Kazi ya wachungaji ni pamoja na kutia moyo na kufariji pia. Hongera pastor.
@sweetmama32427 жыл бұрын
Aaaaamen. Aaaaamen. Yesu ni Bwana. Mungu akubariki sana mchungaji kwa maneno yako mazuri, ya busara na hekima. I ❤ youuuuuuuuuuuu.....!
@abdulmtausi66727 жыл бұрын
Askofu Gwajima nimekupenda bure,wewe ni mwanaume wa vita,alikuchafua na wewe una haki ya kujitetea,big up sana,kati ya wewe na huyo bashite wewe ni bora mbele ya Mungu na mbele ya wanadamu wenye busara,hujawahi kunywa hata pombe utafanana vipi na mtu mwenye roho mbaya na mbinafsi kama yule?Mungu akusimamie
@MakoyeAman7 жыл бұрын
Great message>>>>> uko vizur Gwajima in your mind
@zuhuraabdurlazack80087 жыл бұрын
Kiukweli mim nmekuelewa sana gwajima...big up na Ukweli tumeujua...mim nakuamin
@christophermakunzo42327 жыл бұрын
Mtumishi wa Mungu, umeeleweka kwa kiasi cha juu sana kutokana na sakata hili. Pole.
@Mwl_Sanga7 жыл бұрын
#Gwajima hata kama unakosea kumsema mtu mmoja muda wote, mbali na dini unatufundisha kitu kikubwa kuwa tuache uoga ndani ya nchi yetu, #Gwajima safi sana, tumia Uhuru wako katika nchi ya baba zako....
@lutonjalushu9237 жыл бұрын
hongera mh. gwajima
@manyotaskipper57657 жыл бұрын
gwaji unawaombea clouds wanunue magari na viwanja si ungewaombea wauone ufalme wa Mungu waingie peponi
@noxlosingida23697 жыл бұрын
hahahaha umeonae hata hajatamka ufalme wa Mbiguni
@noelndelwa19645 жыл бұрын
Abdulatif Said wokovu upon kwa njia nyingi
@witneskimario63363 жыл бұрын
Uamna mtu anaempeleka mtu mbinguni ufalme wamungu unautafuta mwenyewe dear
@josiahpaul35327 жыл бұрын
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni big up pastr nme kuelewanme kuelewa
@floriantelele83067 жыл бұрын
gwajima katika ubora wake
@abbasboniphace54447 жыл бұрын
Florian Telele dam u got my day😂😂😂
@millitarybattalion75152 жыл бұрын
Kweli Leo nimeamini mzoga umetoa asari 2021
@mottofoundationinc.34927 жыл бұрын
ONLY SMART BRAIN CAN UNDERSTAND THIS GREATEST GUY(GWAJIMA)..
@sadickwalker27954 жыл бұрын
True.
@stn48732 жыл бұрын
Lilikua ni suala la muda tu, Mwenyezi Mungu kafanya yake.
waoooh keep it up mr gwajima i am very proud of you my son
@loner_wolf3 жыл бұрын
Mayor wa mwanza, sio dar es salaam mkuu... ENDELEA...
@vumiliambehi797 жыл бұрын
hebu mungu awatangulie wote wenye sakata hili
@fikiryhamees58585 жыл бұрын
Nikimuangalia luge najikuta nalia kama yupo dunian jaman dah!
@gabrielshewio65997 жыл бұрын
hongera sana mchungaji
@stanslausmteme8455 Жыл бұрын
Leo hii wew ni mwanasiasa na still ni askofu
@ramadhansemgayo35385 жыл бұрын
Ruge umetangulia mbele ya haki pumzika shujaa lkn haya mengine tunamuachia mungu yeye ndo hutoa hukumu na yeye pia ndo mwenye kusamehe #RIPRUGE inauma sana lkn hakuna namna
@saladaniel92744 жыл бұрын
Leo yuu wapi makonda??
@emmanuelaggery68777 жыл бұрын
duu kmbe gwajima sio wakitoto aisee kumbee he is that big makanisa 470 nje ya nchii......
@lawrancemngazija22164 жыл бұрын
Hammer
@BigZhumbe7 жыл бұрын
Asa Bwana Gwajima Kingereza ni kuonyesha amesoma sana au......... Ongea Kiswahili tukuelewe
@abdulmillanzi73557 жыл бұрын
Daaah Bosi Ruge anaonekana bado hayuko sawa kabisa.
@joycemichaellovelove22217 жыл бұрын
nimekushangaaa sana leo eti kanisan unajimwaga kama muimba taarab unafk tuu umekujaa😀😀😀😀😀 alaf nje ya kanisa umeongea kwa busaraa sana ungeanza ivo mwanzo ithnk ungeskilzwa tatzo unapayuka payuka ovyo bila sabab za msing thx #Ayo tv
@rosetenga43337 жыл бұрын
baba,baba , baba huyo
@lwijimsafiri65457 жыл бұрын
ur intelligence and compitent gwajima
@tinnomdete48417 жыл бұрын
hivi mnaosema gwajima ni mwanasiasa hivi jifikirie mara 2 umetajwa unauza madawa ya kulevya au unambiwa hafanyi hiyo biashara achani zenu
@kigendihassan6307 жыл бұрын
MTU akikulushia mawe usimludishie, yakusanye ujengee daraja kuelekea ktk mafanikio.
@petermwangi70475 жыл бұрын
Asante sana
@emmanuelsemwaiko22807 жыл бұрын
watanzania kuendelea ni ndoto sana kiukweli,tunajishughulisha na vitu ambavyo si maswala ya msingi,Mwenyezi Mungu tusAidie
@ramadhanchenga46067 ай бұрын
Bila magufuli ruge alikua nauwezo wa kumshitaki makonda vzr na kumfunga
@fatmaalrashdi15777 жыл бұрын
wote hao wanao mchukia makonda wote ndio wauza uga na ndio.wana mpiga vita atumbuliwe ili warudie kazi zao makonda chapa kazi muhim uko na magfuli.hapa kazi tuu
@hashimmusa94857 жыл бұрын
wanaomtetea makonda wamepata zero
@hamzabingwe41785 жыл бұрын
Fatma Alrashdi mmmmmmm aya
@seifmohamedseif93847 жыл бұрын
ana elewa maana ya neno kichaa ! kichaa ana omba msamaha kichaaa anafundishwa sema umezaa na gwajima ! huu msani km clouds
@bonakwelilema96007 жыл бұрын
Gwajima kagundua kitu kweli mchungaji au asko ni msema kweli bila kuogopa kitu kuhusu madawa na tatizo na bashite
@saumuhassan13657 жыл бұрын
😂😂😂😏😏 Ni sheeeedah! Thankx Mr countdown *Millard Ayo* kwa habar
@josephthobias20566 жыл бұрын
kumbe ruge alikwita ooooh umepa pole na kumwombea ila habari za shujaa wako mh.makonda umezigusa gusa .makonda
@angellamwanri84147 жыл бұрын
Safi sana Gwajima...
@frolamrema36835 жыл бұрын
Ruge wangu never forget my lovely friend
@kamgomoli36505 жыл бұрын
Well said,"Man can not run away from the truth though can only be delayed".
@florianhenry71984 жыл бұрын
Ulisema utofanya siasa 😂 pole
@Hassan_Mengi7 жыл бұрын
Fikiria kama Bashite angekuwa amekaa next to Gwajima, ingekuwaje?
@rogersgeorge29204 жыл бұрын
God is good
@privamariki26757 жыл бұрын
duuuu yaani nyie camera munazo yaani picha zenu zinaonekani clear
@asserymmary26967 жыл бұрын
media wamesha Ramba Jokery...atakoma mwenye jiji lake aliramba Kopa
@zandakingfujo77077 жыл бұрын
haya sawa ushamwambia rais tafuta mahali utulie
@musasaidi79737 жыл бұрын
Hahahaha
@onesmoakwilini62545 жыл бұрын
Mchawi kajaaa msibani..R.I.P kaka
@sengeremathomas88155 жыл бұрын
Eb kichaa anawezaje kuandika barua??????
@factdonotlie83016 жыл бұрын
Lisha chacha baba fanya maubili hapa kazi tu
@velmaagwona19455 жыл бұрын
Kila Mara nikimuona ruge akiongea namuona kama yuko hai jamani inauma,
@emmypaul74555 жыл бұрын
Pumzika salama ruge
@jacklinelyimo74077 жыл бұрын
Kazi ya mchungaji nikutetea pia Taifa wananchi ksb km yeye anajulikana ulimwenguni atakaaje kimya nani atamwelewa ni vizuri aliweke wazi kabisa
@christsflowe.r7 жыл бұрын
Good job
@manfesto67993 ай бұрын
Kuna Akili na wahitimu makonda anaakili lakn sio muhitimu
@seifmohamedseif93847 жыл бұрын
ana mkatisha haraka asionge anajua maswali yatafikia mahali atajingiza ktk 18 siri itoke kwanini usiache amalize mwenyewe
@johnkyara8655 Жыл бұрын
Utawala wa makofuli ulitesa watu 😢😢😢
@taremwajkaihula35612 жыл бұрын
Upovizuri gwajima
@januarypeter46557 жыл бұрын
yani watu bwana eti mnamuona gwajima mjinga embu fikiri kama ndo ww?
@alfanikamana90626 жыл бұрын
January Peter gwajima kasema uyo mama ni kicha,tena anasema yuko ana andika kicha anaweza kuandika?
@kaayaester97395 жыл бұрын
Ole wenu mnaowatukana Masihi na Nabii za Mungu kuwakejeli kuwadharau ni mbaya kuwasema vibaya hakika hukumu ya Mungu na fimbo ya Musa na gharika lake adhabu inawakalia amtakwepa tena mapema sana Malaika aletaye mabaya huyoo
@fatwimamakungu54567 жыл бұрын
joyc love love hahaha anajimwaga hahaha yani ww mtoto nime kushindwa ww hahaha anajimwaga kama muimba tarabu hahaha jamani atwaleeee
@theonlyonebeautiful37265 жыл бұрын
Hiyo ilikuwa mbaya sana aisee watu kufukuzwa kazi kisa vyeti dah iliathiri wengi sana
@fbr51137 жыл бұрын
Clouds msipokuwa waangalifu huyo mzee atawagombanisha na wengi sana ooooho
@BigZhumbe7 жыл бұрын
Hotuba ya jumapili itakua kuhusu ziara ya clouds fm...... hao waumini ama wanasiasa
@philipomichael54777 жыл бұрын
hakika ukweli utabaki daima. MUNGU AKUPE HEKIMA KAMA SULEIMAN.
@charlesmakonda66067 жыл бұрын
Wachungaji waongo mchunga wa kweli ni yesu wengine wote hamna lolote sisi tunaimaani na muhammad
@Adryfierce7 жыл бұрын
Gwajima ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@erastoeraxx93417 жыл бұрын
Kwanini kila jambo la mwanasiasa wote tunamjua lakini wewe unapenda kutolea Maelezo! ®
@januarypeter46557 жыл бұрын
mara ooh gwajima fala ,mpumbavu kwahiyo aliye umbuka kwa kutengeneza skendo mpaka kukodi watu,kipindi na mtoto bandia alikua mwerevu siyo!!!!! kwani kama gwajima ni muuzaji wa madawa ya kulevya haya yote yametokea wap? kwanini asingetoa siri za biashara zake syo ndo angemuumbua zaidi kuliko mtoto bandia?
@seifmohamedseif93847 жыл бұрын
January Peter na alikua kitu kimoja na clouds sasa clouds wamemgeuka huyu katoa dau kubwa zaid kwa yule ruge maana km maandalizi ya kurusha yalikuwepo kisha anadai hakuna balance shoot wamefanyia nyuma ya jengo lao leo wanadia stori walitafuta wao wazi yule mama alipelekwa pale kushoot kipindi jamaa kuchukua clip wakaona kitanuka hawataeleweka ktk jamaa sasa watoke na kusema tumevamiwa
@mariamfaki11667 жыл бұрын
huyu baba ana masifa sijaona mchungaji wa aina hii katika dunia atakua kweli anahusika na madawa
@ibrackibrahim69092 жыл бұрын
Shona kuma Wewe
@FarmChoiceLtd7 жыл бұрын
Gwajima kwa mbwebwe!!
@Tiffany3407 жыл бұрын
Ila gwajima pole kupiga mikelele yote ile umepuuzwa na mkuu. duuh. watu wabaya. maskini ungekuwa unakemea majini yaliyowavaa waumini wako si ungeyamaliza yote.. mweee!!! pole lazima koo litakuwa linamichubuko tu
@newasddong58657 жыл бұрын
Fetry John kabisa
@magrethlucas79287 жыл бұрын
Hahahahaha chizi huyo
@mathamalila31116 жыл бұрын
hahaahaaaa ulifwatilia ili iweje mwache apige kazi fwata ya mungu na siku zote MTU wa mungu anasamehe na kuwaombea wanao muuzi lakini kwako ni shida,
@bonita3295 жыл бұрын
umenifurahisha sana mzee.😂😂 nchi yetu imepatwa viongozi wa ajabu kwakweli hali si shwari
@immakifimbo67217 жыл бұрын
makonda tuna kushaaa-------
@trilionea_online_TV5 жыл бұрын
Hizi clip ukizifuatilia zote kwa wenye akili ya kuchambua mambo utagundua na utajua mengi yenye utata,,, RIP Ruge, Master muongoza njia,, ulinisaidia sana lakn bado tunajiuliza ugonjwa wako ulitokana na nn, maana ilikua ghafla sana,,,
@williamkavuta51935 жыл бұрын
Jefta Trilionea acha mawazo hasi ghafla kafa na ajali huyo? Unajua kifo cha ghafla wewe.Funguka ki mawazo acha kuwa na negativity.RIP
@nassrahamad58357 жыл бұрын
hahaha gwajima bhaaanaa noma sana uyu mtu
@issajohn70667 жыл бұрын
Katika Biblia imeandikwa kwamba msiwaguse masihi wangu.....yaaani don't touch my anotient....so cpendagi kujihusisha na hayo mambo coz lazima tutakuja kulipia tunachofanya...ushauri waacheni masihi wake
@zayomari90087 жыл бұрын
ingia tu kwenye siasa baba angu ,kanisa waachie wengine
@257OG96Dutymobile7 жыл бұрын
Taguel errêt d parler la merde
@mathamalila31116 жыл бұрын
nakweli
@jadamumwakibete4777 жыл бұрын
sponges kwako mchungaji
@nawras65177 жыл бұрын
Mh wao wapange skendo na sasa watembeleana na kupozana. Ila wenye akili huona mbali.
@jacksonamos57527 жыл бұрын
kazi ipo
@estherwangare97597 жыл бұрын
to be honest Askofu umeongea ukweli na I surport you coz njia makonda alitumia ilichafulia watu cv sana coz once ulitajwa ni ngumu ku conceive watu uambie ni uongo ...angechunguza akipata ushahidi awatangaze ....
@yekonialabani70427 жыл бұрын
hivi nyie mnaomsema askofu gwajima unafikili ingekua niww umetajwa kama muuza unga ungejisikiaje msiseme tu Maneno fikilia naupande wa Pili mungu mbariki askofu gwajima amina waoga waache nau
@yekonialabani70427 жыл бұрын
hivi nyie mnaomsema askofu gwajima unafikili ingekua niww umetajwa kama muuza unga ungejisikiaje msiseme tu Maneno fikilia naupande wa Pili mungu mbariki askofu gwajima amina waoga waache nau
@khadijaoman62677 жыл бұрын
kwann msubiri mchakato wa madawa yakulevya mfate makonda mpaka aliko soma kwani askofu karuhusiwa kuiteketeza watu ima waumini kwa madawa ya kulevya
@kingkiwango14354 жыл бұрын
Itoshe kusema bashite out kigambon
@alexchungu88235 жыл бұрын
Koromijee
@hongerakkachawasemewwkzbut49967 жыл бұрын
duuu gwajima ww ww acha maneno mengi ww hata mungu hapendi kila saa wamsema makonda kwann lakini ww
@bonita3295 жыл бұрын
sasa huyo bashite kashfa aliyompatia mchungaji ndogo?
@fredreckmwakalinga34755 жыл бұрын
hongera kk acha waseme ww kz buti Alnomania huo ndo ukweli unataka nini ?
@raymondkaswaga83345 жыл бұрын
Ruge umeniuma kk kila la heri uendako
@AleniSilas7 жыл бұрын
Mungu atusaidie sana yani umekua mwanasiasa unaongea 2 fanya yanayokuhusu mzee kwan kupelekwa polisi x jambo la kawaida na wewe ulikuwa suspect sio kwamba n mtumiaji sasa wewe unakalia majungu 2 acha zako wewe
@johnsonchaulaya63914 жыл бұрын
wasio penda maendeleo utajua 2
@elsnyng68157 жыл бұрын
Gwajima anajiona kama Papa paul vile😂😂😂
@festofidelism47066 жыл бұрын
sasa Ruge hapo unamtukana nani?
@stellahemilian91687 жыл бұрын
We ni kiongozi wa dini unachofanya ni udhalili wa dini tu, hufai kuwa mchungaji badala yake ni mwanasiasa hlf kumbuka ww ndie chanzo cha yote haya.. Km kiongozi wa dini unakosea kbss upumbavu mtupu
@samsonmalongo84597 жыл бұрын
we Gwajima huna jipya fala wewe. we ni mtumishi wa Mungu au ni kulala waumini na kulopokalopoka umbea kanisani. mjinga wewe
@benzkubehwa7057 жыл бұрын
box ddbb
@rhodamaganga83087 жыл бұрын
wew huna cha kuongea unam2kana wew kama nani wew hujiekewi
@ericakalindu16595 жыл бұрын
@@rhodamaganga8308 hana akiri huyo unamuona yup sawa ww kaka angali na watu wa kuwatukana utapata laana bule
@amileyissa96845 жыл бұрын
Rip ruge pumzika kwa amani
@reevesmirondo7 жыл бұрын
Gwajima naomba utueleze kama unapenda maendeleo ya nchi yetu Tanzania. Kati ya waumini wako wote hayupo ata mmoja ambaye ana vyeti feki? Coz akiwepo na analeta Zaka na Sadaka basi ni batili. Jikague wewe na wafuasi wako kwanza ndipo umnyooshe Makonda kidole. Hapo mie nitakuelewa.
@reevesmirondo7 жыл бұрын
husiwe unaubiria wenye vyeti feki fanya uhakiki then ukijitosheleza kuwa ufufuo na uzima haikukumiwi na unachokiubiri then nenda kwa Mheshimiwa Makonda. Sijui kizungu kama wewe ila wanasema Charity begins at home.
@gastogeness84107 жыл бұрын
Gwajima aache kujikosha kwa JPM
@rosemartin37577 жыл бұрын
Jaman watz wenzangu.mbona tumeacha agenda ya msingi tulioanza nayo MADAWA tunashabikia tena kwa kelele za ajabu mengineo?????au ndio tuseme wauza sembe wana akili nyingi na wametushinda??????HAPANA jamani tusikubali kutoka kwenye agenda yetu ya msingi safari hii ama waaache kuuuza ama wahame nchi
@mathiasmsumeno85167 жыл бұрын
Sijasikia jibu Juu ya div 0 kuwa Na cheti naombeni jibu sasa naona Mchungaji hajalijib!
@trendtv15657 жыл бұрын
mathias msumeno kwani division zero haina results slip, jamani hata mambo yanayosemwa tusipuuzie sana, kuna umuhim wa kuunga dots ...
@magrethlucas79287 жыл бұрын
Umeonaeeeeh amebaki anashangaa na sura yake mbya
@trendtv15657 жыл бұрын
yaani results slip siyo cheti?
@seifmohamedseif93847 жыл бұрын
ruge ana mtetea hapo wazi umekula pesa ww mnafiki anapotezea kutaka kuombewa ache wandishi wamulize
@chekajumasebunga83587 жыл бұрын
Sembe sembe, sembe, sembe,sembe, sembe, sembeee. Makonda kimbiza sembe yote out of TZ, You dislike that individual, kuhusu sembe hiyo siri yako si atujuwi, lakini TZ bila sembe inawezekana, wengi wetu tupopamoja naye ktk hiyo vita ya Ubuyu vyeti or no vyeti who care.
@joycemashikolo90967 жыл бұрын
hao wachungaji wako wa uraya kwa namna yoyote ni wahusika tu wa dawa za kulevya uraya hakuna wachungaji unadanganya watanzania kwa kutuletea mabepari ichini kwetu.