AUAWA NA KUTUPWA CHEMBA YA MAJI TAKA TABATA, VIMEBAKI FUVU MIFUPA, NDUGU WAHISI NI BOAZ

  Рет қаралды 42,504

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 171
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 7 күн бұрын
Daahh utakuta ndugu zake wanamtafut mpk leo hawamuon kumbe yupo kweny chemba binadmu wabay sana
@DM_15
@DM_15 7 күн бұрын
Nimemuona daz baba raster man
@YacintaJames
@YacintaJames 7 күн бұрын
😭😭😭😭 inasikitisha!! Inabidi ibuniwe njia nyingine ya ujenzi wa mashimo ya majitaka, watu wameanza tabia ya kutumbukiza watu kwenye haya mashimo, naona umekuwa ndio mtindo wa wauaji
@easternyerembe7271
@easternyerembe7271 7 күн бұрын
Well said
@Salsabiil12
@Salsabiil12 7 күн бұрын
Yaaan sasahiv ni bora kuyaziiba kabisaaaaa
@HappyKaminyoge
@HappyKaminyoge 7 күн бұрын
Kabisa bola kuziba kabisa​@@Salsabiil12
@MwanahamisZuberi
@MwanahamisZuberi 7 күн бұрын
Nafikiri tungerudi kwenye mifumo ya zaman shimo lizibwe lote bakaki pa kupumulia2 ambapo kutakuwa na bomba la hewa2 ubana wake hata ukitaka kutoa majitaka unaweza mana sasa styl za mauaji ni kuzam8shana kwenye machemba
@AshuuuBakari
@AshuuuBakari 7 күн бұрын
Njia ipo inatakiwa chemba liwe na mfuniko mzito ukiwa unafungwa na kufuli pia juu pale kwa ndani kuwe na nyavu ukibakiza tundo la kupitishia pampu ya maji taka
@Zuuh107
@Zuuh107 7 күн бұрын
Subhanaallah sasa kumua kapata faida gani angali hata yeye muuaji atakufa unapo ua mtu ujue kabsa unamzulum nafc yake hutawahi ishi kwa amani😢😢😢
@JesseSarro
@JesseSarro 6 күн бұрын
Ni staili mpya ya wauaji Mungu tunusuru kama mama wa watu aliyetumbukizwa na ndugu zake kisa mali
@SmilingCityMap-xb9md
@SmilingCityMap-xb9md 7 күн бұрын
Mm jamani wanadamu tunajidanganya umeuwa kwa sili na kuficha yshahidi lakini kwa akili ndogo unajiona umewini lakini kumbuka na wewe ni nyama na hujui mwisho wako utaishiaje maana mungu hulipa hapa hapa duniani hutakwepa mtego wa mungu atakunasa tu hutakwepa
@Salsabiil12
@Salsabiil12 6 күн бұрын
@@SmilingCityMap-xb9md naam swahihi
@sofitanzanian955
@sofitanzanian955 7 күн бұрын
Mtihani wallah binadamu tumekuwa naroho mbaya
@JohansenBashange
@JohansenBashange 7 күн бұрын
Namuona Daz baba Poleni wafiwa
@HappyPallangyo-vt7xx
@HappyPallangyo-vt7xx 7 күн бұрын
hizi chemba zimekuwa hatari kuliko
@remigiusrwechungula7047
@remigiusrwechungula7047 7 күн бұрын
Nani kamuona Daz Baba hapo💪💪💪💪💪
@ThabitiGunge
@ThabitiGunge 7 күн бұрын
Mimi
@HammyJuma
@HammyJuma 7 күн бұрын
Mim
@frankngoloka5416
@frankngoloka5416 7 күн бұрын
Angalieni mambo ya msingi au sikilizeni inaweza ikawa ndugu yako aliyetupwa hapo,wabongo bwana
@HemedBakari-e4e
@HemedBakari-e4e 3 күн бұрын
Mbegu umenena​@@frankngoloka5416
@easternyerembe7271
@easternyerembe7271 7 күн бұрын
Cku hizi chemba Ndo zimekuwa sehemu ya mauwaji dah😢
@marykennedymarwa1641
@marykennedymarwa1641 7 күн бұрын
Hayo mashimo yajengwe kama ulaya , kama mfumo huo utawezekana , vinginevyo watu watatumbukizana humo balaa. 😢
@michaelmulokozi1512
@michaelmulokozi1512 7 күн бұрын
Daz Baba vipi tena
@solomonlissu1408
@solomonlissu1408 7 күн бұрын
Uku Jamaa kaingiza demu kafia geto kamtumbukiza kajua kamaliza kes
@HusnaSaidi-ge9ei
@HusnaSaidi-ge9ei 5 күн бұрын
umewaza kama mimi
@AholeLifilima
@AholeLifilima 5 күн бұрын
Hata mm nimewaza ivoivo au dada poa uwii allah huakbar
@leokamil6284
@leokamil6284 7 күн бұрын
Sjui Tz yetu ila nchi za watu wanateknolojia ya kuitafiti mifupa mpaka wanauwezo wa kujua huyo ni jinsi gani .Ila sjui kama kuna mtu atashughulika kwa hili ,nikikumbuka waliwahi kukuta miili baharini na ikaisha kimyaaa tu kama hawakuwa watu kitu ambacho kwa wenzetu isingeishia kimya ki hivyo.
@edwinregnald5826
@edwinregnald5826 7 күн бұрын
Hili kujua jinsia lazima mwili upelekwe hospitali kwa uchunguzi zaidi kwa bongo nahis kwa wenzetu wataalam wote ufika eneo la tukio na kufahamu hapo kwa papo
@PriscusRobart
@PriscusRobart 7 күн бұрын
Binadamu nizaidi y dubu kw unyama wake😭😭😭
@IreneMacha-d5q
@IreneMacha-d5q 7 күн бұрын
Mungu nipe mwisho mwema
@mariamkikula1614
@mariamkikula1614 7 күн бұрын
Hili ndo la kuomba
@IreneMacha-d5q
@IreneMacha-d5q 7 күн бұрын
@mariamkikula1614 tuombeane Sasa mamo
@JamilaJumanne-u7q
@JamilaJumanne-u7q 7 күн бұрын
Ameeen YARRAB
@hamadsuleiman5177
@hamadsuleiman5177 7 күн бұрын
Kwa kweli
@HaniffaOmary
@HaniffaOmary 7 күн бұрын
Damu yamtu haiendagi bule😢
@Thisisgrace979
@Thisisgrace979 7 күн бұрын
Kweli kabisa.
@khadjamhozya
@khadjamhozya 7 күн бұрын
Mbona tayali ishaenda bule
@EstherWilfred-d2m
@EstherWilfred-d2m 7 күн бұрын
​@@khadjamhozyawalioua watatambulika ndomaana tunasema damu ya mtu haiendi bure
@paschalmgashi6704
@paschalmgashi6704 4 күн бұрын
Mtaan kwao hapo daz mwalimu
@gloryelimkatesh
@gloryelimkatesh 7 күн бұрын
Dunia imekwish jmn daaah mungu turehemu
@michaelsamson9663
@michaelsamson9663 22 сағат бұрын
😢😢 itakuwa alimnunua dem wakiwa wamelewa kamfia mwamba itakuwa aliona akwepe msala
@fatmaathumani7116
@fatmaathumani7116 6 күн бұрын
Damu ya mtu haiendi bure 😢😢😢 Mungu awaaibishe wote walio husika kwenye hilo tukio 😢😢 hv unapata wapi nguvu ya kukaa kwa amani hali ya kua una dhambi ya kumtia mtu kwenye chemba 😢😢
@shyfettymtunda4619
@shyfettymtunda4619 7 күн бұрын
Mbona imekuwa trend kuuwa watu na kuwatupia kwenye vyemba vya vyoo?? Jamaniiii tumuogope Mungu. Au hivi vyemba tuanze kuviwekea nondo hapa kwenye uwazi??🤔
@Salsabiil12
@Salsabiil12 6 күн бұрын
@@shyfettymtunda4619 enheee ni kweli wazo zur
@MwitaSenso
@MwitaSenso 7 күн бұрын
Tanzania Ina sifika kwa aman dunian kote lakn ukatil wa chn chn umekisir
@FloraJulius-v9x
@FloraJulius-v9x 7 күн бұрын
Duuh dunia imeishwa, Mungu atusaidiee na kuturehemu.
@dicksonkilupa2258
@dicksonkilupa2258 7 күн бұрын
Hilo chemba liko nje ama ndani uani? Je hiyo ni nyumba ya kununua ama ya kujenga mwenyewe? je mahusisno ya wakaaji hapo ni yepi? mengine police tusaidieni namna ya kuhoji.
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 7 күн бұрын
Innalillahi wainnailahi rajuun. Allahu akibarr.
@NoviaRaphael
@NoviaRaphael 7 күн бұрын
Ee mwenyezi MUNGU naomba utupe mwisho mwema sisi waja wako😢jamani binadam kwanini lakini 😮 Mwenyezi MUNGU amupunguzie adhabu ya kaburi marehemu sisi sote kwake tutarejea 😢
@sophiakimaro5174
@sophiakimaro5174 7 күн бұрын
Damu ya mtu hainyamazi kweli nimeamini.hao waliofanya walihisi ni sehemu salama kabisa bila kujua kama hilo shimo litajaa.Mungu asaidie marehemu apate haki.
@tylortech
@tylortech 7 күн бұрын
Legend Daz baba
@dayana5513story
@dayana5513story 7 күн бұрын
Saiv ukikutana binadamu kimbia
@nyamogafamily9549
@nyamogafamily9549 7 күн бұрын
Mmh sasa tutaishi vip
@khadjamhozya
@khadjamhozya 7 күн бұрын
​@@nyamogafamily9549do maana sitaki urafiki na mutu, Ni Salam tu baasi napita zangu
@PatriciaBoniface-v6q
@PatriciaBoniface-v6q 7 күн бұрын
Toka mbiooooo maana uchelewi kufa
@MariamAlly-j2g
@MariamAlly-j2g 7 күн бұрын
Subhana llah subhana llah
@praisesteven7774
@praisesteven7774 7 күн бұрын
mwnyew nyumba anajuaaa kila kitu
@asiansky9767
@asiansky9767 7 күн бұрын
Basi na ww unajua punguza tui itie mchele
@HusnaMTITIKO-w3p
@HusnaMTITIKO-w3p 6 күн бұрын
Wee fala kwel mwenye nyumba anajuaje na unasikia hiyo yumba wanakaa wapangaji pekee
@sund2553
@sund2553 6 күн бұрын
Damu ya.mtu haiendi bure alieuwa alijua siri kamaliza Mungu anaenda kumuumbua wakipima fingerprint
@iamjanemapozi2079
@iamjanemapozi2079 6 күн бұрын
Daz baba hala❤
@ilakozasembumende1975
@ilakozasembumende1975 7 күн бұрын
Damu ya mtu jamani masikin haiendi bure 😢😢😢😢
@Vick-9o-c
@Vick-9o-c 7 күн бұрын
True
@khadjamhozya
@khadjamhozya 7 күн бұрын
Usinichekeshe🤣 mbona ishaenda bule
@ilakozasembumende1975
@ilakozasembumende1975 7 күн бұрын
@ 😭😭😭😭😭😭 itawalilia tuuu walio fanya huo unyama
@aishajuma18
@aishajuma18 7 күн бұрын
​@@khadjamhozyaimeende bule sasa wakati kama wataamua kufatilia itajulikana tu kama kauawa na muuaji atashikwa labda kama wataamua kunyamazia
@EstherWilfred-d2m
@EstherWilfred-d2m 7 күн бұрын
​@@khadjamhozya kauli ya damu ya mtu haiendi bure inamaanisha wauaji watapatikana
@SidaliyaMaumbe
@SidaliyaMaumbe 7 күн бұрын
Mauwaji ya kutumbukiza watu kwenye machemba yameanza siku nyingi sasa mungu anaonyesha sasa
@KamisaRamdan
@KamisaRamdan 7 күн бұрын
Ewe mungu tusaindie 😂😂😂😂😂😂
@JanethKiando
@JanethKiando 6 күн бұрын
Unalia na unasema unamuota mtu kumbe yupo ndani kwenye chemba😮😮😮
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 7 күн бұрын
MUNGU Wangu 😢😢😢
@AsmaAbdalah-v7e
@AsmaAbdalah-v7e 7 күн бұрын
Aiseeee😢😢😢😢😢naogopa mimi jamani
@AbdallahJuma-sn1ri
@AbdallahJuma-sn1ri 7 күн бұрын
Allah atustir
@Ali-uh9wb
@Ali-uh9wb 7 күн бұрын
@AsmaAbdallah-v7*unaogopa nn ww 😂
@2116-n
@2116-n 7 күн бұрын
Km nimemuona daz baba!?
@ziadasalimu1730
@ziadasalimu1730 7 күн бұрын
Nguo zilizokutwa je? Ni zakiume au zakike?
@marychongoro9476
@marychongoro9476 7 күн бұрын
Hakim ni Mungu 😭😭😭
@GloryMalisa-g7c
@GloryMalisa-g7c 7 күн бұрын
Dah... nothing to say ila wanaoishi apo wachunguzwe
@happinessmosala2217
@happinessmosala2217 7 күн бұрын
Mbona hayo matukio ya kutupa watu kwenye chemba yamekidhiri Tz😮
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 7 күн бұрын
Jmn ukute ndugu wanatafuta 😢
@sofitanzanian955
@sofitanzanian955 7 күн бұрын
Mtihani dahh
@cheiknamouna2058
@cheiknamouna2058 6 күн бұрын
Mmeanza kuzika watu hai kwenye machemba ya vyoo hii tabia imeanza kuongezeka kwa kasi sana
@neemamasimba2981
@neemamasimba2981 7 күн бұрын
Millad nina jambo nashindwa kuwapata naomba no ya cm tafadhali
@Jackking-f5o
@Jackking-f5o 7 күн бұрын
Hata mimi nashindwa ninajambo kubwa sana ninawaombeni sana mnisaidie ukiipata unitumie bas wengine wanampataje
@methodiutou7278
@methodiutou7278 7 күн бұрын
Damu ya Mtu haipotei Bure! Hata upite muda gani
@jonathanmsofu8819
@jonathanmsofu8819 7 күн бұрын
Tukio la kusikitisha, lakini pamoja na yote, Niko najiuliza kwann askari wameenda na silaha za moto kwnye Hilo tukio...ila nchi yetu bwana😂
@Furahinikatkabwana
@Furahinikatkabwana 7 күн бұрын
Jaman tunaenda wap
@youthchanel8612
@youthchanel8612 7 күн бұрын
Huyo boaz alikuwa akiishi hapo
@sophiaazizingaiwa3857
@sophiaazizingaiwa3857 6 күн бұрын
Anaweza asiishi hapo lkn akaletwa tu hapo na umauti ukamkuta Kwan hujawai kusikia watu wameuliwa maporini huko
@ziadasalimu1730
@ziadasalimu1730 7 күн бұрын
Jamani kwahiyo hao waliokuwa wanakaa hapo kwenye chemba je? Hawakusikia harufu
@NuruZumba-dk5is
@NuruZumba-dk5is 7 күн бұрын
Jamani mmmh mbona binadamu tuna roho mbaya sana?
@JannatBhanji-d2w
@JannatBhanji-d2w 7 күн бұрын
Mshaanza uzushi. Taarifa ya mifupa ya binadam ishageuka Boaz
@nuruchohora2300
@nuruchohora2300 7 күн бұрын
Dunia inaogopesha hii sasa hiv jamn
@richytarimo4656
@richytarimo4656 7 күн бұрын
kwahyo mm peke yangu ndo nimemuona Daz baba
@AshuuuBakari
@AshuuuBakari 7 күн бұрын
Mmmh subhannallah jamani jamani
@JAMBOBoy-v3k
@JAMBOBoy-v3k 7 күн бұрын
BORA UKUTANE NA FISI UTAJUA KAZI YAKE NI KUTAFUNA WATU. KULIKO MTU ALIYEVAA SUTI I SEE🙌🙌🙌
@eliyasanga6374
@eliyasanga6374 7 күн бұрын
Kwani nguo zinazo onekana ni zakike Au zakiume katika njemba maana hawasemi ukweli Au nguo hazionekani zimehalibika
@SALEHSALEH-lk5jr
@SALEHSALEH-lk5jr 7 күн бұрын
Nguo haziwezi kuthibitisha kama ni wa kike au wa kiume, maana kuna yule jamaa aliyejinyonga juzi arusha alivaa gauni la kike wakati yeye ni mwanamme
@nantaembanusurupia5674
@nantaembanusurupia5674 7 күн бұрын
Na watu tunachanganya sana mavazi​@@SALEHSALEH-lk5jr
@festohaule9716
@festohaule9716 7 күн бұрын
Binadamu washenzi Sana sana... Damu ya Mtu haipotei buleee 😂😂😂😂
@emmanuellupiga
@emmanuellupiga 7 күн бұрын
ndo kusema hujui matumiz ya emoji
@festohaule9716
@festohaule9716 7 күн бұрын
@emmanuellupiga Muulize Mama yako!!!Emoji inatumika kutokana na hisia za Mtu !!!!!
@emmanuellupiga
@emmanuellupiga 7 күн бұрын
so unachekelea mtu kutupwa humo i wonder
@festohaule9716
@festohaule9716 7 күн бұрын
@emmanuellupiga Wewe jamaa mbona kama unanitafuta ubaya!!!
@sophiamgeri
@sophiamgeri 7 күн бұрын
Huko wanadamu baadhi, walimofikia ni pabaya sana, hakika alifisha kuuwa mtu na kumtumbukiza, akijua siri,lk MUNGU, alimuona tangia anamuumba, kuwa atakuja uwa mtu huyu, dhambi ya kaini, inamlilia ardhini.
@joyeemollel2092
@joyeemollel2092 7 күн бұрын
Yesu watu wamekuwa makatili
@MWANAHAMISIOTTO
@MWANAHAMISIOTTO Күн бұрын
Hizo nguo nizakike au
@sabteectanzaniaLimited
@sabteectanzaniaLimited 7 күн бұрын
Mungu kwanini haya yanatokea kwanini umeruhusu yatokee
@robertservas1953
@robertservas1953 4 күн бұрын
hvi ni kama vipindi vya CBS REALITY WATU WA FORENSIC WAJE
@fatmaalnabhani3609
@fatmaalnabhani3609 7 күн бұрын
Huu ni wakati wa kuuwana kinyama 😮😮
@aishaibrahim5607
@aishaibrahim5607 7 күн бұрын
inamaana ata majiran hawajajua ni ntu gn haonekani mtaani jmn
@erickodorick9523
@erickodorick9523 7 күн бұрын
Vipi kama ni mtu katokea mtaa mwingine huko? Au labda demu kaletwa na jamaa yake kutoka mkoa mwingine kafia geto mwamba kaamua kumtupia humo?
@aishaibrahim5607
@aishaibrahim5607 7 күн бұрын
@erickodorick9523 mybe
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 7 күн бұрын
Sasa wapangaji ndo msijiue mwenzenu yuko wapi ? Jmn hapana wapangaji waseme vzr
@esthernkwamba
@esthernkwamba 7 күн бұрын
Inawezekana huYo aliYE sababisha ameshahama...
@leokamil6284
@leokamil6284 7 күн бұрын
Tanzania nchi yetu nini kinaendelea 😢
@TatoTato-t7s
@TatoTato-t7s 7 күн бұрын
Ufatilie tutupe mlejesho
@totobest6913
@totobest6913 7 күн бұрын
Namuona dazibaba
@HASSANBAKARI-q9c
@HASSANBAKARI-q9c 7 күн бұрын
UMBO NAMBA 8 YULEEE.
@Kristen-y2b
@Kristen-y2b 7 күн бұрын
Awowenye wanaishi apo wakamatwe ndo wamefaa hivovitu
@JannatBhanji-d2w
@JannatBhanji-d2w 7 күн бұрын
Wataalam watumie carbon 14 kujua kinasaba
@gabrielmwasapi5779
@gabrielmwasapi5779 7 күн бұрын
Duh n balaa
@shangwefisima54
@shangwefisima54 7 күн бұрын
Uwiiiiiii
@AbiaWilliam-s1s
@AbiaWilliam-s1s 7 күн бұрын
Bwana tunakuomba utupe mwisho mwema ss na jamaa zetu ameni
@Byme6434
@Byme6434 7 күн бұрын
Mm naona Waanze Na Aliyeita Gari la Maji Taka Na Vipi Wanazengo Wenzangu Waje Hapo na Kuanza Story Za Boaz Inamaana Huyo Boaz Anaukaribu na Hiyo Nyumba?
@mwanakhamisimwinyimatano1185
@mwanakhamisimwinyimatano1185 7 күн бұрын
Inna lilah waina ilah rajiuun😢😢
@EmmanuelNdahya-ud5nj
@EmmanuelNdahya-ud5nj 7 күн бұрын
Tabata upi gani
@annamussa185
@annamussa185 7 күн бұрын
Wakamatwe wote kwenye nyumbani hiyo ili waseme ukweli
@victorernest7702
@victorernest7702 7 күн бұрын
Daz baba
@joycefrances4516
@joycefrances4516 7 күн бұрын
Chemba zizibwe ziachwe kdg sn tundu
@khadjamhozya
@khadjamhozya 7 күн бұрын
Sahihi
@magejuliani5293
@magejuliani5293 7 күн бұрын
Siku hizi Watu wamekuwa wanyama
@lisawilliam2491
@lisawilliam2491 7 күн бұрын
heeeeh LORD
@yukundapeter8200
@yukundapeter8200 7 күн бұрын
Hixo mbwa likamatwe,xinsjua.
@SalvatoryMtunga
@SalvatoryMtunga 7 күн бұрын
Usipende kuhukumu watu, sasa mwenye nyumba anahusikaje, tuseme na wewe unahusika?
@KulthumRashidmusa
@KulthumRashidmusa 7 күн бұрын
Jamaica.wenye.mabaroa.wafunike.mifuniko.yao.na.makufuli
@meshackpatrick6981
@meshackpatrick6981 7 күн бұрын
Prosmoterm ifanyike
@SalmaOmary-b8v
@SalmaOmary-b8v 7 күн бұрын
😢😢😢
@yukundapeter8200
@yukundapeter8200 7 күн бұрын
Hayo mapangaji yatafutwe yanyongwe
@marthageorge5043
@marthageorge5043 7 күн бұрын
😭😭😭😭😭
@edmundnkarangu134
@edmundnkarangu134 7 күн бұрын
😭😭😭🙏
@ericmpwagi720
@ericmpwagi720 6 күн бұрын
Some GOP Senators on January 6 at Capital, were seen running for their life and today during the hearing of Kash Patel Conformation to be FBI Director, they have forgotten what happened that day and they now support for Kash Patel who was one who was involved at killings and beating of Police of Police Officers.
@surusuru1994
@surusuru1994 7 күн бұрын
Munauwana kam izi duh
@JahedaSalmin
@JahedaSalmin 7 күн бұрын
😢😢😢😢😢
@PriscarKandonga
@PriscarKandonga 7 күн бұрын
Kwakweli akili za Mungu hazichunguziki weee
Chain Game Strong ⛓️
00:21
Anwar Jibawi
Рет қаралды 41 МЛН
Support each other🤝
00:31
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 81 МЛН
RR7125 TRANSKEI: SOUTH AFRICA'S BANTU HOMELAND
26:11
AP Archive
Рет қаралды 38 М.
Inside the $1 Trillion Fight In An Exotic Indonesian Jungle
11:55
Bloomberg Originals
Рет қаралды 94 М.