MUSUKUMA AMCHANA PROF JANABI BUNGENI" USHIKE BREKI, MIMI DAKTARI MWENZIO, ANAHESHIMIKA SANA AJIELEWE

  Рет қаралды 390,330

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 580
@JoyceAlfred-dv6cw
@JoyceAlfred-dv6cw 8 ай бұрын
Hongera sana Mh Msukuma,msema kweli Mpenzi wa Mungu,big Mb
@neemabright3635
@neemabright3635 8 ай бұрын
Safi sana Dr. Mm ni mwanafunzi wa SUA umenena vyema .... Wanaotufundisha wengi hawapractice n hawafahamu vizuri kinachoendelea mjini well..... Research is everything in a developing country well said....
@kituamichael3792
@kituamichael3792 Ай бұрын
Akili ni kuamua kubadili mtindo wa maisha na kuishi kanuni za kibiblia maana neno la Mungu lipo wazi juu ya vinywaji vinavyolalamikiwa kuua watu Kadri siku zinavyoenda yaliyonenwa yanatimia NB Hongera sana Dr kwa kupaza sauti
@MwandazaBangala
@MwandazaBangala 16 күн бұрын
Wewe mweshimiya Mungu akubariki
@Felix-e6t4m
@Felix-e6t4m Ай бұрын
Asante sana msukuma wachane wavumbuke izo biashara ni zao na waarabu wamalize vizazi vitu watanzania vijana walindwe kama migodi ya tanzanaiti ongera sana Tena sana wenu ni simba sauti ya wanyonge vijana wapewe mashamba wajiajiri kuliko kuajiriwa na wageni
@MakukaOmary-e2b
@MakukaOmary-e2b 28 күн бұрын
Unajitoa akili waarab na ushog wapi na wapi mashoga wanajulikan
@DanielJohn-f1r
@DanielJohn-f1r 15 күн бұрын
💪💥💯makin sanaaa
@MohamedChillo
@MohamedChillo Ай бұрын
Hujamuelewa Professor Janabi , ulaji unategemea na physical activities level
@Tellaaxis
@Tellaaxis 7 ай бұрын
Noma sana❤ #tellaaxistz
@bless5758
@bless5758 Ай бұрын
Mh. uko vizuri saana. Mawazo yako yafanyiwe kazi.
@faustinombilinyi9809
@faustinombilinyi9809 8 ай бұрын
Hongera mh msukuma na Esther Leo mmeonggeea. Kitu chamaa maana sn kweli kunnatatizo mahala kweny vinywaji. Hivi vipo vvya ovyo vingi. Viina itwa. Smart gynni vinyywajji. Gani hivvii. Ni. Ovyo kwa kkweli
@masoudabdi6076
@masoudabdi6076 8 ай бұрын
Mungu akupe maisha Msukkuma... Hawa viongozi ni shidaa sanaaa....hatuna kiongozi anaetetea Maisha ya Mtanzania
@MaishaWilliamjohn
@MaishaWilliamjohn 10 күн бұрын
Msukuma big up sana
@yasluhumilemohammed7461
@yasluhumilemohammed7461 Ай бұрын
Msukuma umetisha
@saidcontractor3315
@saidcontractor3315 Ай бұрын
Hongera sana msukuma
@hemedallyabdallah133
@hemedallyabdallah133 8 ай бұрын
Kaka uko juu Mi nakuelewa hongera sana
@LatwifSued
@LatwifSued 8 ай бұрын
Kwakweli msukuma uko vizuri, sana sana, ninatamani nikuone nikae na wewe angalau wiki moja, .kwakweli mungu akulipe.
@mutabazijustin-x2v
@mutabazijustin-x2v 8 ай бұрын
Afathari na Nyinyi Watanzania mnavyakura vyakutosha kupambana nahizo pombe feck hapa kwetu Rwanda Kigali unakuta vijyana miaka kumu na Tano wanajikojorea sababu ya hizo pembe akinywa hata asipo kunywa Asante sana Msukuma
@MufdatAbdallah
@MufdatAbdallah Ай бұрын
Upo Kigali sehem gani
@b1vevo
@b1vevo 8 ай бұрын
The leader he know how to protect the citizens, thanks Dr. msukuma
@geofreykayombo401
@geofreykayombo401 8 ай бұрын
Musukuma yupo vizuri sana,kweli bhana south africa hawana hata haya machanjo,mama akitoka hospitali imetoka hiyo,ukirudi ni checking za kawaida
@f.a6043
@f.a6043 Ай бұрын
Mambo yamekua ya hovyo sana siku hizi ujinga mtu sijui ni laana gani imejaa hebu waambie hao ukweli Hongera sana Mh. Msukuma Waambie ukweli hao wanajifanya wanaabunu hela kuliko ubinadam yaani mambo ya hovyo kweli laaana tupu
@hadijajuma3773
@hadijajuma3773 Ай бұрын
Acha baba😢😢😢😢
@IbrahimLyotch
@IbrahimLyotch 4 ай бұрын
Brilliant idea
@AbdillahiNdashwa11
@AbdillahiNdashwa11 8 ай бұрын
Allah akujalie inshallah
@patricksebastian3593
@patricksebastian3593 8 ай бұрын
Doctor Msukuma nakubari sana kazi yako
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 8 ай бұрын
Kazi gani ameifanya ikaonekana na kusifiwa? tuambie nasi tumsifie
@rosehaule6765
@rosehaule6765 8 ай бұрын
Ee yesu yasn msukuma umeongea mnoo mpaka nimelia uwiii😢😢safi.mnoo sijui itafatiliwa jamani
@StephenMelkizedeki-pn3us
@StephenMelkizedeki-pn3us 8 ай бұрын
Dh
@PaulLaizer-vz9vw
@PaulLaizer-vz9vw 2 ай бұрын
Dr safii sanaaa
@alexdukes5547
@alexdukes5547 8 ай бұрын
Msukuma hajuwi kumbe hii nchi inaongozwa Kwa wahisani,mmoja tu aliekataa huu upuuzi wa kufanyiwa majaribio,laeo hii hayupo tumebaki kama mbayu mbayu,janabi anatufundisha vizuri,ukitaka kuchagua tunza hela uje uzitumie kwenye matibabu au tunza Afya uje utumie afya yako vizuri...chagua we mwenyewe.
@MOHAMEDIRAMADHANIJUMANNE
@MOHAMEDIRAMADHANIJUMANNE Ай бұрын
Msukuma ni wa moto hongera yako
@KasiliSubuya
@KasiliSubuya Ай бұрын
Nakukubali sana
@SimbaM2kufu
@SimbaM2kufu 8 ай бұрын
This guy is very much on point. We need to be self-reliant. We can't just sit and wait for westerners to bring us their misleading research.
@ChoroTesla
@ChoroTesla 8 ай бұрын
wao ndo wanaogoza research kubwa kuubwa zpte duniani research ni investment do we invest au porojo? hakuna research za kukalili lazima uingie field na uinvest wenzetu wana invest
@Soon815
@Soon815 8 ай бұрын
Well said
@SimbaM2kufu
@SimbaM2kufu 8 ай бұрын
@@ChoroTesla Rukia kusoma comment yangu. I didn't say we have invested in research, I said we need to.
@ChoroTesla
@ChoroTesla 8 ай бұрын
@@SimbaM2kufu i got you sasa msukuma anataka vitu vijiiibue ajue wenzetu wanashinda maaabara sie tunashinda tiktok na instagram mama anaupiga mwingi
@tolisso4287
@tolisso4287 8 ай бұрын
😂😂 we jamaa
@shabanramadhan7632
@shabanramadhan7632 8 ай бұрын
Jamaa Yuko vizuri sana
@jukiboy7012
@jukiboy7012 8 ай бұрын
Iki ni kichwa dah 🙏🙏
@MudiChange
@MudiChange 4 ай бұрын
Hongera sana mkuu
@MsafilymsafilyChaless
@MsafilymsafilyChaless 8 ай бұрын
Sema kiongoz wetu tuko pamoja,
@erastonyoka5021
@erastonyoka5021 8 ай бұрын
Mweshimiwa msukuma hanaga mambo ya kupinfisha maneno yuko sahihi sana
@DanielMangasa-hs4hx
@DanielMangasa-hs4hx Ай бұрын
Upo vizuri mh Msukuma unaongea ukweli
@DansonMtambi-fq2ff
@DansonMtambi-fq2ff 8 ай бұрын
Hongera sanaa musukuma
@PascalPascal-r8r
@PascalPascal-r8r 23 күн бұрын
Naacha kunywa Energy 😢😢😢
@JoshuaYeremia-z5k
@JoshuaYeremia-z5k Ай бұрын
Sema baba mtetezi 🎉😂
@TheresiaAndrea-hv9dg
@TheresiaAndrea-hv9dg 8 ай бұрын
Msukuma anachosema yuko sawa kwa kiasi furani. matikiti maji yanayodungwa sindano na kuku wa wiki tatu ukila vinaadhiri mwili kwa kiasi gani?? I love you Msukuma you are so geneous.
@ClementDominicko
@ClementDominicko Ай бұрын
Duu mi niko mbali kwer na matikiti yanadungwa sindano.
@BenjaNetanyahu
@BenjaNetanyahu 8 ай бұрын
Mbona professor janabi anasaidia watu wengi sana, kupitia mitandao,, naomba mwacheni mzee wetu afanye kazi kuelimisha, na kuboresha afya za watanzania. Msimtengenezee kinyongo,,, serikali inapaswa kuwapa kipaumbele watu kama professor janabi. Na sio kwenda tofauti nao.
@samsonhamery3809
@samsonhamery3809 8 ай бұрын
Hujamwelewa mbunge msukuma je wewe unakula kijiko kimoja kama mlo wako wa siku?
@BenjaNetanyahu
@BenjaNetanyahu 8 ай бұрын
@@samsonhamery3809 kwani dr alisema watu wale kijiko kimoja.
@ramadhanijuma4130
@ramadhanijuma4130 8 ай бұрын
Ukiwa hujaelewa ni vema ukanyamaza au ukaomba kueleweshwa.
@fatmaallyabdul1732
@fatmaallyabdul1732 8 ай бұрын
Tatizo letu huwa tunapenda kuleta negativity kwenye ukweli,ni kwa vile tumetofautiana miili yetu mwingine hata ale vipi hanenepi ,mbunge hapo aametoa mfano wa mtu anayefanya kazi ngumu what about Mimi ninaeshinda ofisini??Mimi Niko pamoja na professor Janabi katika hili kwa mustakbari wa afya yangu,sina muda/nafasi ya kufanya mazoezi basi acha nifuate kanuni za ulaji bora
@fcbora7388
@fcbora7388 8 ай бұрын
Ila ni kweli ukipungua wakati wa ujana, utateseka uzeeni. Mtu akifika miaka 50 anapungua muscle na mwili unalegea. Unabaki mifupa.
@danielndilili7525
@danielndilili7525 8 ай бұрын
Au bass msukuma njoo nikupe ng'ombe make unanigusaga kwakwel
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo 8 ай бұрын
Professor Janabi kaeleza vizuri, shule yake ni kwa wale wasiofanya mazoezi au wasiokuwa na kazi nzito wasile hovyo.
@ChoroTesla
@ChoroTesla 8 ай бұрын
ndo wabunge wetu hao... anakuja bila tafiti chanjo hiizi hua zinakuja kutokana na idadi ya ugonjwa kwenye records za hospitali zilivyo haziiibuki kuhusu bajeti punguzeni matumizi ya serikali uanzishe maaabara na nyie mlioko bungeni mnawashambulia wataaalamu.
@reynaaalrawahi4137
@reynaaalrawahi4137 8 ай бұрын
Dokta yupo vizuri alichosema. 🎉🎉🎉
@dominickmahela1581
@dominickmahela1581 8 ай бұрын
Huyu jamaa leo ndo kaongea pumba tu pengine anaangaliaga meme kuhusu Janabi na hajawahi kumsikiliza😂
@phakundigervas1360
@phakundigervas1360 8 ай бұрын
Kwa Mbunge huyo kila asichokipenda YEYE ni Suomi fake lakini ni mjinga wa bangi believe it.
@jumasenjulu8929
@jumasenjulu8929 26 күн бұрын
Mama amteeu kuwa waziri
@ElizabethFumbuka
@ElizabethFumbuka 3 ай бұрын
Ukitoka bungeni kunywa soda baridi❤
@kassimkassimngatomela9660
@kassimkassimngatomela9660 3 ай бұрын
Huyu mbunge anaongea vitu vya muhimu sana kwenye maisha ya watu.
@aidanmaganga7051
@aidanmaganga7051 4 ай бұрын
Msukuma 😂😂😂😂😂😂
@YonaMollel-y7k
@YonaMollel-y7k 4 ай бұрын
🎉😂❤😂 congratulations msukuma
@JosephMpangala-wd5mp
@JosephMpangala-wd5mp 8 ай бұрын
Professors yupo sahihi kabisa kulingana na mzingila na kazi ya mtu anayofanya, Mimi nimojawapo ninayemfuatilia sana, msukuma nendapole.
@munirazenji9819
@munirazenji9819 Ай бұрын
kweli msukuma labda hajamfahamu na hataki kujipima kutumia akili yake
@dorothyannan8184
@dorothyannan8184 2 ай бұрын
Umeongea point sana
@Fundnlly
@Fundnlly 4 ай бұрын
Safi sana bila hivi tutaisha
@NyandaEndelea
@NyandaEndelea Ай бұрын
Wambie hao 😂😂😂😂
@Azizmwatika-n9b
@Azizmwatika-n9b 5 ай бұрын
Mh msukuma ni Nuru ya taifa anasimama sanaa Kwa wananchi
@KitilaMndeme
@KitilaMndeme 8 ай бұрын
Namuelewa sana my msukuma anasema anaeishi korogwe ni kweli kabisa amewahi kuniuzia viatu,naomba Bunge limlinde na kumtunza ana maoni ya mbali atatufikisha pazuri speed nafasi zaidi
@mohamedimiraji5495
@mohamedimiraji5495 8 ай бұрын
Excellent argument
@LilyMwalugaja
@LilyMwalugaja 5 ай бұрын
Msukuma. Kwakwer. 😮😮😮😮
@kisandodida8114
@kisandodida8114 6 ай бұрын
Anajua Sana uyu mwamba
@abudulingasa6413
@abudulingasa6413 8 ай бұрын
Mungu akupe miaka ming dunian uwatumikie wana nchi
@ladislausmoris9638
@ladislausmoris9638 8 ай бұрын
Swala la chanjo hapo mr pm mungu akubariki sana endelea kuwa muwaz na kusema bila kigugumiz maana hali n mby saanaaaa tunaumia
@GerrardLaizzer
@GerrardLaizzer 27 күн бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣musukumaaa daa
@ladislausmoris9638
@ladislausmoris9638 5 ай бұрын
Yaan msukum cjui kwann hupew nafas ya juu katk uongoz wa SERIKALI au ndo ile tanzania hatupend wasema ukweli???? Mungu akubarike saaaaan nakupenda unanifrahisha
@vickykapama8386
@vickykapama8386 8 ай бұрын
Huyu mbunge mie namkubali sanaa huwa ANAONGEA UKWELI MTUPU💯 . Mungu atupe SIKIO LA KUSIKILIZA UMUHIMU WA KUFANYA UTAFITI WA VITU VINAVYOTUMIWA NA WANANCHI WA TANZANIA 🇹🇿🇹🇿🤲🤲
@MussaMasolwa
@MussaMasolwa 4 ай бұрын
Kweliii
@adamkilembwe.
@adamkilembwe. 8 ай бұрын
Kweli
@DevotaJulius-lp1mq
@DevotaJulius-lp1mq Ай бұрын
Umeongea ukweli msukuma
@FatnaAlly-go7yt
@FatnaAlly-go7yt 8 ай бұрын
Allah jaalia kila mwenye majungu allah amtie nguvu
@michaelmoro4801
@michaelmoro4801 8 ай бұрын
Niko pamoja na wewe mkuu wangu umesema kweli kabisa Mungu Akubariki
@MarwanBakhamis
@MarwanBakhamis Ай бұрын
Uyu jamaa anajua sana ni kati ya watu adimu ana kipaji alichopewa na mungu si elimu
@moviccreativestudio
@moviccreativestudio Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂 Wasukuma oyeeee wako field shamabani
@pascaldomel1551
@pascaldomel1551 8 ай бұрын
Mzee unasema kweli,nani kasema msukuma siyo msomi.Mimi naona msukuma anasema ukweli wote ambao sasahivi Tz tumekuwa kama pango la kuletewa chanjo za kila aina.Kama nchi tusipoangali tunaweza kumalizwa na hawa wenzetu kutoka magharib,kwani kumekuwa na magonjwa ya kila aina,mengine hayana majina kumbe ni kwa sababu ya vyakula na chanjo zisizo thibitishwa na wataalamu wetu.
@apostlelukumay1856
@apostlelukumay1856 8 ай бұрын
Msukuma ameongea point, japo hoja zake zinakosa mashiko kwa sababu wanaopaswa kuwajibika wamekaa kimya.
@alphamenson3784
@alphamenson3784 8 ай бұрын
Jamaa wanashindwa kuelewa Professor Janabi anachozungumzia ni issue ya mlo mmoja kwa siku, mlo unakuwa na aina zote za virutubisho yani ni mlo kamili. Hii ni moja ya tiba nzuri. Najua kuna watu wanajua zaidi yangu wanaweza kunisahihisha
@shukranisibale1739
@shukranisibale1739 8 ай бұрын
Uwezo watu wanao wa virutubisho
@ChoroTesla
@ChoroTesla 8 ай бұрын
uko sawaa kabisa msukuma hajaenda shule yani anakuja kulalamika wakati hata usikute hali mlo kamili
@MichaelmotikaLaiser-dl6wm
@MichaelmotikaLaiser-dl6wm Ай бұрын
Mwongo sana angalia afya yake
@rwehumbizathadeo2559
@rwehumbizathadeo2559 Ай бұрын
Daima nitaendelea kukubali MSUKUMA
@EliabuShima
@EliabuShima 8 ай бұрын
Msukuma umetsha baba😂😂 hongera
@JoshuaEssau-f2e
@JoshuaEssau-f2e Ай бұрын
Joshua
@Majambo_Duniani_Tv
@Majambo_Duniani_Tv 27 күн бұрын
Sauti kama ya Magufuli..
@JacksonKimath-i5n
@JacksonKimath-i5n Ай бұрын
Mbn m,bunge wetu ndakidemi Yuko kimya kwamba mosh vijijini amna changamoto
@DianaMwakibinga
@DianaMwakibinga 25 күн бұрын
Makofi mengi mengi kwako Mh
@RechoMasunga-rp9dr
@RechoMasunga-rp9dr 8 ай бұрын
Msukuma wewe ni jembe nakuombea mungu akubariki Sana
@GeorgeNyalulu
@GeorgeNyalulu 8 ай бұрын
Akılı kubwa sana
@SamwelBalya
@SamwelBalya 4 ай бұрын
Kwan kua mbunge unatakaiwa uwe na nn maana naona nikikaa na mm mtambo unawaka😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@TeddyMakassy
@TeddyMakassy Ай бұрын
Msukuma namkubali sana
@fatmasherallysherally537
@fatmasherallysherally537 Ай бұрын
Kweli hawafanyi utafiti wa chanjo na vyakula
@DevotaJulius-lp1mq
@DevotaJulius-lp1mq 7 ай бұрын
Msukuma nakukubali Sana. Ninakufutia tu
@saidcontractor3315
@saidcontractor3315 Ай бұрын
Msukuma umetuheshimisha sana
@johnmworia1062
@johnmworia1062 Ай бұрын
Saafi musukuma
@hamicfrancis7363
@hamicfrancis7363 21 күн бұрын
Mimi janabi kanisaidia sana
@TimotheoPeter-pr3ve
@TimotheoPeter-pr3ve 8 ай бұрын
Nice speach
@JoacquimNgilisho
@JoacquimNgilisho Ай бұрын
Sawasawa
@abdillahchikota4303
@abdillahchikota4303 8 ай бұрын
Dah Tanzania yangu
@MinskBelarus-il2tl
@MinskBelarus-il2tl 8 ай бұрын
MSKUMA.......achana na Professor wetu mjomba. Pitia tena UFAFANUZI wake kurwa mara Tatu,labda utamuelewa. Kama umemtaja kwa kwa KUSHEREHESHA wabunge wenzio.....hapo sawa,ila Muheshimu sana msomi wa miaka 1970,1980 ,huko nchi za kikoministi......hicho kijiko kimoja ulichokitaja kilikuwa adimu. Hongera Professor JANABI. Kizazi kijacho kitakuelewa.
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 8 ай бұрын
Ndugu umenisaidia sana kujibu ahsante 🙏🙌huyu msukuma amejikuta nani sijui kuingilia taaluma za watu!ana katabia kadharau toka apewe udaktari wa funza chooni
@samwa9496
@samwa9496 Ай бұрын
anakurupuka
@FrankMwakalinga-k9y
@FrankMwakalinga-k9y 4 ай бұрын
Mh.Msukuma nakwelewa sana kwa unayoyaongea ni hatari kwa afya yetu😢
@KhadijaUssi-cp5is
@KhadijaUssi-cp5is 8 ай бұрын
Hujamuelewa profesa
@erastomwakalukwa3946
@erastomwakalukwa3946 8 ай бұрын
He is genius😂😂
@evancegidion9155
@evancegidion9155 8 ай бұрын
Shida kubwa iko kwenye usumbufu wenu ninyi wanasiasa maana kila utafiti unapofanyika watu wanatumia vyeo vyao na utaalamu hamna kisa kimtu ni kiwaziri basi ni kuamlisha mambo tu ila mtajichumia laana kwa kutuangamiza wananchi kwa kuizinisha na kubariki mambo ya hovyo kuja kwa wananchi na kubishia majibu ya wataalamu mnayopewa na kutumia siasa kwenye mambo yanayohitaji utaalam kutumika
@jemaidamdengede9697
@jemaidamdengede9697 8 ай бұрын
Well said
@KuruthumBilali
@KuruthumBilali Ай бұрын
❤❤❤
@valentinokimwaga4545
@valentinokimwaga4545 2 сағат бұрын
Kwakweli tunapotea Sana Tanzania
@eliamgohachi4062
@eliamgohachi4062 2 ай бұрын
Msukuma upo vzr sana mm nafuatilia sana mazungumzo yako kwani upo sahihi kabisa.
@PaurothyAcademy
@PaurothyAcademy Ай бұрын
Huyu ni mtu na nusu bungeni
УНО Реверс в Амонг Ас : игра на выбывание
0:19
Фани Хани
Рет қаралды 1,3 МЛН