Uyu jamaa mungu amubariki sana ana roho nzuri sanaalikuja hospital wanging'ombe aliwap wagonjwa sh10000 sh10000 na mama yangu akiwemo ubarikiwe sana ndugu yangu mungu akuzidishie pale ulipo toa
@PhilipoNdumbaro3 ай бұрын
Anaonekana tu mwwnye roho nzuri
@joshuajustustz4 ай бұрын
Kila uwekezaji unalipa ila chanzo cha mafanikio ni muwekezaji mwenyewe. Amefanya kilimo cha parachichi zaidi ya miaka 10 na bado anaendelea. Usiache unachokifanya Kwa kuhisi hakina maslahi mapana. Faida ipo. Mtangulize Mungu pia jikite kwenye kuongeza elimu juu ya unachokifanya... Utanishukiru baadae
@LastKakats4 ай бұрын
Amen
@zuhuraomary27824 ай бұрын
Uko sahihi 100%
@jephonaplatinumz84754 ай бұрын
Ata kama anauza big jii aendlee kusubiri kuna siku itamlipa?
@jakom2544 ай бұрын
Maeneo gani
@movie.reporter4 ай бұрын
Ukikuza mtaji utaenda na utauza vitu vingine. Mafanikio ni mchakato wa muda mrefu kaks@@jephonaplatinumz8475
@MsangoDiesel4 ай бұрын
Huyu mkulima ninamjua Sana kapambana kutoka chini mwache ale maisha ananithamu ya kazi
@PastorsTz4 ай бұрын
Nampenda sana huyu jamaaaa anaunyenyekevu sana,,hata ukikutana naye na ukienda kununua miche kwake utafurahi
Uyu jamaa mungu amubariki sana ana roho nzuri sanaalikuja hospital wanging'ombe aliwap wagonjwa sh10000 sh10000 na mama yangu akiwemo ubarikiwe sana ndugu yangu mungu akuzidishie pale ulipo toa
@femidayahaya48824 ай бұрын
Me Wallah nimedhamilia nitaenda kuchukua mafunzo kwa hyu Mzalendo..Barikiwa kaka
@kekiplus1andonly4 ай бұрын
MashaAllah 🙏🙏🙏God bless 🙌
@stephenmmbago49754 ай бұрын
Really story is inspiring alot vijan tupambane
@DpN-rk8xz4 ай бұрын
Hongera sana Ubarikiwe sana nifika zawadi yako hipo usaidia jamii undelea hiyo
@patrickmlimbila77154 ай бұрын
kumbe na sisi tuna bilionea ok safi
@innocentgerald18894 ай бұрын
TRA liked your post 😁
@Kijana-wa-Tanzania4 ай бұрын
😂muhuni kweli wewe!
@rehemakanyere41883 ай бұрын
Yes,
@queenmilan20243 ай бұрын
HII INTERVIEW ANGEFANYA Millard ayo Tungeelewa zaidi
@SalehAlly-ft9gi2 ай бұрын
Umeon jamaa ajuwi kuojii
@patrickKitambo3 ай бұрын
ALIFAULU KWENDA SEKONDARI LAKINI BAHATI NZURI WAZAZI HAWAKUA NA UWEZO HIVO HAKUENDELEA NA SEKONDARI!!!!!! POWERFUL MINDSET
@AlhajiIssa-jb9hr3 ай бұрын
Nini hukuelewa kijana alichaguliwa kwenda secondary uwezo wa wazazi wake ulikuwa mdogo Hivyo hakufanikiwa kuendelea na masomo akaishia la saba.
@patrickKitambo3 ай бұрын
@@AlhajiIssa-jb9hr hujanielewa ndugu yangu
@AlhajiIssa-jb9hr3 ай бұрын
@@patrickKitambo ok sorry.
@patrickKitambo3 ай бұрын
@@AlhajiIssa-jb9hrnilicho maanisha angekua ni mtu mwingine baada ya kufaulu na wazaz kushindwa kumlipia ada angelaumu wazaz angesema..... bahati mbaya wazazi hawakua na uwezo ila badala yake yeye anasema bahati nzuri wazazi hawakua na uwezo ...kwaio anamtazamo chana na ndo unamfanya afanikiwe sabab angekua mwingine angekaa kwenye hiyo hali kila mara na wala asinge ona fursa zingine bali angebak kulaumu tu wazazi kila siku
@DorotheaEdwin3 ай бұрын
Yuko sahihi ni bahati nzuri. Angeajiriwa asingefikia hatua hiyo.
@muniraahmed6244 ай бұрын
Hivi vichwaaa adimu Sanaa umetufunza mnoo ❤🙏🏿
@MichaelKingazi-wm7xj4 ай бұрын
Mungu huwapinga wajikuzao, lakini huwapa, wanyenyekevu neema.
@edwinbigambo399822 күн бұрын
Kwa bahati nzuri wazazi hawakuwa na uwezo
@E.A.C.t4 ай бұрын
kila kitu kinawezekana ,amini fanya kazi na omba mungu tu
@princemimi20903 ай бұрын
hii ngoma angeisimamia millard ayo tungejifunza mengi
@kevinmary71293 ай бұрын
Bora walikufukuza kaz za usafi maana ungekufa maskini, mungu huwa nina makusudi
@laurentraphael54704 ай бұрын
Wale wa kutaka mafanikio ya wiki tatu kama broiler long term project hawataki.
@pceodhc3 ай бұрын
Hongera sana kaka!
@LandrickXl4 ай бұрын
anakwambia kwa bahati nzuri wazazi hawakuwa na uwezo 😂 au hamjamskia kwasababu ana hela
@TonnyFord4 ай бұрын
😂
@osmanferdinand45274 ай бұрын
Alikua hapendi shule kabisa
@dominiclengwavi22084 ай бұрын
Haha😂, hapo amenichekesha kweli.
@femidayahaya48824 ай бұрын
Mwamba alikua hapendi umande😂😂😂😂😂
@josephlugongo63573 ай бұрын
Huenda angesona asinge kuwa hapo hivyo bahati nzuri yake ni kutokusoma.
@doglassepimack81724 ай бұрын
Huyu jamaa ali amin katika kidogo alicho nacho wengi wa watanzania una weza mpa project ambayo ana weza tengeneza pesa lakini Wana taka mafanikio kwa muda mfupi ni washudia wengi
@panduafricangiant49023 ай бұрын
Kijana wa saizi anazani mshikaji kapata huo utajiri mwaka mmoja au miwili iliyopita tafadhali muandishi umesahau kumuuliza bwana steve time interval,downfalls kukusanya huo utajiri💪💪💪💪💪
@WilfredMsechu2 ай бұрын
Hongera sana
@kagombaEnok4 ай бұрын
Safi sana CEO
@BeatusKitwange4 ай бұрын
Ingependeza pia kujua uhakika wa soko
@doreenchuwa36303 ай бұрын
Ila watangazaji mnaboaga, sasa nyumba mara magari yote hayo ya nini ??? Ulizeni maswali ya msingi .
@Alphakadege-m2j3 ай бұрын
We ni kenge
@tumsifukatabaziАй бұрын
nakupenda sn kwanamna unavyo tuhamasisha sn kuhusu kilimo cha prachichi
@melch30974 ай бұрын
Welldone
@raiderinfos14723 ай бұрын
Mahojiano mazuri but mtangazaji umekosa mtaji wa maswali watu wengi wanajua kuhusu kulima na uvunaji lakini kuna changamoto sana kwenye swala la soko nani ananunua au wapi wanauza na utaratibu upoje ujaongelea kabisa.
@pulikisia79634 ай бұрын
Safi sana.
@RashidRamadhani-b5o4 ай бұрын
Hongera mpambanaji tuko nyuma yako
@numbibonzo42384 ай бұрын
Kwa bahati nzuri Wazazi hawakua na uwezo😅
@joshuajustustz4 ай бұрын
Kumbe umeisikia hiyo😂
@numbibonzo42384 ай бұрын
@@joshuajustustz yah kumbe kuna muda wazazi kutokua na uwezo wa kuku somesha inawzkn ikawa ni bahati nzr huenda ange soma asinge fika alipo
@joshuajustustz4 ай бұрын
@@numbibonzo4238 nadhani ulimi uliteleza
@melanialeonard40314 ай бұрын
Ulimi hauna mfupa jaman
@AlhajiIssa-jb9hr3 ай бұрын
@@numbibonzo4238Ndio ni nzuri Kwa upande wake na Sasa ni bilionea😂😂😂
@RamadhaniSelemani-bn1fz4 ай бұрын
Napenda kilimo
@josephtesha8724 ай бұрын
My hoppy one day💓
@MikeTheoberty4 ай бұрын
Nemes ze Don
@jacksonhyera2230Ай бұрын
Huyu mheshimiwa namjua st benedict
@sarinkestephen54554 күн бұрын
Jina la hio kampuni yake inaitwaje naomba andika
@AfwilileNisaidie4 ай бұрын
Hongera kiongozi Mungu akupe maono makubwa
@jumarajab53164 ай бұрын
anavosimulia kama rahisi vile
@Quran-hidayat014 ай бұрын
Kama jana na leo
@johnlongoy79524 ай бұрын
Eheee nilikuwa natafuta kamati ya roho mbaya nimewapata 😅😅
@Quran-hidayat014 ай бұрын
Hakumanisha unavo hisi kamanisha katika kutafuta ili ufanikiwe inachukuwa mda na ndomana kasema anavoongeya kama kitu rahisi bro hiyo sio rohombaya ina taka subra naujikaze sana@@johnlongoy7952
@doglassepimack81724 ай бұрын
Commitment ndio iliyo mfikisha hapo
@femidayahaya48824 ай бұрын
@@johnlongoy7952😂😂😂😂😂
@sililubala88453 ай бұрын
Hongera sana kwa vile ulivyoeleza mafanikio ulioyapata mpaka sasa na uzoefu ulionao kwa masiliano zaidi kukupata wapi? au email yako Asante
@HapsaHaji-bg5jk4 ай бұрын
labda msim upi mzuri kwakilimo cha viazi kwa kupata faida kubwa
@Revelation1412.4 ай бұрын
Daah, Nmejifunza mengi kwa huyu jamaa
@dorahy15794 ай бұрын
Huyu ni mfanikiwa wa Ukweli. Lakini huyo Mlokoxi Nina mashaka sana sana ktk mapesa yake.
@Alphakadege-m2j3 ай бұрын
Nyie ndio walewale
@dorahy15793 ай бұрын
@@Alphakadege-m2j Akina nani? Freemasons au waizi?
@aishaabrahaman99573 ай бұрын
Hujui biashara ya pombe wewe
@PatrickMsemwa-u9v29 күн бұрын
Aliye elimika ni yule anayetumia elimu yake KWA faida yake na ya jamii inayo mzunguka kama huyu jamaa wa maprachichi Bigap!!!!
@mchumiajuani19934 ай бұрын
Ni kweli kwa njombe ni moja ya wakulima wakubwa, ni mpambanaji jamaa
@AbilahSalumu-qx1cb3 ай бұрын
Stivini Jones Muimbila
@SuleimanEdward-f1n4 ай бұрын
Hongera sana kiongozi
@G-JMK694 ай бұрын
Risk taking Wengi ambao hawajasoma sana, huwa hawahitaji mahesabu mengi ili kufanya jambo, hufanya kwa imani tu, ndio maana wanatajirika. Msomi anataka afanye kwanza mahesabu meeeengi aone kama kuna faida ndipo achukue hatua. At the end anapoteza nguvu ya kuanza. Hongera sana mkuu. 🤝
@Saidmarez4 ай бұрын
Fact
@ChoroTesla4 ай бұрын
malo bila daftari hupotea bila habari km hvy basi kampuni zote zingekua zinaamrishwa tu fany hv fanya vile
@emanuelmsaky80744 ай бұрын
Hivi shamba la heka moja shilingi ngapi sahiv hapo njombe
@ahmedkitandu84034 ай бұрын
Ivi kwann darasa la 7 ndo watu ambao wamefanikiwa kmaisha ndo matajiri kuliko waliofka vyuoni??
Ni huduma gani zinazohitajika kwenye miti ya parachichi 6:15 6:18
@evancemoevt85974 ай бұрын
Kilimo!! Jichanganye!!!!😅😅😅😅😅😅
@PIGSTz4 ай бұрын
Everything is possible
@WilfredMsechu2 ай бұрын
Wewe hinajini gani
@gracekilacy5124 ай бұрын
Nimecheka kwa sauti
@Laizer34 ай бұрын
Ivi kwanini watu walioishia la 7 wanawazidi utajiri wasomi wa vyuo vikuuu?
@martinisadru98994 ай бұрын
Lakini pia hao waloishia la 7 wanazingatia kwa uaminifu mkubwa na kwa umakini sana ushauri wa wasomi,, ndomana wanafanikiwa, tofauti na wasomi, wao wanatabia ya kudharau. Ndo maana wasomi wengi hawafanikiwi.
@joshuajustustz4 ай бұрын
NIDHAMU
@kachorionlinetv4974 ай бұрын
Wasomi Wengi hawataki Kujishusha na Kuanzia Chini Kufanya Kazi Ndogo Ndogo Lakini aliemaliza la 7 hasubiri Bali anaanzia Popote...
@franklyn74394 ай бұрын
Kati ya wasomi na wasiosoma matajiri wengi ni wasomi. Story za matajiri wasiosoma zinavutia zaidi ndio maana ni maarufu. Msomi akiwa tajiri watu hawastuki
Sasa kampotosha nani??? Anae hojiwa it’s true ana shamba na nimkulima, yeye anauliza tu maswali na mkulima anajibu, kapotosha nini sasa?? Acha makasiriko na jaribu kujifunza huku ukiweka positivity in things, Dah! Comment yako ya roho mbaya sana
@habyhabib75384 ай бұрын
@@MoviesAde Nenda saloon urudi u comment!acha manung'uniko au unataka utumiwe maparachichi ??ulitoka kwa laisa haya umehamua ktk maparachichi,sio lazima kila mahal u comment!tuliza kizaga hapo
@RoseMkupala-xw7jo4 ай бұрын
Hongera sana kaka,mi natamani kulima parachichi ila sina utaramu nitakupataje naomba namba yako,tafathali
@benedictmfoi36804 ай бұрын
Nenda njombe katembelee mashamba ujifunze
@BalengaTanda-fz4cl3 ай бұрын
😂😂namba ya billionaire ya nini jaman
@faridajuma79603 ай бұрын
Mawasiliano yake please
@magigesabai86743 ай бұрын
naomba namba yake
@BernadetaMwemtsi4 ай бұрын
Ushauri mzuri sana
@fristonactary13714 ай бұрын
Hiyo ShortKat Kaelezea! Jichanganye SASA🤣🤣🤣
@afrodailytv43353 ай бұрын
Hivi sehem kama arusha magugu unaweza kulima zao gani?
@Iamscoobyjr3 ай бұрын
Karanga & mchele nafkiri na vitunguu vinafanya poa hapo
@afrodailytv43353 ай бұрын
@@Iamscoobyjr vitunguu vinafanya vizuri sokoni nianze kufanya research?
@hamisathuman-ef2ug4 ай бұрын
Usitoe namba zako mabinti washakutamani
@Alphakadege-m2j3 ай бұрын
Mbuzi wewe
@mariakabonge4 ай бұрын
Please milad naomba nitumie number zake
@nelsonnyamle4 ай бұрын
KAKA STEVEN MBONA SISI WENZENU TUNAUZA KWA HASARA?WENZETU MNAUZAJE MPAKA MNANUFAIKA HIVYO?
@emmanicko15354 ай бұрын
MWENYEZI MUNGU AZIDI KUKUBARIKI NA KUKUONGEZEA KAKA ANGU
@paschalkigala66283 ай бұрын
Jichanganye.
@hasirazahoro49384 ай бұрын
Halafu anatokea mvivu mmoja anamuita mchawi
@Jigwa612 ай бұрын
Namba ya kuwasiliana nae
@sheikhfadhilaljahdhamy67514 ай бұрын
Shamba limeweza kufanya billionare
@FahadAbubakari4 ай бұрын
Ulaya na marekani mkulima ni Tajiri huku kwetu tu ndo kinyume
@BARAKA-ns3jv4 ай бұрын
Asante Kwa kumuelimisha. Huyo
@birianination70974 ай бұрын
@@FahadAbubakari mbona huku wapo wengi tuu!
@FahadAbubakari4 ай бұрын
@@birianination7097 ila c wengi
@vom844 ай бұрын
Parachichi ni hela
@giftchristianmeela14094 ай бұрын
Wakenya wakiona hii wanahamia huko njombe 😅
@lucasmhagama81663 ай бұрын
Wahamie mara ngapi?
@zolongOne2 ай бұрын
Wananunua sana maparachichi kutoka Tanzania, wanafungasha huko Kenya halafu wanaexport kama product of Kenya kumbe maparachichi yametoka Tanzania.
@TheSalma19994 ай бұрын
Tunaomba number jamani
@saleheinnocent76364 ай бұрын
Ili iwaje Bi Salma si umeolewa ww?
@sarinkestephen54554 күн бұрын
Kampuni yake inaitwaje nataka nikanunue miche
@homeofvideos88933 ай бұрын
TRA sent you a friend request
@mussaelia86934 ай бұрын
Natamani nipate mawasiliano yake
@evancemoevt85974 ай бұрын
Kila Biashara inalipa ukihadithiwa!!!😂😂😂😂
@lakasid38604 ай бұрын
Mbona yeye imemlipa? Issue sio kuhadithiwa issue ni kuingia shambani nakuanza ifanya
@mohamedaden84834 ай бұрын
Maparachichi hayahaya ninayoyajua mimi?
@siamnyone84033 ай бұрын
😂😂😂😂we si kazaramooo parachch utalijulia wap
@mariakabonge4 ай бұрын
Au naweza kukupigia wewe au ripotar wako please nikonecti na huyo ndugu me pia nimenunua shamba huko, please nisaidie
@husaynjibreel36053 ай бұрын
Niko apa hii inawezekana sana
@edwinmbunda67094 ай бұрын
Ekari 100 siyo mchezo
@melanialeonard40314 ай бұрын
1000
@willisonTheonest4 ай бұрын
Balikiwa ukitaka Mali kaifate shambani
@kephathicke94524 ай бұрын
kuna hawa wa lasaba'A af kuna nyie wa chuo kusubiria kuajiriwa mpate 10M kwa mwezi
@CharlesEdwardCvanoedward4 ай бұрын
Kuna miche ile ya sh 20,000/ ni mizuri sana ni miezi nane unavuna nilinunua kwake Nemes
@samirhumud74084 ай бұрын
Ndugu umepanda sehemu gani?
@emmanuelmwajombe8314 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@CharlesEdwardCvanoedward4 ай бұрын
@@samirhumud7408 Iringa
@MarthaMgaya-zo4bi4 ай бұрын
😂😂@@samirhumud7408
@asmahozza84684 ай бұрын
Tunapataje mawasiliano yake
@jojigeorige10564 ай бұрын
Ukiitaka pesa ya parachichi ni lazima uingie front kama hivyo. Kaa porini fuatilia kila hatua ya ukuaji wa miche, hadi utakapotoka baada ya miaka mi 3... vinginevyo hiki kilimo hakitaki simu...