MAKONDA AMCHENJIA POLISI - ''AFANDE ACHA MASIHARA BASI - HUYO MTU ANAFANYA UHALIFU - KUNA SHIDA''...

  Рет қаралды 107,704

Global TV  Online

Global TV Online

Ай бұрын

MAKONDA AMCHENJIA POLISI - ''AFANDE ACHA MASIHARA BASI - HUYO MTU ANAFANYA UHALIFU - KUNA SHIDA''...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 100
@globaltv_online
@globaltv_online Ай бұрын
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@RASHIDMPUMU
@RASHIDMPUMU Ай бұрын
Mkuu wa mkoa, upo vizuri kabisa, wewe unabahati sana mshukuru sana Mungu wako fanya sana ibada umeifanya Arusha kuwa pamoja na wewe wengi tulijua unaenda mahala pagumu kumbe hakuna mkate mguu mbele ya chai
@binamungulameck8655
@binamungulameck8655 16 күн бұрын
Mkuu wa mkoa Arusha unachapa kazi🙏
@ondaomari6255
@ondaomari6255 Ай бұрын
Wote wakiwa kama Makonda Tz kama ulaya moja kwa moja
@johnrambo9642
@johnrambo9642 29 күн бұрын
Mwenye kiti mbona ana akili sana kuliko police na wengine
@M_tika
@M_tika Ай бұрын
Huyo kibaka kitu ataenda kufanyiwa huko 🙌🏻🙌🏻🙌🏻
@kyannickk2be
@kyannickk2be Ай бұрын
tumepokea tunafanyia kazi....so Mkuu wa Mkoa asingekuja msingefanyia kazi!!!?
@Mohaa4309
@Mohaa4309 Ай бұрын
Noma sana
@David-if6nk
@David-if6nk 17 күн бұрын
😂
@JuliusHatari
@JuliusHatari 15 күн бұрын
SI apo sasa ,yaani ni hatari
@susananyasani6526
@susananyasani6526 Ай бұрын
Huenda Polisi wanashiriki na Wizi anaotendenda na kuvuncha Nyumba za Wananchi wanapokuwa kazini Kijana huyo asante
@JeremiasikilianiJeremiasikilia
@JeremiasikilianiJeremiasikilia 20 күн бұрын
Yes chief, Makonda I give u a big respect for that you are right🙏
@user-el5fd8kk6y
@user-el5fd8kk6y 17 күн бұрын
Sipatii picha siku Makonda ajekua Rais wa Nchi hii walahi tutakoma😂😂😂😂😂😂😂😂
@user-it2tr7ny8d
@user-it2tr7ny8d Ай бұрын
Habari mbana ya zamani😂😂😂
@user-mi7cd8ch1b
@user-mi7cd8ch1b Ай бұрын
Polisi wa tz ni wahovyo sana tatizo ra mapolisi tz hawajui kabsaaa usarama hakuna,,uku Oman ukipga sm polisi tu wanakuja hawangari wiraya wara kata mazari kunatukio tu wanarishugurikia nashangaha viongozi wanasafri nchi za watu hawajifundi
@shamzone388
@shamzone388 Ай бұрын
Kila nchi na sheria zake Usijivunie police wa oman ni nchi yao na ni wajibu wa kulinda nchi yao… Nchi yetu hata ikiwa vipi tutarudi makwetu tukamalize maisha yetu Makonda hoyeee❤❤❤
@basharahamtzhalisi6871
@basharahamtzhalisi6871 28 күн бұрын
Mbona kama vile mkurya anaishi Oman?
@PetroMadada
@PetroMadada 4 күн бұрын
Makonda ishi maisha marefu Kwa hekima ya utumishi
@SelijusiMalambo-rh6sf
@SelijusiMalambo-rh6sf Ай бұрын
Huyo nyota niza nini hajuwi kitu chochote
@David-if6nk
@David-if6nk 17 күн бұрын
Hahahahaa
@ahmedalfan8075
@ahmedalfan8075 13 күн бұрын
Nashindwa kuwaelewa police wa tz sijui wamerogwa nanani dah
@husseinkonz5192
@husseinkonz5192 Ай бұрын
Afande itakua anafaidika na huyo kibaka
@alexanderkapinga700
@alexanderkapinga700 Ай бұрын
Hakuna kitu hapo Mkuu Makonda kunahitajika kitu cha ziada.
@JumaMadebe-gp7ov
@JumaMadebe-gp7ov 4 күн бұрын
Watu, Kam hawo! Mungu ana watoa, wachache tu, huyo ni mwamba
@user-ih9xy5vd5d
@user-ih9xy5vd5d Ай бұрын
Nchi imeoza hii dah mpaka aibu, mifumo ya ajabu kabisa, hii mikutano ni mpaka lini? Nyerere alijitahidi kuondoa ujinga lakini mpaka leo hii majitu majinga yamekaa hapo, unatatua matatizo kama gengeni?
@RajabuKibwana-ol4ud
@RajabuKibwana-ol4ud 12 күн бұрын
Makonda chapa kazi mungu atakuripa
@seiphyahya5353
@seiphyahya5353 Ай бұрын
Huyo mwizi achukuliwe hatua na wenzake kama walivyofanywa wale PANYA ROAD WA DAR.
@cisselamerverille5286
@cisselamerverille5286 12 күн бұрын
Baraka 🙆 kwisha kabisa...
@Ahmedikiringamoyo
@Ahmedikiringamoyo Ай бұрын
Hongerasana makonda munguakubariki
@user-mc5zb3ox9c
@user-mc5zb3ox9c 3 күн бұрын
Anaenda kuomba msaanda masikini
@SifaelMpagike-gt1gz
@SifaelMpagike-gt1gz 8 күн бұрын
Mungu irehemu nchi yetu
@emmanuellupiga
@emmanuellupiga 15 күн бұрын
Mengine sio ya kwenye maiki walosikia hii tujuane Nawaza makonda anawaza nn kwa kauli hii😂😂😂
@user-fi1yg4qj1i
@user-fi1yg4qj1i Ай бұрын
Ila makonda anajua kuwakamata watu napendaga sana hapa kiongozi wawanyonge tunae🙏🙏🙏
@LilianKisumbi
@LilianKisumbi Ай бұрын
Kazi nzuri
@user-mi7cd8ch1b
@user-mi7cd8ch1b Ай бұрын
Hakuna urizi shirikishi jeshi ra polisi hariereweki watu wanataka polisi wao wanasema hurinzi shirikishi unasaidya nn wengiwao ni vibaka
@imeldasamwel539
@imeldasamwel539 Ай бұрын
Eti naye anaitwa police wanachafua jina serkal tyu haw
@sergiohalhakeem11
@sergiohalhakeem11 Ай бұрын
Wananchi wenye hasira kali mpo wapi tena... Kajamaa kamoja kanazingua kata nzima huku😂😂😂
@user-qt7jd5on4z
@user-qt7jd5on4z Ай бұрын
Mbona mnaweka maridio shida nin
@evelina9621
@evelina9621 Ай бұрын
Polisi.mishahara.vizuri.kazi Endele
@AmiriSalum-d5c
@AmiriSalum-d5c 2 күн бұрын
Jibu nikwamba tuenda kumkamata tuna kuja nae akatumikie KIFUNGO Cha MAISHA Hilo ndio jibu sio tutalifanyia KAZI lini MKAMATENI sasahivi
@user-yt5ue4vj5b
@user-yt5ue4vj5b 7 күн бұрын
Sahiz wabunge so hishu Sahiz wabunge awana umuhimu
@FridaMmari
@FridaMmari 11 күн бұрын
Ole wenu huyo kibaka ahame mkoa akija mkoa tulipo tairi naafuta ya taaa yatamkuta
@davidchihimba9489
@davidchihimba9489 10 күн бұрын
Polisi wa tanzania wengi hawajaenda shule kazi kutumia miguvu akili hakuna
@AlifaHamis
@AlifaHamis Ай бұрын
Police Wana kuka Mishahala ya buletu kazi 0
@user-cr1ft3xe4h
@user-cr1ft3xe4h 20 күн бұрын
❤❤
@davidchihimba9489
@davidchihimba9489 10 күн бұрын
Mapolisi nao ni majambazi tu polisi mnaona ccm yenu wote mnatuzengua tu mtoke wote
@dstaroficial
@dstaroficial 14 күн бұрын
Hapa makonda umenikosa yan inafikia wakat unaweza ukampenda mwiz ukanchukiabpolic hawpolic dah
@AlfredMatemu
@AlfredMatemu 11 күн бұрын
Achen kushaki vyitu kama hivi kijana anawashindaje raia wote mpunzisheni chapu mtaa utulie
@barakamnungamo3213
@barakamnungamo3213 25 күн бұрын
Huyo baraka msengerema sengerema hana nguvu ya kufanya kaz mpk aibe abadilishe jina kubalababaake
@Selemanjohn-se1el
@Selemanjohn-se1el 14 күн бұрын
😂😂😂😂 atimae tumepata jembe kamalilelile kwelimungu yupo
@jazeerajuma5014
@jazeerajuma5014 25 күн бұрын
Mkuu wa mkoa yani polisi wa arusha walarushwaaqq ijiwezekana hamish wotee
@flova7022
@flova7022 29 күн бұрын
Kitacho mkuta huyo mwizi nko palleeeee ashikweee tuu shenzi
@TellaaxisTz
@TellaaxisTz 13 күн бұрын
😮
@AllanAluma-ss8lb
@AllanAluma-ss8lb 24 күн бұрын
Wanainchi hatuna haja yakujua ma swala ya utawala, tunaitaji amani.
@andrewelangwa5147
@andrewelangwa5147 29 күн бұрын
Mkuu wa upelelezi ndo kanyoosha maelezo
@faustinemlelwa7448
@faustinemlelwa7448 14 күн бұрын
Piga kazi kaka
@evelina9621
@evelina9621 Ай бұрын
Sheria.mahama.anafanya.n,n.polisi.wapewa.pese.wapewa.mishara.kwa.wakati Wambunge.wana.pewa.mishahara.mikubwa.wafanyakazi.hoi.hata
@temuramadhani5134
@temuramadhani5134 Ай бұрын
Oc,d,punguani
@benjaminlijongwa3715
@benjaminlijongwa3715 12 күн бұрын
KWANI SI MUMUUE TU YAISHE JAMANI?
@Amirimohammedi-hb8xu
@Amirimohammedi-hb8xu 29 күн бұрын
Bombo
@MatronaThomas-wz5si
@MatronaThomas-wz5si Ай бұрын
Mahakama hakuna
@seiphyahya5353
@seiphyahya5353 Ай бұрын
HILI SUALA KAMA LA MATUKIO YA SALENDER BRIDGE HAPA DAR
@LukaBaraka
@LukaBaraka Ай бұрын
Huo ndo ukweli sasa wako wapi?
@andrewelangwa5147
@andrewelangwa5147 29 күн бұрын
Huyo afande hanyooshi maelezo
@RobertLyimo-vj3up
@RobertLyimo-vj3up Ай бұрын
Afande anaongea kwa logic
@Mohaa4309
@Mohaa4309 Ай бұрын
Vunja mikono
@user-hv7pw6ih5v
@user-hv7pw6ih5v Ай бұрын
Mheshimiwa Makonda kwanini usiwape kibano hao police
@David-if6nk
@David-if6nk 17 күн бұрын
Hana mamlaka hayo
@KindambaMtunje
@KindambaMtunje 17 күн бұрын
Achomwe moto uyoo
@dstaroficial
@dstaroficial 14 күн бұрын
Kiukwel xiipnd ccm ila naanz kkpnda makonda
@abdukhalnyerere8993
@abdukhalnyerere8993 14 күн бұрын
Kuua tu malizia
@mandovapicture
@mandovapicture 25 күн бұрын
Makonda atengwe
@jazeerajuma5014
@jazeerajuma5014 25 күн бұрын
Makonda tunaomba uende ngarenaro mtaaa wa madadi jamani watu wanauza mirungi wakikamatwa wanatoa rushwa wanaachiwa
@officialaziry3305
@officialaziry3305 18 күн бұрын
Mirungi haina shida 😂😂 shida ni huo unyanyasaji wa wanainch
@barackamtwange1925
@barackamtwange1925 14 күн бұрын
Mwamba ni huyu saasa
@JumanneKimuna-lo7yp
@JumanneKimuna-lo7yp Ай бұрын
:
@mtzhalisi2232
@mtzhalisi2232 Ай бұрын
Mbona taharifa hii mlishaiwekaga?
@francohaule-ci7ii
@francohaule-ci7ii 18 күн бұрын
Sasa wabunge wanafanya kazi gani
@user-hv7pw6ih5v
@user-hv7pw6ih5v Ай бұрын
Huyo afande aache kujiuma mdomo kama vile paka aliyekamata panya, nikwamba hata uwe Police kutoka Mkoa mwingine una haki ya kukamata muharifu,hivi kipindi unaapishwa uliapa nini si uliapa kulinda raia na mali zao Tanzania au uliapa kulinda maeneo ya mke wako kusudi akiweka maji ya ugali umwambie dkk tatu unga unafika
@JuliusHatari
@JuliusHatari 15 күн бұрын
Umeongea point ila nimecheka ety kulinda maeneo ya mke wako😂😢😂😂😂
@user-hv7pw6ih5v
@user-hv7pw6ih5v 15 күн бұрын
@@JuliusHatari siyo kwamba nimechekesha apana hawa Police wanakera sana hawaoni wenzao JWTZ hawana mchezo kabisa ila ukisikia wanavyoapa utasema tumepata jeshi kumbe ni mizengwe tu ila siyo Tanzania tu ni dunia nzima sijui police dunia nzima wana matatizo gani jina Police 🙊🙊 aibu tupu
@JuliusHatari
@JuliusHatari 15 күн бұрын
@@user-hv7pw6ih5v kweli kabisa Mimi ni Afisa jeshi Niko Butiama ila ao baadhi ya wenzetu polisi wanakiuka taratibu,, Aya ndugu yangu
@ChristianMkumbo-ix2ke
@ChristianMkumbo-ix2ke Ай бұрын
Mahakama ndiyo inatowa hukumu makonda hiyo siyo kaziyako
@AlifaHamis
@AlifaHamis Ай бұрын
Kwahiyo watu wandelee kuibiwa hadi mahakama itoe hukumu kwanza unajua kazi ya mahakama wewe
@kakaaignas3675
@kakaaignas3675 Ай бұрын
Auna akil wewe
@leonardjohnson2058
@leonardjohnson2058 Ай бұрын
Jinga kabisa
@edsonmganyiz9520
@edsonmganyiz9520 Ай бұрын
Ww ata D1 huna
@alexlyamsema2725
@alexlyamsema2725 Ай бұрын
Ndo yaleyale mambumbumbu kwenye hii nchi yasokuwa na akili ,jinga kabisa watu wanaomba usalama wa Mali zao kuna fara anaongea ety hiyo sio kazi yako ,mbwa kabisa
@officialaziry3305
@officialaziry3305 18 күн бұрын
Makonda ana sema ..mengine sio ya kwenye maic 😂😂😂
@ashrafuful
@ashrafuful 15 күн бұрын
maana yake hapo piga chuma hiko
@user-vq3xo6ip4t
@user-vq3xo6ip4t 14 күн бұрын
watakuwa wana kulanaeuyo baba makonda
Cool Items! New Gadgets, Smart Appliances 🌟 By 123 GO! House
00:18
123 GO! HOUSE
Рет қаралды 17 МЛН
НРАВИТСЯ ЭТОТ ФОРМАТ??
00:37
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 5 МЛН
Llegó al techo 😱
00:37
Juan De Dios Pantoja
Рет қаралды 51 МЛН
Clowns abuse children#Short #Officer Rabbit #angel
00:51
兔子警官
Рет қаралды 76 МЛН
Who Is JD Vance? Why Trump Nominated Him for VP | WSJ
6:38
The Wall Street Journal
Рет қаралды 3,1 МЛН
Cool Items! New Gadgets, Smart Appliances 🌟 By 123 GO! House
00:18
123 GO! HOUSE
Рет қаралды 17 МЛН