MPINA 'AGEUKA MBOGO' MAHAKAMA KUU/ ATANGAZA KUTINGA MAHAKAMA YA RUFANI

  Рет қаралды 5,862

JAMBO TV

JAMBO TV

Күн бұрын

Пікірлер: 57
@AyubuChacha-u6u
@AyubuChacha-u6u 11 сағат бұрын
Mungu awabariki sana ndugu kwa kuwatetea watanzania yetu.
@daudimichael7338
@daudimichael7338 10 сағат бұрын
Mpina ameshinda mpaka hapo
@Mima-cl2im
@Mima-cl2im 10 сағат бұрын
MPINA BABA usikate tamaa. Tunajuwa unatetea masikini. Wabunge wengi bungeni hawaelewi ama wana ogopa ku potęza ubunge wawo. History will judge you. Huchukuwi hatuwa hizi kwa manufaa yako na familia yako. Ndiyo maana umeungwa mukono na mawakili wengi. Wanaona nchi Ina elekea pabaya. Wana kisesa wako nyuma yako. Mwenyezi Mungu akubariki. WATANZANIA WANAONEWA SANA
@estachengula3902
@estachengula3902 9 сағат бұрын
Mpina tunakuombea haki tz haipo mungu akushindie
@helentelemla5623
@helentelemla5623 9 сағат бұрын
Mpina Mungu akubariki songa mbele
@Burange666
@Burange666 10 сағат бұрын
Kesi ya nyani jaji ngedere huwezi kushinda maana serikali hii inawatetea wezi
@dizzboss7526
@dizzboss7526 11 сағат бұрын
Brother MUNGU akubariki sina kingine zaidi ya kukuombea
@saidnoumani7244
@saidnoumani7244 8 сағат бұрын
Umeshindwa kesi sababu kesi yako Haina mashiko/ na ushahidi. Poteza pesa kuwapa mawakili
@JOSEPHURUPIA
@JOSEPHURUPIA 10 сағат бұрын
KWAHIYO BUNGE LIKISEMA WATU WOTE WAUWAWE, MAHAKAMA HAINA UWEZO WA KUIGILIA!. TZ KUNA MAMBO YA AJABU SANA😢
@hijazhija316
@hijazhija316 10 сағат бұрын
Ndo halijasema sasa
@ulomirabiel6980
@ulomirabiel6980 7 сағат бұрын
Ni nani atakuja ifanya mihimili hii iwe huru ili haki iweze kutendeka
@daudimchileg307
@daudimchileg307 8 сағат бұрын
Hee haujui tuu, yaani umewashitaki wanaosikiliza kesi tatizo hilo. Labda kama kuna njia nyingine.
@RubenMtuwaMungu-bz8ee
@RubenMtuwaMungu-bz8ee 11 сағат бұрын
Kesi kama hizi zinadhihirisha udhaifu wa katiba ya Tanzania. Mimi binafsi naami kuwa wanadamu wote hukosea wakati fulani kuwa rais ama spika hakumfanyi mtu kuwa maalumu.
@SundaySteven-bz4yq
@SundaySteven-bz4yq 11 сағат бұрын
Hapa ndipo watanzania uwepo wa katiba mpya unahitajika
@faustinebahenobi3412
@faustinebahenobi3412 9 сағат бұрын
Sanaaaa
@raymondsekabigwa5907
@raymondsekabigwa5907 8 сағат бұрын
Mdogo wangu mpina hii ndo Tanzania. Kamata waiba kuku funga sana. Vigogo wateuliwa mhhhh
@Mima-cl2im
@Mima-cl2im 8 сағат бұрын
Africa haitaendelea kamwe kama sheria zetu zinachaguwa. Haki ndiyo yenye kufanya nchi in aendelee.
@abiudkarume938
@abiudkarume938 8 сағат бұрын
Big show
@Teddy-z4i
@Teddy-z4i 9 сағат бұрын
Unajua hizi mahakama za kibongo kwakwer ni shida sanaaa akimu alisema huki hiyo inaitaji mda ili aandike ukumu iliosahh je sasa mda wote alishindwa nini kusema hana mamlaka ya kuinglia bunge yaan Tanzania hakuna cha haki
@MonicaTimotheo
@MonicaTimotheo 10 сағат бұрын
Hapo ndipo utajua ukisikia maneno yasemayo kukosa imani na mahakama!!!?!!!
@ericrukamba6802
@ericrukamba6802 10 сағат бұрын
Mbona hamutuonyeshi live kama Kenya?😮
@esifhordmunyugu4687
@esifhordmunyugu4687 11 сағат бұрын
Kesi ya ngendele huwezi pelekea nyani Alimalize
@margarethsolomon9823
@margarethsolomon9823 10 сағат бұрын
Umesema kweli tupu, hii nchi Ina wenyewe, na wenyewe ndio wenye kuajiri watoa HAKI.
@matiredms917
@matiredms917 11 сағат бұрын
Mhe. Mpina una ujasiri mkubwa wa kutafuta haki lakini ukumbuke maneno ya Rostam Aziz juu ya AMRI KUTOKA JUU ktk kufikia maamuzi kwa Majaji wetu. Mpaka hapo Watanzania tutakapozinduka kutoka jinamizi la ujinga na kutambua umuhimu wa kupigania haki zetu za msingi kwa kuwaondoa watawala haramu ndiyo tuasema tuko huru. Kwa sasa basi sahau.
@rahimsadru-ct4ot
@rahimsadru-ct4ot 11 сағат бұрын
Mahakama ndo chombo cha MWISHO cha utoaj Haki,,,kw maamuzi hayo Ni Kua mahakama sio chombo cha MWISHO cha utoaj Haki ,,na mahakama Ni ndogo kw bunge
@SalumKombo-sf5gs
@SalumKombo-sf5gs 9 сағат бұрын
Tatizo ni katiba jaji anapokea maelekezo papana kiongozi muinyoshe nnchi polepole
@LutenganoCharles-d7t
@LutenganoCharles-d7t 9 сағат бұрын
Mpina najua umesoma, nafasi haichukuliwi ukiwa unazungumza Natumia nafasi hii bc sio kuchukua
@fidelismwakanyamale6787
@fidelismwakanyamale6787 10 сағат бұрын
Aibu tu mpina.ajielewi
@matiredms917
@matiredms917 10 сағат бұрын
@@fidelismwakanyamale6787 Unajua fika wewe ndiye hujielewi ama kwa kuwa wewe sio mjinga tu bali ni mpumbavu kwa kuwa CHAWA wa Mama.
@Teddy-z4i
@Teddy-z4i 9 сағат бұрын
Mpina ana akili nyng kuliko wazaz wako ww unasema hajitambuwiiii
@NDEWARA
@NDEWARA 9 сағат бұрын
Mpina hajitambuiiii😂😂ngoja mawakili watafune pesa zake
@SundaySteven-bz4yq
@SundaySteven-bz4yq 11 сағат бұрын
Maana Hawa munawashitaki wanakinga ya madaraka hata nyie ccm ambao hamna vyeo mutakuwa munaonewa chadema wanapo dai katiba mpya sio ubaya
@margarethsolomon9823
@margarethsolomon9823 11 сағат бұрын
Mahakama ni ya wale ambao wamewaweka majaji kazini, kwa mawazo ya kawaida tu utegemee kuwepo na uamuzi gani wa HAKI???????????, Achana na hayo, kesi hiyo itaenda mpaka 2030
@bundalamashimi3042
@bundalamashimi3042 8 сағат бұрын
Kulingana na hukumu hii kuwa mhimili wa mahakama hauna mamlaka ya kuingilia maamuzi ya mhimili wa bunge ina maana kuwa watanzania hawana uwezo wa kupata haki wakionewa na bunge kwa sababu mahakama imejivua uwezo wa kutoa haki ya wanao onewa na bunge.
@muhasatv9245
@muhasatv9245 10 сағат бұрын
Mpina bhana
@mangiclaus
@mangiclaus 9 сағат бұрын
Kama mahakama haina nguvu juu ya muimili wa bunge ni ajabu watawezaje kuwa na nguvu juu ya serekali
@owenbonfance
@owenbonfance 10 сағат бұрын
mwarobain wa haya yote ni katiba bila ivyo ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa
@godwineliya4686
@godwineliya4686 10 сағат бұрын
Hiyo Mahakama Inashidwaje kutoa Haki Maana ya Mahakama ni nn ?
@Mima-cl2im
@Mima-cl2im 10 сағат бұрын
Kuna watu wachache wameiteka Tanzania. Tanzania imekuwa kama mali yawo binafsi. Tanzania ya Mwalimu Nyerere ya watu wote Sawa si Tanzania ya leo. Tanzania ya leo ni ya mapepari wachache wanao jitajirisha bila ya kuwa na viwanda. Mungu tusaidie hatujuwi nchi inaelekea wapi. Bunge limeshindwa kutusaidia. Wabunge wetu duni kwa woga. Ni Kukubali tu ndiyo tunaunga hoja. Tunategemea MAHAKAMA. Mahakama zetu hazina uwezo. Wabunge hawana sauti, wengi wamo bungeni bila ya kuchaguliwa. Upinzani viongozi hakuna kitu. Je watanzania ni nani atatukombowa? Afande Katuma watu kubaka hata mahakani kakataa kutokea. Hakuna wa kumugusa. Raisi wetu anatuambia hakuna mtu yuko juu ya sheria, je ni kweli? . Tanzania gani hii isiokuwa na haki?
@supa7077
@supa7077 11 сағат бұрын
Huyu hana kazi sijui. Sukari imeanza tena kuadimika na kupanda bei ..ana watetea wenye viwanda vya ndani waakati bei inawaumiza wananchi. Analipwq na wenye viwanda.
@trueprophet7627
@trueprophet7627 11 сағат бұрын
akili si kuwa na fuvu tu bali kufuatilia jambo kwa undani
@matiredms917
@matiredms917 11 сағат бұрын
Ndugu yangu Super bei ya sukari inapangwa na Serikali na siyo na wenye Viwanda vya sukari. Hakika unawaonea.Waziri wa Kilimo Bwana Bashe ndiyo alitoa kibali cha watu ambao hawana uwezo wala ujuzi wa mambo ya sukari kuagiza sukari toka nje ya nchi. Tuwe na hekima ya kutoshabikia masuala ambayo hatuna ufahamu wake.
@supa7077
@supa7077 11 сағат бұрын
@@trueprophet7627 kwahiyo ww unajiona una akili sana?hahahahahaha 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@trueprophet7627
@trueprophet7627 11 сағат бұрын
@@matiredms917 chukulia kwamba unajua kwa mtazamo wako
@supa7077
@supa7077 11 сағат бұрын
@@matiredms917 hapana kaka. Hawa wenye viwanda hawafuati bei elekezi za sukari. Niamini mimi. Lakini pia imeanza kuadimika mitaani
@hijazhija316
@hijazhija316 10 сағат бұрын
Sikio
@emanuelsichone8027
@emanuelsichone8027 10 сағат бұрын
Supa Huna akili kichaawewe mpina anawatetea we unaweka ushabiki
@thieryniyonkuru5023
@thieryniyonkuru5023 11 сағат бұрын
Jamaa amekosa kazi, baada ya kupigwa pini kuingia Bungeni.
@csato9415
@csato9415 10 сағат бұрын
Hizi 🧠🧠 hasa kwa vijana zinafanya nchi yetu ibaki kwenye utawala dhalimu wa CCM.
@Paulo-e4c
@Paulo-e4c 10 сағат бұрын
Pamoja nakutoka bungeni lakini anavuma kisiasa siasa ni popote
@lusajomwaipopo5042
@lusajomwaipopo5042 10 сағат бұрын
Kosa wameliona lipo lakin mahakama inaliogopa bunge ,kweli katba mpya ni lazima
@MohamedRashid-py7ro
@MohamedRashid-py7ro 10 сағат бұрын
Wewe Mpina wacha Ujinga wewe huna hoja yoyote unataka kutrendi tu mitandaoni
@SundaySteven-bz4yq
@SundaySteven-bz4yq 11 сағат бұрын
Hapa ndipo watanzania uwepo wa katiba mpya unahitajika
Smart Sigma Kid #funny #sigma
00:14
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 73 МЛН
"KINDIKI WILL NOT BE SWORN IN BY FORCE" RUTO RECEIVES BAD NEWS FROM COURT
23:00
THE SINKING SHIP: Ruto, you are gambling with Danger…
36:36
Herman Manyora
Рет қаралды 13 М.
Viral Video of a Man's Crazy Job Interview
16:02
Darryl Vega TV
Рет қаралды 1,5 МЛН