Рет қаралды 60,874
Subscribe / uwazi1
Msanii wa filamu za Kibongo, Rammy Gallis amepiga hatua kubwa kimaendeleo baada ya kuzindua mgahawa wa kisasa, Mandoz Grill uliopo Mikocheni jijini Dar es Salaam ambapo atakuwa akiuza vyakula vya mataifa mbalimbali.
Rammy ambaye hivi karibuni alizindua movie yake ya Red Flag, amesema kwamba mgahawa huo ni matunda ya kazi zake za usanii ambapo ameajiri wafanyakazi kadhaa kwa ajili ya kutoa huduma kwenye mgahawa huo.
FACEBOOK: / globalpublis. .
TWITTER: / globalhabari
Visit globalpublishe..., Subscribe / uwazi1
Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya…
/ uwazi1
/ uwazi1
/ uwazi1
WEBSITE: globalpublishe...
FACEBOOK: / globalpublis. .
TWITTER: / globalhabari
INSTAGRAM: / globalpubli. .