Ni mwaka ambao tunaona kuna wanasheria wasomi,,, na sio chawa.... Kaka Madeleka... Mungu akupe ulinzi thabiti!!
@Latifa123Latifa1219 күн бұрын
❤❤❤ mungu mwema
@wabikeog_37320 күн бұрын
Tunao AMINI kuwa mungu atatenda haki juu ya kesii hii tap👍
@liberatusjackson504520 күн бұрын
Mbona huna Akili 😊😊😊😊
@Latifa123Latifa1219 күн бұрын
❤ mungu mwema 🙏
@vedanismtv189220 күн бұрын
WAKILI MSOMI PETER MADELEKA MTU WA MAANA SANA
@AbasiShabani-lw2fd20 күн бұрын
Kuna mwabukusi na huyu mwamba madeleka mungu awaongoze Sana maana serikali imeshindwa kabisa kuwa upande wa wanyonge
@RamadhanAlly-cf7du20 күн бұрын
Umeona hee yani tuna serkal ya ajabu ww kwenye hii nchi hatuna viongoz zaid ya wapinzan kututetea
@Juma-e8l19 күн бұрын
Kaka huyo Madeleka amechukuwa Tozo ya wakili bora wa mwaka 2023/2024 anasistahili kuitwa wakili msomi mwenye forward attitude 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 Mpeni Maua yake
@DelphinaJeremiah-ii1rv20 күн бұрын
Huyo mama alijua binti kwao ni maskin Sana kwamba hata pata utetezi. Jaman muwe mnakumbuka kuwa Mungu wa maskini na mtetezi wa wanyonge halalagi👏🙏🙏. Kinaenda kumlamba sasa
@goodluckmsoka366020 күн бұрын
nawajane na Yatima
@MichaelJonas-v5o20 күн бұрын
😅
@romanambelle635620 күн бұрын
Ni kweli alisahau Mungu yu Hai na ni mtetezi wake
@givenessdavid374319 күн бұрын
Umeona rohoni sana........
@SubiraJohn-k7k17 күн бұрын
Alijiona yeye yup juu ya sheria
@Goldenbutterfly-hk1hp20 күн бұрын
Nyieee mwanasheria n mwamba huyuu ❤❤❤❤ call him Peter madeleka
@uwezontalengwa182720 күн бұрын
Huyu ni mwamba kweli kweli
@Daniella24920 күн бұрын
Mungu wetu ni mkuu atatenda tu, mungu wetu ni Mungu wa haki
@HannanSomaiyah-wp7ny19 күн бұрын
Kaka Allah akusimamie wewe ni Wakil mzuri sanaaa uko kwenye Haki ❤
@bahatielias644320 күн бұрын
Acha inyeshe tuone wapi panavuja, kingine nachoshukuru siku Hadi siku watetezi wa haki au wanasheria wanazidi kuongezeka
@Latifa123Latifa1219 күн бұрын
Kabisa 🎉
@maryhaule562520 күн бұрын
MUNGU tenda haki, hakuna MTU Yuko juu ya Sheria,🙏
@mdimifrank20 күн бұрын
Shida kweli. Lakini hii kesi ni ngumu sana kwa wanaoshitaki kufaulu. Maana lazima waweze kuthibitisha kuwa vijana wabakaji walitumwa na mllamikiwa. Lakini pia mhusika atakapokaidi amri ya mahakama, kesi inaweza kuendelea "Expate" na mlalamikiwa akahukumiwa bila kujitetea.
@rebbywealth986920 күн бұрын
Unafikiri wamejipeleka tu bila kuwa na ushahidi... sio wajinga hao
@Uwezohussein-me2gp20 күн бұрын
Ushaambiwa ushahidi unajaa fuzo mbona unakua fala, sikiliza wakili anachosema hadi mwisho
@elihaikamrema169320 күн бұрын
Wamekuwa juu ya sheria. Haya yamekuwa mazoea
@ChoroTesla20 күн бұрын
Ni ushenzi sana kwenye nchi no one is above the law kila mtu #justicekwadadawayombo
@RamadhanAlly-cf7du20 күн бұрын
Nqndomaana wanaitwa mahakaman hawaji kisa wao ni viongoz au wakubwa ila yote hii inaletwa na katba bovu tuliyo kuwa nayo
@hamidayahaya230420 күн бұрын
Safi sana Allah awatie nguvu
@TALLUBOY18 күн бұрын
Hawa maafande wafungwe Kwan nan alie juu ya sheria Hawa ni wakufungwa tu!
@givenessdavid374319 күн бұрын
Hii Kesi imenifundisha kumuheshimu kila mtu hata kama anajiuza akiwa uchi na nimejifunza pia kuwa na Hekima sana katika kupambana na adui zangu hata kama wamenikosea kupita kiasi....... Afande alikuwa na uhakika wote wa kumkomesha binti lakn Mungu anavyompambania huyu msichana sio kawaida
Tuna viongozi wanawake wengi inashangaza watetezi wakubwa ni wanaume😢
@frankbutati834320 күн бұрын
Safi sana, Mungu awape nguvu mawakil wa kweli
@aminatanzanya747520 күн бұрын
Hakuna aliye juu ya sheria. Sheria ifate mkondo wake
@user-ut6je7qt6j15 күн бұрын
Huyo AFANDE anajua aricho kifanya ndiyo mana amegoma kufika
@Lipindi20 күн бұрын
Nipeni like zangu mm wakwanza Kucoment
@manchalijob960020 күн бұрын
Iike za nyoko
@sonnyr189920 күн бұрын
Huyu ni ugonjwa unaotakiwa kutibiwa kabisa kuliko kuomba kazi unaomba vitu vya ajabu.
@TEDY-MTEMY2420 күн бұрын
Sasaaa! like na mada ilokuwepo mezani zinahusiana na nini 😢
@iddihamisiharuna826120 күн бұрын
Hivi mtu ukishapewa like, utafaidika na nini? Utalipwa ???
@TEDY-MTEMY2420 күн бұрын
@@iddihamisiharuna8261 kwanza ety wa kwanza ku_coment.🙂. Kunasehem za kuomba comment siyo kwenye mada serious kama hizi
@samsonsimon313820 күн бұрын
Kwa mawazo yang mahakama igetoa hata leo tu hati ya kukamatwa halafu akiletwa mahakani asomewe kesi ya kukaimu mahakama asukumwe jela miaka 2 akajipage kwanza do kesi baade iazwe kusikilizwa baada ya miaka miwili
@AminaAlfan-r6n20 күн бұрын
Hatuna serekali hapa tuna siri kali machozi ya wa🇹🇿 hayatoenda bure laana na adhabu za mungu hazipo mbali Mungu muone binti mungu waone watetea maovu mungu ione serekali 🇹🇿😭😭😭😭😭😭
@MohaaElectronics19 күн бұрын
Allah awalaani wote wanaohusika katika udhalilishaji wa huyo binti wahusika wote Allah awape adhabu kwanzia hapa duniani mpaka kesho Akhera Allahumma Amiin yarab
@SubiraJohn-k7k17 күн бұрын
Amina! Mwenyezimungu atajibu maombi yetu kwa kuwa tunamlilia kwenye haki!
@AweiyBeauty20 күн бұрын
Tusiiangushe sheria jaman sheria ichukue hatua yake😢
@JoyceMtandu19 күн бұрын
Wew mama mungu anakuona kwa ulichokifanya ,mungu hatokuacha
@mnyorishow505020 күн бұрын
Kweli kabisa kabisa kwnn watoto wauliwe tutafute chanzo cha tatizo watanzania
@janemwakikagile545817 күн бұрын
Hao vijana ipo siku wote kwa nafasi yao watalipa waliyoyafanya..kweli ni kitendo kibaya na cha ukatili sanaa
@lailatmasuki278720 күн бұрын
Yaaaan alooooooooo
@chrisekonga909220 күн бұрын
Ndugu yetu Sabaya alipelekwa mahakamani na kesi ilikuwa open hata kwa waandishi wa Habari, hii kesi mbona hawaruhusiwi. Nisaidieni kujua sheria ipoje?
@HeriRamadhan-q7m20 күн бұрын
Sura yake tu huyo mama fatuma kigonzo ni balaa unaweza zimia
@twayasinilukokelwa62520 күн бұрын
Sura ipoje Kwan??
@fredducaunt20 күн бұрын
😂😂😂😂🤣🤣
@user-princs19 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@amournassorsaid769419 күн бұрын
@@twayasinilukokelwa625ipo kama sura ya 13 mstari wa pili
@kulthoumkaita218119 күн бұрын
huyu Sasa ndio wakili msomi,safii
@MonalisaMohd19 күн бұрын
Wakil mungu akuzidishie Kila Jambo la kher
@awadhrajabu140319 күн бұрын
Shelia Ndio Kila Kitu Hata Kwenye Familia Kukiwa Na Mwana Shelia Nyinyi Mko Na Azina Kubwa
@loner_wolf4 күн бұрын
Kumbe kukamatwa huw inakuja baada ya kukaidi tu ? Mbona sisi raia huwa tunakamatwa hovyo hovyo tu bila kutanguliwa na wito ?
@frankpeter232720 күн бұрын
Mnyonge hana haki,angekuwa kajambanane hukumu ingekuwa imeshatolewa hio tarehe 5 hapa katikati Kuna Nini kinataka kifanyike?au ndo mpango unasukwa wa kumuua huyo Binti ili kesi iwe nyepesi?
@ananiasmkhamsini20 күн бұрын
Wanataka kuyamaliza kama yale ya yule mbunge aliyekuwa wazili na mfanyakazi wake wa Hotel
@falhummsharabas734220 күн бұрын
Haki iko wapi, utu uko wapi, na ni kwa nini mtu atumie cheo chake kuwaumiza wanyonge ati kwa kuwa yeye anahisi ako juu ya sheria basi anaeza fanya chochote kile anachotaka, hii inaumiza sana inauma mno mioyo yetu imebeba maumivu makali sana
@AminaRajabu-mm1jf20 күн бұрын
Anae tangulia haonekni😂
@SalmanMughal-lq5lt19 күн бұрын
@@AminaRajabu-mm1jfangemzuruMumewe ndyechanzo
@bestpriceafrica19 күн бұрын
Peter Madeleka Mungu kujalie Kuwa na moyo kuangalia sheria
@GoodluckNjau-km3ym19 күн бұрын
Ivi WAna Sheria wengine mpo wapi kwanini kila siku ni madeleka ndio ana saidia wanyonge vip Wana Sheria wengine mpo wapi kuwasaidia watanzania kama hawa mjitafakari Kwa kweli Wana Sheria
@BeniJohn-xd3cn19 күн бұрын
😂😂😂😂😂 Wana CCM Wana vituko kwanza Dada yake Alimtete na Sasa mdogo wake anakataa kwenda mahakamani CCM oyeee
@johnmichaellukindo2119 күн бұрын
Kumbe afande yuko nje duuh! ingetakiwa awe ndani jinamizi hili lenye sura mbaya kama ROHO yake
@rosejohn849420 күн бұрын
mm nashukuru afande amejulikana, na kingine nafarijika kusikia sauti ya peter madereka
@rajabukipara300820 күн бұрын
Ila Mwenywe GHETTO Ajapatkana Mpka Sasa😂
@user-zi1gp6dc2q19 күн бұрын
Kiukweli mama samia liangalue hili hawa askari wanajionabmungu watu
@wadiRamadhan19 күн бұрын
Huyu wakili, inafaa tumchangie ili ajue kwamba watanzania wote Wapo pamoja nae
@johnngowi767120 күн бұрын
2nd
@ibracadabratz767817 күн бұрын
Siwezi kumwakilisha mbakaji ata kama mm n mwnasheria heri nimuache tu
@cheiknamouna205820 күн бұрын
Mtu wa kawaida utaskia tunamshikilia kwa mahojiano uchunguzi unaendele nashangaa hadi saivi sijasikia huyo afande kakamatwa kumbe bado yuko mtaan😭i🤔
@sarahhalfani139419 күн бұрын
Hii kesi ina episode ngapi
@user-mu3cb8iy2h19 күн бұрын
Allah awape mema wazizi wa binti
@esterrobart975019 күн бұрын
Mungu atasimama kutenda haki tunaamini
@m2pc17 күн бұрын
😂😂😂😂😂 hii nchi jamani na mimi nikipata ka kesi nikagoma inakaaje hapo kama naona kitachotokea😂😂😂
@jescalutegonsombnambyakoda671920 күн бұрын
Majin ya fatuma
@m2pc17 күн бұрын
hadi raha yani ukiwa na kakotengo 😂😂😂😂 hadi tar tano wiki na nusu mtu unabembelezwa tuu😂😂
@trevorruky400419 күн бұрын
Hii ni Tamthilia aiseeeh 😅mimi binafsi nimependa Mwanzo wake…! Naimani yajayo yatatuburudisha 🤣🙌🏽
@ritaeliass897117 күн бұрын
Huyu mama anaweza fukuzwa kazi mweee
@KatambiBassu19 күн бұрын
Safi sana tutetee sisi wanyonge
@mrben22719 күн бұрын
Huyu madeleka yupo simple na smart sana.
@francizzykasowizzy799120 күн бұрын
Wanaringa sana na gari zao Dodoma, uyu mama ndio wakuwekwa ndani mazima iwe mfano, wakumbuke hata kutoa salamu wakiwa kwenye Gari zao zile
@JacksonAloyce-kq6nh19 күн бұрын
Tupe hiyo kazi sisi watanzani tukamkamate madam afande
@evatimothy738219 күн бұрын
Ushahidi fuso mojaa😂😂😂
@AnnahGodlisten19 күн бұрын
Kwann uyo mwanafuzi alifanya nn mpaka afande aka tuma watu wamu bake???
@awadhrajabu140319 күн бұрын
Asikali Ajawai Kupigana Hata Vita Ya Tz Na Uganda Eti Ajaenda Mahakamani Yeye Nani Kwenye Taifa Ili
@MaryamAbbas-o1c19 күн бұрын
Limefedheheka ilo limama uyo binti sio mjuu kuu wake kwa nn asengedili na mumewe alijua anamkomoa binti ss na yy kimrambe tu
@jovankishamba942420 күн бұрын
Safi sana,haki itendeke.
@user-cd8ge8mx7p19 күн бұрын
Mbona anabembelezwaaaaa sanaa huyo mama
@elijahbaraka947019 күн бұрын
Wamauite yule binti wamuulize kama ni mme wa nani alokua anatoka nae kisha waangalie uyo baba ni mme wa nani kisha wata mmpata mkewake kama ni afande au laa.
@summanelson552320 күн бұрын
Kumbe ni ASP!!!!! Kwani yuko juu ya sheria kwa vile ni polisi!!!!!
@edwinalexander117020 күн бұрын
Wamekuwa wakifikiri wao wako juu ya sheria. Ngoja tuone nini kitafuata.
@adamhashim335220 күн бұрын
Wamewekwa ndani maraisi sembuse huyu biscuti
@doradaniely203619 күн бұрын
Hiyo nimeipenda mno
@saidsalum610120 күн бұрын
Mungu akulinde nchi hii
@fidelisjoseph-tt9zl19 күн бұрын
Kama ni Cha Kula ya mtu ni ngumu kuja!anitwa? Kweli
@danyohanatv192620 күн бұрын
Kiufupi huyo mama naye afannyiwe hivo hivo
@JumaBendera-no6bk19 күн бұрын
Mungu atashuhulika
@RamadhanAlly-cf7du20 күн бұрын
Kamata wote tunacho taka haki itendeke tu ili iwe funzo kwa wengne wasje wachiwa hao
@thabit577519 күн бұрын
Kibatara mungu akusimamie
@AminaAlfan-r6n20 күн бұрын
Alaf mbakaji wa jeshini anamtishia mwandishi wa habari kesi ikiisha atamtafuta Anaonekana anauhakika atashinda kesi😂😂 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿ya wanyonge wakuzulumiwa haki zetu sisi kila siku kama hatuna viongozi vile
@JosephineMegora19 күн бұрын
Yaani huakika anao maskini hatuna haki watatoka huakika wanao hao mbwa.
@judithkirenga997719 күн бұрын
👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼🤝🏾🙏🏼
@HannanSomaiyah-wp7ny19 күн бұрын
Huyu mama mjinga kabisa 🙏 sijawahi kusikia Toka Dunia imeumbwa MTU aloshidwa kupigana ndoa yake kwa Mazuri,Amepigania ndoa yake kwa kumfanyia unyama mtoto anaemzaa yeye mwenyewe ,Ushahidu Tosha huyu mama hakuwa Mke mwema, 🙏 Sasa kimemkuta Mume atamuacha na Wanawake wengine,
@PaulinaOtaigo-cr3sq19 күн бұрын
Hamu mume ni mchepuko
@Bilioneabichwa33119 күн бұрын
Yaani afande na nyota zake afike mAhakamani?
@DelightfulMacawBird-tl5hf20 күн бұрын
Akakatwe tu hasidi wa watoto wa wenzake
@daltontemboTv20 күн бұрын
1st view
@TEDY-MTEMY2420 күн бұрын
Kwahiyo
@user-hv4db2wx6j19 күн бұрын
Lazima avuliwe cheo ndipo aitwe kwenye mahakama za kirahia,huwezi kumwita akiwa CHINI ya pgo
@JoyceKabula-in1sh19 күн бұрын
Kukataa kufika mahakamani ni kama anachezea karamu ya mheshimiwa raisi mama samia namwamnini mama ni mzazi ni bibi atamnyoosha bora ajitokeze kabla hajashugulikiwa
@mr.yahzadochuno791419 күн бұрын
I love madeleka
@Mayasa-o2w19 күн бұрын
nikwanini asiende kukamatwa natena juu juu nikwanini aitwe wakati yeye nijambazi hivi jambazi muuaji hua anaitwa ama anakamatwa natena kwa silaha likamatwe hilo liuaji
@analisacecy20 күн бұрын
Kwanza familia yake si imesema anasingiziwa sasa kama sio kwel kilochomfanya asije hapo ki2gani huyo kaona hakija hatakamatwa raia wamechachamaa shenzi kabisa huyo
@zakStallone15 күн бұрын
mbona mwatuchelewesha jamani sisi wanawake
@ChristinaOberto20 күн бұрын
Kazi iendelee
@khadijahamisi556119 күн бұрын
Ww wakili peponi moja kwa moja ww kati ya hao mia hapa tz ww siyo feki km hao machawa
@estergordian-vv9jx19 күн бұрын
Wakat mawakil wakipambana na hili kuna wenzao wanatetea wabakaji wajitathmin hata kama ni hak tena mbakaj mmoj kamnyoshea mwandish kidole akidai kamkarir
@KatambiBassu19 күн бұрын
❤❤❤❤❤mwamba uyu hapa
@jovinathasavoie801819 күн бұрын
Good job Tanzania
@allynyoni0420 күн бұрын
Hapa sasa mambo yataenda sawa
@AbasiAbdi-yb3eg20 күн бұрын
Tareh tano ni mbali mno kwa muhalifu mnatak mumtoroshe half mtuambie mhalif hajaptkn huo ni uzembe sna na mnatuonesh udhaifu wa kes kma hiz kwakua huyo mtuhumiw ni mwenzen .sheria mnazifany mnavo tak nyinyi ,haki itendek msizungushe watu 6:14
@Mayasa-o2w19 күн бұрын
nikwanini watu wake alo watuma wamekamatwa yeye ninani mpaka mufanye kumuuta kama hataki nyie mngemkabidhi tu kwawananchi basi kama hataki ili ashuhulikiwe kwamana tumechoka sisi na vitendo vitendo na mambo yanayo endelea tumechokaaaaaaa na unyanyasaji wanawake tumekua. nikama mipira tu tunaonewa
@annamussa18520 күн бұрын
Itakuwa Afande alikuwa akisuguliwa vzr mpaka akaamua kumfanyia mwenzake unyama
@jozamsolomon400219 күн бұрын
Nina shaka mlalamikiwa/afande katika shauri hili atatoroka, hii ni jinai na siyo shauri la madai najiuliza kwa nini imechukua muda sasa Afande bado ajafikishwa kwenye mhimili wa Mahakama, wanasheria hii imekaaje? na kama mlalamikiwa ni afisa wa Polisi kwa nini basi asikamatwe akiwa urahiani bila sare za jeshi la polisi?
@shamimageta665120 күн бұрын
Afande kama Afande 😮
@husseinkonz519220 күн бұрын
Sheria lazima ifuate mkondo hakuna cha afande wala nan
@AthumaniKihambwe20 күн бұрын
Washtakiwa kesi ni ngumu kwao Kwa maana vitu viko live ...wakishinda bac tanzania sheria msumeno kweli