Mungu awabariki sana ndugu kwa kuwatetea watanzania yetu.
@daudimichael733810 сағат бұрын
Mpina ameshinda mpaka hapo
@Mima-cl2im10 сағат бұрын
MPINA BABA usikate tamaa. Tunajuwa unatetea masikini. Wabunge wengi bungeni hawaelewi ama wana ogopa ku potęza ubunge wawo. History will judge you. Huchukuwi hatuwa hizi kwa manufaa yako na familia yako. Ndiyo maana umeungwa mukono na mawakili wengi. Wanaona nchi Ina elekea pabaya. Wana kisesa wako nyuma yako. Mwenyezi Mungu akubariki. WATANZANIA WANAONEWA SANA
@estachengula39029 сағат бұрын
Mpina tunakuombea haki tz haipo mungu akushindie
@helentelemla56239 сағат бұрын
Mpina Mungu akubariki songa mbele
@Burange66610 сағат бұрын
Kesi ya nyani jaji ngedere huwezi kushinda maana serikali hii inawatetea wezi
@dizzboss752611 сағат бұрын
Brother MUNGU akubariki sina kingine zaidi ya kukuombea
@saidnoumani72448 сағат бұрын
Umeshindwa kesi sababu kesi yako Haina mashiko/ na ushahidi. Poteza pesa kuwapa mawakili
@JOSEPHURUPIA10 сағат бұрын
KWAHIYO BUNGE LIKISEMA WATU WOTE WAUWAWE, MAHAKAMA HAINA UWEZO WA KUIGILIA!. TZ KUNA MAMBO YA AJABU SANA😢
@hijazhija31610 сағат бұрын
Ndo halijasema sasa
@ulomirabiel69807 сағат бұрын
Ni nani atakuja ifanya mihimili hii iwe huru ili haki iweze kutendeka
@daudimchileg3078 сағат бұрын
Hee haujui tuu, yaani umewashitaki wanaosikiliza kesi tatizo hilo. Labda kama kuna njia nyingine.
@RubenMtuwaMungu-bz8ee11 сағат бұрын
Kesi kama hizi zinadhihirisha udhaifu wa katiba ya Tanzania. Mimi binafsi naami kuwa wanadamu wote hukosea wakati fulani kuwa rais ama spika hakumfanyi mtu kuwa maalumu.
@SundaySteven-bz4yq11 сағат бұрын
Hapa ndipo watanzania uwepo wa katiba mpya unahitajika
@faustinebahenobi34129 сағат бұрын
Sanaaaa
@raymondsekabigwa59078 сағат бұрын
Mdogo wangu mpina hii ndo Tanzania. Kamata waiba kuku funga sana. Vigogo wateuliwa mhhhh
@Mima-cl2im8 сағат бұрын
Africa haitaendelea kamwe kama sheria zetu zinachaguwa. Haki ndiyo yenye kufanya nchi in aendelee.
@abiudkarume9388 сағат бұрын
Big show
@Teddy-z4i9 сағат бұрын
Unajua hizi mahakama za kibongo kwakwer ni shida sanaaa akimu alisema huki hiyo inaitaji mda ili aandike ukumu iliosahh je sasa mda wote alishindwa nini kusema hana mamlaka ya kuinglia bunge yaan Tanzania hakuna cha haki
@MonicaTimotheo10 сағат бұрын
Hapo ndipo utajua ukisikia maneno yasemayo kukosa imani na mahakama!!!?!!!
@ericrukamba680210 сағат бұрын
Mbona hamutuonyeshi live kama Kenya?😮
@esifhordmunyugu468711 сағат бұрын
Kesi ya ngendele huwezi pelekea nyani Alimalize
@margarethsolomon982310 сағат бұрын
Umesema kweli tupu, hii nchi Ina wenyewe, na wenyewe ndio wenye kuajiri watoa HAKI.
@matiredms91711 сағат бұрын
Mhe. Mpina una ujasiri mkubwa wa kutafuta haki lakini ukumbuke maneno ya Rostam Aziz juu ya AMRI KUTOKA JUU ktk kufikia maamuzi kwa Majaji wetu. Mpaka hapo Watanzania tutakapozinduka kutoka jinamizi la ujinga na kutambua umuhimu wa kupigania haki zetu za msingi kwa kuwaondoa watawala haramu ndiyo tuasema tuko huru. Kwa sasa basi sahau.
@rahimsadru-ct4ot11 сағат бұрын
Mahakama ndo chombo cha MWISHO cha utoaj Haki,,,kw maamuzi hayo Ni Kua mahakama sio chombo cha MWISHO cha utoaj Haki ,,na mahakama Ni ndogo kw bunge
Mpina najua umesoma, nafasi haichukuliwi ukiwa unazungumza Natumia nafasi hii bc sio kuchukua
@fidelismwakanyamale678710 сағат бұрын
Aibu tu mpina.ajielewi
@matiredms91710 сағат бұрын
@@fidelismwakanyamale6787 Unajua fika wewe ndiye hujielewi ama kwa kuwa wewe sio mjinga tu bali ni mpumbavu kwa kuwa CHAWA wa Mama.
@Teddy-z4i9 сағат бұрын
Mpina ana akili nyng kuliko wazaz wako ww unasema hajitambuwiiii
@NDEWARA9 сағат бұрын
Mpina hajitambuiiii😂😂ngoja mawakili watafune pesa zake
@SundaySteven-bz4yq11 сағат бұрын
Maana Hawa munawashitaki wanakinga ya madaraka hata nyie ccm ambao hamna vyeo mutakuwa munaonewa chadema wanapo dai katiba mpya sio ubaya
@margarethsolomon982311 сағат бұрын
Mahakama ni ya wale ambao wamewaweka majaji kazini, kwa mawazo ya kawaida tu utegemee kuwepo na uamuzi gani wa HAKI???????????, Achana na hayo, kesi hiyo itaenda mpaka 2030
@bundalamashimi30428 сағат бұрын
Kulingana na hukumu hii kuwa mhimili wa mahakama hauna mamlaka ya kuingilia maamuzi ya mhimili wa bunge ina maana kuwa watanzania hawana uwezo wa kupata haki wakionewa na bunge kwa sababu mahakama imejivua uwezo wa kutoa haki ya wanao onewa na bunge.
@muhasatv924510 сағат бұрын
Mpina bhana
@mangiclaus9 сағат бұрын
Kama mahakama haina nguvu juu ya muimili wa bunge ni ajabu watawezaje kuwa na nguvu juu ya serekali
@owenbonfance10 сағат бұрын
mwarobain wa haya yote ni katiba bila ivyo ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa
@godwineliya468610 сағат бұрын
Hiyo Mahakama Inashidwaje kutoa Haki Maana ya Mahakama ni nn ?
@Mima-cl2im10 сағат бұрын
Kuna watu wachache wameiteka Tanzania. Tanzania imekuwa kama mali yawo binafsi. Tanzania ya Mwalimu Nyerere ya watu wote Sawa si Tanzania ya leo. Tanzania ya leo ni ya mapepari wachache wanao jitajirisha bila ya kuwa na viwanda. Mungu tusaidie hatujuwi nchi inaelekea wapi. Bunge limeshindwa kutusaidia. Wabunge wetu duni kwa woga. Ni Kukubali tu ndiyo tunaunga hoja. Tunategemea MAHAKAMA. Mahakama zetu hazina uwezo. Wabunge hawana sauti, wengi wamo bungeni bila ya kuchaguliwa. Upinzani viongozi hakuna kitu. Je watanzania ni nani atatukombowa? Afande Katuma watu kubaka hata mahakani kakataa kutokea. Hakuna wa kumugusa. Raisi wetu anatuambia hakuna mtu yuko juu ya sheria, je ni kweli? . Tanzania gani hii isiokuwa na haki?
@supa707711 сағат бұрын
Huyu hana kazi sijui. Sukari imeanza tena kuadimika na kupanda bei ..ana watetea wenye viwanda vya ndani waakati bei inawaumiza wananchi. Analipwq na wenye viwanda.
@trueprophet762711 сағат бұрын
akili si kuwa na fuvu tu bali kufuatilia jambo kwa undani
@matiredms91711 сағат бұрын
Ndugu yangu Super bei ya sukari inapangwa na Serikali na siyo na wenye Viwanda vya sukari. Hakika unawaonea.Waziri wa Kilimo Bwana Bashe ndiyo alitoa kibali cha watu ambao hawana uwezo wala ujuzi wa mambo ya sukari kuagiza sukari toka nje ya nchi. Tuwe na hekima ya kutoshabikia masuala ambayo hatuna ufahamu wake.
@supa707711 сағат бұрын
@@trueprophet7627 kwahiyo ww unajiona una akili sana?hahahahahaha 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@trueprophet762711 сағат бұрын
@@matiredms917 chukulia kwamba unajua kwa mtazamo wako
@supa707711 сағат бұрын
@@matiredms917 hapana kaka. Hawa wenye viwanda hawafuati bei elekezi za sukari. Niamini mimi. Lakini pia imeanza kuadimika mitaani
@hijazhija31610 сағат бұрын
Sikio
@emanuelsichone802710 сағат бұрын
Supa Huna akili kichaawewe mpina anawatetea we unaweka ushabiki
@thieryniyonkuru502311 сағат бұрын
Jamaa amekosa kazi, baada ya kupigwa pini kuingia Bungeni.
@csato941510 сағат бұрын
Hizi 🧠🧠 hasa kwa vijana zinafanya nchi yetu ibaki kwenye utawala dhalimu wa CCM.
@Paulo-e4c10 сағат бұрын
Pamoja nakutoka bungeni lakini anavuma kisiasa siasa ni popote
@lusajomwaipopo504210 сағат бұрын
Kosa wameliona lipo lakin mahakama inaliogopa bunge ,kweli katba mpya ni lazima