Wanajeshi feki walivyoingia kwenye 18 za Polisi Dodoma

  Рет қаралды 1,973,205

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 1 000
@fredrickmalunde3426
@fredrickmalunde3426 4 жыл бұрын
Mzee mwanajeshi ,nimempenda sana ,anaconfidence na alikua anatafuta chakula cha familia ,
@jensennashon6147
@jensennashon6147 6 жыл бұрын
Hongera sana kamanda wa DODOMA Mungu akusimamie. Hawa ndio wanaotesa wananchi kuwarudisha nyuma kiuchumi
@mosesmwile4308
@mosesmwile4308 6 жыл бұрын
Big sana mzee wangu mungu akubaliki mzee wangu kwa kazi nzuri ya kukamataa waalifu hapa nchini na mkoani dodoma big up sana mzee raisi akufikirie maana unapiga sana kazi
@ikulunimahalipatakatifu7642
@ikulunimahalipatakatifu7642 2 жыл бұрын
Kazi nzuri Jeshi letu la polisi.., , hao ni wavuvi wakajifuze kazi gerezani..
@bobelichi7721
@bobelichi7721 Ай бұрын
Kaka umekoxea siyo wavuvi.....ni wavivu😂😂😂
@sosteneschahe6487
@sosteneschahe6487 6 жыл бұрын
Anaeona ni maigizo akaibe au avunje sheria ya nchi nae wamuigizie kama hao,ila mm ushauri kwa jeshi, MTU akiachishwa kazi apekuliwe vilivyo asiondoke na kitu kinachohusiana na jeshi maana ni hatari sana,hatujui vita itatokea lini,na wapi,sasa hawa walio na sare za jeshi watafelisha mapambano zidi ya adui maana jeshi likiona sare hiyo litasema in mwenzao kumbe sio#safi sana mzee wangu hiyo ndiyo kazi ya jeshi.
@thomastarimo
@thomastarimo Жыл бұрын
Wewe ni muhuni wewe kwanza ulikataza wananchi wasifanye maombi kipindi cha kaka yetu mpendwa wetu lisu alivyo shambuliwa na hawo wahuni washenzi kama wewe sis tuliumia sana kaka yetu kuhumizwa na mashetani wenzeni
@khadijahamisi6558
@khadijahamisi6558 Жыл бұрын
Safii sana jeshi la police kazi nzurii allah awaongoze kweny kazii zenu inshaallah🤲🤲dodoma sio mji wa matukio mkifika uku cha moto mtakiona😏😏
@kiratugakinya6778
@kiratugakinya6778 5 жыл бұрын
Am glad to see how this Tanzanian senior police officer address the press and the general public, cautions them not to fall prey of these thugs,on same note he's exercising great care while handling the exhibits not touching them with bare hands.
@gabrielgodwin2698
@gabrielgodwin2698 2 жыл бұрын
Asanteni jeshi la police kwa kazi nzuri endeleeni kuchapa kazi.
@bm2tv299
@bm2tv299 6 жыл бұрын
Safi sana,Askari wetu kazi nzuri sana,hakika kazi yenu tunaiyona.
@ezekielanastatus1579
@ezekielanastatus1579 6 жыл бұрын
Asanteni jeshi la polisi ao wamezidi kuta peri wana nchi kazi nzuri
@wcbwanatishakiranikirudiab2349
@wcbwanatishakiranikirudiab2349 6 жыл бұрын
Asanteni sana majeshi yetu kwa kazi nzuri sana mwenyezi MUNGU yupo pamoja nanyi
@danielhilya3877
@danielhilya3877 6 жыл бұрын
wcb wanatisha kira nikirudia bado daaa Omary pole
@richardlobulu3822
@richardlobulu3822 6 жыл бұрын
wcb wanatisha kira nikirudia bado daaa Omary tudulisu
@juliuskatemi6816
@juliuskatemi6816 6 жыл бұрын
hongera sana tena sana RPC DODOMA unafanya kazi nzuri muno na jeshi lako,,,kwa hakika tunajivunia tuko salama ..endelea kutulinda wananchi MUNGU atakulipa kwa kazi nzuri unayofanya ya kutulinda
@e_voicespanish1182
@e_voicespanish1182 6 жыл бұрын
Kazi nzuri askari wetu Mungu awatie nguvu kwa kujitoa kuilinda nchi yetu
@barakamwita7768
@barakamwita7768 4 жыл бұрын
Jjtach
@mussaissa6796
@mussaissa6796 2 жыл бұрын
Kubwa zima zee zima ovyooo
@happynessmkuyu545
@happynessmkuyu545 6 жыл бұрын
Hongera polisi Dodoma, na Veyula mje kuna wezi sana tena wanaanzakuiba kuanzia saa 4
@alexkweka1374
@alexkweka1374 4 жыл бұрын
Mbona anajieleza kama yupo bongo star search hana hata wasiwasi 😎😎
@Mushivictor
@Mushivictor 6 жыл бұрын
Hahahahaha huyo MZEE anavyoelezea utadhani biashara Fulani hivi halali yani hadi kutabasamu . Hongera kamanda Dom mambo motooo
@emmanuelnzaligo6262
@emmanuelnzaligo6262 4 жыл бұрын
Safi kamanda kazi nzuri
@politeman8011
@politeman8011 6 жыл бұрын
huyo mwanajeshi japo ni mhalifu lakini ni ishara ya kwamba jeshi letu lina majasiri yuko smati jasiri haogopi yeye aliandaliwa kupambana na vita sasa kesi kama hiyo ndo atetemeke nini sasa Cha muhimu wewe pata picha aliyetolewa kazi jasiri hivyo walio baki je? Hongera jeshi la tanzania.
@stimulihussen6246
@stimulihussen6246 4 жыл бұрын
good
@ismailchilonga2878
@ismailchilonga2878 4 жыл бұрын
Usidanganye watu bhana katiba ya wapi hiyo uyo matapeli tu
@martinemasanja1633
@martinemasanja1633 4 жыл бұрын
Huwezi jua anaweza yupo ktk kozi maarumu
@harunilibangite7205
@harunilibangite7205 4 жыл бұрын
Hhhhhh kweli
@pendochibwae4982
@pendochibwae4982 Жыл бұрын
Hongereni kazi yenu ni njema Mungu awaongezee maarifa na macho
@getrudamatoto1979
@getrudamatoto1979 6 жыл бұрын
Tushukuru sana majeshi yetu Kwa kazi nzuri
@berthalaswai710
@berthalaswai710 6 жыл бұрын
Season 2
@heronimomsefya3190
@heronimomsefya3190 6 жыл бұрын
Asante kamanda safi sana
@ismailyusuph740
@ismailyusuph740 6 жыл бұрын
Siku zote Soldier ni mkweli...nimekubali Combat ‘ ...!..💣💥
@shabanigoashabanigoa8654
@shabanigoashabanigoa8654 6 жыл бұрын
Safikamanda
@dicksonluena3266
@dicksonluena3266 3 жыл бұрын
Hizo Kazi Mzuri,,,Sio kutunyima Raha Bodaboda
@detectivejeffrey6401
@detectivejeffrey6401 6 жыл бұрын
Afande wangu hongera kwa kazi nzuri kuwakamata hao majangiri... Lakini nikushauli kitu kimoja ili JWTZ wawe na amani wapelekeni hao waalifu pale Maktopola muwakabizi pale wakachezee kwanza.. Wakabizi kwa wale MP ambao hawajawai kuliona jua wenye macho mekundu nadhani baada ya hapo haina haja ya case peleka moja kwa moja gerezani wataponea huko huko majeraha yao.
@fatumamilimo1936
@fatumamilimo1936 6 жыл бұрын
Joseph Kazungu Ahaaaa umejua kunichekesha
@erickhaule8680
@erickhaule8680 6 жыл бұрын
Joseph Kazungu hahhaha makotopola pale watakiona aisee watajamba cheche
@georgejonathanbahati8822
@georgejonathanbahati8822 6 жыл бұрын
Joseph Kazungu mbn
@shideashidea5570
@shideashidea5570 6 жыл бұрын
Joseph Kazungu kweli kabisa watajua kuiba ni bonge la kazi
@stevenkambeytz2459
@stevenkambeytz2459 6 жыл бұрын
Daaah kazi nziri sana Jeshi la polisi..ningekua na uwezo ningewapa zawadi kubwa sana but MUNGU awabariki sana na awe nanyi katika kazi zenu awape nguvu na imani ya kutumika kwauwaminifu.
@vinotieno4893
@vinotieno4893 6 жыл бұрын
Tunacheza sana Dodoma😂😂😂
@apewemuyull651
@apewemuyull651 3 жыл бұрын
uwo niuzalilishaji wajeshi kwanini musimvue kweza ilovazi au amujui kamailovazi ndousalama wamchi
@gracewambura4823
@gracewambura4823 2 жыл бұрын
Mhhhh!!!mbona wanaongea wanajiami kihivyo hata hawana hofu.
@paulebby1552
@paulebby1552 4 жыл бұрын
Kova Jr Hakunaga Mwendelezo hapo 😂😂😂😂😂
@ebenezerebenezerjoelynnko3535
@ebenezerebenezerjoelynnko3535 Ай бұрын
kweli!!! Mungu tusaidie.!!!
@jonaselias7729
@jonaselias7729 6 жыл бұрын
namuonea huruma I'm coming from very humbly soldiers family he is looking like my dad...
@prochesilyakurwa815
@prochesilyakurwa815 6 жыл бұрын
Hahah
@jacobwatson7107
@jacobwatson7107 6 жыл бұрын
Tunaheshimu sana jeshi la polisi kwa kazi nzuri wanayofanya!!..ila kwa hili ni dhahiri kabsa n igizo la kutengenezwa
@mpelienock
@mpelienock 6 жыл бұрын
Wapigaji wastaarabu kweli hawana haja ya kudhuru mtu. Walikua well organized lazima mtu awaamini.
@shemelaruhinda6113
@shemelaruhinda6113 6 жыл бұрын
Poleni sana jeshi la polisi mnafanya kazi ngumu sana
@lilianbunjulu1281
@lilianbunjulu1281 6 жыл бұрын
Safi kamanda good work
@meddodoma5235
@meddodoma5235 6 жыл бұрын
Pongezi kwa Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma kwa kazi nzuri, watu wa aina hiyo wamekuwa tatizo kwenye jamii. Kila la heri Kamanda na vijana wako.
@Kobe_254
@Kobe_254 4 жыл бұрын
Nilikua nangojea Harmonize, sijui mbona hajakamatwa pia..
@shanganisaidi8165
@shanganisaidi8165 4 жыл бұрын
Yule konde boy hawezi kamatwa ujue ivo
@rahmaasaleh9697
@rahmaasaleh9697 3 жыл бұрын
Fazaahaaaaa awooo
@mshambawamjini2671
@mshambawamjini2671 5 жыл бұрын
Mimi hiyo kazi ya jeshi LA Tanzania naipenda sana ila hawo washuhulikieni Mimi nasubiri mh magufuli atakapo kuja rombo aniteuwe niende mafunzoni jeshiniiii
@shylagwadebalima7572
@shylagwadebalima7572 6 жыл бұрын
Daaaa hii Kali, yaani mtuhumiwa unafunguka bila wasiwasi, sijaelewa hiii
@kingyehoshafatitvbornerys2496
@kingyehoshafatitvbornerys2496 6 жыл бұрын
Shylagwa de Balima yaani wewe una mawzo kama yangu .....angalia kwenye koment yangu uone nilicho andika!!!!!
@mtangagraphics9146
@mtangagraphics9146 5 жыл бұрын
hajawah kuwa afande anatoa sirii tu kurahs
@dicksonmajogoro7575
@dicksonmajogoro7575 5 жыл бұрын
Fanya uhalifu ndo utajua Kama utafanywa nn ili ufunguke kila kitu
@mitemafilm88
@mitemafilm88 5 жыл бұрын
Unadhani anaongea tu, ashapitishwa jikoni kwanza
@mariunkirungi6201
@mariunkirungi6201 6 жыл бұрын
mmmmmh huyu mbaba anajieleza vizuri aisee mbavu zangu mie tapeli hana hata soni ya aibu wonders shall never end safi sana Kamanda big up
@sebastiansalamba8236
@sebastiansalamba8236 6 жыл бұрын
Nyinyi mnaomdhihaki Kamanda endeleeni tu mnafikiri Tz ni nchi ya mchezo sisi tulioshuhudia wakati Wa makaburu wakitaka kuhujumu nchi hii nawakashindwa tunajua,na nyinyi kama mmetumwa haya tutaona mwisho wake
@aishachambo3293
@aishachambo3293 6 жыл бұрын
Safi sana mzee wa watapata tabi sana wapewe kipigo cha mbwa koko tu
@aminasanga7096
@aminasanga7096 6 жыл бұрын
acheni hzo mroto ni mchapa kazi tk akiwa ocd maturubai ni mlinzi mzuri Wa RAIA wake hongela sana
@hasanhamadi9671
@hasanhamadi9671 5 жыл бұрын
Amina Sanga
@shukurukihwelo3084
@shukurukihwelo3084 2 жыл бұрын
Mroto upo vizuri sana mungu akuongoze kwa kila jiti hada zaako za kupambana na wa harifu kwa kweri upo kikazi zaidi
@goodluckmrosso486
@goodluckmrosso486 6 жыл бұрын
Kama mwalifu anajieleza hvyo nihatareeeee sana...😎😎😎😎😎 ila nahc tyu jaman hizo ni mbinu za kujulikan tyu nahc tyu jmn
@Mushivictor
@Mushivictor 6 жыл бұрын
Goodluck Mrosso yaani jamaa anavyojieleza kama anaelezea tamthilia hivi , hana hata chembe ya hofu yani jaamni
@ayoubcharles7038
@ayoubcharles7038 6 жыл бұрын
tehetehe
@fatumamilimo1936
@fatumamilimo1936 6 жыл бұрын
Anajielezea vizurii ili asemehewe jamani
@allymfangavoo6065
@allymfangavoo6065 6 жыл бұрын
Hamna mualifu apo wametengeneza watu wao mtuhumiwa gani anajieleza kama biashara ya nyanya anafanyaa
@wilsonuhenge1926
@wilsonuhenge1926 5 жыл бұрын
Huyo arudishwe kazini, ugumu wa maisha ndio humfikisha MTU mahari hapo
@isacknguvumali3445
@isacknguvumali3445 6 жыл бұрын
Daaa huyu mkuu wa police Dodoma na mkubali sana
@isacknguvumali3445
@isacknguvumali3445 6 жыл бұрын
Gasper Kivamba Kivamba yani ni sheeeda ameamua kuzalilisha jeshi la watu achukuliwe hatua kabisa kweli mwanangu daaa
@hoseaswai6247
@hoseaswai6247 6 жыл бұрын
Asante sana jeshi la usalama kwa kazi nzuri. Mwenyezi MUNGU aendelee kuwajalia uweza na nguvu ya kuu kabili uovu na kuuondosha kabisa.
@landsospeter2298
@landsospeter2298 6 жыл бұрын
Hosea Swai ww fala usimtaje mungu kwenye maigizo kama haya ebu muogopeni mungu
@Hassan_Mengi
@Hassan_Mengi 6 жыл бұрын
Hongera sana askari we2, Mungu awabariki
@nasraabdul2522
@nasraabdul2522 6 жыл бұрын
Ni Sheria, mwanajeshi akifukuzwa kwa utovu wa nidhamu anyang'anywi mavazi ya keshi!! hatari sana.
@hajimakame1062
@hajimakame1062 4 жыл бұрын
Kazi nzuri kamanda umefanya
@Peter-s8h
@Peter-s8h 26 күн бұрын
Hija lopa
@Peter-s8h
@Peter-s8h 26 күн бұрын
Hasumani lopa
@lastseen6815
@lastseen6815 6 жыл бұрын
Kiki za kipuuziii yani ata hamujui kujipanga na uwongo, hao ambao hawakuhojiwa ndio waizi wa ukweli ila uyo mwanajeshi ni kiki tu
@davidlukumay2226
@davidlukumay2226 3 жыл бұрын
Umeona eee
@thomasmalle3947
@thomasmalle3947 9 ай бұрын
Kamanda Mliro anastahili kabisa kuwa Mkuu wa Wilaya au hata Mkoa, ameitendea vyema sana kazi yake na nchi yake.
@develmediatz6371
@develmediatz6371 6 жыл бұрын
nimekubali confidence ya huyo tapeli mwanajeshi
@matitu_jr5035
@matitu_jr5035 5 жыл бұрын
Ajali kazini, Dodoma kunapigika sana tu.
@mussajames7845
@mussajames7845 4 жыл бұрын
Matitu_jr
@frankjoseph6213
@frankjoseph6213 6 жыл бұрын
sawa sawa Mkubwa
@rashidsuleiman2663
@rashidsuleiman2663 6 жыл бұрын
hongereni polisi kwa kazi nzuri,bora kuongeza nguvu zenu kwa wahalifu kuliko kwa wanasiasa.
@prochesilyakurwa815
@prochesilyakurwa815 6 жыл бұрын
Kwel watanzania wameoza akili......maaana sio kwa kulalamika huko kwa kipuuzi wakikamatwa mnasema maigizo ....wasipokamatwa mnasema hawajulikani ......jamani kwel ipo siku mtatambua mchango wa jeshi letu imara na lenye sifa ya uadilifu .....Mungu ibarik Tanzania
@danielyissaya9372
@danielyissaya9372 3 жыл бұрын
Kz nzuri
@mawazoselemani614
@mawazoselemani614 6 жыл бұрын
Big up kamanda!
@saumuhassan6365
@saumuhassan6365 6 жыл бұрын
Hongera sana kamanda kwa kazi nzuri
@african_channel
@african_channel 6 жыл бұрын
naona kamanda mroto anafuata nyayo ya kova safi sana
@frankbrandan8039
@frankbrandan8039 6 жыл бұрын
yusuph hassani kiboko alikua Alfred tibaigana
@amosbinmahona9947
@amosbinmahona9947 6 жыл бұрын
Hatari sana Good job 4 police force
@ancomagu8531
@ancomagu8531 6 жыл бұрын
Congratulations isipect
@jamillaibrahim7068
@jamillaibrahim7068 6 жыл бұрын
Anco Magu 😂 😂 😂 😂 isipect lol
@benardmunna9194
@benardmunna9194 6 жыл бұрын
Jamilla Ibrahim 😂😂😂
@kassimrajabu7805
@kassimrajabu7805 6 жыл бұрын
Hahahahhahahaha
@ancomagu8531
@ancomagu8531 6 жыл бұрын
Jamilla Ibrahim nawe c unaamini kuwa lugha yetu hiyo my
@ancomagu8531
@ancomagu8531 6 жыл бұрын
benard munna usinicheke nifundishe jinsi ya kuandika
@amouralhabsi9296
@amouralhabsi9296 6 жыл бұрын
Asante jeshi la tanzania hii ni kwaajili ya raisi wetu magufuli
@benjaminfataki6898
@benjaminfataki6898 6 жыл бұрын
msema hukweli mtumishi wa mungu
@halimayusuf7985
@halimayusuf7985 6 жыл бұрын
Uyu mwanajeshi mungu kamukumu kwa zurma
@geraldrobert1801
@geraldrobert1801 5 жыл бұрын
Waliompiga Lissu waliingia Dodoma na wakaondoka kurejea Dar kiulaiiinii
@protasmalala7559
@protasmalala7559 4 жыл бұрын
Mwenzetu kumbe unajua walitokea dar?
@aizackkajika5086
@aizackkajika5086 4 жыл бұрын
@@protasmalala7559 hahahaha anawafahamu🤣🤣😂
@jumamofu9573
@jumamofu9573 4 жыл бұрын
Kumbee inabidi uisaidie Police
@arqamibnarqam.7185
@arqamibnarqam.7185 4 жыл бұрын
Atatusaidia zaidi kupunguza mlolongo wa upelelezi
@evansm8802
@evansm8802 4 жыл бұрын
Kkkkkkkk interesting Indeed. Wakiingua dodoma hawatoki. So the attackers of tundu lissu bado inside Dodoma
@sakshidayaly2220
@sakshidayaly2220 6 жыл бұрын
Daaa kweli hapa kazi tuu watuhumiwa wanatabasam hawana wasiwasi
@hamisijumanne3724
@hamisijumanne3724 6 жыл бұрын
itabidi huyo mwanajeshi wamrudishe jeshini
@samwelrobert9687
@samwelrobert9687 4 жыл бұрын
Kweli tena bado ana nguvi kabisa
@kenedykakozi3163
@kenedykakozi3163 Жыл бұрын
Wao
@tunafishtunna4771
@tunafishtunna4771 6 жыл бұрын
Au sio😂 ,kiki hizi ztang'oka siku
@petermuganda7087
@petermuganda7087 6 жыл бұрын
hongereni sana jeshi la polisi kwakazi nzuri.
@aristocresseverian6623
@aristocresseverian6623 6 жыл бұрын
Wanajeshi gani hao wanaropoka hivyoo najua mwanajeshi rohongumu kumezaa 😈😈
@veronikadalali7251
@veronikadalali7251 3 жыл бұрын
Huo ndo uwanaume akipatwa hakuna jins nimemkubal Afand wang
@avoldwilliam1131
@avoldwilliam1131 4 жыл бұрын
Hajaiva huyo bhana.. Mwanajeshi gani anakuwa hivyo.. Pengine AKILI imeruka
@Millidady
@Millidady 6 жыл бұрын
Mwanajeshi kafunguka vizuri
@abduLlah-yj3pr
@abduLlah-yj3pr 6 жыл бұрын
views 22k hana kinyongo hhhhh
@dovicochristopher5388
@dovicochristopher5388 6 жыл бұрын
views 22k 😂😂😂
@stevenlyando1801
@stevenlyando1801 6 жыл бұрын
kama mchezo hivi,muharifu halafu kesi inahusu jeshi anatiririka kwa confidence hivyo wakati anajua linalomfuatia,,,,
@sebastianmichael4031
@sebastianmichael4031 3 жыл бұрын
Safi sana kamanda
@ssaa7495
@ssaa7495 6 жыл бұрын
Alafu anaongea bila wasi wasi 😂😂😂😂😂🤣🤣🤣
@lizzydiy4590
@lizzydiy4590 4 жыл бұрын
Yan utazan hakuna kitu
@edinawilliam2943
@edinawilliam2943 2 жыл бұрын
Nampenda pia ula awe makini👏👏👏
@princesinko4073
@princesinko4073 6 жыл бұрын
Hongereni kazi nzuri
@guyoibrahim3100
@guyoibrahim3100 6 жыл бұрын
Kwa kweli Askari ya Tz wako na nidamu, ingekuwa ya Kenya hawa shavunjwa vunjwa
@twofivefive906
@twofivefive906 3 жыл бұрын
Noma sana
@BaloMega
@BaloMega 6 жыл бұрын
Guys get a lawyer, you dont have to answer any of those abusive questions whatsoever, dont get abused, you will also have a chance to sue them.
@kaylaminani5296
@kaylaminani5296 Жыл бұрын
😂😂😂that is afrika and not Europe
@sudeinwahab906
@sudeinwahab906 6 жыл бұрын
Hongera jeshi la police dodoma
@kahugentobi2715
@kahugentobi2715 6 жыл бұрын
Wa Lissu Walitokaje Dodoma Mpaka Leo movie 2
@kaminyogemwachelwa9884
@kaminyogemwachelwa9884 6 жыл бұрын
Hapo nitawasifia kwelikweli.....safi sana
@braitmichael7711
@braitmichael7711 6 жыл бұрын
Mkuu naomba mnitumie namba zenu niwatumie namba yasimu inafanya utapeli kwa kupitia jina la kiongozi.
@sitamahalakshmi2315
@sitamahalakshmi2315 5 жыл бұрын
Brait Michmmmsex
@cassianndunguru3560
@cassianndunguru3560 6 жыл бұрын
Hongera RPC dodoma kwa kazi nzuri....
@jonathanmasu6803
@jonathanmasu6803 6 жыл бұрын
Hii nchi ina raia waliooza akili, wasipokamatwa mnaanza kudai police wanasema upelelezi upelelezi lkn hamuoni matokeo, wakikamata wahalifu mnasema wanaigiza, semeni sasa mnataka nini!!, You have been brainwashed by medias, wake up guys.
@shabaniomary9766
@shabaniomary9766 6 жыл бұрын
Jonathan Masu Hahaha
@ziadaalute6836
@ziadaalute6836 6 жыл бұрын
Jonathan Masu ,Tunawataka waliomimina risasi 38 saa sabamchana,kama Dodoma ukiingia hutoki,walewalitokajee?
@jonathanmasu6803
@jonathanmasu6803 6 жыл бұрын
Ziada alute, sawa endeleeni kuwa wavumilivu watawaletea
@mwanaharakatidjguy6546
@mwanaharakatidjguy6546 6 жыл бұрын
Jonathan Masu hao wa pikipiki sawa lakn yule luten mmmmmh
@malickmakatta6089
@malickmakatta6089 6 жыл бұрын
Jonathan Masu kuna majitu majinga hata yafanyiwe nini yatapinga tu
@rodrickdyampaye4499
@rodrickdyampaye4499 5 жыл бұрын
Gonga like kama una kubari kazi anayo ifanya huyo askali
@dawillygene
@dawillygene 5 жыл бұрын
Kazi nzuri kamanda,hongereni sana.
@peterkawandamo9096
@peterkawandamo9096 6 жыл бұрын
Hahaha daaaah hii movie inaitwajee??
@niaanthony9588
@niaanthony9588 6 жыл бұрын
Peter Kawandamo ww nawe unavituko
@denismrutu5704
@denismrutu5704 6 жыл бұрын
Peter Kawandamo Double impact
@boyjopar8717
@boyjopar8717 4 жыл бұрын
Hio movie banaa hakuna kitu hapo
@leoncydaniel9979
@leoncydaniel9979 4 жыл бұрын
Mission impossible
@suleimanmakameally1395
@suleimanmakameally1395 6 жыл бұрын
KAMANDA hongera sana
@festoedward1902
@festoedward1902 6 жыл бұрын
Mhalifu gani anafunguka Hana wacwac 🙄🙄🙄🙄🙄 au ni kiki anataka awe igp
@wandwechacha7813
@wandwechacha7813 6 жыл бұрын
Unataka aongee akilia au
@sekinatalibtalib8246
@sekinatalibtalib8246 6 жыл бұрын
Festo Edward1 umeona ee it has never happen like this ati mtu akubali live makosa.Tz bhana nchii ya kiki
@naftalydeogratius9805
@naftalydeogratius9805 6 жыл бұрын
maigizo hyoo
@samobicon3195
@samobicon3195 6 жыл бұрын
hujawahi kubanwa wewe
@AmosBPeter
@AmosBPeter 6 жыл бұрын
Festo Edward1 huyo alikuw ni soja ndo maan han wacwac angalia ambao hawan combat
@mgasa_tz5527
@mgasa_tz5527 3 жыл бұрын
Daah.! Ukisha kamatwa unakua fara kwel Aisee 😢😢😢
@mashmashmkeyenge9210
@mashmashmkeyenge9210 6 жыл бұрын
DUUUUUU HATARI SANA NA HONGERTA POLISI DODOMA
@bakarimshuza4404
@bakarimshuza4404 6 жыл бұрын
Ahsante kwa kazi nzuri na wale watu wasio julikana umefikia wapi?
@dukundegakondo
@dukundegakondo 5 жыл бұрын
Kazi ni kazi 🤣🤣🤣
@affaanothmaan6287
@affaanothmaan6287 6 жыл бұрын
Mmmmmmhhhh hao kama ni wahalifu kweli basi sio wa nchi hii
@saoamy7168
@saoamy7168 6 жыл бұрын
😂😂😂huyu mwanajeshi kwel
@nelsonkyauke1481
@nelsonkyauke1481 6 жыл бұрын
Tanzania tunajua kucheza na akili za watanzania
@kenethadonia3292
@kenethadonia3292 6 жыл бұрын
Hamnaga Mwanajeshi boya boya ivyo,
@paccomabula1456
@paccomabula1456 4 жыл бұрын
Hyooo ni dodoma nazani unaelewa nikisema hvyoo,,,Tnzania yote iko pale.
Polisi Dodoma baada ya kuwakamata matapeli
12:44
Millard Ayo
Рет қаралды 2,3 МЛН
SISTER EXPOSED MY MAGIC @Whoispelagheya
00:45
MasomkaMagic
Рет қаралды 11 МЛН
龟兔赛跑:好可爱的小乌龟#short #angel #clown
01:00
Super Beauty team
Рет қаралды 56 МЛН
Сюрприз для Златы на день рождения
00:10
Victoria Portfolio
Рет қаралды 2,3 МЛН
Synyptas 4 | Арамызда бір сатқын бар ! | 4 Bolim
17:24
Polisi feki waliokamatwa Dodoma, RPC Muroto akiwahoji maswali
8:19
"Nabii Tito" amwambia Kamanda "mimi ninatumia Biblia"
8:26
Millard Ayo
Рет қаралды 757 М.
Original Komedi walivyoingia kwenye Harusi ya Masanja na sare za Polisi
11:53
SISTER EXPOSED MY MAGIC @Whoispelagheya
00:45
MasomkaMagic
Рет қаралды 11 МЛН