Umeongea point Mtoto wa Mkulima. Ccm imejijenga toka ngazi za chini. Magufuli hoyee
@kingmicky10024 жыл бұрын
Kati ya wazee ambao hawana uchu na madaraka na Pinda ni mmoja wapo
@TENGAMSOGOYA4 ай бұрын
Hongeraa sanaaa mheshimiwaa upooo vizur sanaaa mungu akupeee maishaa marefu
@erickchitumbi13084 жыл бұрын
Safi sana waziri mstaafu.anajifanya hawajui wajumbe.ndiyo wenye ushawishi kwa wananchi.
@josephnchunga12474 жыл бұрын
Uko vizuri mh Mstaafu pinda hao hawana ubavu wa kupambania Na jpm
@kasimugullum58624 жыл бұрын
Wataalamu wa siasa hawatukani ovyo, safi sana mzee pinda
@hilalhilal84004 жыл бұрын
Sio mshamba musiba huyu.
@husseinkarim67454 жыл бұрын
Mzee pinda upo sawa. Demokrasi ndio hiyo. Ni moja ya kupata umaarufu. Uliza Membe Katavi watakuambia hatumjui. Lakini Kabudi muda mfupi wengi wsnamtambua. Kama alivyo Kikwete wengi walimjua kabla na alipata kura nyingi. Lakini Membe took.as Ego which was wrong. Nakuambia Magufuli mwaka huu kura sio chini ya 80% inshallah. Tukubali Magufuli kafanya mengi na uzuri nchi imetulia.
@josehkasuru72444 жыл бұрын
Nadhani anafahamika sana huko kwao Lindi.
@saliitz54304 жыл бұрын
Atawalee miaka mingapi unataka
@rajabalfarazliganja3974 жыл бұрын
Sema Mzalendo Pinda. Sio mizengo Pinda plz.
@kobelochamanga97574 жыл бұрын
Mzee chadema ni msingi ila wasiwasi tume ya chama kimoja ndio mnalingia ila mtatoka tu
@presseg.63624 жыл бұрын
Safi Sana Mzee pinda, mlezi Wa chama cha mapinduzi Mkoa Wa manyara, tunaomba uwe karibu katika uchaguzi, hasa Wilaya ya Hanang, nguvu ya hela isitumike, tunahitaji mabadiliko Mkuu wetu.
@ramahamis57934 жыл бұрын
Nakupend sana mjomba wangu
@abednegosimoni77164 жыл бұрын
Wakati Mwingine Inatakiwa Tukubali Tu Hahahaha hahahaha 🤣🤣 🤣 🤣 🤣 Ukikaidi Utapigwa Tu
Wazee wapumzike vijana hawana ajira mmekula hii nchi vya kutosha tunahitaji mabadiliko
@saralusubilo68854 жыл бұрын
Bila kuwa na tume huru ya uchaguzi upinzani no vigumu sana kushinda uchaguzi ni bora uchaguzi usifanyike mpaka ipatikane tume huru bila hivyo upinzani mnajisumbua
@minskbelarus72554 жыл бұрын
Sara, naomba unielimishe: TUME HURU inachaguliwa vipi, na kwa utaratibu upi? Nisaidieni wananchi kunifafanulia.
@pangarasthomas21714 жыл бұрын
Membe na magufuli ni sawa ngumi za paka na mende ,utajua mwenyewe mende Nani ,Ila kisu na magufuli kidogo watu watasikiliza
@solemba5954 жыл бұрын
Mzee @Pinda Maneno mazuri sio wengine wako bias ktk kila Jambo, muda wote kuongea kwakubeza wapinzani wao. Tunajenga nyumba moja Kwann tugombanie fito? Siasa ya vyama vingi Ni kushindanisha hoja, matumizi ya nguvu hayana nafasi. Mwisho wa siku maisha lazima yaendelee...
@deogratiasmassawe45434 жыл бұрын
Umeonge vzr sana
@justinendizeye7144 жыл бұрын
Baba mkali sana kwa uzalendo wake 👌
@deogratiasmassawe45434 жыл бұрын
Huo ndouanachama sasa siy kumtus memba hap hap umeonge kiutuuzm na kiakil kubwa kbc
@innojtm18614 жыл бұрын
well said
@mathewbahati28314 жыл бұрын
Kweli
@husseinmkanga77944 жыл бұрын
Amesema ni rafiki yake ulitegemea ata mtusi rafiki yake? Membe ndiye alieanza maneno machafu kwa JPM.
@gloriamichael36984 жыл бұрын
Pinda hapo ndo ninapokuaminiaga sana .umenena vema mkuu.kupanga ni kuchagua
@hassansamata59953 жыл бұрын
Safi mzee wewe ndio babu mwenyekujielewa
@rashidally11494 жыл бұрын
Nakumbuka kauli yako muheshimiwa ya ukifanya fujo wapigwe tu hakuna namna
@florafrank50694 жыл бұрын
Umeongea kibusala Sana pinda good
@kingwatabata42304 жыл бұрын
Point👍
@KhalidAli-xx4vk4 жыл бұрын
Muheshimiwa mstahaf kaongea maneno machache yenye mezani
@piusnkwale4 жыл бұрын
Hahaha mzee anacheka🤣
@ayoubsuleiman36754 жыл бұрын
Yan niakili ilo tulia yn umejibu kiakili kinyama
@azizawadh59734 жыл бұрын
Wapigwe tu.
@billgussy60994 жыл бұрын
Ccm sikuhizi haishindi tena kwa uma mzee enzi hizo ziliisha zamaaani sikuhizi ina shinda kwa kutumia dola. Chama mlisha kiuwa zamani
@ezekieljotham40034 жыл бұрын
Hekima hekima hekima
@Butondo4 жыл бұрын
Membe mimi ningeshauri tu tumpe hata urais pale Yanga. Kwani ni aibu kushindwa na Simba kila match.
@yusuphwilliam42914 жыл бұрын
😅😅😅😅
@timothmwakakusyu45634 жыл бұрын
Acha uongo bwege wewe 😂😂😂😂😂 simba juzi ndo mmetufunga kabla ya hapo tumewatungua. Membe hatufai labda tumweke kwny benchi la ufundi
@Butondo3 жыл бұрын
Timoth Mwakakusyu Mimi nimekuwa bwege tena. Wakati Simba ikishinda mbili sisi tunashinda moja. Huo ni ukweri. Membe ananyenzo na mpenzi wa Yanga anaweza akatusaidia
@abdhihariabdhallah7604 жыл бұрын
Ccm ushindi wao wanatumia DOLA Bashiru Ali alilieka wazi hilo
@amanijampion30454 жыл бұрын
Hamna cha dola wala nini mbona panapo haki mambo yanaenda sawa. Kuna wabunge, madiwani wanashinda mbele ya dola hiyo hiyo. So tusinukuu tu propaganda za kisiasa. CCM na wenyewe watalilia humo humo kwenye sehemu walizoshindwa kwamba kuna watumishi waliwahujumu
@godfreymasele5584 жыл бұрын
Siku zote MTU akishindwa hakosi sababu mbowe alishinda nchi gani kama so Tz Dora Dora acheni visingizio?? Kila chama kinapambana kushika Dora pambaneni na hali zenu msitafute huruma . hukumuelewa Bashiru na hutokaa kumuelewa hata kidogo
@abdhihariabdhallah7604 жыл бұрын
@@godfreymasele558 mbowe alishinda vipi aliongoza nchi gani Tanzania lugha yetu ni kiswahili na bashiru ndio lugha aliotumia na alisema wazi watatumia DOLA kubaki madarakani nifafanulie kiswahili chako wewe ili tuwelewe
@hailatyhamissi31144 жыл бұрын
Ccm oyeee
@enocklema72134 жыл бұрын
Aina maana izi point
@salumungele45944 жыл бұрын
Kikubwa haki TU utaona mnavyogalagazwa
@bakermusa90334 жыл бұрын
Kamiliusi na apigwe tu maana hatuna jinsi tumechoka
@adilhabibu79584 жыл бұрын
Oooooh
@masrergaudens39674 жыл бұрын
Wananchi tuna hasira maana mmetupora haki ya kikatiba ktk mambo mengi sana hadi tumeingia kwenye utumwa tena
@gizakazeno16884 жыл бұрын
Sema mimi nina hasira ,,usitusemee sisi mawazo yako
@khadeejaabdullah70834 жыл бұрын
Nimependa ilo cheko la mzee pinda
@mathayodundo54334 жыл бұрын
Membe labda awe rais wa namngo fc
@anoldjose77934 жыл бұрын
😂😂😂😂
@isaacsengunda30994 жыл бұрын
Tatizo la ccm,ni ujinga,ufisadi,rushwa na unafiki mkubwa waliojijengea na ndio maana hawajielewi,hivii,utaratibu wa ccm ni kwamba rais akishika nchi ni hadi miaka kumi,je,huyu membe kuhangaika nae mmetokana nae wapi? Kwanini msingelimuachaga tu? Maana kuna michujo,si mngeeda kumchuja mbelebya kamati zingine huko? Yaani ujinga kweli ni mzigo.
@ezekieljotham40034 жыл бұрын
Mzee anayestaafu vyema
@charlesmulimi17864 жыл бұрын
Huyu pinda sura ngumu kama limao.
@righton194 жыл бұрын
Nawaza hivi huyu jamaa angekua hana pesa angekuajeee nawaza tuu,,
@allysalimu61764 жыл бұрын
Hiyo ndiy sura mwanaume wewe
@fadhilinyengo78534 жыл бұрын
Na kwa bahati mbaya mungu amekunyima akili unawaza kutumia MATAKO
@bakarimashi22994 жыл бұрын
Hapo labda kijiko mzee kwenye suala la umma lilisha toka 2015 🤣
@saliitz54304 жыл бұрын
hahahahahahaha duuh tisha
@salumuhamissi34924 жыл бұрын
Umma unahitaji madiriko
@florachogo55374 жыл бұрын
cheka mh pinda
@dianadouglas90544 жыл бұрын
embu imagie Membe ndy imetokea amekua Raisi 😂😂😂😂...
@eventelias35664 жыл бұрын
Ya Mungu mengi ya kuku mayai ain't no body know tomorrow.
@GUESSNOW4 жыл бұрын
Katika nchi gani? Tanzania hii hii?? 😂😂😂 Labda aanzishe mikoa ya kusini iwe nchi atakua Rais..
@samwelimashaka89974 жыл бұрын
Nitalia sana
@khadeejaabdullah70834 жыл бұрын
@@GUESSNOW hahahaaaa
@johnmlay47594 жыл бұрын
@@GUESSNOW hata kusini hawezi kuwa rais, hii kasi ataiweza kweli???
@omarrefuse86064 жыл бұрын
nguvu ya wizi na umma ni majeshi
@jumakapilima56744 жыл бұрын
Ujinga huo!!!
@raphaelsamwel26404 жыл бұрын
Mzee wa wapigwe tu!! Vip mbona hamkuruhusu ushindani ndani ya chama?? Hovyooo kabisa!! Najiondoa ccm!! Siasa ushindani wa hoja na fikra!!
@aliabeid62264 жыл бұрын
Wewe unaonesha si ccm huyo membe si alishindana 2015 na akashimdwa juu ya kubebwa na kikwete atamshinda Magufuli sasahivi macho haambiwi tizama
@raphaelsamwel26404 жыл бұрын
@@aliabeid6226 sasa kama hawezi kumshinda hofu iko wapi!?? Kwani kushindana lazima ushinde??? Wanashindanisha hoja!! Na Magu hajui kujenga hoja!!! Sijawahi kumsikia hata bungeni akichangia chochote cha kutetea raia!! Kwake uwaziri ulikuwa maana!!! Sasa asijitie juwa uongozi wa kikwete ulikuwa wa kifisadi wakati na yeye alikuwa waziri!! Unafiki uachwe
@benezethkapongwa31114 жыл бұрын
Tatizo unajilazimisha kutoelewa afu unaelewa...huo utaratibu si wa kuogopana. Huo ni utaratibu wa chama...na kama mtu akitaka kuvuruga utaratibu wa chama hana budi kushughulikiwa. Mnaona kama kamfukuza ili asishindane?? Hebu jikumbushe ni lini huo utaratibu uliwahi kufanyika tangu enzi hizo? Afu Magufuli siyo kama unavyomchukulia ndg. jiangalie vzr yawezekana humjui vzr JPM wewe siyo bure. Yule si mtu wa kujiuza kwa hoja...yeye ashajiuza kwa utendaji wake tayari tofauti na huyo Membe. Sasa wewe sijui unataka porojo(hoja) hizo wapelekee wasomi huko vyuoni...
@timothmwakakusyu45634 жыл бұрын
@@benezethkapongwa3111 umeongea vizuri sana mkuu, chizi hawezi kukuelewa. Membe alitaka tu kuvuruga utaratibu na kupoteza muda sio kwamba hajui magufuli nguvu yake imekua mara dufu kutokana na utendaji wake. Alikuwa anatafuta njia ya kutoka
@FocusNewsTanzania19944 жыл бұрын
"Wakuu wa Wilaya na Mkoa nchini Tanzania hawana adabu, wamkosea heshima hadharani Magufuli" Mchambuzi. Kwa habari zaidi bonyeza link hapo chini kzbin.info/www/bejne/Zp_Rm6x-q82hf6M
@IsaacJavan4 жыл бұрын
Very wise old man
@Teacher_sharak4 жыл бұрын
Huyu hapa mpinzani wa mtiga njoo sikiliza simulizi zake Kisha Mpe maksi kzbin.info/www/bejne/bZuyenZmhd1gmJY
@medardnkilijiwa19764 жыл бұрын
🤣🤣
@tablatabula58664 жыл бұрын
MNATOKA MWAKA HUU BABA. HUYUHUYU KAMILIUS ANAWANGHOA
@jumanneibazu77094 жыл бұрын
Pumbamvu zako namama yako kamungoe baba yako na dem wako membe