu awe anazunguka kama circle Yan
@JosephMargareth
@JosephMargareth 4 ай бұрын
Kweli kabisa, azunguke Kila mkoa. Hata Kama itakuwa miezi 2. Atatusaidia saana.
@charlessimba1184
@charlessimba1184 4 ай бұрын
Nlitaman makonda atoe kauli ya kusema..."RPC huyu jamaa apewe ulinzi"
@jivitafoundation450
@jivitafoundation450 4 ай бұрын
Huyu Mr.chambulo awe ulizi ?unamjua vinzuri huyu siyo wale wafanyabiasha wakarikao
@samwelngao3201
@samwelngao3201 4 ай бұрын
Ana ulinzi mkali sana huyo mzungu chambulo wala hakuna Fala wa kumgusaa
@bayekefarijala5042
@bayekefarijala5042 4 ай бұрын
Haya ni maujanja ya kimahesabu ya kihasibu, makonda hapo anatakiwa asaidiwe na wataalam
@JosephMwangiluke
@JosephMwangiluke 4 ай бұрын
Makonda uko vizuri. The feature president
@danielmarwa5122
@danielmarwa5122 4 ай бұрын
Apitishwe na chama kipi?
@suntzu8959
@suntzu8959 4 ай бұрын
@@danielmarwa5122 MCC
@majidfrolian4904
@majidfrolian4904 4 ай бұрын
​@@danielmarwa5122yaaani 😢😢
@bushbabytz
@bushbabytz 4 ай бұрын
matako yako wewe eti president 😂😂😂
@eramatareTv
@eramatareTv 4 ай бұрын
​@@danielmarwa5122ya mama yako
@jumamohammed2748
@jumamohammed2748 4 ай бұрын
Huyu nafanyabiashara yuko vizuri sana mashaallah
@edwardrigha6782
@edwardrigha6782 4 ай бұрын
Mimi kama Mkenya nimeguswa na naionea wivu Tanzania kwa mwelekeo wanaochukua kupiga vita ufisadi. heko kwenu mtafika mbali na kuwa vigogo kiuchumi katika Afrika mashariki
@TherezaJunior
@TherezaJunior 3 ай бұрын
Makonda nikimsikia namkumbuka magufuli wangu mungu namuomba akupe maisha marefu ili uje uwe rais natamani sana roho yamagufuli iko pamoja na ww
@halimahamis-yi8kh
@halimahamis-yi8kh 3 ай бұрын
Aamiin
@bcozhenry2698
@bcozhenry2698 4 ай бұрын
Wale watumishi wa Serikali wanaodhani vyeo vinaongeza akili wajifunze kwa Mr. Chambulo kuwa wanapaswa kujua wanaongoza watu wenye uelewa mkubwa pengine kuliko wao!
@kilimanjaro695
@kilimanjaro695 4 ай бұрын
i like huyu jamaa yupo very transparent, Mkurugenzi hana pa kutokea hapo
@mr.ability4578
@mr.ability4578 4 ай бұрын
huyu mzee very bright aisee🔥
@luganomwaigomole7441
@luganomwaigomole7441 4 ай бұрын
AKILI KUBWA CHAMBULO❤
@danielmbaga4596
@danielmbaga4596 4 ай бұрын
Komaa ukweli ukidhihiri uongo utajitenga ndugu ❤
@ajuwazaglodim7645
@ajuwazaglodim7645 4 ай бұрын
Kiboko yao Makonda! Unavyo wakatiliza watu kutumbua majipu, kumbe kuna mda wakusikiliza dakika hizi zote???!❤ Nakuoenda bure mzee wangu Makonda. 🇨🇩 🇨🇩
@helentelemla5623
@helentelemla5623 4 ай бұрын
Mwanaume akitoa sumu namna hii anaongeza siku za kuishi safi sana mimi nimemuelewa.Chambulo. asitoke kwenye hicho kiti
@josephfrank4446
@josephfrank4446 4 ай бұрын
Kiongozi Bora huonekana akiwasikiliza watu wake 🎉🎉🎉makonda Mungu akupe umri mrefu uje uikomboe tanzania❤
@rajaburajabu3963
@rajaburajabu3963 4 ай бұрын
Duh hapa kazi ipo
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg 4 ай бұрын
Huyu mfanyabiashara Ana akili sana
@EZRA-b1c
@EZRA-b1c 4 ай бұрын
Tanzania nzima na haswa Arusha😢 RUSHWA imekithiri inanuka SANA
@edwinalexander1170
@edwinalexander1170 4 ай бұрын
Huyu jamaa yukogo smart sana.
@lawskuli9876
@lawskuli9876 4 ай бұрын
Na huu ndio umuhimu wa good records keeping
@dorahmushi-we6ts
@dorahmushi-we6ts 4 ай бұрын
Mh! Kweli
@zafarmohamedy3013
@zafarmohamedy3013 3 ай бұрын
Aaanh kabisa kaka 😂
@WilbrodsimonAmsi
@WilbrodsimonAmsi Ай бұрын
Asante mzee wangu
@dorahmushi-we6ts
@dorahmushi-we6ts 4 ай бұрын
Makonda Mungu azidi kukutangulia....
@GoodluckAmos
@GoodluckAmos 4 ай бұрын
4.2 bilion na mtu ametulia yan dah,Mama Samia njooo umteue huyu ana kipaji super
@FrankMushi-cs5js
@FrankMushi-cs5js 4 ай бұрын
Mnatubana wananchi kumbe majizi mnayafunga wenyewe
@qonquererqanquerer1781
@qonquererqanquerer1781 4 ай бұрын
Inaumiza Sana Roho Serekali Inakusanya Kodi Halafu Inaziiba Tena So Sad.
@KelvinKimambo
@KelvinKimambo 4 ай бұрын
Nimeipenda sana hii
@annazacharianmko4657
@annazacharianmko4657 4 ай бұрын
Hakika makonda mungu akutetee na akupiganie kwa kazi ngumu unayoifanya huwezi pendwa kweli
@PeterStephen-on4zz
@PeterStephen-on4zz 4 ай бұрын
Respect Mkuu. Makonda ...do something 🙏🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@lilianurio9781
@lilianurio9781 4 ай бұрын
For sure, he is speaking on behalf kila siku penalty zisizojulikana
@YunisJerald
@YunisJerald 4 ай бұрын
Haya Kumekucha.
@ramiamisanya9873
@ramiamisanya9873 4 ай бұрын
Hongereni Global kwa taarifa kama hizi
@felixkamkala3303
@felixkamkala3303 4 ай бұрын
This is Tanzania bhna dah!!ninamonea sana huruma mama SSH wangu Mzalendo wangu dah maumivu
@George-jz3jg
@George-jz3jg 4 ай бұрын
Usimuonee huruma huyo mamako yeye ndo aliowaruhusu hao majizi
@salimmalaka256
@salimmalaka256 4 ай бұрын
​@@George-jz3jgMWEHU WEWE WACHA KUROPOKA ROPOKA
@mauricebaraka9119
@mauricebaraka9119 3 ай бұрын
Chambulo ni genius
@kaundavyoseena6514
@kaundavyoseena6514 4 ай бұрын
Nimependa RC Makonda alivyo mtulivu. Big up Willy. Ukweli utaponya Taifa.
@robisonikadogo7371
@robisonikadogo7371 4 ай бұрын
Jamani makonda Ao wezi wa Arimashauri muwafunge wametuchosha
@annahmakabara3049
@annahmakabara3049 3 ай бұрын
Mashalah mungu akulinde
@CeciliaMungata
@CeciliaMungata 3 ай бұрын
Big up Mr chambulo umesema ukweli nchi hii inawapigaji wengine ahsante director wangu ulinipa Kaz kule Mara Mara na kubukubu uko vizuri Mungu akubariki
@mustafamandindi6434
@mustafamandindi6434 4 ай бұрын
Mueshimiwa uliebalikiwa na muumba mbingu na alizi endelea kuchapa kazi yako ili chama kiendelee kua imala nami nakuombea dua kila kukicha ili uwe na maisha malefu ili utende haki kwa wanyonge ❤❤❤❤❤
@Alberthna
@Alberthna 2 ай бұрын
Barikiwa
@jamalkishangu
@jamalkishangu 3 ай бұрын
Huyu mzee yupo vizuri wengi tunakwama kwa sababu hatuna uwezo wa kujieleza.
@felixkamkala3303
@felixkamkala3303 4 ай бұрын
Awa jamaa wa Almashauri awakujua kama mama SSH kumtuma Mh Makonda Arusha ana maana gani sasa wameingia chakike baba mzee baba
@Nedjadist
@Nedjadist 4 ай бұрын
Wezi kama hawa kule China hupigwa risasi. Ilipofikia Tanzania inabidi kuiga sheria hiyo. Watendaji wamefikia kiwango kikubwa sana cha kudharau serikali na sheria.
@judithkirenga9977
@judithkirenga9977 4 ай бұрын
Watu wanaumizwa na uongozi wa namna hii haswa Arusha 🙌🏼🙌🏼 ,Mh. Makonda anakazi kubwa kubwa kubwa
@desderykarugaba1826
@desderykarugaba1826 4 ай бұрын
Mhh Mungu atusaie sana.
@KamwandaNzowa-eo4ur
@KamwandaNzowa-eo4ur 4 ай бұрын
Mmmm!! Inauma sana lakini hawo Ccm wengine hawajitambuwi zaidi ni kusema hatujinyongi hatunyi sumu inauma sana
@mgosimkome9242
@mgosimkome9242 4 ай бұрын
Acha kuleta habari za CCM, mtu ukikosa hoja nyamaza ukiongelea mambo ya kula pesa sio CCM ni mambo ya mtu binafsi, Makonda ni CCM Mbona anafanya kazi nzuri ana machungu je huyo sio CCM, ndo shida ya vyama vya upinzani mtu akiamka yeye ni CCM CCM, badala aongelee mhusika, kuna watu CCM wako smart sana, mbona huko upinzani kwenye ufisadi upo
@LindaMbilinyi-n3n
@LindaMbilinyi-n3n 4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂huo wimbo unanikelaga Sanaa aiseee!!!
@muniraahmed624
@muniraahmed624 4 ай бұрын
Jamaa uko vizurii mnooo mambo yatakaa sawaaa kwenye ishu ya biashara umeshika namba
@damianmcba9525
@damianmcba9525 4 ай бұрын
Mpaka mama kamrudishia bilioni 4.2 tangu 2022 inaonyesha amenyooka hana mbambamba kwenye kulipa kodi
@AdamMaglas-ye1bi
@AdamMaglas-ye1bi 4 ай бұрын
🙏🙏🙏🙏 hata kuwa rais babaang Kwan unatenda mema ukikuta mtanzania anakuchukia jua ni mpgaji na pia hajitambui. Nakukubali sana tangia ukiw dar. Mm naitwa Adam ramadhan shemzigwa nipo arusha yetu endelea kujenga na mung atakuw pamoja nawe babaang.dah? Wakat mwingine mpakaachoz ananitoka kwa upendo unaowafanyia waliozulumiwa Hali zao. Sijui ata nikupe zawad gan baba Kwan siez ata kukulipa ela mm ni mtu wa chin sana. Bali malipo yangu ni Dua kwa mung nakuombea sana baba Yan ungejua ninavoomba kwaajili yako babaang. Ni mm na mung wangu tu ndo anajua ninachokuombea kwa Kaz ngum na kubwa unayoifanya mung atakulipa kwa mema.
@WilbrodsimonAmsi
@WilbrodsimonAmsi Ай бұрын
Tunashukulu father wetu san
@RoanCorporation
@RoanCorporation 4 ай бұрын
God bless Mrs Chambulo ameonyesha Matatisu
@abdullahalkindi9673
@abdullahalkindi9673 4 ай бұрын
Ni Mr. sio Mrs
@tintatz5109
@tintatz5109 4 ай бұрын
Mrs? Bora ungenyamaza 😅😅😅
@stanleybupambambogo3334
@stanleybupambambogo3334 4 ай бұрын
​@@tintatz5109😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤
@ListonElly
@ListonElly 3 ай бұрын
Umenyoooka. Sana mzee
@malugukushaha6764
@malugukushaha6764 4 ай бұрын
Mungu akulinde mh. Paul Makonda👏👏
@joachimsironga1560
@joachimsironga1560 4 ай бұрын
Ahsante sana Mweshimiwa chambulo
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 4 ай бұрын
Mh Mkuu wa Mkoa-Arusha tunaomba ktk shuguhuli za kutetea haki siku moja basi nendaga magerezani ukakutane na wafungwa na kesi zao kiongozi wangu. Asante
@elvismabena7630
@elvismabena7630 4 ай бұрын
Bravo Sana Mr Chambulo🙏🙏🙏
@gracesande3260
@gracesande3260 3 ай бұрын
Safi sana. Asafishe jina lako.
@onesmokikimba5861
@onesmokikimba5861 2 ай бұрын
Huyu father anazungumza vzr sana
@fatmaathumani7116
@fatmaathumani7116 3 ай бұрын
😂😂😂 heti mwanaume mwenzangu unakulàje hela yangu
@kungugeni
@kungugeni 4 ай бұрын
Mnawapa wezi uongozi Atari sana
@yasinimalya4001
@yasinimalya4001 4 ай бұрын
Ukweli uwekwe wazi ☄️🔥
@qonquererqanquerer1781
@qonquererqanquerer1781 4 ай бұрын
Kuna Madudu Mengi Sana Serikalini
@glorianassary5684
@glorianassary5684 3 ай бұрын
Proud of you mkuu wa Mkoa Mh.Makonda
@flavianapeter494
@flavianapeter494 3 ай бұрын
Ñimeanza kumwelewa Makonda na kumpenda bure Hongeraa sana na heri ya tumbo lilokuzaaaaa🙏
@elizabethnicodemus5192
@elizabethnicodemus5192 4 ай бұрын
Mungu akulinde mr. Chambulo akupe miaka mengii ya furaha na amani bwana akutunze🙏🙏
@AnnaNoah-jr6ow
@AnnaNoah-jr6ow 3 ай бұрын
Huyu mfanyabiashara yuko makini sana tena zaidi ya sana ❤
@magdalenapeter6416
@magdalenapeter6416 4 ай бұрын
Makonda mungu akulinde nauwe rais siku moja
@easykiswahili
@easykiswahili 4 ай бұрын
Ina maana Kuna kampuni hewa,,,,control no hewa alafu wanabambikia watu
@rahmarama5669
@rahmarama5669 4 ай бұрын
Dis man nataman mumpe nafasi nzuri nadhan akisimamia kwa uangalizi kila kitu kitaenda vzr
@christiankambuga9338
@christiankambuga9338 4 ай бұрын
Asante mzee kwa kumlaisishia kazi makonda
@AndrewMwenda-ib1mx
@AndrewMwenda-ib1mx 4 ай бұрын
Very nice
@Kyomushula1986
@Kyomushula1986 4 ай бұрын
Jamaa mwenye kofia, ananifurahisha sana anavyosikitika ki-MAULIDI KITENGE
@oscarcharles9624
@oscarcharles9624 3 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@yahkiwera3611
@yahkiwera3611 4 ай бұрын
Duhh
@YahyaHakungwa
@YahyaHakungwa 2 ай бұрын
Sheikh walid
@Emmanuel-ze1vz
@Emmanuel-ze1vz 4 ай бұрын
Kumbe kuna watu wataingia mbinguni bila maswali mbele za mungu godbless you mr chambulo your faith man totaly
@OmaryAlly-ku5le
@OmaryAlly-ku5le 4 ай бұрын
Asante
@felixkamkala3303
@felixkamkala3303 4 ай бұрын
Duh mtu analipa analipa Millioni 20 alafu mnamuandikia risiti ya milioni 3??kweli kweli kabisa aisee hiiiiiiiiiiiiiiii yani yani sijui aisee
@sawiabatenga3554
@sawiabatenga3554 4 ай бұрын
Makonda Mungu akulinde
@revocatusvedastus8893
@revocatusvedastus8893 4 ай бұрын
hii nchi ni balaa,mzee kaongea very smart and clear
@ALEXLOTAN
@ALEXLOTAN 3 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
MAANDAMANO HALI YACHAFUKA, LISU AFATWA NA POLISI KWAKE
17:17
Daniel Mwasha
Рет қаралды 51 М.
Как мы играем в игры 😂
00:20
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 2,9 МЛН
Will A Guitar Boat Hold My Weight?
00:20
MrBeast
Рет қаралды 218 МЛН
Bike Vs Tricycle Fast Challenge
00:43
Russo
Рет қаралды 83 МЛН
My daughter is creative when it comes to eating food #funny #comedy #cute #baby#smart girl
00:17
Как мы играем в игры 😂
00:20
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 2,9 МЛН