Pole sana Dada, Mungu ndiye kila kitu, Damu ya Yesu imfunike mume wako na apatikane
@kulwamaduhu5325 жыл бұрын
Martin Safari
@stanslausangelus87145 жыл бұрын
Huyu Dada mtanzania anazungumza Kiswahili-Kiingireza,lakini pole take.
@rosekaiza27162 жыл бұрын
Pole sana my dear ivi na wale vijana tano waliotekwa walipatikana?au ndio imeisha! Kiukweli tanzania yetu kwa sasa inatisha sana tunaogapa yaan tunatekana wenyewe kwa wenyewe!
@mkonlinetv20895 жыл бұрын
Aise Pole sana Dada Veronica. Tuombe Mungu maana mungu ni mwema.
@kilutilepamo39595 жыл бұрын
Cinema nzuri sana badala Ya kwenda Polisi umeenda Nyumbani Kwanza
@lailmeeea49085 жыл бұрын
Pole sana dadaangu Mungu yu pamoja nae uko alipo muombe Mungu tu aludi salama inshaallah
@adolfnkumbi93535 жыл бұрын
Poleni sana,,,,,,,Maombi yana nguvu sana Vero, Bibi & Babu wamepata wakati mgumu sana ........endelea kuomba na Kufunga !
@V24hrs2 жыл бұрын
Pole sana Dadangu
@raziambwana21455 жыл бұрын
Mungu nimwaminifu atafanya njia pasipo njia! Amina.
@halimasaleh57055 жыл бұрын
My dear Vero mungu akusimamie ktk hili jambo zito
@aureliambawala71455 жыл бұрын
Poleni sana wana familia inauma sana huu UTEKAJI SASA UMEOTA MAPEMBE.Inatia aibu sana kuona TANZANIA 🇹🇿 kuna utekaji wa kiholela kiasi hiki. Mr SIRO WHY??? Tunaomba WAWEKEZAJIZI WAJE NCHI KWA STYLE HII UNAFIKIRI TUTAWAPATA KWELI??.Maombi yangu yamfikie Mumeo apatikane mzima na wa afya njema.May God bless him.
@yusuphshaban23275 жыл бұрын
Lung,wecha
@ceciliajimmy56525 жыл бұрын
Mimi huwa nashangaa, watu eti wanajiteka! Ben Saanane, Azory, Abdul Nondo, Mo Dewji, Mdude Nyagali, na huyu kijana Raphael!! Nikiwa kijana wa T. Y. L., na sare zangu sikuwahi kusikia harufu ya utekwaji mauwaji kama karne hii!! Mungu tunusuru waja wako. Mara achunguzwe uraia wake, mara anabambikiziwa mtu mwenye mkosi eti fulani ndio amemteka, mpaka watoto wa shule ya msingi wanacheka! Mimi naona aibu sana, sijui wengine kiukweli inaumiza sana.
@rashidmkwinda235 жыл бұрын
So sad! !!Pole sana Shemeji Mungu akutie nguvu
@vivianikiria1435 жыл бұрын
POLE SANA DADA HILILINCHI LINAWATU GANI MAANA BINADAMU TUMEKUWA KAMAWANYAMA HAWAWATU SASIOJULIKANA MWISHOWAKE NIWAPI NIMEUMIA SANA POLESANA DADA...MUNGU AKAFANYE MIUJIZA APATIKANE SALAMA AMEN...
@agathadaud2455 жыл бұрын
Dainaumaxana jman !polexana Dada .mmh mungu naomba ushuke maeneo ya huko osterbey.maana weng hupotelea huko hatujui watuwasiojulikana ndowanakopatkana!!?mmh tumuombexana mungu binadamu tunawindana kma wanyama.
@zanzibarsmzenji5 жыл бұрын
Ahsante bashite na polisi kwa kuteka watu.
@rahjah58825 жыл бұрын
My prayers for dear direct from Japan 🇯🇵
@erickmkwera27845 жыл бұрын
Nipe mchongo bongo kumenuka Niko Sirius broo
@faridamatata19505 жыл бұрын
Pole sana dada Mungu yupo nawr
@elisanteelisante1725 жыл бұрын
Pole Sana my dada Mungu akutie nguvu
@najma32685 жыл бұрын
Pole sana dadaangu, funga na kuomba umlabidhi mungu
@rweyemamueustace17065 жыл бұрын
Kwa Msiba,no problem. Pole
@remmyonlinetv16555 жыл бұрын
Mungu ni mwaminifu katika yote.Hakika amekuonekania katika gumu hili.
@theodorychristopher47955 жыл бұрын
Pole sana shem mungu amlinde mumeo huko alikopelekwa.
Pole sana dada Allah amlinde mme wako arudi salama
@ThobiasMarandu5 жыл бұрын
It is a Crime to Hold anybody beyond 24 hrs. It is Illegal / Unconstitutional for TISS or Presidential security to Arrest anyone. And even when arrest is Legal it is a Crime to hold somebody without Processing him (Booking) It is Illegal to hold anyone more than 24 hrs without taking him to Court.
@franaelisumari51085 жыл бұрын
POLE SANA DADA YANGU.MUNGU AMUIFADHI SALAMA NA AMREJESHE SALAMA.
@traudkamugisha80515 жыл бұрын
Ahahahaaa!!! hawa wasiojulikana Jamn mbona wanajiamini sana???
@jerrywilhelm5 жыл бұрын
Nenda 'kamhoji' sounds familiar. @4:01. Basi sawa
@paulkisatulusana11425 жыл бұрын
Wamhoji Zitto vizuri atakuwa na Habari kamili
@bennympatanishi83415 жыл бұрын
Jitambue
@paulkisatulusana11425 жыл бұрын
BENJAMINI MUYENGI jitambue mwenyewe Huwezi elewa kuna maigizo hapo
@mickmaheka25415 жыл бұрын
hii nchi mbona mm siielewi kuna nn mbona saivi mtukio yanatisha? Mungu tunakuomba utufumbue macho tujue??
@goldchannel48665 жыл бұрын
Mnaichafua nchi majambaz gan wanakubeleza had mumeo anakwambia baby Nena nyumban mnaboa
@ayubunsajigwa39355 жыл бұрын
Tumia Akili kwa kuunganisha doti hao sio majambazi
@goldchannel48665 жыл бұрын
@@ayubunsajigwa3935 hiyo ni Sinema hakuna jpya
@jessydaktari52095 жыл бұрын
Its hard forsure....pole my dear
@frankkway52835 жыл бұрын
Hivi ichi kikundi cha “watekaji” kwenye nchi huru kama hii kinaongozwa nanani? Kwanini ao watu awakomi kufanya hivi vitendo vya utekaji? Hii nguvu ya utakaji tena mchana kweupe wanatoa wapi? Mpaka leo vyombo vyetu vya usalama avijui ni wakina nani wanao fanya hivi? Inaumiza sana........
@kudraomar70534 жыл бұрын
frank kway unaumizakichwa watekaji ni selikali wanajuana
@piushappyness2265 жыл бұрын
hahahahahah walimteka wakampeleka kwa shangazi yake mimbasa. dada acha kudanganya watu usitimike na mambo ya siasa yatakupeleka pabaya
Njoo upumzike Zanzibar dada uondowe mawazo huku utulivu na hali ya hewa safi..
@taghashatv40955 жыл бұрын
Jambazi akubembeleze kweli nawewe nishahidi tafakari kabla
@leticiajohn49525 жыл бұрын
Pole mwaya Mungu ni mwema
@zachariasumisumi49075 жыл бұрын
Pole sana dada Mungu atakusaidia Maana yeye Ndiye ajuajye
@ombennassary74385 жыл бұрын
Yote ni watu kukosa hofu ya Mungu cha msingi tumuombe Mungu watu wawe na hofu ya Mungu
@namirihamisi38995 жыл бұрын
pole sana mwanangu ila tuangalie vitu vyengine wanavyovipenda wenzi wetu kama vina hatari tuwashauri kuachana nayo sababu likitokea kama hivyo tunoteseka na watoto ni ss wanawake.
@thadeimatenga43975 жыл бұрын
This is Tanzania bwana na watatekwa sana na wasiojulikana.
@ashritaabdallah64745 жыл бұрын
Pole sana ila
@changanikisesa70215 жыл бұрын
Pole sana dear😭
@furahadastani86395 жыл бұрын
Pole sana dada
@mengicacoconut81445 жыл бұрын
Wekaaa tarehee kwenye taarifa zako@millardy ayo
@markndibalema56785 жыл бұрын
Ya nini
@aisatahaisatah26125 жыл бұрын
Mungu akupe nguvu unapitia wakati mgumu
@hamisisha5 жыл бұрын
Hawa watekaji kwenye nchi huru wanatokea wap!? jamani serikali mko wap tuelewe nn ktk hili suala la utekaji holela wa raia?
@gracemima52345 жыл бұрын
Unaaminije kuwa watu hawa wanasema ujweli? Hawa ni watu walioziwea kuvuna bila ya mashamba, wameshindwa na masikini ya Rais wanaona watunge story za kijinga. Imekuwaje huyu bwana kupatikana Mombasa?
@jonathanntare47875 жыл бұрын
Tanzania ya Viwanda
@ibrahimrukundo30645 жыл бұрын
mwenyezimung amrejeshe haraka salama:
@abasiachimika5415 жыл бұрын
mtatuwa weng mjiandae
@santegotoronto58035 жыл бұрын
pole dadaa
@stanslauslawa47775 жыл бұрын
Unatuzingua bhana mara waliondoka wote mara walibaki wawili sasa tushike lipi?
@bahaliasimango30345 жыл бұрын
Rais mbona kanyamaza kimya ina maana hayaoni?kwa sababu yeye ndiye mkuu wa nchi mbona hana wasi wasi.
@gadsonobeid62785 жыл бұрын
mungu atafanya njia my FLP pertner
@msingidamtz66805 жыл бұрын
Hayo maelezo Mbona kama ni stori ya kutengeza yaani mpaka mkuu watukio unamjua!!!!? Yaani watanzania tutafakari sana haya matukio
@emmanuelbonaventura42585 жыл бұрын
Na wewe katengeneze ya kwako kama unadhani hivyo
@missmoona44975 жыл бұрын
Tulipumzika hapa kat hao watu wasio julikana sasa wameanza tena. Mungu amsimamie huko aliko mumeo dada
@colepapichulo44225 жыл бұрын
Ushauri Wangu tu kwa zitto kabwe next time mipango kama hii mke asijue yy abaki kuamini kuwa tukio ni la kweli,Dada amefeli kuonyesha uhalisua Wa tukio
@barutisaidi1105 жыл бұрын
halafu mnasema Tz yaamani aman gani kutekana tekana
@geoffreymwarabu83235 жыл бұрын
pole sana but hizi cinema zitaisha lini?
@mariamfaki11665 жыл бұрын
Na hawa watekaji kwanini hawawakamati chama tawala wanakamata wapinzani tuuu
@vivianoforo47605 жыл бұрын
Pole Sana sana Vero 😢😢😢😢
@hewilmodey60065 жыл бұрын
Sorry ccy this too shall pass much love to you
@reachthegoal76245 жыл бұрын
Majaribu ni mtaji labda lingekuwa kwa mwingine asingeweza hata kuzungumza hivyo. Ombeni bila kukoma. Dumu ktk kuomba zaidi.
@farajaluvanda12425 жыл бұрын
Ni bora tu nikae hukuhuku Namibia maana naona sasa nchi yangu Tanzania 4+4=44√.
@credychipungahelo15155 жыл бұрын
Unayako sio kwa ajili ya haya
@mnzavachris54235 жыл бұрын
ss na mm nafikaje uko jaman maana!
@abdallahmchange13705 жыл бұрын
Ila mdada mrembo mno
@mnzavachris54235 жыл бұрын
@Ali Ali htr.,chaggaz tena!
@mnzavachris54235 жыл бұрын
borz umenisaidia thaminisha!
@vitusprotus88775 жыл бұрын
🙅🙏
@alexkachemu79575 жыл бұрын
Lakini hivi vitndo vimezidi sana.
@taghashatv40955 жыл бұрын
Gari yenu ilikuwa haina Rivas? Alafu kama nikweli mbona umejipamba sana
@ilovejesus93035 жыл бұрын
LoL kajipamba Sana???? Ama kweli
@hongeramgaya7145 жыл бұрын
So,so,so,so, cm'on get serious.
@halimaomari75895 жыл бұрын
Umeona eeeeeh!!
@samusonibalazingiza36895 жыл бұрын
Nchi inatisha kwa sasa duh
@credychipungahelo15155 жыл бұрын
Maelezo mengii hayana mwisho wa taarifa sijui tuanzie wapi
@kimitochacha62755 жыл бұрын
Frai kwa kuwa hayajakufikia yakikufikia utajua
@evamlay89975 жыл бұрын
siku yakikukua utaimba
@mzalendomzalendo25675 жыл бұрын
Drama zinaendelea, ...... hakuna mpya
@emmanuelzwallo39335 жыл бұрын
Angalia anayesimulia kwanza ndo ujue uharisia wa tukio.
@albatrose98655 жыл бұрын
This is terrorism at the highest level.
@mabruqjumamponda76295 жыл бұрын
Ahh mbona huyu dada yuko sawa hana hisia zakama mnamke mume wake katekwa,even though kasema yeye ni strong women...bado semeni kweli
@cmsa1r5 жыл бұрын
Sababu ana elimu. Si mwanamke wa uswahilini mashambenga wa kuku za mambo. Ana deal na issue as they unfold
@ashaali71545 жыл бұрын
Ulitaka aonekane vipi?
@amourabdallah29785 жыл бұрын
Wanawake wakitanga ukipotea wanafanya bati kamwe hata machozi hayatoki
@margarethkitalu31055 жыл бұрын
Huyu mkenya Sio mtanga
@margaretwambete12285 жыл бұрын
Mtajua hamjui,huyu ni Mkenya mwezetu,plz let him be found in one piece.Hatutaki ujinga wa CCM.
@ramseyhusseinkhamis82585 жыл бұрын
Usiseme hauwelewi tumia akili tokea yalipoanza matukio kama haya mpaka Leo hamjaelewa tuuu mengine yanafanyika kuichafua serekali jamani
@mnzavachris54235 жыл бұрын
niandalie makazi naja huko ndg maana dooh!
@eustacevenant45675 жыл бұрын
Wametekwa na vyama vya Upinzani!
@samsonfulgence61705 жыл бұрын
Sasa vyama vya upinzani viko juu ya sheria? Na kama unajua hivyo kwanin usipeleke ushahidi wako huo polisi? Yaani Eustace bwana! Nakuhurumia sana. Marne ya 21 bado tuna watu wenye akili ya kiwango hicho😎!
@wolfgangkichai85775 жыл бұрын
I’m so sorry 😐 did you see any face ?
@yusuphsanga37625 жыл бұрын
Wanatekwa na watu watekwa sana na watu wasio julikana
@yassirkipemba78895 жыл бұрын
mbona hulii sasa kweli ?
@obbymwakasoke98425 жыл бұрын
wanaotekwa wote ni wale wenye itikadi ya upinzani tu cjui ni kweli au nimekosea
@zagaronondo81305 жыл бұрын
.mzungu frani iv
@hashimabdallah6735 жыл бұрын
Hawa wanawake wote wenye wapenzi chadema wanajua neno "so" of course "then " and that is round saa so kesho take nitaenda one of the stop hawajui kiswahili hata kidogo
@arodiadeogratias64575 жыл бұрын
😀😀😀😀😀
@elizabethmabula1015 жыл бұрын
😂 😂
@halimaomari75895 жыл бұрын
😂😂😂😂
@emanuelurassa55745 жыл бұрын
ni saidien huyu anakaa mke wa muheshmiwa yuko kama mcheza shooo
@ramseyhusseinkhamis82585 жыл бұрын
Matukio mengine mwayatengenaza nyie wenyenu kutaka kuipakazia serekali
@charlesmpemba93875 жыл бұрын
Kwelii kabisa.
@ignasyluena91975 жыл бұрын
Dah 🤔
@zumbeshauri81145 жыл бұрын
vyama kwa kweli vinaendeleea kuteka akili zetu dah haya tumuachie mungu
@ramseyhusseinkhamis82585 жыл бұрын
Wasenzi hawaaaa
@luganomwambulukutu53115 жыл бұрын
Mbona mnajiteka
@ramseyhusseinkhamis82585 жыл бұрын
Hawa wanajiteka wanyewe hawaaaa
@hassanmirambo5645 жыл бұрын
Wewe dada acha maigizo huwezi simulia tukio la namna hiyo muda wa dk 3 usitoe machozi ningekuwa polisi wewe ndiyo ungekuwa mshitakiwa namba moja
@kibokongurai44885 жыл бұрын
tumia akili wewe unahisi kulia ndiyo njia pekee ya kutatua matatizo uliyonayo hata kama ungekuwa polisi lazima ungekuwa wa MOMBASA TUU maana unapenda kulialia halafu mwanaume unadhani wewe utakuwa wa aina gani kama siyo mchele
@hassanmirambo5645 жыл бұрын
Kiboko Ngurai dada zako hawaolewa nipo muoaji ili aje akusibitishie hata polisi wa mombasa ni polisi muulize vizuri mama yako asili kabisa ya baba yako ni wapi kama hajakuambia ni mtu wa mombasa halafu umuulize nae baba yako kama anafirwa
@kibokongurai44885 жыл бұрын
@@hassanmirambo564 ahahahaha hujanielewa ndugu mimi kenya ni home land na mombasa ni mji wetu pia but kuna watu kama wewe wapenda kulia lia ndiyo michele kama wewe ok hata dada alisema wewe si mzima ndiyo maana kaludi nyumbani maana umemshindwa ahahaha
@geoffreymwarabu83235 жыл бұрын
hizi cinema zitaisha lini jamani?
@emmanuelzwallo39335 жыл бұрын
Anajua movie kamili
@sabraham53085 жыл бұрын
Hii ndio Tanzania ya Magufuli,na ndio serikali ya CCM,kwa hiyo binaadamu mwenye fahamu zake kamili,ataamua na kufahamu,haki za kiraia na wananchi,namna gani zilivyokosa haki na amani,hizi ni mbinu za kuweka sheria na haki pembeni,ambazo kuna wengine ziliwapotezea maisha,tokea serikali hii ilipoingia madarakani,2015,suala sifa gani kubwa tuipe serikali hii?,kutawala kwa namna hii ndio,alama ya mafanikio yetu,?,jee hukumu ya makosa inahukumiwa kisirisiri,au kwenye mahakama zilizoteuliwa na kuongozwa kwa sheria zenye mezani ya haki?,hawa watekaji,wanapata wapi haki ya kumdhulumu raia aliye huru?,hizi ndio haki za kibinaadamu?na hili ndio lile taifa linalojisifia kwamba ni la amani?.
@ramseyhusseinkhamis82585 жыл бұрын
Wewe dada acha unafiki
@emanuelurassa55745 жыл бұрын
muheshimiwa gan ana jiendesha mwenyewe kama unaakili timamu mskize huyu mpuuzi ulionaje wkichukuw ivyo vitu vyote wakat ulikuwa umeina mishwa
@ostackkinglaba95505 жыл бұрын
wewe Emanueli mbwa kweli kama unatetea chama chako ccm ,
@emanuelurassa55745 жыл бұрын
nikama umeumwa eeee ubya mi snaga chama ata kura spigyag kaz kwako usio tazama maisha yako unakazan na vyama k wewe
@dinnarandrew19825 жыл бұрын
Anaongea kwa comfidence mno wakati mume wake bado kupatikana🤔Mimi ningekuwa hoi
@mamadanhelena81905 жыл бұрын
Ni rahis kuelekeza wachimbaji wa kaburi ikiwa hujafiwa ww lakn ukifiwa ww n ngum kdgo byyyyy
@edesiuskuyasiwa63525 жыл бұрын
Huyu jamaa hayupo vizuri mumpuuze
@emanuelurassa55745 жыл бұрын
toka lin jambaz akabebembe leza wewe mpuuzi wewe
@SHEIKHMWAIPOPOTV2 жыл бұрын
Huyu mama chizi hata huyo mumewe chizi sioni hata anacho ongea