BILIONEA WA MAPARACHICHI, SHAMBA EKA 1000, MILIONI 200 KWA MSIMU, NYUMBA, MAGARI YA KUTOSHA

  Рет қаралды 84,135

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 208
@halunimnenwa5224
@halunimnenwa5224 4 ай бұрын
Uyu jamaa mungu amubariki sana ana roho nzuri sanaalikuja hospital wanging'ombe aliwap wagonjwa sh10000 sh10000 na mama yangu akiwemo ubarikiwe sana ndugu yangu mungu akuzidishie pale ulipo toa
@PhilipoNdumbaro
@PhilipoNdumbaro 3 ай бұрын
Anaonekana tu mwwnye roho nzuri
@joshuajustustz
@joshuajustustz 4 ай бұрын
Kila uwekezaji unalipa ila chanzo cha mafanikio ni muwekezaji mwenyewe. Amefanya kilimo cha parachichi zaidi ya miaka 10 na bado anaendelea. Usiache unachokifanya Kwa kuhisi hakina maslahi mapana. Faida ipo. Mtangulize Mungu pia jikite kwenye kuongeza elimu juu ya unachokifanya... Utanishukiru baadae
@LastKakats
@LastKakats 4 ай бұрын
Amen
@zuhuraomary2782
@zuhuraomary2782 4 ай бұрын
Uko sahihi 100%
@jephonaplatinumz8475
@jephonaplatinumz8475 4 ай бұрын
Ata kama anauza big jii aendlee kusubiri kuna siku itamlipa?
@jakom254
@jakom254 4 ай бұрын
Maeneo gani
@movie.reporter
@movie.reporter 4 ай бұрын
Ukikuza mtaji utaenda na utauza vitu vingine. Mafanikio ni mchakato wa muda mrefu kaks​@@jephonaplatinumz8475
@MsangoDiesel
@MsangoDiesel 4 ай бұрын
Huyu mkulima ninamjua Sana kapambana kutoka chini mwache ale maisha ananithamu ya kazi
@PastorsTz
@PastorsTz 4 ай бұрын
Nampenda sana huyu jamaaaa anaunyenyekevu sana,,hata ukikutana naye na ukienda kununua miche kwake utafurahi
@mussaelia8693
@mussaelia8693 4 ай бұрын
Mzee naweza pata mawasiliano Yako Nataman nijue nijifunze
@halunimnenwa5224
@halunimnenwa5224 4 ай бұрын
Uyu jamaa mungu amubariki sana ana roho nzuri sanaalikuja hospital wanging'ombe aliwap wagonjwa sh10000 sh10000 na mama yangu akiwemo ubarikiwe sana ndugu yangu mungu akuzidishie pale ulipo toa
@femidayahaya4882
@femidayahaya4882 4 ай бұрын
Me Wallah nimedhamilia nitaenda kuchukua mafunzo kwa hyu Mzalendo..Barikiwa kaka
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 4 ай бұрын
MashaAllah 🙏🙏🙏God bless 🙌
@stephenmmbago4975
@stephenmmbago4975 4 ай бұрын
Really story is inspiring alot vijan tupambane
@DpN-rk8xz
@DpN-rk8xz 4 ай бұрын
Hongera sana Ubarikiwe sana nifika zawadi yako hipo usaidia jamii undelea hiyo
@patrickmlimbila7715
@patrickmlimbila7715 4 ай бұрын
kumbe na sisi tuna bilionea ok safi
@innocentgerald1889
@innocentgerald1889 4 ай бұрын
TRA liked your post 😁
@Kijana-wa-Tanzania
@Kijana-wa-Tanzania 4 ай бұрын
😂muhuni kweli wewe!
@rehemakanyere4188
@rehemakanyere4188 3 ай бұрын
Yes,
@queenmilan2024
@queenmilan2024 3 ай бұрын
HII INTERVIEW ANGEFANYA Millard ayo Tungeelewa zaidi
@SalehAlly-ft9gi
@SalehAlly-ft9gi 2 ай бұрын
Umeon jamaa ajuwi kuojii
@patrickKitambo
@patrickKitambo 3 ай бұрын
ALIFAULU KWENDA SEKONDARI LAKINI BAHATI NZURI WAZAZI HAWAKUA NA UWEZO HIVO HAKUENDELEA NA SEKONDARI!!!!!! POWERFUL MINDSET
@AlhajiIssa-jb9hr
@AlhajiIssa-jb9hr 3 ай бұрын
Nini hukuelewa kijana alichaguliwa kwenda secondary uwezo wa wazazi wake ulikuwa mdogo Hivyo hakufanikiwa kuendelea na masomo akaishia la saba.
@patrickKitambo
@patrickKitambo 3 ай бұрын
@@AlhajiIssa-jb9hr hujanielewa ndugu yangu
@AlhajiIssa-jb9hr
@AlhajiIssa-jb9hr 3 ай бұрын
@@patrickKitambo ok sorry.
@patrickKitambo
@patrickKitambo 3 ай бұрын
@@AlhajiIssa-jb9hrnilicho maanisha angekua ni mtu mwingine baada ya kufaulu na wazaz kushindwa kumlipia ada angelaumu wazaz angesema..... bahati mbaya wazazi hawakua na uwezo ila badala yake yeye anasema bahati nzuri wazazi hawakua na uwezo ...kwaio anamtazamo chana na ndo unamfanya afanikiwe sabab angekua mwingine angekaa kwenye hiyo hali kila mara na wala asinge ona fursa zingine bali angebak kulaumu tu wazazi kila siku
@DorotheaEdwin
@DorotheaEdwin 3 ай бұрын
Yuko sahihi ni bahati nzuri. Angeajiriwa asingefikia hatua hiyo.
@muniraahmed624
@muniraahmed624 4 ай бұрын
Hivi vichwaaa adimu Sanaa umetufunza mnoo ❤🙏🏿
@MichaelKingazi-wm7xj
@MichaelKingazi-wm7xj 4 ай бұрын
Mungu huwapinga wajikuzao, lakini huwapa, wanyenyekevu neema.
@edwinbigambo3998
@edwinbigambo3998 22 күн бұрын
Kwa bahati nzuri wazazi hawakuwa na uwezo
@E.A.C.t
@E.A.C.t 4 ай бұрын
kila kitu kinawezekana ,amini fanya kazi na omba mungu tu
@princemimi2090
@princemimi2090 3 ай бұрын
hii ngoma angeisimamia millard ayo tungejifunza mengi
@kevinmary7129
@kevinmary7129 3 ай бұрын
Bora walikufukuza kaz za usafi maana ungekufa maskini, mungu huwa nina makusudi
@laurentraphael5470
@laurentraphael5470 4 ай бұрын
Wale wa kutaka mafanikio ya wiki tatu kama broiler long term project hawataki.
@pceodhc
@pceodhc 3 ай бұрын
Hongera sana kaka!
@LandrickXl
@LandrickXl 4 ай бұрын
anakwambia kwa bahati nzuri wazazi hawakuwa na uwezo 😂 au hamjamskia kwasababu ana hela
@TonnyFord
@TonnyFord 4 ай бұрын
😂
@osmanferdinand4527
@osmanferdinand4527 4 ай бұрын
Alikua hapendi shule kabisa
@dominiclengwavi2208
@dominiclengwavi2208 4 ай бұрын
Haha😂, hapo amenichekesha kweli.
@femidayahaya4882
@femidayahaya4882 4 ай бұрын
Mwamba alikua hapendi umande😂😂😂😂😂
@josephlugongo6357
@josephlugongo6357 3 ай бұрын
Huenda angesona asinge kuwa hapo hivyo bahati nzuri yake ni kutokusoma.
@doglassepimack8172
@doglassepimack8172 4 ай бұрын
Huyu jamaa ali amin katika kidogo alicho nacho wengi wa watanzania una weza mpa project ambayo ana weza tengeneza pesa lakini Wana taka mafanikio kwa muda mfupi ni washudia wengi
@panduafricangiant4902
@panduafricangiant4902 3 ай бұрын
Kijana wa saizi anazani mshikaji kapata huo utajiri mwaka mmoja au miwili iliyopita tafadhali muandishi umesahau kumuuliza bwana steve time interval,downfalls kukusanya huo utajiri💪💪💪💪💪
@WilfredMsechu
@WilfredMsechu 2 ай бұрын
Hongera sana
@kagombaEnok
@kagombaEnok 4 ай бұрын
Safi sana CEO
@BeatusKitwange
@BeatusKitwange 4 ай бұрын
Ingependeza pia kujua uhakika wa soko
@doreenchuwa3630
@doreenchuwa3630 3 ай бұрын
Ila watangazaji mnaboaga, sasa nyumba mara magari yote hayo ya nini ??? Ulizeni maswali ya msingi .
@Alphakadege-m2j
@Alphakadege-m2j 3 ай бұрын
We ni kenge
@tumsifukatabazi
@tumsifukatabazi Ай бұрын
nakupenda sn kwanamna unavyo tuhamasisha sn kuhusu kilimo cha prachichi
@melch3097
@melch3097 4 ай бұрын
Welldone
@raiderinfos1472
@raiderinfos1472 3 ай бұрын
Mahojiano mazuri but mtangazaji umekosa mtaji wa maswali watu wengi wanajua kuhusu kulima na uvunaji lakini kuna changamoto sana kwenye swala la soko nani ananunua au wapi wanauza na utaratibu upoje ujaongelea kabisa.
@pulikisia7963
@pulikisia7963 4 ай бұрын
Safi sana.
@RashidRamadhani-b5o
@RashidRamadhani-b5o 4 ай бұрын
Hongera mpambanaji tuko nyuma yako
@numbibonzo4238
@numbibonzo4238 4 ай бұрын
Kwa bahati nzuri Wazazi hawakua na uwezo😅
@joshuajustustz
@joshuajustustz 4 ай бұрын
Kumbe umeisikia hiyo😂
@numbibonzo4238
@numbibonzo4238 4 ай бұрын
@@joshuajustustz yah kumbe kuna muda wazazi kutokua na uwezo wa kuku somesha inawzkn ikawa ni bahati nzr huenda ange soma asinge fika alipo
@joshuajustustz
@joshuajustustz 4 ай бұрын
@@numbibonzo4238 nadhani ulimi uliteleza
@melanialeonard4031
@melanialeonard4031 4 ай бұрын
Ulimi hauna mfupa jaman
@AlhajiIssa-jb9hr
@AlhajiIssa-jb9hr 3 ай бұрын
​@@numbibonzo4238Ndio ni nzuri Kwa upande wake na Sasa ni bilionea😂😂😂
@RamadhaniSelemani-bn1fz
@RamadhaniSelemani-bn1fz 4 ай бұрын
Napenda kilimo
@josephtesha872
@josephtesha872 4 ай бұрын
My hoppy one day💓
@MikeTheoberty
@MikeTheoberty 4 ай бұрын
Nemes ze Don
@jacksonhyera2230
@jacksonhyera2230 Ай бұрын
Huyu mheshimiwa namjua st benedict
@sarinkestephen5455
@sarinkestephen5455 4 күн бұрын
Jina la hio kampuni yake inaitwaje naomba andika
@AfwilileNisaidie
@AfwilileNisaidie 4 ай бұрын
Hongera kiongozi Mungu akupe maono makubwa
@jumarajab5316
@jumarajab5316 4 ай бұрын
anavosimulia kama rahisi vile
@Quran-hidayat01
@Quran-hidayat01 4 ай бұрын
Kama jana na leo
@johnlongoy7952
@johnlongoy7952 4 ай бұрын
Eheee nilikuwa natafuta kamati ya roho mbaya nimewapata 😅😅
@Quran-hidayat01
@Quran-hidayat01 4 ай бұрын
Hakumanisha unavo hisi kamanisha katika kutafuta ili ufanikiwe inachukuwa mda na ndomana kasema anavoongeya kama kitu rahisi bro hiyo sio rohombaya ina taka subra naujikaze sana​@@johnlongoy7952
@doglassepimack8172
@doglassepimack8172 4 ай бұрын
Commitment ndio iliyo mfikisha hapo
@femidayahaya4882
@femidayahaya4882 4 ай бұрын
​@@johnlongoy7952😂😂😂😂😂
@sililubala8845
@sililubala8845 3 ай бұрын
Hongera sana kwa vile ulivyoeleza mafanikio ulioyapata mpaka sasa na uzoefu ulionao kwa masiliano zaidi kukupata wapi? au email yako Asante
@HapsaHaji-bg5jk
@HapsaHaji-bg5jk 4 ай бұрын
labda msim upi mzuri kwakilimo cha viazi kwa kupata faida kubwa
@Revelation1412.
@Revelation1412. 4 ай бұрын
Daah, Nmejifunza mengi kwa huyu jamaa
@dorahy1579
@dorahy1579 4 ай бұрын
Huyu ni mfanikiwa wa Ukweli. Lakini huyo Mlokoxi Nina mashaka sana sana ktk mapesa yake.
@Alphakadege-m2j
@Alphakadege-m2j 3 ай бұрын
Nyie ndio walewale
@dorahy1579
@dorahy1579 3 ай бұрын
@@Alphakadege-m2j Akina nani? Freemasons au waizi?
@aishaabrahaman9957
@aishaabrahaman9957 3 ай бұрын
Hujui biashara ya pombe wewe
@PatrickMsemwa-u9v
@PatrickMsemwa-u9v 29 күн бұрын
Aliye elimika ni yule anayetumia elimu yake KWA faida yake na ya jamii inayo mzunguka kama huyu jamaa wa maprachichi Bigap!!!!
@mchumiajuani1993
@mchumiajuani1993 4 ай бұрын
Ni kweli kwa njombe ni moja ya wakulima wakubwa, ni mpambanaji jamaa
@AbilahSalumu-qx1cb
@AbilahSalumu-qx1cb 3 ай бұрын
Stivini Jones Muimbila
@SuleimanEdward-f1n
@SuleimanEdward-f1n 4 ай бұрын
Hongera sana kiongozi
@G-JMK69
@G-JMK69 4 ай бұрын
Risk taking Wengi ambao hawajasoma sana, huwa hawahitaji mahesabu mengi ili kufanya jambo, hufanya kwa imani tu, ndio maana wanatajirika. Msomi anataka afanye kwanza mahesabu meeeengi aone kama kuna faida ndipo achukue hatua. At the end anapoteza nguvu ya kuanza. Hongera sana mkuu. 🤝
@Saidmarez
@Saidmarez 4 ай бұрын
Fact
@ChoroTesla
@ChoroTesla 4 ай бұрын
malo bila daftari hupotea bila habari km hvy basi kampuni zote zingekua zinaamrishwa tu fany hv fanya vile
@emanuelmsaky8074
@emanuelmsaky8074 4 ай бұрын
Hivi shamba la heka moja shilingi ngapi sahiv hapo njombe
@ahmedkitandu8403
@ahmedkitandu8403 4 ай бұрын
Ivi kwann darasa la 7 ndo watu ambao wamefanikiwa kmaisha ndo matajiri kuliko waliofka vyuoni??
@IbrahimunyandaDanieli
@IbrahimunyandaDanieli 4 ай бұрын
Wamebweteka na elimu zao
@aminakasim1198
@aminakasim1198 3 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@andrewemmanuel1861
@andrewemmanuel1861 4 ай бұрын
Eeet anamajiniii jmn pambana ufanikiwee usaidie ndgu zako
@florenciamassawe4925
@florenciamassawe4925 4 ай бұрын
Ni huduma gani zinazohitajika kwenye miti ya parachichi 6:15 6:18
@evancemoevt8597
@evancemoevt8597 4 ай бұрын
Kilimo!! Jichanganye!!!!😅😅😅😅😅😅
@PIGSTz
@PIGSTz 4 ай бұрын
Everything is possible
@WilfredMsechu
@WilfredMsechu 2 ай бұрын
Wewe hinajini gani
@gracekilacy512
@gracekilacy512 4 ай бұрын
Nimecheka kwa sauti
@Laizer3
@Laizer3 4 ай бұрын
Ivi kwanini watu walioishia la 7 wanawazidi utajiri wasomi wa vyuo vikuuu?
@martinisadru9899
@martinisadru9899 4 ай бұрын
Lakini pia hao waloishia la 7 wanazingatia kwa uaminifu mkubwa na kwa umakini sana ushauri wa wasomi,, ndomana wanafanikiwa, tofauti na wasomi, wao wanatabia ya kudharau. Ndo maana wasomi wengi hawafanikiwi.
@joshuajustustz
@joshuajustustz 4 ай бұрын
NIDHAMU
@kachorionlinetv497
@kachorionlinetv497 4 ай бұрын
Wasomi Wengi hawataki Kujishusha na Kuanzia Chini Kufanya Kazi Ndogo Ndogo Lakini aliemaliza la 7 hasubiri Bali anaanzia Popote...
@franklyn7439
@franklyn7439 4 ай бұрын
Kati ya wasomi na wasiosoma matajiri wengi ni wasomi. Story za matajiri wasiosoma zinavutia zaidi ndio maana ni maarufu. Msomi akiwa tajiri watu hawastuki
@G-JMK69
@G-JMK69 4 ай бұрын
Risk taking ability
@habyhabib7538
@habyhabib7538 4 ай бұрын
Ukishakua muandishi jitahidi unapofanya uchunguzi hakikisha taarfa ziwe sahihi Sio kupotosha wananchi Inakera sana kupotosha jamiiii
@MoviesAde
@MoviesAde 4 ай бұрын
Sasa kampotosha nani??? Anae hojiwa it’s true ana shamba na nimkulima, yeye anauliza tu maswali na mkulima anajibu, kapotosha nini sasa?? Acha makasiriko na jaribu kujifunza huku ukiweka positivity in things, Dah! Comment yako ya roho mbaya sana
@habyhabib7538
@habyhabib7538 4 ай бұрын
@@MoviesAde Nenda saloon urudi u comment!acha manung'uniko au unataka utumiwe maparachichi ??ulitoka kwa laisa haya umehamua ktk maparachichi,sio lazima kila mahal u comment!tuliza kizaga hapo
@RoseMkupala-xw7jo
@RoseMkupala-xw7jo 4 ай бұрын
Hongera sana kaka,mi natamani kulima parachichi ila sina utaramu nitakupataje naomba namba yako,tafathali
@benedictmfoi3680
@benedictmfoi3680 4 ай бұрын
Nenda njombe katembelee mashamba ujifunze
@BalengaTanda-fz4cl
@BalengaTanda-fz4cl 3 ай бұрын
😂😂namba ya billionaire ya nini jaman
@faridajuma7960
@faridajuma7960 3 ай бұрын
Mawasiliano yake please
@magigesabai8674
@magigesabai8674 3 ай бұрын
naomba namba yake
@BernadetaMwemtsi
@BernadetaMwemtsi 4 ай бұрын
Ushauri mzuri sana
@fristonactary1371
@fristonactary1371 4 ай бұрын
Hiyo ShortKat Kaelezea! Jichanganye SASA🤣🤣🤣
@afrodailytv4335
@afrodailytv4335 3 ай бұрын
Hivi sehem kama arusha magugu unaweza kulima zao gani?
@Iamscoobyjr
@Iamscoobyjr 3 ай бұрын
Karanga & mchele nafkiri na vitunguu vinafanya poa hapo
@afrodailytv4335
@afrodailytv4335 3 ай бұрын
@@Iamscoobyjr vitunguu vinafanya vizuri sokoni nianze kufanya research?
@hamisathuman-ef2ug
@hamisathuman-ef2ug 4 ай бұрын
Usitoe namba zako mabinti washakutamani
@Alphakadege-m2j
@Alphakadege-m2j 3 ай бұрын
Mbuzi wewe
@mariakabonge
@mariakabonge 4 ай бұрын
Please milad naomba nitumie number zake
@nelsonnyamle
@nelsonnyamle 4 ай бұрын
KAKA STEVEN MBONA SISI WENZENU TUNAUZA KWA HASARA?WENZETU MNAUZAJE MPAKA MNANUFAIKA HIVYO?
@emmanicko1535
@emmanicko1535 4 ай бұрын
MWENYEZI MUNGU AZIDI KUKUBARIKI NA KUKUONGEZEA KAKA ANGU
@paschalkigala6628
@paschalkigala6628 3 ай бұрын
Jichanganye.
@hasirazahoro4938
@hasirazahoro4938 4 ай бұрын
Halafu anatokea mvivu mmoja anamuita mchawi
@Jigwa61
@Jigwa61 2 ай бұрын
Namba ya kuwasiliana nae
@sheikhfadhilaljahdhamy6751
@sheikhfadhilaljahdhamy6751 4 ай бұрын
Shamba limeweza kufanya billionare
@FahadAbubakari
@FahadAbubakari 4 ай бұрын
Ulaya na marekani mkulima ni Tajiri huku kwetu tu ndo kinyume
@BARAKA-ns3jv
@BARAKA-ns3jv 4 ай бұрын
Asante Kwa kumuelimisha. Huyo
@birianination7097
@birianination7097 4 ай бұрын
​@@FahadAbubakari mbona huku wapo wengi tuu!
@FahadAbubakari
@FahadAbubakari 4 ай бұрын
@@birianination7097 ila c wengi
@vom84
@vom84 4 ай бұрын
Parachichi ni hela
@giftchristianmeela1409
@giftchristianmeela1409 4 ай бұрын
Wakenya wakiona hii wanahamia huko njombe 😅
@lucasmhagama8166
@lucasmhagama8166 3 ай бұрын
Wahamie mara ngapi?
@zolongOne
@zolongOne 2 ай бұрын
Wananunua sana maparachichi kutoka Tanzania, wanafungasha huko Kenya halafu wanaexport kama product of Kenya kumbe maparachichi yametoka Tanzania.
@TheSalma1999
@TheSalma1999 4 ай бұрын
Tunaomba number jamani
@saleheinnocent7636
@saleheinnocent7636 4 ай бұрын
Ili iwaje Bi Salma si umeolewa ww?
@sarinkestephen5455
@sarinkestephen5455 4 күн бұрын
Kampuni yake inaitwaje nataka nikanunue miche
@homeofvideos8893
@homeofvideos8893 3 ай бұрын
TRA sent you a friend request
@mussaelia8693
@mussaelia8693 4 ай бұрын
Natamani nipate mawasiliano yake
@evancemoevt8597
@evancemoevt8597 4 ай бұрын
Kila Biashara inalipa ukihadithiwa!!!😂😂😂😂
@lakasid3860
@lakasid3860 4 ай бұрын
Mbona yeye imemlipa? Issue sio kuhadithiwa issue ni kuingia shambani nakuanza ifanya
@mohamedaden8483
@mohamedaden8483 4 ай бұрын
Maparachichi hayahaya ninayoyajua mimi?
@siamnyone8403
@siamnyone8403 3 ай бұрын
😂😂😂😂we si kazaramooo parachch utalijulia wap
@mariakabonge
@mariakabonge 4 ай бұрын
Au naweza kukupigia wewe au ripotar wako please nikonecti na huyo ndugu me pia nimenunua shamba huko, please nisaidie
@husaynjibreel3605
@husaynjibreel3605 3 ай бұрын
Niko apa hii inawezekana sana
@edwinmbunda6709
@edwinmbunda6709 4 ай бұрын
Ekari 100 siyo mchezo
@melanialeonard4031
@melanialeonard4031 4 ай бұрын
1000
@willisonTheonest
@willisonTheonest 4 ай бұрын
Balikiwa ukitaka Mali kaifate shambani
@kephathicke9452
@kephathicke9452 4 ай бұрын
kuna hawa wa lasaba'A af kuna nyie wa chuo kusubiria kuajiriwa mpate 10M kwa mwezi
@CharlesEdwardCvanoedward
@CharlesEdwardCvanoedward 4 ай бұрын
Kuna miche ile ya sh 20,000/ ni mizuri sana ni miezi nane unavuna nilinunua kwake Nemes
@samirhumud7408
@samirhumud7408 4 ай бұрын
Ndugu umepanda sehemu gani?
@emmanuelmwajombe831
@emmanuelmwajombe831 4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@CharlesEdwardCvanoedward
@CharlesEdwardCvanoedward 4 ай бұрын
@@samirhumud7408 Iringa
@MarthaMgaya-zo4bi
@MarthaMgaya-zo4bi 4 ай бұрын
😂😂​@@samirhumud7408
@asmahozza8468
@asmahozza8468 4 ай бұрын
Tunapataje mawasiliano yake
@jojigeorige1056
@jojigeorige1056 4 ай бұрын
Ukiitaka pesa ya parachichi ni lazima uingie front kama hivyo. Kaa porini fuatilia kila hatua ya ukuaji wa miche, hadi utakapotoka baada ya miaka mi 3... vinginevyo hiki kilimo hakitaki simu...
@PeterMinde-y3b
@PeterMinde-y3b 3 ай бұрын
Hiyo ni point kaka, tuache kilimo cha remote
@NeemaShababi-nu8dr
@NeemaShababi-nu8dr 4 ай бұрын
Vipi kuhusu mbengu
@ephraimndelwa4073
@ephraimndelwa4073 3 ай бұрын
Nina shamba la miti nauza lina eka 10 lipo ukange, Lupila makete..
@erickagwe8841
@erickagwe8841 4 ай бұрын
Huyo ni milionea au bilionea? Jamani tofautisheni B na M.
@RutaRubedi
@RutaRubedi 4 ай бұрын
Faida ya kuvuna mara moja ni 200ml, akivuna mara tano tu tayari ni bilionea
@lakasid3860
@lakasid3860 4 ай бұрын
​@@RutaRubedikibongo bongo atakuwa ni Billionaire ila kidunia atakuwa millionaire
@salitosofo5561
@salitosofo5561 4 ай бұрын
Awagonje tra sasa
@hellendaniel3809
@hellendaniel3809 4 ай бұрын
Hiyo ni mali ya shamba wewe tra waende wapi
@KimaroGodliving
@KimaroGodliving 4 ай бұрын
True.watamtembelea.
@kananiomwamirwenyagira8374
@kananiomwamirwenyagira8374 4 ай бұрын
Mazao ya kilimo hayana kodi😂😂jiongeze ninushuru wa mazao tu..zile buku buku
@christopherjoseph8330
@christopherjoseph8330 4 ай бұрын
Ushuru masokoni hapo shamba tra hawaendi
@husseinhussein9971
@husseinhussein9971 4 ай бұрын
Mchawi tu
@jimodefighter
@jimodefighter 4 ай бұрын
acha ufara co Kila ki2 uchaw
@FridayMwassa
@FridayMwassa 4 ай бұрын
Ndiyo maana umekuwa masikini wa kutupwa kwasababu tu ya kuamini uchawi
@jamesmzaki6041
@jamesmzaki6041 4 ай бұрын
Ndoto yangu ni kuwa bilionea wa kilimo cha Chinese,,,Nipo hapa nasaka mtaji.
@RutaRubedi
@RutaRubedi 4 ай бұрын
Mungu ni mwema utafanikiwa
@PeterMinde-y3b
@PeterMinde-y3b 3 ай бұрын
Acha ukenge kijana, labda ukalime hiyo chinese China 🤪😜
@siamnyone8403
@siamnyone8403 3 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@Gersah
@Gersah 3 ай бұрын
Amiin
@afrodailytv4335
@afrodailytv4335 3 ай бұрын
Una masoko?
@jewtv1732
@jewtv1732 4 ай бұрын
NAMJUA HUYO JAMAA ANA MAJINI KINOMA
@SaidShemkieti
@SaidShemkieti 4 ай бұрын
Majini au madini ?
@ikokijuma-zv7wd
@ikokijuma-zv7wd 4 ай бұрын
Acha usenge we unamangap
@colletatesha5265
@colletatesha5265 4 ай бұрын
Aisee ukiskia wachawi ndio uyu anaemsema mwenzie ana majini
@MinskBelarus-il2tl
@MinskBelarus-il2tl 4 ай бұрын
Hata mimi nakujuwa wewe. Wewe ndio JINI lake kuu
@jamesnyamila2165
@jamesnyamila2165 4 ай бұрын
Tafuta na wewe hayo majini
@EdwinByamungu
@EdwinByamungu 3 ай бұрын
😂😅
@QueenStella-j8m
@QueenStella-j8m 4 ай бұрын
Hongera sana
ДЕНЬ УЧИТЕЛЯ В ШКОЛЕ
01:00
SIDELNIKOVVV
Рет қаралды 3,3 МЛН
哈莉奎因怎么变骷髅了#小丑 #shorts
00:19
好人小丑
Рет қаралды 55 МЛН
Когда отец одевает ребёнка @JaySharon
00:16
История одного вокалиста
Рет қаралды 3,9 МЛН
Spongebob ate Michael Jackson 😱 #meme #spongebob #gmod
00:14
Mr. LoLo
Рет қаралды 10 МЛН
MBOLEA ZA RUZUKU ZAWAVUTIA VIJANA KUINGIA KWENYE KILIMO
8:40
MBOLEA TV
Рет қаралды 2,4 М.
ДЕНЬ УЧИТЕЛЯ В ШКОЛЕ
01:00
SIDELNIKOVVV
Рет қаралды 3,3 МЛН