Am a good student in your class it has changed my family
@rehemamario17276 жыл бұрын
Mwz MUNGU aendelee kukubariki na family yako...hakika unatuponya kwa maneno yako yaliyojaa hekima na busara,najifunza mengi kupitia wewe..u change my life in good way..
@josej98886 жыл бұрын
Ahsante sana mchungaji kwa masomo yako mazuri MUNGU azidi kukubariki.
@drkaswalala7 жыл бұрын
Love care and concern Tuwajali wasijutie kuolewa
@cleopatrahaule42517 жыл бұрын
Mke ni Kama ualisipo mwagiliwa na kupaliliwa lazima life
@Purity4934 жыл бұрын
For sure 👍
@judithagwanda23046 жыл бұрын
Watching from Kenya, napenda hichi kipindi
@shukurushirima84795 жыл бұрын
som zuri sanaaaa mwalimu MUNGU akubaliki
@jescatinafaustine11035 жыл бұрын
Mtumishi Mungu akubariki sana somo zuri sana
@shukranmkono89505 жыл бұрын
Barkiwa sana mtumish wa bwana,sema wapone
@kaachonjo263 Жыл бұрын
Asante kwa kutuachia mafudisho mazuri listening from Kenya,endelea kulala salama.
@mwanajumaomahundumla65046 жыл бұрын
Umeongea ukweli mtupu Yaan Daah Mungu akubariki sana
@bethueltahash9275 жыл бұрын
Waaau huku nimetoka na meengi tu still following
@adamgabriel74376 жыл бұрын
Mungu akubariki kwa mafundisho mazuri Jina la Yesu litukuzwe
@beatriceomino73216 жыл бұрын
Amen
@wanjirunjiru30836 жыл бұрын
na kama mwanaume hana hera, na ako na mapenzi hapo aje?
@clarice7785 жыл бұрын
@@wanjirunjiru3083 mapenzi si pesa mume ataweza kuwanapesa lakini hana namapenzi yazati chamuimu nieri kupata mwanaume mweye mapenzi ya zati kulikoni kupata mwanaume mwenye pesa
@ngoroshowinfrid22205 жыл бұрын
nakupa big up mwalimu yaani ni point tupu umeongea na kiukweli wanaume wanajua kujari hawapo wote wote walisombwa na mafuriko mwaka juzi by Joyce
@leoniaosward29016 жыл бұрын
mungu akutunze mchungaji maana wewe ni sauti ya mungu
@shushus11056 жыл бұрын
Ameen asantee kwa mafundisho.mazuri
@sihadavid42116 жыл бұрын
Baba wewe ni Mwalimu mzuri sana,Mungu akubariki
@tinnahagustinolyelu4247 Жыл бұрын
Apumzike Kwa Amani hayati miti mingi uliondoka katika uso wa Dunia lakini tulikuwa bado tunakuhiji Duuu udongo shikamoo
@issajoseph94266 жыл бұрын
Baba mungu akutiee nguvu sana kwenye kazi yako
@teachergodfreypeter90526 жыл бұрын
duh somo ndio lenyewe kabisa yani linaendana na uhalisia
@emeliabendankeha52206 жыл бұрын
Asante kwa elimu hii
@velonickafumbo69065 жыл бұрын
Balikiwa sana mtumishi.
@jenipherkavusha5064 жыл бұрын
Barikiwa mtumishi
@priscakaholwe24746 жыл бұрын
Asante sn kuwaelimisha
@hafsacletty15196 жыл бұрын
Shukran
@mjombamalaki20256 жыл бұрын
Shukuran sana dr mitimingi mafundisho ni mazuri
@felistermichael76402 жыл бұрын
Pumzika kwa amani
@oliviaseth46526 жыл бұрын
Nabarikiwa kwa mahubiri yako, Amen
@mjombamalaki20256 жыл бұрын
Huyu dr mitimingi sio kasisi tu pia nikungwi. Anafundisha jinsi ya kuishi na mke na mke jinsi ya kuishi na mume. Ubarikiwe kasisi .jambo la mafundisho ya unyumba kanisa halifundishi wewe ndio wa kwanza makasisi wenginw wanaona aibu .
@GodfreyLuhanga-lm5zq11 ай бұрын
tusiache kumuomba mungu kila wakati
@mamawinn15596 жыл бұрын
kwa kweli umenena vyema maana wanaume wengi ni shida nyakati hizi.
@magrethkisaki99036 жыл бұрын
sema sema
@highzacknnko40026 жыл бұрын
Aminia mito mingi
@highzacknnko40026 жыл бұрын
Mito mingi unajua
@highzacknnko40026 жыл бұрын
Miti mingi
@graceochieng43385 жыл бұрын
Baba mungu anzindi kuiyuwa
@jidithivitalisi38215 жыл бұрын
kweli kabisa
@mwanaidimwambiti24486 жыл бұрын
Thanx sn
@happymambo8456 жыл бұрын
Nimekuelewa sana
@orestamwabena17735 жыл бұрын
Shida wanawake wengi wanakatisha tamaa majibu yao ya mdomoni haijulikani mme au mke
@damasadriano80075 жыл бұрын
asante baba nimepona
@mosesdaniel6006 жыл бұрын
safi sana mchungaji by Dash kombo
@joycemathayo50286 жыл бұрын
NYC Pastor
@nancyosoro71534 жыл бұрын
Ulale salama mutumishi, Na asate kwa kutuajia mainda.
@lydiakisula40616 жыл бұрын
Yani watu Bwana wanaacha kufundisha neno La Mungu
@ElizaBeth-rc7yf4 жыл бұрын
Kwani ndoa mwanadamu ameipata wapi? si kwenye neno la Mungu
@lydiakisula40614 жыл бұрын
@@ElizaBeth-rc7yf anything that you put it first of your life is an idol Ni kweli Mungu kaumba ndoa, Lakini inabidi tumtangulize Mungu mbele katika mambo yote, kinyume na hapo hiyo ni ibada ya sanamu
@rehemaodassy1353 жыл бұрын
Kutunza mke pia ni miongoni mwa maneno ya Mungu.
@tumainiezekia58733 жыл бұрын
Daah jmn mungu akulaz mahar pema
@daniellaizer6233 Жыл бұрын
❤❤❤❤
@AliMohamed-kd1uc6 жыл бұрын
na hata hapa yupo wa hivo masimu makubwa na mke wake hana kabisa anaishia kutuomba,,,jamani Akina baba tubadilishe matunzo
@miriamsulle81986 жыл бұрын
Kweli kabisa jamani
@alphasystemvideoz44504 жыл бұрын
Mtumishi unafurahisha watu wengi sana na diamond pia anafanya hivyo.
@shushus11056 жыл бұрын
AMEEN
@lissajeruto53733 жыл бұрын
Ameeen🙏🙏🙏🙏
@beatriceomino73216 жыл бұрын
Be blessed shemeji 😂😂😂😂😂😂
@alphasystemvideoz44504 жыл бұрын
Acha watu wapitie jangwa ili wawe watumishi wa kweli.
@awalimunishi6 жыл бұрын
jamani kweli ata kama ni mgumu atalainika looh
@zuhuraabdallah67304 жыл бұрын
Tunakukumbuka sn baba kwa mafunzo yako upumzike kwa amani 😭😭😭