Ayo TV inakukutanisha na Yusuph Said Amir Raia wa Oman ambaye kwa sasa yupo Tanzania na anazunguka Mikoani kwa kutumia usafiri wa gari, tayari ameshaingia Manispaa ya Bukoba Mkoa wa Kagera.
Пікірлер: 33
@adamsharif4753 жыл бұрын
Zanzibar
@mename60203 жыл бұрын
MashaAllah tabarakallah
@j.c.maxima8163 жыл бұрын
Tumempata Balozi wa Utalii! Nawaomba viongozi wetu wakupokee, na hasa Waziri wa Utalii akupokee, maana unaitangaza vizuri Nchi yetu... Barikiwa kaka yetu... Karibu nyumbani! 🇹🇿🇴🇲
@pendael023 жыл бұрын
Namkubali , huwa hachanganyi kiswahili na English ... KiswaEnglish
@boysalim83alhabsi193 жыл бұрын
Asante bro kiswahili lazima tukienzi
@mwamibukulu77453 жыл бұрын
Oman wanaitaka Zanzibar kwa nguvu zote! So wanachokifanya ni kuangalia nguvu ya Tanzania bara kwa ujumla!
@kadijahajali39183 жыл бұрын
Bss
@FatmaAyoub-yr6mk Жыл бұрын
Please twaomba namba ya hyo mtu wa oman
@hamisimakunja5213 жыл бұрын
Millard Ayo Michuano simba yanga
@j.c.maxima8163 жыл бұрын
Millard Ayo, mke wake na watoto wake for the next interview, please!!!👨👨👧👦 👨👨👧👦 👨👨👧👦
@aliamjad26833 жыл бұрын
Nimependa achanganyi Luga tujifunze ilo na afichi ukweli wa kabila nime penda iyo
@innobugobola16943 жыл бұрын
Oman kwa Gar ad Tz sawa je Kuna watanzania wanaotoka Tz ad Oman kwa Gar!?🤔🤔
@marthageorge5593 жыл бұрын
Boss kama bosi ludi omani tumekumisi
@j.c.maxima8163 жыл бұрын
Nazipenda busara zake jamaa huyu... "Msizozane, mkagombana, mkaweza kufeli mambo yenu, na umoja wenu ukaondoka, na kisha nguvu zenu zikapotea... " Hii ni kweli kabisa, umoja ni nguvu, utengano ni udhaifu... Ujumbe umefika:-)
@boysalim83alhabsi193 жыл бұрын
@@j.c.maxima816 shukran
@tatubadi90103 жыл бұрын
Oman kwa Sasa tunaiva kwa joto.. Hata ukioga maji asubuhi.. Yanamoto.. Atar..
@rithadonatus81103 жыл бұрын
Mmmmm
@kadijahajali39183 жыл бұрын
Bass haya
@j.c.maxima8163 жыл бұрын
Waoh! Jamaa anazungumza Kihaya, Kiganda, Kiswahili, Kiarabu, Kiingereza, na Kifaransa !!! Lugha ngapi kwa jumla ?! Siwezi kuhesabu!
@jdidyehuddhveor54793 жыл бұрын
Mnapesa nyingi toeni misaada huko tz
@nasrahassanmasesa37453 жыл бұрын
Yaani Oman ya tisha kwa joto jua kali kinoma fikilia samoja asubuhi maji ya vuka moshi bombani 😂😂
@kabwelasutiviraka47653 жыл бұрын
Ila wanatumikisha ndugu zetu huko Oman 🇴🇲 kama watumwa kazi kibao mshahara mbovu
@prettyh75093 жыл бұрын
Hapana jaman kazi za kawaida nashahara mnono bila makato 😅
@marthageorge5593 жыл бұрын
Tunakufa na joto uku maji ya kuoga niyamoto mbaka uweke barafu ndio uwoge