Mungu wetu ni mwaminifu nyakati zote Utapona Kwa Damu ya Yesu Kristo Professor Jay.Amina.
@summanelson55232 жыл бұрын
Kumsaidia Prof Jay ni fursa!!!! Hii imenishangaza kidogo!!!! Ila pole sana mheshimiwa mbunge!!!!Mungu akupe wepesi upone haraka. Ila watanzania tukipata nafasi tukumbuke kuweka akiba na pia kuweka fedha sehemu sahihi. Ubunge miaka 5 pamoja na kiinua mgongo, halafu leo hii unaomba msaada wa matibabu!!! Inashangaza pia kuwa hana bima!!!!
@yudadaniel48672 жыл бұрын
summa nelson embu tena mate chini umeisikia gharama ya vipimo na matibabu kwa week?
@barakachibwana37082 жыл бұрын
Inashangaza mno
@kalengemochi13062 жыл бұрын
Hii nikwa aoiye kuwa mbunge miaka 5 anaomba msaada wq mqtibabu kweli,,, kamq ni mtu hoi hae inakuaje jamani
@abubakarihamissi41782 жыл бұрын
hicho kitu nacho kinafikirisha mbona kwa muda mfupi tu ameanza kuchangisha maybe ingekuwa mwaka hapo sawa tungesema mpunga umekata lkn ndani ya mwezi tu wameanza kutembeza bakuli, inafikirisha.
@jumasoli78182 жыл бұрын
Ww changia tu ndugu kutoa ni moyo
@gracekagoma32312 жыл бұрын
Huo mtindo ja kuchangishana hela Kwa wasanii Wakati Mayatima Na wajane , viwete Wana testejä.siyo mtindo mzuri.Hela wanayo maisha mazuri wanayo Tena Sana..Si mtindo mzuri.
@bibianabenedict24592 жыл бұрын
Ukiona mtu ameomba mchango ujue amefikwa,sidhani kama mwenye pesa anaweza ombewa mchango,huyu ameumwa muda mrefu lazima kuwe na mtikisiko kifedha,cha muhimu kama upo kwenye nafasi ya kuchangia fanya hivyo na sio kulinganisha vitu au wagonjwa.ni ushauri tu
@messageofloveandhope42492 жыл бұрын
Big up bro Malisa..respect kwako all the way from Sauti..you are trully a blessing.May God see you from this point..and bless you!! Get well soon the ICON..Proff Jayz
@prosperkullaya67212 жыл бұрын
Mungu ampe mwepesi sikujua Ana Familia bora hivi nimependa sana Familia ilivo kuwa open binafsi na mpenda sana na nirafiki yangu wa karibu sana mwaka 47... Kichwa sana nitamtafuta nimpe pole zangu binafsi..
@ashooraashoora11802 жыл бұрын
Polen sana Allah ampe pole mgonjwa na amponye kqa haraka yarabiy
@championtv2552 жыл бұрын
Akiamungu blaza Joseph nakuomba mungu akuamshe Tena usimame tunakupenda Sana kaka.yehova akusimamie uamke Tena🙏🙏🙏🙏🙏🙏🇹🇿
@hassanovajunior69722 жыл бұрын
You have our prayers Legend Jay Wamitulinga May Almighty God heals you and quick recovery🙏🙏
@amoskijangwa70952 жыл бұрын
Pole Sana prof jizo Mungu ni mwema, Kila wakati kila wakati Mungu ni mwema.
@ramadhanihudhaifani43762 жыл бұрын
Get well soon,big bro. You have our prayers always!
@mwajumaamiri42592 жыл бұрын
Inshaallah m.mungu atakuponya kwa uwezo wake Allah utapona jay
@mukrimchumhaji5872 жыл бұрын
Kuna maskini wa kuchangiwa Tena wapo Hali mbaya Sana profesa j pesa zake zimenda wap si alikuwa mbunge uyo jamani tuachane na ujinga tuchangie wahitaji ambao hawajiwezi
@aaaaaah2902 жыл бұрын
UKO SAHIHI, BUT KILA MMOJA ANAHITAJI FARAJA. KUTOA FURSA YA WATU KUMPA POLE NI ISHARA KUWA WANATAMBUA KUWA JAY NI MTU WA WATU NA ANAJULIKANA KTK JAMII.
@manjaugodwin78342 жыл бұрын
Polenı watoto wa Mungu .Mwenyezı Mungu awaponye wote wanaoumwa.
@maryjonh3112 жыл бұрын
mmmh ina maana hana Ela
@twahasaidi75782 жыл бұрын
Pole Sana super ster wakitanzani utapona tu kwa uwezo wake rahimu yeye ndo muweza
@crepinakatundu18312 жыл бұрын
Pole sana Professor Jay.Mwenyezi Mungu ni mwema.Utapona.
@kyalohenry56542 жыл бұрын
Mwenyezi mungu akupe uponyaji #Wa Mitulinga
@fransisigulu97612 жыл бұрын
Professor j amefanya kazi kubwa Sana kwenye hii career yake musc nchini Tanzania na afraca pia kaitangaza Tanzania kupitia music wake kimataifa na dunian kwa ujumla kwanini Sasa serikali watu isimjali na kumtibu Prof j Kama legend wa hip-hop Tanzania?
@liciouscharles33702 жыл бұрын
Yaan kabisa licha tu ya usanii ameitumikia Tanzania pia...
@iranangole70072 жыл бұрын
Watanzania mda mwngne 2punguze Aya Mambo m2 Kama profesa ajafikia hatua ya kuchangiwa pesa Kuna wa2 wanashida Awana ki2 kabsa uyu kikubwa kumwombea sio pesa wapo wanao stahil sio uyu
@asantelaizer66742 жыл бұрын
Kweli kaka
@zenadaudzena28492 жыл бұрын
Kweli kabisa
@m.mmarckus62982 жыл бұрын
Mm ndosielewi kabisa kwann achangiwe,sijui akili imeganda hata sijui.
@ramadhanwilbard81962 жыл бұрын
Mawazo yako sio kweli .
@RUFUS_972 жыл бұрын
Ao watu wenye shida km wanamikono na miguu wafanye kazi.
@efraimrichard64402 жыл бұрын
Jamani sisemi kwa ubaya lakini tuwe tunabakisha na maneno ya kusema niliskia Kuna interview moja alifanya na kituo kimoja cha Tv akasema yeye ni mgodi unaotembea Sasa nashangaa leo kuchangiwa sio kwa ubaya lakin lakin to tuwe tunabakisha maneno ya kusema
@mariachuri71232 жыл бұрын
Duuuh...mbaya sana! Yaani binadamu jamani🧐
@gadafimasoud3102 жыл бұрын
Kwani yeye ndo anaomba au familia yake
@majaliwawilson93722 жыл бұрын
Sio hayo tuu wasanii maisha wanayo ishi wanapo kuwa wakosawa nikama tusio nahela hatufai Ila muda wasiku tusio nahela ndio tunawachangia mchango inauma Sana matajil hawanaga muda huo kumsaidia mtu
@josephk902 жыл бұрын
Nahisi hapa kuna watu wanataka kupiga pesa.
@gabrieljoseph46032 жыл бұрын
Pole sana legenda
@lyrics_forum2 жыл бұрын
Nikiwa kama Mwana CCM na Mzalendo wa Nchi yangu, Siangalii Uchama Nitamchangia Prof Jay.. Watanzania Tushirikiane tusiangalie Tofauti zetu. Tumchangie.
@abuyunusmohamed69612 жыл бұрын
bima ya afya daraja la kwanza anayo imeenda wapi?au ni mradi wa watu kujipatia fedha kupitia prof jay?.Huyu prof ni tajiri na hakosi bima ya afya daraja la kwanza
@gamc7732 жыл бұрын
Kabisa kaka sema wao walicheka kifo cha magufuli
@oliversimpliskimariokimari35102 жыл бұрын
@@gamc773 walimcheka je
@ndakishinje32692 жыл бұрын
Ameingiza shingapi Tanzania Tanzania mpeni gawio lake tu limsaidie
@morogorodoll3972 жыл бұрын
Hakuna kuna wenye shida hata hospital hawawezi kwenda Panadol tu hana hao ndio wa kuwachangia jamani kuna kwa nitetee faundition lulu nation glady
@graceamadi21412 жыл бұрын
Prof, may the Lord heal you physically spiritually and emotionally, put your trust in Him for there is nothing impossible with God
@abuyunusmohamed69612 жыл бұрын
Prof jay hela anayo kateni bima ya afya daraja la kwanza badala ya kusumbua watu.Alivyokuwa mbunge walikatiwa bima ya afya daraja la kwanza imeishia wapi?bima ya serikali ni laki saba daraja la kwanza.Na akitaka bima ya binafsi milioni tatu anakatiwa daraja la kwanza.Mchangieni bima ya afya badala ya kuchanga mamilioni na hatujui yanaenda wapi?
@vincentcharles43852 жыл бұрын
Well said brother
@zaytunhijja67712 жыл бұрын
Ukiona ivo ujuwe imeshindikana hukulazimishwa kuchangia
@abuyunusmohamed69612 жыл бұрын
@@zaytunhijja6771 hapana wachangishaji wana jambo lao.Watu wanataka kugeuza mradi tu wakujipatia fedha.Hospitali zote siku hizi wanapokea bima za afya za serikali na binafsi
@omarsultan71952 жыл бұрын
Pesa wanazo bwna they look rich after all he was mbunge miaka 5 mil 12 kila mwezi yaan pesa bwana
@zuleikhakhamis33032 жыл бұрын
Saiv anaumwa already bima hawatokubali mana itakua hasara kwao insurance unatakiwa ukate kabla hujaugua maradhi makubwa kama ivyo mana ninakoishi mie life insurance wanakuliiza masuali kabla huja approved
@justinejackson17312 жыл бұрын
Mungu akuponye na akufanyie wepesi Mr Joseph Haule..
@abdullykapole96172 жыл бұрын
Mungu atakuponya prof jay na utakua salama insha-allah🙏.
@ayshamahariq66652 жыл бұрын
🙏🙏
@elvisoscar99122 жыл бұрын
Zuchu juzi kasema analipia Kodi jumba lake kwa mwaka million 44. Na Daimond platinumz Ndinga zake billion ukipiga esabu 7 eeh Harmonize jeshii CEO of Konde gang alinunua jumba la kifahal billion 1 na kiba sijui ana majumba mengi Aya Sasa wanatuonyesha na wamenunua ndege jet ila wakishaumwa aseeh wanakuja uku kulia lia sisi wa maisha ya chini ila bola tumchangie tu mzee wetu Professor J mzee wa mitulinga Hana ajawai kulinga
@mariambakari80652 жыл бұрын
Pole sana professional Jay hakika mungu hajawai kushindwa na chochote
@rehemajuma97332 жыл бұрын
Malisa Mungu akubariki sanaaaa nakupenda sana unajituma mnooooo
@silverman69302 жыл бұрын
Get well soon Prof. We are praying for you bro . 🙏❤️
@bonifacemarwa2832 жыл бұрын
@Fatma Karama pole sana ndugu yetu profess j mungu atasaidia
@user-po8hz7xw9j2 жыл бұрын
Nani naaimani hakosi hela kunawagonjwa Maskini kibao
@aminakipande56452 жыл бұрын
Unamaanisha kwamba
@robertlinuma60512 жыл бұрын
Nadhan akitoka salama anaweza kuwa baloz mzur kusaidia watu wenye uitaji !!!! Kwa ukubwa wake anaweza kufanya kitu kupitia hili ...mungu ambariki .
@sanoureyaliwadoakaroyo16962 жыл бұрын
Afadhali Uyuu Prof Jay Tunaweza Kumchangia Ila Wema Na Muna Love hawa Watakula Walicho Panda Shenzi Kabisa Hawa Wasanii Wanawake Wachen Maisha Fake , Tunangoja Na Irene Woya Tumshangie Siku sio Nyingi ni Swala La Muda Nyinyi Endelean Kuigiza Maisha ila Kwa Prof Jay Tupo Pamoja Nae
@aminakipande56452 жыл бұрын
🤣😘🤣🤣kabisaaaa
@saddamrashidmohmmedsaddamr73782 жыл бұрын
Mungu ampe wepes inshalah
@calebjoshua55892 жыл бұрын
Watu wenye hali duni mnawaacha na wana matataizo makubwa kutwa kuomba michango kwa ma celebrities tena wenye hela ndefu na walishaonja pesa za bunge kwa miaka mitano ndo akose bima ya daraja la kwanza kweli wakati ni mshauri wa fred vunja bei kabsa au ni ushauri wa kununua Hennessy za bata na akina Aristote hebu changishaneni wenyewe au uzeni magari yenu
@blandinamwarabu50252 жыл бұрын
🤔🙄
@jacquilinetenth34472 жыл бұрын
Acheni husda kama unamfatilia malisa kasaidia masikini wengi. ,
@annamarry20332 жыл бұрын
Acha roho mbaya Kama hutaki kutoa Kaa kimya haujalazimishwa bibie
@fredrickonchokanimrods96312 жыл бұрын
@@annamarry2033 ,Atoe wapi huyu,hana lolote n roho mbaya tu anayo
@bibianabenedict24592 жыл бұрын
Hujafa hujaumbika ndugu,kama huwezi kutoa mchango ni bora ukae kimya kuliko kumbeza mtu
@josephlorri4312 жыл бұрын
Pole sana bro, Mungu akujalie nafuu ya haraka
@IsmailKhan-ge9ri2 жыл бұрын
Da aisee Mungu tunusuru na maradhi Zari la mentali kaka utarudi tu kwenye uzima Inshallah
@leticiamchomvu36232 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu amfanyie wepesi atapona.
@donardmsomi84512 жыл бұрын
Mkono wa pole ndiyo kiswahili gani. Wewe sema ni mchango wa kulipia matibabu.. siyo useme Mkono wa pole.
@noahjoel52072 жыл бұрын
Brather pole. Mungu. Atafanya wepesi
@officialjclever98792 жыл бұрын
Huyu dogo Hana kauli nzur alfu ni muhuni pili anadharau sana
@RuzoOwzy2 жыл бұрын
Nani?
@raffeiystar28702 жыл бұрын
Mkono wa pole kwani kashakufa tayari
@meerahskitchen.loosingweig25352 жыл бұрын
Tanzania kila kitu fursa ,Get well soon prof RAIS KASHASEMA ATASHUGHULIKIA MATIBABU YAKO
@dainagano36562 жыл бұрын
Dua yangu ni mchango pia kwake ,mungu amjalie apone kabisa haraka.....
@Frankgamanuel2 жыл бұрын
Mlicho waza nikitu kizuli sana hili kuweza kuokoa huai wa mtu niko bega kwa bega na hilo Hushauri wangu Br.prfesa J Mungu ni mwema atafanya wepesi Ombi Prfesa hakiwa yuko fit ningeomba hawe mwenyekiti au katibu wa kuwapigani na Wale ambao wanaitaji msaada zaidi maoapitalini ambao hawana saport nao akawasimamie kama inavyo fanyika sasa kwake. Shuklani
@hassanmakamba71662 жыл бұрын
Naomba Bunge la Tanzania kuchukua fursa ya kumchangia mbunge mwenzao mstaafu.....kwa wema tu na kumuogopa Mungu......
@richardnganya23112 жыл бұрын
Tena wabunge hao wanaweza kumsaidia kupata bima ya afya ya daraja la juu kabisa !!
@zuleikhakhamis33032 жыл бұрын
@@richardnganya2311 tayari anaumwa maradhi makubwa bima gani itakubali kula hasara wanataka wakule wao kwanza kisha wakulipe
@kingkuntajr62832 жыл бұрын
Tazama umri wa mastaaa bongo kumbe zuchu n mkubwa kuliko harmonize kzbin.info/www/bejne/b6OuZGxvmdqkga8 😀😂
@matteonyerera97222 жыл бұрын
Asanteni sana kwa maelezo Mazuri yanatia moyo!!🤝🙏
@ybmtaakwamtaaofficial34152 жыл бұрын
Broo Joseph Haule ugua pole broo
@mariamgodfrey532 жыл бұрын
Kuna maskini kibao wanaugua wanakosa hata sh 100 ya matibabu leo hii mtu aliyewahi kuwa mbunge anaomba achangiwe hela za matibabu kha! Jamani embu tuacheni jamani tupambane na hali zetu aibu
@aminakipande56452 жыл бұрын
Aibu kweli jamanii ghaa wasanii wanapenda kiki ila wakiugua ndio kama haya mmh😳
@lamerckmsuya55132 жыл бұрын
Pole kaka j ,MUNGU AKUTIE NGUVU
@msengelaprimaryschool88852 жыл бұрын
Pole sana Profesa Jay tunakuombea upone ili iendelee na majukumu yako.
@cvanoedward30932 жыл бұрын
Mungu awabariki na Amponye Prof Jay
@officialmanji44382 жыл бұрын
Ugua Pole Professor J
@MohammedAli-rh5si2 жыл бұрын
In Sha Allah Mungu amfanyie wepesi apone
@juhudmedia66742 жыл бұрын
Get well soon Prof,Jay
@victoriamkilya9282 жыл бұрын
Mungu akubariki Kaka Malisa
@jumambwana70742 жыл бұрын
pole sana mkuu inshaallah mungu akupe nafuu
@sarahtaste28762 жыл бұрын
Poleni familia lkn lkn binadamu tabia mbaya sana mnaanza kuchangisha wakat uyo alikua mtu mkubwa tu tena mbunge wana bima zao yani mapema hvo mshaanza michango hela alizofanyia kazi miaka yote embu ninyamaze
@Papaahansmo2 жыл бұрын
Asante sana
@jacksonamos20082 жыл бұрын
Pole Sana
@melaigora76982 жыл бұрын
Pole kwake na mungu amponye
@ramadhaniathumani76152 жыл бұрын
Pole sana mzee wa mitulinga
@hafsaali44232 жыл бұрын
Hatudhihaki maradhi ila tukienda kwenye uhalisiya mnatupa maswali sana maana sidhani kama kweli hana pesa ya matibabu yule ni mbunge ni mwana mziki pesa wanapeka wapi jani kaumwa hata miezi miwi haijafika mnaomba msaada kweli hapa ndiyo nazidi kuwadharawu wasanii wetu mbwembwe nyingi mitandawoni mfukoni hakuna kitu hapo huyo mke ajifunze kuwekeza siyo kula raha mwisho mkipata shida kidogo mnakuwa omba omba
@reemareemo26982 жыл бұрын
Umeonaee kuna wanawake wengine nikama chuma ulete tuu kupenda kuvaa wigi kubadirisha muonekano wa asahau kana ipo siku wataugua
@rehemambilinyi35232 жыл бұрын
Mungu wa mbinguni akuponye ktk jina la Yesu kristo
@hamidangitu2272 жыл бұрын
Poleni sana jaman mungu ampe wepsi
@zackrichard36172 жыл бұрын
Ni jambo nzrii but kuna wengine wengi wanapoteza maisha kwa kukosa pesa ya matibabu tuwasaidie nao pia
@emmaadrian29292 жыл бұрын
Mwenyez Mungu amsimamie apone
@eliudmaster21752 жыл бұрын
Dah polen jamn msaniii wangu wa mda wote
@lemamoleli43202 жыл бұрын
pole sana jey mungu akulinde upone
@kingwatabata42302 жыл бұрын
Shemeji unazungumzia chama? Hapana prf j ni wa kila mtu sio chadema tu.
@alexambrose47222 жыл бұрын
Sasa SI ndiyo chama chake na unajua jinsi walivyo msaidia?
@vitalresspeter72952 жыл бұрын
mungu hatampa nguvu bala shaka hata mimi binafsi namuombea sana hapone haludi kufanya majukumu ya kitaifa letu amina
@selemanjuma15952 жыл бұрын
Mungu msaidie kaka yetu profesa jay
@agustinorichadi12532 жыл бұрын
Poleni sana wanafamilia Mungu ata mjalia atapona2
@daudstivin90652 жыл бұрын
Pokea uponyaji katika jina la Yesu.
@olarivolariv13132 жыл бұрын
Mngesema kwa mashabiki wa J kuwa J anaumwa so kwa mtu mwenye nafasi akamtembele na sio kuomba msaada....swali langu?je ni kwamba mmeishiwa au? Sikatai kuishiwa?ila jee ni kweli mnataka msaada au mnachora watu!!🤷
@deborapetro99262 жыл бұрын
Pole sana kaka mungu atakusaidia
@roseyohana67892 жыл бұрын
Pole mheshimiwa Mungu akuponye. Ila mkeo mbona haonyeshi kama anauguza?
@halimasaleh57052 жыл бұрын
Anaendelea vzr sana, halafu mnaomba michango ya nn? Sura zenu zinaonyesha hali yake si nzuri, tuko pamoja In Shaa Allah
@tinamahega98482 жыл бұрын
Au kakata kamba tayari,Mana hata kwa ruge ilikua kama ivi kumbe mtu alikata moto kitambo
@aminathaabubakarmasoud5652 жыл бұрын
Ni ishara ya upendo tuu, haimaanishi chochote kuwa umepona au anaendelea vizuri.
@mamaahmad86152 жыл бұрын
Pole sana kaka tupo tayar kuchangia mungu akuponye 🙏
@moshiamos79572 жыл бұрын
Pole san mungu yupo
@nishajuma85762 жыл бұрын
Pole sana p j mungu u pamoja na wewe
@khadijalambo21382 жыл бұрын
Aliyekuwa mbunge pia mwanamuziki,hana bima?na tuchangie anaumwa nini,pelekeni serikalini jamani sisi huku chini hata tukichangia tukiumwa hatutachangiwa nae/nao😏😏
@eddimwamba42082 жыл бұрын
Pole sana Jay mungu akutie nguvu😭🙏
@marygregory75662 жыл бұрын
Poleni sana familia..je ni vipi kuhusu kuwa BIMA
@winnerhapila1552 жыл бұрын
Mlivo hapo yawarudieni pr ako goood kaz kweenyuuu hajaishiiwa
@husnamadai70522 жыл бұрын
Sikatai achangiwe ila bima na uhakika anayo tena ile kubwa, mungu akupe shufaa
@evambukwa17652 жыл бұрын
Pole sanamheshimiwa jaman
@preciousnatashanatasha41102 жыл бұрын
Devine healing InshAllah
@saikalyasi27072 жыл бұрын
Tangu atoke bungeni ni mwaka mmoja umepita, Leo hii Hana hela ya matibabu 😳😳😳
@samuelmwaipopo13022 жыл бұрын
Get well soon Prof jizeee
@sylvesterkwembe36862 жыл бұрын
Bima ya afya kwa wote ni muhimu 💪🇹🇿👍
@evaristmrope2 жыл бұрын
Poleni sana familia ya Professor Jay🙏 get well soon
@saidyahya63922 жыл бұрын
Inshallah mwenyez mungu atamfanyia wepesi
@raymondchansa80772 жыл бұрын
Mm nampa pole mungu ndo muweza yote
@jflavour91992 жыл бұрын
Pole Sana Prof mngu akutangulie mbele
@yotehapatv77052 жыл бұрын
M mwenye atafany wepesi wake 👏🙏
@gloriachristian14702 жыл бұрын
Get wel soon brother
@gasparkiwiapamkiwia81052 жыл бұрын
Nizambi kumchangia pj...Masikini kibao wamelazwa wanakosa ata pesa yakula
@zenadaudzena28492 жыл бұрын
Haswaaa
@sirielsamweli47512 жыл бұрын
Duuu pole sanaaaa Prof Jay
@fredymaswimwita30912 жыл бұрын
Thanks,,, lkn waheshimiwa wanakuwa na nhf kubwa saana,, imekaaje hii wangwana,,
@jonasmsabato97542 жыл бұрын
Jamanii mungu hatamuacha pr,J
@billylovebillybillylovebil5802 жыл бұрын
Allah amponye njinsi ninavyo mpenda huyu mwana music