SAMATTA AMALIZANA NA GENK AWEKA WAZI MSIMAMO WAKE, OFA ZA SAUDI ARABIA NA TIMU ATAYOCHEZA MSIMU UJAO

  Рет қаралды 98,438

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 111
@OgesaCTale
@OgesaCTale Жыл бұрын
Mbwana Samata, hii interview umekuwa muwazi kweli kweli...! Safi samagoal endelea kupambana man!
@elibarickielibarick175
@elibarickielibarick175 Жыл бұрын
10:31
@elibarickielibarick175
@elibarickielibarick175 Жыл бұрын
11:13
@mbaroukally8655
@mbaroukally8655 Жыл бұрын
Huko Saudia saa hivi apate namba Samata,labda daraja la pili
@ramadhanisalum3898
@ramadhanisalum3898 Жыл бұрын
Nilichogundua sisi baazi ya wabongo tuna roho mbaya uchawi kuombeana mabaya chuki fitina majungu ili lipo sana mtu akifanikiwa atupendi kbc ilo lipo wazi kbc watu Wana chuki zao za maisha wanajifanya wanaamishia kwenye mpira
@manyuhawilson4201
@manyuhawilson4201 Жыл бұрын
WELL.SAID @SAMA GOAL
@malikzafarani172
@malikzafarani172 Жыл бұрын
Woow amazing sana
@WaziriRamadhan-ML
@WaziriRamadhan-ML Жыл бұрын
Tunampenda msuva cz anajituma sn kulisaidia taifa lake kwenye timu ya taifa
@SwahiliAmbasador954
@SwahiliAmbasador954 Жыл бұрын
Jaman kwa nini comment nyingi mna mlalamikia samata mpeni ushauri anaweza kupitia hizi comment akajifunza kitu
@AbdulatifSaidy
@AbdulatifSaidy Жыл бұрын
Hilo swali la kuhusu kuhama hama inaweza kuchangia kushuka kiwango ni zuri sana. Nadhani Samatta alikosa motivation baada ya kuondoka Aston Villa.
@stevenhipolity6198
@stevenhipolity6198 Жыл бұрын
Hanakiwango hata kwenye timu ya taifa hanamsaada
@paulmsape163
@paulmsape163 Жыл бұрын
Samata unaongea vizuri sn, pongezi kwako
@user-ky4uv8zv7p
@user-ky4uv8zv7p Жыл бұрын
Hongela jemedar wetu utakuwa wameanza milele endelea kupambana
@saleheinnocent7636
@saleheinnocent7636 Жыл бұрын
Me nakukubali to haijalish uko na kiwango gn🔥
@gervasbahingayi
@gervasbahingayi Жыл бұрын
Jitahidi sana usiende warabuni sisi watu weusi wanatubangua sana kua makini sana nibora ubaki kwawazungu naupewe pesa ndogo kuliko kwawarabu kupewa hela nyingi watakupaki benchi kwakue kibaji kama watanzania tupata hazara kumbuka tunakutemea kama nchi
@enoszaka-tx8qw
@enoszaka-tx8qw Жыл бұрын
binafsi namkubali sana sama goal lakini kusema jambo frani halitatokea ikiwa maisha bado yanaendelea hicho kitu sikubaliani nacho ninacho amini tuombeane kheri hakuna mkate mgumu mbele ya chai vijana sasa hivi wanauwasha sana moto
@bobwhite9252
@bobwhite9252 Жыл бұрын
Jamaa mtu wa tofaut sana... Na mafanikio yake yote hayo ila very humble
@Adeen.1
@Adeen.1 Жыл бұрын
Mtu kuwa humble wampima kwa nini? Kuongea? Kutovaa hereni? Kutochora tattoo? Au? Naomba unisaidie
@lutenganolukali2122
@lutenganolukali2122 Жыл бұрын
Mesi akiletwa kikosi Cha mtibwa suger watamchukia, samata wanamuona ana kiwango kidogo kwasababu ya wachezaji anaokutana nao team ya taifa Wana uwezo mdogo ndio maana wanamuona anawaangusha taifa
@ahmadbadawi9664
@ahmadbadawi9664 Жыл бұрын
Hana mpango huyu angekuwa angalau anafunga kama msuva ili kutuziba mdomo
@kaisarimbisso5011
@kaisarimbisso5011 Жыл бұрын
We unavyomuona, ana nafasi ya kucheza Simba au Yanga? Ukweli Ni kwamba kiwango chake Ni kidogo kwa sasa. Anaweza akawa Ni sababu ya team ya taifa kudumaa. Kuna umuhimu akaachwa ili kuenda kwenye direction nyingine
@abiboseleman1649
@abiboseleman1649 Жыл бұрын
tukubariane bana uwezo wake.ndo huo hapo alipo
@BONGOINMOTION
@BONGOINMOTION Жыл бұрын
Samata ukisoma comment temana na wahuni wanao kupa mawazo madogo
@selemanmcharazo
@selemanmcharazo Жыл бұрын
Hana mpango Hana msaada Kwa taiga anajikubali mno alafu ni mchezaji wa kiwango Cha kawaida sana Bora timu ya taiga aitwe kichuya.
@kelsonkenedy6473
@kelsonkenedy6473 Жыл бұрын
jifunze kuandika
@shukranitv2971
@shukranitv2971 Жыл бұрын
Kam hujui mpira kaa kuuanglia tu syo kuropoka ajitumaje Sasa mpka avunjike ndio useme amejituma
@Muda27
@Muda27 Жыл бұрын
Timu ya taiga ndio timu gani mpuuzi wewe
@idrisasalum8013
@idrisasalum8013 Жыл бұрын
Huyu jamaa hana mpira wowote
@erickchitumbi1308
@erickchitumbi1308 Жыл бұрын
Wachezaji wengi hawapati muda wa kuendana na mifumo ya timu wanazoamia kutokana na mihemko ya makocha na mashabiki.mpira umegeuka kama wimbo wa mwizi.akionekana teyari taharuki.
@kaisarimbisso5011
@kaisarimbisso5011 Жыл бұрын
Kuna umuhimu akaachwa team ya taifa ili kujenga team yenye ushindani zaidi. Anaweza akawa ndio sababu kubwa hatuna muelekeo sahihi. Sioni tukijenga future ya stars wakati tunaendelea kumkumbatia.nahodha asiye na mchngo wowote
@kakasteve7117
@kakasteve7117 Жыл бұрын
Kwani kabla ya samata ni lini taifa stars imekua na matokeo mazuri?
@theCashmanier
@theCashmanier Жыл бұрын
Atleast wkt wa Samatta wamecheza AFCON.
@gusonyusto9740
@gusonyusto9740 Жыл бұрын
Hebu tupe mhongo wako tuone unatupeleka wap
@patricklaiton8939
@patricklaiton8939 Жыл бұрын
well said...........ata kuwapa vijana wa u23 fursa awezi.......arudi simba
@shukranitv2971
@shukranitv2971 Жыл бұрын
Nenda kacheze ww
@mkodojoseph-kt8wd
@mkodojoseph-kt8wd Жыл бұрын
Lights haziko vzr
@unknown_9942
@unknown_9942 Жыл бұрын
Usiangaike mjomba njoo simba nyota yako ing'ae upewe minyunyizo na triple c tuone kama hujaenda man city
@ndakimanota
@ndakimanota Жыл бұрын
Unamambo wew
@BADILIJUSTUS-fs3oo
@BADILIJUSTUS-fs3oo Жыл бұрын
Chama Hana Kasi ya kucheza na samatta Kuma ww, huyo chama ambaye ni mzigo kwa kocha na club mara 10 Bora ata saido fundi anaweza cheza na samatta
@unknown_9942
@unknown_9942 Жыл бұрын
@BADILIJUSTUS nenda kwa mama ako mwambie akufundishe lugha nzuri za kuongea na watu kabla haujauponzaa.
@mbwanamtessa8607
@mbwanamtessa8607 Жыл бұрын
Congratulations samagols
@user-gg8ph1ew2w
@user-gg8ph1ew2w Жыл бұрын
Sijakuelewa kabisa samatta sijui unaongea vitu gani
@josephlorri431
@josephlorri431 Жыл бұрын
Karibu mashujaa, kigoma
@user-cs7hi1sp6h
@user-cs7hi1sp6h Жыл бұрын
We vio unampeleka team za Burundi
@josephlorri431
@josephlorri431 Жыл бұрын
@@user-cs7hi1sp6h ameshindwa ulaya, mashujaa ni levels yake (inacheza nbcpl)
@sebastianituruki7673
@sebastianituruki7673 Жыл бұрын
Namkubali sana huyu jamaa sema tu mpira na umri, now unamkataaa aisee
@mohamedhaji2200
@mohamedhaji2200 Жыл бұрын
Samata nimekupenda kuongea ukweli
@ngulathfundikira4205
@ngulathfundikira4205 Жыл бұрын
Wazo zuri
@westchugagang5323
@westchugagang5323 Жыл бұрын
NI KAMA SIMBA KUMJIA MLETE MZUNGU MJUU MPAKA KUONDOKA BORA ANGEACHWA 🙄
@wishjrtz
@wishjrtz Жыл бұрын
mtangazaj saf san unauliz critical questions
@ferdinandlazaro15
@ferdinandlazaro15 Жыл бұрын
Captain Diego....
@Rachid_Daudi
@Rachid_Daudi Жыл бұрын
#LiegeEdward ⚽️
@josephmpunta2662
@josephmpunta2662 Жыл бұрын
Mchezaji mkubwa huyo kachaza fanal na man city nakafungu siyo kitu rahisi
@josephlorri431
@josephlorri431 Жыл бұрын
Hamna faida hapo.. ni rekodi yake.. tunataka mafanikio taifa stars
@ramadhanmaisa788
@ramadhanmaisa788 Жыл бұрын
@@josephlorri431 kacheze ww ulete mafanikio
@josephlorri431
@josephlorri431 Жыл бұрын
@@ramadhanmaisa788 nimecheza na dadako,akapatikana mjomba wako
@ramadhanmaisa788
@ramadhanmaisa788 Жыл бұрын
@@josephlorri431 mkundu wa mamako
@josephlorri431
@josephlorri431 Жыл бұрын
@@ramadhanmaisa788 namtaka dadako tu,sikuhitaji...usijipendekeze kwangu
@salumjuma1236
@salumjuma1236 Жыл бұрын
Umechoka samata kiukweli
@msowamhokole7714
@msowamhokole7714 Жыл бұрын
Samata una bahati na gundu pia unalo maana uwaga auchukui makombe
@ndakimanota
@ndakimanota Жыл бұрын
Hachukui makombe yapi
@bhm675
@bhm675 Жыл бұрын
@@ndakimanota 😂😂😂
@AbdulatifSaidy
@AbdulatifSaidy Жыл бұрын
Umeanza kumfuatilia 2022😂
@habibuhamisi7796
@habibuhamisi7796 Жыл бұрын
makombe mbona amechukua
@ellyitete938
@ellyitete938 Жыл бұрын
Kwann ckuhiz unapiga tushuti mtoto na minazi?
@maase2023
@maase2023 Жыл бұрын
Mpira umekwisha huyu arudi asomee ukocha akafundishe namungo tu
@franccoz94
@franccoz94 Жыл бұрын
Arudi tu simba
@dalalizanzibar9583
@dalalizanzibar9583 Жыл бұрын
Sasa akija mwingine akitangulia kufunga magoli 10, si huyo wa 10 atakuwa wa kwanza jamani? Ndugu mwandishi bhana!!
@Lassana755
@Lassana755 Жыл бұрын
Huyu ata ndo ndo hapati number
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg Жыл бұрын
Hana mpira mkubwa. Heri ya Mzize
@Juliusmashauri114
@Juliusmashauri114 Жыл бұрын
Mbwa wewe mzize bodaboda au nan😂
@MudathiriMahr-df2wg
@MudathiriMahr-df2wg Жыл бұрын
Ila jitahd sn team ya taifa Kaka unatuangusha sn🇹🇿
@jumaaman6260
@jumaaman6260 Жыл бұрын
Umri ushamtupa mkono mwanetu, moyo unataka mwili unagoma
@josephlorri431
@josephlorri431 Жыл бұрын
@@jumaaman6260 case closed. Umesema hakika
@BADILIJUSTUS-fs3oo
@BADILIJUSTUS-fs3oo Жыл бұрын
Mpira ni hakiri mchezaji mtanzania anayejua hivo ni zimbwe na samatta basiiiiiiiii michezaji mingine yote sijui msuva, mingine kutoka yanga inacheza mpira kwa kutumia nguvu nyingi bila akili hayiwezi ata kukotro mpira et unamulaumu samatta
@MudathiriMahr-df2wg
@MudathiriMahr-df2wg Жыл бұрын
@@BADILIJUSTUS-fs3oo hmn team yetu Hain uwez jamb la msing n kujituma tyu
@mgayan1222
@mgayan1222 Жыл бұрын
Mwandishi. Umeshaambiwa ni kweli haitavunjika LAKINI haina maana yoyote hadi pale ITAKAPOKUWA INAZUNGUMZIWA sasa bado unakazia kwamba ina maana. JIFUNZE KUWA Good listerner.
@janeththomas5981
@janeththomas5981 Жыл бұрын
😂😂 nilifikiri ni mimi pekeyangu nimenote hilo.
@josephlorri431
@josephlorri431 Жыл бұрын
Mwandishi ni chawa sana (mwijaku akasome), anataka bahasha baada ya hapo.. unampa sifa hadi mwenyewe anakushtukia..
@unknown_9942
@unknown_9942 Жыл бұрын
Naona jamaa kaamua kustaafu maana huko saud hamn mpira ataenda kucheza atapata mshahara tu na kukaa bench
@muyongahassan2188
@muyongahassan2188 Жыл бұрын
Nikwl
@kaisarimbisso5011
@kaisarimbisso5011 Жыл бұрын
Saudia hana.nafasi. Hata.msuva hana uhakika tena kwenye daraja la pili anakochozea. Mpira umepanda kule.
@bhm675
@bhm675 Жыл бұрын
@@kaisarimbisso5011 msuva yupo championship sio Daraja la pili
@kaisarimbisso5011
@kaisarimbisso5011 Жыл бұрын
@@bhm675 sorry. I was supposed to say yupo kwenye.second tier nyuma ya premiership, ambayo ndiyo championship league. Nchi nyingine wanaiita first division. Msuva anastruggle kuextens contract huko. Nafasi ya samatta ni finyu, in my opinion
@unknown_9942
@unknown_9942 Жыл бұрын
Mpira unaenda sambamba na umri kiukweli samatta na msuva mda wao umeisha hakuna makubwa tutakayoyaona tena. Samatta muda wake ulikuwa kipindi kile yupo Genk anachukuwa tuzo ya mfungaji bora, na muda wake uliisha akiwa Aston villa, kwa ufahamu wangu mdogo tu.
@cadiaonesmo9660
@cadiaonesmo9660 Жыл бұрын
Tatizo ni ubinafsi ulonao kwenye timu ya Taifa hupambani kama wengine wanavyo pambania tmu zao ndo maana hutoboi
@franklinchiduo6988
@franklinchiduo6988 Жыл бұрын
hahahaha hatoboi kwenda wapi tena?
@lilianjonas2272
@lilianjonas2272 Жыл бұрын
Ndo ushangae,,, Yani tatizo watanzania Elimu ndogo , Pili hatuna exposure😝Ukisoma comments utajua weng hatuna kazi so hatuelew kaz n nn, changamoto za kazi, na maendeleo ni nini.
@jamaalsaleem2926
@jamaalsaleem2926 Жыл бұрын
Samagolii
@nathanlusulo-po2lj
@nathanlusulo-po2lj Жыл бұрын
Juhudi hakuna
@muyongahassan2188
@muyongahassan2188 Жыл бұрын
Kwl kbs
@ishakafaki3501
@ishakafaki3501 Жыл бұрын
SISI WA TANZANIA INATEGEMEA UMEZALIWA KUTOKA FAMILY GANII ILA COMMENT ZINAWEKA WATU KATIKA MATABAKA ILI TUJUE WAZAZII WALIOWAZAAA KWAHIYO KIUFUPI COMMENT NA UNAYO YASEMA NDO FAMILY YENUUU KWAIYO .........
@matesosamwel6685
@matesosamwel6685 Жыл бұрын
Kiwango kimeisha kaka rudi bongo
@muyongahassan2188
@muyongahassan2188 Жыл бұрын
Tatizolako hutowi kafara fanya kama wengine mwaga damu kk wanasema kazi na dawa kk amkaaa ww kam pesa uponazo unakwama wapi ss
@killingmleke1810
@killingmleke1810 Жыл бұрын
Huyu ni mtu wa ibada wewe unataka atoe damu ili iweje ?yani aingie zambini kisa maisha ya dunia?huo siyo ushauri mzuri
@muyongahassan2188
@muyongahassan2188 Жыл бұрын
@@killingmleke1810 saw kamanihivo wasimseme vibaya kwanacho kifanya ndoi nguvuzake za kawaida zimeishia hapo
@ntegrity277
@ntegrity277 Жыл бұрын
SAMATA NI MBINAFSI SANA HAJAWAHI KUSHIKA MKONO MTU YEYOTE KUTOKA TANZANIA HE IS A SELFISH PLAYER AND WITH LITTLE EFFORTS
@tusaradrusia9670
@tusaradrusia9670 Жыл бұрын
Ata mshika main mkono na yeye mwenyewe bado ana jitafuta. Mahana hakuwa star kiivyo
@thomaskulwa425
@thomaskulwa425 Жыл бұрын
Mpira sio tako wewe! Kaa kimya. Na huyo siyo wakala uelewe
@AnualyJonas-vo7cf
@AnualyJonas-vo7cf Жыл бұрын
Kelvin John umemushika mkon wew
@FaridiMohamed-dd4hr
@FaridiMohamed-dd4hr Жыл бұрын
Wewe Kuna nani umemuona kamshika mwenzie mkono acha uchawi ww mtoto
@ntegrity277
@ntegrity277 Жыл бұрын
Sisemi amchezee mtu asaidie wengine kwani anampira Gani wa ajabu! Kuna vijana wanacheza soccer balaa! SAMATA IS A SELFISH PLAYER HATA SHULE ALIOSOMA YA MSINGI WATOTO WANAKAA CHINI!
@msowamhokole7714
@msowamhokole7714 Жыл бұрын
Unaadapt nini wewe probably ulitakiwa uonyeshe tarent yako
@franccoz94
@franccoz94 Жыл бұрын
Arudi tu simba
Now it’s my turn ! 😂🥹 @danilisboom  #tiktok #elsarca
00:20
Elsa Arca
Рет қаралды 12 МЛН
Glow Stick Secret Pt.4 😱 #shorts
00:35
Mr DegrEE
Рет қаралды 18 МЛН
WATAALAM WA KILIMO RUKWA WASHAURIWA KUWA KARIBU NA WAKULIMA WAO
5:04
MbeyaYetuOnlineTV
Рет қаралды 26 М.
Now it’s my turn ! 😂🥹 @danilisboom  #tiktok #elsarca
00:20
Elsa Arca
Рет қаралды 12 МЛН