MKUU WA MKOA FEKI AKAMATWA MBEYA, ALIKUWA ANASIKILIZA KERO ZA WATU NA KUPOKEA MAONI...

  Рет қаралды 39,189

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

MKUU WA MKOA FEKI AKAMATWA MBEYA, ALIKUWA ANASIKILIZA KERO ZA WATU NA KUPOKEA MAONI...
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia WARREN MAX MWINUKA [20] Mkazi wa Makondeko - Mbeya Mjini kwa tuhuma za kujifanya Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya JUMA ZUBERI HOMERA akitumia akaunti ya mtandao wa kijamii wa Instagram kwa jina la “juma_homera”.
Mtuhumiwa alikamatwa mnamo tarehe 07.06.2022 majira ya saa 08:00 mchana huko maeneo ya Mama John Jijini Mbeya. Mtuhumiwa alikuwa akitumia akaunti hiyo kuwaadaa watu kwa kujifanya ni Mhe.Mkuu wa Mkoa wa Mbeya na kutoa namba ya simu yak wake ili wananchi waweze kutoa/kupeleka kero/shida mbalimbali kwake. Upelelezi wa shauri hili unaendelea na mara baada ya kukamilika atafikishwa mahakamani.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Пікірлер: 78
@theresiakaruhanga364
@theresiakaruhanga364 2 жыл бұрын
Afande. Mi namuombea msamaha maana haonekani kama ni tapeli ila ni ushamba tu msameheni tu
@ShekhahamedMuhsin
@ShekhahamedMuhsin 11 ай бұрын
Muheshimiwa tunamuombea msamehe amejielewa
@loner_wolf
@loner_wolf 2 жыл бұрын
Huyo kijana amebeba ujumbe , inamaana mkuu wa mkoa ni mzigo hapo , asikilize matatizo ya wananchi wake sio kukaa tu ofisini .....
@CSMAPESA
@CSMAPESA 2 жыл бұрын
Tumekuelewa mkuu wetu wa mkoa
@omarmkumba3547
@omarmkumba3547 2 жыл бұрын
Huyu kiukwel anastail msamaha!
@michaelezekiel8620
@michaelezekiel8620 2 жыл бұрын
Mheshmiwa mkuu wa mkoa, Tunakuomba msamehe hatarudia Tena, Tunakuomba!
@mishimtambo4684
@mishimtambo4684 5 ай бұрын
Yani nimecheka mpaka nimepaliwa sasa alikwenda Kijiji Gani jamani ila watu😂😂😂😂
@nadrahassan5241
@nadrahassan5241 2 жыл бұрын
Maskini msameheni jamani 😔💔 wapo watu wengi wanawo tumia majina ya watu maarufu ili kupata wafuasi😔
@MwitaSenso
@MwitaSenso 2 ай бұрын
Msaameen tu jamn sis vijana Mungu atusaidei
@sharifanyumayo6314
@sharifanyumayo6314 2 жыл бұрын
Kwa upande wangu mi naona hyo kijana angeachiwa tu cz kashatubu makosa yke na amesema lengo lake ni nini! Mbona wapo matapeli wengi tu hamuwakamati? Na kasema wapo wengi muwasake wote basi na syo huyo tu. Toeni Ajira kwa vijana
@bachutamwita4518
@bachutamwita4518 2 жыл бұрын
Kweli kijana unaelezea kwahisia nzuli Sana
@babalao910
@babalao910 2 жыл бұрын
Mmh! Maisha Mapya Kwa watz, Kazi IENDELEE.
@mwanaishakhamis8069
@mwanaishakhamis8069 2 жыл бұрын
Huyo ni wash wash wash🙆🇰🇪.amekoma huyo
@jumaabdala7530
@jumaabdala7530 2 жыл бұрын
Duu kunabinadamu Wana loho ngumu Duuh 🤔🤔 Dogo unachakachuwa na Mdogo ivyo
@ngurungutz3764
@ngurungutz3764 2 жыл бұрын
Kweli kabisa
@Neema935
@Neema935 10 ай бұрын
😂😂😂Kwa kweli, duniani, m'na mambo, dogo ka rithi.ukuu wa mkoa, kwa haki na kweli. Asamehewe kwa kweli.
@lemausontz3513
@lemausontz3513 2 жыл бұрын
Watu wanajiongeza Serikali inabna Kila Kona tfanyj Sasa tunatumia za kuzaliwa
@marthamilaji9385
@marthamilaji9385 2 жыл бұрын
Nimekuonea uruma mdogo wangu tuache tamaaa
@neemaruben5427
@neemaruben5427 2 жыл бұрын
Aiseeee we jela moja kwa moja
@King3201Offical
@King3201Offical 2 жыл бұрын
Huyo kijana kosa lake ni kutumia jina la mtu bila idhiki ya huyo mtu lakini ki ukweli huyo dogo hata makosa mengine mana kaeleza vizuri na kakili makosa kwamba hakujua kama ni kosa alifanya kwa mapenzi tu akidhani kwake itakuwa frusa kwahyo tusiwe wepesi wa kuhukumu tu bila kutafakali jambo kwa upana.
@alimahmoud358
@alimahmoud358 2 жыл бұрын
Mm naona kijana Hana makosa wakati hajatapeli mtu
@jamesgasper6764
@jamesgasper6764 2 жыл бұрын
Msameheni tu kijana coz hakufanya Kwa ubaya arafu alifanya Kwa kumuenspaya RC
@greenwellnsyukwe4729
@greenwellnsyukwe4729 10 ай бұрын
Mbona hata mwonekano unamgomea jamaniiii.
@danielshimora5315
@danielshimora5315 7 ай бұрын
Sasa kama amekuta hamsikilizi kero za watu, afanyeje???.
@josephmahando493
@josephmahando493 Жыл бұрын
Ajira ngumu sana jamani, Msameheenii
@RAPHAELSAID-kk7wu
@RAPHAELSAID-kk7wu 9 ай бұрын
Jiamini mzee unapo ongea ulikuwa unafikisha ujumbe wanatakiwa wajue majukumu yaotu
@yusufkisome639
@yusufkisome639 2 жыл бұрын
MKUU WA MKOA mwenyewe anasemaje?
@loner_wolf
@loner_wolf 2 жыл бұрын
Sio email hiyo , hiyo ni website
@berrydanny3577
@berrydanny3577 2 жыл бұрын
Km kero zimetatuliwa Basi 😃
@mahmoudsuleimanmohamed4969
@mahmoudsuleimanmohamed4969 2 жыл бұрын
easy police huyo ni kijana tu hajui alifanyalo
@teddygabriel5662
@teddygabriel5662 2 жыл бұрын
Duh🤔🤔🤔🤔
@moodyzanzibar4336
@moodyzanzibar4336 11 ай бұрын
huyu mmemuonyesha mbona mijambazi inayoumiza watu hamuionyeshi hadharani??
@samsonhaule3647
@samsonhaule3647 2 жыл бұрын
Kama hakumtapeli mtu Msameheni bure.
@dailantz4073
@dailantz4073 2 жыл бұрын
Hasameewe tu uyokijana nibina dama hajakamilika
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 2 жыл бұрын
Ana kosa na pili na la 3 pia 🤣🤣kosa la pili kafunga sala kimakosa 🤣🤣kosa la 3 anasali pili udhu 🤣🤣🤣
@marymichael9964
@marymichael9964 2 жыл бұрын
Wamuachie kashatambua kosa
@coolruler6820
@coolruler6820 2 жыл бұрын
Asikilizwe tuu,,,,,ahojiwe na ukweli utajulikana,,,,huenda kweli alifanya kwa kutokiwa na nia ovu
@TimothyPatrick-ku8rg
@TimothyPatrick-ku8rg 5 ай бұрын
Tumieni busara amejifunza msameheni tu
@gervasmalimi5126
@gervasmalimi5126 2 жыл бұрын
Yamkin Sasa unaenda kufungwa
@trillhappybeautypoint9874
@trillhappybeautypoint9874 2 жыл бұрын
Jamaniii labda alikua hajui
@ANRAHIMKADUMA
@ANRAHIMKADUMA 10 ай бұрын
pigeni na Makofi hawa Watu ili iwe mfano kwa wengine muongo huyo mba kabisa
@hemedmalamsha8829
@hemedmalamsha8829 2 жыл бұрын
Mbona hafanani na ukuu wa mkoa
@DamasAmos-ue2gh
@DamasAmos-ue2gh 5 ай бұрын
Niwaongo ao nimipango yao
@paschaljoh5729
@paschaljoh5729 2 жыл бұрын
Mbona dogo anaonekana ana akili Sana ktk teknolojia maana mpka kufikia uwezo wa kudukua taarifa za mkuu wa mkoa Yuko vzur na alikuwa na lengo nzur bt njia alotumia ndo inamfanya aonekane Mhuni lakn dogo yuko na akili Mingi kusikiliza kelo za wananchi wakt mkuu wa mkoa kaweka litumbo lake tuu officin Hana muda na Wananchi wake acha wenye mbinu mbadala wazitumie taifa tunahitaji vijana kama hawa
@ANRAHIMKADUMA
@ANRAHIMKADUMA 10 ай бұрын
Huyo miaka mitano inamuhusu bila kupind
@ANRAHIMKADUMA
@ANRAHIMKADUMA 10 ай бұрын
Kupepe macho
@nasramuddy1326
@nasramuddy1326 2 жыл бұрын
Duh,aiseee
@janetdaniely7945
@janetdaniely7945 2 жыл бұрын
Duu jamn matatizo kwel hii inchi inavijana waovyo San Aki
@kiehbhzh7044
@kiehbhzh7044 2 жыл бұрын
du
@geofreyalexander1382
@geofreyalexander1382 2 жыл бұрын
Website sio E mail
@tunsumejohntunsumejohn2210
@tunsumejohntunsumejohn2210 2 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa hiv unaitwa nan maana hata usikiki kabisa
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 10 ай бұрын
Huyu mkuu wetu wa mkoa feki tunaomba asamehewe
@YustoMlay-cv4zb
@YustoMlay-cv4zb 10 ай бұрын
Awe mkuu WA mkoa kabisa
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 2 жыл бұрын
Sasa anasikiliza kero za watu anazitatua vipii halafu akijipa hicho cheo kinamsaidia nini sasa
@rosemalle3600
@rosemalle3600 2 жыл бұрын
Huyo kijana,Hana akili kwa kutapeli kwa kutumia Jina la mkuu wa mkoa,kwa kujinufaisha,apewe adhabu Kali iwe fundisho kwa vijana wengine,vijana muwe na wazo ya kufanya yoyote Ile,msichague kazi,hata ya kulima Ni kazi,kwani mlio wengi hamjitumi kwa kufanya kazi ya mikono,
@chaxpeter5789
@chaxpeter5789 2 жыл бұрын
Ametapeli nini kaka zaidi ya kusikiliza kero za wanainchi???
@dastanfussy4898
@dastanfussy4898 2 жыл бұрын
Ha haaA
@salamanauthar480
@salamanauthar480 2 жыл бұрын
Ajatapeli mtu jamani
@YustoMlay-cv4zb
@YustoMlay-cv4zb 10 ай бұрын
Katepeli nin sasa Wacha ujinga
@salamanauthar480
@salamanauthar480 2 жыл бұрын
Msameheni jamani
@joycekalago532
@joycekalago532 2 жыл бұрын
Anatetemeka sana dogo duh
@ibrahimaziz7158
@ibrahimaziz7158 2 жыл бұрын
Jamaaa ameshikwa na baridi ya gafla
@amockkalinga1520
@amockkalinga1520 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😀😀😀 wewe Ibrahim wewe umenichekesha ati baridi ya ghafla
@rogerabdallah439
@rogerabdallah439 2 жыл бұрын
Inaonekana uyu mkuu wa mkoa kavu awezi kumsamee mkuu wa mkoa nae mwizi tu kwasababu uyo dogo kakamatwa basi mwizi yeye
@charleskingimwakasagule5752
@charleskingimwakasagule5752 2 жыл бұрын
Ndo ubaya wa viongozi wa tz yani hukumu inatolewa mitani sio mahakamani yani hivohivo na hakimu ataenda kufata ivo hivo du
@hamiduhamisi2371
@hamiduhamisi2371 2 жыл бұрын
umeonae hiyo kitu mi mwenyewe sijawaelewa kabisa kwani mahakama kazi yake nini?
@alimakame9215
@alimakame9215 2 жыл бұрын
Dunia ujanja dar
@mathiasbuchenja331
@mathiasbuchenja331 2 жыл бұрын
Jela kabisaaa!!
@مسدمصطفى
@مسدمصطفى 2 жыл бұрын
Still innocent until proven guilty. Police you have already judged him and put him in prison
@zakiaramadhani3519
@zakiaramadhani3519 2 жыл бұрын
Masikini anatetemeka lkn kama kweli hakuwa na nia mbaya
@YustoMlay-cv4zb
@YustoMlay-cv4zb 10 ай бұрын
Ndo shida ya hii nchi
@jumapiliissa4835
@jumapiliissa4835 2 жыл бұрын
Hahaha duu kamuona mkuu wa mkoa mzembe wa kazi yake
@adamjonas1568
@adamjonas1568 2 жыл бұрын
Duh
@simongabrielngwelusimongab550
@simongabrielngwelusimongab550 2 жыл бұрын
Juma homela msamehe huyo kijana halfu umuchukue uende naye ukakae umusikilize shida yake kubwa no nini jifunze kusamehe mbona magufuri alikuwaga na moyo wa kusamehe jamani mtu akiomba msamaha asemehewe
@ngurungutz3764
@ngurungutz3764 2 жыл бұрын
Msameeni tu
@amockkalinga1520
@amockkalinga1520 2 жыл бұрын
@@simongabrielngwelusimongab550 point!
@Oman-p8x
@Oman-p8x 9 ай бұрын
Msamehenituu
@alibushiri4725
@alibushiri4725 2 жыл бұрын
Duuuuu
MKUU WA MKOA FEKI AKAMATWA MBEYA, ANASIKILIZA KERO ZA WANANCHI!
4:37
She made herself an ear of corn from his marmalade candies🌽🌽🌽
00:38
Valja & Maxim Family
Рет қаралды 18 МЛН
How Strong Is Tape?
00:24
Stokes Twins
Рет қаралды 96 МЛН
The evil clown plays a prank on the angel
00:39
超人夫妇
Рет қаралды 53 МЛН
Quando A Diferença De Altura É Muito Grande 😲😂
00:12
Mari Maria
Рет қаралды 45 МЛН
Seizure of Russian tankers / Strategic defeat
12:05
NEXTA Live
Рет қаралды 457 М.
Wanajeshi feki walivyoingia kwenye 18 za Polisi Dodoma
9:42
Millard Ayo
Рет қаралды 2 МЛН
Kilichomkuta Mtoto wa Miaka 17, Aliyejifanya Mwanajeshi!
4:10
Global TV Online
Рет қаралды 615 М.
She made herself an ear of corn from his marmalade candies🌽🌽🌽
00:38
Valja & Maxim Family
Рет қаралды 18 МЛН