Pole sana hata NAMI yalinitendekea hivyo dada yangu tuendelee kumuomba mungu tutafunguliwa
@emeldahaluda3849 Жыл бұрын
Asante sana mi niko Kenya hata NAMI ni.ekutana na Wachungaji kama hao ambao walinisumuma nikatoka kwangu lnikaenda kwa mwaka mmoja sa Babu tu ni vyenye mungu Alinitumia na wao hawakutaka hivyo so mungu wangu nimzuri kwa sababu hakuacha mambo Yao yatimie kwangu amenipigania bwana yesu sasa Niko kwangu mungu amenirejesha kwangu sijakufa vile walivyo taka nife hallelujah kwa bwana yesu anasitahili sifa nautukufu amen 🙏
@lilianachiengministries33863 жыл бұрын
Nakubaliana nawe,what makes a good Christian makes a good citizens,cha mungu now mungu cha kaisari mpe kaisari Asante.
@paulinadavid15393 жыл бұрын
dada tunamtukuza Mungu kwa ajili ya uponyaji wako....ila dada huo usiri wako ndo uliokucheleweshea uponyaji wako....huo usiri sio mzuri ungekupelekea umauti...kwa nini uwafiche waovu wa namna hiyo....hapo sijafurahishwa na wewe...hicho kipengele badilika...usimwogope mwanadamu ...Mungu wa mbingu na dunia ndo pekee wa kuogopa....namuomba Bwana Yesu akupe ujasiri wa wana wa Mungu katika Roho Mtakatifu...uweze kukaripia,kuonya,kurekebisha palipo na dosari bila kumtazama mwanadamu usoni kwa jina la Bwana wetu Yesu Kristo amen.
@Shalom20184 жыл бұрын
Mungu ni mwema.Bwana Yesu Kristo atusaidie kuwatambua hao watu wanaojiita watumishi wa Mungu kumbe wa shetani
@Shalom20184 жыл бұрын
Ubarikiwe dada Beatrice Mungu azidi kukulinda na kukusimamia katika jina la Yesu Kristo
@antoniaemmanuel67542 жыл бұрын
Pole sana Mtumishi na asante Kwa kunipa ufahamu
@hebronsdaughter16614 жыл бұрын
Pole sana dada, wapendwa tuendelee kusimama na Mungu kwa kumaanisha
@lucywilson58753 жыл бұрын
Aisee Beatrice Majini yalikuwa yanakunyonya damu , Mungu nimwema ulitoroka nandio mwanzo wauponyaji wako
@kibetmiteiezekiel9163 жыл бұрын
Pole sana.
@charlesmmasi90954 жыл бұрын
Nakushauri nenda Arusha kwa mtumishi Hebron pale Moshono kwenye kanisa la Yesu ni Bwana na mwokozi wa mataifa yote. Tafadhali usidharau.
@abbyadams86914 жыл бұрын
Hebron ni Nabii Mkuu asiye na makuu mtumishi wa Bwana kweli kweli! Hakika ndiye mlezi wangu kiroho bila kujali niko mbali nae kimwili.
@lucywilson58753 жыл бұрын
Sijawahi muona Hebron, ila kila siku naponywa namahubiri yake kupitia youtube. Siku nikifika Arusha nitatembelea Kanisa lake.
@highzacknnko96852 жыл бұрын
@@lucywilson5875 karibu arusha sana!!
@azizaaziza91133 жыл бұрын
Kwa nn ulimficha?
@paulinadavid15393 жыл бұрын
beatrice siku zote uongozwe na Roho Mtakatifu....Muulize Roho kabla hujaambatana na mtu yeyote kwanzia sasa....ila Mungu ni mwema na bado ana mpango mkubwa bado na wewe....
@RIZIKISEMUNAOFFICIAL4 жыл бұрын
Pole sana dada
@kalamajulius61074 жыл бұрын
Pole sana betrace
@georgesukari90754 жыл бұрын
Pole sana Dada,Mungu azidi kukuimarisha ktk imani,Ushuhuda wako unafundisho kubwa Sana.Asante kwa ushuhuda.Mungu atakurejeshea vilivyopotea.Mti uliokatwa utachipuka tena.
@johnzacharia23084 жыл бұрын
Mchungaji mashimo yule waviboko vya upako? Au yupi dada uliyempigia simu akuombee