Aisee hii inanikumbusha Boss wangu nae alikua hivi hivi aisee wakifiwa wenzie anaona kama wavivu wa kazi ila siku baba ake alipo fariki ndipo akajua kumbe kuna kufiwa
@dagchalo78782 ай бұрын
Bigap mizenge
@AwadhiJuma-mb6qbАй бұрын
Safina na mkwere nawapenda sana
@mariamfritsi49439 ай бұрын
Huyu sumaku ana kipaji sana, ila mizenzwe hamna mpinzani, 04.11,23.
@ritapiusnicolaus70689 ай бұрын
Kweli ubinadam kazi ❤️🥰💖😂😂😂😂😂
@theresamushanga-qc9ep9 ай бұрын
Niliwamiss sana ❤❤❤❤❤❤❤
@msafirikilongo74299 ай бұрын
Nzuri, mazingira ya kifamilia
@swalesale22299 ай бұрын
Muschelewe kutoa mpya
@mwitaagness4558 ай бұрын
Ni nzuri fundisho
@angelavayinga9149 ай бұрын
Atafiwa lini tena😅😅😅😅
@Boniphaceshayo59 ай бұрын
❤❤❤❤❤uyo demu
@ramadhanurassa24109 ай бұрын
Dotto magari
@adamhamisi61619 ай бұрын
Big up #mizengwe✅️
@bakariomari87588 ай бұрын
Mizengwe hamuishi ladha miaka nenda miaka rudi
@neematimas1399 ай бұрын
Big up
@user-dj1ws4cw3c7 ай бұрын
Eti wiki nzima unamzika mtu mmoja 😅.
@noelkipera65818 ай бұрын
Salute wakali wa burudan, ndugu wa marehemu tunazuiaje misiba😅
@user-dx9vl7uv5u8 ай бұрын
Huyu mzee anajua sana
@hermanhenry66448 ай бұрын
Good 👍
@musicheals15458 ай бұрын
Sijui ni sababu gani zinazofnya kutoongeza watu kwa hiki kipindi cha maigizo.. Ila fanyeni mpango huo bwana muwape watu wengine fursa msiwe ninyi pekee enu. Mnapoteza mvuto kila siku ninyi tuuu...
@albinusnyaiyo26149 ай бұрын
Eti akifiwa Tena meneja utanijua😀😀
@albinusnyaiyo26149 ай бұрын
We meneja umeanza majungua
@tithomhagama8 ай бұрын
😂😂😂 𝑍𝑢𝑤𝑖𝑎 𝑚𝑖𝑠𝑖𝑏𝑎 𝑘𝑤𝑎𝑛𝑧𝑎
@Chemba679 ай бұрын
NDUGU IMARA...MTU ANAUMWA KIDOGO ANAKUFA😂😂😂
@mohamuha9949 ай бұрын
Nawaangalia nikiwa ndani ya gulf
@SamirSaid-ip8nn8 ай бұрын
R p I mzee wetu kumepwaya san
@pascalgasper4038 ай бұрын
😂😂😂Maisha Haya
@albinusnyaiyo26149 ай бұрын
Hyu sumaku hatali😀😀
@Nyanda5068 ай бұрын
Siku mbili hata kigoma sijafika badooo😅😅😅😅😅😂😂😂
@byabatotv32838 ай бұрын
Kumbe Safina ana zinga ya utege😂😂😂😂
@kilogreekachananawatuwasio40548 ай бұрын
POLENI SANA SIKU NYINGI SIJAINGIA MTANDADAONI KUTOKANA NA KAZI ZA UBAHARIA MAJINI KWA SANA NCHI KAVU FINYU TUPO PAMOJA WAZEE WA KASHIKASHI NAWAPATA SASA KUTOKA CARACAS 🙏👏⚓️🚢🛳🇹🇿🇬🇷
@MM-oe2eo8 ай бұрын
Sumaku ni mwigizaji bora sana. Best ever
@itunganobalanga53738 ай бұрын
Mwambiye huyo😂😂😂😂
@fredy_boy3608 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂mamaeee bos ananongwa na wafanya kazi
@officialmwabambatv13508 ай бұрын
😂😂😂 eti zuia misiba miezi sita
@oyay28218 ай бұрын
Utafiwa lini tena?😂😂😂
@johnrambo96428 ай бұрын
Hahahaa mzee matata nafac yake hio angekuwepo et msiba mkubwa😂😂😂😂
@gamestar66988 ай бұрын
Kwa issa tambuu apa😅😅😅😅 live
@aureliadidas15318 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@khaledbilal46098 ай бұрын
😂😂😂
@mussayusuph86618 ай бұрын
Msiba umechangamka watu wamefurahi
@fawwadhibrahim9 ай бұрын
Wapili mimi
@abuyunusmohamed69618 ай бұрын
Chamsingi ongezeni mtu mmoja itanoga sana
@jonathanmlinda25808 ай бұрын
Kash kash group watupe siri ya mafanikio, wana miaka mingi sana na bado radha ni ile ile na hawagombani kama makundi mengine