Nyie kubalini tuu magufuli aliwaPitisha kwa nguvu sasa hivi mnamtukana magufuli nae alijichanganya kujaza ccm bungeni ona sasa bandari zetu zimeuzwa, MUNGU Tusaidie bunge letu la ovyo sana
@liberatusjackson504524 күн бұрын
Magu 😂😂😂😂mshamba sana
@flavourboyke24 күн бұрын
Kujeni huku kenya tuwafunze jinsi ya kupambana na bunge😂
@issaidrisamusa596224 күн бұрын
Wananchi tutakuuliza umefanya nini ? Maana kila kitu Raisi
@eladiuspeter58624 күн бұрын
Wewe kwenye Music uko Vzur. Ila kwenye Ubunge ww bado sana
@user-qx4pc3rx8g22 күн бұрын
Sahivi mnamkana mlipita Kwa mgongo wa Magufuli subrin awamu ijayo
@mossessimon249324 күн бұрын
Jamaa anaonesha kuwa ni kiazi sana ukimsikiliza tu!
@iddiramadhani511124 күн бұрын
ama kweli tz tunamatatizo sana.
@mwalimumstaafu852924 күн бұрын
Body language yake inadhihirisha hayo. Tale huna sifa ya kuwa mbunge kama unabisha subiri 2025 utajua kama ulibebwa na Magu au la hasha.
@allahisone638622 күн бұрын
HHHH Ndiooo_🤦🏿♀️
@RabihuHussein10 күн бұрын
Hahahhaahaa! basi tuone kama safari hii utatoboa🤣🤣🤣🤣
@abel_esam24 күн бұрын
Kazi ya Bunge pia ni kutunga sheria .Kwa zama hizi ni muhimu mbunge kua na elimu. Kujia kusoma na kuandika tu haitoshi
@robertmkude823424 күн бұрын
Nchi karibuni zote Duniani katiba zao zinasema hivo. Kuwa mwakilishi wa Wananchi unatakiwa uwe unajua kusoma na kuandika na umri sahihi ambao unaweza kuwa tofauti nchi na nchi. Nyie Wabongo mna shida sana na kufikiri Udaktari au Uprofesa ndio requirements. Ukiangalia matatizo mengi yanasababishwa na hao hao wasomi kwenye Wizara na Viongozi mbalimbali. Hebu angalieni uwezo wa watu kwenye nyanja tofauti tofauti,msiwe dick strong on Western education. Panapohitajika elimu basi na iwe hivo,lakini sio kila kitu.
@abumuhammad780220 күн бұрын
Kwetu Kenya elimu Kwa mbunge ni muhimu Kwa sababu Kuna book keeping. Ukiwa hujasoma utajikuta mahakamani Kwa maana waliosima wataina kutumia jina kako
@user-yx3ic8zy9e24 күн бұрын
Osca umenikosha ati mbeleko ndo ile ile mama alivyotuweka mgongoni akatufunga mbeleko 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👋🤣🤣🤣
Hakukua na njia na vituo vya afya na cccm ndo walikua mamlakani 😂😂wewe huoni apa Kuna hatari?
@azariamarembo365324 күн бұрын
Sasa subiri 2025 ndio utajua ulibebwa inatakiwa umshukuru JPm
@issaakena197018 күн бұрын
Kweli ukifa wote wanakukataaaaa….😂😂😂😂😂😂
@Darian255021 күн бұрын
30 kilomita kwenda shule asubuhi na 30km kurudi jioni....
@mackrankagenzi523624 күн бұрын
Nmepoteza muda wangu kusikiliza hii kitu ,Ovyoo kabisa 😢😢 hawa ndo watu tunawategemea kuleta mapinduzi kwemye hii nchi kweli ?? Hawa ndo viongozi tegemezi kweli ?? Tz ploen 😢😢 2025 ndo utaelewa kama ulibebwa au la !!
@TheSalma199921 күн бұрын
Hapo kwenye elimu nimependa alivyojibu ana hekima sana huyu ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@Fred-Ma20 күн бұрын
Mnara unajengwa na Serikali? Asante nimejifunza.
@erickrichard313423 күн бұрын
Oscaosca utafika mbali maswali yako so poa ume pita mle mle
@aloycekomba124 күн бұрын
Toka zako wew muongo mkubwa
@pascalmsechu687424 күн бұрын
Kura 80 mmmhh..? Subirin 2025 mpambane wenyewe tuone
@user-xm2wm2oc5w24 күн бұрын
uyu ndio mbunge wetu wa morogoro kusini mashariki m
@tomsijohni22 күн бұрын
Kumbe kenya imeshitua game kipindi hiiki cha Wasafi watu wengi walikua awafatilii ata comment walikua awa comment ila mambo ya kenya naona comment ni nyingi ongereni wanaichi kwa kushituka kwenye usingizi😂😂
@youngyayoo280524 күн бұрын
Tale sio mwanasiasa,ulipewa ww,pesa inatolewa na serikali ama rais?
@sebastiansalamba31324 күн бұрын
Mnamtaja magufuli nyinyi ,mwacheni apumzike msiokuwa na shukrani
@yussufritzy768424 күн бұрын
Una uhakika uko amepumzika?
@MauBonde24 күн бұрын
Kiukweli kipindi cha magufuli kulikua hakuna demokrasia huru kuna mambo mengi tuliyaona ila tunaipenda amani ,na tunataka viongozi wote siasa na uzalendo na uchungu wa nchi kwa maslahi ya wananchi....tukitaka maendeleo tukitaka ubepari endeleeni na huo mfumo.....
Wewe una sifa ulipewa ubunge kwa uchawa na uchafuzi wa dickteta uchwara hakuna mwenye akili timamu akuchague kama mbunge
@mossessimon249324 күн бұрын
Hamna mtu humo kwa kwelii!
@IddiMaya23 күн бұрын
Unaweza kufeli jimboni kwako kwa mdomo wako mwenyewe jifunze sana kushukur
@user-sr6tr7ko7w17 күн бұрын
Huyu tale mpumbavu, utakataaje kuwa hukubebwa na magu? Acha uongo magu kawapa saport sana
@erickrichard313423 күн бұрын
Subiri 2025 uli bebwa
@nassorntandu451315 күн бұрын
Bado hujasema! Wabunge bado hamuoneshi mikakati yenu katika kufungua fursa za makundi makuu kama vijana, wazee, walemavu na wanawake. kwenye jimbo kama hatuwezi kupambana na changamoto zao bado huoneshi uwezo wao wa kuweka mazingira ya wanachi wako kujiletea maendeleo, -
@IddiMaya23 күн бұрын
C
@drallan687921 күн бұрын
sasa wewe ni std 7? wabunge Kama nyie mmepitwa na wakati
@user-we7uq1qh7p24 күн бұрын
Magufuli anatumika nawatu wamesoma huyo kasomea wapi kwan 😅 machawa hao magufuli anatumika namajeshi uyo unamuonaj taweza wauza sura hao acha kelele wanashindwa kuwapa kazi vijana wamesoma wanawapa nyie akuna lolote wizi tu kweny serekali munakula mosaada ya wana inchi kenge nyiyee