RAIS SAMIA AFUNGUKA MBELE YA WAANDISHI WA HABARI, 'MGOMBEA URAIS AJAE, KUTEMBELEA KWANZA TANZANIA'

  Рет қаралды 22,617

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 40
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 3 ай бұрын
Mungu ibarik Tanzania, Mungu ibarik Mozambique, na wabariki viongozi wa nchi zote mbili
@Nick16697
@Nick16697 3 ай бұрын
Yaani kwa Kiswahili hicho unaongea, sidhani kama mashine ya ukalimani kama inaweza kutoa tafsiri,,,
@danielmrashani8710
@danielmrashani8710 3 ай бұрын
We love and we pray for you our lovely president mama piga kazi, Mimi ni mchungaji nipo katoro mkoa wa geita kusema ukweli I'm proud of you mama Mungu akupe maisha marefu na AFYA njema, uongozi Bora hakika umetuletea democrasia, maendeleo na mahusiano ya kimataifa, asiye kuelewa msamahee tu mama na usonge mbele
@prince.eric_msemwa9732
@prince.eric_msemwa9732 3 ай бұрын
Wafundisheni kiswahili pia ao...kireno ndo nn 🕵🏽‍♂️
@scoutpwanimchangani6711
@scoutpwanimchangani6711 3 ай бұрын
Waambiwe na wakenya
@emmanuellupiga
@emmanuellupiga 3 ай бұрын
Kichwa cha habari kigumu mno duh
@charlesmwambinga4355
@charlesmwambinga4355 3 ай бұрын
Siku hizi Ayo kawaachia madogo wanapost tu vitu kutoka popote bila yeye kupitia headings na contents
@saidkipalo4427
@saidkipalo4427 3 ай бұрын
Sio kama yule mshkaji 😅
@salehesalehe2967
@salehesalehe2967 3 ай бұрын
Asante mama 10 Tena
@smartonlinetv5144
@smartonlinetv5144 3 ай бұрын
Karibu nyumbani Mh Rais Filipe j nyusi
@allytv1714
@allytv1714 3 ай бұрын
Tozo ya umeme mmeongeza mnakata elf2 mbn amsemi mnajikatia tyuu hii nchi siyo yenu pekee ccm wezi Rais na serikali yako ya wizi
@Zainabnoor0087-ze
@Zainabnoor0087-ze 3 ай бұрын
kwani huwezi toa kero hadi utukane
@allytv1714
@allytv1714 3 ай бұрын
@@Zainabnoor0087-ze unajua matusi zaina nenda Kenya nw utayasikia
@walidmgonja3644
@walidmgonja3644 3 ай бұрын
​@@allytv1714wewe ni kilaza,hata hufikirii mahali gani uweke coment,unaropoka tu
@allytv1714
@allytv1714 3 ай бұрын
@@walidmgonja3644 kwa7babu ww ni mtoto wa kigogo mnalipiwa umeme na serikali au ww wakishua unasubiri urithi au ww bado unaishi kwenu jitulize wakishua ss tunajipambania
@monicamwita7865
@monicamwita7865 3 ай бұрын
Haya maisha hivi mama yetu Nashua kweli tunachukulia watu wake. Kila kitu jiko huu. Tangerines huruma
@HeboniBabu
@HeboniBabu 3 ай бұрын
Dada atakusoma amsomi mnasainitu mbona usanii
@allydingi9736
@allydingi9736 3 ай бұрын
Watanzania tunapata shida tunapoomba vizas kwenda msumbiji mtu umekamilisha document zote lakini kupata vizas unakaa mpaka miezi 3 hujapewa vizas
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 3 ай бұрын
Mhh Visa ya kwenda kuishi? huwa napita saana Msumbiji kuelekea South Africa , MTanzania huihitaji Visa kwenda Msumbiji ila wana viji rushwa fulani
@mkanjimamkanjimamkanjima2043
@mkanjimamkanjimamkanjima2043 3 ай бұрын
Hamna viza ya mtanzania kuja Mozambique wala viza ya mtu Mozambique kwenda tanzania bali unapaswa kuwa na passport au hati ya dharula ya kusafilia
@jonasrobina8629
@jonasrobina8629 3 ай бұрын
Happy to see u brother Ben
@HajiKlein-so1rk
@HajiKlein-so1rk 3 ай бұрын
Bi mkubwa mitano tena🇹🇿🇹🇿🌹
@muksinimbaruku1233
@muksinimbaruku1233 3 ай бұрын
Hakuna mkakati wa kujenga barabra kubwa inayotoka msumbiji mpka Tanzania? Iwe reli au rami
@PamelaGodfrey-q9b
@PamelaGodfrey-q9b 3 ай бұрын
Bora mama ameamua kupumzika
@salehesalehe2967
@salehesalehe2967 3 ай бұрын
Asante Mama Rais
@richkaja3317
@richkaja3317 3 ай бұрын
Mama tunakuomba upumzie nyumbani muachie makonda kiti
@salehesalehe2967
@salehesalehe2967 3 ай бұрын
Mwachemama chizi wewe
@ScopionScopion-zj9cd
@ScopionScopion-zj9cd 3 ай бұрын
ayo unazingua caver uliyoweka Namaerezo yaliopo mbona sio me Nijua mama kasema hata gombea tena Nimpe mauwa yake kumbe sio dah umenipotezea dk kwenye kaz
@PamelaGodfrey-q9b
@PamelaGodfrey-q9b 3 ай бұрын
Anatakiwa mtu mkorofi kama magu
@salehesalehe2967
@salehesalehe2967 3 ай бұрын
Mfate
@danielambonisye6261
@danielambonisye6261 3 ай бұрын
Mubarikiwe na Bwana Yesu Kristo aliye hai na Baba Mungu aliye wakutanisha pamoja kama ndugu, mupewe hekima na maarifa kwaajili ya kuongoza haya mataifa
@EmmanuelChrispin-bo5xh
@EmmanuelChrispin-bo5xh 3 ай бұрын
Unamoyo
@ponsianomnyaru9140
@ponsianomnyaru9140 3 ай бұрын
Rais samia bora ujiuzuru tu hii nchi huiwezi kabisa unazingua tu
@salehesalehe2967
@salehesalehe2967 3 ай бұрын
Wewe ulimchagua fala wewe
@inocentmakubi4562
@inocentmakubi4562 3 ай бұрын
Matusi ya Nini Sasa hapo jmn??
А ВЫ ЛЮБИТЕ ШКОЛУ?? #shorts
00:20
Паша Осадчий
Рет қаралды 9 МЛН
Officer Rabbit is so bad. He made Luffy deaf. #funny #supersiblings #comedy
00:18
Funny superhero siblings
Рет қаралды 13 МЛН
TAZAMA OSCAR NYERERE ALIVYOMUACHA HOI RAIS SAMIA, AITWA KUTUNZWA
6:20
Robert Greene: A Process for Finding & Achieving Your Unique Purpose
3:11:18
Andrew Huberman
Рет қаралды 12 МЛН
А ВЫ ЛЮБИТЕ ШКОЛУ?? #shorts
00:20
Паша Осадчий
Рет қаралды 9 МЛН