MAPYA YA MCHUNGAJI AMUOMBA RAIS SAMIA KUANZISHA UKAGUZI HURU DHIDI YA WABADHIRIFU WA FEDHA KANISANI

  Рет қаралды 46,721

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Baadhi ya Waumini wa Dini ya Kikristo dhehebu la Sabato wameiomba Serikali ya Awamu ya sita inayoongozwa na mhe, Rais Samia kuanzishwe ukaguzi huru dhidi ya baadhi ya Watumishi wa dhehebu la Sabato wanaohusika na matumizi mabaya ya fedha na mengineyo ndani ya kanisa.
Hayo yamebainishwa leo na Mchungaji Mstaafu wa makanisa ya Wasabato Kenan A. Mwasomola wakati wa mkutano na Waandishi wa habari jijini Dar es Salaam huku akisema lengo ni kuondoa changamoto na mikwaruzano katika makanisa ya Sabato na kuongeza amani na furaha.
" Kupitia malalamiko mbalimbali tuliyowahi, Kwa sasa tunamuomba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassani na Serikali yake sikivu, Kupitia Mamlaka zake kuanzishwe ukaguzi huru dhidi ya wabadhirifu wote na wachukuliwe hatua kali" Amesema Mwasomola.
Aidha Mchungaji Mstaafu Mwasomola amewasihi Waumini wa Dini, Watanzania kuendelea kufanya kazi kwa uaminifu na uadilifu kwani ndio silaha kubwa ya kupata maendeleo katika nchi yetu na kuachana na tamaa hiyo itasababisha kuvunja amani na utulivu nchini.

Пікірлер: 545
@MichaelGilasi
@MichaelGilasi Ай бұрын
Lolote lifanyike ukweli ujulikane, kama kuna wezi watambulike na hatua stahiki zichukuliwe dhidi yao, hakuna haja yakumuachia Mungu wakati wezi tunaweza kuwafahamu na kudili nao. @external auditing is a best option, i strongly agree with you Pr Mwasomola.
@evacharles360
@evacharles360 2 ай бұрын
Kanisa la Mungu halisaidiwi na serikali,, Yesu kristo aliyelifia Yuko kazini ,,analitunza kanisa lake ,kushitaki serikalini ni kwenda tofauti na Mungu,,ninachojua ni kutoa zaka na sadaka kwa uaminifu. ,mengine siyo yetu,,,pole mzee
@joycehaule9717
@joycehaule9717 2 ай бұрын
Daah
@JameM-l1u
@JameM-l1u 2 ай бұрын
Kama wewe hapo nyumbani ukiacha hela unaweza kuuliza imetumikaje Kwa nini huwa haumwachii Mungu? unataka kusema inapokuwa kanisani sadaka hazipaswi kuratibiwa matumizi yake? Huyo ni MUNGU au ni kitu gani?
@musamwaifwani
@musamwaifwani 2 ай бұрын
Yesu ndiye kaweka hizo serikali..
@mckobatz5861
@mckobatz5861 2 ай бұрын
Amka ndugu na ukumbuke bila ridhaa ya serikali kanisa linafutwa chap na hautomuona Yesu kuwafanya chochote hao serikali. Kanisa limeruhusiwa kuwepo na serikali ili kulainisha jamii itawalike na likienda kinyume na serikali ambayo sio "Mungu" linafutwa mapema mnooo 😂😂😂
@eliassabbath2480
@eliassabbath2480 2 ай бұрын
Akili huna
@niwagwenemayeye972
@niwagwenemayeye972 Ай бұрын
Wizi ni mbaya sana baadhi ya viongozi hawamwelewi Mungu wanayemwabudu wala kile wanachohubiri.
@Bambagatz
@Bambagatz Ай бұрын
Hapo ndo tuelewe kwamba Watu badala ya kuweka Hazina zao mbinguni wanaweka Hazina zao Kwa wanadamu,Watu wa Mshahara Yesu alishasema Habari zao Yohana 10:12.
@Juliusmganga4734
@Juliusmganga4734 2 ай бұрын
Pia Biblia inaelekeza kuwa mambo wa waamini yatatuliwe na waamini wenyewe sio nje yao, "Nasema hayo nipate kuwatahayarisha. Je! Ndivyo, kwamba kwenu hakuna hata mtu mmoja mwenye hekima, awezaye kukata maneno ya ndugu zake? 6 Bali mwashitakiana, ndugu kwa ndugu, tena mbele yao wasioamini. 7 Basi imekuwa upungufu kwenu kabisa kwamba mnashitakiana ninyi kwa ninyi. Maana si afadhali kudhulumiwa? Maana si afadhali kunyang'anywa mali zenu?" 1 Wakorintho. 6:5 - 7
@Ally-i4f
@Ally-i4f 2 ай бұрын
Amezingua kweli Pr
@MkJj-m7g
@MkJj-m7g 2 ай бұрын
Mzee huyu ana msongo wa mawazo, asaidiwe.
@isayasimwinga2854
@isayasimwinga2854 2 ай бұрын
Anayekata maneno hajapatikana kwa zaidi ya miaka 5, GC kama kweli hawawezi kuwa wazi ila kuficha uovu nao ni waovu! Kuna mahali lazima serekali ihusike, hili sio suala la msongo wa Pr. kwani hujui Pr. Kuyenga karudishwa juzi mtaani? Sababu za kusimamishwa uchungaji ilikuwa ni kukemea matumizi mabaya ya fedha
@EvarestllMmbaga
@EvarestllMmbaga 2 ай бұрын
Naomba heshima kwa mchungaji mstaafu. Tumpe heshima hata kama kateleza kidogo. Siungi mkono kumtewika mama mzigo wa kanisa. Yakwake yanamtosha tutamuua ya serikali yanamtosha Kuna matatizo yaliyosababishwa na mfumo wa feza Kutoka kanisani kwenda ngazo za juu bila kurudi makanisani tangu miaka ya 85kuja 2024 kunahitajika mikadala mipana kwenye mabaraza ya kanisa kuwahoji na kuwawajibisha wachafuzi wa kanuni miaka ya nyuma magomeni enzi za mzee Bundala lazaro Nkinda tulikuwa tunazuia zaka mpaka viongozi watoke jimboni kuja kujibu hoja zetu Askofu akiwa Marehemu mch Kuyenga mabaraza ya kanisa yalijua kutunza heshima yake. Kibaha tulipokuwa kanisa. Baraza la kanisa liligoma kipeleka zaka na sadaka baada ya mchungaji wake kutolewa kwenye nyumba ya vyumba vitatu na kupelekwa chumba na sebule. Kama mzee kiongozi nilikataa Bado tunaweza kuwawajibisha wachafuzi wakanisa bila msaada wa Raisi
@joycehaule9717
@joycehaule9717 2 ай бұрын
Nilikua nalitafuta hili andiko Sasa yeye ni mchungaji na anashitaki kanisa serikalini woooiiiyyyy sijui wanatupeleka wapi jamanii
@Bahati-v4m
@Bahati-v4m 2 ай бұрын
Daah kama tumefika uko basi siyo muda yesu anarudi kweli kama unaamini like
@valentinernestkavishe7297
@valentinernestkavishe7297 2 ай бұрын
Yesu ni story za uwongo hakuna yesu wala nini
@Bahati-v4m
@Bahati-v4m 2 ай бұрын
@valentinernestkavishe7297 ok
@ezekielshija9251
@ezekielshija9251 Ай бұрын
Yesu ni nani?
@valentinernestkavishe7297
@valentinernestkavishe7297 Ай бұрын
@@ezekielshija9251 ni story tu za uwongo
@danielthomasmsigwa31
@danielthomasmsigwa31 2 ай бұрын
Mungu alitumia njia rahisi kurekebisha taifa teule, manabii n.k njia Za makafiri ilikuwa the last option, Proverbs 17:11 Huu ni mwanzo wa pepeto kuu uovu ukishafika hadharani unashughulikiwa hivyo 1tim. 5:20!
@LugongoDispensary
@LugongoDispensary 29 күн бұрын
Pastor mwasomola unazingua Yani kanisa lisaidiwe na mama kizimkazi😂
@ebydawson5451
@ebydawson5451 10 күн бұрын
😂😂😂
@DanielPaulo-c4p
@DanielPaulo-c4p Ай бұрын
Pastor barikiwa na washugulikiwe Hawa, hata mwongozo unaluhusu, na hao wahusika waondoke maofisini
@PAULMASUNGA-t5u
@PAULMASUNGA-t5u Ай бұрын
Mwasomola hawezi kuhukumiwa na Mungu wakati amesema kweli si wanaiba.
@masumbikazi5163
@masumbikazi5163 Ай бұрын
Kanisa hili ni la Mungu pr ungeshitakinkwa Mungu Moja kwa Moja angejibu kabisa na angejidhihirisha lakini Sasa umelidhalilisha jina la Mungu katubu kabla hujashughulikiwa na Mungu mwenye kanisa
@TimotheoSimtowe
@TimotheoSimtowe 2 ай бұрын
Dini iliyo safi na isiyo na hitilafu mbele ya Mungu Baba ni hii: Kuwasaidia yatima na wajane katika shida zao, na kujilinda mwenyewe usichafuliwe na ulimwengu huu. Hizi dini na madhehebu ya sasa ni mzigo na vikwazo vya kwenda mbinguni.
@mckobatz5861
@mckobatz5861 Ай бұрын
@@TimotheoSimtowe dini ilibidi zifutwe taifa lianze upya maana hizi dini zimetumika na zitaendelea kutumika kama silaha za kisaikolojia kuendelea kulainisha watu wawe watumwa for eternity. Kabla haujaitrash hii comment take your time to think tunapambana kushika njia ya mbinguni waliointroduce dini wanapambana kushika njia kuja Africa kuendelea kuchota mali na ukuu wa mwafrika hadi tutapobaki empty headed waanze kutimiza malengo yao makubwa
@LugongoDispensary
@LugongoDispensary 29 күн бұрын
Cc tumtegemee Mungu pekee Kama wanakula pesa Mungu mwenyew atahukumu atakaporudi mara ya pili
@BarakaKusalula
@BarakaKusalula 2 ай бұрын
Ingekuwa Rwanda tayari Kanisa lishafungwa ,Kagame kanyooka kama rula😂😂
@danielmarwa5122
@danielmarwa5122 Ай бұрын
lifungwe kwa lipi
@LoyceLoyceMwainyekule
@LoyceLoyceMwainyekule Ай бұрын
Mnh kazi kweli
@tumainmase2119
@tumainmase2119 Ай бұрын
Najua kabisa Pr Mwasomola ni kiongozi ndani ya kanisa ,kanuni la kanisa la Mungu unalifahamu kabisa ya nini ulalamikee wewe ndo wasaidie usisubili serikali ikusaidie na itasaidia nini? Kanisa hili ni la Mungu usitumie nguvu nyingi mzee Mungu atalipigania kanisa lake hata hao unaosema wamepora pesa ya kanisa wajue wanamuibia Mungu na Mungu atajipigania yeye mwenyewe usihofu mzee kenani Nyie ndo mnaotaka washiriki wasipelekane mahakamani kabla kanisa kusuluhisha sasa wewe ukija na hoja Rais aingilie kati nakushangaa sana
@stewardlwimbo3944
@stewardlwimbo3944 Ай бұрын
Huyu Mzee ndo kaharibu kabisa kulikuwa na haja gani ya kuropoka hivyo wakati taratibu za Kanisa zinajulikana wazi?
@ganizaluketa3232
@ganizaluketa3232 2 ай бұрын
Kwa taarifa yenu naming kabisa serikali inajua kwa undani hili tatizo !! Mimi nimesikia Dr Mpango akilionya na kulitaja kanisa la Wasabato !! Hicho siyo kitu cha kawaida kwa viongozi wa serikali!! Mungu aingilie kati maana mgogoro ukizidi linaweza kufutwa kwa sababu limeandikishwa kama NGO!! Kama kanisa tulishindwaje kulimaliza mpaka tunakemewa na serikali!! Ni kweli kanisa halikujua hili tatizo !! Kwa hakika naamini Mu ngu amelifunua hili tatizo kwa watu wake lakini tumeweka pamba masikioni!!! MUNGU WETU ATUREHEMU NA KUTUSHINDIA!
@benardchacha5590
@benardchacha5590 2 ай бұрын
Bwana Yesu asifiwe Wapendwa mm niwatie moyo kwamba Mungu wetu hapiganiwi na mtu au Taasisi yoyote Dunian Mungu anajipigania mwenyewe kwahivyo Mchungaji Kenan Mwasomola kwahili ukatubu Mtu wa Mungu umekosea Serikali inasaidiwa na Mungu na sio Serikali kumsaidia Mungu na nikuombe Mheshimiwa Rais wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania maana Hili ni la ndani la Mungu Mwenyewe Tafadhali sana asikuchonganishe na Mungu Wewe mama Yesu simamia Sehemu yako aliokupatia Mungu kuliongoza Taifa tu hayo mengine liachie kanisa na Mungu mwenyewe atajua nininicha kufanya.
@AmosiTimoteo
@AmosiTimoteo 2 ай бұрын
Unatetea nini,kwani anasema uongo
@joycehaule9717
@joycehaule9717 2 ай бұрын
Yan hadi kunamaandiko kuwa watakatifu hawapaswi kushitaki watakatifu wao kwa wamataifa
@JameM-l1u
@JameM-l1u 2 ай бұрын
​@@joycehaule9717 Maandiko hayohayo yanasema Mtu asipolisikiliza kanisa na awe kwako kama mtu wa mataifa na mtoza ushuru( mathayo 18:17),.mzee amesema hatua zote walishafuata. Imefika hatua ya kuchukuliana kama wamataifa na watoza ushuru au wewe unaonaje ndugu?
@abbasmkambara5815
@abbasmkambara5815 2 ай бұрын
Hizo serikali nazo za duniani zimewekwa na huyo huyo Mungu
@SelenatusMarwa
@SelenatusMarwa 2 ай бұрын
​Nadhan hapa hatuihitaji serikali kulisimamia kanisa,je mwenye kanisa kasemaje...je kasema atetewe tu hapo maana mwenyewe hakuona kinachoendelea...
@erickmalamsha6938
@erickmalamsha6938 2 ай бұрын
Makosa ya watu wachache huwezi kusema kanisa zima limekosa muelekeo ni kulichafua kanisa.
@mathiasduduru628
@mathiasduduru628 2 ай бұрын
Hajalichafua isipokuwa anataka nikae sawa
@princepaschal9963
@princepaschal9963 2 ай бұрын
​@@mathiasduduru628Kanisa halisaidiwi na serikali, kanisa linasaidiwa na Mungu. Na kusafishwa na Mungu. Iweje kanisa lisaidiwe na serikali wakati serikali inatakiwa kusaidiwa na kanisa? Kama ukinibishia nakupa maandiko ya Neno la Mungu na ukweli wote.
@princepaschal9963
@princepaschal9963 2 ай бұрын
Uku ndiko kushindwa, kanisa ni mwili wa Kristo, alafu unaenda kuushitaki mwili wa Kristo serikalini? Wakati serikali inatakiwa ionywe na kurekebishwa na kanisa?
@mathiasduduru628
@mathiasduduru628 2 ай бұрын
Nadhani mpaka ameamua kujilipua yameshapita maonyo mengi sana lakini hakuna kinachoendelea
@benjaminmathias2653
@benjaminmathias2653 2 ай бұрын
Muachieni Mungu atafanya. Yeye
@GervasLyimo-f7p
@GervasLyimo-f7p 2 ай бұрын
Poleni Wasabato.
@richardzakaria9939
@richardzakaria9939 Ай бұрын
Yesu alilipa kodi, Yesu alishiriki Sensa, aliwakemea watu waliofanya biashara ndani ya hekalu, alijua Wizi wa zakayo ndiyo maana alimsaidia, kwa kweli huwezi Mtenganisha Mungu na Uadilifu, haya maneno ya watu kuiba fedha yamesemwa sana, nadhani ni sahihi hili lifanyike. Mungu anatumia watu, kama anakutumia wewe kuleta zaka anaweza watumia wengine kuhakiki kama zaka inatumika ipasavyo. Naunga mkono hoja.
@davidsonnyakire2838
@davidsonnyakire2838 2 ай бұрын
Mchungaji Mwasomola umesema unayajua hayo kwa muda mrefu, ili uaminike ulipashwa kuanza hizi harakati tangu zamani hizo,siyo mpaka ustaafu.
@mako331
@mako331 2 ай бұрын
Mungu ndiye ajuaye yote, jukumu letu Kama washiriki ni kutoa kwa uaminifu, mengine tumwachie Mungu, Anania na Safira hawakuhitaji serikali au media Mungu mwemyewe ali deal nao.
@deussasi9285
@deussasi9285 2 ай бұрын
Nondo watakula
@mathiasduduru628
@mathiasduduru628 2 ай бұрын
Zamani hapakuwepo na technology yakujua hayo yote. Nadhani hata ungekuwa wewe unajinyima kwa ajili ya kanisa halafu unasikia hela haijafanya ulichokusudia ifanye lazima uvunjike moyo Mwasomola yuko sahihi
@bintimwakisombole8010
@bintimwakisombole8010 2 ай бұрын
Kabisa maana Mungu si mwanadamu , yupo anaona .
@simeonmazigo5918
@simeonmazigo5918 2 ай бұрын
Point 🤝
@danielmboje8751
@danielmboje8751 2 ай бұрын
Hili swala lifanyiwe kazi,walio kuwa wakilalamika waliwadharau wakati wanasema ukweli.
@emmanuelmororo7420
@emmanuelmororo7420 2 ай бұрын
Amuwezi muelewa uyu baba ila iposiku mtamuelewa kasema ukweli kabisaa watu wamekuwa wezi sanaaa wachunguzwe uko sawaaa baba ubarikiwe
@misperambogo
@misperambogo 2 ай бұрын
@@emmanuelmororo7420 kabisa yan
@AnnaMchomvu-cx7rb
@AnnaMchomvu-cx7rb 2 ай бұрын
Kweli yesu anarudi
@WilbertMalula-vv7ml
@WilbertMalula-vv7ml Ай бұрын
MCHUNGAJI WANGU HAPO UMEYUMBA SANA MAMBO YA KANISA YANATAKIWA KUMALIZWA NA KANISA LENYEWE UINJIRIST WETU UTAHARIBIKA
@jescamkwaya
@jescamkwaya 2 ай бұрын
Ni muda wa kujiokoa nafsi Mungu wangu tusaidie
@Kashushu_IT_Services
@Kashushu_IT_Services Ай бұрын
KANISA LA WASABATO, KIBAHA - MISUGUSUGU, LENYE MWONAJI ANAYEONGEA NA MUNGU MTAKATIFU. kzbin.info/www/bejne/aaTdc4Kta9uAd9ksi=YEMxQ7a6HWj3edk4
@vincentvitalius9346
@vincentvitalius9346 2 ай бұрын
1.Hatushitakii mamlaka bali Mungu. 2.Audit ni kwa ajili ya Kanisa sio serikali. 3.Ulikuwa Kiongozi ilikuwaje hadi utolewe 4.Maisha yako yote kanisani wewe unaona ubaya tu, mahubiri yako ni only negative. 5.ungeitisha maombi ya kufunga na kuomba, au huna imani na Mungu. 6.EGW “Tusiwe na shaka Mungu atasimamia na kuweka yote sawa” 7.Kwenu viongozi, huyo Pastor muwekeni pembeni kama mtu asie na nidhamu na mchukulieni hatua, utashangaa anakuwa muhudumu next camp
@kelvinsanga2907
@kelvinsanga2907 2 ай бұрын
Wew hujui tu kilichopo ndani huyo mpaka amefikia hapo Kuna mengi ameyaona
@IbrahimSadalla
@IbrahimSadalla 2 ай бұрын
​@@kelvinsanga2907kajichanganya huyu wewe
@Burner_Acc
@Burner_Acc 2 ай бұрын
Namba 4 umepiga kwenye mshono. Huyu pastor kwake kila kitu kibaya yeye tu ndo anajionaga mkamilifu kila anapoenda analeta sheria zake za hovyo. Kanisa limpuuze.
@ibrahimedgarlisso8100
@ibrahimedgarlisso8100 2 ай бұрын
True protestantism involves hating sin whether it is in SDA church or in Sunday churches. Unafiki ni kitu kibaya sana. Kila kitu lazima kiwekwe wazi....pastor Mwasomola anaweka vitu wazi Kuna shida gani kulalamika??? Angekuwa anaweka wazi kuhusu ukatoliki ndiyo wasabato wengi wanapenda ila wao/ sisi tukiwekwa wazi tunataka kukasirika. Uprotestanti wa kweli ni kuweka wazi pande zote sio upande mmoja. Dhambi ipingwe popote ilipo. Asante pastor mstaafu
@danielthomasmsigwa31
@danielthomasmsigwa31 2 ай бұрын
Ilikuwa ukaidi uliomlazimisha Mungu kutumia makafiri kuirekebisha Israeli; dharau na kutokujali kunafanya Siri itoke
@NDEMBELASDACHOIR
@NDEMBELASDACHOIR 2 ай бұрын
Mzee mwasomola ww ulikuwa kwenye uongoz ulichukua hatua gani acha kuchafua kanisa la mungu hata kidogo ww mzee kanisa halitayumba kwa ajili yako hata kidgo tafadhali jitazame vizur mzee zeeka vzr
@JameM-l1u
@JameM-l1u 2 ай бұрын
Kwamba amekosea Kwa sababu anazeeka? Angekuwa kijana ilikuwa sawa? Uzuri ameanzia alipoishia Makamu wa Rais , je wewe ulimuelewaje makamu wa Rais Kwa mfano? Kwa hiyo huyu mzee anaongea uzushi ambao haupo au sisi ndio hatuelewi? Na hata hivyo hamjamsikiliza vizuri, kasema alishafuatilia halafu wewe bado unahoji eti alifanya nini huoni unaunga mkono upande wa pili ndugu? Tujitafakari sana
@dribrahimchenza
@dribrahimchenza 2 ай бұрын
Mkiwa vijana Mjipange ili mkistaafu msiwe wanaharakati😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@delilahtanda9989
@delilahtanda9989 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@sylvestersamwel8210
@sylvestersamwel8210 2 ай бұрын
Ninamashaka makubwa na akili zako na uaminifu wako!!
@misperambogo
@misperambogo 2 ай бұрын
@@dribrahimchenza kukemea uovu sio harakati Stefano alipigwa mawe kwa kukemea uovu Yohana alikatwa kichwa kwa kukemea uovu Ukweli lazima usemwe hata kama ni mchungu
@augustinondola7698
@augustinondola7698 2 ай бұрын
ahahahaha Dr. umetisha angekuwa ana miradi kama ya Oviedo asingekuwa bize kufanya uchunguzi🤣😂😂
@emmanuelsimon545
@emmanuelsimon545 2 ай бұрын
Huyu mzee hana njaa ndugu we inaonekana humfahamu na c watamaa yuko vzr kiuchumi
@revocatusbusia
@revocatusbusia 2 ай бұрын
Natamani nichangie chochote but nashindwa....lakin nitasimama na NENO LA MUNGU.
@fredgonga
@fredgonga 2 ай бұрын
Kiufupi watumishi wa Mungu siku hizi hawana upako, We si umwite Mungu awaumbue wezi!! Sasa Mungu na mama samia nani unamwamini.. we mwenyewe rudi ukamtafute Mungu vizuri.
@yustosassi1625
@yustosassi1625 Ай бұрын
Huo upako ndo ujinga mtupu na watu wanapigwa, eti upako, wewe unasema upako ushawahi kupewa ripoti ya mapato na matumizi juu ya fedha zenu za upako?
@enockjoseph9435
@enockjoseph9435 2 ай бұрын
Ombi kwako Raisi zingatia maneno ya mzee wetu mwasomora kasema ilio kweli kbsa na mimi nashuhudia🙏🙏🙏
@erastomwambeje9920
@erastomwambeje9920 2 ай бұрын
HAPANA, serikali haihusiki na dini
@joycehaule9717
@joycehaule9717 2 ай бұрын
​@@erastomwambeje9920point
@mahendekaramadhan2948
@mahendekaramadhan2948 2 ай бұрын
​@@erastomwambeje9920Nani msajili wa makanisa yote? Kama ni serikali basi ndiye anaruhusiwa kuregulate taasisi zote za kidini.
@MATHAYOKIMWAGA-m7f
@MATHAYOKIMWAGA-m7f 2 ай бұрын
Ahsante kwa Ushauri mzuri
@SelenatusMarwa
@SelenatusMarwa 2 ай бұрын
Je mwanadamu Atakuwa muhukumu mwenye haki kuliko Mungu
@soloartist_ivanvespalusind1609
@soloartist_ivanvespalusind1609 Ай бұрын
Ana hoja, asikilizwe. Kushughulikia udhalimu wa viongozi wa juu kwenye hili kanisa si jambo jepesi, ni jambo la kujitoa Muhanga kama alijitoa Marehemu Magufuli enzi zake. Nawa mikono mzee wa watu, hujakurupuka, wasabato wanakujua ulivyo huna mchezo sikuzote kwenye mambo ya uwakili au maadili ya kanisa na wengi hukuchukia kwa hilo. Yanaweza kuwepo mapungufu kwako kwani ni binadamu lakini yasiwe sababu ya kupuuza hoja zako za msingi na za kujenga. Mungu akutangulie.
@ananiachelesi1486
@ananiachelesi1486 Ай бұрын
😊
@imma_billy
@imma_billy 2 ай бұрын
Ila Maaskofu wanapiga pesa waziwazi, kanisa linakuwa halina maendeleo yoyote. Na ukisema kweli unatengwa kanisani, hata wachungaji wanaokataa huo ufisadi wanapelekwa kwenye parish zilizo mbali na mji (vijijini) ambako watapata maisha magumu. Kanisa linapoteza mvuto kabisa, mwisho wa siku watu wanakata tamaa na kuamua kukaa nyumbani bila kwenda kuabudu kwenye makanisa hayo. Tunajua Mungu ndiye muhukumu lakini kuna muda kibinadamu hayo mambo ya ufisadi kanisani yanakera mpaka mtu anafikia hatua ya kutoka mbele kama huyu mchungaji mstaafu.
@piussogoye
@piussogoye 2 ай бұрын
so wonderful and sad, my God": how this happen within our church
@kitulatv5998
@kitulatv5998 2 ай бұрын
Ambia na selikali ikague biti na midundo maana ni ya shetani.
@sindabahabwoyaanacret660
@sindabahabwoyaanacret660 2 ай бұрын
Pamoja na upagani wa utatu
@bicrosonmwakamele19
@bicrosonmwakamele19 Ай бұрын
Askofu mstaafu mbona una nishangaza sana wewe mtu wa imeandikwa sasa hiki unafanya hujasoma kwamba Mungu katoa utaratibu wa kuonyana sisi kwa sisi badala ya hiki unafanya je Umewahi kusoma kwamba Mungu anasaidiwa na selikali Na ile nukuu maalufu. Kanisa litaonekana kama linaanguka lakini litasimama hada mwisho wa dahari wewe umeisahau Mchungaji aha Huenda ni kweli usemalo ila uliposemea Askofu si mahari sahihi
@BarakaMashimba-sr9ow
@BarakaMashimba-sr9ow 2 ай бұрын
Axante Sana mzee
@danielmarwa5122
@danielmarwa5122 Ай бұрын
Pamoja na kukuheshimu mzee wangu nadhani mwenyewe una changamoto zako, nadhani una hasira na chuki maana wewe mwenyewe ulikuwa kiongozi mkubwa ndani ya kanisa je wakati huo mlikuwa wasafi kama sasa hivi kuna uchafu?. tenganisha mambo ya serikali na kanisa mimi ni miongoni mwa waumini kama kuna makanisa machache yanayosimamia mambo kwa utaratibu mzuri basi ni kanisa la waadventista.
@ezekielshija9251
@ezekielshija9251 Ай бұрын
Serikali ikitenda Mungu ametenda
@GodliverCharles-g4f
@GodliverCharles-g4f 2 ай бұрын
Mzee umeongea point vzr watu sio waandirifu
@yohanalukwaro5322
@yohanalukwaro5322 2 ай бұрын
Time will tell
@NDEMBELASDACHOIR
@NDEMBELASDACHOIR 2 ай бұрын
Umemaliza vbaya mzee tena ushindwe
@NeemaObadia-s8o
@NeemaObadia-s8o 2 ай бұрын
Ampendi kuambiwa ukwel
@AmosMalakyese-dc9qr
@AmosMalakyese-dc9qr 2 ай бұрын
Hii ndio shida ya wezi. Acheni uhuni
@barakantalwila1756
@barakantalwila1756 2 ай бұрын
Wanaomponda Mwasomola hawajielewi,kuna watu wanatumia nyadhifa ya uongozi Kwa faida binafsi,hakuna kitu mnachosema Ukiroho,acha awape makavu,kuna watu wanautetea ufisadi na rushwa kwa mgongo wa injili, Mwasomola wapige nyundo hadi Wahusika wajirekebishe.
@epimackoscar25
@epimackoscar25 2 ай бұрын
@@barakantalwila1756 Mungu atetewi ata siku Moja ndugu yangu ilo jambo limekaa kiimani kukemea sio vibaya kama anafahamu lakini iwe ndani ya kanisa ila kuihusisha setikali ingie kati hilo ndio tatizo kwani hapo unaingilia uhuru wa dini na pia kazi tuliyotumwa ni injili Wacha walawi wale kanisani wakienda kinyume Mungu atadili nao tu , swali linakuja una uhakika srkli ni safi kiasi Cha kuaminika kukagua makanisa ? Chunguza vizuri Kuna roho za uhasi zinanyemelea Imani hizi nyakati za mwisho
@KashindeDonard
@KashindeDonard 2 ай бұрын
Mtenda kazi usiyekuwa na faida. Ww unaweza kumpigania Mungu
@abbasmkambara5815
@abbasmkambara5815 2 ай бұрын
Ni kweli wizi ni wizi tu maana hakuna wizi mtakatifu wapelekwe mahakamani
@VictorNshala
@VictorNshala Ай бұрын
Mbona huko ndo kumeoza zaidi?kama taarifa za CAG wameshindwa kuzifanyia kazi...utekaji ndo usiseme na wao wameingia kwa rushwa..!! Huku ni kufilisika kwa kiwango cha juu!! Mwenye mali ni Mungu mwenye uwezo wote,anaona kila kitu...kikombe kikijaaa atachukua hatua!!
@MishiYakubu-e5z
@MishiYakubu-e5z Ай бұрын
😅😅😅😅😅 yani dah sio poa
@meshacknyandongo577
@meshacknyandongo577 2 ай бұрын
Hapana mchungaji hapa sasa naona haiko sawa kwasababu haya mambo yalipaswa kushughulikiwa kidini kwa tatizo ni kwamba siku hizi viongozi wa kanisa hofu inatoweka wanakua wapenda fedha ila kanisa kuanza kuchunguzwa na serikal ni matokeo ya kushindwa
@edwardmugendi1190
@edwardmugendi1190 2 ай бұрын
Jaman mweleweni mzee, anasema kushugulikiwa kidini imeshindikana maana waliptakiwa kushugulikia ndiyo wezi, ndiyo maana imenyamaziwa maana wangekuwepo wa kushugulikia lisingefika serikalini
@SelenatusMarwa
@SelenatusMarwa 2 ай бұрын
Mwenyekanisa ambaye ni Mungu huitazama nia ilio wasukuma watu kusema yote hayo kama si upendo bas katubu
@meshacknyandongo577
@meshacknyandongo577 Ай бұрын
@@edwardmugendi1190 basi miaka yote hio mbona alikua hajasimama kukemea namna hii mpaka amestaafu
@NBTVIEW
@NBTVIEW Ай бұрын
Mzee upo sahihi kabisa serikali isaidie wasabato tumechoka na huu uhuni kanisa limegeuka lavibaka
@bongatv25
@bongatv25 Ай бұрын
Mbona ulikaa kimya miaka 42 yote unasema leo tena baada ya ku stafu mzee umechelewa sana
@jescabwimbo8112
@jescabwimbo8112 Ай бұрын
Hakika alipaswa kusema akiwa katika utumishi ili kuonesha uzalendo
@bongatv25
@bongatv25 Ай бұрын
@jescabwimbo8112 eeeh kusema kwa sasa wenda alikuwa anapata chochote kitu wenda mlija unekata wapesa ndo kutusema
@happinessezekiel4101
@happinessezekiel4101 Ай бұрын
And by the way hapakuwa na haja yakuomba msaada serikalini kwan nn maana ya uongozi,angekaa kmya kusubir majibu ya GC na oditing yao
@laurentkassala3865
@laurentkassala3865 Ай бұрын
Anaweza kua Ana hoja lakin as long as anasema anayajua toka zaman it means kwa namna moja au nyngn alikubaliana nayo au alishiriki kwa namna moja au nyingine Ameongea FACTS lakini illogical
@Juliusmganga4734
@Juliusmganga4734 2 ай бұрын
Pia mtu anapotoa sadaka, je, anatoa kwa Mungu au kwa binadamu. Je, ni utaratibu kanisa kuruhusu ukaguzi wa matoleo aliyopewa Mungu ? Bora basi kuwashauri waumini wasitoe kama wanaona hawatoi kwa Mungu bali kwa binadamu. Ningekubalina na wewe kukagua kama ingekuwa ni michango kwa ajili ya kusudi maalum kama vile ujenzi wa kanisa na mambo yanayofanana na hayo. Vinginevyo ushauri wangu Serikali iachwe ishughulikie mambo ya muhimu ya maendeleo ya wananchi. Serikali ilishafanya kazi ya kuwakubalia maombi yenu ya kusajili kanisa ili mu mwabudu Mungu.
@aniseth14cyprian80
@aniseth14cyprian80 2 ай бұрын
Mmmmhh, Acha kupotosha na kuchafua Kanisa lakoo.
@sindabahabwoyaanacret660
@sindabahabwoyaanacret660 2 ай бұрын
Acha ujuha wewe unaibiwa afu unakaa kimya
@josemtataofficial
@josemtataofficial 2 ай бұрын
Kwanza kabisa unaishukulu selekeali ya Tanzania 😂😂😂😂 mambo ya kanisa na selekali wapi na wapi okokeni nyie wasabato
@HenriettaMkandya
@HenriettaMkandya Ай бұрын
Mungu hadhihakiwi kila mtu atavuna anachokipanda,Mungu hatakaa kimya iko siku atalishughulikia hili kikamilifu,anawapa muda wahusika kusahihisha njia zao,wasipobadilika hakika Mungu mwenyewe atashughulika!
@hosenishani6418
@hosenishani6418 2 ай бұрын
Mzeee kawa mwanaharakati badala ya Kwenda kuhubiri watu wamjue Mungu na kuomba
@ChrisOrganic-p2g
@ChrisOrganic-p2g 2 ай бұрын
Well done mzee
@NjombeInforChannel
@NjombeInforChannel 2 ай бұрын
Wasabato wanajionaga wanajuwaaaa onasasa wanavo jidhalilisha😢😢😢😢
@onesmobombile9749
@onesmobombile9749 Ай бұрын
Kanuni ya kimbingu ya kushughulikia migogoro ni hii peke yake. Mathayo 18:15 - 17 Na ndugu yako akikukosa, enenda ukamwonye, wewe na yeye peke yenu; akikusikia, umempata nduguyo. Kama hasikii, chukua pamoja nawe tena mtu mmoja au wawili, ili kwa vinywa vya mashahidi wawili au watatu kila neno lithibitike. Na asipowasikiliza wao, liambie kanisa; na asipolisikiliza kanisa pia, na awe kwako kama mtu wa mataifa na mtoza ushuru. Yakobo 4:12 Mtoa sheria na mwenye kuhukumu ni mmoja tu, ndiye awezaye kuokoa na kuangamiza. U nani wewe umhukumuye mtu mwingine?
@Mimi-wf7mb
@Mimi-wf7mb 2 ай бұрын
Chawaaaa
@lucasmanyama4677
@lucasmanyama4677 2 ай бұрын
Mambo ya kanisa inapaswa kuyamaliza ndani kwa ndani tena kimya kimya bila ulimwengu kutambua lakin tulipofikia viongoz wameondokewa na Roho wa Mungu that why haya mambo yanatokeza nje kanisa leo uaminifu kwa Mali ya Mungu ni Dhabi kwa watu wa Mungu na viongoz wao lkn Mungu anaowatu waaminifu bado wasio msujudia baal. Tunatoa kwa Mungu na sio kwa wanadam kaz ya Hukum tumwachie Mungu aonaye siring.
@getajo1153
@getajo1153 Ай бұрын
Kataa DINI ni UTAPELI..
@jescamkwaya
@jescamkwaya 2 ай бұрын
Kumsikia Mungu kwa maagizo yake ndio ushindi na maendeleo ya kanisa tumtii Mungu
@BlessStanley-x4p
@BlessStanley-x4p 2 ай бұрын
Mungu atusaidie tunapo elekea mbigu hatutaiona
@joycehaule9717
@joycehaule9717 2 ай бұрын
@@BlessStanley-x4p mimi nitaiyona kwakweli acha nijitamkie mema mie
@ALLYKAARE
@ALLYKAARE 2 ай бұрын
Kwa mara ya kwanza Pastor amezungumza tangu nimfaham bila nukuu ya Roho ya Unabii au Biblia wala kusema it's written. Kuna kitu hakipo sawa
@BongoCryptos
@BongoCryptos 2 ай бұрын
Kwani wewe hujui kuwa imeandikwa Usiibe? Acha kujitoa akili
@misperambogo
@misperambogo 2 ай бұрын
@@ALLYKAARE ulitaka aje na amri za Mungu akusomee ndo ujue kwamba imeandikwa usiibe Mbona mnatetea majizi yanayojitajirisha kwa pesa za utume 🤣🤣🤣
@hamisijuma3276
@hamisijuma3276 2 ай бұрын
Yuko Sahihi KBS, inaumiza sn, huwezi peleka kesi ya tumbili kwà nyani, wanatakiwa wakaguzi wabobezi watuhumiwa wawe nje ya kanisa. Kanisa lilikuwa zmn ss hv n michongo kila Kona, zahanati shule, ziko hoi, hata NDEGE waliuza pesa walifanyia Nini???
@ALLYKAARE
@ALLYKAARE 2 ай бұрын
'Nasema hivi ili mwone aibu. Je, inawezekana kuwa miongoni mwenu hakuna mtu mwenye hekima ya kutosha kuamua ugomvi kati ya waumini? Badala yake ndugu mmoja anampeleka mwenzake mahakamani, tena mbele ya watu wasioamini! Huko kuwa na mashtaka miongoni mwenu ina maana kwamba tayari ni kushindwa kabisa. Kwa nini msikubali kutendewa mabaya? Kwa nini msikubali kunyang’anywa? ' 1 Wakorintho 6:5-7​@@BongoCryptos
@ALLYKAARE
@ALLYKAARE 2 ай бұрын
'Nasema hivi ili mwone aibu. Je, inawezekana kuwa miongoni mwenu hakuna mtu mwenye hekima ya kutosha kuamua ugomvi kati ya waumini? Badala yake ndugu mmoja anampeleka mwenzake mahakamani, tena mbele ya watu wasioamini! Huko kuwa na mashtaka miongoni mwenu ina maana kwamba tayari ni kushindwa kabisa. Kwa nini msikubali kutendewa mabaya? Kwa nini msikubali kunyang’anywa? ' 1 Wakorintho 6:5-7
@raphaelkessy7360
@raphaelkessy7360 Ай бұрын
Wasabato siyo wa Christo
@Mwaigombetv
@Mwaigombetv 2 ай бұрын
Sawasawa
@abigailkibonge202
@abigailkibonge202 2 ай бұрын
Huyu Baba sijui kama havuti bangi sijui!!!
@EDWARDNSOBI
@EDWARDNSOBI Ай бұрын
Mwaso.......!
@emmosilver6039
@emmosilver6039 2 ай бұрын
Mchungaji hayo hayana budi kutokea,Wateule tuinueni macho juu tumekaribia nyumbani.Muda si mrefu hizo fedha na mali hazitakuwa na thamani kwa watakatifu wa MUNGU.Tutakapo ingia kwenye cashless vituvyote vitakuwa undercotral so hapo ndipo watajulikana washika amri za MUNGU na Imani ya yesu.Ingawa bado pepeto linaendelea kimyakimya.
@AmosMalakyese-dc9qr
@AmosMalakyese-dc9qr 2 ай бұрын
Kanisa limeiacha njia kuna uozo mwingi sana, viongozi wanafichiana udhalimu na uizi, wanaongoza kanisa kama mali yao binafsi. Inakatisha tamaa sana....
@Anton_Joseph
@Anton_Joseph 2 ай бұрын
Wapendwa, mimi nadhani hii taarifa itupe tu overview ya wapi tunaenda, binafsi ninashauri kuandaa na kuzisafisha njia zetu ili tukae tayari kumlaki Mwokozi mawinguni. Guswa kubadili mwenendo wa maisha yako mpendwa ndipo usalama ulipo. Amani ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe nanyi nyote. Amina.
@innocentfortunatus725
@innocentfortunatus725 Ай бұрын
Ata kama huyu mzee amekosea kushitaki viongozi wa Kanisa kwa serikali Mungu apiganiwi na mwanadamu anajipigania
@epimackoscar25
@epimackoscar25 2 ай бұрын
Nilikuwa nakuheshimu sana mchungaki na hasa kwenye upande wa hamasa za kufanya kazi kuliko kuwa goigoi ila kwa hili nimekutoa nyota zote tena nina mashaka kwa sasa na akili yako kama Iko sawa Kwa sbb mpaka umri huo na uchungaji wako unawezaje kuiomba serikali ingilie mambo ya kanisa umesahau historia zinasemaje kuhusu athari zilizowai kutokea hilo , kanisa la Mungu linasimama na Mungu , tumia muda huo kuongoa roho watu waache dhambi haya unayoyatafuta ni Mungu mwenyewe atashughurika na kanisa lake
@annafredinandmatandiko8438
@annafredinandmatandiko8438 2 ай бұрын
Wee nae ndio wale wale chawa wa ccm
@misperambogo
@misperambogo 2 ай бұрын
@@epimackoscar25 kwamba umeacha kumuheshimu shauri ya kukemea uovu? Serikali imeingilia migogoro mingi tu ya kanisa na ikapewa utatuzi.
@emmanuelmororo7420
@emmanuelmororo7420 2 ай бұрын
Nikweli kabisa kanisa lina taratibu zake za kushughulikia changamoto zake ..lakini kwa hatua ambayo kanisa limefikia naungana na mch serikali iingilie kati mafisadi ndani ya kanisa washughulikiwe.
@hamenyayohanakasase5836
@hamenyayohanakasase5836 2 ай бұрын
Serikali itatoa utatuzi gani? Je, mambo ya Serikali ni nani huwa anayatatua? Je, katika historia ya biblia, kuna kumbukumbu yoyote au kielelezo cha masuala ya kiimani kukatiwa rufaa kwa watawala wa kiserikali? ​@@emmanuelmororo7420
@malamlaaj9852
@malamlaaj9852 2 ай бұрын
Wewe unaonekana ni miongoni mwao. Mbona uko kinyume na kweli anayoongea mtaafu huyu? Wewe tumekushtukia....
@alphawilliam2279
@alphawilliam2279 2 ай бұрын
Ww mchungajii watu selikalin wanapiga mabilionii na hawakamatwiii sembuse dinii
@benjaminmathias2653
@benjaminmathias2653 2 ай бұрын
Mzee wangu mwasamola nakupenda sana ila mambo haya ni ya Mungu acha Mungu ajipiganie usimsaidie cha kufanya waombeeni wanaowaudhi kanisa ni la kristo me binafisi stochoka kutoa maana biblia imenena kama unaiba Mungu atawasaidi au kuwashughulikia so tuwaombee halafu tuwe na imani kuwa Mungu anayo majibu sahihi kuliko serikali
@JameM-l1u
@JameM-l1u 2 ай бұрын
Pengine hujawahi kuwa kiongozi ndio maana unachukulia poa sana au huenda huifahamu mifumo ya fedha au hata mgogoro unaoelezwa huufahamu au hujamsikiliza makamu wa Rais. Hadi hapo Mungu ameshajipigania tayari au aliyezungumza hajazungumza Kwa msukumo wa dhamiri njema ambayo Mungu ndiye humpa Mtu?
@BongoCryptos
@BongoCryptos 2 ай бұрын
Barikiwa sanaaaa
@joachimsironga1560
@joachimsironga1560 Ай бұрын
hatutakagi ukweli tz
@Bambagatz
@Bambagatz Ай бұрын
Kwenye Maandiko watawala walikua wanawafwata watumishi Kwa msaada wa maono kutoka Kwa Mungu, Lakini sasa hivi watumishi wanawafwata watawala kutatua matatizo yao, wakati Mungu ndo mwenye misingi ya mambo yote, Something is wrong somewhere, Mungu ndo mwenye mamlaka ya mambo yote.
@priscambwambo1030
@priscambwambo1030 Ай бұрын
TUCHANGAMKE YESU ANARUDI SASA IVI.
@Leodimk-n5c
@Leodimk-n5c 2 ай бұрын
Huyu litakuwa dishi limeyumba sasa anataja anaomba serekali mara wirara ya mambo ya ndani wakati huko ndiko uzembe n maovu ya kila aina watu wanalalamikia kila siku 😅😅😅
@fastonsambo-du4rd
@fastonsambo-du4rd 2 ай бұрын
Amestaafu akiwa na nguvu nyingi za kumtumikia Mungu ,Hilo ni kosa mbele za Mungu ndio maana yote hayo yanatokea
@LisheEndelevu
@LisheEndelevu Ай бұрын
Mhh kuruhusu serikali kuingilia mambo ya kanisa! Mungu atuhurumie na kuingilia kati,
@fabrianjr9163
@fabrianjr9163 2 ай бұрын
Mzee.kanyookaa 😢😢 ...ila wakat yeye ni kiongoz matumiz yalikua mazur na hzo dosar hazikuwepo najarb kuwaza ?
@JameM-l1u
@JameM-l1u 2 ай бұрын
Endelea kuwaza . Waliomaliza kuwaza wanafahamu kinachoendelea
@fabrianjr9163
@fabrianjr9163 2 ай бұрын
@JameM-l1u mliomaliza mtujuze
@EmmanuelMikael-in1ej
@EmmanuelMikael-in1ej 2 ай бұрын
Huyu mzee yuko sahihi!! Kabisa na mzee kwa ukweli huo jiandae kufutwa ushilika baba!! Viongozi wamekuwa israel
@JameM-l1u
@JameM-l1u 2 ай бұрын
Nani atanyosha huo mkono wa kumfuta? Kwa kosa gani halafu?
@SuzanIkwabe
@SuzanIkwabe 2 ай бұрын
Bora lkn kaongea ukweli wake pastor ht wakimfuta ushirika hawa ni wanadamu sio Mungu tunaemwamini
@elienezaaggrey4383
@elienezaaggrey4383 2 ай бұрын
Wachache hàwatamuelewa Pr. Ila Yuko curious
@mkurangacnajemasabatochane4626
@mkurangacnajemasabatochane4626 2 ай бұрын
Utimilifu wa unabii na matukio yake !
@JosefNgulinzila
@JosefNgulinzila 2 ай бұрын
Nyie wote hamuelewi Sjui dini mnahisi nikitu halisi dini sio za mungu ni uelewa wenu mdogo2
@VictorNshala
@VictorNshala Ай бұрын
Mtumishi wa Mungu, hivi jambo hili umelifikisha kwa mwenye mali(Mungu YEHOVA)? Kama ndivyo,halafu hajawachukulia hatua..sasa unaona utafute msaada wa selikari,ambao nao taarifa za CAG kila zikitoka zinaeleza uozo,na hakuna hatua!!! Kinachonitia wasiwasi ni rugha ya kujipendekeza kwa serikari .."selikari imetuvumilia sana" mara "hongera mama kwa kazi kubwa ya kuendeleza miradi"..!!! Mabaya yatokeapo nyumbani mwa Mungu...piga magoti,mweleze mwenye nyumba (YEHOVA)!!
@lameckmikembo9001
@lameckmikembo9001 Ай бұрын
Umefika mda wa kumwelewa yesu ni nan kuliko dini. Sina mengi
@malimajr8708
@malimajr8708 2 ай бұрын
Kwanini Hadi inafikia Huku?
@jocktankachekolela6202
@jocktankachekolela6202 Ай бұрын
Kijana mnafiki akizeeka anakuwa mchawi
@GraysonMunassa
@GraysonMunassa Ай бұрын
We nae si mchungaji si mgejadili kanisani mpaka utangaze hakuna kitu hapo
@ukweliwaleotv1515
@ukweliwaleotv1515 2 ай бұрын
Ni Muda wa Kutiwa Munhuri watu wa Mungu Duniani kote. "Bwana akamwambia, Pita kati ya mji, kati ya Yerusalemu, ukatie alama katika vipaji vya nyuso vya watu wanaougua na kulia kwa sababu ya machukizo yote yanayofanyika kati yake".Ezekiel 9:4
@priscambwambo1030
@priscambwambo1030 Ай бұрын
Kwakweli ni Muda wa muhuri . Yesu yu mlangoni anakuja
@daudimdee6175
@daudimdee6175 Ай бұрын
Kiongozi syo Mungu tumieni kanuni maandiko matakatifu ww ushastaafu acha kulichafua kanisa la Mungu
@GesongoBoaz
@GesongoBoaz 2 ай бұрын
Hapa tunaelekea kwenye ufunuo kwamba dini kuungana na ser ikali na ni kitu ambacho hakitawezekana.
@misperambogo
@misperambogo 2 ай бұрын
@@GesongoBoaz kwani hujui kwamba kanisa limesajiliwa kisheria na serikali
@SelijusiMalambo-z2b
@SelijusiMalambo-z2b 2 ай бұрын
Kwani makanisa yapo kisheria
@josephatLeonard
@josephatLeonard Ай бұрын
Napata wasiwasi Kwa mchungaji huyo Kwa maelezo yake, amesema zaid ya Miaka 42 amekuwa akiona viongoz wakitumia masilahi yao kuchukua sadaka (Maokoto) Kwa matakwa yao ya uongozi. Kwann alikaa kimya na kushindwa kulisaidia kanisan kama kiongoz msitafu. Hali alidumu kuyaona Kwa nyanja tofauti tofaut za viongoz kuanzia juu had chini..! Au Kwa vile alikuwa kwenye uongoz kipindi hicho nae Kuna kitu alikuwa akikipata so baada ya kustafu Hana chake tena akaona ni vyema kutoa Siri ambayo washiriki watoa zaka na sadaka hatujui wayatendayo
@MetuselaEphraimu
@MetuselaEphraimu Ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉
@misperambogo
@misperambogo 2 ай бұрын
Dawa ya ukweli ni kuusema hata kama ni mchungu
@SuzanIkwabe
@SuzanIkwabe 2 ай бұрын
Respect naunga mkono na maana ht makamu wa rais kaongea wazi na pastor mwasomola ameongea hivyo hivyo kwani hapo ana kosa gani?
@zakayomkemwa6283
@zakayomkemwa6283 2 ай бұрын
Humu hakuna uchungaji yaani tangu lini mambo ya ROHONI ya solviwe na raisi muache mama yangu ana Mambo mengi ya kufanya
@wilfredbyabato4732
@wilfredbyabato4732 2 ай бұрын
kwani wizi ni jambo la kiroho
@makollonkunujr1198
@makollonkunujr1198 2 ай бұрын
Je ni kweli kwamba njia hii ni sahihi katika kutibu tatizo hilo, au ni mpango wa kuhafifisha injili? Mbona tunayoambiana na kufundishana kwamba haya yanawapasa Wakiristo kufanya hayafanyiwi kazi katika vitendo ila tunayaimba midomoni tu, tuamini kwamba kanisa limekengeuka au ? Hapana huku mlikofika mnalitukanisha kanisa na Kristo, acheni na rudini katika msitari
ماذا لو كانت الفواكه حية 🥥🍸😜 #قابل_للتعلق
00:42
Chill TheSoul Out Arabic
Рет қаралды 29 МЛН
Боксёр воспитал дикого бойца!
01:36
МИНУС БАЛЛ
Рет қаралды 4,9 МЛН
Кого Первым ИСКЛЮЧАТ из ШКОЛЫ !
25:03
Шаурма с сюрпризом
00:16
Новостной Гусь
Рет қаралды 6 МЛН
Rayvanny feat Mwamposa - Ni Mungu (Track No.1)
4:37
Rayvanny
Рет қаралды 203 М.
SALAMU ZA MWAKA MPYA ZA RAIS DKT. SAMIA KWA WATANZANIA
28:24
Ikulu Tanzania
Рет қаралды 31 М.
MAZITO YA MRISHO GAMBO BAADA YA KUCHANWA HADHARANI NA MAKONDA
5:14
ماذا لو كانت الفواكه حية 🥥🍸😜 #قابل_للتعلق
00:42
Chill TheSoul Out Arabic
Рет қаралды 29 МЛН