Ati synagogue ni Msikiti? Hii ujinga tuachane pls!
@chiefmkalikibz1503 Жыл бұрын
Ni nini wewe mwerevu?
@Annsikoboy-ut8bs Жыл бұрын
Hakuna popote hata kwa dawa na Uganga kuwa Biblia inaruhusu wanawake au mwanamke kuhubiri.
@hamzakimaro3764 Жыл бұрын
NAWEWE UNAYEVAA MAJEANS ACHANA NA HIZO NGUO VAA KANZU
@chiefmkalikibz1503 Жыл бұрын
Ni wapi tumefaradhishiwa kuvaa kanzu? Ni wapi tumeharamishiwa kuvaa Jean's?
@Believingitright Жыл бұрын
Na ni wapi imeandikwa mwanamke asihubiri? Try quote and get roasted?
@ismilecheseremkip361 Жыл бұрын
Ziko verses mingi sana in the Bible
@samxx411 Жыл бұрын
Hapa ndipo ninapowashangaa wakristo, amesema amehama katika nyumba ya wakristo akahamia wamasiah, akafafanuliwa kuwa nyumba hiyo ni ya wajinga, akapewa nyumba ambayo yesu alipeleka watu katika biblia...kaanza kuipinga ..sijui anataka nini tena ila mie nawaelewa hawa, tatizo lao kitu hata kama katika biblia ila wakiambiwa na muislamu inakuwa ngumu kuamini.