Mhubiri Shehe Umari bado anaendelea na semina katika kanisa la ufufuo,na sasa ameanza somo kwa jina 'Mikataba ya Moto'
Пікірлер: 71
@dokasa91762 жыл бұрын
Hakuna faida kwa shetani,jameni tusimameni imara ktk Bwana wetu Yesu kristo ndiye tu njia ya uzima wa milele
@sospetermasanja32244 жыл бұрын
Kila mamlaka ina amri zake huyu jamaa Mungu anampenda sana!
@danielmatemu9698 Жыл бұрын
Mtu aliyekuwa sio Mkristo (kwa mfano muislam), akija kumjua Kristo, anakuwa na imani sana kuliko sisi wakristo tulio wengi. Sheikh Omary ni mfano mmoja mzuri sana. Mungu azidi kumbariki
@jubethraphael99094 жыл бұрын
Jacktan hongera kwa kazi ya mungu unayoifanya mungu akusaidie shuhuda zako zinaelimisha Sana
@PromovertvTz4 жыл бұрын
Ameen
@sarahmichael75383 жыл бұрын
Jina la mwokozi wa ulimwengu wote Yesu au Mungu wa miungu yote ni Makosa kuandika kwa kuanza na herufi ndogo, tafadhali sana ndgzngn hili ni jambo la kulizingatia daima.
@fanuelmpakele92802 жыл бұрын
Yesu anajulikana vzr kupitia sh Omar anaelekeza,anafundisha,anashuhudia ubaya wa shetan km kuna yoyote asiyeelewa kuwa Yesu ni Bwana bc ni ujeur wake.asante sn Omar
@fanuelmpakele92802 жыл бұрын
Yesu ni Bwana nimekuelewa askar wa Yesu wa Nazaret,
@franciskabila81364 жыл бұрын
Nishasema huwa wanibariki sana mifano yako iko 100% sure
@zahaljamal45204 жыл бұрын
Daah huyu shehe nimemkubali bwana yesu anampenda sana shehe lete ripoti shetani asitunasi namitego yake ili tusimtende dhambi mwana wa mungu aliyehai ubarikiwe
@halfaniland38504 жыл бұрын
Na ataumia kweli! Allah anamsubiri kwa hamu. Kamuacha Mwenyezi Mungu, kaenda kumuabudu Bwana Yesu Makanisani. Na Wakati Bwana Yashua hakuwahi kuwaamrisha watu wamuabudu. Soma Matayo 4:10) hana jipya njaa tu ndio inayomuangaisha. Anafuata nyayo za Ibilis Aley Laana!
@noelashaoona4 жыл бұрын
Halfani Land subiri we utanguliye alafu uje utu ambie allah au yesu
@halfaniland38504 жыл бұрын
@@noelashaoona una maana gani?
@noelashaoona4 жыл бұрын
Halfani Land ukifa uta jua ukweli kuhusu yesu na allah
@halfaniland38504 жыл бұрын
@@noelashaoona Allah ni jina la Mwenyezi Mungu, Qur,an 17:110) Yesu jina la Nabii, Matayo 21:10)
@florangido20210 ай бұрын
Hakuna kinachomshinda yesu Ata ukiwa na mkataba wa shetani Unaweza kutoka. Yesu alisema njooni kwangu note mnaolemewa na Zambi nami nitawapumzisha, Tazama ya kale yamepita na takazama yamekuwa Mapya. Wachawi wanasalimisha ndunguli kwa Mwamposa bana.
@myself41284 жыл бұрын
Kweli kabisa wakristo tumekuwa wapole sana mpaka tunafanyishwa dhambi....hatuna hofu ya Mungu tena tumekuwa waumini poa poa tuu ili mradi tusiwakwaze watu,tunashinda kwenye mabar na kumbi za starehe eti sababu tuwafurahishe washikaji zetu tusionekane washamba na ndio maaana tunaanguka dhambini kirahisi sana
@blessedlovedandfavoured41294 жыл бұрын
Somo la Leo nzuri sana... Inabidi watu wasimame imara kwa yesu
@halfaniland38504 жыл бұрын
Injili sahihi ya Yesu, kumbe kuna Injili feck ya Paulo. Mbona sasa haweki wazi sasa.
@halfaniland38504 жыл бұрын
Halafu kuokoka Duniani hakuna. Huyo Pastor muongo mnafiki. Matayo 10:22) 1 Petro 1:5) Kuokoka kuwa na hakika yakuingia Peponi, tena siku ya Mwisho.
@joycenganyule32314 жыл бұрын
injili ni habar njema ileyayo wokovu so kama ihubiriwayo iko kinyume na uchaw, majini yote na kila aina ya ushirikina basi itakuwa sahihi
@halfaniland38504 жыл бұрын
@@joycenganyule3231 Sister Bwana Mungu awe nawe. Nikuulize swali? Kwanini huwendi kushiriki Ibada Msikitini kama alivyokuwa akienda Yashua? Soma Yohana 18:19)
@hairesellasie16674 жыл бұрын
@@halfaniland3850 kaka hivi mtume Mohamad SAW ndie mwanzilish wa uislam au?
@wilsonkombeyeri4623 Жыл бұрын
Njoo Mombasa mtumishi utuhudumie na sisi
@miriamlotti72973 жыл бұрын
Safi Sana Shehe endelea kumwaibisha Shetani
@mbithejustus2464 жыл бұрын
Jina la yesu ni kali mno nikitajwa hio Kuzimu inalipika, kukutishia watu jina la Yesu ni tosha
@apostlekepha332810 ай бұрын
MUNGU akuwezeshe zaidi
@Shalom20184 жыл бұрын
Kwa Yesu kuna raha jamani,Mungu atusaidie tusije kumuacha.shetani ni muongo na baba wa uongo.
@maryammaryam57894 жыл бұрын
Mwendelezo tnasubr
@annacheq52724 жыл бұрын
Huyo mama analala aka Kae huko nyuma
@neemabwana10624 жыл бұрын
Mtumishi wa Mungu Omary, tuandikie namba yako ya simu
@PromovertvTz4 жыл бұрын
Shehe Omary.0755025821 / 0719356206
@neemabwana10624 жыл бұрын
@@PromovertvTz Asante sana mtumishi
@lucasgasper52354 жыл бұрын
Big up sana
@hahahahabhggniyi99044 жыл бұрын
Huna lolote unaoufundisha2 ww ni uchawi uliyonai sas wadanganye hao ndungu zako wa kanisani wakina ndiyondiyo
@luckylucas21254 жыл бұрын
Mbona unajiita sheihk bado badili Jina uwe najina lakikristo
@maryammaryam57894 жыл бұрын
Mhm jaman mungu ni mwema ubarikiwe shakhe
@rosemarymwandu64264 жыл бұрын
Lucky Lucas kabisa
@halfaniland38504 жыл бұрын
Nehemia 12:40) Mashekhe walisimama kwenye nyumba ya Mungu wakimuabudu. Hapo ndipo utapata jibu Uislamu umetoka mbali sana! Hata Qur,an bado haijashushwa.
@halfaniland38504 жыл бұрын
@@maryammaryam5789 Mi naomba kujua Bwana Yesu ni nani? Mungu au Nabii?
@josephinemuhonja7434 жыл бұрын
Yesu Kristo ni Mungu @Halfani Land.
@chumachadollar59174 жыл бұрын
Naweza pata number zake za simu?
@PromovertvTz4 жыл бұрын
Shehe Omary. 0755025821 / 0719356206
@christineotieno524 жыл бұрын
@@PromovertvTz Naomba number ni +255 au +254
@PromovertvTz4 жыл бұрын
@@christineotieno52 tazama hapa kupata namba zote kzbin.info/www/bejne/g5mbpmSQibhgjqc code ni +255