CHIMBO JIPYA LA ESHA BUHETI ALILOWEKEZA MAMILIONI YA PESA ZA MUMEWE, ASIMULIA MAGUMU ALIYOPITIA

  Рет қаралды 78,834

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 170
@AllyHamran
@AllyHamran 3 ай бұрын
Hongera kwa kuniongeza wenzao wanajiuza kwa wasanii wa bongo flavor
@abedmzungu9057
@abedmzungu9057 Жыл бұрын
hongera mdogo wangu mungu akufanyie wepesi kaka yako abedi hoza mzungu
@ZaitunOmar-w3t
@ZaitunOmar-w3t 6 ай бұрын
Hongera dada mungu akulinde
@queenlinda255
@queenlinda255 Жыл бұрын
Pazuri sana but usiongee vitu vyako vya ndani sana
@maryamtanzania9743
@maryamtanzania9743 Жыл бұрын
Wallah ofisi ni nzuri dahhh oesa uko wapi wanawake wenzetu mnaweza
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ Жыл бұрын
Mwenyezi akusimamie na akulinde na kila balaa ktk biashara yako, akujaalie uzidi kufanikiwa ktk miradi yako
@mfalmekaitaba2425
@mfalmekaitaba2425 Жыл бұрын
Pazuri sana Masha'Allah Napenda vitu kama hivi ukipata fulsa itumie kikamilifu.
@azzamahamdu7039
@azzamahamdu7039 Жыл бұрын
Pole esha❤❤❤ALLAH AKUFANYIE WEPESI
@euniceodegea9180
@euniceodegea9180 Жыл бұрын
Esha I love ya my sister because of Allah
@emanuelmbise2348
@emanuelmbise2348 Жыл бұрын
Wow good place to be,,staff wamependeza sana infact pako poa
@hassanmpemba5747
@hassanmpemba5747 Жыл бұрын
Masha Allah mama asha mungu akupe uvumilivu na akuepushie na vijicho vya hasada za binaadamu
@merinakassembe4251
@merinakassembe4251 Жыл бұрын
Sijafika hapo lakini aiseechapati hukutakakuzijua sichambuke bwana first klass kwa chapati Ongera sana 🙏🙏🙏🙏👌👌👌👌👌👌👌
@lifeinmiddleeast8179
@lifeinmiddleeast8179 Жыл бұрын
Mashallah lakini Acha kuweka Sana wazi kuepuka husda na hongera kwa kuwapa vijana kazi
@sakinaomary7207
@sakinaomary7207 Жыл бұрын
ana tangaza biashara
@johanesnixon5473
@johanesnixon5473 Жыл бұрын
Moja ya ten peks za interprener ni advatice ment chukua iyo ishi nao
@lifeinmiddleeast8179
@lifeinmiddleeast8179 Жыл бұрын
@@johanesnixon5473 yap but siyo.kuweka waz everything
@johanesnixon5473
@johanesnixon5473 Жыл бұрын
hasanaat bhana ngojea nikupe kitu kwa ufupi Katika maisha yako ujue kuwa kuna side mbili know by u and knowing by others apo yy kwajinsi nilivyo muelewa mm ametumia KNOWING BY OTHERS Yan ivyo kwayeye haina effect kwasababu ya business umenisoma adi apo ..?
@GdFf-ik2eo
@GdFf-ik2eo 5 ай бұрын
Ma sha allah
@mariamanzazi2696
@mariamanzazi2696 Жыл бұрын
Congratulations dada Esha
@karimjuma4019
@karimjuma4019 Жыл бұрын
Ameweza hongera sana dada
@messaabbas739
@messaabbas739 Жыл бұрын
MaashaaAllah ❤❤❤❤❤
@MadinaHusseinramadhani
@MadinaHusseinramadhani 5 ай бұрын
hongera sana
@helenkambi3918
@helenkambi3918 Жыл бұрын
Love you sana Esha Buheti
@lulugama1547
@lulugama1547 Жыл бұрын
Super woman ❤❤
@ekkymumba8566
@ekkymumba8566 Жыл бұрын
Nilichogundua Esha masikini Hajui kuongea anaongelea mambo yake ya nyumbani kuliko ya Ofis😱 dereva Naomba tukifika Igunga nishushe Ninunue Juice tafadhari👌
@beatricefredilick1646
@beatricefredilick1646 Жыл бұрын
Sasa hapo unatangaza maisha yako au biashara
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly Жыл бұрын
MashaAllah
@HidayaKarim-wy9yc
@HidayaKarim-wy9yc Жыл бұрын
Nakupenda sana 🥰🥰🥰
@marrypius576
@marrypius576 Жыл бұрын
Yan navyopenda kula vizuri lazim nikutafut 😋😋🍛🍛
@salamamohamed843
@salamamohamed843 Жыл бұрын
Hongera sana,but angalia na afya yko maana Hadi mwili umenisisimka ulivyo drive Hadi Tanga ndani ya mwez mmoja tokea op
@edinamwanasenga1584
@edinamwanasenga1584 Жыл бұрын
Mungu akubari sanaa nimependa ❤❤❤
@fatnashemliwa-jq9ez
@fatnashemliwa-jq9ez Жыл бұрын
Nice
@furahasarakikya3223
@furahasarakikya3223 Жыл бұрын
Mume Wangu mume wangu.. duh too much 😢
@glorianikiza3940
@glorianikiza3940 Жыл бұрын
Waouh
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Жыл бұрын
Wowow hongera sana mama wawili 😘🙏🏿pazuri sana
@roseeuphrase3853
@roseeuphrase3853 Жыл бұрын
Pole sana na kuumwa pamoja na majukumu ya kila siku.
@JokhaJokhaabla
@JokhaJokhaabla Жыл бұрын
Sindano unaweza kukaa Ata miaka zinauma mm nishafanya oparatio 3 za kizazi sindano uzizoee
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 Жыл бұрын
Yn mnaekeza pesa nyingi sn sehemu ya niaxhara badala ungenunuwa sehemu yk na ukajenga sshemunyabiashara
@sidikassim6759
@sidikassim6759 Жыл бұрын
Da esha nakpnda snaa tngu upo uigzaji alfu jina kma la ddangu wa damu esha lkin kwnin usiach kuza pombe ddangu itkuvnjia rizki we ni muslimu dda
@mosesnyamhanga449
@mosesnyamhanga449 Жыл бұрын
Hii tz me s Hami huu uongo tu! mshahara?
@roseeuphrase3853
@roseeuphrase3853 Жыл бұрын
Umetoka kufanyiwa operation kubwa. Tafadhali sana tena sana zingatia ushauri wa dakitari wako. Afya yako ikiwa nzuri ndiyo msingi mkubwa sana wa wewe kufanya shughuli zako. Take care about your health yourself. ❤
@mishikikoti2948
@mishikikoti2948 Жыл бұрын
Opareshen ya nn dada?
@siriyangu4724
@siriyangu4724 Жыл бұрын
Mashallah da esha lkn angalia afya wko kwanza
@merinakassembe4251
@merinakassembe4251 Жыл бұрын
Hingefahren sana l proud of you
@mwalitv4555
@mwalitv4555 Жыл бұрын
Anafunguka sana mambo binafsi kuliko kupromote biashara yake...nimemsikia zaidi mume kuliko biashara yake mpaka nimehisi kuna chakula kinaitwa 'Mume bufee'
@awadhisarai4331
@awadhisarai4331 Жыл бұрын
Husimlaumu sana cozy mtangazaji ndio yuamuliza maswali
@faithlucas1723
@faithlucas1723 Жыл бұрын
😆😆😆😆😆umenichekesha ,
@rezegerezege691
@rezegerezege691 Жыл бұрын
😂 😂 😂 nimecheka kama Mazuri
@haruniaisha5905
@haruniaisha5905 Жыл бұрын
Yaaani hawa wasaniniii wajinga
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 Жыл бұрын
😅😅😅😅😅
@philipomussa
@philipomussa Жыл бұрын
Mpambanaji 💪🏿💪🏿
@zuhuraRamadhanl-dz7tl
@zuhuraRamadhanl-dz7tl Жыл бұрын
Umejitahidi sana
@farijanibakari9018
@farijanibakari9018 Жыл бұрын
Safi sana
@LailaLaila-kg2qd
@LailaLaila-kg2qd Жыл бұрын
Hongera sana ila kiwanja pia ni kizur sana kuwekeza
@Kibaadvocate
@Kibaadvocate Жыл бұрын
Melezo ya mume wangu yamezidi shoga yanguuuuu
@hellendaniel3809
@hellendaniel3809 Жыл бұрын
Nafikiri huyu dada sababu mama hana na baba hamjui mume ndio kila kitu
@PeninaMlay
@PeninaMlay 6 ай бұрын
Ila esha unapika bhanaa
@rukiamziwanda7458
@rukiamziwanda7458 Жыл бұрын
Shule muhimu sana ana mmpromot mumewe baada ya biashara
@shabanpazi531
@shabanpazi531 6 ай бұрын
Sio baada ni badala
@pendomarco8928
@pendomarco8928 Жыл бұрын
Esha naomba kazi na mimi
@beatricefredilick1646
@beatricefredilick1646 Жыл бұрын
Operation in mazoez Fanya zoez
@rizoibrahimovich605
@rizoibrahimovich605 Жыл бұрын
Mi mwenyew hata sitaki kuweka hadharani vitu vyangu mengne Bora niseme na moyo wangu
@AlenKinyina
@AlenKinyina Жыл бұрын
Mwanamke shujaa
@championtop2
@championtop2 Жыл бұрын
Mtu anayefanyiwa interview mda wote haonekani! Upuuzi
@habibakhalfan1065
@habibakhalfan1065 Жыл бұрын
Mna_pesa_wenzetu_uma_SIKINI_Huu_wenzetu_mna_shika_Mamilion_kila_kukicha
@zakhiamsuya4922
@zakhiamsuya4922 Жыл бұрын
Umewwzaaa dadaaa alafu una chakula kitam balaaaa
@wishjrtz
@wishjrtz Жыл бұрын
Yani kiwanja ukadhulumiw?
@ramadhanichuma7925
@ramadhanichuma7925 Жыл бұрын
Mswahili ni mswahili2 yani.kapata fursa ya kufanya marketing promotion yeye anafanya kazi ya kuongea person issues .shule nimuhimu sana.
@kitwanathabiti
@kitwanathabiti Жыл бұрын
Kweli kabisa hayo mambo mengine yatuusu
@zakiamseka9698
@zakiamseka9698 Жыл бұрын
Wewe una biashara gan
@grantjacob7821
@grantjacob7821 Жыл бұрын
Ww upo kwenye page hii kwajili ya mambo ya watu acha bwebwe
@mwalitv4555
@mwalitv4555 Жыл бұрын
Truee...
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 Жыл бұрын
💯
@edithaandrea4203
@edithaandrea4203 Жыл бұрын
I wish ningekueleza kariakoo kwa wanaouza dawa za uvimbe
@KatijaMaziku-x4s
@KatijaMaziku-x4s Жыл бұрын
Hana lolote Huy DD anaringa alikuja kazn kwangu alinikera anamdomo
@saeedalyahmadi1738
@saeedalyahmadi1738 Жыл бұрын
Kiwanja kinapoteaje NA ni cha kwako😮?
@denisrukangula2227
@denisrukangula2227 Жыл бұрын
Ila naona hii biashara haina maisha
@cisselamerveille5286
@cisselamerveille5286 7 ай бұрын
Kake hamadi kapiti pagumu Sana ...ila nikushauri tu .....achana na hao wakwe unaowaita baba na mama .... Utakuja kunishukuru baadae ...hao sio wazazi wako acha ujinga ..wewe ni mtu mzima then acha kua muwazi kwa Kila mtu .. 😢😢😢 natamani nikutane na wewe nikushauri zaidi....
@ahmadimbazi5843
@ahmadimbazi5843 Жыл бұрын
Pazur mno
@marianajoseph1892
@marianajoseph1892 Жыл бұрын
Gari sio asserts. Nyumba viwanja,
@caashamacalini3887
@caashamacalini3887 Жыл бұрын
Sasa maneno yote yanini? Kuhusu kukupa hela yake usajili? Alafu sijui amekupa kiasi kikubwa!!! Ili watu wamjue anapesa ? Wakati mpira wabongo hauna hela hivyo wachezaji wangepuga makelele ? Alafu team yenyewe basi anayochezea huyu kweli Esha kichwa matope
@kazikazini1042
@kazikazini1042 Жыл бұрын
Yaani kuna tabia inakita mizizi ya kusema visivyofaa kusemwa
@kabwelasutiviraka4765
@kabwelasutiviraka4765 Жыл бұрын
Mwanamke wa Kiswahili , huyo mwanaume ni zuzu biashara yote jina la mwanamke na mshahara wote mwanamke anapokea, hao wanawake wa Kiswahili ni kama kunguru hawafugiki si tumeona hata wapewe nili uwa ni wasaliti tu
@hoseastephen4508
@hoseastephen4508 Жыл бұрын
@@kabwelasutiviraka4765 Acha wivu we naye mwanamke au?
@yahayaally9193
@yahayaally9193 Жыл бұрын
Nimekusikiliza dada ila epukamambo binafsi kuweka hadharani sio vizuri.mambo yako ya ndani ciolazima ajue kila MTU kuwamuangalifu
@mishikikoti2948
@mishikikoti2948 Жыл бұрын
Naomba tu dada esha nkuulize, ivi mnaongeaga na shishi ww?
@fahidashishi255
@fahidashishi255 Жыл бұрын
Basi shilole. Apo atakosaa usinhizi na lazima. Alipizrr😂
@happyfaniabatromeo8010
@happyfaniabatromeo8010 Жыл бұрын
😄😄😄Anajielezea Sana vitu vya ndani kuliko maono ya biashara yake ya chakula duuuuuh 💔🙌
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 Жыл бұрын
Ukiona hivyo kuna kitu hakiko sawakwa ndoa yake
@hameezhami7795
@hameezhami7795 Жыл бұрын
Kujenga ni mpango mzima .biashara ikiyumba inakuwaje
@rosemilingi7860
@rosemilingi7860 6 ай бұрын
Huyo cjui anaongea nn mara damu 3 mara 11 mara alitoka na 6 hata haeleweki kbs
@lutenganolukali2122
@lutenganolukali2122 Жыл бұрын
Kila ambacho shilole anafanya nae anaiga anatembelea nyota ya shilole kwenye mambo ya ubunifu wa biashara
@Mnuanofilms
@Mnuanofilms Жыл бұрын
KIWANJA KIKAZURUMIWA DUUUU
@tynercolin5060
@tynercolin5060 Жыл бұрын
❤❤❤❤❤❤
@sinawsinaw6201
@sinawsinaw6201 Жыл бұрын
Ww unaemtaja shoshinsa kusema ataloga kwanza hapo anajiloga mwenyewe maana sio kwa kujietezea,huko mmh mwache shishi kama shishi ni Jasho la mtu mmoja
@nigamo9645
@nigamo9645 Жыл бұрын
Halafu hapumziki na ikiwa ana operation na doctor kamwambia apimzike kwanza sasa ikitokea ttz lingine waseme karogwa
@smartonlinetv5144
@smartonlinetv5144 6 ай бұрын
Hapo anajiloga mwenyewe maana sio Kwa kujieleza huko
@salimmachila5736
@salimmachila5736 Жыл бұрын
Interview ya udakuudaku tu badala kuchukua nafasi kutangaza biashara yako...😂😂
@oscanyakunga
@oscanyakunga Жыл бұрын
Nitakuja kukula
@mariamdullazy8166
@mariamdullazy8166 Жыл бұрын
@estertiffa-ew5id
@estertiffa-ew5id Жыл бұрын
Dah ukupaswa kusem kama mumeo amekup mpk card yk umiliki mshahar
@smartonlinetv5144
@smartonlinetv5144 6 ай бұрын
Ushamba uliopitiliza, alafu bado hajajua kuchuja maneno ya kuzungumza ktk sehemu kama hizi. Aisee shule inasaidia sana. Mambo ya afya yake,pamoja na mambo ya ndani kwake hayakupaswa kuyaweka hapo. Angedeal na mambo ya biashara tu
@beatricefredilick1646
@beatricefredilick1646 Жыл бұрын
Kiwanja pia ni muhimu nacho nunua
@valenakomba9218
@valenakomba9218 Жыл бұрын
SASA HILO SWALI GANI HILO LA KIPATO CHA MTU
@smartonlinetv5144
@smartonlinetv5144 6 ай бұрын
Mimi nadhani sio mzoefu wa interview
@faidhamyovela179
@faidhamyovela179 Жыл бұрын
Kweny msos esha ni balaa
@pikanaauntzuu1466
@pikanaauntzuu1466 Жыл бұрын
Esha bhana mbona km unanichochea mimi nina kahelea nataka kuongeza kiwanja sasa unataka kuniambia niwekeze kwenye biashara
@ndogolofadhila6203
@ndogolofadhila6203 Жыл бұрын
Biashara inanafasi yake na kiwanja kinanafasi yeke
@janetahmed6948
@janetahmed6948 Жыл бұрын
dada pumzika operation ni mbaya usipade matatizo mengine
@sakinaamani1486
@sakinaamani1486 Жыл бұрын
Ssa mmmmm kuongea kwa afya yako kwa tokea wapi
@smartonlinetv5144
@smartonlinetv5144 6 ай бұрын
Wewe esha fahamu wanaosikiliza baadhi ni watu wa afya, huwezi kupelekwa op na damu tatu. May be una matatizo ya kusahau. Alafu acha kuweka mambo yako ya ndani adharani, Tena unatangaza na afya yako sidhani kama kulikuwa na haja ya kuongea hayo yote.
@kabwelasutiviraka4765
@kabwelasutiviraka4765 Жыл бұрын
Yaani mshukuru sana Mungu kama alikupa akili. Huyo mchezaji ni mpumbavu wanawake wenyewe wa kiswahili hawa, mwanamke wa mjini aliolewa na kuachika, then ni stupidity eti biashara yote ameandika jina lake hela yote umempa hadi mshahara wako ana umanage mwanamke wa kiswahili 😢, kuna Leo na kesho angeandika jina lake kama a share holder kwenye hiyo biashara
@diyembarak5506
@diyembarak5506 Жыл бұрын
Wacha roho ya korosho kama wewe huwezi wapo wanaoweza.
@kabwelasutiviraka4765
@kabwelasutiviraka4765 Жыл бұрын
@@diyembarak5506 upumbavu mtupu huo nani asiyejua wanawake wa Kiswahili hao eti biashara yote jina lake na unampa mshahara wako , huyo zuzu siku atakuja kulia , si tumeona kwa Haji manara wanawake wa Kiswahili
@diyembarak5506
@diyembarak5506 Жыл бұрын
Mwaenzenu kanogewa mahaba tamu
@nareensaleh4957
@nareensaleh4957 Жыл бұрын
hii ndio mijanaume yenye roho za ubinafsi na roho mbaya
@lytwilliam7050
@lytwilliam7050 Жыл бұрын
achana na mapenzi ya watu. wewe ishi na mwanamke wako unavojua wewe.maisha hayafanani.
@hassankihimbi9555
@hassankihimbi9555 Жыл бұрын
Kumbe unajua eprienx ya wacheza mpira ok ok
@maisarahakizimana7074
@maisarahakizimana7074 Жыл бұрын
Kweli, nakupongeza unajitahid sana, ila unaongea sana
@sixmundandrew381
@sixmundandrew381 Жыл бұрын
duuuhhhhhh,,,tutamtafuta baada ya miaka miwili tujue uyo mume wake anaendeleaje
@nunimwaropia3584
@nunimwaropia3584 Жыл бұрын
Usipotoshe wache.ardhi is a very fantastic investment and it's appreciate.biashara sio mbaya lkn ikifilisika ndio umeisha.kwaio biashara and properties usijivunie kupanga nyumba ilhali Una watoto.faida ya biashara kuilipia rent ndio kufanikiwa.nyinyi wasanii mnapotosha watu sana
@janethjonas1700
@janethjonas1700 Жыл бұрын
Shishi alivyo mchawi atamloga mtoto wa watu ila Mungu atamlinda
@leokamil6284
@leokamil6284 Жыл бұрын
Huyu anapika kuliko Shishi
@janethjonas1700
@janethjonas1700 Жыл бұрын
@@leokamil6284 ni kweli kabisa ila lile li shishi nilichawi sana tutamuombea hasadi isimpate...
@estermathias8354
@estermathias8354 Жыл бұрын
We nae mchawi tu umejuaje kama shishi mchawi? Dah ina watu wengii umeona shishi tu mmhh toa chuki zako at tutamuombea 😏we mwenyew umeahindwa kujiombea mambo yako ya mwingine utaweza puuhh
@emmadora7848
@emmadora7848 Жыл бұрын
We ndio mchawi mwenyewe , watu mnamatatizo Gani? Bila kuwafurahia wanawake wenzenu na kuwafunga mkono ,mmejaa wivu wa kijinga na fikra za kimasikini, Kila Mmoja ana riziki yake shishi anapata yake Kwa kile anachokifanya na Esha nae anapata yake , pole wewe maskini mwenye mawazo ya kichawi ,wenzeo Wanamake maisha hapo
@emmadora7848
@emmadora7848 Жыл бұрын
@@estermathias8354shangaa na wewe, wivu mwingine bana
@shamimuomary831
@shamimuomary831 Жыл бұрын
Interviewa nzima anaongelewa mume 😂😂😂😂😂badla kupromote biashar yak
@namsifumihungo8504
@namsifumihungo8504 Жыл бұрын
Mdhamin😬😬😬
@bahatirobert1009
@bahatirobert1009 Жыл бұрын
Mmmm kwani esha ana mafua mda wote maana anavyovuta iyo pua
@ashuuuaisha9122
@ashuuuaisha9122 Жыл бұрын
Tumrtofautiana kuna watu toka utotoni no hivyo. Mimi nina kaka yngu hivyo avuta mafua kila time
@ashamaneno9819
@ashamaneno9819 Жыл бұрын
Tatizo uwaga awamtembelei akaeleza mambo yake l kwahyo hapo ndo kapata pa kueleza baada y kutangaza biashara anaongea n mengine. Ili watu wajue anapendwa kapata sehemu ya maana hzo ndo tabia zetu z uswahilin mtu akimpata bwana w kumpa vocha z 2000 na alikua ajapata bas akipata hyo vocha aitoki kinywani 🤣🤣🤣
@merinakassembe4251
@merinakassembe4251 Жыл бұрын
Don’t talk yourself private thing s fur people Esha stop it
@alicekisanga8004
@alicekisanga8004 Жыл бұрын
Just use Swahili English is not for you 🤣 otherwise she's merely advertising her business which is very good.
@glorianikiza3940
@glorianikiza3940 Жыл бұрын
Esha unampenda mumeo ili upunguze kumuongelea
@alicekisanga8004
@alicekisanga8004 Жыл бұрын
She's proud of her husband, be proud too.
@happinessmtalika16
@happinessmtalika16 Жыл бұрын
Sasa unajisisifia kuhatarisha maisha Yako alaaaa.eti nimedraivu dar mpaka Tanga kidonda kibichi kisa pesa.unacheza na uhai wako we dada.
@aishaabrahaman9957
@aishaabrahaman9957 Жыл бұрын
Mjinga sanaa huyu
@trueexplorer894
@trueexplorer894 Жыл бұрын
Mtangazaji unaudhi sana, keshakwambia asingependa kutaja kiasi alichopewa na mumewe, ila bado unaendelea kuuliza eti inazidi mil. 10 for what? Mbaya zaidi unaenda mbele unauliza kwa mwezi anapokea sh ngap huyo mme wake. Unatia aibu tasnia yako
@christinaonditi9341
@christinaonditi9341 Жыл бұрын
Mjinga kabisa mzuri bt like 0 brain. Unaongea ndg zake wanakusikia tayari unakaribisha vita
@ruthp8684
@ruthp8684 Жыл бұрын
Et Kiwanja kikizurumiwa 🙄🙄🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ZERO BRAIN
@rogathengowo1099
@rogathengowo1099 Жыл бұрын
Kwakweli hapo sijamwelewa
@ruthp8684
@ruthp8684 Жыл бұрын
@@rogathengowo1099 Umri wake na alicho ongea apo ni vitu tofauti.Ametuonesha wazi Jinsi gani Akili ake ni kisoda
@wardaridhwankassim4774
@wardaridhwankassim4774 Жыл бұрын
@eshabuheti Plzplz Naomb utoe pombee Tuwe free tujee huko beleiv me..! Utapotez watejaa weeng 🥹
@athumaniferooz7790
@athumaniferooz7790 Жыл бұрын
😂😂😂😂 na akitoa natuji
@marystephen944
@marystephen944 Жыл бұрын
Kwan unaenda kunywa pombe au kula😂
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 Жыл бұрын
Hebu pta hivi wanywaj tupo wengi...mtukome
1% vs 100% #beatbox #tiktok
01:10
BeatboxJCOP
Рет қаралды 67 МЛН
99.9% IMPOSSIBLE
00:24
STORROR
Рет қаралды 31 МЛН
Snura afunguka yote kuhusu kashfa za kudamshi na  KIBEN-TEN
19:22
Mbunifu wa trekta ya kulimia kwa kutumia injini ya mashine ya kusaga
3:56
UTAPENDA MAHABA YA ESHA BUHETI AKIMPIKIA CHAKULA MUMEWE LIVE UKUMBINI
4:41
Topbrandtz Studios
Рет қаралды 61 М.
MWIJAKU AMLIPUA HAMISA MOBETTO, KUTEMBEA NA AZIZI K NI UPUUZI
11:42
Rammy Galis Azindua Mgahawa wa Kisasa, Anapika na Kuuza Mwenyewe
15:46
Global TV Online
Рет қаралды 61 М.
1% vs 100% #beatbox #tiktok
01:10
BeatboxJCOP
Рет қаралды 67 МЛН