Big up sana faida kwa waingereza,,,itapendeza kuwa na brand tz
@FabianoSinghania2 сағат бұрын
Na mimi ntakuja na yangu 2024.💪💪💪
@anordgerase33722 сағат бұрын
yan we acha2
@aishajuma781314 сағат бұрын
Jamani si mnibariki atamoja nadii mkuu .m ubarikiwe🙏🙏🙏🙏
@Barackswai4 сағат бұрын
Kirahis rahis tu
@aediayumgo854613 сағат бұрын
Umeolewa Dada nataka nikae hapo😮
@billgatejuniour879712 сағат бұрын
Una hamu ya kutolewa kafara wew
@sadiqadam797112 сағат бұрын
Oyaaaa 😂
@aediayumgo854612 сағат бұрын
@@billgatejuniour8797 wewe ndiyo unaweza tolewa kafara Kwa kuwa Hujui Kazi
@FahadAbubakari-y3f12 сағат бұрын
@@aediayumgo8546haya ndo yaliwaponza wengi kwa p didy haraka na tamaa za kuvamia vitu ili kutaka nafuu
@bless.25597 сағат бұрын
😂😂😂😂😂 Punguzeni moto vijana wa 2000
@IssaAbu-f4d30 минут бұрын
Sadaka yangu nitampa muhusika anaetakiwa kuipokea mwenyewe cyo kwa maagent
@mtulivu-ir1nq3 сағат бұрын
Hii nchi kuna watu wana hela sana ila wapo kimyaa😂😂😂
@fredducaunt43 минут бұрын
Always wasio na hela wanamtazamo wa kupiga kelele 😂😂
@AishaNgoyi-vi2ku14 сағат бұрын
Mashalaah ♥️♥️
@nelykaaya65034 сағат бұрын
Daa kweliii ❤
@LovelyOmbreSky-pu4jt13 сағат бұрын
Makonda amepelekwa kwa wanaojuwa kumtumia sasa wanapiga pesa dr tulikuwa tunapiga majungu tu angaria macharii wa r sasa wanavyochangamkia fursa
@silverman69308 сағат бұрын
Mafala ndio waliowao
@shaddybmc83422 сағат бұрын
Gari moja tu hapo kuipata mtihani. 😂
@jayjay431310 сағат бұрын
Ndio utajua haujui Sasa, njaa ya kwako mwenyewe, njoo ona hukuuu. Lo Mungu we.
@RamadhanAthuman-d4c5 сағат бұрын
Shida sio kupuromoti utalii hizo hela za utalii zinaiifikia jamii ipasavyo au zinaishia kwa wajanja wachache
@fredducaunt39 минут бұрын
Jamii ya wapambanaji sio kijana wa ovyo anashinda ndani kupiga nyeto 😂😂 Hakuna mtu atakufuata eti shika hizi labda pdidi😂😂
@ManaseMoleli2 сағат бұрын
Duh! Nabii tajiri ila wengine tunaangalia penye utukufu wa wa Mungu na ambapo nafsi inakutuma kwenda kuomba.
@fredducaunt42 минут бұрын
Wewe unaangalia penye utukufu wa Mungu au hujawahi kukanyaga kanisani
@LilianJoshua-kj8ei14 сағат бұрын
Nizawadie hilo jaman dada, baba ako ni mtu wa watu, ninampenda sana
@khamishaji5265Сағат бұрын
Unampenda na hela zako na yeye anazipenda sana, na ndio maana anamiliki magari hayo ya thamani, hizo ni hela zenu za SADAKA . nakuchanua kama ulikua haujui.
@BettyKimaro-l3qСағат бұрын
Wao wanapata wapi pesa
@michaelmaziku991Сағат бұрын
Tusisahau ndugu zang waumin kupeleka fungu la kumi kanisani kwetu
@RamadanPaul11 сағат бұрын
Mashaallah
@robertmondu387811 сағат бұрын
Dah watz dah szan kama ......ums
@digital-d2t12 сағат бұрын
Kila jambo lina Siri yake. Mungu pekee ndo anaona. Range zaid ya 10😅😂
@kessynurutajiri49405 сағат бұрын
Mmmh!!. Hivi yule Mtoto wa mkubwa wa GD yuko wapi vile? Ingependeza kama yule Kijana ndo angekuwa muongeaji ktk hili Zoezi, badala ya huyu Dada. Au yuko busy.
@JiggerAmos2 сағат бұрын
😂😂😂😂😂
@whigerjnr4824 сағат бұрын
Kweny hizo range kuna buku yangu nilichangia kanisan😅😅😅
@mithlaabdulrahim85664 сағат бұрын
😂😂😂 hii ndo comment nlokua nkiitafuta
@GoodluckYusuph-q5cСағат бұрын
Hakunaga nabii tajiri hapo tumepigwa
@jamesmassawe488857 минут бұрын
Soma biblia acha uvivu
@DM_155 сағат бұрын
Kunajamaa hapo ana kitambi kama Kimtofyolo😂😂
@Eliombenjoseph13 сағат бұрын
waah hizo pesaa tu
@FabianoSinghania2 сағат бұрын
Range rover 2024 iko wapiii?
@DavalsonMarlony5 сағат бұрын
kna mpuuz mmoja alkuwa anasema iyo festval inafaida gn et bora wakajiandkshe kpga kra
@nickylyanga21394 сағат бұрын
karembo jamaani
@jumarajab53163 сағат бұрын
huyu mwisho katufunga kamba
@eliezerwamungu461414 сағат бұрын
Hawa watu wanatoag wap hiz pesa jamen??
@brownsebastianmwibi564713 сағат бұрын
😂😂😂😂wanatafuta
@TheAlman13 сағат бұрын
Wanauwa ndugu zao 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 natania tu kweli kabisa
Maneno yako ni ya walevi na wajinga.muogope Mungu utaishi
@SamwelMollel-br9md13 сағат бұрын
Kama huyo malaya uliyo nayo kakushinda,inability ufirwe,wewe, kwanza,unaongeya ujiga kwenye jambo muhim, fala,wewe,
@DeogratiusAndrew-zi7zv13 сағат бұрын
Anamume wake huyu
@Ajijji1212 сағат бұрын
Duh sadaka za waumini
@FestoMunishi13 сағат бұрын
Hiyo issue y magari ni kwa ajili y nini au kwa faida ganiiii
@Benny318m13 сағат бұрын
Wasafi festival huwa kwaajiri ya nini, tigo fiesta huwa kwa ajiri ya nini. Efm mziki mnene huwa kwa ajiri ya nini, cheka tu ipo kwa ajiri ya nini, kuburudika, kufurahi kujifunza mambo mapya na kukuza uchumi wa eneo husika leo ukiwauliza wafanyabiashara wote wa UNITED STATES OF ARUSHA watakwambia ni kwanamna gani mapato yao yameongezeka
@ISSACKRICHARD12 сағат бұрын
😂😂😂😂@@Benny318mumejibu kikitabuni
@maribaisack209711 сағат бұрын
Kivutio cha watalii
@bestmilltz70715 сағат бұрын
Inachochea uchumi wa Arusha. Hao watu wametoka sehemu tofauti tofauti. Hivyo watahitaji hotel, chakula , mafuta kwa magari yao. Hivyo wananchi wa Arusha wataongeza kipato
@maalimwenga4524 сағат бұрын
Kazi ya pesa ni matumizi za kwako weka tuu chini ya godoro mwizi atakuona tuu😊😊😊
@kennethbenjamin2755 сағат бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@caesar774513 сағат бұрын
Na halipi tax eti anakanisa 😂😂😂😂
@Benny318m13 сағат бұрын
Fungua kanisa na wewe uwe unaagiza bila makato ya kodi
@josephvenus32596 сағат бұрын
Inakuuma ee 😂😂😂 Itakua we NDO mchawi WA familia YENU 😂😂😂
@LutenganoCharles-d7t14 сағат бұрын
Tuliitaji Land rover sio Range rover eleweni na tofautishen cjaona Range rover kwenye festival niliona land rover kwenye festival report over.
@tropmedia837613 сағат бұрын
Range rover na land rover ni kampuni moja jina lake halisi ni land rover ila range ni toleo kama vile simu zinavo kua na majina mbalimbali ila kampuni ni moja
@shalomchaula442013 сағат бұрын
Kaka range Rover ni gari inayotengenezwa na kampuni ya land Rover gari nyingi mfano mdogo ni TOYOTA ila magari ni aina nyingi Kuna land cruiser ndani yake na gari nyingi tu
@extremztv59613 сағат бұрын
Jinsi ya kuambia watu hujui magari bila kusema hujui magari
@RobertsonNandime-eo9fp13 сағат бұрын
Huna hata basikeli utijuaje haya Magali wew msenge mmoja