Askofu Gwajima alivyotembelea Clouds Media Group leo

  Рет қаралды 287,533

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 236
@danielezekiel2860
@danielezekiel2860 7 жыл бұрын
Kazi ya wachungaji ni pamoja na kutia moyo na kufariji pia. Hongera pastor.
@sweetmama3242
@sweetmama3242 7 жыл бұрын
Aaaaamen. Aaaaamen. Yesu ni Bwana. Mungu akubariki sana mchungaji kwa maneno yako mazuri, ya busara na hekima. I ❤ youuuuuuuuuuuu.....!
@abdulmtausi6672
@abdulmtausi6672 7 жыл бұрын
Askofu Gwajima nimekupenda bure,wewe ni mwanaume wa vita,alikuchafua na wewe una haki ya kujitetea,big up sana,kati ya wewe na huyo bashite wewe ni bora mbele ya Mungu na mbele ya wanadamu wenye busara,hujawahi kunywa hata pombe utafanana vipi na mtu mwenye roho mbaya na mbinafsi kama yule?Mungu akusimamie
@MakoyeAman
@MakoyeAman 7 жыл бұрын
Great message>>>>> uko vizur Gwajima in your mind
@zuhuraabdurlazack8008
@zuhuraabdurlazack8008 7 жыл бұрын
Kiukweli mim nmekuelewa sana gwajima...big up na Ukweli tumeujua...mim nakuamin
@christophermakunzo4232
@christophermakunzo4232 7 жыл бұрын
Mtumishi wa Mungu, umeeleweka kwa kiasi cha juu sana kutokana na sakata hili. Pole.
@Mwl_Sanga
@Mwl_Sanga 7 жыл бұрын
#Gwajima hata kama unakosea kumsema mtu mmoja muda wote, mbali na dini unatufundisha kitu kikubwa kuwa tuache uoga ndani ya nchi yetu, #Gwajima safi sana, tumia Uhuru wako katika nchi ya baba zako....
@lutonjalushu923
@lutonjalushu923 7 жыл бұрын
hongera mh. gwajima
@manyotaskipper5765
@manyotaskipper5765 7 жыл бұрын
gwaji unawaombea clouds wanunue magari na viwanja si ungewaombea wauone ufalme wa Mungu waingie peponi
@noxlosingida2369
@noxlosingida2369 7 жыл бұрын
hahahaha umeonae hata hajatamka ufalme wa Mbiguni
@noelndelwa1964
@noelndelwa1964 5 жыл бұрын
Abdulatif Said wokovu upon kwa njia nyingi
@witneskimario6336
@witneskimario6336 3 жыл бұрын
Uamna mtu anaempeleka mtu mbinguni ufalme wamungu unautafuta mwenyewe dear
@josiahpaul3532
@josiahpaul3532 7 жыл бұрын
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni big up pastr nme kuelewanme kuelewa
@floriantelele8306
@floriantelele8306 7 жыл бұрын
gwajima katika ubora wake
@abbasboniphace5444
@abbasboniphace5444 7 жыл бұрын
Florian Telele dam u got my day😂😂😂
@millitarybattalion7515
@millitarybattalion7515 2 жыл бұрын
Kweli Leo nimeamini mzoga umetoa asari 2021
@mottofoundationinc.3492
@mottofoundationinc.3492 7 жыл бұрын
ONLY SMART BRAIN CAN UNDERSTAND THIS GREATEST GUY(GWAJIMA)..
@sadickwalker2795
@sadickwalker2795 4 жыл бұрын
True.
@stn4873
@stn4873 2 жыл бұрын
Lilikua ni suala la muda tu, Mwenyezi Mungu kafanya yake.
@جميلهخميس-ط5ث
@جميلهخميس-ط5ث 7 жыл бұрын
Hahahaaaa mnunue gari mjenge majumbaaa te teteteteeee Amen mchungaji mwana siasa
@williammeena3369
@williammeena3369 7 жыл бұрын
Big up Bishop Gwajima
@seifmillanzi9673
@seifmillanzi9673 7 жыл бұрын
namwona boss ruge dizain anacheka ivi
@vianeyminja575
@vianeyminja575 7 жыл бұрын
gwajima hujawahi kuniangusha,. ww ni born town
@abdonmsafiri3770
@abdonmsafiri3770 7 жыл бұрын
waoooh keep it up mr gwajima i am very proud of you my son
@loner_wolf
@loner_wolf 3 жыл бұрын
Mayor wa mwanza, sio dar es salaam mkuu... ENDELEA...
@vumiliambehi79
@vumiliambehi79 7 жыл бұрын
hebu mungu awatangulie wote wenye sakata hili
@fikiryhamees5858
@fikiryhamees5858 5 жыл бұрын
Nikimuangalia luge najikuta nalia kama yupo dunian jaman dah!
@gabrielshewio6599
@gabrielshewio6599 7 жыл бұрын
hongera sana mchungaji
@stanslausmteme8455
@stanslausmteme8455 Жыл бұрын
Leo hii wew ni mwanasiasa na still ni askofu
@ramadhansemgayo3538
@ramadhansemgayo3538 5 жыл бұрын
Ruge umetangulia mbele ya haki pumzika shujaa lkn haya mengine tunamuachia mungu yeye ndo hutoa hukumu na yeye pia ndo mwenye kusamehe #RIPRUGE inauma sana lkn hakuna namna
@saladaniel9274
@saladaniel9274 4 жыл бұрын
Leo yuu wapi makonda??
@emmanuelaggery6877
@emmanuelaggery6877 7 жыл бұрын
duu kmbe gwajima sio wakitoto aisee kumbee he is that big makanisa 470 nje ya nchii......
@lawrancemngazija2216
@lawrancemngazija2216 4 жыл бұрын
Hammer
@BigZhumbe
@BigZhumbe 7 жыл бұрын
Asa Bwana Gwajima Kingereza ni kuonyesha amesoma sana au......... Ongea Kiswahili tukuelewe
@abdulmillanzi7355
@abdulmillanzi7355 7 жыл бұрын
Daaah Bosi Ruge anaonekana bado hayuko sawa kabisa.
@joycemichaellovelove2221
@joycemichaellovelove2221 7 жыл бұрын
nimekushangaaa sana leo eti kanisan unajimwaga kama muimba taarab unafk tuu umekujaa😀😀😀😀😀 alaf nje ya kanisa umeongea kwa busaraa sana ungeanza ivo mwanzo ithnk ungeskilzwa tatzo unapayuka payuka ovyo bila sabab za msing thx #Ayo tv
@rosetenga4333
@rosetenga4333 7 жыл бұрын
baba,baba , baba huyo
@lwijimsafiri6545
@lwijimsafiri6545 7 жыл бұрын
ur intelligence and compitent gwajima
@tinnomdete4841
@tinnomdete4841 7 жыл бұрын
hivi mnaosema gwajima ni mwanasiasa hivi jifikirie mara 2 umetajwa unauza madawa ya kulevya au unambiwa hafanyi hiyo biashara achani zenu
@kigendihassan630
@kigendihassan630 7 жыл бұрын
MTU akikulushia mawe usimludishie, yakusanye ujengee daraja kuelekea ktk mafanikio.
@petermwangi7047
@petermwangi7047 5 жыл бұрын
Asante sana
@emmanuelsemwaiko2280
@emmanuelsemwaiko2280 7 жыл бұрын
watanzania kuendelea ni ndoto sana kiukweli,tunajishughulisha na vitu ambavyo si maswala ya msingi,Mwenyezi Mungu tusAidie
@ramadhanchenga4606
@ramadhanchenga4606 7 ай бұрын
Bila magufuli ruge alikua nauwezo wa kumshitaki makonda vzr na kumfunga
@fatmaalrashdi1577
@fatmaalrashdi1577 7 жыл бұрын
wote hao wanao mchukia makonda wote ndio wauza uga na ndio.wana mpiga vita atumbuliwe ili warudie kazi zao makonda chapa kazi muhim uko na magfuli.hapa kazi tuu
@hashimmusa9485
@hashimmusa9485 7 жыл бұрын
wanaomtetea makonda wamepata zero
@hamzabingwe4178
@hamzabingwe4178 5 жыл бұрын
Fatma Alrashdi mmmmmmm aya
@seifmohamedseif9384
@seifmohamedseif9384 7 жыл бұрын
ana elewa maana ya neno kichaa ! kichaa ana omba msamaha kichaaa anafundishwa sema umezaa na gwajima ! huu msani km clouds
@bonakwelilema9600
@bonakwelilema9600 7 жыл бұрын
Gwajima kagundua kitu kweli mchungaji au asko ni msema kweli bila kuogopa kitu kuhusu madawa na tatizo na bashite
@saumuhassan1365
@saumuhassan1365 7 жыл бұрын
😂😂😂😏😏 Ni sheeeedah! Thankx Mr countdown *Millard Ayo* kwa habar
@josephthobias2056
@josephthobias2056 6 жыл бұрын
kumbe ruge alikwita ooooh umepa pole na kumwombea ila habari za shujaa wako mh.makonda umezigusa gusa .makonda
@angellamwanri8414
@angellamwanri8414 7 жыл бұрын
Safi sana Gwajima...
@frolamrema3683
@frolamrema3683 5 жыл бұрын
Ruge wangu never forget my lovely friend
@kamgomoli3650
@kamgomoli3650 5 жыл бұрын
Well said,"Man can not run away from the truth though can only be delayed".
@florianhenry7198
@florianhenry7198 4 жыл бұрын
Ulisema utofanya siasa 😂 pole
@Hassan_Mengi
@Hassan_Mengi 7 жыл бұрын
Fikiria kama Bashite angekuwa amekaa next to Gwajima, ingekuwaje?
@rogersgeorge2920
@rogersgeorge2920 4 жыл бұрын
God is good
@privamariki2675
@privamariki2675 7 жыл бұрын
duuuu yaani nyie camera munazo yaani picha zenu zinaonekani clear
@asserymmary2696
@asserymmary2696 7 жыл бұрын
media wamesha Ramba Jokery...atakoma mwenye jiji lake aliramba Kopa
@zandakingfujo7707
@zandakingfujo7707 7 жыл бұрын
haya sawa ushamwambia rais tafuta mahali utulie
@musasaidi7973
@musasaidi7973 7 жыл бұрын
Hahahaha
@onesmoakwilini6254
@onesmoakwilini6254 5 жыл бұрын
Mchawi kajaaa msibani..R.I.P kaka
@sengeremathomas8815
@sengeremathomas8815 5 жыл бұрын
Eb kichaa anawezaje kuandika barua??????
@factdonotlie8301
@factdonotlie8301 6 жыл бұрын
Lisha chacha baba fanya maubili hapa kazi tu
@velmaagwona1945
@velmaagwona1945 5 жыл бұрын
Kila Mara nikimuona ruge akiongea namuona kama yuko hai jamani inauma,
@emmypaul7455
@emmypaul7455 5 жыл бұрын
Pumzika salama ruge
@jacklinelyimo7407
@jacklinelyimo7407 7 жыл бұрын
Kazi ya mchungaji nikutetea pia Taifa wananchi ksb km yeye anajulikana ulimwenguni atakaaje kimya nani atamwelewa ni vizuri aliweke wazi kabisa
@christsflowe.r
@christsflowe.r 7 жыл бұрын
Good job
@manfesto6799
@manfesto6799 3 ай бұрын
Kuna Akili na wahitimu makonda anaakili lakn sio muhitimu
@seifmohamedseif9384
@seifmohamedseif9384 7 жыл бұрын
ana mkatisha haraka asionge anajua maswali yatafikia mahali atajingiza ktk 18 siri itoke kwanini usiache amalize mwenyewe
@johnkyara8655
@johnkyara8655 Жыл бұрын
Utawala wa makofuli ulitesa watu 😢😢😢
@taremwajkaihula3561
@taremwajkaihula3561 2 жыл бұрын
Upovizuri gwajima
@januarypeter4655
@januarypeter4655 7 жыл бұрын
yani watu bwana eti mnamuona gwajima mjinga embu fikiri kama ndo ww?
@alfanikamana9062
@alfanikamana9062 6 жыл бұрын
January Peter gwajima kasema uyo mama ni kicha,tena anasema yuko ana andika kicha anaweza kuandika?
@kaayaester9739
@kaayaester9739 5 жыл бұрын
Ole wenu mnaowatukana Masihi na Nabii za Mungu kuwakejeli kuwadharau ni mbaya kuwasema vibaya hakika hukumu ya Mungu na fimbo ya Musa na gharika lake adhabu inawakalia amtakwepa tena mapema sana Malaika aletaye mabaya huyoo
@fatwimamakungu5456
@fatwimamakungu5456 7 жыл бұрын
joyc love love hahaha anajimwaga hahaha yani ww mtoto nime kushindwa ww hahaha anajimwaga kama muimba tarabu hahaha jamani atwaleeee
@theonlyonebeautiful3726
@theonlyonebeautiful3726 5 жыл бұрын
Hiyo ilikuwa mbaya sana aisee watu kufukuzwa kazi kisa vyeti dah iliathiri wengi sana
@fbr5113
@fbr5113 7 жыл бұрын
Clouds msipokuwa waangalifu huyo mzee atawagombanisha na wengi sana ooooho
@BigZhumbe
@BigZhumbe 7 жыл бұрын
Hotuba ya jumapili itakua kuhusu ziara ya clouds fm...... hao waumini ama wanasiasa
@philipomichael5477
@philipomichael5477 7 жыл бұрын
hakika ukweli utabaki daima. MUNGU AKUPE HEKIMA KAMA SULEIMAN.
@charlesmakonda6606
@charlesmakonda6606 7 жыл бұрын
Wachungaji waongo mchunga wa kweli ni yesu wengine wote hamna lolote sisi tunaimaani na muhammad
@Adryfierce
@Adryfierce 7 жыл бұрын
Gwajima ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@erastoeraxx9341
@erastoeraxx9341 7 жыл бұрын
Kwanini kila jambo la mwanasiasa wote tunamjua lakini wewe unapenda kutolea Maelezo! ®
@januarypeter4655
@januarypeter4655 7 жыл бұрын
mara ooh gwajima fala ,mpumbavu kwahiyo aliye umbuka kwa kutengeneza skendo mpaka kukodi watu,kipindi na mtoto bandia alikua mwerevu siyo!!!!! kwani kama gwajima ni muuzaji wa madawa ya kulevya haya yote yametokea wap? kwanini asingetoa siri za biashara zake syo ndo angemuumbua zaidi kuliko mtoto bandia?
@seifmohamedseif9384
@seifmohamedseif9384 7 жыл бұрын
January Peter na alikua kitu kimoja na clouds sasa clouds wamemgeuka huyu katoa dau kubwa zaid kwa yule ruge maana km maandalizi ya kurusha yalikuwepo kisha anadai hakuna balance shoot wamefanyia nyuma ya jengo lao leo wanadia stori walitafuta wao wazi yule mama alipelekwa pale kushoot kipindi jamaa kuchukua clip wakaona kitanuka hawataeleweka ktk jamaa sasa watoke na kusema tumevamiwa
@mariamfaki1166
@mariamfaki1166 7 жыл бұрын
huyu baba ana masifa sijaona mchungaji wa aina hii katika dunia atakua kweli anahusika na madawa
@ibrackibrahim6909
@ibrackibrahim6909 2 жыл бұрын
Shona kuma Wewe
@FarmChoiceLtd
@FarmChoiceLtd 7 жыл бұрын
Gwajima kwa mbwebwe!!
@Tiffany340
@Tiffany340 7 жыл бұрын
Ila gwajima pole kupiga mikelele yote ile umepuuzwa na mkuu. duuh. watu wabaya. maskini ungekuwa unakemea majini yaliyowavaa waumini wako si ungeyamaliza yote.. mweee!!! pole lazima koo litakuwa linamichubuko tu
@newasddong5865
@newasddong5865 7 жыл бұрын
Fetry John kabisa
@magrethlucas7928
@magrethlucas7928 7 жыл бұрын
Hahahahaha chizi huyo
@mathamalila3111
@mathamalila3111 6 жыл бұрын
hahaahaaaa ulifwatilia ili iweje mwache apige kazi fwata ya mungu na siku zote MTU wa mungu anasamehe na kuwaombea wanao muuzi lakini kwako ni shida,
@bonita329
@bonita329 5 жыл бұрын
umenifurahisha sana mzee.😂😂 nchi yetu imepatwa viongozi wa ajabu kwakweli hali si shwari
@immakifimbo6721
@immakifimbo6721 7 жыл бұрын
makonda tuna kushaaa-------
@trilionea_online_TV
@trilionea_online_TV 5 жыл бұрын
Hizi clip ukizifuatilia zote kwa wenye akili ya kuchambua mambo utagundua na utajua mengi yenye utata,,, RIP Ruge, Master muongoza njia,, ulinisaidia sana lakn bado tunajiuliza ugonjwa wako ulitokana na nn, maana ilikua ghafla sana,,,
@williamkavuta5193
@williamkavuta5193 5 жыл бұрын
Jefta Trilionea acha mawazo hasi ghafla kafa na ajali huyo? Unajua kifo cha ghafla wewe.Funguka ki mawazo acha kuwa na negativity.RIP
@nassrahamad5835
@nassrahamad5835 7 жыл бұрын
hahaha gwajima bhaaanaa noma sana uyu mtu
@issajohn7066
@issajohn7066 7 жыл бұрын
Katika Biblia imeandikwa kwamba msiwaguse masihi wangu.....yaaani don't touch my anotient....so cpendagi kujihusisha na hayo mambo coz lazima tutakuja kulipia tunachofanya...ushauri waacheni masihi wake
@zayomari9008
@zayomari9008 7 жыл бұрын
ingia tu kwenye siasa baba angu ,kanisa waachie wengine
@257OG96Dutymobile
@257OG96Dutymobile 7 жыл бұрын
Taguel errêt d parler la merde
@mathamalila3111
@mathamalila3111 6 жыл бұрын
nakweli
@jadamumwakibete477
@jadamumwakibete477 7 жыл бұрын
sponges kwako mchungaji
@nawras6517
@nawras6517 7 жыл бұрын
Mh wao wapange skendo na sasa watembeleana na kupozana. Ila wenye akili huona mbali.
@jacksonamos5752
@jacksonamos5752 7 жыл бұрын
kazi ipo
@estherwangare9759
@estherwangare9759 7 жыл бұрын
to be honest Askofu umeongea ukweli na I surport you coz njia makonda alitumia ilichafulia watu cv sana coz once ulitajwa ni ngumu ku conceive watu uambie ni uongo ...angechunguza akipata ushahidi awatangaze ....
@yekonialabani7042
@yekonialabani7042 7 жыл бұрын
hivi nyie mnaomsema askofu gwajima unafikili ingekua niww umetajwa kama muuza unga ungejisikiaje msiseme tu Maneno fikilia naupande wa Pili mungu mbariki askofu gwajima amina waoga waache nau
@yekonialabani7042
@yekonialabani7042 7 жыл бұрын
hivi nyie mnaomsema askofu gwajima unafikili ingekua niww umetajwa kama muuza unga ungejisikiaje msiseme tu Maneno fikilia naupande wa Pili mungu mbariki askofu gwajima amina waoga waache nau
@khadijaoman6267
@khadijaoman6267 7 жыл бұрын
kwann msubiri mchakato wa madawa yakulevya mfate makonda mpaka aliko soma kwani askofu karuhusiwa kuiteketeza watu ima waumini kwa madawa ya kulevya
@kingkiwango1435
@kingkiwango1435 4 жыл бұрын
Itoshe kusema bashite out kigambon
@alexchungu8823
@alexchungu8823 5 жыл бұрын
Koromijee
@hongerakkachawasemewwkzbut4996
@hongerakkachawasemewwkzbut4996 7 жыл бұрын
duuu gwajima ww ww acha maneno mengi ww hata mungu hapendi kila saa wamsema makonda kwann lakini ww
@bonita329
@bonita329 5 жыл бұрын
sasa huyo bashite kashfa aliyompatia mchungaji ndogo?
@fredreckmwakalinga3475
@fredreckmwakalinga3475 5 жыл бұрын
hongera kk acha waseme ww kz buti Alnomania huo ndo ukweli unataka nini ?
@raymondkaswaga8334
@raymondkaswaga8334 5 жыл бұрын
Ruge umeniuma kk kila la heri uendako
@AleniSilas
@AleniSilas 7 жыл бұрын
Mungu atusaidie sana yani umekua mwanasiasa unaongea 2 fanya yanayokuhusu mzee kwan kupelekwa polisi x jambo la kawaida na wewe ulikuwa suspect sio kwamba n mtumiaji sasa wewe unakalia majungu 2 acha zako wewe
@johnsonchaulaya6391
@johnsonchaulaya6391 4 жыл бұрын
wasio penda maendeleo utajua 2
@elsnyng6815
@elsnyng6815 7 жыл бұрын
Gwajima anajiona kama Papa paul vile😂😂😂
@festofidelism4706
@festofidelism4706 6 жыл бұрын
sasa Ruge hapo unamtukana nani?
@stellahemilian9168
@stellahemilian9168 7 жыл бұрын
We ni kiongozi wa dini unachofanya ni udhalili wa dini tu, hufai kuwa mchungaji badala yake ni mwanasiasa hlf kumbuka ww ndie chanzo cha yote haya.. Km kiongozi wa dini unakosea kbss upumbavu mtupu
@samsonmalongo8459
@samsonmalongo8459 7 жыл бұрын
we Gwajima huna jipya fala wewe. we ni mtumishi wa Mungu au ni kulala waumini na kulopokalopoka umbea kanisani. mjinga wewe
@benzkubehwa705
@benzkubehwa705 7 жыл бұрын
box ddbb
@rhodamaganga8308
@rhodamaganga8308 7 жыл бұрын
wew huna cha kuongea unam2kana wew kama nani wew hujiekewi
@ericakalindu1659
@ericakalindu1659 5 жыл бұрын
@@rhodamaganga8308 hana akiri huyo unamuona yup sawa ww kaka angali na watu wa kuwatukana utapata laana bule
@amileyissa9684
@amileyissa9684 5 жыл бұрын
Rip ruge pumzika kwa amani
@reevesmirondo
@reevesmirondo 7 жыл бұрын
Gwajima naomba utueleze kama unapenda maendeleo ya nchi yetu Tanzania. Kati ya waumini wako wote hayupo ata mmoja ambaye ana vyeti feki? Coz akiwepo na analeta Zaka na Sadaka basi ni batili. Jikague wewe na wafuasi wako kwanza ndipo umnyooshe Makonda kidole. Hapo mie nitakuelewa.
@reevesmirondo
@reevesmirondo 7 жыл бұрын
husiwe unaubiria wenye vyeti feki fanya uhakiki then ukijitosheleza kuwa ufufuo na uzima haikukumiwi na unachokiubiri then nenda kwa Mheshimiwa Makonda. Sijui kizungu kama wewe ila wanasema Charity begins at home.
@gastogeness8410
@gastogeness8410 7 жыл бұрын
Gwajima aache kujikosha kwa JPM
@rosemartin3757
@rosemartin3757 7 жыл бұрын
Jaman watz wenzangu.mbona tumeacha agenda ya msingi tulioanza nayo MADAWA tunashabikia tena kwa kelele za ajabu mengineo?????au ndio tuseme wauza sembe wana akili nyingi na wametushinda??????HAPANA jamani tusikubali kutoka kwenye agenda yetu ya msingi safari hii ama waaache kuuuza ama wahame nchi
@mathiasmsumeno8516
@mathiasmsumeno8516 7 жыл бұрын
Sijasikia jibu Juu ya div 0 kuwa Na cheti naombeni jibu sasa naona Mchungaji hajalijib!
@trendtv1565
@trendtv1565 7 жыл бұрын
mathias msumeno kwani division zero haina results slip, jamani hata mambo yanayosemwa tusipuuzie sana, kuna umuhim wa kuunga dots ...
@magrethlucas7928
@magrethlucas7928 7 жыл бұрын
Umeonaeeeeh amebaki anashangaa na sura yake mbya
@trendtv1565
@trendtv1565 7 жыл бұрын
yaani results slip siyo cheti?
@seifmohamedseif9384
@seifmohamedseif9384 7 жыл бұрын
ruge ana mtetea hapo wazi umekula pesa ww mnafiki anapotezea kutaka kuombewa ache wandishi wamulize
@chekajumasebunga8358
@chekajumasebunga8358 7 жыл бұрын
Sembe sembe, sembe, sembe,sembe, sembe, sembeee. Makonda kimbiza sembe yote out of TZ, You dislike that individual, kuhusu sembe hiyo siri yako si atujuwi, lakini TZ bila sembe inawezekana, wengi wetu tupopamoja naye ktk hiyo vita ya Ubuyu vyeti or no vyeti who care.
@joycemashikolo9096
@joycemashikolo9096 7 жыл бұрын
hao wachungaji wako wa uraya kwa namna yoyote ni wahusika tu wa dawa za kulevya uraya hakuna wachungaji unadanganya watanzania kwa kutuletea mabepari ichini kwetu.
SPIKA TULIA AFOKEA WAZUNGU ULAYA “NIHESHIMUNI MIMI SIYO MUNGU”
8:51
Makonda Akataa Kuomba Radhi Clouds Media Sababu Hizi Hapa
9:16
Global TV Online
Рет қаралды 177 М.
ТИПИЧНОЕ ПОВЕДЕНИЕ МАМЫ
00:21
SIDELNIKOVVV
Рет қаралды 1,6 МЛН
My Daughter's Dumplings Are Filled With Coins #funny #cute #comedy
00:18
Funny daughter's daily life
Рет қаралды 30 МЛН
Зу-зу Күлпаш 2. Бригадир.
43:03
ASTANATV Movie
Рет қаралды 749 М.
“Nina hasira, Mimi nina uchungu na nchi yangu” -Ruge Mutahaba
8:32
Askofu Gwajima aongea baada ya kutajwa na Paul Makonda
8:45
Millard Ayo
Рет қаралды 259 М.
Hii Ndio CLOUDS MEDIA GROUP Mpya / THE NEXT CMG
8:57
CLOUDSMEDIA
Рет қаралды 95 М.
FULL VIDEO: Makonda akiwataja wanaotuhumiwa kwa dawa za kulevya DSM
10:49
Makonda Ataja Majina Mengine 65 ya Watuhumiwa wa Kuuza ‘Unga
10:39
Global TV Online
Рет қаралды 15 М.
MASHEHE WALIPOTUA KANISANI KWA ASKOFU GWAJIMA
43:17
Josephat Gwajima RudishaTv
Рет қаралды 445 М.
ТИПИЧНОЕ ПОВЕДЕНИЕ МАМЫ
00:21
SIDELNIKOVVV
Рет қаралды 1,6 МЛН