Рет қаралды 36,038
Watu wengi sana leo wameokolewa lkn bado wanatamani maisha ya watu ambaao bado hawajaokolewa. Wanakuja ndio kanisani, lkn maisha yao bado wanategemea nje. Je wafahamu madhara ya mkristo yanayompata kwa kutoka nje?
Mch na Mwl. Dr. MITIMINGI p. Senior Pastor #WCC +255 713 18 39 39