MIMI SIKUBEBWA NA MAGUFULI| NISIPOMTAJA DKT. SAMIA UNATAKA NIMTAJE NANI?| NI KUIKEJELI TU KATIBA.

  Рет қаралды 12,033

Wasafi Media

Wasafi Media

26 күн бұрын

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 48
@JohnJoseph-qq7ow
@JohnJoseph-qq7ow 24 күн бұрын
Nyie kubalini tuu magufuli aliwaPitisha kwa nguvu sasa hivi mnamtukana magufuli nae alijichanganya kujaza ccm bungeni ona sasa bandari zetu zimeuzwa, MUNGU Tusaidie bunge letu la ovyo sana
@liberatusjackson5045
@liberatusjackson5045 24 күн бұрын
Magu 😂😂😂😂mshamba sana
@flavourboyke
@flavourboyke 24 күн бұрын
Kujeni huku kenya tuwafunze jinsi ya kupambana na bunge😂
@issaidrisamusa5962
@issaidrisamusa5962 24 күн бұрын
Wananchi tutakuuliza umefanya nini ? Maana kila kitu Raisi
@eladiuspeter586
@eladiuspeter586 24 күн бұрын
Wewe kwenye Music uko Vzur. Ila kwenye Ubunge ww bado sana
@user-qx4pc3rx8g
@user-qx4pc3rx8g 22 күн бұрын
Sahivi mnamkana mlipita Kwa mgongo wa Magufuli subrin awamu ijayo
@mossessimon2493
@mossessimon2493 24 күн бұрын
Jamaa anaonesha kuwa ni kiazi sana ukimsikiliza tu!
@iddiramadhani5111
@iddiramadhani5111 24 күн бұрын
ama kweli tz tunamatatizo sana.
@mwalimumstaafu8529
@mwalimumstaafu8529 24 күн бұрын
Body language yake inadhihirisha hayo. Tale huna sifa ya kuwa mbunge kama unabisha subiri 2025 utajua kama ulibebwa na Magu au la hasha.
@allahisone6386
@allahisone6386 22 күн бұрын
HHHH Ndiooo_🤦🏿‍♀️
@RabihuHussein
@RabihuHussein 10 күн бұрын
Hahahhaahaa! basi tuone kama safari hii utatoboa🤣🤣🤣🤣
@abel_esam
@abel_esam 24 күн бұрын
Kazi ya Bunge pia ni kutunga sheria .Kwa zama hizi ni muhimu mbunge kua na elimu. Kujia kusoma na kuandika tu haitoshi
@robertmkude8234
@robertmkude8234 24 күн бұрын
Nchi karibuni zote Duniani katiba zao zinasema hivo. Kuwa mwakilishi wa Wananchi unatakiwa uwe unajua kusoma na kuandika na umri sahihi ambao unaweza kuwa tofauti nchi na nchi. Nyie Wabongo mna shida sana na kufikiri Udaktari au Uprofesa ndio requirements. Ukiangalia matatizo mengi yanasababishwa na hao hao wasomi kwenye Wizara na Viongozi mbalimbali. Hebu angalieni uwezo wa watu kwenye nyanja tofauti tofauti,msiwe dick strong on Western education. Panapohitajika elimu basi na iwe hivo,lakini sio kila kitu.
@abumuhammad7802
@abumuhammad7802 20 күн бұрын
Kwetu Kenya elimu Kwa mbunge ni muhimu Kwa sababu Kuna book keeping. Ukiwa hujasoma utajikuta mahakamani Kwa maana waliosima wataina kutumia jina kako
@user-yx3ic8zy9e
@user-yx3ic8zy9e 24 күн бұрын
Osca umenikosha ati mbeleko ndo ile ile mama alivyotuweka mgongoni akatufunga mbeleko 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👋🤣🤣🤣
@allahisone6386
@allahisone6386 22 күн бұрын
HHHH Ndiooo_🤦🏿‍♀️
@user-uk4he5gn1m
@user-uk4he5gn1m 24 күн бұрын
Magufuli ndo aliwaweka bungeni wamshukuru tyu waache uwongo😅
@lilhydon452
@lilhydon452 24 күн бұрын
Hakukua na njia na vituo vya afya na cccm ndo walikua mamlakani 😂😂wewe huoni apa Kuna hatari?
@azariamarembo3653
@azariamarembo3653 24 күн бұрын
Sasa subiri 2025 ndio utajua ulibebwa inatakiwa umshukuru JPm
@issaakena1970
@issaakena1970 18 күн бұрын
Kweli ukifa wote wanakukataaaaa….😂😂😂😂😂😂
@Darian2550
@Darian2550 21 күн бұрын
30 kilomita kwenda shule asubuhi na 30km kurudi jioni....
@mackrankagenzi5236
@mackrankagenzi5236 24 күн бұрын
Nmepoteza muda wangu kusikiliza hii kitu ,Ovyoo kabisa 😢😢 hawa ndo watu tunawategemea kuleta mapinduzi kwemye hii nchi kweli ?? Hawa ndo viongozi tegemezi kweli ?? Tz ploen 😢😢 2025 ndo utaelewa kama ulibebwa au la !!
@TheSalma1999
@TheSalma1999 21 күн бұрын
Hapo kwenye elimu nimependa alivyojibu ana hekima sana huyu ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@Fred-Ma
@Fred-Ma 20 күн бұрын
Mnara unajengwa na Serikali? Asante nimejifunza.
@erickrichard3134
@erickrichard3134 23 күн бұрын
Oscaosca utafika mbali maswali yako so poa ume pita mle mle
@aloycekomba1
@aloycekomba1 24 күн бұрын
Toka zako wew muongo mkubwa
@pascalmsechu6874
@pascalmsechu6874 24 күн бұрын
Kura 80 mmmhh..? Subirin 2025 mpambane wenyewe tuone
@user-xm2wm2oc5w
@user-xm2wm2oc5w 24 күн бұрын
uyu ndio mbunge wetu wa morogoro kusini mashariki m
@tomsijohni
@tomsijohni 22 күн бұрын
Kumbe kenya imeshitua game kipindi hiiki cha Wasafi watu wengi walikua awafatilii ata comment walikua awa comment ila mambo ya kenya naona comment ni nyingi ongereni wanaichi kwa kushituka kwenye usingizi😂😂
@youngyayoo2805
@youngyayoo2805 24 күн бұрын
Tale sio mwanasiasa,ulipewa ww,pesa inatolewa na serikali ama rais?
@sebastiansalamba313
@sebastiansalamba313 24 күн бұрын
Mnamtaja magufuli nyinyi ,mwacheni apumzike msiokuwa na shukrani
@yussufritzy7684
@yussufritzy7684 24 күн бұрын
Una uhakika uko amepumzika?
@MauBonde
@MauBonde 24 күн бұрын
Kiukweli kipindi cha magufuli kulikua hakuna demokrasia huru kuna mambo mengi tuliyaona ila tunaipenda amani ,na tunataka viongozi wote siasa na uzalendo na uchungu wa nchi kwa maslahi ya wananchi....tukitaka maendeleo tukitaka ubepari endeleeni na huo mfumo.....
@rehemakarafuu-xi1py
@rehemakarafuu-xi1py 17 күн бұрын
Kilaza tu ww hakuna unachongea bungeni
@abdallahngoe
@abdallahngoe 24 күн бұрын
Kampeni za mapema mapema hizi...
@augustinesombi6285
@augustinesombi6285 17 күн бұрын
Wakuu acheni hzo roho,,, mwendazake ndo aliyewaweka kazn, acheni hizo bhana
@sonnyr1899
@sonnyr1899 24 күн бұрын
Magu ukimbeza tu basi wananchi wanakusubiri 2025
@ramadhaningulinga217
@ramadhaningulinga217 23 күн бұрын
Kiazi 😂😂😂
@taylorkasitu3819
@taylorkasitu3819 23 күн бұрын
Wewe una sifa ulipewa ubunge kwa uchawa na uchafuzi wa dickteta uchwara hakuna mwenye akili timamu akuchague kama mbunge
@mossessimon2493
@mossessimon2493 24 күн бұрын
Hamna mtu humo kwa kwelii!
@IddiMaya
@IddiMaya 23 күн бұрын
Unaweza kufeli jimboni kwako kwa mdomo wako mwenyewe jifunze sana kushukur
@user-sr6tr7ko7w
@user-sr6tr7ko7w 17 күн бұрын
Huyu tale mpumbavu, utakataaje kuwa hukubebwa na magu? Acha uongo magu kawapa saport sana
@erickrichard3134
@erickrichard3134 23 күн бұрын
Subiri 2025 uli bebwa
@nassorntandu4513
@nassorntandu4513 15 күн бұрын
Bado hujasema! Wabunge bado hamuoneshi mikakati yenu katika kufungua fursa za makundi makuu kama vijana, wazee, walemavu na wanawake. kwenye jimbo kama hatuwezi kupambana na changamoto zao bado huoneshi uwezo wao wa kuweka mazingira ya wanachi wako kujiletea maendeleo, -
@IddiMaya
@IddiMaya 23 күн бұрын
C
@drallan6879
@drallan6879 21 күн бұрын
sasa wewe ni std 7? wabunge Kama nyie mmepitwa na wakati
@user-we7uq1qh7p
@user-we7uq1qh7p 24 күн бұрын
Magufuli anatumika nawatu wamesoma huyo kasomea wapi kwan 😅 machawa hao magufuli anatumika namajeshi uyo unamuonaj taweza wauza sura hao acha kelele wanashindwa kuwapa kazi vijana wamesoma wanawapa nyie akuna lolote wizi tu kweny serekali munakula mosaada ya wana inchi kenge nyiyee
Пранк пошел не по плану…🥲
00:59
Саша Квашеная
Рет қаралды 6 МЛН
🤔Какой Орган самый длинный ? #shorts
00:42
🔴Taarifa ya Habari ya Saa Mbili Usiku, 28 Julai 2024
ITV Tanzania
Рет қаралды 1,5 М.
YOMBO KIZIMBANI - KESI YA KUKOPA BANK
11:36
Yombo Comedy
Рет қаралды 332 М.
Rabbit doesn't know who hit her#Short #Officer Rabbit #angel
0:46
兔子警官
Рет қаралды 20 МЛН
Во сколько смотришь? Заливаю в 10-22😉
0:36
Юлия Смирнова
Рет қаралды 1,6 МЛН
настоящий чемпион
0:59
QorabogTV
Рет қаралды 8 МЛН
Пранк над Махачевым🥶
0:19
FERMACHI
Рет қаралды 10 МЛН