Pole mtoto wangu. Mi nakushauri usifanye Tena kazi ya bodaboda, maana wameshaona sura Yako, wanaweza wakalipiza, kwakuwa Mungu amekuponya, watanzania tunakuchangia ulipe pikipiki na tafuta kazi ingine tafadhali kwa usalama wsko, ikibidi hama hata hapo unapokaa kwa sasa.
@mwajabumsami638820 күн бұрын
Nimewaza kama weww
@JohaDomi-bg5yh20 күн бұрын
Nimeumia jamani kama kaka yangu@@mwajabumsami6388
@user-dl1ju4ge3x18 күн бұрын
Kweli kabisa
@CoolLate-tm8vc18 күн бұрын
Kweli inaliza jmn
@annamwakibinga52718 күн бұрын
Kweli kabisa
@PendoMatemba-ql1ng21 күн бұрын
Wewe tajiri wa pikipiki mungu Anakuona leo Angepoteza maisha ungedahi nini? Siyo sawa bora msaidiane yeye Ajapenda kuvamiwa kweli mungu Anakuona haya maisha bhana
@mariamkibindo174121 күн бұрын
Yaani mpaka mtu unaeza his kama nae anajua huo mchongo sababu pikipik mpya siku mbili TU alafu tukio Hilo boss anadai mmmh?
@PendoMatemba-ql1ng21 күн бұрын
@@mariamkibindo1741 hapa duniani kuna watu wanateseka kisirisiri huyo kabahatika kukutana na mwandishi wangapi wanaonewa kama yeye ni wengi mnoo kpz.
@kibasamohamedi802921 күн бұрын
😅😅😅😅
@user-eu6ql9zl7n21 күн бұрын
Hatareeeee !Anajali pesa tuuu ila ukimaliza den lake achana nae kwanza hujui misingi aliyotumia huyo boss kupata pikpik yamkin ungekua kafara yke
@user-xk7vy4gb6g21 күн бұрын
@@mariamkibindo1741yani hata mimi nimewaza hivyo hivyo istoxhe kapelekwa hadi sehemu ya tukio jambazi kalikuta linaungua moto bado anafungulia kesi huyu dogo
@GibsonNtamamilo21 күн бұрын
Mchanga ni silaha moja matata sana. Hata mbwa alikukimbiza mkabidhi mchanga. Big up chalii kwa kupambana.
@HusnaMtitiko-yt4ru21 күн бұрын
Aise umeniambia hivi nikakumbuka tuliwahi kuvamiwa na nyuki shambani basi mama alisema inameni chini kimuweni mavumbi basi tulifanya vile hatukuzurika 👏
Mnge mficha sura hii nhatari kwakwel Allah akulinde babaa 🤲🤲
@khadijazuberi367218 күн бұрын
Amiin
@MsAisha-w4o20 күн бұрын
Piki piki ni bei gani jamani kwa atakae guswa na hili tueze kuchangia chochote hata ikiwa ni mia tano tano..umoja ni nguvu.. sis ni WATanzania .mngu atulinde..maisha ya boda boda yamekua hatarini sana kwa nyakati hizi..
@ahmedsaid551919 күн бұрын
Hili ni wazi zuri sana
@annamwakibinga52718 күн бұрын
Kabisa
@user-no7pz1bz4y18 күн бұрын
Kweli kabisa 😢
@user-no7pz1bz4y18 күн бұрын
Kuna watu hawana huruma jamani, yani mkaka wawatu kidogo athlete roho na majelaha hv lakn bado tajili anamdai😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@user-wh8vk7sc7v15 күн бұрын
Atoe namba
@Jamesmchinaa8 күн бұрын
Kaka yangu usiache kwenda kumshukuru Mungu Mungu anakupenda sana sana
@JaliaMuro21 күн бұрын
Nimefurahi lkn pia namuonea huruma sana uyu kijana mdogo walivyomuonesha sura kuna watu wamebaki bado hawataridhika wataendelea kumuwinda vip kuhusu usalama wake
@user-bz7kg2lr3f21 күн бұрын
Daah aisee umeongea point sanaaa yaan anahitaj ulinzi maana pia aliekufa anawatu wake
@MerryRenatus-ck4lz20 күн бұрын
Yaani Mungu amlinde mdogo wangu
@shuwehaharuna630920 күн бұрын
Hata Mimi nimeshangaa Kwann wamemuonesha Sura
@winniesimon85016 күн бұрын
Huyu mtoto angeenda jeshi bila kupingwa. Wasn't easy. Una mungu kijana
@winniesimon85016 күн бұрын
Unalindwa na Mungu my son. Una kitu utafika mbali
@ConfusedAlien-xk3sh21 күн бұрын
Mchanga fimbo nzuri sana😂hongera mwanangu wewe ni shujaa
@user-wi8og3sv4j18 күн бұрын
Lakini hawezi kuwa mpenzi kama mbwa analindda chake tu
@Maroo6Official21 күн бұрын
😂😂😂 Nimeinjoy Sana Ila Yote kwa yote nikwanguvu ya Allah
@ayoubmtumishi5015 күн бұрын
Nguvu ya Yesu kristo hiyo
@EddahBure-te7ft10 күн бұрын
@@ayoubmtumishi50Yesu mwenyewe hakujitetea akauliwa kashindwa na huyo dogo kapambania uhai wake yesu kabaki jina tu ivyo wala si shujaa 😅😅
@gilliardgodfriend574521 күн бұрын
Hii mbinu ya mchanga na kumvuta pua aisee😂🦁🦁🦁 we ni zaidi ya mjeda🎉
@naomikatharinaandrewmnkai676020 күн бұрын
😂😂😂kavuta pua ikapasuka. Asee huyu ni zaidi ya jambazi
@frezo817718 күн бұрын
@@naomikatharinaandrewmnkai6760ushaona pua ina achana aisee 😅😅 sio poa ana mbinu za kivita huyu janja
@naomikatharinaandrewmnkai676017 күн бұрын
@@frezo8177 apewe kazi dogo😂
@EddahBure-te7ft10 күн бұрын
@@frezo8177😅😅hafai kabisaa
@arafakiloli74918 күн бұрын
Subhanallah pole sana mdogo wangu...ALLAH azidi kukuhifadhi...pia shikamana na ibada
@5googleuuu72721 күн бұрын
Tumsaidie jamani. Anafaaa aende jeshini❤❤. Kikubwa tumsaidie. Brother wetu mdogo wetu😢 ila alihamundulih. Umetoka salama
@MaryKalunde21 күн бұрын
Pole dogo, pia hongera kwa kupambania roho yako
@meshackthomas134121 күн бұрын
Ndo tujue Mungu akiruhusu ushindi Kwa anaemtaka. Huwa hazingatii wew. Unapambana na jitu la milaba minane ama kitugani tuweni na imani na Mungu alitupatia Akiri kama sehem ya vitendea kaz kujitetea💪
@SalmanMughal-lq5lt21 күн бұрын
InshaAllah
@sharifamahamudu18221 күн бұрын
Kabisa
@user-qq6mv6vh3e20 күн бұрын
Kabisaaa
@HusnaSalum-zu9og2 күн бұрын
Allhamdulillah mungu aongeze ulizi kwako inshałah yatakwisha
@user-gx4vx5ru2u21 күн бұрын
Hongera Sana shujaa hakika Mungu hajakuacha mkumbuke sana huyo Mungu aliekupigania maana hujapigana mwenyew Mungu atakupa pikipiki yako na ya tajiri pia
@mayrfrimi475918 күн бұрын
Dogo nimempenda sana, da! Hongera uko vizur, natamani awe dereva wangu, na umri wake, 19 yrs, hongera sana,
@vero5721 күн бұрын
Huyu apewe kazi ya jeshi
@faidhamyovela17921 күн бұрын
😂😂 kwa sabab gan sasa kumwaga mchanga machon au
@MauaDumba21 күн бұрын
Ndio utaki au?au we ndio mtoa ajira
@JofreyMsigwa-ok7hv21 күн бұрын
Et kama majaliwa😂
@JofreyMsigwa-ok7hv21 күн бұрын
@@MauaDumba sijui
@shanimbaruku207121 күн бұрын
Ni shujaa na bado mdogo sana🎉
@mbwawafillingstation21 күн бұрын
Pole kijana wangu wewe ni zaidi ya mjeshi. Mpeni nafasi jeshini huyu
@bonifacemushijoseph938217 күн бұрын
Ingefaa mbona Awe kama Majaliwa... Serekali Ione pia
@LaurenciaKitauli-or8rr21 күн бұрын
Mungu ni mwema. Pole zake . Huyo ni jasiri ila tajiri yake hana utu. Askari wasitoe maneno ya kukatisha tamaa ,
@user-mi7cd8ch1b21 күн бұрын
Asikari wa bongo wajinga sana badara ya kumpongeza wanakatisha tamaha uyo angekuwa nchi hi uku kwa wenzetu angepata tunzo na kupewa kaz ya jeshi,,Kwan ni jasiri sana, na mungu kampa nguvu alhamdulillah kashinda?
@sharifamahamudu18221 күн бұрын
Aslay wa bongo wenyew waoga
@JoycemsangiJoyce-go9su21 күн бұрын
Kwakweli we ni daudi umemuweza goliati hongera sana kijana
@hildegundembilinyi904217 күн бұрын
Umri wa mwanangu daaa! watoto wetu Mungu awalinde watoto wetu wa kiume wanapitia changamoto
@user-xh7xf2ki3r21 күн бұрын
Maa Shaa Allah hongera sana mdogo wangu kwa ujasiri pia pole kwa mashakil na iman utapata msaada kwa uwezo wa Allah
@cyprianboniphace-oz5lw4 күн бұрын
Pole sana dogo,mwenye piki piki awe muungwana,hii ni kama ajali.
@user-wr7wp9sl2p21 күн бұрын
Pole sana kijana....na hongera Kwa kupambania maisha yako
@GaudenciaMadirisha21 күн бұрын
Aisee hongera kwa kuonyesha ushunjaa 🙏🙏🙏
@garinchamkobe45824 күн бұрын
Dr.Samia Rais wetu Kipenzi kijana huyu ni jasiri naomba Kijana huyu apelekwe CPP Akapewe Mafunzo ya Uaskari maana huyu ni Kijana Jasiri kabisa.MUNGU ambariki sana❤❤
@user-ne2zv8km3x21 күн бұрын
Shujaa kapambania maisha..hongera sana. Mungu kakupa ujasiri.
@user-eu6ql9zl7n21 күн бұрын
Na kweli ni Mungu tu kampa ujasir
@FatmaAlabri-lz2cwКүн бұрын
Mweny ez Mungu akulinde mwanangu,serikali mpelekeni jeshini kijana na mumlinde
@dannywillson587421 күн бұрын
Huyo boss ni msenge anajali pikipik kukiko uzima wa mtu so angekufanya uyo dogo je angemdai
@user-eu6ql9zl7n21 күн бұрын
Hapo sasa
@hawasaid715121 күн бұрын
Huyu boss hana utu kabisa angekuwa boda mwingine kuona panga tu angekimbia🏃 na kuacha pikpik lakn kijana wa watu mdogo kapambania pikipiki japo ilichukuliwa lakn kapambna mpaka dakka ili tu kuokoa usafir na uhai wake😢😢alafu unaenda kumfingulia kesi angekufa huyo ungemdai nan bas umpe hata muda wa kutafuta hio pesa unataka kulipwa haraka🙌
@VictoriaMefya21 күн бұрын
😢😢😢😢nimelia mwee eti tajiri anipe bike nyingine nifunge kwa 15 tutakuchangia utapata
@aishaabrahaman995720 күн бұрын
Achana na iyo kazi dogo tafuta kazi nyingine 😊
@user-mi7cd8ch1b21 күн бұрын
Hu wizi bado upo jmn aisee pole sana mwanangu,vijana fanyeni kazi sio pow kuiba mari za watu
@user-zj9uz6vz3g17 күн бұрын
Ukibahatika kumlipa usifanye nae kaxi huyo bosi, hana utu
@aaminaasljbgbvf74513 күн бұрын
Ongera sana mdogowangu wewe nimwanaume kamili😢😢
@isaselogistics726621 күн бұрын
huyu kamanda sana apewe kaz jeshin
@ibraton407121 күн бұрын
kabisa kamuua pekeake ahahahahaha
@serafinamalecela472817 күн бұрын
Jeshini wanasema ajira hamnaaa😢
@lampadshigonko300613 күн бұрын
Dogo... Umri unaruhusu... Asahidiwe tunamtaka jeshini huyu... Tena kitengo cha komando
@godfreyelibarikilaizer617821 күн бұрын
Pole sana hapa duniani hakuna alie salama hata asie na kitu lakini umepambana na ni msaada wa MUNGU tu hutabaki kama ulivyo wapo watakaosimama na wewe na utatoka kwenye shida pole
Mbona Tanzania Ina Tisha jamani haya mambo yanatisha sana😢😢😢
@jitabojilala616214 күн бұрын
Mama samia amwangalie huyu kijana na ahame maeneo hayo bado kijana sana
@mchungajimpigauzitv570314 күн бұрын
Uanze kwenda Kansan Maana ni Mungu aliye kusaidiya
@rosehaule676521 күн бұрын
Mungu tusahidie na watt wetu wa kiume kupata kazi ninngumu maskin wana pambana pole kijana wngu❤
@esterMahenge7 күн бұрын
Uyu mchunga ngo’ombe nae ngo’mbe tu yaaaa😢🙆♂️pole kk
@user-ct2fb4ro9e14 күн бұрын
Pole mdogo sana wangu ,ila huyo tajir awe na huluma Japan, huenda kawatuma yeye hao wezi nakuchangia 10000 naitwa mchemwa msongole nikiwa ileje mkowa wa songwe
@damianmcba952510 күн бұрын
Mungu akuzidishie kk kwa uzalendo
@NyotaBalolane.19 күн бұрын
Mungu alikuwa upande wako usi ache ku mtukuza Mungu alikuteteya akakupa nguvu
@user-pe1qv1sn5p21 күн бұрын
siri ya ushindi ni mungu kampa akili ya kupambana nakapata akili ya kutumia michanga mungu nimwema
@MageshotofuShotofufande15 күн бұрын
Nimefurahi sana, mungu awalinde kaka zetu
@rosetreffert417921 күн бұрын
Mungu mwema hongera kwa ushindi huu mkubwa Mungu azidi kukulinda ❤❤❤
@ZawadiSaid-x6f17 күн бұрын
Huyo tajiri mbona una soho ya hivo unamdaije huyo kijana?si ushukuru yupo hair cha kwanza
@star100genius316 күн бұрын
Huyo tajirii aache uboya, je huyo dogo angekufa Si angejifanya anaskitikia marehemu kuliko bike.
@user-mo7un1fg4l13 күн бұрын
We tajili hunahuluma kbsaa je! Angepuoteza Maisha ungedai nini unaona. Kbsa kangolewa Jimi bilaganzi ww unadai chombo chako hunahulumaa.
@RahabuJoseph-sp5dz14 күн бұрын
Au huyo boss wake ndie adui yake.kwanini kijana amevamiwa Halafu kanyang,'anywa pikipiki halafu bosi haelewi hjyo ni haki au ni sawa?
@Juke99521 күн бұрын
Huyo boss ana roho mbaya na hatofanikiwa 😢je kama angeuliwa huyo boda.......Unaweza kuwa mtu mkubwa ila haujui kupambana vitu viwili tofauti
@user-es2yt1jc4i16 күн бұрын
Kaka hongera mi sio mtz ila ninamtoto mtz. Ndugu yako hongera saana kaka nakuombea tu pia namimi nakuombea
Hongera kijana ulijitetea xan kw Hali Kam izo Mungu azidi kkujaalia afya njema akulinde na zaidi mdogo wangu unahuzunisha xan lakin pia kw kua uko mzima ni jambo la kumshukru Allah kw xan ak zoezei la karatee pia ni muhim kw kua umeweza kujisaidia kw mtu mkubwa ukamshimda subhaana'Allah allahu Akbar jaman ashukuriwe mwenyezi Mungu kw kumjaalia ujasiri kijana huyu ak 😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@harymo17314 күн бұрын
Ee mungu musaidie muja wako.. alafu wewe Boss mungu anakuona yaan mtuu kanusurika kufa alafu bado unamufungulia kesi mtu jamani hii Dunia sio poa kabisa...
@amanlenatus906721 күн бұрын
Uwe makini kwa atakae kupigia maana wabaya wako wamezipata namba zako
@amanimlengwa920216 күн бұрын
Kama alichangiwa pesa hadi kuachiwadogo aliyekuwa ameonewa na serilali, huyu pia asaidiwe. Lakini mwenye pikipiki lazima achunguzwe
@ramadhanihudhaifani437621 күн бұрын
Hongera sana,dogo! Umepambana kiume. Usijal kuhusu jino lililotoka.
@user-nb6yh2bn9y21 күн бұрын
😂😂😂👍👍👍
@ArafaAmirAmir-ci7ld21 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@regybahati598619 күн бұрын
Uende kanisan ukasali Umshukuru Mungu, ujikite kwenye Sala usiku na mchana umwombe Mungu akulinde.
@SiaCollins21 күн бұрын
Big up kijana kwa ushujaa wako,,unekonesha wezi wa pikipiki
@ndagabwenekusaya22320 күн бұрын
Pole sana dingii ,askri anao wajue kupigana na ktu sio mwili ni mbwinu tu,na mbwinu zake kazitaja
@valleliahkitundu15 күн бұрын
Duh jmn pole sana jmn maumivu yote lkn boss bado haamini na anataka pikipiki yake, pole sana ndg yangu lkn wamekosea kukuonesha sura wamekuhatarisha zaid
Huyu kaka ni shujaa jamani afu Bado mdogo, umepambana sana mungu anakupenda sana siyo kazi rahisi.
@user-dq4ur9kk6h20 күн бұрын
Wewe kaka Mungu Akusaidie sana kwakweli duh Mungu Alikupa nguvu mpya Yaani siyo kwa uwezo wako mdogo wangu ni Mungu tu Usiache kumuomba Mungu Usiache Kumtumikia Mungu Usiache Kumshukuru Mungu
@mtazycomedy15 күн бұрын
Huyu mwamba akir yake kubwa sana ila boss nae achunguzwe
@josephlorri43116 күн бұрын
Kijana jasiri sana... anafaa kuwa jeshini...ila siku hz hata jeshi ni kujuana...vijana kama hawa hawapati nafasi
@user-yk3we9vk6y19 күн бұрын
Mungu anakupenda sana kijana sifa na utukufu kwayesu tu
@petermuganda732215 күн бұрын
pikipiki inabima boss huyu afanye utrtibu wa bima imlipe,
@KalebyHennry-ux7fj17 күн бұрын
Duuuu dogo pambana utakua Bora zaidi ila tajir hli swala lakipolisi
@PhinaEdmund5 күн бұрын
Pole sana kaka Mungu amekupa nguvu.. Haikuwa rahisi ni mkono wa Mungu .umekuokoa.. Hao majambazi ya Babati Manyara wamekuwa wakiwavamia watu na kuwaua huo mkoa wa Manyara imeoza kinyama.. Makonda wakomeshe nchi imejaa majambazi..
@elinapetro713621 күн бұрын
Vijana wa chuga siowakuchezea mtoto mdogo lakini kapambana mungu atakusaidia utapata pikipiki nyingine namba tumeiona
@NeemaKimario-ui3ir15 күн бұрын
Jamani milyad hayo waaambie wanawafunga macho maadui ni weng
@julianaouma923013 күн бұрын
Pole brother tajiri 😭hana uruma haangalii maisha
@WinnieMapunda16 күн бұрын
Kijana Shujaa sanaa big up
@miriamkaaya36186 күн бұрын
Pole sana kaka Mungu n mwema ucjal kun jambo zur maishan mwako
@eliaisack15616 күн бұрын
Huyo boss wa pkpk awe nautu amuache tu hiyo dogo
@PaulinaSemindu-ob3de21 күн бұрын
Boda boda washachoka hongera sana mdg angu mana mnauwawa sana wengine wanaacha watt" wadogo ona kama huyu n mdg sana" sana " miaka 19 ni mwanangu wa kwanza mtt anajitafutia lkn mnataka kumuua kisa pik pik jmn
@FatimaAli-of4gh21 күн бұрын
Sadkata wanawaonea kwa sababu ni wadogo ni mwanangu wa pili kwa kweli mibaba mizima haitaki kujituma kazi kuwakoromea watt wa wenziwao na huyo alieiba pikipiki huko aendako akapate ajali akose hiyo mali ya dhulma
@PaulinaSemindu-ob3de21 күн бұрын
@@FatimaAli-of4gh Yan huwa wanawaonea mno mno
@JohaDomi-bg5yh20 күн бұрын
@@FatimaAli-of4gh😢
@Sweetnaah21 күн бұрын
Ila mngeficha sura ya huyu kijana kwa usalama wake jamani hamjui zamira ya yule alobaki 😢😢
@StellaWaillu21 күн бұрын
Kweli kabisa, Mungu amlinde.
@Sweetnaah21 күн бұрын
@@StellaWaillupia wangetumia hata namba nyingine kwenye kuchangia jamani yaani kijana hatarini sana kuwa makini
@StellaWaillu21 күн бұрын
@@Sweetnaah Umeona ee!
@magrethmbuma304521 күн бұрын
Boss kuna kitu anacho😢Munguu atusaidie kwa kweeeli ubinadamu umeishaa uuwii
@magrethmbuma304521 күн бұрын
Yaaani wanaume wamaana wanashindwa kufanya kazi wanakaba watoto wadogo Jamanii
@PhinaEdmund5 күн бұрын
Mungu anakupenda sana pole sana mwanangu Maiko ww ni kama Daudi aliyetajwa Ktk biblia aliyepambana na dubu kumuua dubu aliyekuwa anampa kondoo wa baba yake YESE.. Itakusaidia jamani.. Huyo bro anayedai boda wakati kijana kuokoka kifo Embu kuwa na hofu ya Mungu.. Na utu pia.. Usimwongezee Maiko pain jamani.. Mwache apone hata apate kutibiwa.. Mungu atakufuta na kuzidi msamehe kijana utamwona Mungu atafanya kitu kwako.. Boda inapatikana jamani.. Uhai ulitoweka ndio basi
@ChristopherCosmas18 күн бұрын
Daaa mungu akutie nguvu mdogo wangu na pole sana
@yukundapeter820020 күн бұрын
Pole sana mwanangu! Mungu anakupenda sn,wewe ni Shujaa,mwenye piki2 kuwa na huruma.
@donaldmpagaze98039 күн бұрын
Pole saana dogo Maiko Mungu atakurejeshea
@machejostudiosmramba53658 күн бұрын
Dah JAMAAA angu umepambana 💪💪 pole sana ndugu Mungu akutie nguvu na mm kwasababu napambana nitakutumia kidogo kitu kidogo
@mariamzubeiri17237 күн бұрын
Hata goliath alipigwa na kijan mdogo sana Mungu abariki hawa ndugu zetu wa bodaboda changamoto ya kazi zao ni nyingi mno😢😢😢😢
@user-el1hj7gf4k6 күн бұрын
Pole mdogo wangu, Mungu atakulipa utapata ingine
@azzaalmalki4121 күн бұрын
Pole mwanangu na hongera kwa ukakamavu
@harymo17314 күн бұрын
Jamani hebu tumusaidie huyu kaka 😢 kwa michango au chochote kama utakavyogushwa Ni wakak wachache sana wanaoweza kujituma na kufanya kazi bali walio wengi ni vibaka,wezi kama haoo alikokutana nao..
@hawajohn74921 күн бұрын
Mungu akutie nguvu na akuongoze na akufanyie wepesi Kila hatua
@MashakaZacharia-if9pm21 күн бұрын
Dah pole sana vijana wapambane waache wizi wa boda Sasa ona kaangukia jehanamu
@nicholouslahoya951013 күн бұрын
Mung akufanyie wepes kijana mwenzang
@barikimollel789021 күн бұрын
Pole Sana Dogo Simu ya Huyu alieuawa haijapatikana isaidie kuwasaka Hao wezi sugu😢