Poleni sana wana Arusha,pia ninazidi kuwakumbusha kuwa Yesu anawapenda pia ni mwokozi ktk jamii,mtu akimpokea kuwa Bwana na mwokozi wa maisha ya mtu huyo,ataokoka na atakuwa na uzima wa milele
@tarsilatesha-el8qu6 күн бұрын
Polen sana familia
@RabiaIddi-ci2uz4 күн бұрын
Kwahiyo ukimpokea yesu huto kufa kabisa utaishi milele kama mlima?
Yesu Kristo pekee ndio njia kweli na uzima, ukishakufa hakuna mtu atataka hata kukusogelea haijalishi ni nani wako watu wanaojivunia watu na vitu bila kujua kuna wakati havina msaada kwako, Yesu Kristo yupo nawe nyakati zote katika hali zote.
@salimanguzo55536 күн бұрын
Mtu anapesa hanamke hana mfanyakazi hana rafiki wakuishinae Wala ndugu mmh mtihan usikumrefu jamani wawili ni wawili kifo ni wajbu ila mkiwa wawili sihaba uwezi ozea ndani
@ednamunuo3544 күн бұрын
Upo and 8.Innocent 0:39 😅iikkkii😅998😊99909
@musampanda36433 күн бұрын
Alisafiri mke
@HannanSomaiyah-wp7ny3 күн бұрын
Dah!Kwa hakika kila unapo ingia kulala tujikabidhi kwa Muumba, Mungu alisha mpangia hata Kama angekuwa ns Mke ,mfanya Kazi,su tafiki ndungu,Wasinge jaaliwa kumuona wakat anakufa,Kifo chake kilishaandikwa afe peke yake 🙏 Mungu akampe pumziko la milele,
@directorabiero3403 күн бұрын
Poleni sana
@kevinkatima4975Күн бұрын
Inaleta maana dah!
@edsonnelson44646 күн бұрын
Halafu maisha ya mtu kuishi peke yake ndani siyo vizuri mtu anaweza kufa kwa tatizo dogo tu kwa kukosa huduma ya kwanza
@deogratiusyudatadei56586 күн бұрын
Nahicho ndiyo kilicho muuwa huyu chali mm na mfahamu Sana anaugojwa wakifafa
@user-lx8nl8hh3f6 күн бұрын
Kumbesasa kwann akaepekeake jamani
@user-vy2bc6xg3i6 күн бұрын
@@deogratiusyudatadei5658mwenyezi mungu amhaalie kauri thabit
@user-jh4hg2ev9s6 күн бұрын
Kweli kabisa vema kuishi hao na mtu mmoja
@betricemainoya41766 күн бұрын
@@deogratiusyudatadei5658ooohhh
@jumahili8121Күн бұрын
YESU KRISTO ni Bwana. Mwamini leo uokoke. Siku ya kufa upumzike. Maisha haya ni kivuli cha maisha yajayo. Kama alikuwa na YESU kuozea ndani sii tatizo. Sasa atakuwa amepumzika
@hafsalucky10886 күн бұрын
Poleni sn Wanafamilia, Mungu awatie nguvu.
@agnesmartin57166 күн бұрын
Eee Mungu tusaidie Taifa la Mungu kama vijana Bwana atusaidie. Nimeumia sana hakika
@ramadhanihudhaifani43763 күн бұрын
Polen sana wanafamilia. Mungu Awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu. Marehemu Mungu Ampokee mja wake kwa aman.
@linnusaloyce65596 күн бұрын
Msilaumu familia nyingine hazina mawasiliano ya kila cku labda kma kuna taarifa mpya au changamoto yoyote ile ndio mawasiliano yanakuwa mengi mm mwenyewe tu kuwasiliana kila cku na nyumban kwetu au ndugu zang ni fumbo kwasabab za kimaisha unawaza kesho yko unawaza mambo kibao salam unaona hazina muda wakati huo kwasabab za kikazi
@AshuraMaulid6 күн бұрын
kweli aisee
@jamesmaths22966 күн бұрын
Kuna maswali ya kujiuliza hapa kuhusu response ya Baba mzazi baada ya mdogo mtu kumpa taarifa ya harufu. Badala ya Baba kwenda eneo la tukio fasta alimpa maagizo ya kuita polisi. Baba mzazi alitakiwa awe wa kwanza kushirikiana na uongozi wa mtaa kuvunja mlango na siyo kusubiri polisi. Mtoto anauma jamani na mimi naongea kama baba maana kuna sintofahamu hapa ambayo iko very clear.
@colletatesha52656 күн бұрын
We hujui kufiwa funga bakuli lako
@Thomas-lm1dq6 күн бұрын
Unajua baba yake aliuwa na hali gani kiafya? Alikuwa wapi muda huo? Alikuwa na usafiri karibu?
@fatmakhanii16766 күн бұрын
@@Thomas-lm1dqbora useme mana watu wengine kazi zao ni dhana potofu tu bila kujua huyo baba alikua katika mazingira gani
@RabiaIddi-ci2uz4 күн бұрын
Me naona hata huyo mdogo mtu majibu yake ni mepesi sana. ni kama vile alikuwa tayari anauhakika jamaa kafariki 😢
@yodeatv.com153 күн бұрын
huyo mdogo mtu napata mashaka nae sana kwa maelezo yake. binadam tumetofautiana uwezo wa kutafsir Mambo lkn mm namuunga mkono mtoa post hii Kuna kitu huenda kimejificha
@salmakeitha38466 күн бұрын
Maisha yana Siri kubwa sna 😢Mungu ndo anajua zaidi
@aloycesamba9986 күн бұрын
Ni kweli
@DorokasiIssa5 күн бұрын
Poleni sana wapendwa mungu awatie nguvu
@Nancy_Daniel6 күн бұрын
Polen sanaaa Lee❤️🙏. May your brother's soul rest in peace🕊 amen 🙏.
@faithjonathan38452 күн бұрын
Siku ya kufa utakufa tu hata kama umezungukwa na watu 100. Unaweza kuwa umezungukwa na watu ukadondoka hata chooni ukafa peke yakom na ukishakufa hata kama una watu 700 hapo haisaidii na mwili unabaki hauna hata maumivu yoyote. Tujifunze kumuamini Mungu na kuishi pia vile tunavojisikia kuishi. Kama mtu anataka kuishi mwenye we na aachwe aishi mwenyewe. Tatizo watanzania engi hatujafundishwa kuheshimu matajwa ya watu na machaguo yao katika maisha.
@RhodaKabuka-cw3uw2 күн бұрын
Exactly
@user-sg7tr9fl5q2 күн бұрын
Nisawa kufa kupo tu ila angekuwa wako wawil asingeoza namna hii
@Mhandisi20086 күн бұрын
Rest in peace rafiki yangu BENSON, Collegemate wa ARUSHA TECHNICAL COLLEGE.
We are together mda huo wote I think itakuwa nii i do know but nafikiri ni Mungu tu 😢😢😢
@TimaMohammed-pn9eh4 күн бұрын
Pole sana kujuliana muhimu
@idarousomar16 күн бұрын
Kuna umuhimu mkubwa mno wa kuishi na majirani na kujichanganya nao vile vile
@mariasalomelukosi68465 күн бұрын
Au usikute alidhulumiwa
@steramwanakira71834 күн бұрын
Stay strong family I can feel your pains for the loss.
@azizaali6876 күн бұрын
Jamani arumeru haupiti hata mwezi tukio juu ya tukio Allah atupe mwisho mwema
@tupacthedon71046 күн бұрын
Arusha ni kama soweto ya South Africa,eeh Yesu tujalie mwisho mwema
@zabibubashiri30346 күн бұрын
😢😢😢😢
@kennethbenjamin2754 күн бұрын
Duh arusha kila mtu tajiri Any way poleni wanafamilia
@markmushi89403 күн бұрын
Ni matajiri kwa asilimia 70au80 mkuu arusha si seem ya kuishi wachovu
@kevinkatima4975Күн бұрын
Kumbe!@@markmushi8940
@ElizabethKidogomaa6 күн бұрын
Tusali sana
@ernestkatyega5781Күн бұрын
Baba anasema Katie polisi kwanza badala ya kuingia ndani kama mwanàfamilia na kuchunguza kisha wamemzika fasta hapohapo nyumbani kabla ya kuchunguza sababu za kifo hata Kama ameoza 😮 aisee hii Wala haihitaji Elimu Wala degree mtu mwenyewe D mbili atakuwa ameelewa
@givenessdavid37436 күн бұрын
Inawezekana alikuwa mtu wa kujitenga sana sio mtu wa kampani
@shamlimah56826 күн бұрын
Kwa Nini ?
@shantellemwanakombo37036 күн бұрын
Kwasababu hakuna hata mtu mmoja alimtafuta kwa njia ya simu hadi 3days zinapita kweli?@@shamlimah5682
@yasminoluoch1696 күн бұрын
Kwa sababu kuna watu si mtu wa marafiki sana @@shamlimah5682
@IreneIsaya-ek5pc6 күн бұрын
Ni mtu wa kampan tena sanaa
@svt35 күн бұрын
@@shamlimah5682kuishi na watu ni kazi mara nyingine unaona tu ukae mbali na walimwengu kuliko kuzinguwana kila siku
@HannanSomaiyah-wp7ny3 күн бұрын
Inna lillah wainna ilah rajiun Baki Allah tu 🙏 Allah ampe kaul thabity
@linnusaloyce65596 күн бұрын
Ss kama kaskia arufu alafu aingie bila kuwepo mtu wa ziada je angeiona Hali ya kk yake akazirai nae c angeingia kwenye matatizo jman au angeambiwa yeye kafanya tukio lazima majirani wawepo balozi au mwenyekiti wa kijiji ili atoe izini ya kuvunja mlango kujua kulikoni msiisi vibaya ivyo watu wapo kwenye maumivu ya kumpoteza mwana familia yao tupunguze fikra potofu
@dazuujuma77820 сағат бұрын
Hakika na umenena vyema
@helentelemla56234 күн бұрын
Poleni sana wafiwa😊
@InjiliyaUfalmetv2 күн бұрын
Msimlaumu mdogo wake angeingia moja moja napo pangekuwa na tatizo hii nchi ni shida ,Na pia kama anajichanganya kujieleza Kufiwa nikugumu mno ,Binafsi huwa sijui kujieleza
@nasrachaya6 күн бұрын
Let's pray to Arusha
@chikujuma186 күн бұрын
Inalilaahi wainalilah rajighun polen jaman wanafamilia pamoja na jamaa zake
@neemareuben3115 күн бұрын
Mungu wangu nyie jamani ina mana hakuwa hata na dem wa kuish nae jaman😢😢😢😢😢
@LilyMassawe6 күн бұрын
Dahh jamani poleni sana
@EmilyAlph6 күн бұрын
Wiki,wiki 2 hakuna aliyempigia simu??😰 Duh Apumzike kwa Amani Ben🙏
@jumapiliissa48352 күн бұрын
Pole kwa familia M/MUNGU ilaze roho ya marehem mahali pema peponi
@sophiakimaro51746 күн бұрын
Poleni saana jamani.ila maisha ya kuishi pake yako sio mazuri.natamani hata angeweza kishi na ndugu wa mbali tu.wawili ni wawili haswa mida ya usiku.
@nurumwangoka59246 күн бұрын
Hiyo familia itakuwa na shida ina maana siku tatu bila kuwasiliana
@FaithOluouch756 күн бұрын
Watu tunakaaa week kitafutana inategemea mnakaa nyumba moja au mnafanya kaz pamoja apo tunge laumu
@annafredinandmatandiko84386 күн бұрын
Et jamani
@IreneIsaya-ek5pc6 күн бұрын
Anaishi peke yake hapo na mpangaji mmoja tu ,mpagaji wake ni wakiume nq haishi na familia yake ni mtu wa safari
@naomikatharinaandrewmnkai67605 күн бұрын
Soooooo Sad😭😭😭😭😭😭kwanini afureee Kama c sumu ? Kwa Nini mumzike kabla ya postmortem?
@EmmanuelProtuce2 күн бұрын
Ndiyo zake zimeishia hapo Mungu amlaze vema pepon
@seifibrahim38836 күн бұрын
Mtajua vp na mtu kazikwa ata bila kuosha kaharibika, aiwezekani kujua sababu ya kifo ni kumuombea kwa mungu aende salama
@shantellemwanakombo37036 күн бұрын
Duh alikuwa haishi hata na dada wa kazi jaman😢 hatar hii sana
@user-yk8em1bh8g6 күн бұрын
Cku hz rahc kufa pekee yako yaan ndg zako unaweza kaa hata wk au Zaid na wacsh2ke kwa ukmya wako vjana muoe au mutafute ndg zenu Waco na makaz muish nao kama ndg unahc Hatareee bhac tafuta Dada wa kaz😢😢😢😢😢
@faidhamyovela1796 күн бұрын
Maisha yamebadilika sana
@user-yk8em1bh8g6 күн бұрын
@@faidhamyovela179 Hakka 2naish kwenye don't spy malife
@deograciousrugambwa20546 күн бұрын
Mortuary wanakataa mwili sasa postmortem atafanyikaje?? Hii nchi ya hovyo sana
@ericdaniels26086 күн бұрын
Uko sahii kabisa, uchunguzi unafanywaje hapo. Ovyo kweli.
@gabrielutou205 күн бұрын
Mojawapo ya sababu ambayo inaweza kufanya postmortem kua ngumu ni kuharibika kwa mwili (decaying ) hivyo hata kama wangepokea bado kupata majibu sahihi ingekua ngumu
@dork87493 күн бұрын
@@gabrielutou20 are u sure?
@josephjohn2114Күн бұрын
@@gabrielutou20kwa teknolojia ya sasa post mortem inafanyika hata baada ya miaka.
@joharikitundu6 күн бұрын
Hii tabia mbaya sana .Tafuta mtu 1 Hadi 5 .Kila siku asubuhi uhongee nayo na kabla ya kulala sema tu usiku mwema
@judyngowi3916 күн бұрын
Kweli kabisa ndugu, mimi kuna ndugu yangu anaishi Tanga peke yake ikigika jioni sijamsikia lzm nimtafute
@florakibona80425 күн бұрын
Nimewaza kuwa hii familia hawawasiliani au ndo matajiri wapo hivi😭.. kiukweli tunatakiwa kupigiana simu kila sıku na ukiona ndugu yako hapokei simu siku nzima fanya mpango wa kumtembelea
@user-xh7xf2ki3rКүн бұрын
Subhana Allah😢 pole kwa familia
@peninashungu66336 күн бұрын
Arusha ukiwa muuza madini shida Sana
@RUTAMANTZ6 күн бұрын
Mdogo wa marehemu ana changanya luhaa sana bhana
@HannanSomaiyah-wp7ny2 күн бұрын
@@RUTAMANTZ Alhamduli'llah 🙏 Si msomi,What the meaning Mji Wa Arusha,Hakunaga Mambumbumbuu kabisa 🙏
@renaldasilvery1102 күн бұрын
@@HannanSomaiyah-wp7nymmmh!!
@anenragnesmunis84906 күн бұрын
Jaman haya mambo yapo sana hata sisi binam yetu alifia ndani hivyo hivyo kijana majirani hawakujua kama yupo ndani anapigiwa sm kazini haipokelew kuja nyumbani sm inaitia ndani wakavunja mlango siku ya tatu hatari
@shijandobehe49536 күн бұрын
Mhhhh sio kitu cha kawaida hiki kuna mawili kauliwa na watu au mambo ya Imani za kishirikina ikiwemo kutolewa kafala 😢😢
@user-nb6yh2bn9y6 күн бұрын
👍🤔
@user-sv6zy3hc8o6 күн бұрын
Kutolewa kafara nimekuelewa ndugubyangu
@seneu.21286 күн бұрын
Vijana tutafute wake tuoe kama msela angekuwa na mke asingekufa kirahisi hivi
@victorianganyagwa24674 күн бұрын
Na hata angekufa bs asingeoza jmn
@Mughusi3 күн бұрын
Wako wapi hao wanawake wa kuoa, hata mimi sina bado natafuta
@@bockerNyarusahikuna vitu mke wako anaweza akasolve usife labda jamaa angekuwa na mke pengine huo ugonjwa angewahishwa hospitali angepona au pia asingeozea ndani angesitiriwa mapema. Tafuten wake acheni ubishi
@jojotz12102 күн бұрын
Kifo ni fumbo sana😭 mdog angu alifariki ghafla pia sis bila kujua siku nzima ad jion tukaj kujua
@nadiatanzania6 күн бұрын
Arusha Mungu isaidie ina majanga sana kwakwel😢
@FahadAbubakari6 күн бұрын
Majanga mtu kufariki? Huko kwenu watu hawafi?
@NicksonIsraeli6 күн бұрын
Umewaza Kama nilivyowaza Leo hiyo ajali ya moto mungu atusaidie
@robertigohe74776 күн бұрын
Yesu ni wa muhimu mno
@PrinceHendry-hp8vv6 күн бұрын
Na ndo mkoa pekee ulokua unapatikana tanzanite duniani kabla ya kugawanywa kuwa manyara so kwasisi bado tunaoana tumependelewa wageni ndo wanatuharibia
@nadiatanzania6 күн бұрын
@@PrinceHendry-hp8vv Mungu awasadie msimame sana na maombi 🙏
@user-tt7cu2et1x12 сағат бұрын
Hiv mbona hi Arushayetu matukio n ming sana as uku kwenye wilaya ya meru😢😢😢
Sasa wewe mdogo mtu tangu mmetoka kwenye mizunguko yenu ina maana hujaweza kumpigia simu kumjulisha umefika nyumbani salama inakuwaje siku zote hukumtafuta kwa simu halafu unaenda tu kama unajua nini kimetokea! Binafsi sijaridhishwa na maelezo yako
@judyngowi3916 күн бұрын
Kweli lakini
@user-fx2wq2yx5r6 күн бұрын
Uyo marehemu ana mke
@VeronicaRugoyi6 күн бұрын
Ndunia njia
@winnesakara69576 күн бұрын
Maelezo ya dogo hayaeleweki 2 week au 3 bila mawasaliano wote mko arusha na kwanini usipige simu yake kwanza na kwanini usimpigie marehemu kwanza na kwa nini usimpigie kwanza beni uko wapi ili ujue hapokei yupo ndo uende kwake
@allymahiyo24646 күн бұрын
Uyo dogo ktk maelezo yake mbona kama kuna kitu cha kupanga vile why baba yake aseme tafuta askar mjumbe au askar.
@hidayaswai31196 күн бұрын
Hayo ya kawaida
@adoniemanuel9086 күн бұрын
Kwanini baba alikimbilia kwamba tafuta balozi au maaskari kwakuamiwa tuu amesikia harufu yeye alihisi nini huyo baba
@josephineokama22006 күн бұрын
eti nami nimebakia sielew
@amourabdallah29785 күн бұрын
Mimi pia nimeona kitu huyu mdogoake akiminywa kende ataongea ukweli,hapo kunakitu sio bure waanze na huyo dogo
@princejuma4 күн бұрын
Nilifikiri nimimi tu naeona story fulani
@user-sv6zy3hc8o6 күн бұрын
😢😢😢😢 mmmmhhhh jamani arusha haiishiw na matukio
@user-hi8le2vb7z5 күн бұрын
HUYO SIO MTOTO WA TAJIRI....MTOTO WA TAJIRI LAZIMA AWE NA UANGALIZI,,HASA KAMA HUJAOA LAZIMA BABA-MAMA MDOGO AU RAFIKI LAZIMA MMOJA WAPO AKUCHEKI..SIKU NZIMA INAPITA HUJAONEKANA WATU HAWASTUKI NI MATAJIRI GANI HAO??MNAISHI VIPI??
@saumsaid1966Күн бұрын
Hapa tunajifunza km unaishi pekee yangu uwe na utamaduni wa kusalimia kila siku asubuhi japo wazee au ndugu. Ili ikitokea siku hujasalimia. Wakutafute na waseme sio kawaida yake kutokupigia sm na kusalimia
@kevinkatima4975Күн бұрын
UPWEKE UNAUA!!
@evaakyoo30093 күн бұрын
Vijana oweni acheni ufala ona sasa mtu anajifia mwenyewe angelikuwa na mke au mtu anaishi naye yasingemkuta yalio mkuta
@kenethpatrick66342 күн бұрын
Jambo la kufikirisha hizo siku zote walikua hawana mawasiliano ya kupigiana simu ili kujuliana hali kama ndugu wa familia
@swaiseif29896 күн бұрын
Mimi ninavo ogopa kuishi mwenyew😭😭😭mungu wngu tunaomba mwisho mwema
@user-nb6yh2bn9y6 күн бұрын
Kwaulivyo mrembo ukiishi mwenyewe umejitakia Kama Hauna mume muombe MUNGU akupe mume mzuri natumai itakuwa Hivyo 🙏🙏🙏
@swaiseif29896 күн бұрын
@@user-nb6yh2bn9y niyamume saiv alhamdulilah namshukr mungu
@hamisaally9683 күн бұрын
Uyo mdogo wake mbona aelewiki pia kama anataka kuchekaa😢 haojiwe vizuriii uyoo, unasikia harufu ujui ya nini unapiga simu kwa baba kwa nini usingepiga simu ya marehemu maana ndo anaishi hapo?
@ElizabethWamcha3 күн бұрын
Nami sijamuelewa😢
@hamisaally9683 күн бұрын
@@ElizabethWamcha ata mie ndugu kwa nini amtafute baba wakati kaka akee ndo anaishi hapo pia alikuwa ajui nini kimempata au kutokea mi naona mtu wa kwanza kumtafuta angekuwa uyo marehemu
@user-sg7tr9fl5q2 күн бұрын
Yesi
@user-bz7kg2lr3f6 күн бұрын
Dunia si chochote mwanadam maringo yann 😢
@YusrahMohammed-rq1lz6 күн бұрын
Siku tatu tafrani duniani unanuka vibaya kila mtu hatamani ubaki kwenye ardhi na mortuary pia wanakukataa...lakin sie sie wanadamu tunaringa km hatuozi
@judyngowi3916 күн бұрын
Wewe acha tu , mimi nilishashtuka siku nyingi siringi
@NeemaSamson-ti8pc6 күн бұрын
Ndio hapo sasa ndugu yangu tumejawa na maringo tumesahau kuwa hii miili tulionayo ni uozo tu
@NeemaSamson-ti8pc6 күн бұрын
@@judyngowi391 bora umeshituka mapema umefanya vizuri
@AshuraMaulid6 күн бұрын
Na maisha ya saivi mtu akijipata kidogo tu kimaisha anaringa mnoo mimi nina wifi yangu alikuwa anasoma muda mwingi akihitaji msaada anapewa na kaka yake ambae ni mume wangu alikuwa mpole anaheshima anahuruma....jamani hii miaka mitano kajipata kapata kazi nzuri kafungua maduka ya nguo, viatu, jamani kawa mkali, mbinafsi hataki mawasiliano na ndugu anamtukana mpka kaka yake aliekuwa anamsaidia Mama yake mzazi aliumwa akawa anamnyanyapaa nyie kabadirika mnoo 😢😢😢😢
@machasofficialsite62216 күн бұрын
@@AshuraMaulid uyo ni mtu wa hovyo sana kwa kujisikia huko
@gracekagoma32316 күн бұрын
Police chunguzeni vizuri😮😢
@rukiyamohammed2945Күн бұрын
Innalillah wainna illah raji'uun
@SalamaNauthar5 күн бұрын
Sub-hannallah!!? Innalillaih wainnaillaih rajiuun
@IreneIsaya-ek5pc6 күн бұрын
Aisee Ben😭😭😭😭😭
@lunangabenjamin31216 күн бұрын
Njiya fupi kafariki bado mdogo rip.
@dayana5513story6 күн бұрын
Naishi pekeyangu Mungu tuu ndoa mlinzi siku yake ilikua ishafika,poleni family,mbele yetu nyuma yake 💔
@sahaleabeid69865 күн бұрын
N kweli c lazima marafiki ama nani,Mungu ndo uchunga moja wake na ndo anajua mwisho wa kila mmoja,Sisi tuombe mwisho mwema
@leskarmeikok89563 күн бұрын
Uwe na ndugu wakujuliana naye hali mara kwa mara.
@Mughusi3 күн бұрын
Kwanini unaishi peke yako?
@dayana5513story3 күн бұрын
@@sahaleabeid6986 kweli dear 👏👏
@dayana5513story3 күн бұрын
@@leskarmeikok8956 sina nina Mungu tuu
@loycengasashija20186 күн бұрын
Dah,😢co sad
@leokamil62846 күн бұрын
R.I.P poleni sana wafiwa
@user-it4uh7vu5cКүн бұрын
Uchunguzi ufanyike kwa kina, inawezekana pengine kuna wabaya wake ambao pengine walimuua kisha wakafunga mlango. Mbona hainiingii hiyo?
@Kelvinchristopher072Күн бұрын
Arusha mkoa wa mambo na vijambo 😢
@annamussa1854 күн бұрын
Eti mtoto wa tajiri,kifo hakichagui bro😂
@lilyjones35846 күн бұрын
Inasikitisha sana 😢
@abdallahrashid28996 күн бұрын
Hivi Arusha mbona imatukio mengi Yani Kila ukiripoti taarifa lazima Arusha kwa wingi shida nini??
@graceabdallah26706 күн бұрын
😢😢hivyo amezikwa bila kufanyiwa vipimo vyovyote au
@ruqaiamohammed3456 күн бұрын
Apumzike kwa amani 😢😢😢ndio tujue sie binadamu c chochote c lolote pumzi isituhadae 😢
@NeemaSamson-ti8pc6 күн бұрын
Kabisa
@ruqaiamohammed3456 күн бұрын
@@NeemaSamson-ti8pc 🤝
@wiliampaulo55565 күн бұрын
Arusha Tanzania
@ruthwanza40376 күн бұрын
Poole sana Brandon😢
@benindangala-t9j20 сағат бұрын
dah poleni sana
@rehemamnyeke6 күн бұрын
Sema nini Arusha ubinafsi ndio umetawala..kila mtu anajikuta ana maisha yakeee, mnaweza mkawa mnakaa jirani na msionane hata wiki tatu na bado mtu hastuki wala nini na hasa ukiwa wakuja umekwisha for sure😢
@jacquelinemwakasala95636 күн бұрын
Dah hiki kitu Tanzania hii ukienda sehemu ukiwa wa kuja shida sana
@AshuraMaulid6 күн бұрын
Kabiiisaa ubinafisi mwingi sana kule
@lucianagodson4376 күн бұрын
Sio kweli jmn labda mlikutana na WA bahat mbaya
@kanankirannko61745 күн бұрын
Kabisa huku mjini undugu ni siku ya msiba tu ,maisha ya kawaida kutembeleana ni nadra sana ikiwa muhimu sana mnaongea kwenye simu, ila vijijini hakuna maisha kama haya jamani wanatembeleana hii sio tabia nzuri kabisa .ukimkosa Jirani yako siku 2 mpigie japo napo kama kuna la kutokea upelelezi na uchunguzi unakuhusu
@linnerphilip42605 күн бұрын
Hata postmotum hajafanya au but😢 he was handsome
@Jacklinejohn76 күн бұрын
Emu muwe munaandika kichwa cha habar vizur ukisema tajir mbona anaonekana namaisha ya kawaida tuu all in all mungu amlaze mahali pema
@jasmineeomary20416 күн бұрын
Na ww uwe unasoma vizuri amesema mtoto wa tajiri yani baba ake ndo tajiri sio yy woooii
@dorcaserick44736 күн бұрын
Yaan ni wapuuz sana cjui kwann apotoshe
@nancyg86646 күн бұрын
macho ya jackline yanashida
@husnathabiti41146 күн бұрын
Yule mdogo wa mtu mbona simuelew
@HalimaChuwa-kk5lt6 күн бұрын
@@husnathabiti4114dogo anajikanyaga sana
@peninashungu66336 күн бұрын
Mwandishi mwenye matukio yake mjini😅 haunaga tukio la arusi wa sherehe 😂, ww ni wapi wamekufa wapi wameuwana wapi, wamechinjana wapi😅tuko pamoja na ww ndugu mwandishi mpaka na ww tusikie tukio lako😅
@user-yk8em1bh8g6 күн бұрын
Jaman Sasa Kla m2 c naktengo chake nmecheka kwenye 2kio la kucktsha 😂😂😂😂
@jovanafidelis28026 күн бұрын
Leo tu nilikuwa namtafakari korumba lebabaz ukiona amepotea ujue Arusha matukio yamepungua! Jana kaonekana kwwnye ajali ya moto
@salhawaziri16686 күн бұрын
Aongezewe mshahara kwa kwel
@aminatanzanya74756 күн бұрын
😂😂😂 Umefany nicheke kwa saut sana wakat habr ya huzun
@SophiaSophiapaulo-cj3ko6 күн бұрын
kwakweli jaman 🙌🙌
@user-sl1ko9me7u6 күн бұрын
POLENI SANA FAMILIA NA NDUGU WOTE WA MAREHEMU.
@glorypetro22046 күн бұрын
Ooh namjua jamn alikuwa mteja wetu sana
@JosephineMegora6 күн бұрын
Mteja wa wenu wa nin
@victorianchimbi86403 сағат бұрын
Ah ah ah nimecheka kwa sauti jinga kabisa wewe@@JosephineMegora
@user-vy2bc6xg3i6 күн бұрын
Sasa siku zote hamkumpigia simu muone ana hali gani .
@hellennehemia92696 күн бұрын
Nyie kifo ni fumbo sana💔eee mungu tupe mwisho mwema💔