From #EconomicallyGrowthMusicians Congratulations Guys 🎉Enjoy Muziki Mzuri kutoka EGM, itabidi tupewe kitengo cha Burudani ❤😅
@ShafiiSoud-b3w14 сағат бұрын
😂😅 kumbe anaoa...si alishakul mkpo wa sukari lakin🤣
@AgnesJasson14 сағат бұрын
Uu mwaka umechangamka
@KhadijaTandallah12 сағат бұрын
Sanaaa yaan
@desirechristoph708715 сағат бұрын
Wakwanza Leo kutoka malawi
@samwelwandazi574315 сағат бұрын
Wa pili kutoka Marekani
@IsiahMosl13 сағат бұрын
😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@IsiahMosl13 сағат бұрын
Wa tatu kutoka Oman
@juliusdonard93314 сағат бұрын
Hakikisha azizi unamzlish hata watoto 4
@teofridamakoye14 сағат бұрын
Sasa bila umbea tutaishi kweli😅😅😅
@gordiansoko911313 сағат бұрын
Hilo jamvi la wageni hakuna mke hapo Aziz Ki umeingizwa chaka kama gari hilo Peugeot 404.
@beatricejoseph234712 сағат бұрын
Una kheri wewe uliye haki ya kumhukumu mwanadamu mwenzio ,mshukuru Mungu kwa kukuumba mwaminifu.
@Jackking-f5o5 сағат бұрын
Huna akili unaemuhukum
@GeraldMakala15 сағат бұрын
Ila wanawake ni kama kiazi kinalweza kuliwa na mtu ambae ana meno sasa kweli mdomo kama utumbo lakini pesa inamfanya ipigwe denda mpaka damu itoke 😅😅😅😅
@Legends_Interviews14 сағат бұрын
Money😅😅
@Abuu-gs1yi14 сағат бұрын
Ww uko sawa kimwili na kiakili
@IsiahMosl13 сағат бұрын
Pole sana hujielewi ndo maana ukaandika hivyo kama huna la kuandika unagalia tu unabaki na mawazo Yako..
@salmamlokela198713 сағат бұрын
Umemaliza kuzaa au unaropoka.., wewe unajiona umekamlika eeh sekunde tu mwenyenz MUNGU anakubadilisha
@asmamjema853911 сағат бұрын
Kumbe hata wanaume mna wivu😂 Kwa mawazo yangu naona MUNGU kakunyima akili yakufikir kuwa muumbaji Sio mwanadam sasa naona unajivisha swala la uumbaji, hujafa hujaumbika
@MakaNkoka14 сағат бұрын
Yan hii habar nilikuwa nasubr @millard ayo apost ili niamini