Nyimbo nzuri sanaa sauti ya jangwani SDA choir Mungu awabariki nyote
@Sautiyajangwanisdachoir19875 ай бұрын
Nawe pia endelea kubarikiwa
@charlesjanuary17985 ай бұрын
@@Sautiyajangwanisdachoir1987 Kuna wimbo wanasema nimeimba nyimbo nyingi Mungu nipatie badiriko
@musajulius33645 ай бұрын
Mbarikiwe kwa kuwezesha nyimbo hizi kupatikana na kimfikia kila mtu kwa urahisi, nabarikiwa kuzitazama na kushiriki pamoja na wengine Endeleeni kuzipakia tafadhali
@Sautiyajangwanisdachoir19875 ай бұрын
Tuendelee kubalikiwa sote
@mheshimiwamtemi5 ай бұрын
Karibuni sana Makambi ya Mtaa wa Tegeta - Dar es salaam
@espoirkasongo377727 күн бұрын
My favorite choir✊
@fredrickkalabo58585 ай бұрын
Tunabarikiwa na nyimbo zenu naomba upload wimbo wa kipindi cha shindano la mwisho na Mungu alipowaona wakombolewa kwa damu
@Sautiyajangwanisdachoir19875 ай бұрын
Amina tuendelee kubalikiwa sote
@Kingsospeter5 ай бұрын
Naomba nyimbo ile ya SASA NASIMULIA mtuwekeee jaman 😪
@spelansiandanzi204Ай бұрын
NaKumbuka enzi zile niko binti mdogo
@pinifapegospelmusic3 ай бұрын
Tunaomba title za hizi nyimbo muweke jamani mkituwekea Tarehe hatujui ni nyimbo gani na watu watazitafuta kwa shida jamani
@Sautiyajangwanisdachoir19872 ай бұрын
tumepokea ushauri. Bwana akubariki
@JEREMIEOFFICIAL-j83 ай бұрын
Mimi mwenyewe ninawapenda saana kutoka 🇷🇼🇷🇼, ninafurahia kusikia nyimbo zenyu , lakini wimbo #jehova ( hakuna mwenye uwezo wa kupanbana na kanisa ) hiyi wimbo nimeikosa kwenye youtube channel , muuitengeneze kweli !
@Sautiyajangwanisdachoir19872 ай бұрын
Amina Ombi limepokelewa.
@Sautiyajangwanisdachoir19872 ай бұрын
Amina Ombi limepokelewa.
@MIGANGASDACHOIRTZ5 ай бұрын
NYOTA ZA ASUBUHI TUWEKEENI PIA TUNAINGOJA KWA HAMU