Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akutana na kuzungumza na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, Kurasini, Temeke - Dar es Salaam. [25-Juni-2021] #KaziIendelee #SSH
Пікірлер: 22
@Nyimbozamani3 жыл бұрын
Hongereni sana wanafunzi wa uhasibu kwa kuimba vizuri ! Heko kwa Rais Wangu Mama yangu Samia Suluhu Watching from Washington DC-United States
@remijilasana33833 жыл бұрын
Askofu Kilaini una story nyingi na nzuri, naomba hizo historia ziwe kwenye mfumo wa video na picha.
@chumizola18473 жыл бұрын
Uhemaji wa Mama sijaupenda🥺🥺 Nadhani anapaswa kupumzika na kufuatilia afya yake🙏🏽🙏🏽
@stevengracphord9533 жыл бұрын
Safi sana mama Samia pia asante Balaza la TEC kwa kuwa imara pia kwa kumuunga mkono
@mokehamwita66853 жыл бұрын
Good speech
@ezrakaturitsaofficialtz78733 жыл бұрын
Asante sana Mhe Rais kwa hotuba fupi yenye manufaa kwa ustawi wa nchi yetu
@mashibatoursafari46703 жыл бұрын
Tumepingwa hapa
@hassanimngetege29043 жыл бұрын
Mbinguni ni kazi kufika kumbe huyu Mungu aminiki hasa wanaamini barakoa
@subirakhamis79943 жыл бұрын
Hata mungu nae anajuwa waja wake wanakipindi gan na ndo maana akatwambia Yasin Kinga Ila mbio tuwe nazo
@happymrema67283 жыл бұрын
Pumzika kwa Aman king Solomon uliweza kutupa ujasir wa kupambana na koron lakin Leo hii tunaambiwa imerud he watalii watakuja Tena watu wahal ya chin tutaish maish gan pumzika kwa amani jpm na mungu akupunguzie adhab wanAnchi wako tunakulilia kila.kukicha tunakukumbuka
@chrismassawe3263 жыл бұрын
@@happymrema6728 mmh kazi unayo
@ameedamilja79923 жыл бұрын
Mama kwa Refer mistari na Aya za Biblia tuu, ndio Maana Mwenyezi Mungu Anaendelea kumbariki kila siku. Anajua dini zinahubiri maneno ya Mungu.
@yohanaosiligimoikan71343 жыл бұрын
Mnavaa barakoa afu mnamtukuza mungu??
@Nyimbozamani3 жыл бұрын
hahaa, sasa ulitaka wakivaa barakoa wamtukuze nani ? ila watu weusi tuna shida jamani .,sijui ni laaana
@yohanaosiligimoikan71343 жыл бұрын
Hawa ndo watumishi hewa wanao vaa barakoa wanaziba hewa?
@clementodasi53963 жыл бұрын
Kwan Nizambi
@hassanimngetege29043 жыл бұрын
Ila Kwa sababu ni Roma haishangazi ni walewale
@sylverjosiasy85363 жыл бұрын
Wewe unajua chanzo Cha dini zote, fuatilia kwanza kabla haujaongea lolote, Kama unakebehi ukatoliki inamaana dini zote za kukiristo NI ovyo maana dini zote za kukiristo zmeanzishws toka ndani ya ukatoliki, Soma historian, idpokua tu sabato.
@abdalaalmas25353 жыл бұрын
Acha UDINI wewe
@rosetreffert67273 жыл бұрын
Hassani una matatizo wewe
@hassanimngetege29043 жыл бұрын
@@sylverjosiasy8536 watu waliamua kuasi baada ya kuona mienendo Yao haitoi utukufu kwa MUNGU mwenye enzi zote wamekomaa na principles za kidunia zaid
@hassanimngetege29043 жыл бұрын
@Irene Deogratias Rutatora nirudi shule kwa uhuni huu maana ya shule ni kuona na kuelewa maana ya jambo we ndo unaonekana upo gizani