Good job vijana wa JKT Mungu atawalipa kwa kazi yenu njema
@hallin95616 ай бұрын
mmewaamisha wamaasai ili muuze ngorongoro. wananchi kazi kutukuza tu
@emanuelsinyinza5 ай бұрын
Watanzani hawo ni watumwa wa mwarabu . Mnanyanyasa. Wenzenu kwa vipande vya pesa mungu yupo ,.
@emanuelsinyinza5 ай бұрын
Mungu atawalaani na tayari mnalaana kinacho fuata mtakiona,
@harunahassani78826 ай бұрын
Lakini kwa nn wahame?? Hiyari imetoka wapi wkt mwanzo walikataa?? Hifadhini wameishi miaka mingapi toka tz iumbwe? Kwa nn watumie gharama kubwa Ivyo kuwajengea nyumba na kuwahamisha?? Ngorongoro kunani? NI masuala ya hifadhi tu au Kuna kingine?
@adoniemanuel9086 ай бұрын
hukuki nikuha kwa kulazimishwa huwezi kosa huduma zamsingi ukaendelea kukaa pale yani kunahuduma zimesitishwa kutolewa ili uhame mwenyewe kwahiyo unaona kwanini nifie hapa misri unaondoka mwenyewe kwwli tanzania nishidaa tupu
@uwezawamungumkuu.amaniafrika6 ай бұрын
Aya bana yote tumwachie Mungu mkuu. Amen.
@simonhombo97676 ай бұрын
Mmmmh naona magari ya mjombaaa .....ama kweli maji hayaendi mlimani
@YohanaKuroo-jz1dr5 ай бұрын
mujue mutakufa tu muache kila kitu munanyanganya kimabafu😂😂😂😅
@daniellaizer16 ай бұрын
Kinachoendelea hapa sio sawa ila wengi hatuwezi kuona wala kuelewa kwa sasa. Let’s just wait and see
@dismasdastan54936 ай бұрын
Wote wanaoshiriki kuuza Ardhi hii ya tanzania nina uhakika mbali na kifo ambacho kinatusibiri sisi wote ....Ila nasema yeyote Alieshiriki kuuza Aridhi hii ya Tanzania kwa waarabu huko falme za kiarabu Nasema itawatafuna kabla ya kifo chao hakijafika kwamana hii lazima ulimwengu ushuhudie ulichofanya❤
@user-mq6lu2po3y6 ай бұрын
Wewe umeletewea dini mpaka na mzungu au hujajiona? Babu zako wa 1800 walikua dini Gani?
@dismasdastan54936 ай бұрын
@@user-mq6lu2po3y so maendeleo ni dini?...🤺
@bikoolaizer27376 ай бұрын
Acha bangi kuna maana hauelewi nn au unatetea nn?@@user-mq6lu2po3y
@marthamungure177711 күн бұрын
@@user-mq6lu2po3yhapa siyo swala la dini, ni kuuza nchi kwa Waarabu😢
@user-rc1dp6ux3k6 ай бұрын
Wamasai mtajuta
@davidsaibu29305 ай бұрын
kwann
@jameskiroka25496 ай бұрын
🇹🇿mbuga Imeuzwa kwa kwa waarabu. Mwaarabu ana nguvu ya pesa
@Abuu-lr5bz6 ай бұрын
Tatizo ufinyu wa akili ndio janga Lataifa Sasa unauhakika kua wameuzuwa waarabu au unachuki za kupandikizwa
@giftchristianmeela14095 ай бұрын
Tatizo lenu nyie mnashindwa kutofautisha kati ya Ngorongoro na Loliondo.
@user-nn6zq1ok7i6 ай бұрын
MIMi HUWA NASHANGAA.KWANN WAWEKEZAJI WANATAKA SEHEMU TULIZO WEKEZA SISI SI NAO WAKAANZE WAONE UCHUNGU WA KUANZISHA JAMBO
@sephaniangulo40356 ай бұрын
Lakin msiwazuie kutumia miti shamba , hzo ndyo dawa zao za asili na zinawafanya kuishi mda mrefu pia
@user-co3ee9nb5q6 ай бұрын
Mmehoji wageni au wahamiaji mbona hamjawahoji wenyeji kujua changamoto wanazozipitia kutokana na ujio wa wageni?
@simonkipondo14536 ай бұрын
Umenena vyema
@judithkirenga99776 ай бұрын
Wanajeshi wetu wamefanya vyema sana ,nachotamani ni kuona wamasai hawaachi utamaduni wao
@user-co3ee9nb5q6 ай бұрын
Ng'ombe mmoja anahitaji eka moja je mtawatosheleza au mnakaribisha ugomvi kati ya wageni na wenyeji. Je ardhi mnayoichukua kutoka kwa wenyeji je mnawafidia? Maana sheria zipo wazi kua hata kama ni kwa manufaa kwa nchi, serikali inatakiwa itoe fidia. Sasa ukweli ni kua hakuna fidia inayotolewa.
@giztony20096 ай бұрын
I really dont know the motive behind!
@user-nn6zq1ok7i6 ай бұрын
Arthi ya asili ina thanani Sana kuliko hizo nyumba. Asili nibora kuliko artficial
@augustinejacobs96576 ай бұрын
wanajeshi ni waaminifu sana, wapewe na sehemu nyinginezo
@loningoletayo84536 ай бұрын
Tunavyojua kabila letu ni kuwa na mke zaidi ya moja je hilo mmezingatia?maana naona family inakabidhiwa nyumba moja
@theafricaiknow66156 ай бұрын
NA ENEO LA EKARI 2.5 ILI MWENYE FAMILIA KUBWA AWEZE KUWA NA SEHEMU YA KUONHEZA NYUMBA
@judithkirenga99776 ай бұрын
I wish them good luck, Mungu awalinde na awatie nguvu sana, Asanteni kwa kueshimu maamuzi ambayo yanania njema,❤
@marthamungure177711 күн бұрын
Watu wamezaliwa Ngorongoro watapelekwaje Mkoa wa Tanga?
@giftkalenge4185 ай бұрын
Hongera Raise wetu mama Samia umebadilisha maisha Hawa wafugaji kiukweli no mazuri
@user-oh6wc8xr5w5 ай бұрын
Kweli mungu awabariki kweli zaidi ya sans
@emanuelsinyinza5 ай бұрын
Mshenzi tuu amehongwa..umehogwa nyinyi ni watumwa.tuu.
@afamatv48485 ай бұрын
Huyo Mwenyekiti wa Kijiji Ana akili na nusu 🎉🙏👍👍
@papamongelwa-rb3ne6 күн бұрын
Nyumba au choo ni vituko kweli TZ
@omarybakunda25546 ай бұрын
Safi sana serikali yetu unafanya vizuri sana
@johnmwalingo52186 ай бұрын
Hongera sana kwa Serikali yetu kwa kazi nzuri
@reginas18326 ай бұрын
Kwa nini msiwape waarabu huko??? Mungu anawaona
@user-os8qc7pl1g5 ай бұрын
Kazi nzuri sana
@adoniemanuel9086 ай бұрын
jamani kweli ni nyumba ambayo anastaili kushi mtuu karnee hii utasema ni nyumba yamabox watoto anajifunza kujengaa huu nimsiba ndugu zangu msipo badilika kubadili hii serekali kunasiku mtachimbiwa mashimo chini ya arizi muambiwe muishiii
@ibrahimallyweunaijuahiyoco86086 ай бұрын
onyesha nyumba unayoishi wewe
@roggoyacny5 ай бұрын
MIRAD AYO,,NDIO MOJA YA VYOMBO VYA HABARI AMBAVYO NAVIKUBALI,,, HONGERA SANA RAIS MAMA SAMIA KWA KUWAJALI WATU WETU,,,
@jacobletema36816 ай бұрын
Naomba kuuliza tu, hii fedha ya ujenzi na gharama zote za uhamaji inatokana na nini?
@daniellaizer16 ай бұрын
swali zuri hapa kinachoendelea……..
@emanuelmselle6376 ай бұрын
JKT❤
@elioimer84236 ай бұрын
Nyie wamasai mnaoshangilia maafa mtakuja shangaa na kujuta na Maisha baadhi yenu mnavyoambiwa mseme mtandaoni. Mmeonyeshwa mahali pa malisho ya ngombe zenu au kuanzia sasa ufugaji bye bye?
@erastusbartaine944018 күн бұрын
Sasa wanyama mtafuga namna gni??
@user-se3wg5pe3u6 ай бұрын
Safi sana selikari
@officialngassama25396 ай бұрын
Alaf anatokea mhaya mmoja amevimbiwa ndiz anasema jkt kisiwe kigezo cha ajira za majeshi ili hali vijana hao wanafanya kaz kubwa sanaa cijui hawaoni
@exprodigitaltechtv55716 ай бұрын
ulielewa alichomaanisha yule mbunge? ni kwamba kuwe kuna usawa katika kupata Ajira kati ya vijana wanaopitia jkt na wasipita jkt kwa sabab wapo vijana wanaofanya vizur lakin hawakupita jkt na wapo vijana wasiofanya vizur na wamepita jkt
@hamadsheni89976 ай бұрын
Jkt kisiwe kigezo cha kupatia kazi serikalini.
@exprodigitaltechtv55716 ай бұрын
@@hamadsheni8997 yeah mbunge alikua na hoja kweli na jkt iwe hiari sio lazima
@MiriamAbdallah6 ай бұрын
Acha kuchanganya mada kama sio ajira za majeshi ni waajiriwa wa sekta nyingine mwanajshi anaajiriwa akifamaliza mafunzo yao yaani unaongea ukiwa umejiamini na kiwatusi wahaya
@user-zn4fw9cl1g6 ай бұрын
Hongereni makamanda. Mko makini
@octiminja52606 ай бұрын
Mama Samia Mungu akupe maisha marefu .......
@ProsperMsemwa-g8n20 күн бұрын
Mmwiguru Kara tenda
@yonasaimoni13026 ай бұрын
Ndani ya inchi yako unakua mkimbizi halafu chamana ni kuzwa kwa inchi na washenziiiiii
@agapemunyi20956 ай бұрын
Huwez kuwajudge kama wakimbiz kwa sabb unakuta nyumba sio kutelekezwa
@thomasmcheri6 ай бұрын
Maybe
@user-xz4dh8jq6w5 ай бұрын
Salut kwa jkt❤
@ReginaldAplonary6 ай бұрын
Saluti sana kwa askari wetu
@user-nd2fw7nm4x5 ай бұрын
Kama wanapata mahitaji stahiki bora ya kibinadamu hakuna ubaya,na siyo ngorongoro tu kuna maeneo kama Ngarenaro, ungalimited sio sehemu salama kwa binadamu, hakuna njia faire,TANESCO idara maji wapite kutoa huduma
@samirasalim42034 ай бұрын
Msisahau na masikiti na chuo cha watoto kusoma quran. Allah atuwezeshe.
@vannymokoca3586 ай бұрын
That place is really beautiful can i get a land ?
@user-ni5bl7zs2w2 ай бұрын
nyinyi niwangiji sana
@raphaelkessy73606 ай бұрын
❤❤❤Thanks Commander's Kazi Kazi
@user-dg9js4cb7e6 ай бұрын
Good job
@edsonnelson44646 ай бұрын
Safi sana kwa point yako
@louisisd10906 ай бұрын
Safi sanaaaaaaaaaaaa nimependaa
@logicsportsandentertainmen1056 ай бұрын
Afisa Tarafa ni one of the best English teacher hajawai tokea Tanzania kafaulisha watu wengi sana
@RenaldaZeramula6 ай бұрын
Hata miirqdibyq serikali ktk halmashauri wape jeshi. Maana rqsilimqli vijana tunao wengi. Wakurugenzi na wahasibu wanaiba pesa
@raphaelkatanga53356 ай бұрын
Mimi siungi mkomo unatowa watu unapereka watu ???🇹🇿🇹🇿🇹🇿😳😳😳
@graysonpastory19186 ай бұрын
😢😢
@rasheedabby28716 ай бұрын
ESther Luxury ya Mwigu boy
@JoyceStive6 ай бұрын
Mwiguri ni Frester, Dar to Bukoba na sio hizo
@husseinally66995 ай бұрын
Maana yake kero ya zanzibar kushiriki jumuiya ya africa mashariki , maana yake Tanganganyika ishiriki kama tanganyika na sio Tanzania , sasa hapo tunasema serikali 3 muhimu ambayo itakua , Tanganyika. Zanzibar na Tanzania Maswala ya Tanzania na zanzibar au Tanzania bara hakuna nchi duniani inaitwa Tanzania bara au visiwani maana hata Tanganyika ina visiwa
@gladistaemanueliy63364 ай бұрын
Mbona sahivi mnawajengea slop
@msafirimiracle66136 ай бұрын
Bado safari ni ndefu sana.
@osiahstimah6 ай бұрын
Wamasai mpk wamejengewa ndio wamehamaaaaa😅😅😅
@smartonlinetv51446 ай бұрын
Mimi naona wamesaidiwa sana, Kwa sababu nadhani wengine hawakuwa na makazi mazuri ya kuishi lakini hapo wamepata nyumba.
@serndaynjumbo69126 ай бұрын
we jamaa acha kuzima data sisi tunauzwa nyie mnashabikia
@user-mn3yd7jg3q6 ай бұрын
Asa eka mbili itatosha kwel Kwa masai kuchunga ngombe au mnatengeneza bomu uko
@aminatanzanya74756 ай бұрын
Pongezi kwa JKT UZURI HAWO NI WAMASAI HAWATAJAL HAYO MAENEO
@LOSIHVASONGOYO-qh9vy5 ай бұрын
Losihvp songoyo
@elvisoscar99126 ай бұрын
Mabus mwiguru nchemba
@dicksonkilupa22586 ай бұрын
SEMENI MABANDA SIYO NYUMBA. NINA FAMILIA YA WATU 14 VYUMBA 3? ILA MMEFANYA VEMA.
@user-sj3wf5vz7l6 ай бұрын
Naipongeza serikali kwa hizi juhudi. Kwanza kuwawezesha makazi mapya. Pili tanga ina ardhi yenye rutuba watapata chakula na mifugo itapata chakula. Ngorongoro ni hifadhi ya wanyama pori ile hifadhi inatakiwa irudishe uhalisia wake. Kuongezeka kwa watu ngorongoro kunaharibu mazingira halisi ya eneo hilo. Na ikumbukwe kuwa eneo hili la hifadhi ni zawadi Mungu alitupa hakuna eneo lingine duniani ambalo lipo kama ngorongoro. NAIPONGEZA SERIKALI KWA HATUA HII. Na mimi nafikiri huu ni mpango wa mungu, maana Mungu hatorudia kuitengeneza eden. Sisi wenyewe tutairudisha eden
@user-dk5kk4rf3v6 ай бұрын
Uhame kwenu .. ukafurahie ugenini ..labda uwe kichaa .. msituone wajinga ... tunalala gest nzuri kuliko nyimbani na hatutaki
@MmTt-gb5xh5 ай бұрын
Kamaniraha
@king_maik63756 ай бұрын
Bado naskiliza
@damasmassawe36016 ай бұрын
nyumba haipigwi hata plaster
@DpN-rk8xz6 ай бұрын
Safi sanahongera
@MajukaSindole5 ай бұрын
Wana ngorogoro msiache arizi yenu
@YINDIMAKUCHICHANEL-DOM6 ай бұрын
Maaai wa tanga 😂😂😂
@ibrahimlukumay84306 ай бұрын
Unatolewa pazuri unapelekwa pakame
@magorymara55156 ай бұрын
Hifadh ni mateso kwanza si salama kwa watoto kuna wajinga wanafundisha ushoga huko huruhusiwi kulima wala kumilik ardh ya nini kuishi huko
@serndaynjumbo69126 ай бұрын
watanzania fungukeni akili sio mnapongeza tu serikali huku wanauza urithi wetu mbona mnakua manyumbu sana hawa wameondolewa kwasababu miaka ijayomtanzania ataingia Ngorongoro kwa paspot
@abi-onlinetv41816 ай бұрын
Acha akili yako finyu wewe. Leta ushahidi kwa hilo
@glorymarima56115 ай бұрын
Siyo miaka ijayo, tayari tunaingia na passport ya mpiga kura ambayo umepigia ngorongoro, kama hujapiga huingii labda ulipie permit kama wazangu vyenye wanafanya
@agathakimatile49996 ай бұрын
Naona wamasai wakirudi Tena ngolongolo😢😢😢
@user-em7bm2tw9b4 ай бұрын
Wahamiaji haram
@FrankGasper-eq2ui6 ай бұрын
Sema sababu Ni wamasai wanaishi popote
@othmanramadhani69626 ай бұрын
Tanga wameletewa vita😂
@petermanala61386 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@hamzakimaro37646 ай бұрын
Hongera raaisi wetu mpendwa kwa kuwajali raia hawa wa kimasai!!hakika unaupiga mwingi,wanaojiita wapinzani watasubiri sana!! alllah akulinde na MAHASIDI!!
@hallin95616 ай бұрын
umeanza uchama
@deniccgabriel61536 ай бұрын
Mmebaki nyie mnaoopongeza serikali siku wakiamka wakawaambia nyie sio watanzania sijui mtasemaje yaani mtaambiwa nyie muame nchi hii mpelekwe Malawi ukoo😅😅😅😅😅😅😅
@yohananyamaruri91056 ай бұрын
Mm najiuliza, Unajenga nyumba ya vyumba 3 maana yake vyumba 2 na sebure Moja! Mimi nanvyojua wamasai Huwa mwanaume Mmoja anakuwa na wanawake 3 had 4 na watoto zaid ya 12 . Je, kama unampatia familia Moja nyumba Moja ataishijee lkn?? Mnanyanyasa watu Kwa mamlaka mliyonayo! Hizo mbazoliport nyie maliporta mnalipo hizo ndogo tu za walio maskini ambao wanafurahia, je wake walio na Mali nyingi wanapigwa wanakufa . Mbunge hasikilizwi
@Myplusbee6 ай бұрын
Kwahiyo ulitaka wajengewe nyumba za vyumba 12 au killa mwanaume mwenye familia ajengewe nyumba 3 hadi 4 kwavile tu unaamini kila Mmasasi ana wake 3 hadi 4? Na kwanini useme eti "...maana yake ni vyumba 2 na sebule 1" wakati umeshaambiwa vyumba 3? Yaani wamekufafanulia kabisa kwamba chumba 1 cha wazazi, 1 cha watoto wa kike, na kingine cha watoto wa kiume lakini bado unatoa tafsiri zako za eti "chumba 2"?
@MamodelPark6 ай бұрын
Mtu kashasema chumba kimoja cha wazazi viwili vya watoto wakike na kiume sasa unataka upindishe kauli za wenye nyumba uweke fikra zako Heka 2 na nusu makazi Heka 5 za kulima serikali ulitaka iwape nini tena Nyonyo??? Wengine ad wanafurahia na wamesema ila ww tena kwavile unepewa mdomo wa kuongea basi huna budi kuongea lako
@theafricaiknow66156 ай бұрын
HUJASIKILIZA MPAKA MWISHO. HAPO WAMEPEWA NA EKARI 2.5 KWA KILA MTU ILI KAMA FAMILIA YAKO ITAONGEZEKA UWE NA NAFASI YA KUJENGA
Ng'ombe mmoja anahitaji eka moja je mtawatosheleza au mnakaribisha ugomvi kati ya wageni na wenyeji. Je ardhi mnayoichukua kutoka kwa wenyeji je mnawafidia? Maana sheria zipo wazi kua hata kama ni kwa manufaa kwa nchi, serikali inatakiwa itoe fidia. Sasa ukweli ni kua hakuna fidia inayotolewa.
@giftchristianmeela14095 ай бұрын
Hakuna mtu aliyekuwa anamiliki ardhi ngorongoro, huwezi fidiwa kitu ambacho humiliki.