Rammy Galis Azindua Mgahawa wa Kisasa, Anapika na Kuuza Mwenyewe

  Рет қаралды 60,874

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

Subscribe / uwazi1
Msanii wa filamu za Kibongo, Rammy Gallis amepiga hatua kubwa kimaendeleo baada ya kuzindua mgahawa wa kisasa, Mandoz Grill uliopo Mikocheni jijini Dar es Salaam ambapo atakuwa akiuza vyakula vya mataifa mbalimbali.
Rammy ambaye hivi karibuni alizindua movie yake ya Red Flag, amesema kwamba mgahawa huo ni matunda ya kazi zake za usanii ambapo ameajiri wafanyakazi kadhaa kwa ajili ya kutoa huduma kwenye mgahawa huo.
FACEBOOK: / globalpublis. .
TWITTER: / globalhabari
Visit globalpublishe..., Subscribe / uwazi1
Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya…
/ uwazi1
/ uwazi1
/ uwazi1
WEBSITE: globalpublishe...
FACEBOOK: / globalpublis. .
TWITTER: / globalhabari
INSTAGRAM: / globalpubli. .

Пікірлер: 146
@aizakhabib6373
@aizakhabib6373 5 жыл бұрын
Congratulations to you mr Rammy. May god bless you....
@nurudinichakilo1622
@nurudinichakilo1622 7 жыл бұрын
hongera Rammy, Mw/Mungu akuzidishie maarifa zaidi.
@yousufharthy6876
@yousufharthy6876 6 жыл бұрын
Rammy. Congratulations. Is about time Dar needed a place like that for real food. However serving rice from Cooking pan is not advisable and unprofessional. There are special Serving Hot plates that are used for serving food. Especially on buffet people expects to serve themselves. However wish you success in your new catering business
@rahimajuma688
@rahimajuma688 7 жыл бұрын
hongera kaka angu watu wanajibu kwa maendeleo sio duma linamchukia gabo hata maendeleo hana
@esterkileo3486
@esterkileo3486 5 жыл бұрын
Hongera Rammy sana pambana my dear na Mungu akufikishe pale unapopataka.
@khadijaarkam5701
@khadijaarkam5701 6 жыл бұрын
Hongera rammy mana mastaa wengi wakiume wanakimbilia maduka tuu bac kupika hapana safi sana kk
@y6y6hg77
@y6y6hg77 7 жыл бұрын
Alhamdulillah Mungu akuzidishie kheri
@elizabethmwandu6937
@elizabethmwandu6937 5 жыл бұрын
Hongera sana kaka Rammy Mungu akupe moyo wa kuendelea kupambana.
@rqyaabdullah9819
@rqyaabdullah9819 7 жыл бұрын
Mashaallah.nimependa.saana.mavaziya.waudumu.wakikie.ongera.kwa.kulitammbua.hilo weweni.unajielewa.saaana.shukrani
@sakinamsambala7443
@sakinamsambala7443 7 жыл бұрын
niajiri mimi napika kila chakula
@aminabukenya231
@aminabukenya231 5 жыл бұрын
Mashaallah tabaraka Allah
@janetjuniormuthama8219
@janetjuniormuthama8219 6 жыл бұрын
Mashaallah.
@hongerakkachawasemewwkzbut4996
@hongerakkachawasemewwkzbut4996 7 жыл бұрын
masha allah.
@freckmashaka4055
@freckmashaka4055 5 жыл бұрын
hongera kk acha waseme ww kz buti Alnomania good hatakusadia
@azzamahamdu7039
@azzamahamdu7039 5 жыл бұрын
Nkija tz ntaenda kwa kakaangu rammy @mwarab mwezengu.safi sana👌👐🔥✔God bless u..
@ukhtyashurasakinamnyoti1786
@ukhtyashurasakinamnyoti1786 5 жыл бұрын
Rammy Gals sio mwarabu ni msomali @ Azza Mahamdu
@munashally3318
@munashally3318 5 жыл бұрын
Mashaallah Allah akufungulie zaidi
@munashally3318
@munashally3318 5 жыл бұрын
Thanxs
@hindukassim8037
@hindukassim8037 5 жыл бұрын
Mashaallah
@lilygereta9669
@lilygereta9669 5 жыл бұрын
hongera sana
@julianamasunga4147
@julianamasunga4147 7 жыл бұрын
hongera sana....
@sheysarahnjeno9326
@sheysarahnjeno9326 5 жыл бұрын
Nakupenda unaigza vizur huna majivuno.unajielewa hupend maneno yahapa napale.nakupenda mungu akujalie zaidi
@aminakshamoona6900
@aminakshamoona6900 6 жыл бұрын
Rammy a luv you so much na nimependa maendeleo yako Allah akutangulie dude msosi wa maana
@sumaiyamohd6721
@sumaiyamohd6721 5 жыл бұрын
acheni kujiona nyinyi ndo nyinyi Kwanini asiweze kuwa wake ni wake mutake musitake majungu munguzeni waswahili hamupendi kuonana munafanikiwa
@mumlulu3401
@mumlulu3401 7 жыл бұрын
Congratulations rammy.
@ndayisengasergdine8812
@ndayisengasergdine8812 6 жыл бұрын
hongera sana Rammy Mwenyezimungu akubariki Nakazi zako warimwengu waime masikio love u
@zainabualtz1455
@zainabualtz1455 6 жыл бұрын
Hongera
@telesiamaneno1298
@telesiamaneno1298 5 жыл бұрын
Hongera kaka
@mayasajuma4475
@mayasajuma4475 7 жыл бұрын
Hongera sana Rammy
@yvannsengiyumva2143
@yvannsengiyumva2143 7 жыл бұрын
gabo nihatali anajua sana
@princesssalmahtz4531
@princesssalmahtz4531 6 жыл бұрын
Hongera sana kaka angu umefanya kitu kizur sana in shaallah nitakuja na Mimi kwenye mgahawa wako nataka nionje hiyo sharmaa
@hajikoga9577
@hajikoga9577 5 жыл бұрын
Naomba uwaiter kaka rami please
@zainabonayonah3891
@zainabonayonah3891 7 жыл бұрын
Upo vizur kaka
@nurumahenge3836
@nurumahenge3836 7 жыл бұрын
Hongera sana
@shubaibe5802
@shubaibe5802 6 жыл бұрын
congrats. ..Rammy
@abdulpaku5051
@abdulpaku5051 7 жыл бұрын
Safi sana .
@ashamadua8299
@ashamadua8299 5 жыл бұрын
Kaka naomba kaz nilikuwa restaurant dubai nilikuwa mpishi niweke up and wakupik chakul abic food
@happyjoseph7952
@happyjoseph7952 6 жыл бұрын
Ni vizuri sana rammy
@ameenaameena8279
@ameenaameena8279 6 жыл бұрын
Ongera sana kka
@zaitunmwaipopo1506
@zaitunmwaipopo1506 6 жыл бұрын
hongera sana Rammy tunazidi kukuombie hili uzidi kutanikiwa
@josephinejoseph3919
@josephinejoseph3919 5 жыл бұрын
Safi sana
@aminajuma9327
@aminajuma9327 5 жыл бұрын
Napenda sana unavojibu uko makini ongera kaka
@shemelaruhinda6113
@shemelaruhinda6113 7 жыл бұрын
Rami tunakuunga mkono zidi kupambana na kuinua uchumi mwelekeo ni mzuri.
@lizybabyjohn2430
@lizybabyjohn2430 6 жыл бұрын
Naomba kazi pls najua kupika kila aina ya chakula
@bernardchibwana9310
@bernardchibwana9310 6 жыл бұрын
Safi sana brooo
@khadijambuta4360
@khadijambuta4360 6 жыл бұрын
hongera snaa
@rebeccaernest1875
@rebeccaernest1875 5 жыл бұрын
Hongera kaka naomba kazi tu ataya kuhudumia
@eliminambare2496
@eliminambare2496 6 жыл бұрын
hongera kaka Ram
@rayasleman1136
@rayasleman1136 5 жыл бұрын
Hungera sana napenda san kaz zako zot unajua san ila allah akuzidishie
@naomisanga148
@naomisanga148 6 жыл бұрын
Hongera sana kaka!
@maliharajabu8917
@maliharajabu8917 7 жыл бұрын
Nice
@hasmasalum7901
@hasmasalum7901 7 жыл бұрын
Hongera sana
@nuurinkluge8239
@nuurinkluge8239 6 жыл бұрын
Ohoo nice foods
@faridasaid8724
@faridasaid8724 5 жыл бұрын
safi sana kaka
@mwasitihatibu9691
@mwasitihatibu9691 6 жыл бұрын
Hongera Rammy nimfano wakuigwa
@hakikaoman5925
@hakikaoman5925 7 жыл бұрын
vzuri sana mungu awe mbere yako kla la kher kakae
@zamzamhamisi7332
@zamzamhamisi7332 7 жыл бұрын
Hongera ndugu
@saidahj2543
@saidahj2543 7 жыл бұрын
Congrats Gallis
@maryamathman8917
@maryamathman8917 5 жыл бұрын
Congratulation
@tematema3101
@tematema3101 5 жыл бұрын
Ka ramy naomba nafas naweza.kupika.vyakula mbalimbali kama shawalma .pizza vingi tu .......naomba nafas
@mariyaal5366
@mariyaal5366 5 жыл бұрын
Ntakaribia nionje mapishi ya Rammy
@asiajuma2286
@asiajuma2286 7 жыл бұрын
congratulations sana brother
@aishadjumaphones8877
@aishadjumaphones8877 4 жыл бұрын
ongera kaka yangu mimi nimurundi nanimesoma shure yama pishi naomba uniajili maana najuwa kupika ata cakula cawageni kutoka inchi zawazungu na wa rabu pls na kuomba kaka yangu
@lovenessdiva3370
@lovenessdiva3370 4 жыл бұрын
Naja
@ednammbando8071
@ednammbando8071 5 жыл бұрын
Jaman naomba uniajiri
@anodearsulusi7536
@anodearsulusi7536 6 жыл бұрын
bora wewe hongera
@brendachepkemboi2518
@brendachepkemboi2518 7 жыл бұрын
Rammy nice
@lissamsalu2179
@lissamsalu2179 5 жыл бұрын
Hongera sana
@lailmeeea4908
@lailmeeea4908 6 жыл бұрын
Dah! ongela sana nitakuja mana kunavitu hapo navipenda kinoma
@khadijabiggy6250
@khadijabiggy6250 5 жыл бұрын
kama kunae alieskia how much chakula is good gonga like
@dottnatta310
@dottnatta310 5 жыл бұрын
Yaan, nimependa zaid wadada kujitanda wallah
@irenepatrick5331
@irenepatrick5331 5 жыл бұрын
Naomba namba plz
@asiaamina3247
@asiaamina3247 5 жыл бұрын
niajir na mm😂😂😂
@nzomukundafatuma5364
@nzomukundafatuma5364 6 жыл бұрын
Onger
@marcben2268
@marcben2268 6 жыл бұрын
Mm najua kupika kande rammy njoo nijaze fomu hia 😂😂😂😂
@albeleenalberto158
@albeleenalberto158 5 жыл бұрын
Ramy nichukue nikaigize na mimi nollywood😃
@TeamKRX
@TeamKRX 6 жыл бұрын
Yaani kaa kanumba
@sadasaid4408
@sadasaid4408 5 жыл бұрын
Shawarma jamani naipenda Rammy
@rehemahramadhani3428
@rehemahramadhani3428 7 жыл бұрын
hongera sana kk mm nahitaj kaz kwa kupika tuu nip vizur maana huk oman hii ndio kaz yang
@ameenaameena8279
@ameenaameena8279 6 жыл бұрын
rehemah ramadhani umenifurahisha my dear yani kwa mapishi ya omani tutawadatisha😂😂😂😂
@aminakshamoona6900
@aminakshamoona6900 6 жыл бұрын
rehemah ramadhani Na mm nataka pia😆
@zakyahya4645
@zakyahya4645 5 жыл бұрын
@@ameenaameena8279 😂😂😂😂yni me nikirudi naanza kufanya mgahawa wangu
@المهلهلالحراصي
@المهلهلالحراصي 5 жыл бұрын
Mbona huku omani vyakula ni vya kawaida sana havishindi vya tanzania tanzania kuna vyakula vizur sana huku hata ugali hamna pamenichosha mm huku oman jaman nina miaka minee na miezi miwili sasa
@lizybabyjohn2430
@lizybabyjohn2430 6 жыл бұрын
Rammy pls nipe kazi nipo oman huku miaka mitano sasa napika chakula vyotee nipe shavu nirudi jamani
@allthingdranabeauty
@allthingdranabeauty 6 жыл бұрын
Lizybaby John mfuate insta yke yuko poa atakujibu
@sadasaid4408
@sadasaid4408 5 жыл бұрын
Jamni Shawarma Nitakutafuta hapo ulipo
@ukhtyashurasakinamnyoti1786
@ukhtyashurasakinamnyoti1786 5 жыл бұрын
Mabrouk Rammy kwa shawarma na pizza umenipata
@AbdulWahid-hp8qr
@AbdulWahid-hp8qr 5 жыл бұрын
Mm ni mpishi mzuri tu kka yangu
@AbdulWahid-hp8qr
@AbdulWahid-hp8qr 5 жыл бұрын
Nahitaji kazi kaka yangu
@asiaally3105
@asiaally3105 5 жыл бұрын
Ajira zinapatikana najua kupika vyakula vya kila mataifa
@aminakshamoona6900
@aminakshamoona6900 6 жыл бұрын
Davina nakupenda bure
@abdul100magdi7
@abdul100magdi7 6 жыл бұрын
hongr cn brother
@davidelijahlaiser4064
@davidelijahlaiser4064 5 жыл бұрын
Mandoz Grill co ya kwako.sema unapiga promo
@faridasaid8724
@faridasaid8724 5 жыл бұрын
dude bhana
@amenaamena3333
@amenaamena3333 6 жыл бұрын
Mie niko oman najuakupika shariwaima narud3mwezi ujao naombaajira japo najua mengi
@mwanzamwanzaeli5532
@mwanzamwanzaeli5532 5 жыл бұрын
Mtangazaji kakomaa
@benjatv2493
@benjatv2493 6 жыл бұрын
Hapo naona ni uigizaji tu ni sawa na mtu kuzimia na kitamba mkononi hahahahaha!!!!!!!!!!!!!! Bongo muvie kichekesho kweli
@aminaissa935
@aminaissa935 5 жыл бұрын
BENJA TV nakupenda bure rammy
@slimkheri953
@slimkheri953 7 жыл бұрын
Kwani lazima tuongee english 🏃🏻🏃🏻🏃🏻🏃🏻🏃🏻🏃🏻 salha
@halimkepa7766
@halimkepa7766 7 жыл бұрын
Niajir miy nije kupikia arabic food
@maleop2950
@maleop2950 6 жыл бұрын
Fanya kazi enyi wasanii ili majina yenu yaendane na maisha yenu
@neemangaga6948
@neemangaga6948 5 жыл бұрын
Habari kaka natafuta kaz naomba nafasi katka biashara yako 0768828195
@azaibaoman7017
@azaibaoman7017 6 жыл бұрын
Nipe hiyo tenda ya shurowema nije kutengeneza maana zipo nyingi shurowema ya kuku nyama bagia za kunde viazi niajili mie kaka
@rahimajuma688
@rahimajuma688 7 жыл бұрын
shawama dah napenda hiyo chakula
@AbdulWahid-hp8qr
@AbdulWahid-hp8qr 5 жыл бұрын
Niite mm nikakupikie shuwalumaa
@emanueladamayubu9940
@emanueladamayubu9940 6 жыл бұрын
hongeraa rammy sio kuigiza tu had madiko
@hongerakkachawasemewwkzbut4996
@hongerakkachawasemewwkzbut4996 7 жыл бұрын
Rammy niajiri nije nikufundishe kutengeneza pizza.
@hosnaemam6831
@hosnaemam6831 6 жыл бұрын
Niajil kaka utaniachia chakula chakialabu Kila utakachohitaj nitafanya hasa kwenye vitu vyaunga wangano nipe ajila hiyo kaka
@maleop2950
@maleop2950 6 жыл бұрын
bando zangu xinaishia kwenye vitu hivi vya maendeleo
@salamakondo7705
@salamakondo7705 5 жыл бұрын
naomba unipe kazi
@jackmkaya2566
@jackmkaya2566 7 жыл бұрын
enchilada IPO???
@marygaspar6429
@marygaspar6429 5 жыл бұрын
Rammy atafute fundi amtengenezee viti vya asili aidha vya kusuka au mbao, ingependeza zaidi! na meza!
@jenifasanga3506
@jenifasanga3506 5 жыл бұрын
Mary Gaspar
@sheysarahnjeno9326
@sheysarahnjeno9326 5 жыл бұрын
Nakupenda sana hongera kwa hatua hiyo
@fatmaismail7683
@fatmaismail7683 5 жыл бұрын
Unafaa kuwa mtangazaji
@keifatuke99
@keifatuke99 5 жыл бұрын
Shawarima asili yake kutoka Turkey
Spongebob ate Patrick 😱 #meme #spongebob #gmod
00:15
Mr. LoLo
Рет қаралды 21 МЛН
SHAPALAQ 6 серия / 3 часть #aminkavitaminka #aminak #aminokka #расулшоу
00:59
Аминка Витаминка
Рет қаралды 2,4 МЛН
How Strong is Tin Foil? 💪
00:26
Preston
Рет қаралды 153 МЛН
TT COMEDIAN NYAMA CHEMSHA epsd 145
9:58
TT Comedian
Рет қаралды 8 М.
SIMTAKI MTU
2:56
kingbale_tv
Рет қаралды 2,7 М.
Jinsi ya kuwezesha mgahawa kupata faida
5:41
Tan Business Channel
Рет қаралды 410
LIJUE SOKO LA HISA LA DAR ES SALAAM - DSE.  TBC 1  EP 05
27:48
FEDHA UCHUMI
Рет қаралды 12 М.