MWANZO MWISHO KIJANA ALIYECHOMWA MOTO NA BOSS AKIDAI MSHAHARA “ALIKIMBIA NA MOTO MWILINI”

  Рет қаралды 60,549

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 282
@jescarwegoshola1754
@jescarwegoshola1754 8 күн бұрын
Yaaani, yaani Mungu wa haki kama uishivyo wewe wajua,ingilia kati swala hili haraka Baba usinyamaze.😭😭😭🙏🏽
@ClaraAdam-i1o
@ClaraAdam-i1o 8 күн бұрын
😭😭😭😭 hakika mungu usikae kmy
@BigMan-f1v
@BigMan-f1v 7 күн бұрын
Amin
@agnessjohn1222
@agnessjohn1222 7 күн бұрын
Imeniuma kwakweli mtoto wawatu wamemkatili
@MahmoodAlghefeili
@MahmoodAlghefeili 7 күн бұрын
​@@agnessjohn1222yan kumbe amewaibia lak 2 na wao wanadaiwa kwann wasimkate iyo pesa wamemuua kikatil San kijana wawatu
@RechoAhule-qb8zr
@RechoAhule-qb8zr 8 күн бұрын
Uyo kijana ajaiba ila Mungu atadili na hao watu walio mchoma moto
@AlexOctavian-s8o
@AlexOctavian-s8o Күн бұрын
Kwakwelii vyombo vyahabari mmetusaidia sana kufikisha hii habar mbali sana Hila tungefurahi zaidi kujua hatima ya huyundugu yetu itafikia wapi,,, familia yake itakuwajee pia nawatuhumiwa tuisikie hukumu Yao, tutafarijika sana kuyapata hayo kupitia kwenu ndugu wanahabari....mungu awabariki🙏🙏🙏
@AsmaAbdalah-v7e
@AsmaAbdalah-v7e 8 күн бұрын
😢😢😢😢😢😢😢😢binadamu ni hatari kuluko nyoka mwenye sumu kali😢
@eliyasanga6374
@eliyasanga6374 8 күн бұрын
Wanawake wanamaono makubwa juu ya wanaume zao sana kwenye maisha yetu tukiwasikiliza vizuri tutafika mbali sana wanaume 😢😢
@revocatuspaulo6716
@revocatuspaulo6716 8 күн бұрын
Hao ni wazamani. Wasaifi wasenge tyu
@abuukamanda.s.mkenga6687
@abuukamanda.s.mkenga6687 7 күн бұрын
Na yy anaalipokosea kwann jamaa walpo gonga mlango yy alikimbilia kufungua mlango na ilihali ni usiku Sana na mumew yup ye angekula ngumu asingewaskiliza
@MiriamErasto-c7d
@MiriamErasto-c7d 7 күн бұрын
​@@revocatuspaulo6716msenge mke wako mbwa wew
@GeraldMakalala-z2c
@GeraldMakalala-z2c 3 күн бұрын
Wanawake wengi wanaona mbali sana
@RomwardWM
@RomwardWM 2 күн бұрын
Jumanne lala pema peponi ,umefariki kifo kibaya sana, Mungu akujalie kauli thabiti.
@AndrewMagwila
@AndrewMagwila 8 күн бұрын
😭😭😭😭😭Eeee Mungu tutetee sisi masikini ambao hatuthaminiki Wala kuaminiwa sbb ya hali zetu Mungu mtetetezi wa wanyongee tukumbuke nasi utubadilishie maisha nasi tujisikie wanadamu😭😭😭😭
@Carolina-sm5zt
@Carolina-sm5zt 7 күн бұрын
Amina
@mrsdeborahurio
@mrsdeborahurio 8 күн бұрын
Maskini mwanangu! Watu hawana hofu ya Mungu!
@halunimnenwa5224
@halunimnenwa5224 8 күн бұрын
Mama samia tunakuomba raisi wetu najua una roho ya huruma. Tunaomba utupe awo walio mchoma moto tunakazi nao ukifanya ivo 2025 tutakupa kula zetu vijana lakini ukitunyima huwezi ukapita uraisi 2025 naomba coment iyi ikae juu raisi aisome tunakuomba rais wetu. Mtukufu 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@sharifamahamudu182
@sharifamahamudu182 8 күн бұрын
Nimecheka km mazuri ww jamani 😢😢 ila imeniuma sana
@SurprisedFullMoon-gg9vu
@SurprisedFullMoon-gg9vu 7 күн бұрын
Wew chiz kwel"rais wenu mtukufuuu?
@Jida-tz
@Jida-tz Күн бұрын
Mungu atuamehe sana wanadamu
@AminaLibisa
@AminaLibisa 8 күн бұрын
Daaah hii Dunia 😭😭😭 ninekosa ata la kusema wallah 😭
@halimasanga3830
@halimasanga3830 8 күн бұрын
Kwa sisi tuliokua tunamfahamu imetuumiza sana. Kijana mchapakazi yaani Mungu asinyamaze Kwahiyo hili ili haki ipatikane kwa mke na watoto.
@witnessIzack
@witnessIzack 8 күн бұрын
Mbona kama huyo aliefata mafuta anafahamu kila kitu kwasababu asingefahamu asingefata mafuta angekuja na police Yan huyo kaka alikua na chance yakuokoa jmn daaah
@edisonpeter3894
@edisonpeter3894 8 күн бұрын
Polen sana tumeumia wote
@Kalssambabo-gv6uh
@Kalssambabo-gv6uh 8 күн бұрын
Yani laki 2 umtoe mtu uhai wake tena kwa moto
@Kalssambabo-gv6uh
@Kalssambabo-gv6uh 7 күн бұрын
@@witnessIzackyani ukisikia sheytwan wakibinadam ndio hao miongoni mwao
@MAGRETHERNEST-cu4mb
@MAGRETHERNEST-cu4mb Күн бұрын
Kweli Dunia Haina huruma
@Revelation1412.
@Revelation1412. 8 күн бұрын
Ndo maana nachukia sana ajira ni adui wa maendeleo na Uhuru wa binadamu..Ajira ni utumwa na gereza kama magereza mengine yalivyo 😊
@QuenJames
@QuenJames 7 күн бұрын
Pole sana dada mungu atawapapigo hao watakufa kama paka
@Yasintaeustas
@Yasintaeustas 7 күн бұрын
Pole sana dada, mungu akawe faraja pekee Kwa ajir ya gumu haya.
@sirielsamweli
@sirielsamweli 8 күн бұрын
Binadamu Binadamu wabayaaaa sanaaaaa Mungu tupe mioyo safioooo
@wiseboy111vichekeshonaelim2
@wiseboy111vichekeshonaelim2 8 күн бұрын
Hata mtunzi wa kalenda haijui kesho yake Mungu muumba wetu pekee ndo anaijua kesho yetu 😢🙏🙏
@arafaomari1832
@arafaomari1832 8 күн бұрын
Ila wewe umeongea kitu
@SadamSarita-t7z
@SadamSarita-t7z 8 күн бұрын
Achaufala hakuna asiejua kesho yake
@MrishoMindu-zq7mz
@MrishoMindu-zq7mz 7 күн бұрын
​@@SadamSarita-t7z Wewe ndio Fala. Una ujanja gani wewe wakuijua kesho yako.
@SadamSarita-t7z
@SadamSarita-t7z 7 күн бұрын
Kwaiyo hujui kama Leo jumatano kesho alihamis? Acheni utaira bhana
@MrishoMindu-zq7mz
@MrishoMindu-zq7mz 7 күн бұрын
@@SadamSarita-t7z Ndio maarifa yako yalipo ishia hapo Sio mbaya. Kuijua kesho yako tafasiri yake ni kujua J'3 J'4 nk Basi? Daahhh? Safari bado ni ndefu sana. Hamka Mzazi.
@jonamnyone8014
@jonamnyone8014 8 күн бұрын
Serikali ichukulie hatua kali wote waliohusika. Walipanga mauaji na kuyatekeleza. Wanyongwe
@leticiachipando9772
@leticiachipando9772 8 күн бұрын
Simjui Ila kwa namna anavyoielezewa na waliomfahamu anaonekana hakuwa kijana mbaya wamemdhurumu nafsi yake😢😢 Allah ampe kauli thabiti
@FatumaMuya-w5h
@FatumaMuya-w5h 8 күн бұрын
Amiin Allahumma Amiin
@petermanala6138
@petermanala6138 Сағат бұрын
Kuna mama anaemfaham aliskika alisema wangesema wachange wamrudishie
@vascombembela3632
@vascombembela3632 8 күн бұрын
Ni vizuri Sheria ichukue mkondo wake. Huu ni unyama wa hali ya juu sana na haukubaliki.
@NtagolekwaHugugu
@NtagolekwaHugugu 8 күн бұрын
Subhannallah 😪, tunamuomba MWENYEZI MUNGU MTUKUFU atujalie mwisho mwema
@umsulaiman7468
@umsulaiman7468 8 күн бұрын
Pole mdogo wangu Allah akupe subra na pia Allah atamlipia jumanne wamedhulumu ila na wao lazima wachomwe wamemgeuzia kibao kumbe yy ndie alikuwa anawadai Sasa walijiona hawawezi kulpa ndio wamchome hao wakhalifu wanaonekana walishindwa kumlipa ndio wakamuuwa maskin inaumiza sana
@Asha-s9u8p
@Asha-s9u8p 8 күн бұрын
Maisha ni safari ndefu sana, Mimi nilitakaga kubakwa na mdogo wa boss wangu wakati nafanya kazi za ndan, na nilikuwa binti wa miaka 14, pole sana ndugu yangu sisi fukala tunanyanyaswa
@aloycelymo57
@aloycelymo57 8 күн бұрын
😭😭😭😭😭😭😭
@FatumaMuya-w5h
@FatumaMuya-w5h 8 күн бұрын
😭😭😭😭😭😭😭
@McT-m1m
@McT-m1m 8 күн бұрын
Nimesikitika sana kuhusu kifo cha huyu kijana
@uwawatatanzania3243
@uwawatatanzania3243 Күн бұрын
Mungu ailaze mahala pema peponi Roho ya Marehemu, Walaaniwe wote walishiriki kufanya Tendo hili
@AnethDaniel-u3f
@AnethDaniel-u3f 7 күн бұрын
Jmn jmn😭😭 huyu kak namjua ni wa mtaan kwet lkn imeniuma sanaa kwakwel wamehukumu maish ykee .wamekatish maisha yake ..ndoto zake ..mwenyezi mungu ailaze roho yake mahala pema peponi.🙏
@ElizabethBanda-p4i
@ElizabethBanda-p4i 7 күн бұрын
Jaman polen sana Dunia imejaa ukatili hii jamani 😢😭😭😭
@AbellaGeofrey
@AbellaGeofrey 7 күн бұрын
rip
@SalamaNauthar
@SalamaNauthar 6 күн бұрын
Poleni😭😭😭😭
@nuubaby
@nuubaby 8 күн бұрын
Au jamn marehemu aliona kitu kwenye hiyo nyumba cha siri hakitakiwi kuonekana na mtu maskini wakaona wamuue asitoe siri zao
@ErickLyimo-p9b
@ErickLyimo-p9b 8 күн бұрын
M nawazo kama lako nahis kuna kitu ameona
@scholasticamathias9224
@scholasticamathias9224 8 күн бұрын
Kweli jmn
@MwanahamisZuberi
@MwanahamisZuberi 8 күн бұрын
Inawezekana jamani Mungu washukiye wadharimu hawa dunian fil akhera tumekuachia ww mungu wetu
@MwantumuAbdy
@MwantumuAbdy 8 күн бұрын
Ilo nalo neno la umuhimu Kuna Siri lazima aliijua hy kaka alijua. Mungu amuhifadhi
@agnessjohn1222
@agnessjohn1222 7 күн бұрын
Nahis wakaona wafiche ushahidi
@SubiraJohn-v9s
@SubiraJohn-v9s 8 күн бұрын
Jamani Watu Wana roho ngumu sana sana!Mwenyezimungu yupo na halali kabisa! Mwenyezimungu amjalie kauli thabit Jumanne!
@MwanahamisZuberi
@MwanahamisZuberi 8 күн бұрын
Police wangejarbu kwenda kupekua inawezekana wakati wa kufanya usafi humo ndani kijana kaona kitu kisichotakiwa kuona na wao wakagundua kaona wakaona wamnyamazishe kimya Mungu wa hakh atatenda 😢😢😢😢
@bahatiJohn-y6o
@bahatiJohn-y6o 7 күн бұрын
Nalo neno
@olicej7837
@olicej7837 7 күн бұрын
​@@bahatiJohn-y6oKuna ukweli daaaah 😢😢
@UpendoSilayo
@UpendoSilayo 7 күн бұрын
Inawezekana jamani
@AnethMosha-n7x
@AnethMosha-n7x 6 күн бұрын
Hii ya boc kumchoma mfanyakazi wake iliwahi kutokea arusha sababu aliona ndugu yake ambae nae alikuwa anafanya kazi pale pale ambae mda huo alishafariki mda mrefu kumuona nyumbani kwa boc wake kama msukule na huyo boc ni mme wa shangazi yake na shangazi yake alijua kila kitu na walimchoma kupoteza ushahidi
@fatmaahmed8637
@fatmaahmed8637 8 күн бұрын
KUMBEE,Poleni saana.hayo yanafanywa huko! Tanz.wanalalamika sana kufanya kazi Arabuni Wanateswa,wanamajumba family 15😮 wanapigwa,hawapumziki..hawaenjoy! WANAULIWA
@fatmazullu4933
@fatmazullu4933 2 күн бұрын
Na bado wanasema eti Tanzania ni nchi ya amani😢
@liewmartin3717
@liewmartin3717 7 күн бұрын
😢😢😢 Mungu anajua 😢😢😢
@hamoudcreator6343
@hamoudcreator6343 8 күн бұрын
Wiki ijayo watatoka, na mutawaona wakicheka kama kawaida, na watajigamba, kwamba wao Wana nguvu na Pesa...
@swalehemusa4546
@swalehemusa4546 7 күн бұрын
Wakitoka tu lazima nawao waonje umautui kudadeki
@islamrashid5451
@islamrashid5451 7 күн бұрын
Mungu tufanyie wepesi katika utafutaji wetu na utunusuru na mabalaa mazito....mpe kauli thabit ndugu yetu Jumanne
@SalamaNauthar
@SalamaNauthar 6 күн бұрын
Innalillaih wainnaillaih rajiuun😭😭😭😭' ALLAH Atamlipia
@desineytv8406
@desineytv8406 Күн бұрын
Uuuuuh inauma jmn mtu anatafta riziki yake ki halali ila anauliwa kama mwizi😢😢😢😢
@nadiaamisha2958
@nadiaamisha2958 8 күн бұрын
Hii dunia bora iishe tuanze upya😢😢😢😢
@sharifamahamudu182
@sharifamahamudu182 8 күн бұрын
Www jaman iyanze upo ww utakuwepo
@DianaMosha-y8c
@DianaMosha-y8c 8 күн бұрын
Ndo nilitaka kumuulza na mimi ​@@sharifamahamudu182
@absm8084
@absm8084 8 күн бұрын
😢😢😢😢😢😢😢😢 inauma sana
@sylvestercharles3585
@sylvestercharles3585 8 күн бұрын
Eee Mungu mwenye enzi, nakuomba ushughulike na hawa watu wote waliofanya huo unyama kwa binadamu mwenzao.
@MonadiNadi-j6s
@MonadiNadi-j6s 8 күн бұрын
😭😭😭pole sana mdg wng malipo yke yatalipwa tu mungu wetu sote 🙏
@NnalaNsangalufuMwangati
@NnalaNsangalufuMwangati 7 күн бұрын
Inauma sana jamanii 😢
@arafaomari1832
@arafaomari1832 8 күн бұрын
Yaani maisha haya😢😢😢
@HawaOman
@HawaOman 8 күн бұрын
Mwenyezi mungu tusaindie sisi wanao baba
@violettemitchel6772
@violettemitchel6772 7 күн бұрын
😢😢😢😢Tuso na nguvu humkabidhi MUNGU mashtaka yetu. YEYE aonaye sirini atajibu. Poleni sana familia, poleni sana majirani.
@RhodaLema-z8w
@RhodaLema-z8w 8 күн бұрын
Mama Samia Suluhu wewe ni msikivu na msuluhishi kama jina lako linavyokutambulisha tunakuomba uingilie kati useme neno Mama kweli hili ni zito mno bila sababu za msingi kijana Jumanne ameacha familia yake njia panda hawaelewi waende wapu na wafanye nini Mama tunakuamini na tumekusoma huruma yako ni kubwa mno
@NoviaRaphael
@NoviaRaphael 8 күн бұрын
Duuuh 😢masikin huyo kijana amekufa kifo cha mateso sana 😢😢mwenyezi MUNGU atawaadhibu wote waliyo husika
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 8 күн бұрын
Haki yake imemponza masikini 😭😢
@devothaignatius5256
@devothaignatius5256 7 күн бұрын
Maskini 😭😭😭😭😭😭 Jmn duh!!! Boda alie nunua mafuta mungu anamuona jmn dah!!!!
@HijaLuhumba
@HijaLuhumba 8 күн бұрын
Jamani ina uma sana
@magrethdaniel8441
@magrethdaniel8441 8 күн бұрын
Jamani mungu tusaidie na Hili punzisha roho isiyokua na hatia😭😭😭😭
@elizabethrichard7694
@elizabethrichard7694 8 күн бұрын
Ata uyo boda aliefata mafuta japo anasema alikuwa kazini Mungu atasema naww
@witnessIzack
@witnessIzack 8 күн бұрын
Alishindwa nini kwenda kuita police au Ata watu waje wamuokoe Pengine alipanga nao
@Thisisgrace979
@Thisisgrace979 8 күн бұрын
Uyo boda itakuwa alipanga nao.
@NeemaJanga
@NeemaJanga 8 күн бұрын
Kweli kabisa
@ellenatilio5666
@ellenatilio5666 2 күн бұрын
Inasikitisha mno 😢😢😢😢
@NeemaJanga
@NeemaJanga 8 күн бұрын
Bodaboda wengi sio watu wazur nimeshuhudia matukio mengi wanauza watu japo sio wote
@Iragibarune1.
@Iragibarune1. 8 күн бұрын
😭😭😭😭💔
@rebeccakilahuzi-gc6sv
@rebeccakilahuzi-gc6sv 2 күн бұрын
Polen sana familia
@Carolina-sm5zt
@Carolina-sm5zt 7 күн бұрын
Kama walikiwa hawataki kumlipa hela si wangemdhulumu tu kuliko kumuua tena kwa kumchoma moto Mungu ingilia kati hili jambo mana malipo ni hapahapa Duniani
@donimremi713
@donimremi713 Күн бұрын
Poleni sana jmn dah walaniwe waliofanya hvyo
@AishaSabo-r6t
@AishaSabo-r6t 6 күн бұрын
Poleni sana mungu yupo anaonayote haya
@hildamasonda6528
@hildamasonda6528 7 күн бұрын
Mungu ndio muhukum wa haki namjua huyu kaka kabisa ila tabia za wizi hajawah kuwa nayoo dam ya mtu ni nzito sanaa
@nsiamasawe4578
@nsiamasawe4578 8 күн бұрын
Mabosi njaa sana hao. Kitu gani chenye thamani ya uhai?
@jerryandrew9989
@jerryandrew9989 3 күн бұрын
Huyo aloenda kufata mafuta nae siku moja akutane na vibaka wamnyang’anye kila kitu af wamfire!
@DoriceDastani
@DoriceDastani 8 күн бұрын
Dah 😭😭😭😭
@gidionmtende8252
@gidionmtende8252 8 күн бұрын
Inauma sna kwann wasinge mpeleka polisi akajieleze kuliko kumfanyia hvo binadamu mwezio ( mungu anawaona😢) R.i.p bro
@KISAPAZURI
@KISAPAZURI 8 күн бұрын
MUngu Mungu unaona unajua Tunaomba Mama Samia tusaiidie ili iwe fundisho kwa wengine Tunaomba sana Raisi Wetu Msikivu
@slicehamfrey3504
@slicehamfrey3504 7 күн бұрын
Mungu wangu sheria ichukue mkondo wake
@MwanahamisiMuhamedi-k7n
@MwanahamisiMuhamedi-k7n 2 күн бұрын
Mungu awazibitiawo walishiriki kumuua
@HabibaChamshama
@HabibaChamshama 7 күн бұрын
Inna lillah waina ilaih rajiun, umedhulumiwa uhai wako mwanangu,mungu ,akuweke mahals pema peponi,
@AtifaIslam-t6g
@AtifaIslam-t6g 8 күн бұрын
Samia matokeo kama haya ebu fwatilia sasa huu niunyama wa dhahir
@sophiamgeri
@sophiamgeri 8 күн бұрын
Jamani!!! sikujua mimi, kumbe baadhi ya binadamu wana roho mbaya sana, lkn MUNGU, yupo malipo ni hapa hapa Duniani, umeuwa mwenzenu na hapo ummemdhulumu mshahara wake, inauma Jamani bila huruma wanadamu ninyi kweli!!!!
@MwanahamisZuberi
@MwanahamisZuberi 8 күн бұрын
Afadhari ukutane na simba anaweza kuunfuruma akakuacha lakini cyo binadamu mwenye roho mbaya binadamu ndyo kiumve hatari duniani ndyo ikatengenezwa bunduki na mabom vyo kwaajili ya binadamu mungu tutetee na madharimu hawa petrol moto bila huruma unamchoma binadamu mwenzio khaaaaa
@MonikaNjoolay
@MonikaNjoolay 8 күн бұрын
Daah pole my san
@dorissalewa4014
@dorissalewa4014 8 күн бұрын
Jaman😭😭😭😭😭
@moureenmahana545
@moureenmahana545 8 күн бұрын
Huyo kuna kitu kakiona jmn ndo mana wamemwua sio bure hapo
@mamachris6811
@mamachris6811 7 күн бұрын
Kweli yawezekana kuna siri
@Hadija-o5b
@Hadija-o5b 20 сағат бұрын
Huyo boss alikua anakwepa kumlipa huyo kijana haki yake , ila mungu wa mbinguni ndio mtenda haki hatowaaacha salama kabisa damu ya mtu haipotei kwa dhuruma hivo
@BeatriceLyatuu-w8j
@BeatriceLyatuu-w8j 7 күн бұрын
Mliomchoma Mungu hatanyamazaa mkae kujua apandacho mtu ndicho atakachovunaa... Km mmemchoma na petrol mjue mbeleni mlichofanya mtafanyiwa... MUNGU hadhihakiwi😢😢😢
@elizabethismile6827
@elizabethismile6827 7 күн бұрын
Jmniiiii watu wabaya kuna kitu nyuma ya pazia 😢😢
@JeannetteManirambona-o6m
@JeannetteManirambona-o6m 8 күн бұрын
Mungu wangu😢😢😢
@SafiaOmar
@SafiaOmar 8 күн бұрын
Kuna watu washenzi sana. Yaani ni zaidi ya wanyama unapata wapi nguvu ya kumchoma mwenzio mweh😢😢😢
@GdFf-ik2eo
@GdFf-ik2eo 8 күн бұрын
Janani watu makatili kupiga kiasi hawana huruma lkn mungu atawalipa kwa hicho walichokifanya duniani NI mapito
@MamaKendrick-l3z
@MamaKendrick-l3z 4 күн бұрын
Yaan hii ndio maana Arusha tunamalizana nao Kibingwa maboss kama hawa , Hapo raia wachukua mafuta na kumchoma boss na mkewe na wote waloshiriki coz police wanaweza kutoka ukakuta kitaan wanatamba tu
@fikiriduba2899
@fikiriduba2899 5 күн бұрын
Duuh😢
@LindaMbilinyi-n3n
@LindaMbilinyi-n3n 8 күн бұрын
😭😭😭😭😭😭dah dunia chungu hii
@roseafrael75
@roseafrael75 7 күн бұрын
Jamani hapa serikali ichukue hatua haraka hakuna cha uchunguzi hapa, watuumiwa nao wahukumiwe choma wao na moto wa petrol.
@hshsbsbs601
@hshsbsbs601 8 күн бұрын
Poleni sana 😭😭
@NemaAli-zh6hr
@NemaAli-zh6hr 8 күн бұрын
Daaaaah Binadamu wabaya jmn😢😢😢
@رحيمهعيدرمضان
@رحيمهعيدرمضان 8 күн бұрын
Pole.sana..hinaumasana...
@FaridaSalum-l5w
@FaridaSalum-l5w 2 күн бұрын
Tunaiimba serekali ya enei hilo ifikishe jambo hilo kwa mkuu wao wa wilaya,maana ndio raisi wa eneo lao huyo mke wa marehemu apate msaada wa kuanza maisha angalau kwa utulivu japo ni vgumu kumsahau alie wako lkn angalau ukiwa na uhakika wa riziki akili ci haba inatulia pole pole awakuze wanae hata km achangiwe,jitahdni mumfikishie mkuu wenu wa wilaya atawasaidia huyo ndo yupo kwa niaba ya muheshimiwa raisi.
@abdallahlyimomrwana9134
@abdallahlyimomrwana9134 6 күн бұрын
😭😭😭😭😭😭
@jenipheraron3566
@jenipheraron3566 8 күн бұрын
Siwez hata kusikiliza mpaka mwisho it's very heartbreaking
@MwanahamisZuberi
@MwanahamisZuberi 8 күн бұрын
😢😢😢😢
@bamsBeywamakaz
@bamsBeywamakaz 6 күн бұрын
Hiii nchii inaa ubaguz sanaa jamboo hili halito fika popote haki siku zote zinaa potezwa yan kam mim ndugu yangu bora nifie jela
@AgredaMoyo
@AgredaMoyo 8 күн бұрын
Jamani....watu tumjue Mungu jamani tuwe na hofu ya Mungu...tusiwe wakatili hivi jamani
@ValentineHenry-u6f
@ValentineHenry-u6f 7 күн бұрын
Dah , jamani
@ZakariaMcharo
@ZakariaMcharo 7 күн бұрын
P P Zakaria richard michael
@harounmaarufu3241
@harounmaarufu3241 Күн бұрын
Kweli watanzania hawana msaada kwa wahanga .watu mmeishawaweka kati halafu mnashindwa kuwawajibisha.subiri yatawakuta
@valenakomba7686
@valenakomba7686 5 күн бұрын
DUNIA IMEISHA HII JAMANI.MPAKA ROHO INAUMA.
@EGM-TZ
@EGM-TZ 8 күн бұрын
From #EconomicallyGrowthMusicians Guys Guys 😢😢 ni wapi tunaelekea guys😢 EGM pamoja Mashabiki wote wa EGM tumesitushwa na Kusikitishwa na tukio hili😢 poleni familia kwa Kisa hiki EGM tuko pamoja nanyi ktk kipindi hiki kigumu RIP J4. EGM
@mariamkibindo1741
@mariamkibindo1741 8 күн бұрын
subhanaAllah mbona dunia waja wamebadilika hivi matukio na kuuwana tu eeh MUNGU tujaze iman 😢😢
@lawabidingcitizen3427
@lawabidingcitizen3427 7 күн бұрын
Inatisha na kusikitisha sana...huyu kijana Hosea ameeleza vizuri kuliko alivyohojiwa na "mwandishi" huyu mchovu kweli...
@elesianakabuje5832
@elesianakabuje5832 8 күн бұрын
Daaah dunia inawatu ni wanyama sijapata kuona...duuh roho zinakosa ata huruma?binadamu mwenzio unamchoma Moto na anakimbia na Moto unashuhudia KABISA mmmh..hao ni Zaid ya wanyama...Sheria ifate mkondo wake.
@Violet-e5v
@Violet-e5v 7 күн бұрын
mmh hiyo sio haki kabisa yaani kijana anafanya kazi anadai haki yake kweli umchome MUNGU akawape azabu ya maisha that is not fea kabisa so pain 😢 full
@nyabahailani3169
@nyabahailani3169 8 күн бұрын
Yaani hii dunia yaani sheria ichukuliwe mkondo wake
@moibraTiles7024p
@moibraTiles7024p 8 күн бұрын
Kudadeki hao ni majmbazi wangekua hku kwetu. Na wao tungewaua na wao maana kitendo walicho Fanya sio ubinadam kabisa lala pema mbingun kijana sikufahamu lakin damu Yako haitapita kamwe😢😢😢😢😢😢
It’s all not real
00:15
V.A. show / Магика
Рет қаралды 20 МЛН
99.9% IMPOSSIBLE
00:24
STORROR
Рет қаралды 31 МЛН
Chain Game Strong ⛓️
00:21
Anwar Jibawi
Рет қаралды 41 МЛН
Malaysia's Minister Says Growth Set to Surpass 5% in 2025
28:42
Bloomberg Television
Рет қаралды 33 М.
Кем был убитый в Москве Армен Саркисян
16:59
BBC News - Русская служба
Рет қаралды 105 М.
It’s all not real
00:15
V.A. show / Магика
Рет қаралды 20 МЛН