Mzee mwanajeshi ,nimempenda sana ,anaconfidence na alikua anatafuta chakula cha familia ,
@jensennashon61476 жыл бұрын
Hongera sana kamanda wa DODOMA Mungu akusimamie. Hawa ndio wanaotesa wananchi kuwarudisha nyuma kiuchumi
@mosesmwile43086 жыл бұрын
Big sana mzee wangu mungu akubaliki mzee wangu kwa kazi nzuri ya kukamataa waalifu hapa nchini na mkoani dodoma big up sana mzee raisi akufikirie maana unapiga sana kazi
@ikulunimahalipatakatifu76422 жыл бұрын
Kazi nzuri Jeshi letu la polisi.., , hao ni wavuvi wakajifuze kazi gerezani..
@bobelichi7721Ай бұрын
Kaka umekoxea siyo wavuvi.....ni wavivu😂😂😂
@sosteneschahe64876 жыл бұрын
Anaeona ni maigizo akaibe au avunje sheria ya nchi nae wamuigizie kama hao,ila mm ushauri kwa jeshi, MTU akiachishwa kazi apekuliwe vilivyo asiondoke na kitu kinachohusiana na jeshi maana ni hatari sana,hatujui vita itatokea lini,na wapi,sasa hawa walio na sare za jeshi watafelisha mapambano zidi ya adui maana jeshi likiona sare hiyo litasema in mwenzao kumbe sio#safi sana mzee wangu hiyo ndiyo kazi ya jeshi.
@thomastarimo Жыл бұрын
Wewe ni muhuni wewe kwanza ulikataza wananchi wasifanye maombi kipindi cha kaka yetu mpendwa wetu lisu alivyo shambuliwa na hawo wahuni washenzi kama wewe sis tuliumia sana kaka yetu kuhumizwa na mashetani wenzeni
@khadijahamisi6558 Жыл бұрын
Safii sana jeshi la police kazi nzurii allah awaongoze kweny kazii zenu inshaallah🤲🤲dodoma sio mji wa matukio mkifika uku cha moto mtakiona😏😏
@kiratugakinya67785 жыл бұрын
Am glad to see how this Tanzanian senior police officer address the press and the general public, cautions them not to fall prey of these thugs,on same note he's exercising great care while handling the exhibits not touching them with bare hands.
@gabrielgodwin26982 жыл бұрын
Asanteni jeshi la police kwa kazi nzuri endeleeni kuchapa kazi.
@bm2tv2996 жыл бұрын
Safi sana,Askari wetu kazi nzuri sana,hakika kazi yenu tunaiyona.
@ezekielanastatus15796 жыл бұрын
Asanteni jeshi la polisi ao wamezidi kuta peri wana nchi kazi nzuri
@wcbwanatishakiranikirudiab23496 жыл бұрын
Asanteni sana majeshi yetu kwa kazi nzuri sana mwenyezi MUNGU yupo pamoja nanyi
@danielhilya38776 жыл бұрын
wcb wanatisha kira nikirudia bado daaa Omary pole
@richardlobulu38226 жыл бұрын
wcb wanatisha kira nikirudia bado daaa Omary tudulisu
@juliuskatemi68166 жыл бұрын
hongera sana tena sana RPC DODOMA unafanya kazi nzuri muno na jeshi lako,,,kwa hakika tunajivunia tuko salama ..endelea kutulinda wananchi MUNGU atakulipa kwa kazi nzuri unayofanya ya kutulinda
@e_voicespanish11826 жыл бұрын
Kazi nzuri askari wetu Mungu awatie nguvu kwa kujitoa kuilinda nchi yetu
@barakamwita77684 жыл бұрын
Jjtach
@mussaissa67962 жыл бұрын
Kubwa zima zee zima ovyooo
@happynessmkuyu5456 жыл бұрын
Hongera polisi Dodoma, na Veyula mje kuna wezi sana tena wanaanzakuiba kuanzia saa 4
@alexkweka13744 жыл бұрын
Mbona anajieleza kama yupo bongo star search hana hata wasiwasi 😎😎
@Mushivictor6 жыл бұрын
Hahahahaha huyo MZEE anavyoelezea utadhani biashara Fulani hivi halali yani hadi kutabasamu . Hongera kamanda Dom mambo motooo
@emmanuelnzaligo62624 жыл бұрын
Safi kamanda kazi nzuri
@politeman80116 жыл бұрын
huyo mwanajeshi japo ni mhalifu lakini ni ishara ya kwamba jeshi letu lina majasiri yuko smati jasiri haogopi yeye aliandaliwa kupambana na vita sasa kesi kama hiyo ndo atetemeke nini sasa Cha muhimu wewe pata picha aliyetolewa kazi jasiri hivyo walio baki je? Hongera jeshi la tanzania.
@stimulihussen62464 жыл бұрын
good
@ismailchilonga28784 жыл бұрын
Usidanganye watu bhana katiba ya wapi hiyo uyo matapeli tu
@martinemasanja16334 жыл бұрын
Huwezi jua anaweza yupo ktk kozi maarumu
@harunilibangite72054 жыл бұрын
Hhhhhh kweli
@pendochibwae4982 Жыл бұрын
Hongereni kazi yenu ni njema Mungu awaongezee maarifa na macho
@getrudamatoto19796 жыл бұрын
Tushukuru sana majeshi yetu Kwa kazi nzuri
@berthalaswai7106 жыл бұрын
Season 2
@heronimomsefya31906 жыл бұрын
Asante kamanda safi sana
@ismailyusuph7406 жыл бұрын
Siku zote Soldier ni mkweli...nimekubali Combat ‘ ...!..💣💥
@shabanigoashabanigoa86546 жыл бұрын
Safikamanda
@dicksonluena32663 жыл бұрын
Hizo Kazi Mzuri,,,Sio kutunyima Raha Bodaboda
@detectivejeffrey64016 жыл бұрын
Afande wangu hongera kwa kazi nzuri kuwakamata hao majangiri... Lakini nikushauli kitu kimoja ili JWTZ wawe na amani wapelekeni hao waalifu pale Maktopola muwakabizi pale wakachezee kwanza.. Wakabizi kwa wale MP ambao hawajawai kuliona jua wenye macho mekundu nadhani baada ya hapo haina haja ya case peleka moja kwa moja gerezani wataponea huko huko majeraha yao.
@fatumamilimo19366 жыл бұрын
Joseph Kazungu Ahaaaa umejua kunichekesha
@erickhaule86806 жыл бұрын
Joseph Kazungu hahhaha makotopola pale watakiona aisee watajamba cheche
@georgejonathanbahati88226 жыл бұрын
Joseph Kazungu mbn
@shideashidea55706 жыл бұрын
Joseph Kazungu kweli kabisa watajua kuiba ni bonge la kazi
@stevenkambeytz24596 жыл бұрын
Daaah kazi nziri sana Jeshi la polisi..ningekua na uwezo ningewapa zawadi kubwa sana but MUNGU awabariki sana na awe nanyi katika kazi zenu awape nguvu na imani ya kutumika kwauwaminifu.
Mimi hiyo kazi ya jeshi LA Tanzania naipenda sana ila hawo washuhulikieni Mimi nasubiri mh magufuli atakapo kuja rombo aniteuwe niende mafunzoni jeshiniiii
@shylagwadebalima75726 жыл бұрын
Daaaa hii Kali, yaani mtuhumiwa unafunguka bila wasiwasi, sijaelewa hiii
@kingyehoshafatitvbornerys24966 жыл бұрын
Shylagwa de Balima yaani wewe una mawzo kama yangu .....angalia kwenye koment yangu uone nilicho andika!!!!!
@mtangagraphics91465 жыл бұрын
hajawah kuwa afande anatoa sirii tu kurahs
@dicksonmajogoro75755 жыл бұрын
Fanya uhalifu ndo utajua Kama utafanywa nn ili ufunguke kila kitu
@mitemafilm885 жыл бұрын
Unadhani anaongea tu, ashapitishwa jikoni kwanza
@mariunkirungi62016 жыл бұрын
mmmmmh huyu mbaba anajieleza vizuri aisee mbavu zangu mie tapeli hana hata soni ya aibu wonders shall never end safi sana Kamanda big up
@sebastiansalamba82366 жыл бұрын
Nyinyi mnaomdhihaki Kamanda endeleeni tu mnafikiri Tz ni nchi ya mchezo sisi tulioshuhudia wakati Wa makaburu wakitaka kuhujumu nchi hii nawakashindwa tunajua,na nyinyi kama mmetumwa haya tutaona mwisho wake
@aishachambo32936 жыл бұрын
Safi sana mzee wa watapata tabi sana wapewe kipigo cha mbwa koko tu
@aminasanga70966 жыл бұрын
acheni hzo mroto ni mchapa kazi tk akiwa ocd maturubai ni mlinzi mzuri Wa RAIA wake hongela sana
@hasanhamadi96715 жыл бұрын
Amina Sanga
@shukurukihwelo30842 жыл бұрын
Mroto upo vizuri sana mungu akuongoze kwa kila jiti hada zaako za kupambana na wa harifu kwa kweri upo kikazi zaidi
@goodluckmrosso4866 жыл бұрын
Kama mwalifu anajieleza hvyo nihatareeeee sana...😎😎😎😎😎 ila nahc tyu jaman hizo ni mbinu za kujulikan tyu nahc tyu jmn
@Mushivictor6 жыл бұрын
Goodluck Mrosso yaani jamaa anavyojieleza kama anaelezea tamthilia hivi , hana hata chembe ya hofu yani jaamni
@ayoubcharles70386 жыл бұрын
tehetehe
@fatumamilimo19366 жыл бұрын
Anajielezea vizurii ili asemehewe jamani
@allymfangavoo60656 жыл бұрын
Hamna mualifu apo wametengeneza watu wao mtuhumiwa gani anajieleza kama biashara ya nyanya anafanyaa
@wilsonuhenge19265 жыл бұрын
Huyo arudishwe kazini, ugumu wa maisha ndio humfikisha MTU mahari hapo
@isacknguvumali34456 жыл бұрын
Daaa huyu mkuu wa police Dodoma na mkubali sana
@isacknguvumali34456 жыл бұрын
Gasper Kivamba Kivamba yani ni sheeeda ameamua kuzalilisha jeshi la watu achukuliwe hatua kabisa kweli mwanangu daaa
@hoseaswai62476 жыл бұрын
Asante sana jeshi la usalama kwa kazi nzuri. Mwenyezi MUNGU aendelee kuwajalia uweza na nguvu ya kuu kabili uovu na kuuondosha kabisa.
@landsospeter22986 жыл бұрын
Hosea Swai ww fala usimtaje mungu kwenye maigizo kama haya ebu muogopeni mungu
@Hassan_Mengi6 жыл бұрын
Hongera sana askari we2, Mungu awabariki
@nasraabdul25226 жыл бұрын
Ni Sheria, mwanajeshi akifukuzwa kwa utovu wa nidhamu anyang'anywi mavazi ya keshi!! hatari sana.
@hajimakame10624 жыл бұрын
Kazi nzuri kamanda umefanya
@Peter-s8h26 күн бұрын
Hija lopa
@Peter-s8h26 күн бұрын
Hasumani lopa
@lastseen68156 жыл бұрын
Kiki za kipuuziii yani ata hamujui kujipanga na uwongo, hao ambao hawakuhojiwa ndio waizi wa ukweli ila uyo mwanajeshi ni kiki tu
@davidlukumay22263 жыл бұрын
Umeona eee
@thomasmalle39479 ай бұрын
Kamanda Mliro anastahili kabisa kuwa Mkuu wa Wilaya au hata Mkoa, ameitendea vyema sana kazi yake na nchi yake.
@develmediatz63716 жыл бұрын
nimekubali confidence ya huyo tapeli mwanajeshi
@matitu_jr50355 жыл бұрын
Ajali kazini, Dodoma kunapigika sana tu.
@mussajames78454 жыл бұрын
Matitu_jr
@frankjoseph62136 жыл бұрын
sawa sawa Mkubwa
@rashidsuleiman26636 жыл бұрын
hongereni polisi kwa kazi nzuri,bora kuongeza nguvu zenu kwa wahalifu kuliko kwa wanasiasa.
@prochesilyakurwa8156 жыл бұрын
Kwel watanzania wameoza akili......maaana sio kwa kulalamika huko kwa kipuuzi wakikamatwa mnasema maigizo ....wasipokamatwa mnasema hawajulikani ......jamani kwel ipo siku mtatambua mchango wa jeshi letu imara na lenye sifa ya uadilifu .....Mungu ibarik Tanzania
@danielyissaya93723 жыл бұрын
Kz nzuri
@mawazoselemani6146 жыл бұрын
Big up kamanda!
@saumuhassan63656 жыл бұрын
Hongera sana kamanda kwa kazi nzuri
@african_channel6 жыл бұрын
naona kamanda mroto anafuata nyayo ya kova safi sana
@frankbrandan80396 жыл бұрын
yusuph hassani kiboko alikua Alfred tibaigana
@amosbinmahona99476 жыл бұрын
Hatari sana Good job 4 police force
@ancomagu85316 жыл бұрын
Congratulations isipect
@jamillaibrahim70686 жыл бұрын
Anco Magu 😂 😂 😂 😂 isipect lol
@benardmunna91946 жыл бұрын
Jamilla Ibrahim 😂😂😂
@kassimrajabu78056 жыл бұрын
Hahahahhahahaha
@ancomagu85316 жыл бұрын
Jamilla Ibrahim nawe c unaamini kuwa lugha yetu hiyo my
@ancomagu85316 жыл бұрын
benard munna usinicheke nifundishe jinsi ya kuandika
@amouralhabsi92966 жыл бұрын
Asante jeshi la tanzania hii ni kwaajili ya raisi wetu magufuli
@benjaminfataki68986 жыл бұрын
msema hukweli mtumishi wa mungu
@halimayusuf79856 жыл бұрын
Uyu mwanajeshi mungu kamukumu kwa zurma
@geraldrobert18015 жыл бұрын
Waliompiga Lissu waliingia Dodoma na wakaondoka kurejea Dar kiulaiiinii
@protasmalala75594 жыл бұрын
Mwenzetu kumbe unajua walitokea dar?
@aizackkajika50864 жыл бұрын
@@protasmalala7559 hahahaha anawafahamu🤣🤣😂
@jumamofu95734 жыл бұрын
Kumbee inabidi uisaidie Police
@arqamibnarqam.71854 жыл бұрын
Atatusaidia zaidi kupunguza mlolongo wa upelelezi
@evansm88024 жыл бұрын
Kkkkkkkk interesting Indeed. Wakiingua dodoma hawatoki. So the attackers of tundu lissu bado inside Dodoma
@sakshidayaly22206 жыл бұрын
Daaa kweli hapa kazi tuu watuhumiwa wanatabasam hawana wasiwasi
kama mchezo hivi,muharifu halafu kesi inahusu jeshi anatiririka kwa confidence hivyo wakati anajua linalomfuatia,,,,
@sebastianmichael40313 жыл бұрын
Safi sana kamanda
@ssaa74956 жыл бұрын
Alafu anaongea bila wasi wasi 😂😂😂😂😂🤣🤣🤣
@lizzydiy45904 жыл бұрын
Yan utazan hakuna kitu
@edinawilliam29432 жыл бұрын
Nampenda pia ula awe makini👏👏👏
@princesinko40736 жыл бұрын
Hongereni kazi nzuri
@guyoibrahim31006 жыл бұрын
Kwa kweli Askari ya Tz wako na nidamu, ingekuwa ya Kenya hawa shavunjwa vunjwa
@twofivefive9063 жыл бұрын
Noma sana
@BaloMega6 жыл бұрын
Guys get a lawyer, you dont have to answer any of those abusive questions whatsoever, dont get abused, you will also have a chance to sue them.
@kaylaminani5296 Жыл бұрын
😂😂😂that is afrika and not Europe
@sudeinwahab9066 жыл бұрын
Hongera jeshi la police dodoma
@kahugentobi27156 жыл бұрын
Wa Lissu Walitokaje Dodoma Mpaka Leo movie 2
@kaminyogemwachelwa98846 жыл бұрын
Hapo nitawasifia kwelikweli.....safi sana
@braitmichael77116 жыл бұрын
Mkuu naomba mnitumie namba zenu niwatumie namba yasimu inafanya utapeli kwa kupitia jina la kiongozi.
@sitamahalakshmi23155 жыл бұрын
Brait Michmmmsex
@cassianndunguru35606 жыл бұрын
Hongera RPC dodoma kwa kazi nzuri....
@jonathanmasu68036 жыл бұрын
Hii nchi ina raia waliooza akili, wasipokamatwa mnaanza kudai police wanasema upelelezi upelelezi lkn hamuoni matokeo, wakikamata wahalifu mnasema wanaigiza, semeni sasa mnataka nini!!, You have been brainwashed by medias, wake up guys.
@shabaniomary97666 жыл бұрын
Jonathan Masu Hahaha
@ziadaalute68366 жыл бұрын
Jonathan Masu ,Tunawataka waliomimina risasi 38 saa sabamchana,kama Dodoma ukiingia hutoki,walewalitokajee?
@jonathanmasu68036 жыл бұрын
Ziada alute, sawa endeleeni kuwa wavumilivu watawaletea
@mwanaharakatidjguy65466 жыл бұрын
Jonathan Masu hao wa pikipiki sawa lakn yule luten mmmmmh
@malickmakatta60896 жыл бұрын
Jonathan Masu kuna majitu majinga hata yafanyiwe nini yatapinga tu
@rodrickdyampaye44995 жыл бұрын
Gonga like kama una kubari kazi anayo ifanya huyo askali
@dawillygene5 жыл бұрын
Kazi nzuri kamanda,hongereni sana.
@peterkawandamo90966 жыл бұрын
Hahaha daaaah hii movie inaitwajee??
@niaanthony95886 жыл бұрын
Peter Kawandamo ww nawe unavituko
@denismrutu57046 жыл бұрын
Peter Kawandamo Double impact
@boyjopar87174 жыл бұрын
Hio movie banaa hakuna kitu hapo
@leoncydaniel99794 жыл бұрын
Mission impossible
@suleimanmakameally13956 жыл бұрын
KAMANDA hongera sana
@festoedward19026 жыл бұрын
Mhalifu gani anafunguka Hana wacwac 🙄🙄🙄🙄🙄 au ni kiki anataka awe igp
@wandwechacha78136 жыл бұрын
Unataka aongee akilia au
@sekinatalibtalib82466 жыл бұрын
Festo Edward1 umeona ee it has never happen like this ati mtu akubali live makosa.Tz bhana nchii ya kiki
@naftalydeogratius98056 жыл бұрын
maigizo hyoo
@samobicon31956 жыл бұрын
hujawahi kubanwa wewe
@AmosBPeter6 жыл бұрын
Festo Edward1 huyo alikuw ni soja ndo maan han wacwac angalia ambao hawan combat
@mgasa_tz55273 жыл бұрын
Daah.! Ukisha kamatwa unakua fara kwel Aisee 😢😢😢
@mashmashmkeyenge92106 жыл бұрын
DUUUUUU HATARI SANA NA HONGERTA POLISI DODOMA
@bakarimshuza44046 жыл бұрын
Ahsante kwa kazi nzuri na wale watu wasio julikana umefikia wapi?
@dukundegakondo5 жыл бұрын
Kazi ni kazi 🤣🤣🤣
@affaanothmaan62876 жыл бұрын
Mmmmmmhhhh hao kama ni wahalifu kweli basi sio wa nchi hii
@saoamy71686 жыл бұрын
😂😂😂huyu mwanajeshi kwel
@nelsonkyauke14816 жыл бұрын
Tanzania tunajua kucheza na akili za watanzania
@kenethadonia32926 жыл бұрын
Hamnaga Mwanajeshi boya boya ivyo,
@paccomabula14564 жыл бұрын
Hyooo ni dodoma nazani unaelewa nikisema hvyoo,,,Tnzania yote iko pale.