Naomb t asije akaongezeka mtu mbak hivhiv mnatosha san namnafundisha jamii asilimia 💯
@ramadhanchenga4606 Жыл бұрын
Mungu hakusamehe dhambi mzee matata
@lisaemmanuel86733 жыл бұрын
😂😂😂 isiwe kama semina
@gedionraison24023 жыл бұрын
Lala salama mzee watu tutakukumbuka sana ktk nafas yako
@mathiaszakaria70523 жыл бұрын
Hahhhhhh we mkwere kenge kweli yaani ukodi boda ya elfu 15 ufate mchango wa sh 7000!!!🤣😂😅😂😆
@peterfujokalogi78213 жыл бұрын
R.i.p mzee matata
@wazomyakinifu23013 жыл бұрын
Jamani hiyo sauti ya muziki imekuwa km fashion vile kwa filamu za bongo. Lakini ukweli ni kwamba mnaharibu uhalisia wa tukio au scene. Bila shaka mnaiga Wanaigeria au wapi kule sijui. Si kila kitu ni kuiga tu. Ondoeni muziki pasipo na ulazima hasa kwenye dialogue. Waigizaji ni wazuri sana lakini muziki mnaouweka muda wote unaboa na haupaswi kuwekwa.
@shariffhashim37353 жыл бұрын
M
@selemanimsofe73213 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁😁😂😂😂😂😂😂😂😂medula oblongata mixer presha ha ha ha
@gosbertrwezahura36453 жыл бұрын
Jamaa mko sawa! Nawakubali sana.
@lusese13 жыл бұрын
Asante Gosbert, asante kwa kutuunga mkono
@joycekwayaya75373 жыл бұрын
R.i.p mzee matata😭😭
@clavery-verisnicholouc20623 жыл бұрын
Umeshawahi kufa mchana kweupe wewe😀 mizengwe🔥🔥🔥
@ponsianaprotas89903 ай бұрын
😂Umeshawahi kunyongwa ukafa mchana kweupe wewe
@ashaali71543 жыл бұрын
Hongereni sana tuliwakosa kwa muda kidogo tukakosa uhondo. Musipotee tena. Mkwere anajilipa deni kabla ya kuzika mwachieni hiyo maiti atajua cha kufanya nayo.🤣🤣🤣🤣
@user-bd5hq2kb4h2 ай бұрын
SANAA NI KAAZI,WANATUKOSESHA RAHA(WAKO WAPI?)NA KWANINI ?TUAHAMALIZA,PLEASE TUNAWAOMBAAAAAA
@mariamfritsi49433 жыл бұрын
Mizengwe mpo vizuri sana.15.10.20.
@martinmaryogo60813 жыл бұрын
Yan hawa sijui walitaftana maan wanafaana kwel
@lusese13 жыл бұрын
Asante kwa kutuunga mkono Mariam.
@kiehbhzh70443 жыл бұрын
ongerena kashikash r.p baba yetu matata Allah akujalie safari yako iwe ya heri akusamehee ulipokosea sisi wtzn wenzio tunakuombea lnshallah amin
@mwaramiamiri90173 жыл бұрын
Mtu tano kama milioni 5
@womanhappness3 жыл бұрын
Kipindi hiki kizur kinafundisha,kinaburudisha. Waigizaj ni wataalam sana.
@sabatoelia3123 жыл бұрын
Medula ublangata spaino kodi 😂😂😂
@lizzyshayo2093 жыл бұрын
Mkongo mbona kama anaumwaaa...ni mkimyaaa sanaa kitu ambacho sio kawaida yake
@tarerich50993 жыл бұрын
Atakuwa anaumwa naona kapungua pia mwili
@Hawa-ed2hg3 жыл бұрын
Mungu iraze roho yake peponi
@richardkalumiye64453 жыл бұрын
Mbona malingo 7 amupungua mwili
@kosausigo14853 жыл бұрын
Nawakubali sana
@magutumwiti32673 жыл бұрын
Mko vizuri sana waheshimiwa napenda sana kazi zenu
@lusese13 жыл бұрын
Asante kwa kutuunga mkono Magutu.
@wantangosaimon52953 жыл бұрын
Mko juu sana
@esterngowi71593 жыл бұрын
Mzee matat jmn 😭😭😭
@shwaibuiddy26213 жыл бұрын
Mkwele duuh,, umetisha
@lusese13 жыл бұрын
Ahsante sana kwa kutuunga mkono Shwaibu.
@samwelhiinyamhangahiileosi10603 жыл бұрын
Mkwere umetisha
@lusese13 жыл бұрын
Asante kwa niaba yake, asante kwa kutuunga mkono.
@fatumahengo68493 жыл бұрын
😃😃😃huyu mkwere kichwa maji kweli
@aishafrancis77143 жыл бұрын
Shikamoo mkwere
@petermgogosi33253 жыл бұрын
Aisha naomba nikuoe uko vizuri
@mibokichannel40063 жыл бұрын
Mkwere wewe ni kwere haswa
@lusese13 жыл бұрын
Ha haa haaa! Asante kwa niaba yake Miboki, nitamfikishia salaam zake.
@veronysiwale7832 Жыл бұрын
Heheeee hela tax
@frediricknandonde16903 жыл бұрын
Yapo sana haya mitaani humu
@hjhj62303 жыл бұрын
😃😃😃
@allywilson41553 жыл бұрын
Mkongo anaonekana mgonjwa...
@mtitagirloriginal68903 жыл бұрын
Sana amepoteza nuru
@wemakafuka11513 жыл бұрын
Anton lusekel
@TALLUBOY3 жыл бұрын
Jaman munajua sana nakupenden sana sana sana nyinyi ndiyo comedy Bora Africa MASHARIK