Mungu ibarik Tanzania, Mungu ibarik Mozambique, na wabariki viongozi wa nchi zote mbili
@Nick166973 ай бұрын
Yaani kwa Kiswahili hicho unaongea, sidhani kama mashine ya ukalimani kama inaweza kutoa tafsiri,,,
@danielmrashani87103 ай бұрын
We love and we pray for you our lovely president mama piga kazi, Mimi ni mchungaji nipo katoro mkoa wa geita kusema ukweli I'm proud of you mama Mungu akupe maisha marefu na AFYA njema, uongozi Bora hakika umetuletea democrasia, maendeleo na mahusiano ya kimataifa, asiye kuelewa msamahee tu mama na usonge mbele
@prince.eric_msemwa97323 ай бұрын
Wafundisheni kiswahili pia ao...kireno ndo nn 🕵🏽♂️
@scoutpwanimchangani67113 ай бұрын
Waambiwe na wakenya
@emmanuellupiga3 ай бұрын
Kichwa cha habari kigumu mno duh
@charlesmwambinga43553 ай бұрын
Siku hizi Ayo kawaachia madogo wanapost tu vitu kutoka popote bila yeye kupitia headings na contents
@saidkipalo44273 ай бұрын
Sio kama yule mshkaji 😅
@salehesalehe29673 ай бұрын
Asante mama 10 Tena
@smartonlinetv51443 ай бұрын
Karibu nyumbani Mh Rais Filipe j nyusi
@allytv17143 ай бұрын
Tozo ya umeme mmeongeza mnakata elf2 mbn amsemi mnajikatia tyuu hii nchi siyo yenu pekee ccm wezi Rais na serikali yako ya wizi
@Zainabnoor0087-ze3 ай бұрын
kwani huwezi toa kero hadi utukane
@allytv17143 ай бұрын
@@Zainabnoor0087-ze unajua matusi zaina nenda Kenya nw utayasikia
@walidmgonja36443 ай бұрын
@@allytv1714wewe ni kilaza,hata hufikirii mahali gani uweke coment,unaropoka tu
@allytv17143 ай бұрын
@@walidmgonja3644 kwa7babu ww ni mtoto wa kigogo mnalipiwa umeme na serikali au ww wakishua unasubiri urithi au ww bado unaishi kwenu jitulize wakishua ss tunajipambania
@monicamwita78653 ай бұрын
Haya maisha hivi mama yetu Nashua kweli tunachukulia watu wake. Kila kitu jiko huu. Tangerines huruma
@HeboniBabu3 ай бұрын
Dada atakusoma amsomi mnasainitu mbona usanii
@allydingi97363 ай бұрын
Watanzania tunapata shida tunapoomba vizas kwenda msumbiji mtu umekamilisha document zote lakini kupata vizas unakaa mpaka miezi 3 hujapewa vizas
@ndukulusudikucho_3 ай бұрын
Mhh Visa ya kwenda kuishi? huwa napita saana Msumbiji kuelekea South Africa , MTanzania huihitaji Visa kwenda Msumbiji ila wana viji rushwa fulani
@mkanjimamkanjimamkanjima20433 ай бұрын
Hamna viza ya mtanzania kuja Mozambique wala viza ya mtu Mozambique kwenda tanzania bali unapaswa kuwa na passport au hati ya dharula ya kusafilia
@jonasrobina86293 ай бұрын
Happy to see u brother Ben
@HajiKlein-so1rk3 ай бұрын
Bi mkubwa mitano tena🇹🇿🇹🇿🌹
@muksinimbaruku12333 ай бұрын
Hakuna mkakati wa kujenga barabra kubwa inayotoka msumbiji mpka Tanzania? Iwe reli au rami
@PamelaGodfrey-q9b3 ай бұрын
Bora mama ameamua kupumzika
@salehesalehe29673 ай бұрын
Asante Mama Rais
@richkaja33173 ай бұрын
Mama tunakuomba upumzie nyumbani muachie makonda kiti
@salehesalehe29673 ай бұрын
Mwachemama chizi wewe
@ScopionScopion-zj9cd3 ай бұрын
ayo unazingua caver uliyoweka Namaerezo yaliopo mbona sio me Nijua mama kasema hata gombea tena Nimpe mauwa yake kumbe sio dah umenipotezea dk kwenye kaz
@PamelaGodfrey-q9b3 ай бұрын
Anatakiwa mtu mkorofi kama magu
@salehesalehe29673 ай бұрын
Mfate
@danielambonisye62613 ай бұрын
Mubarikiwe na Bwana Yesu Kristo aliye hai na Baba Mungu aliye wakutanisha pamoja kama ndugu, mupewe hekima na maarifa kwaajili ya kuongoza haya mataifa
@EmmanuelChrispin-bo5xh3 ай бұрын
Unamoyo
@ponsianomnyaru91403 ай бұрын
Rais samia bora ujiuzuru tu hii nchi huiwezi kabisa unazingua tu