Ila wasukuma wanajitoaga sana wakipata uongozi MUNGU akusaidie mpina wewe Makonda mnajitoa sana kwa kweli!!
@judicalosika7642Ай бұрын
Bila shaka
@obedpeter6874Ай бұрын
Hongera mpina,uyu mwamba ndio kanifanya nirudi kusikiliza ili bunge
@peterkerenge9207Ай бұрын
Napendaga sana mpina akiruka na mwigulu😊 nahisi hawa jamaa ni washikaji au watakuja kuwa wana sana😅
@norbertmbena5896Ай бұрын
Siuoni ubaya wa Mpina Mawaziri wanajinoa kwa ajili ya Mpina hongera sana
@KagirwaMbarakaАй бұрын
Mpina ukosawasawa
@KagirwaMbarakaАй бұрын
Mwiguru baada yakuOngerea vitu vyamaana aongerea madeleva waselikalI
@twahamaulidАй бұрын
Mh. Mpina ni mfano wa Wabunge ambao sio wavivu kufikili na ndio maana amekuwa ni mtu wa Data na tafiti katika uwasilishaji wa hoja zake bungeni. Nampenda sana mwana CCM huyu.
@wemakyagunya1895Ай бұрын
Luhaga Mpina uishi milele nakuelewa saaana.❤Piga kazi utalipwa taji lako Mbinguni.
@jacklinelyimo7407Ай бұрын
Ni kweli Tz iko kwenye list mbaya Duniani ya kifedha haiaminiki
@jamesmethusela1148Ай бұрын
Huyu jamaa ni smart sana sema basi tu hii nchi ukisema ukweli unapigwa vita sana na viongozi wa juu.
@victorkisenha5933Ай бұрын
Big up bro , mpina,
@SaidOmary-fd3bjАй бұрын
NAFIKIRIA KAMA KUNGELIKUWA NA MGOMBEA BINAFSI BASI HILI BUNGE LINGECHIMBIKA ( MPINA ANAJILIPUA)
@MACHOYATAI-jk6fuАй бұрын
Mbunge boraaaaaa kuwahi kutokea eee MUNGU BABA mlinde wasimuuwe
@abdallahnkrumah6237Ай бұрын
Kwa kiasi kikubwa michango mingi ya Mh. Mpina inalenga kuinusuru serikali ya Chama chake. Tatizo kubwa wenzake wa CCM hawamuelewi Kabisa. NABII HAKUBALIKI KWAO.
@MACHOYATAI-jk6fuАй бұрын
Umeona were!!!
@philemonnestory4239Ай бұрын
Mpina nakukubali sana
@raymondsonje1469Ай бұрын
Mungu baba mlinde dhid ya waovu na watu wabaya
@juliusakilimali9424Ай бұрын
Mzalendo ❤
@seifkulwa3346Ай бұрын
Mpambanaji safi sana!
@dassustephen731Ай бұрын
Huyu Jamaa Mpina NI mfuatiliaji WA mambo.Kwa kifupi Jamaa ana akili zinafanya kazi Sana.Kumjibu Mpina lazima waziri awe amejipanga kweli kweli,vinginevyo ataishia kumjibu "NI mganga WA kienyeji" which is quite a nonsensical response
@HashimuAbubakar-ej8gcАй бұрын
Mbunge Bora mpina
@macklinabenedicto4627Ай бұрын
Na mchukia sana mwigulu MUNGU anisamehe kwa hili
@EdwardKwiyangaАй бұрын
Mhe.mpina hata kama watakubeza mm naamini safar uliyoianzisha itafk tu ingawa sio lahisi
@MACHOYATAI-jk6fuАй бұрын
Mpina huwa anatetea wananchi wanyonge simpendi samia kigulu na njia KAZI kuuza bandari zetu
@alumonkisinda4574Ай бұрын
mpina ni mbunge kichwa sanaaa anaakili nyingi ni msomi anauchungu Kama magu na taifa wengine hao mi sijawaelewa
@tumainiaroni7980Ай бұрын
Mpina songs mbele kwamaono yako
@johnsonsabanya5860Ай бұрын
Mungu akusimamie
@rehemakayuga7051Ай бұрын
Ipo Siku itafika Mpina Ataonekana Kile Anachokisema Kipo Sahihi
@user-my7fj6wn7yАй бұрын
Maswali yapo, majibu hatuyaoni
@rahimsadru-ct4otАй бұрын
Mpina mmoja Ni CCM nzima asee,,jitu Lina hoja,,Akil,,maarifa,,,
@angelsgabriely3575Ай бұрын
Waziri wa fedha hafai,hafai kabsa ndo magazine wa kwanza!..kaz yake kuxhuna watu wa chini lkn mapapa anawaacha!
@pendaelmollel1847Ай бұрын
Huyu ana kitu asikilizwe. Kanifanya nikumbuke nchi hii ina bunge
@robertedward1992Ай бұрын
Huyo na kishimba wako powa.
@HusseiniHassaniАй бұрын
Huyu jamaa mbona anafanana sana na HAKIKA RUBEN mpaka sauti
@rahimsadru-ct4otАй бұрын
Mpina yupo mbele miaka 30 weng hawamuelew
@sss3s867Ай бұрын
hoja sahihi kabisa. da ger kwa pesa na usalama wa nchi. ndio hivyo msma snesems kila mmoja ale kwa urefu wa kamba yake
@WazaeliStefanoАй бұрын
Mpina unapambana kweli lakini upade uliopo simzuri
@barakalukeha6184Ай бұрын
Watu kama hao wasijitoe ccm na wako wengi ebu wajitokeze wote,na wasihame chama wakihama chama watabezwa na itatafsiriwa kwamba wanaichukia ccm,
@geey7893Ай бұрын
Sure@@barakalukeha6184
@barakalukeha6184Ай бұрын
🙏🙏
@angelsgabriely3575Ай бұрын
Mwigulu hafai ndo mpigaji wa kwanza!..ajiuzulu hafai!..kaz ni kuumiza watu wa chini lkn wale mapapa anawaacha waendelee kula!.
@gelardbalalu9119Ай бұрын
Au tuandamane tuende bungeni tuwaambie kabisa mpina aludi bungeni
@paulmteki8196Ай бұрын
Spika kunambo kama wananchi tunahumia kuona Mambo mawaziri wanatetea jambo badaye linaonekana ni laukweli spika bunge lako linakuwa la hovyo
@miltonjohn9779Ай бұрын
Mwiguru ni mwizi mno
@fredrickipembe8188Ай бұрын
Waziri wa fedha kazi yake ni kuongeza kodi za hovyo eti wa kulima wawe na machine ya ifd
@geey7893Ай бұрын
Sure, hii nchi imejiingira kweny mifumo ya tehama mibovu na ya kifisaidi haijawahi tokea. Uku utumishi kuna PEPMIS ni uongo mtupuu, haina maana yoyote zaiid ya kutesa watumishi..mtandao mbovu, mfumo mzito, yani tunanunua mifumo kwa gharama za fedha za watanzania halafu zinageuka kuwa chanzo cha upigaji na upotevu wa muda