NYUMBANI KWA MC GARA B, UTAJIRI WAKE, MILIONI ANAZOINGIZA "NIMEPITIA MATESO KUFIKIA NILIPO"

  Рет қаралды 560,550

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Godfrey Deogratias Rugarabam (MC Gara B) utakua umemuona sana kwenye harusi nyingi akisherehesha kama MC nchini Tanzania, vilevile ni mmoja wa Vijana wa Tanzania pia waliotumia mitandao ya kijamii vizuri kutengeneza majina yao (kuji-brand) na kuonesha kazi zao, leo ameongea na AyoTV na kutueleza mengi tusiyoyafahamu kuhusu yeye ikiwemo kazi ya ualimu kwenye shule ya Sekondari ya Kata.

Пікірлер: 572
@witneywilly
@witneywilly 2 жыл бұрын
Aisee. Huyu mtangazaji nmempenda sana.... amejijua kua hatutak kumsikiliza yeye ila anayemhoji... ana maneno machache mpaka raha.... maswal hayaelezei sanaaa aisee ❣❣❣❣.... mb za mawazo sikuhz hatuna muda na maneno mengi ya watangazaji.... sijapeleka mbele hata kidogo... na MC gara b pia hachoshi kumsikiliza... maswal yametulia❣❣❣
@annamosha968
@annamosha968 Жыл бұрын
Saaana 👍👍👍
@fatmaahamad633
@fatmaahamad633 2 жыл бұрын
Haya Ndio maisha tunayoyataka kwa wasanii wetu muishi maisha Really sio ya kuigiza kwenye majumba ya wenzenu hongera sana gala b,kwa umri uliokuwa nao umepambana na dua zangu unazo kk
@olivamarunda8318
@olivamarunda8318 2 жыл бұрын
Ukiwa masikini ni wanasemaje ukiwa tajiri wanasemaje Je lipi jema
@juliethhope7281
@juliethhope7281 2 жыл бұрын
N shemeji jmn ana pambana sanaaaa.mnoooooo jmni ANAPAMBANA! SANAAA.
@sarachaura4996
@sarachaura4996 Жыл бұрын
Hongera sana gala
@naahnaah2403
@naahnaah2403 2 жыл бұрын
Yaani wew ni best Mc kwangu napenda sana unavyo host. Keep it up. Mungu akujalie mema zaidi.
@UnpopularDiscussion
@UnpopularDiscussion 2 жыл бұрын
This is a what we call hardwork. Kumbe haya hayajaja kwa bahati. Umeendelea kutufunza kwamba hakuna mafanikio yanakuja kirahisi.
@ayshersaadallah1886
@ayshersaadallah1886 2 жыл бұрын
For sure my dear
@leticiascalion7592
@leticiascalion7592 2 жыл бұрын
Kabisa
@happymushi2219
@happymushi2219 2 жыл бұрын
Hongera sana so Ukimuona mtu na maisha yake-- muache hujui alikoanzia
@salmaathuman9156
@salmaathuman9156 2 жыл бұрын
Nyumba mzuri mashaa Allah wallah ukijituma mungu anakufungulia mpaka ww mwenyewe utashangaa
@priscadaniel6459
@priscadaniel6459 2 жыл бұрын
Kabisa
@leticiascalion7592
@leticiascalion7592 2 жыл бұрын
Kabisa
@zawadimrindoko6782
@zawadimrindoko6782 2 жыл бұрын
MUNGU ✅ Mungu ✅ mungu ❎
@welcometoeat165
@welcometoeat165 2 жыл бұрын
So cute and he so humble! Hana majivuno
@iviejustified8109
@iviejustified8109 2 жыл бұрын
Very handsome and humble!
@gladnesskombo7490
@gladnesskombo7490 2 жыл бұрын
Kbisa yaani utadhani co mzaliwa wa kabila flani mkoani Kagera
@hamidayanga8224
@hamidayanga8224 2 жыл бұрын
@@gladnesskombo7490 🤣🤣🤣🤣🤣
@sukariyao6537
@sukariyao6537 2 жыл бұрын
Nakukubari sana mkuuu huko vizuri sana ilove you so much gara B. 😘🥰🥰🥰💃💃
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 2 жыл бұрын
Wallah mb zangu Leo zimeenda kihalali. Sana coz umenifunza vitu vingi mno... Mc wangu WA Dunia mwaaaaa nikija bongo Nina jambo langu lazima uhusike katik khafla yangu aise shukran Sana kwa kunipanua akili yangu
@finestford007
@finestford007 2 жыл бұрын
ulitaka zisiende🤣
@apoloniamdendemi2091
@apoloniamdendemi2091 2 жыл бұрын
You are the best example ever....keep it up.
@cmsa1r
@cmsa1r 2 жыл бұрын
I live in the USA. Sipendi harusi. But I always watch this great man. He dressses to impress. He loves what he does and he is talented. Future spokesperson wa serikali. Mark my words. Kuna siku atanikumbuka kwa hili....
@kennedjohn5785
@kennedjohn5785 2 жыл бұрын
Naungana na wewe japo sio kwa cheo hicho ulichokitaja but nimeona uongozi wa kiserikali ndani yake.
@winnersstore9161
@winnersstore9161 2 жыл бұрын
Sawa Sheikh Yahya
@mgm412
@mgm412 2 жыл бұрын
Kuna umuhim gan kusema unaishi USA...acha ushamba
@irenel1494
@irenel1494 2 жыл бұрын
@@mgm412 😂😂😂😂🙌🏼
@irenel1494
@irenel1494 2 жыл бұрын
@@winnersstore9161 😂😂😂😂
@shiksshiks8494
@shiksshiks8494 2 жыл бұрын
I really love listening to this guy aki mc kwa Harusi.....he is hilarious n smart sana
@nunuuali5316
@nunuuali5316 2 жыл бұрын
Asiekukubali basi akapate chanjo haki wewe ni mfano mzuri wa kuigwa kwa vijana tuliowengi umepambana na matunda yanaonekana alafu uko peace sana ya mwana. Hongera Garab
@user-ot2io4cy6w
@user-ot2io4cy6w 2 жыл бұрын
Huyu Mwamba yupo njema sana kimaisha 👏🏾👏🏾👏🏾
@suzanrichard3648
@suzanrichard3648 2 жыл бұрын
My best Mc Yesu akutunze ww na familia yko Unajua sn kazi ❤️❤️❤️❤️❤️
@victoriaishengoma5634
@victoriaishengoma5634 2 жыл бұрын
Nimejifunza Sana kwa MC Garab. Asante Millard kwa kucover hii .
@marianajohn5415
@marianajohn5415 2 жыл бұрын
Hamna raha kama kuwa na mwanaume anajipenda inamrahisishia sana mke. Ur wife is indeed lucky wallahi. Mc wa harusi yangu mwakani. Yn hata ukiwa booked ntapeleka mbele mpk siku ukiwa friiiiiii🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
@jasmineshechambo3401
@jasmineshechambo3401 2 жыл бұрын
Namm naomba niwepo🤣👌
@juliethhope7281
@juliethhope7281 2 жыл бұрын
Tishaa sanaaa dear 🤝
@user-ok9xb1mi7b
@user-ok9xb1mi7b Жыл бұрын
Acheni tu jamani yani asiejipenda ata huoni raha ya pesa zake it's very board by the way very board bora ata kua single
@handenitakuru6696
@handenitakuru6696 2 жыл бұрын
mimi nimependatu Alipo sema ::Alhamdulillah:: ikiwa yeye ni Dini nyingne Mashallah
@bmbright5393
@bmbright5393 2 жыл бұрын
Jaman alhamdulilah ni lugha ya kiarabu Sio dini
@benabdoul8762
@benabdoul8762 2 жыл бұрын
Hhh eti lugha ya kiyarabu
@maloomaalmnsj5111
@maloomaalmnsj5111 2 жыл бұрын
@@bmbright5393 apana kaka nikumshukuru mungu kwa kira jambo
@wisperfect5320
@wisperfect5320 2 жыл бұрын
Kipi cha ajabu apo
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 2 жыл бұрын
Chaajabu nn,sisi hatunaga ubaguzi ujue.maana kutamka neno ladini nyingine siyokubadiri dini km mnavyofikiriaga nyinyi.kwenu mtu akitamka yakwetu tu uwiiiiii watu watakavyotukana
@khamisally7550
@khamisally7550 2 жыл бұрын
This is a very good promotional interview .
@innocentmushi2721
@innocentmushi2721 2 жыл бұрын
God Bless You Ayo Tv For Such innovation from Gara B keep it up
@oscarezekiel1826
@oscarezekiel1826 2 жыл бұрын
Mashallah uko vizuri ktk kupambana na maisha ..may God stand with you.
@nasraabdallah850
@nasraabdallah850 2 жыл бұрын
Honger sn kaka unamaisha mashaallah uko vizur 👌
@benadethamugeta3073
@benadethamugeta3073 2 жыл бұрын
l lo ol mol olol olo
@azzamahamdu7039
@azzamahamdu7039 2 жыл бұрын
Mc wa KIMATAIFAAA....🤗🤗🤗hongera zake kwa family na mafanikio yke kwa jumlaa.mungu awatunze tuseme INSHALLAH 🤗
@mashaali4127
@mashaali4127 2 жыл бұрын
Wa kimataifa buanaaah
@Gift-cx1uo
@Gift-cx1uo 2 жыл бұрын
Mashallah hongera mc wang nakukubali sna wallah
@johnmalembo6464
@johnmalembo6464 2 жыл бұрын
Unawakilisha... éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz
@mwanahalimamwachili9679
@mwanahalimamwachili9679 2 жыл бұрын
Hongera Sana Mc Gara B.
@rosejoseph9378
@rosejoseph9378 2 жыл бұрын
Hadi rahaaa hongera kwakeee anatuhamasisha tutafute pesa
@vannesamgasha7030
@vannesamgasha7030 2 жыл бұрын
Nakupenda sanaaaa Kaka mungu akujarie maisha marefu na yenye baraka
@gordiansoko9113
@gordiansoko9113 2 жыл бұрын
Nilitaka ku-comment nimekosa hata la kusema stori yako kwa kweli ni mpango wa Mungu.Wasanii wajifunze kutoka kwako waache show off waishi kwenye uhalisia big up bonge la interview.
@benlangson2686
@benlangson2686 2 жыл бұрын
Humbleness is the key
@salhamrisho8138
@salhamrisho8138 2 жыл бұрын
Uyu mkaka ni mzuri mashaa allah na yuaongea kwa point😘hapo kwenye upandri pamoto kka yaani uwache kuoa uwache kuwa na watoto uwache kuwa na mke ahaaa ukorophi huo😃
@kiri5807
@kiri5807 2 жыл бұрын
Uwache kuoa ila wazini .
@pamelafabian6601
@pamelafabian6601 2 жыл бұрын
Asingeweza ona alivyozaa kama kuku
@Mimy_keys
@Mimy_keys 2 жыл бұрын
MC Gara B upo vizuri mno kwenye maswala ya kazi aisee 🤗 Watu wengi wanahisi Mtu anapata kiurahisi tu 🙄 Tuchape Kazi Jmn 💪✌️
@evelynvedastus9764
@evelynvedastus9764 2 жыл бұрын
Brother Mwija, I know you very well i remember tulishafanya kaz pamoja Vodacom na wakat huo wewe ni mwalimu, Ur very true and big fighter, keep it up Kaka angu, Mungu akuinue zaid ya hapo ulipo.
@dreusebiusjmikongoti248
@dreusebiusjmikongoti248 2 жыл бұрын
All the way from Kasita Seminary, Mahenge. Nakukumbuka sana mzee G-smile wa TYCS Easter conference. Hongera sana broo
@zakayomaginga6649
@zakayomaginga6649 2 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥
@fadhiliignusy3790
@fadhiliignusy3790 2 жыл бұрын
hongera sana ila badae msije tuambia muuza unga au kamtoa mtu kafara
@fatumarashidi5182
@fatumarashidi5182 2 жыл бұрын
Watu hawakosi la kusema
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 2 жыл бұрын
Mashallah, hongera sana *MC Gara B*
@marianajohn5415
@marianajohn5415 2 жыл бұрын
Ur a genius itoshe kusema hivyo tu 🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
@joank7929
@joank7929 2 жыл бұрын
Wow. GaraB may God almighty continue to lift u. More blessings bro from home.
@othumanlorenzo260
@othumanlorenzo260 2 жыл бұрын
In Very professional way ......
@japhetfesto2021
@japhetfesto2021 2 жыл бұрын
Mwalimu wang wa english Pendamoyo GODFREY RUGALABAMU
@dannysemwenda5301
@dannysemwenda5301 2 жыл бұрын
Nilikuwa nasubiri huu ushuhuda
@tantinebettynduwimana380
@tantinebettynduwimana380 2 жыл бұрын
nyumba nzuri eeeeh😍😍😍
@beatricetenywa4367
@beatricetenywa4367 2 жыл бұрын
Hongera the fighting is real bro ,halaf kuna comment mtu anasema freemason roho za kimaskin zitatuisha lin cjui🤣🤣🙌🏽
@allthingdranabeauty
@allthingdranabeauty 2 жыл бұрын
Uko halipo kuna watu wanamajumba zaidi ya hii Na sio free m nikufanya kazi tu kwa bidii
@olivamarunda8318
@olivamarunda8318 2 жыл бұрын
Beth usijusumbuea Na Hao wapogo tuu hawataki kazi
@rachelmbeyu4385
@rachelmbeyu4385 2 жыл бұрын
Yaani ukifanikiwa kidogo tu unaitwa freemason
@husna34562
@husna34562 2 жыл бұрын
@@allthingdranabeauty kweli
@johnmmbaga3903
@johnmmbaga3903 2 жыл бұрын
Roho za umaskini wamezibeba 😆😆
@ummimohamed2148
@ummimohamed2148 2 жыл бұрын
Alhamdulilah mungu azidi kukubariki na familia yko ameen
@shamilanamkubarisanasultan1018
@shamilanamkubarisanasultan1018 2 жыл бұрын
wahaya tunamajivuno ila tumejariwa kutafuta ongera sana kaka chomaaa💪💪💪
@alexandrinadomaino9868
@alexandrinadomaino9868 2 жыл бұрын
Haaa haa eti majivuno wahaya oyeeee. Omukama atwebembele.
@seifhamood8993
@seifhamood8993 2 жыл бұрын
Mlio sikia alhamdulillah like zenu
@maloomaalmnsj5111
@maloomaalmnsj5111 2 жыл бұрын
Si kamshukuru mungu au kakosea
@annashaoo-cs3wg
@annashaoo-cs3wg Жыл бұрын
NI MHAYA aliefanikiwa sana Lakini no masifa nampenda sana na MUNGU azidi kumwinua kila iitwapo leo
@pilikhamis2924
@pilikhamis2924 2 жыл бұрын
Maashaallaah mungu akuzidishie inshaallah
@felistarmwakapalila6801
@felistarmwakapalila6801 2 жыл бұрын
Ndio maana Anahekima sana kwa shughur zake....data pia zinakupngoza👌👌👌
@jasmine.mayala7597
@jasmine.mayala7597 2 жыл бұрын
Hongera upo vizur mwaya
@NGALEMA
@NGALEMA 2 жыл бұрын
Nakukumbuka sir rugalabam allah akuongezee zaid na zaid
@joetemba6376
@joetemba6376 2 жыл бұрын
Kaka Mungu akuinue viwango vingn zaidi nimejifunza kitu km kijana mwenzako sintokata tamaa kabisa acha nisonge mbele na Mungu wangu kwa jinsi ninavyopambana iko sk nitaziishi ndoto zangu
@OmanOman-ky2oo
@OmanOman-ky2oo 2 жыл бұрын
Mashaallah Allah akupe maisha marefu
@ludewayetutv
@ludewayetutv 2 жыл бұрын
Kwenye maishaaa changanyaaa nazakwako
@highnessyohaness4260
@highnessyohaness4260 2 жыл бұрын
Daah hii interview inaushawishi sanaaa vijana tupambane
@obenitejailos7007
@obenitejailos7007 2 жыл бұрын
Wewe si unasubiri kuolewa na kijana mchapakazi 😁
@highnessyohaness4260
@highnessyohaness4260 2 жыл бұрын
@@obenitejailos7007 mm mwenyewe mchapa kazi, siwezi msubiria mtu, Nashukuru Mungu kanijalia
@maria_mutondioriginal5
@maria_mutondioriginal5 2 жыл бұрын
Da nimempenda bure ukisikia mchapakazi na mtafutaji basi ndiyo huyu sasa Mungu akubariki sana kazi ya mikono yako amen
@vivianvincent4303
@vivianvincent4303 2 жыл бұрын
I love it,, well done Brother
@joyceenos4397
@joyceenos4397 2 жыл бұрын
Kufanikiwa mpka ujitume hongera sana zidi kupambana
@ahuriladaniel9849
@ahuriladaniel9849 2 жыл бұрын
Aisee uko professional sana🙌🙌🙌🙌
@ummymwalimu3965
@ummymwalimu3965 2 жыл бұрын
Tufanye kazi tuache zana mbaya pia Mambo mazuri hataki harakaa chimba kwaza mifereji alafu uone Kama huto pata ,,,,kiukweli watanzania tulo wengi ,,wavivu wakufikiriiii ,nakufanya
@tutakusaidiakupatagari8831
@tutakusaidiakupatagari8831 2 жыл бұрын
BIG UP, nmependa kwenye ushauri wako, kwamba mtu asiwe na ndoto yakuja kuwa kama fulani, ni ajipange yeye kama yeye
@servantofalmightygoddranth2511
@servantofalmightygoddranth2511 2 жыл бұрын
There is the gap between hard working and succession so there is the one who can close this gap, his name is ALMIGHTY GOD, kuna gepu kati ya uchapakazi na mafanikio kwa wacha MUNGU, MUNGU huliondoa gepu ilo na watumishi wake hufanikiwa, na kwa wale wengine humwendea mwivi shetani anawafanikisha kwa mafanikio makubwa kwa tiketi ya kutoa kafara " mafanikio yeyote duniani yana njia mbili ya MUNGU na ya shetani, na kwaiyo huyu jamaa (mc) anaehojiwa hapa anajua siri ya mafanikio yake".
@khadijakiba3587
@khadijakiba3587 2 жыл бұрын
Mc wangu huy siku moja Insh'aAllah bado bwana harusi😍😍🤲
@tinnahmosha5177
@tinnahmosha5177 2 жыл бұрын
😄😄😄😄 @khadijakiba wew ni mm kabisa MC nishampata Garab bado bwana harusi 😃
@ummymwalimu3965
@ummymwalimu3965 2 жыл бұрын
Mm bwanaharusi tayari mc ndio huyo hapo badotu malipo yake maana sisi ni mwenzangu na mm
@annamosha968
@annamosha968 Жыл бұрын
Yeuwiiii 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@hajeralqaidi2115
@hajeralqaidi2115 2 жыл бұрын
Inshaallah...Alhamdulillah🙏
@michaeldotto3859
@michaeldotto3859 2 жыл бұрын
Hongera Sana kaka tumekaa ofisi moja 2015
@asiaasiajey5551
@asiaasiajey5551 2 жыл бұрын
Wow MashaAllah
@vj8313
@vj8313 2 жыл бұрын
Nice sana, afu mcheshi sana,peace unaonyesha huna roho ya kwanini hadi raha yani
@uwamahoronadine1743
@uwamahoronadine1743 2 жыл бұрын
Hongera sana Garab umepambana
@enockisraelnashon5382
@enockisraelnashon5382 2 жыл бұрын
Thanks much brother gara B for inspiration
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 2 жыл бұрын
I really like Gb he is very smart 🙌❤
@zaitunimrisho6377
@zaitunimrisho6377 2 жыл бұрын
Waoooh!hongera sana mcgarab
@jenestermerchades9111
@jenestermerchades9111 2 жыл бұрын
Big up This is A haya I know Kagera yangu.
@vailetheanyambilile9749
@vailetheanyambilile9749 2 жыл бұрын
Hongera kaka Mungu ni mukubwa
@alicempuya5238
@alicempuya5238 2 жыл бұрын
Hongera Sana MC Mungu akubariki
@lucyvictor3278
@lucyvictor3278 2 жыл бұрын
Big up milad ayo,napendaaaa xnaaaa sauti yauyu kaka jaman🤗🙉
@shau78
@shau78 2 жыл бұрын
eti e?🤣
@lucyvictor3278
@lucyvictor3278 2 жыл бұрын
@@shau78 😁😁😁
@dafrosadeus5203
@dafrosadeus5203 2 жыл бұрын
Hongera Sana kk, umejenga mjengo wa uhakika, ni mzuri mno aisee!
@manjaugodwin7834
@manjaugodwin7834 2 жыл бұрын
Hongera brother na mm naıshı kınyerezı naomba na mm unıpe akılı ya kutafuta rızıkı
@omarylukindo5306
@omarylukindo5306 2 жыл бұрын
Akili anatoa mungu,km huna akili ya kutafuta riziki utakua huna utofauti na mfu,,maana hata chizi anajua riziki iko jalalani.sema akupe maarifa au mbinu sio akili
@khadijahomankweliyamjahaya7421
@khadijahomankweliyamjahaya7421 2 жыл бұрын
Ma shaa allah
@emmanuelchejo7154
@emmanuelchejo7154 2 жыл бұрын
Nakukubali sana mc gara b Mungu atukutanishe siku moja inshaalah...
@nchambimaduhu997
@nchambimaduhu997 Жыл бұрын
Safi sana kaka nakupendaga Bure Mungu aendelee kukubariki pamoja na familia yako
@bryannacheli1760
@bryannacheli1760 2 жыл бұрын
Great inspiration 🙏
@rehemaomary3267
@rehemaomary3267 2 жыл бұрын
Hongera sana Gara B kazi nzuri mnooo, hi Pascal
@khadijahali4837
@khadijahali4837 2 жыл бұрын
Nyumba nzuri kiukweli
@sweetluc2660
@sweetluc2660 2 жыл бұрын
Hongera kaka yote hayo utukufu kwa Mungu aliye kujalia umesma kweli kila kitu ni wito wengine wanasimama kwenye vitu ambavyo siyo wito wa Mungu ni kwa Mapenzi Yao ndio maana wanafeli
@khadijahali4837
@khadijahali4837 2 жыл бұрын
@@sweetluc2660 🤣🤣
@sharmelasaif47
@sharmelasaif47 2 жыл бұрын
Hongera sana kk manshallah maisha mazur
@musanjopeka837
@musanjopeka837 2 жыл бұрын
Bora umeongea ukwel kua mzee alikua yuko vzr... Ila ingekua wengne ungeckia tumekua kweny shida sana
@leaherasto929
@leaherasto929 2 жыл бұрын
dream come true hongera Gara B
@40kstore
@40kstore 2 жыл бұрын
Tunashukuru Millard, sio chanell zingine wanatuwekea interview za amber ruty
@ibrahimsanga690
@ibrahimsanga690 2 жыл бұрын
😂😂😂😂
@lastgospel706
@lastgospel706 2 жыл бұрын
🤣
@ummymwalimu3965
@ummymwalimu3965 2 жыл бұрын
😁😁😁😁
@agathajohn4576
@agathajohn4576 2 жыл бұрын
😀😀, Millard ni mtu makini sana kwenye kazi zake
@robenapomola2395
@robenapomola2395 2 жыл бұрын
Nimejifunza vingi sana hapo aseee 🙏🏿🙏🏿
@stellahsamson4621
@stellahsamson4621 2 жыл бұрын
Ww n MC wa harusi yangu🙏inshaalah 🙏yan napenda the way you host🙌🙌
@petercosta1317
@petercosta1317 2 жыл бұрын
Kweli Fanya kazi uishi kama mfalme
@angelamarlow510
@angelamarlow510 2 жыл бұрын
Umeona Ee nimeipenda iyo
@maloomaalmnsj5111
@maloomaalmnsj5111 2 жыл бұрын
Mh fanya kazi kama mtumwa uwishi kama mfalme
@janethpastory8835
@janethpastory8835 2 жыл бұрын
@@angelamarlow510 8z e Fgu7 cvh I 9th 9Y8q0 vya kìķķm .uf uh no h0
@tifagede3267
@tifagede3267 2 жыл бұрын
Nampenda sana na kazi zake pia😘
@editatairo9667
@editatairo9667 2 жыл бұрын
Keep it up. Kuchapa kazi ndio msingi na self discipline
@rashdiyange7758
@rashdiyange7758 2 жыл бұрын
Mamaee kiskia bonge la bangaloo ndo ili sasa mamaee ongela sana baba na mm nta chukua dizain yko ya nyumba iyo duuuu big upsana baba
@lovenessaron2669
@lovenessaron2669 2 жыл бұрын
Mungu akubariki Mc Garab 🔥🔥🔥😍
@felistadanda6466
@felistadanda6466 Жыл бұрын
Much congole MC Gara B en lop u 🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤u did it 😊
@jestinakanji8168
@jestinakanji8168 2 жыл бұрын
Duuu. Kweli akili kumtwe. jmn kuna kitu cha kujifunza kwa wasanii
@BukuruIbrahim-o3m
@BukuruIbrahim-o3m Ай бұрын
Umejaliwa sana kwa kipato
@faidhamyovela179
@faidhamyovela179 2 жыл бұрын
Gara muhaya sifa yake hela tu the best mc in tanzania 😋😘😘
@jasminjuma6390
@jasminjuma6390 2 жыл бұрын
Huyu kaka Yuko vizur mashaa Allah kweny ushereheshaji wa maharusi🤲
@georgebundala1915
@georgebundala1915 2 жыл бұрын
Mahojiano mazuri sana.We kichwa Gala B. Mseminari upo vizuri.
@sebastianbernard-kb2ip
@sebastianbernard-kb2ip Жыл бұрын
Bro uko vizuri sana nakukubali mno na hata huku jua kali kweli ww ni noma
@magiehermess9949
@magiehermess9949 2 жыл бұрын
Very smart,I like him
@zenamshana6852
@zenamshana6852 2 жыл бұрын
Hongera Sana kwa kutokukata tamaa
How Strong is Tin Foil? 💪
00:26
Preston
Рет қаралды 69 МЛН
АЗАРТНИК 4 |СЕЗОН 1 Серия
40:47
Inter Production
Рет қаралды 1,4 МЛН
An Unknown Ending💪
00:49
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 48 МЛН
How Strong is Tin Foil? 💪
00:26
Preston
Рет қаралды 69 МЛН