Mfanyabiashara wa DRC, Eric Mandala akamatwa Hispania akiwa na Kilo 200 za Cocaine

  Рет қаралды 36,854

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Күн бұрын

Пікірлер: 196
@unclepwechnov1381
@unclepwechnov1381 8 күн бұрын
Ajali kazini, a hustler💪💪
@evelynemugeni2369
@evelynemugeni2369 8 күн бұрын
🤣🤣🤣
@mzongekibwana838
@mzongekibwana838 7 күн бұрын
😂😂😂
@mansooraziz7966
@mansooraziz7966 9 күн бұрын
Motivation nyingi kumbe mzee wa ngada , vijana wa kitanzania tujifunze sana hapo. Tunapenda kusifia na kufata watu tu tukiona wana akili kumbe tunapotea
@khadi-z4o
@khadi-z4o 8 күн бұрын
Fact100%
@JujuGurugu04
@JujuGurugu04 7 күн бұрын
Hupotei kwakuwa we unachukua tarifa unayoiamini ya lidgit business na ndio itakuwa time kumotivate kuwa great person kwa kufanya ligdt business, haya y anafanya nn chini ya pazia is not ur business 😂
@mansooraziz7966
@mansooraziz7966 7 күн бұрын
@ lakini we huoni kwamba unapambana na mtu ambae anafunguo za chumba ulicho weka silaha ? 😄 atakupa motivation nying lakin tambua ni ngumu kufikia malengo hayo kwakua mwenzako wala hafati yale anayo kwambia.
@AFRICA_D669
@AFRICA_D669 9 күн бұрын
Dah..bora ukamatiwe mahangaikoni kuliko..jitu zima unakamatwa ukiwa kwenye kiuno na mke wa mtu...respect mr mfanyabiashara mpambanaji💪
@mpjozzegalvanize4926
@mpjozzegalvanize4926 9 күн бұрын
😂😂😂😂 noma sana
@bcozhenry2698
@bcozhenry2698 9 күн бұрын
Wajinga wote mtampongeza huyu mharibifu, lakini ukikutana na watu waliobadiishwa na madawa hayo kuwa mate mateja utatamani apiwe moto haraka
@pengefeza2563
@pengefeza2563 9 күн бұрын
Huyu ni zaidi kwa sababu ni muuaji. Muwezeshaji hata wa kundi za ujambazi kama kuluna kwa sababu wanatumia dawa za kulevya kupora, kubaka na kuaa watu wasiokua na hatia.
@louangesid
@louangesid 9 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@yohanadeusi9084
@yohanadeusi9084 9 күн бұрын
Wewe nawewe unasifia ujinga mtu anaharibu vizazi wewe uko kusifia zaa hao watoto wako waje wale hyo madawa uone balaa lake
@Dinno_Dee
@Dinno_Dee 9 күн бұрын
Papaa eric mandala the Don
@MuhemeliChikoti
@MuhemeliChikoti 9 күн бұрын
hela ya uhalali ni vigumu sana kuwa tajiri
@bujashidaniel5537
@bujashidaniel5537 9 күн бұрын
Kabsaa
@hanifa9153
@hanifa9153 9 күн бұрын
Kwa wakristu labda😂
@MuhemeliChikoti
@MuhemeliChikoti 9 күн бұрын
@@hanifa9153 kwa yoyote yule chunguza utapata jibu
@NikrahAyubu
@NikrahAyubu 9 күн бұрын
Mmh acha hz kwahy unataka kusema watu wote waliomatajr ni wanafanya biashara za haram au kuna watu jmn wamebarikiwa mno
@MuhemeliChikoti
@MuhemeliChikoti 9 күн бұрын
@@NikrahAyubu fanya uchunguzi utapata jibu.. au ulikuwa unajua kama barhresa halipi kodi mpaka alipokuja maghufuli ndo ukajua ?
@malkavoice2570
@malkavoice2570 9 күн бұрын
Hata huyo Lugumi na Rafikiake Godlove wakifuatiliwa vyema utawakuta humo. Hii biashara ina wengi sana sema kuna fitina zikitokea kwa chuki au ugomvi wanaamua kukuharibia
@فاطمهفاطمه-ش2ز9ج
@فاطمهفاطمه-ش2ز9ج 9 күн бұрын
Uko sahihi AF wanatuzungisha😂😂😂😂et freemason ata wasanii pia wapo wengi humo
@beeledem
@beeledem 8 күн бұрын
I can guarantee you Lugumi anauza ngada
@bakarially253
@bakarially253 9 күн бұрын
Hongera sana mandala kwa kujaribu
@issazalala4907
@issazalala4907 8 күн бұрын
Hapa duniani ishi maisha Yako mafanikio Yana Siri kubwa ilio jificha
@domowalidomo4922
@domowalidomo4922 8 күн бұрын
Wacha ufie tu huko jela nyie washenzi mnaishi maisha ya kifahari wakati mnatuulia ndugu na watoto wetu
@sharafijaribu5590
@sharafijaribu5590 4 күн бұрын
Boss Eric mandala
@medadisamson8440
@medadisamson8440 9 күн бұрын
Innoss b: 🎵🎵....boss erick mandala (ricado momo) iiii...iiii.iii.....
@fasterwalker1464
@fasterwalker1464 9 күн бұрын
Boss erick mandala abedashuu Shiste musanganya enoo mutongo fusode dukushimaa 😂😂😂 Anajuaga kuwaorodhesha 😂😂😂
@Ibrahim-ne3in
@Ibrahim-ne3in 9 күн бұрын
Mwamba kweli kweli....ila sio mfano wa kuigwa
@malyondanga4635
@malyondanga4635 9 күн бұрын
Wauzaa ungaa ufungwe mileletuu huna mana kabsa mumemwaribuu chdbenz
@AfrateryBackup
@AfrateryBackup 9 күн бұрын
Noma sana
@juniorfrancis738
@juniorfrancis738 9 күн бұрын
Hapa ndipo huwa tunabiwa usitaman sana mafanikio ya mtu sababu haujui kayapataje
@Nuru9568
@Nuru9568 9 күн бұрын
Usitaman maisha y watu😢
@LucyNgowi-r2o
@LucyNgowi-r2o 9 күн бұрын
Kweli
@JujuGurugu04
@JujuGurugu04 7 күн бұрын
Acha mapepe😂
@ramermohamedy4344
@ramermohamedy4344 9 күн бұрын
Jamaa Nmemfaham kupitia nyimbo za fally ipupa.... fally amemtaja sana jamaa kwenye nyimbo zake
@antipascann2797
@antipascann2797 9 күн бұрын
😂😂😂amini ya kwamba
@IliozabilikaEphrem
@IliozabilikaEphrem 9 күн бұрын
Kaka nakukubali sana unasimulia vizuri sana:
@Maiko-d1s
@Maiko-d1s 9 күн бұрын
Boss mama dangote Boss Eric Mandala Yope mapesa yooh 🥱🥱
@djmaxmnyamaglobal7744
@djmaxmnyamaglobal7744 9 күн бұрын
Kwishaaaa😂
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 9 күн бұрын
Daahh😅😅
@sinemax-w6q
@sinemax-w6q 8 күн бұрын
Kwisha habar yke
@tabasamtv6728
@tabasamtv6728 7 күн бұрын
Alijikuta Escobar jamaa unabebaje Kg200 😂
@marrykigabimk
@marrykigabimk 8 күн бұрын
Eeeh Bwane kwakifupi Amejitoa kwaajili ya familia yake kamatwa kwa pesa ya mahana # mwanaume🙌🏾🙌🏾
@petronyereresaliboko4047
@petronyereresaliboko4047 8 күн бұрын
Jamaa anampunga sana huwa anatajwa sana kwenye nyimbo za fally ipupa ikiwemo wimbo wa Maria pm
@KenyanaiBeats254
@KenyanaiBeats254 9 күн бұрын
Sasa ndio zamu yake kucheza YOPE 😂😂😂😂
@HabibuUrasa
@HabibuUrasa 9 күн бұрын
hiyo ndiyo hasara ya biashara haramu.mwisho wake ni udhalilifu ,sasa atafia magereza,
@MaryamDullazy
@MaryamDullazy 8 күн бұрын
Eric mandala leo ndio namuona namsikia tu kwa falli ipupa😅
@Janice-x6c
@Janice-x6c 9 күн бұрын
Mungu nashukuru kwa hii yangu kidogo mtandao wenye wanaishi maisha kubwa mara dawa za kulevya ama pesa fake yani utajiri wa mtandao niwa deal mbaya mbaya kama hush papi wa nigeria wow
@sulleymanjimmy2214
@sulleymanjimmy2214 9 күн бұрын
Kaimbwa sana na Fally Ipupa kwenye nyimbo zake
@elphinejoshua1914
@elphinejoshua1914 9 күн бұрын
Fredderick bundala na yy ni mandala binataka endana😂
@EliudiJastini
@EliudiJastini 9 күн бұрын
Maisha yanasiri sana kwahawa matajiri niwachache sana ukifatilia utajiri wao niwahalali chamsingi kupambana tuu
@merrynancesimon1562
@merrynancesimon1562 8 күн бұрын
Bado wengine wanasema kilimo 😂😂😂😂😂😂😂😂ni noma aiseee
@lisawilliam2491
@lisawilliam2491 8 күн бұрын
bora miambili yangu🤣🤣🤣kila utajir wa mtu una kistory fran either mzur o mbaya
@starjay3052
@starjay3052 8 күн бұрын
sisi ndio wagonga ulimbo 😁😁
@hassanmkangwa2062
@hassanmkangwa2062 9 күн бұрын
Vijana wengi tuna danganyika na maisha ya mitandaoni bila kujua yanapatikana vipi
@NdituTV
@NdituTV 9 күн бұрын
Wauwaji hawa, Vijana wengi wamelala kisa madawa, Future zao zimepotea.
@itsdjallen
@itsdjallen 8 күн бұрын
Dah😢
@yussufhassan5179
@yussufhassan5179 9 күн бұрын
Unatajirika kupitia kuaribu maisha ya watu wamoja wanakua machizi kwa kuji drogs huku ukifurahia maisha na familia yako Kisha unataka baraka haramu ni haramu tu
@mosescharles1921
@mosescharles1921 9 күн бұрын
Mungu amlinde hata uko gerezani
@domowalidomo4922
@domowalidomo4922 8 күн бұрын
Amlinde kwa sababu gani?
@vero57
@vero57 9 күн бұрын
Hizi pesa hizi khaaa!!! Mara wengine wanauza mwili, madawa ya kulevywa, kutoa watu kafara , boda boda piga kazi !!!🥳👌🏼
@KhadijaMasoud-d2z
@KhadijaMasoud-d2z 9 күн бұрын
Usiutamani utajiri wa mtu kwakweli Tupambane tutafute pesa ya halali tusisahau kumuomba Mungu sana utajir anao Mungu yy ndo anaetoa venginevyo haya ndo yatakukuta
@mosescharles1921
@mosescharles1921 9 күн бұрын
Mungu akulinde tena zaidi eric zidi kufanikiwa
@zebedayokatamaduni9676
@zebedayokatamaduni9676 9 күн бұрын
Amlinde huko huko gerezani 😂😂😂
@mosescharles1921
@mosescharles1921 8 күн бұрын
Mi napenda watu wanaofanya kila njia ili mradi wafanikiwe bila kijali kuna hatari kiasi gani
@ZiyandaMhlana
@ZiyandaMhlana 9 күн бұрын
Nilijuwa huyooo atamukuta ana panda kagame sana
@hellenrichard6528
@hellenrichard6528 2 күн бұрын
Tobaaaa
@sund2553
@sund2553 9 күн бұрын
Akaandika na kitabu kudangany watu wapambane wafikie life lake kumbe mwenye kitabu ana njia zake Kweli😂 usitamani maish ya hawa ma celebrity au weny pesa
@khadi-z4o
@khadi-z4o 8 күн бұрын
UMEONAEEEH. UKWELI UTADHIHIRIKATU IKO SIKU.HAUWEZI KUJIFICHA😅
@luendosabah2047
@luendosabah2047 7 күн бұрын
Huyo Mungu amusadiye tu,
@allyahahmed1091
@allyahahmed1091 7 күн бұрын
They inspire us without telling us the truth mtu unahangaika ufike uwe kama wao unapbana mpaka nguvu zinaisha 😂😂😂
@mohammedmossi4883
@mohammedmossi4883 9 күн бұрын
Kamwe usitaman utajiri wa mwengine
@FredrickMatiku-xf2uk
@FredrickMatiku-xf2uk 8 күн бұрын
Daaah itakuwaaaaaa yule jamaaaa kamchomea katoa siriii
@denismasele4130
@denismasele4130 9 күн бұрын
Daaah Elik mandala nilkua namsikis fally ipupa akimuimba😢
@Youngruler_999
@Youngruler_999 9 күн бұрын
Kumbe mwamba ni Don 😮
@Maggie824
@Maggie824 8 күн бұрын
Weeeeuh Wacha tu.jamani nyie acheni
@soundmale
@soundmale 8 күн бұрын
Namkumbuka diamond alisema *Eti nitakufa kwani wewe utaishi milele *Nilipozitafuta bora muniache mwenyewe😂
@billskeez92
@billskeez92 9 күн бұрын
Kaka sky please 🙏 andaeni GPS kuhusu Ndugu zetu wa DRC na vita vinavyoendelea huko
@fisjaykitamuliko1183
@fisjaykitamuliko1183 9 күн бұрын
Iyo siyo tarifa kubwa kwa sasa congo abari kubwa kwa sasa congo ni uvamizi wa rwanda kwenye eneo la mashariki mjini goma acheni kutowa tarifa ambazo zina mhusu mtu mumoja mkiacha ambazo zina husu taifa lote
@merrynancesimon1562
@merrynancesimon1562 8 күн бұрын
Duuuu huyu ni mwamba aiseee Kama Pablo Emilio escobar 😂😂😂😂😂😂😂mamaeee 😂😂😂😂😂Kama movie vile
@elijahbaraka9470
@elijahbaraka9470 8 күн бұрын
Afu utasikia wakiulizwa wanasema nikumtanguliza Mungutu na kuanza bihashara ndogo. Aise utajiri unasiri nyingi
@nadhifamustapha7557
@nadhifamustapha7557 9 күн бұрын
SHEM ON YOU😮
@Mbaley
@Mbaley 9 күн бұрын
Where is my country 😭
@josemrema5789
@josemrema5789 8 күн бұрын
KUPAMBANA MUHIMU #MPAMBANAJI
@khalsasalim7930
@khalsasalim7930 8 күн бұрын
Watu wana siri zao 😂
@mmassyferguson4959
@mmassyferguson4959 9 күн бұрын
Wewe ni mshindi wewe ni bora siku zote Erick mwenyez mungu akupiganie ktk kipindi hich kigum
@HassanRamadhanPashua
@HassanRamadhanPashua 9 күн бұрын
Biashara haramu ndio mungu amuhurumie
@emmadora7848
@emmadora7848 9 күн бұрын
Mungu yupi huyo?
@othmanhemed3229
@othmanhemed3229 8 күн бұрын
Vijana tutafute hela lakini sio hela za Mihadarati.
@MohamedKaburu
@MohamedKaburu 8 күн бұрын
Vijana wa matamaa a.k.a tafuta hela na huyo ndio mlimuona mjanja wenyew maisha ndio yameishia hapo sio kila aliefanikiwa anafaa kuigwa wengine wanafaa kutazamwa tu
@KilagulaOscar
@KilagulaOscar 8 күн бұрын
Erick mandala
@amriamraan2612
@amriamraan2612 9 күн бұрын
Yoka bebe na yo erik mandala 😂😂
@kadeejakadeeja1929
@kadeejakadeeja1929 9 күн бұрын
Izi pesa zina siri nyingi
@elijahfresh5985
@elijahfresh5985 9 күн бұрын
Kwenye ile nyimbo ya Mayday ya Falii Ipupa jamaa katajwa sana.
@dayana5513story
@dayana5513story 9 күн бұрын
Boss kaniangusha ukiwa boss unatakiwa huachie vijana
@edwinntabwa5451
@edwinntabwa5451 9 күн бұрын
Kuna Sehemu lazima uende Mwenyewe kulingana na uzoefu na ueredi wako wa kazi na roho ngumu. Kuna baadhi ya ßehem vijana wanaogopa kwenda 😅😅 . Raha ya kazi Hata kama umeajili watu ni Vizuri Sana Uwe na Utaalamu nayo panaposhindikana unaingia Mwenyewe
@amaniramadhani3867
@amaniramadhani3867 8 күн бұрын
Daaaahhhh .... Kweli mzeee ...
@JeanjacquesAmuri
@JeanjacquesAmuri 9 күн бұрын
Ata rudi kunyumba Congo DRC alienda kumupelekeya vini jr😂
@mpjozzegalvanize4926
@mpjozzegalvanize4926 9 күн бұрын
Papaa tulia 😂😂😂
@Dinno_Dee
@Dinno_Dee 9 күн бұрын
😂😂😂😂
@Puppycreative
@Puppycreative 9 күн бұрын
Pesa zipo huko, wanasiasa ndio viongozi wakubwa ktk biashara hizo
@Jihelya
@Jihelya 9 күн бұрын
Mwanaume tena amekamilika kabisa tumpe 🎉🎉🎉🎉🎉yake
@AllyNzisabira
@AllyNzisabira 7 күн бұрын
Nasemaga siku zote kuwa tajiri na hela ya halali ni ngumu mnoo na utakua mwenye hela ya wastaani tu sio kivile, nafikiri wahuni tunamkumbuka kwenye IYOPE akitajwa ERIC Mandalaa hirii hirii hirii Inoss'B😂😂
@btylove1870
@btylove1870 9 күн бұрын
Natajiri wengi wenye pesa za ghafla hizi ndio kazi zao. Ndio maana sio vizuri kutamani maisha ya watu, wengi wao niwauwaji! Very sad
@makabilladee7693
@makabilladee7693 9 күн бұрын
Hapa ndio tujifunze vijana tusiumize nafsi zetu na Fikra kwa kila aliefanikiwa kiuchumi wakati hujui chini ya meza kuna Nini
@kennethbenjamin275
@kennethbenjamin275 8 күн бұрын
Haya mliyokuwa mnamshabikia nendeni mkamtoeee
@GiftAbduly
@GiftAbduly 9 күн бұрын
Utajir n mgumu sna ndio maana watu wanapita shortcut ambazo nazo hazidumu
@Brainwave-b25
@Brainwave-b25 9 күн бұрын
Watu msipewe pleasure. Na maisha ya watu, michongo wanayo piga sio poa 😅
@chingychingy2066
@chingychingy2066 9 күн бұрын
Me mwenyewe biashara ii naipenda nije kufanya
@MizeKombeSuleiman-id1rp
@MizeKombeSuleiman-id1rp 8 күн бұрын
Cjui kwan mm ur cwaamini awa madon awa ni mitiani tu bora nile viporo vyangu nikisave nifanye yangu bila kujionesha period.
@amriamraan2612
@amriamraan2612 9 күн бұрын
Erik mandala boss, Mama dangote.
@Anoniem123-u5m
@Anoniem123-u5m 9 күн бұрын
Duuuh 🤭
@LucyNgowi-r2o
@LucyNgowi-r2o 9 күн бұрын
Maisha ni siri nyie usione mtu amefanikiwa nyuma ya pazia ni mengi yamejificha
@Zuhuranadadoita
@Zuhuranadadoita 9 күн бұрын
Duuh hatari saaana
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 9 күн бұрын
Aisee tukiwaambia watu msitamani maisha ya watu Aisee yaani na juna watu wamenunua na kitanu chake😮🙄 Ushenzi mtupu na mke lzm anajua
@maxwellmkandawire3162
@maxwellmkandawire3162 9 күн бұрын
Ndiye aliye mlithi Hush puppy
@homeandaway2811
@homeandaway2811 9 күн бұрын
😂😂😂😂 hawakomagi
@LucyNgowi-r2o
@LucyNgowi-r2o 9 күн бұрын
Hushpappy anaozea jela sasa😂😂
@Jenifajerad
@Jenifajerad 8 күн бұрын
Uleusemi usitamani utahiri wa mtuuuu ndohayaaa
@Farajahelene23031
@Farajahelene23031 9 күн бұрын
Shame on theme they're jealous of africans leave our rich congo 🇨🇩 men in peace we love you papa congo 🇨🇩 voice
@RachelMinja-yj3du
@RachelMinja-yj3du 9 күн бұрын
Na hayo madawa wanavyo yakamata hua wanayaweka wapi 😢
@MonicaMwanjala
@MonicaMwanjala 6 күн бұрын
Ko Mutamba alikuwa hajamuona huyu jamaa nae anastahili adhabu kama waliyopewa vijana wa Congo
@MunduKatanaCharo
@MunduKatanaCharo 9 күн бұрын
Hio Ni njia moja wapo yakutafuta riziki . But lets say ajali kazini. Sorry brother Mandala wacongo mnasafari ndevu Sana.
@jozamsolomon4002
@jozamsolomon4002 8 күн бұрын
Huyu jamaa alistahili kuuwawa hapo hapo kama siyo siku hiyo hiyo fikilia kilo 200 za cocaine ni watu wangapi wangeathirika kutokana na urahibu wa cocain, dah hakustahili kuendelea kuishi.
@dianajohnson7268
@dianajohnson7268 9 күн бұрын
Ila iyo nembo yenu ya sahiv ni mbaya adi nilipotea, ile ya mwnzo ndio nzuri, hiyo mlotumia saivi kuna vi channel vingi vyenye habari za uongo vinatumia
@bonemwaminifu3935
@bonemwaminifu3935 8 күн бұрын
Wengi sana ndo michezo yao
@hizamawa6046
@hizamawa6046 9 күн бұрын
The Lord cartel
@johnrevocatus9955
@johnrevocatus9955 9 күн бұрын
Za mwizi arobaini daah 😢
@faithaction2505
@faithaction2505 9 күн бұрын
Hela halali n ngum sana, Mwamba kapambana manake hata kufanya hivo tu kunahitaj upambanaji, ILA SIO MFANO WA KUIGWA
@TryphonRabson
@TryphonRabson 9 күн бұрын
kawaida iyo mda wowote piga dili linaloweza kukufanya kua milionea usiogope mapito ya watu wengne
@Mrcat-w2o
@Mrcat-w2o 9 күн бұрын
Wafanyabiashara wengi wanauza unga ila wanazuga kwenye biashara za kawaida
@hafidhiabdullah3172
@hafidhiabdullah3172 9 күн бұрын
Kwenye hicho kitabu ameandika kama alikua anauza ngadu hahahaha
@kimsmcharo7540
@kimsmcharo7540 9 күн бұрын
Hii biashara matajiri wengi wanafanya sema mpaka wakamatwe nimpaka wachomane
@hailinhelen4675
@hailinhelen4675 9 күн бұрын
kwisha habari yake
Кем был убитый в Москве Армен Саркисян
16:59
BBC News - Русская служба
Рет қаралды 27 М.
小丑女COCO的审判。#天使 #小丑 #超人不会飞
00:53
超人不会飞
Рет қаралды 16 МЛН
Quando eu quero Sushi (sem desperdiçar) 🍣
00:26
Los Wagners
Рет қаралды 15 МЛН
Nvidia CEO Huang New Chips, AI, Musk, Meeting Trump
15:28
Bloomberg Technology
Рет қаралды 217 М.
Young Lionel Messi Was Actually INSANE
14:20
VSP7 FOOTBALL
Рет қаралды 455 М.
TAZAMA MELI YA TAITANIC ILIVYOZAMA NA KUUA MAELFU YA WATU
19:08
Wasafi Media
Рет қаралды 10 МЛН
小丑女COCO的审判。#天使 #小丑 #超人不会飞
00:53
超人不会飞
Рет қаралды 16 МЛН