VILIO CONGO: WALIOKUFA WAFIKA 900, M23 WATANGAZA KUSITISHA VITA “KAGAME, TSHESIKEDI KUKUTANA”

  Рет қаралды 37,972

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 53
@PaschalCharlesLunemhya
@PaschalCharlesLunemhya 5 күн бұрын
Hawa siyo wa kuwaacha hivi hivi, wanaenda kujipanga upya..huu ni wakati wa SADC kuwatafuta kokote waliko...haiwezekani uuwe 900 halafu useme tunasitisha mapigano na ukaachwa hivi hivi.. Rwanda kaogopa hasara
@mullestv2680
@mullestv2680 5 күн бұрын
Unakaza fuvu una uhakika hao watu wameuliwa na m23 watanzania kwa kujitia wana huruma kwa mambo wasioyajua hao waloua raia 900 unawajua
@hassanrashid-l3u
@hassanrashid-l3u 5 күн бұрын
Kwa hiyo we unaamini kuwa m23 ndo wameuwa ,au unajishobokesha kwenye vitu ambavyo havikuhusu
@josephkiwale374
@josephkiwale374 5 күн бұрын
Rwandwa apigwe,,nyie pigeni kelele mitandaoni lakini lazima watusi tuwapige💪💪💪💪
@Mumewangu
@Mumewangu 5 күн бұрын
@@mullestv2680 sababu ni wao m 23
@tuikezeezra1315
@tuikezeezra1315 4 күн бұрын
Kweli syo kuachwa Inatakiwa popote walipo watatutwe!!
@Bilioneabichwa331
@Bilioneabichwa331 3 күн бұрын
Yesu awasamehe
@EmmanuelBayo-el5xl
@EmmanuelBayo-el5xl 5 күн бұрын
M23 kwasasa awa watu wako naiba magari za watu apa Goma na kubomola manyumba ku iba vitu wana peleka Rwanda kisha kiongozi wao ana tuambia ana taka amani uka ona gizi saii watu wana teseka apa Goma 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢 duka zote bana iba bitu biko nabiamichia Rwanda kweli watu wanarudia wama sikini ila kwauwezo wa mungu awa watu mwaka ii awata ishi kwaamani mungu kwarusa yako walainiwe maisha yao yote
@mlaky-SKM
@mlaky-SKM 4 күн бұрын
Poleni sana Mungu awashindie mpate amani 🙏🏽
@sgjjkwbueow
@sgjjkwbueow 4 күн бұрын
Pole I sana ndugu zetu wakongo, huyo kiongozi anajifanya anatetea Mali za wanyonge huku anawaua wanyonge
@ASMAFILMS001
@ASMAFILMS001 4 күн бұрын
WHO
@storytownTv
@storytownTv 5 күн бұрын
"Waasi wanaungwa mkono na Rwanda" hii sentensi inaonekana vyombo vya abari vyote mmehongwa na maneberu kuitumia ili watu wawachukie mashujaa wanaopambania ardhi na nchi yao kutoka kwenye utumwa..😢
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 5 күн бұрын
Hina akili ww,mbunge wa Belgium nae kahongwa na nani
@HamisSaidi-h3u
@HamisSaidi-h3u 5 күн бұрын
Kweli Weus ni Weus tu Tuna Uana kwaajili ya Mali wanazo Beba Weupe 🙆🏿
@RhodaPaul-lw5pq
@RhodaPaul-lw5pq 5 күн бұрын
Wangekuwa na huo utu wangeweza kuwauwa binadamu wenzao😢😢😢 MUNGU utunusuru tujaalie mwisho mwema
@V.6ixEmmanuel-w2g
@V.6ixEmmanuel-w2g 5 күн бұрын
Mungu atanyooxha mkono wake
@JsJs-e6h
@JsJs-e6h 4 күн бұрын
MARAIS WA AFRICA SADEC MPO WAPI KAMA HAMUONI KISA WANAFAZILIWA NA WAZUNGU RAIS WA DRC HANA CHA KUPOTEZA FAMILIA YAKE IPO UFARANSA MAKABWELA WENZETU WANAKWISHA AFRICA BARA RAGIZA
@Mumewangu
@Mumewangu 5 күн бұрын
M23 wamepata kipigo kikubwa. Wamenikera sana manake wamewauwa wanajeshi wetu wa Tanzania .
@fadhili_masoi
@fadhili_masoi 5 күн бұрын
so sad 😞 😔
@dancerboy2686
@dancerboy2686 5 күн бұрын
Ni huzuni sana
@joshuachimwejo5892
@joshuachimwejo5892 5 күн бұрын
Kama kweli Rwanda wanahusika, basi hako kataifa kalaaniwe!
@hamisimkulu6571
@hamisimkulu6571 5 күн бұрын
Wananchi waondolewe halafu goma iwe uwanja wavita zipigwe mpaka kengele ya mwisho
@CesyBusumabu
@CesyBusumabu 5 күн бұрын
Unadhani vita ni simba na yanga kumbuka wanaopigana nao wanaroho na wanafamilia pia.​@@hamisimkulu6571
@twahahamidu6246
@twahahamidu6246 5 күн бұрын
😢😢😢😢
@stanleyamlima2085
@stanleyamlima2085 5 күн бұрын
Hawa wangekutana na benja netanyau tuuu.. ndio wangeelewaa
@philemornmutta1597
@philemornmutta1597 4 күн бұрын
Wamuue mkuu wao kwanza ndo nitawaelewa hawawez kuua wanajeshi wetu alafu wasitishe vita hakuna
@mathiaszakaria7052
@mathiaszakaria7052 5 күн бұрын
Wamezidiwa vita hao hiyo kusitisha mapigano ni mbinu yao
@amostv1864
@amostv1864 5 күн бұрын
Hivi wanaposema wamesitisha mapigano maana yake ni kwamba wataondoka na goma au bado wapo
@faustinesimon1240
@faustinesimon1240 5 күн бұрын
Why are they fighting
@anosiata8242
@anosiata8242 5 күн бұрын
M23 ni waongo wamezidiwa nguvu Nadhani wameenda kujipanga upya . Wameua wakongo 900 Leo wanaiambia dunia eti wamesitisha mapingano kwasababu ya utu. Ni waongo jeshi la kongo wasikubali wapinge hadi wawafikishe kwa kagame kigari. Wakongo msirudi nyuma . Hawa watu wanawazunga tu watarudi tena. Kuwavurunga
@hassanrashid-l3u
@hassanrashid-l3u 5 күн бұрын
Kumbe unazani tatizo watanzania mnaongeaga mambo ambyo hamyajui
@anosiata8242
@anosiata8242 5 күн бұрын
@ tuambiye wewe unachokijua
@twahahamidu6246
@twahahamidu6246 5 күн бұрын
Rwanda itengwe
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 5 күн бұрын
Mungu wangu watu wabauwawa kiasi hiki kisa madini tu Goma Congo kwanini wasimuue huyo Kagame
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 5 күн бұрын
Watu Wana roho mbaya sn
@samsmokertz9707
@samsmokertz9707 5 күн бұрын
wanaotambua hakiza binadamu hao sia waasi ni watetezi .....
@Lastbornecadet
@Lastbornecadet 5 күн бұрын
Watetezi baada yakuuwa watu 900 nyie ni ma k kweli
@samsmokertz9707
@samsmokertz9707 5 күн бұрын
@@Lastbornecadet watu 900 wamekufa ndio kama ilivyo ripotiwa lakini haimaanishi hao watu ni m23 wamewauwa wenyewe hata serikali ya kongo inahusika na hilo swala nyie tu ndo hamfatilii vizuri
@samsmokertz9707
@samsmokertz9707 5 күн бұрын
waasi walisema wamerudi vitani kwa sababu ya mauaji yanayoendelezwa na serikali ya congo napia juzi apa kulikua na jaribio mapinduzi ya kijeshi lakin walikamatwa napia kulikua na kuluna kilicho wakuta kila mtu anajua...
@samsmokertz9707
@samsmokertz9707 5 күн бұрын
hata ibrahim traore nae ni muasi usisahau hilo lakini anayofanya kila mtu ni shahidi ivi unazani LUMUMBA aliuliwa na waasi au serekali yake ...
@emmanuelsunday8325
@emmanuelsunday8325 5 күн бұрын
Hawa inatakiwa wafuatiliwe mipaka waangamizwe kabisa
@planethakunamatata5254
@planethakunamatata5254 5 күн бұрын
Tunaambiwa M23 ni jeshi lililoanzishwa kulinda kabila la watutsi, na pia eti wengi wao ni watutsi. Cha kushangaza kila nikiangalia picha zao naona watu wafupi weusi kama mimi na sura pana. Sijui ni watutsi wa wapi hawa🤔...au tuseme pande zote zinazopigana zimejaa mamluki
@thirdsigntzofficial
@thirdsigntzofficial 5 күн бұрын
Washachukua madini then they order watu wao kusitisha vita and then soon or later vita tena vinarudi. Swali ni je hadi lini taifa la Congo litaondokana na hii hali ili walijenge taifa lao?!
@VibeScott
@VibeScott 5 күн бұрын
Sasa apo ndipo pa kuwa pelekea moto uko uko mbaka wafike 100000 watoke kabisa kwanini wasitishe vita mbona wanapo vamia awa toi talifa peleka jeshi mbele wana enda kujipanga ao mbwa
@MathewKasubi
@MathewKasubi 5 күн бұрын
Sisi huku tanzania ukubbwa wa nchi ya rwanda ni sawa na ukubwa wa mkoa mmoja, sasa hako ka rwanda kange pigwa kote alafu kakasambaratishwa na ramani ikachorwa upya, kanakua ka seem kamoja kenye mikoa miwili kakiunganisha DRC . NA MOJA YA HIYO MIKOA HIYO NIPEWE MIMI NIWE MKUU WA MKOA MMOJA KATI YAZO
@masagaemmanuel1629
@masagaemmanuel1629 4 күн бұрын
DRC ni mara mbili ya Tanzania kwa ukubwa
@MirriamDevis
@MirriamDevis 5 күн бұрын
Kwani who is kagame mimi ningepiga mji wake kama iloshima
@sportsbezi6690
@sportsbezi6690 5 күн бұрын
Mtutu wa bunduki hauja wahi kumaliza vita hata siku moja. Huwezi maloza vita kwa bunduki
@MirriamDevis
@MirriamDevis 5 күн бұрын
@sportsbezi6690 namaliza vita nampinga aliyeanianza
@MirriamDevis
@MirriamDevis 5 күн бұрын
@sportsbezi6690 nikipiga iroshima unadhani watakuwepo hapo Rwanda
@MirriamDevis
@MirriamDevis 5 күн бұрын
@sportsbezi6690 bila maamuzi magumu hatutatoboa huyo tunamlea anajiona yy anajua kila kitu
@nicodemashaggite8429
@nicodemashaggite8429 4 күн бұрын
Matangazaji uko makini na unayosema!!!! WHO wamesema "angalau" watu 900 wamauawa!!!😢😢 Means wao walitamani vifo au!!! Ila haya mashirika yanayojiita ya kiutu😮 but tuko hapa Kwa sababu ya wasomi p😊bubu wa Afrika wasiofiki juu nchi zao
M23 waandaa mkutano Goma
8:44
BBC News Swahili
Рет қаралды 91 М.
Umoja wa Mataifa  wazungumzia mafao ya wanajeshi waliouawa DRC
16:33
Habari za UN
Рет қаралды 260 М.
Enceinte et en Bazard: Les Chroniques du Nettoyage ! 🚽✨
00:21
Two More French
Рет қаралды 42 МЛН
Quando eu quero Sushi (sem desperdiçar) 🍣
00:26
Los Wagners
Рет қаралды 15 МЛН
Quando A Diferença De Altura É Muito Grande 😲😂
00:12
Mari Maria
Рет қаралды 45 МЛН
EXCLUSIVE!! KIONGOZI WA M23 ATAJA SABABU KUIVAMIA CONGO, ATOA MWELEKEO
10:40
Goma DRC: M23 wasitisha vita
5:34
BBC News Swahili
Рет қаралды 46 М.
RAIS KAGAME AMLIPUA RAMAPHOSA, TSHISEKEDI AKIIBUA MAPYA VITA M23
7:52
Mwananchi Digital
Рет қаралды 50 М.
Enceinte et en Bazard: Les Chroniques du Nettoyage ! 🚽✨
00:21
Two More French
Рет қаралды 42 МЛН