BILA UOGA JAMAA AKAMATWA LIVE AKIMTAPELI MTEJA NDANI YA BENKI, ATAJA MAENEO ALIYOFANYA UHALIFU

  Рет қаралды 108,714

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 118
@auntdorah9141
@auntdorah9141 2 жыл бұрын
Ayo amemuona bodaboda anavyojieleza kwa kujiamini? Ni atamnoa kidogo tuu...😁😁 kweli anavutia kusikiliza...hongera kijana Mungu azidi kukuinua
@stukiaally4690
@stukiaally4690 2 жыл бұрын
Shuhuda kama ripota anavyoongea🤣🤣apate kazi Millard Ayo
@irineachilla6440
@irineachilla6440 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@stellajohn5647
@stellajohn5647 2 жыл бұрын
Bodaboda umejua kujieleza hongera🙌
@jumahassan273
@jumahassan273 2 жыл бұрын
Ila boda uyo uyo baadae anasumbuliwa na hasikari na amewaonyesha uwalifu vizur
@fundijumakimbaru7622
@fundijumakimbaru7622 2 жыл бұрын
Sasa taperi kwanini awamuoneshi sura na mbona kachukuriwa Kama mtoto au kaogopewa mwiri anaenda Kama waziri shati safi nguo safi inakuwaje au tunarea wezi?
@zuhuramuhanga5400
@zuhuramuhanga5400 2 жыл бұрын
Mvunjeni miguu na mikono
@hanafhamad2801
@hanafhamad2801 2 жыл бұрын
uyo jaama wa boda boda apewe kitengo chochote kile cha usemaji anajua kinoma kuelezea jambo allah ambarik
@shaurimtanda8285
@shaurimtanda8285 2 жыл бұрын
Atafaa pale yanga maana hatuna msemaji
@irineachilla6440
@irineachilla6440 2 жыл бұрын
Hongera kijana 👏👏👏
@surusuru1994
@surusuru1994 2 жыл бұрын
🤝🤝🤝🤝🤝🔥🔥Police bigapu 🔥🔥
@ikulunimahalipatakatifu7642
@ikulunimahalipatakatifu7642 2 жыл бұрын
No free lunch piga kazi mwanaume ..Safi sana soldier uliyempa dawadi yake huyo wa tuma kwenye namba hii..
@mwanatz5980
@mwanatz5980 2 жыл бұрын
Kazi nzuri 😍
@yusuphvicent4175
@yusuphvicent4175 2 жыл бұрын
Aiseeee nawataka na mm hao wameniibia pia naona ni huyo
@OfficialA83640
@OfficialA83640 2 жыл бұрын
Mnachonikera kwa nn hamtuonyeshi sura ya muhalifu ili atambulike tusiwe tunaishi na wezi ndani hatujui kz zao. lkn angekuwa muuaji picha mngatuwekea hapa
@mwigakatumpula5695
@mwigakatumpula5695 2 жыл бұрын
Boda Boda amenivunja mbavu Zang eti kifupi jambazi amekamatwa kirahisi sana hiyo kitaalam ametoa mbinu mpya kwa majambazi kuwa wajipange upya kulingana na hayo maelezo 🙌😃😃😃😄
@amoonatnzani9834
@amoonatnzani9834 2 жыл бұрын
Khaaaaa baba la nguvu linashindwa kufanya kazi
@Mahenge_Tekson
@Mahenge_Tekson 2 жыл бұрын
Huyo naye anazingua ,alisikia wap Wakinga wana ibiwa😂😂😂,,huogopi an kuibia wakinga😂😂😂
@emmanuelmwatujobe8450
@emmanuelmwatujobe8450 2 жыл бұрын
Kweli alipotea njia
@sazanahussen6715
@sazanahussen6715 2 жыл бұрын
Wananini hao wakinga jmeni
@dottoamos2902
@dottoamos2902 2 жыл бұрын
Niliwambia Mimi NJOMBE Wako makini Sana hao panya Rodi wangekuwa washaisha njombe japo Mimi nipo Zanzibar amani
@hajisoud4612
@hajisoud4612 2 жыл бұрын
ujaulizwa upo wap
@dottoamos2902
@dottoamos2902 2 жыл бұрын
@@hajisoud4612 wakina haji hawako I'vo huo
@starlonejadamskp8224
@starlonejadamskp8224 2 жыл бұрын
Ajali kzn
@davidmarik4633
@davidmarik4633 2 жыл бұрын
Uwa najiuliza awa matapeli Awana connection yoyote na hao waudumu wa BANK maana washaa nichezesheaga Gem ila nilisoma mapema uwo mchezo washinzi sana hao
@gilbertkalanda9354
@gilbertkalanda9354 2 жыл бұрын
Yaani ndani ya Benki anakutapelije hapa sijaelewa, tusijitapelewa
@juliethswai4263
@juliethswai4263 2 жыл бұрын
tena wahudumu wengi wa benk baadh yao wana hiyo michezo na matapeli...mimi ilishanitokea benk fulani hivi sitaitaja...ila ile siku walitambua uongozi
@epimarkthadei5334
@epimarkthadei5334 2 жыл бұрын
Hatari sanaa
@bakamuubakamuu1556
@bakamuubakamuu1556 2 жыл бұрын
Jambazi au tapeli 😂😅😃😀😉😆
@amanijampion3045
@amanijampion3045 2 жыл бұрын
Wana uhakika? Au Majungu!
@mashakaatanas2717
@mashakaatanas2717 2 жыл бұрын
Bodaboda umetuwakilisha vyema, Maelezo yamenyooka na kueleweka kirahisi, + ung'eng'e kidogo (population)
@gambalesmanoni9399
@gambalesmanoni9399 2 жыл бұрын
Population ya watu wengi. 🤣
@joycenicodemus.2232
@joycenicodemus.2232 2 жыл бұрын
@@gambalesmanoni9399 bodaboda kaupiga mwingi😀😀😀
@pendopeter1790
@pendopeter1790 2 жыл бұрын
😂😂😂
@pendopeter1790
@pendopeter1790 2 жыл бұрын
Tufanye kazi hakuna hela ya bure bure.
@petriciajohn1245
@petriciajohn1245 2 жыл бұрын
Mm nilikiwa nimeenda kutoa pesa jana mhudumu wa wakala ananizunguusha namwambia nimeshatoa pesa kasema haijafika kumbe alikuwa na mipango ya kunitapeli nikamwambia naomba pesa zangu acheni wizi ndio akanipa ..Hata hawa wakala baadhi yao wezi na sio waaminifu wakiona unatoa pesa nyingi roho zinawabadilika
@calvinpaul2171
@calvinpaul2171 2 жыл бұрын
Wanakupimiaaa si waungwana
@juliethswai4263
@juliethswai4263 2 жыл бұрын
mi ilishanitokea wakiona unatoa hela nyingi wanaanza kukuzungusha wakati huo huwa wanapanga njama na hao wezi..ukishawasanukia wanastuka
@mpokijosemwakifuna4170
@mpokijosemwakifuna4170 2 жыл бұрын
Kaaa jamaaani aniataka kula kilaini
@mudy533
@mudy533 2 жыл бұрын
NMB NDO HUAGA CHIMBO LAO.MIMI NAWATAMANI SANA HAO
@dr.sarahbusongo
@dr.sarahbusongo 2 жыл бұрын
Boda boda msomi Sana huyo.... Safi sana. Tapeli wa miaka kumi🤣 aisee tumepigwa Sana aisee. Yaaani akamatwe jamn sio tu week moja halafu atoke uwii Tena alete hizo connection za wengine tupunguze svibaka na matapeli .
@calvinpaul2171
@calvinpaul2171 2 жыл бұрын
Dr mambo
@dr.sarahbusongo
@dr.sarahbusongo 2 жыл бұрын
@@calvinpaul2171 poaaa
@safiyatheonlything7848
@safiyatheonlything7848 2 жыл бұрын
duuuh jibaba na mwili wake anaacha kufanya kazi anatapeli jasho la mwezie
@silivesattesha4837
@silivesattesha4837 2 жыл бұрын
Kipaji chake🤣🤣🤣🤣
@anthonydeogratius9179
@anthonydeogratius9179 2 жыл бұрын
Huyo jamaa ni sugu alishanipiga shinyanga NMB nikaja kumkamatia tbr
@calvinpaul2171
@calvinpaul2171 2 жыл бұрын
Anatapel kwa style gan
@yahyasalumkhamis1164
@yahyasalumkhamis1164 2 жыл бұрын
Good job 👍 wadau.
@jiiwolf2900
@jiiwolf2900 2 жыл бұрын
.Uyo bado mwanafunz mdokoz t kama paka😜lungu moja maneno kibao😂😂
@vmwanga7272
@vmwanga7272 2 жыл бұрын
Wapigwe wauwawe ao matapeli me nishachoka kuskia Mambo yao
@aeshamrange6540
@aeshamrange6540 2 жыл бұрын
Kwani wanaume wahuko njombe ndo mnavo ongeaga ivo mnatubania pua ivo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@dismasstanslaus5985
@dismasstanslaus5985 2 жыл бұрын
Good jobb
@mbembetyson05
@mbembetyson05 2 жыл бұрын
police wanafanya kazi zao safi sana komesheni hao wanakuwa wengi mno
@hijazhija316
@hijazhija316 2 жыл бұрын
Muonyesheni sura
@kefajoseph158
@kefajoseph158 2 жыл бұрын
Samia ameleta Maisha magumu sana ndoomana utasikia panya rod matapeli mbona wakati MAGUFULI hawakuwepo
@adamally6
@adamally6 2 жыл бұрын
ww tangia kuzaliwa hii tanzania ushawah ishi maisha mazur ??
@shamzone388
@shamzone388 2 жыл бұрын
Sasa una maana rais samya kafungua collage au chuo kikuu kufundisha watu tabua mbaya kama hizo
@mahamouditman6811
@mahamouditman6811 2 жыл бұрын
Halafu usikute ww ndiye ulikuwa ukisema vyuma vimekaza enzi ya hayati Magufuli.
@jacquilinetenth3447
@jacquilinetenth3447 2 жыл бұрын
Hiy miaka kumi kwani Magu hahusiki. Mama anamiaka mingapi madarakani?
@lilykarim8968
@lilykarim8968 2 жыл бұрын
@@jacquilinetenth3447 huyo mama yako kizaa panya road hafai yote haya kayazidisha mtaani kugumu
@telaamtauta2227
@telaamtauta2227 2 жыл бұрын
Kavaa msafii kama nini kumbe roho yake niyanyokaa kawaumizsroho watu wanganui sijui
@anithawidambe7543
@anithawidambe7543 2 жыл бұрын
ASANTE SANA NYIE ASKARI HAO MATAPERI WANASUMBUA SANA WATEJA WAFUNGIWE MAISHA
@anithawidambe7543
@anithawidambe7543 2 жыл бұрын
NA NYIE MAWAKALA MUWE WAMINFU KWA WATEJA WENU.HAO NDIO WANAOWAFANYA MSHIBE.
@cctvplustanzania
@cctvplustanzania 2 жыл бұрын
Aise..
@ashurahaji4794
@ashurahaji4794 2 жыл бұрын
Mwanaume wa maana sana du
@hallin9561
@hallin9561 2 жыл бұрын
mim sio mkabila kama mkenya, lakin uyo mwiz kama sio mchagga, maana awa ndugu zetu ni wazee wa kuforce mni
@obadiahnkwale124
@obadiahnkwale124 2 жыл бұрын
Hyo jamaa Alisha wahi kunitapeli kuptia kjana wangu wa kaz kwa bahat tulimkamata na wenzake2 na pesa nikarudishiwa,hao jamaa hawafai kabisa.
@_creator821
@_creator821 2 жыл бұрын
Jaman hatamimi namtafuta huyu jamaa kes yake ipo Kituo chapolisi Mabatini (sinza)
@shedrackdamian2870
@shedrackdamian2870 2 жыл бұрын
Mama tozo kavunja .mabanda yote saivi wezi kibao💖😂😂🛑
@amillahqueeen5586
@amillahqueeen5586 2 жыл бұрын
Ndo maana saiv panya road wataongezeke kila sku yte hya ni ugumu wa maisha
@anwaryabdallah7782
@anwaryabdallah7782 2 жыл бұрын
Sahihi kbsa lzma wezi waongezeke
@kiri5807
@kiri5807 2 жыл бұрын
Mchezo huo znz uko sana na mara nyengine vijana wanakuja na bibi ( wote ni wabongo ) mzee ikisha huyu bibi anajifanya hajui kwenda kuweka pesa umsaidiye yeye atakusubiri lakini umuachiye pesa zako , ikisha anakupa burungutu la dola kumbe ile juu kaweka dola fake ndani makaratasi . ukifika counter pesa sizo ukija kashaondoka na wale vijana .
@menalikechildren8836
@menalikechildren8836 2 жыл бұрын
Zanzibar tutawapaka mafuta ya makalio mamae zao mbwa hawa
@salummzee9739
@salummzee9739 2 жыл бұрын
Siku za mwizi Arbain
@youngchuda1568
@youngchuda1568 2 жыл бұрын
Yani banda latozo hata masaa 24 halija fikisha watu washaanza kupiga mpunga daaah yani sipati picha mama akirudi sijui ataanza na nini juzi wameua panya road 6 leo kibubu kimenusulika kuvunjwa
@khadijanjama8721
@khadijanjama8721 2 жыл бұрын
Asiefanya kazi asile
@kakaaignas3675
@kakaaignas3675 2 жыл бұрын
Boda unajua kuelezea
@menalikechildren8836
@menalikechildren8836 2 жыл бұрын
akatwe makalio huyo maeee
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 2 жыл бұрын
Mtihani
@dintazdintaz7311
@dintazdintaz7311 2 жыл бұрын
anaondokaje na prado huyo msenge aisee kwan hamna defender au halaf mwamba yupo comfotable kabsaa anyway kila m2 atakula kwa jasho huenda ndo jasho lake
@musanuru1297
@musanuru1297 2 жыл бұрын
Hilo gar la polis
@abilahiumande5389
@abilahiumande5389 2 жыл бұрын
Huuu niuongo
@wajawazitotv7632
@wajawazitotv7632 2 жыл бұрын
Toa hilo tangazo la bayport
@husseinkarim9211
@husseinkarim9211 2 жыл бұрын
Mnawauliza watu wasiojua lolote Badala ya kumwuliza wakala au polisi au afisa wa benki
@asternjulius890
@asternjulius890 2 жыл бұрын
Huyu boda uhakika anajua kuongea kiswahil
@kakaaignas3675
@kakaaignas3675 2 жыл бұрын
Sana
@edwardkawogo6698
@edwardkawogo6698 2 жыл бұрын
Huyu ilitakiwa aminywe sawasawa sasa linatembea limenyooka kabisa
@emamazengo3960
@emamazengo3960 2 жыл бұрын
Mbona muhusika mkuu aliyetaka kutapeliwa hamjamuhoji, tujue kwa kina namna ilivyokuwa, nje ya hapo HAIJAKAMILIKA hii habari
@shaurimtanda8285
@shaurimtanda8285 2 жыл бұрын
Utaharibu ushahid mapema sana
@kazimalimbika457
@kazimalimbika457 2 жыл бұрын
Miladi Mimi ninashida inanisumbua Sana ninakupataje
@Malandodaudjr
@Malandodaudjr 2 жыл бұрын
Huyo afe kabisa
@kadijahajali3918
@kadijahajali3918 2 жыл бұрын
Hii mtihani
@bizzonganilevanu9330
@bizzonganilevanu9330 2 жыл бұрын
Namuona wakala bahati
@homeboy2307
@homeboy2307 2 жыл бұрын
Eti mama yupo msibani kaacha misiba huku
@cherylcheryl7694
@cherylcheryl7694 2 жыл бұрын
Msini wapi jamani?
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 2 жыл бұрын
I tu o ni WA kuuwa kbs mtu Anatafuta pesa kwa uchungu alafu anakuja chukuwa tu km zk
@nadrahassan5241
@nadrahassan5241 2 жыл бұрын
😳😳😳🤔
@jumahassan273
@jumahassan273 2 жыл бұрын
Ajali kazini
@samwelweston8262
@samwelweston8262 2 жыл бұрын
Michezo au muv
@sultanmsoloni8635
@sultanmsoloni8635 2 жыл бұрын
Duuu bank Kuna choo ya wateja kweli au mzeee amejichanganya sijawahi ona choo ya wateja bank
@solanusmhagama2807
@solanusmhagama2807 2 жыл бұрын
Njombe vyoo vipo
@lethmbajo8511
@lethmbajo8511 2 жыл бұрын
Choo Cha wateja kipo nmb ya njombe na makmbko
@jacquilinetenth3447
@jacquilinetenth3447 2 жыл бұрын
Kipo. Kinakua nje
@lucasmhagama8166
@lucasmhagama8166 2 жыл бұрын
Kipo
@musanuru1297
@musanuru1297 2 жыл бұрын
Duuuh mbona vipo
@monadinadi5295
@monadinadi5295 2 жыл бұрын
Yaan kubwa zima Hali hata haya jmn
@elinajastaumangi55
@elinajastaumangi55 2 жыл бұрын
jamani embu fatilieni habari ya scatec mbona Kama wametapeli watu
@sekelakabuje6406
@sekelakabuje6406 2 жыл бұрын
Ni kweli watu hawana ham
@matridamwalyoyo1735
@matridamwalyoyo1735 2 жыл бұрын
Mtangazaj unatangaz vzur sn nimrkupnd bure
@yusuphylameckmyongalameckm2571
@yusuphylameckmyongalameckm2571 2 жыл бұрын
Nakubali
@marthageorge5043
@marthageorge5043 2 жыл бұрын
Kazi kweli kweli
@Willem_Mah
@Willem_Mah 2 жыл бұрын
Nichekeje mimi sasa.😂😄😁😆😅🤣
@lukakulaya4650
@lukakulaya4650 2 жыл бұрын
Bertha.kullaya
@kelvindaud9600
@kelvindaud9600 2 жыл бұрын
Mwakyoma na millad jopo la wahariri hii haiwezi itwa story mboma watu wengine hawajahojiwa Aliemtuhumu kua katapeliwa Vyombo vya dola Meneja wa benk Mashuhuda waliokuwepo ndani ya benki sio boda boda na Uongozi wa bank tawi husika. Vyanzo vyote vitatu vingepata nafasi credible souurce relable source na authortative source sio hizi story zinashusha sana credibility ya chombo na umetumia mda mrefu sana kuibrand
@abdallhmohd2259
@abdallhmohd2259 2 жыл бұрын
Kitu zima kazi utapeli tu mshenzi mkubwa tafuta kazi ya halali ufanye unaona unavyoazirika Sasa hongera jeshi la polisi kuwa makini na hiyo mijitu
Кем был убитый в Москве Армен Саркисян
16:59
BBC News - Русская служба
Рет қаралды 3 М.
Арыстанның айқасы, Тәуіржанның шайқасы!
25:51
QosLike / ҚосЛайк / Косылайық
Рет қаралды 700 М.
黑天使被操控了#short #angel #clown
00:40
Super Beauty team
Рет қаралды 61 МЛН
coco在求救? #小丑 #天使 #shorts
00:29
好人小丑
Рет қаралды 120 МЛН
Cheerleader Transformation That Left Everyone Speechless! #shorts
00:27
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 16 МЛН
Putin and Trump Meeting / Venue Preparation
12:07
NEXTA Live
Рет қаралды 479 М.
The Match That Made Real Madrid Buy Cristiano Ronaldo
12:19
Moon Ball
Рет қаралды 5 МЛН
Gun Restoration, Colt M1911 U.S. ARMY 1914, (with test fire).
18:30
The Kinzler Bros
Рет қаралды 15 МЛН
Scammers PANIC After I Hack Their Live CCTV Cameras!
23:20
NanoBaiter
Рет қаралды 28 МЛН
Арыстанның айқасы, Тәуіржанның шайқасы!
25:51
QosLike / ҚосЛайк / Косылайық
Рет қаралды 700 М.