Afungue kwa siri aweke waaminifu wake aongoze mwenyewe nyimbo nzuri apeleke kule na inshallah atalipa
@speciosermusika20094 күн бұрын
Kwani wana muziki wanao jiunga na WBC si huwa wana sainishwa mikataba yao kabla ya kuendelea na Kazi ? Kwanini leo Diamond amtoze Zunchu kiwango cha Pesa hiyo.Je Zuchu hana hakuwahi kusaini mkataba na Diamond hapo awali?
@BeckyAchima-yv6pk2 күн бұрын
😂 Sina Ana HELA Huyu zuu auze magari na nguo zake
@LovenessSaji3 күн бұрын
Sio diamond ni mkataba unataoka hivo ambayo zuchu aliusaini
@LovenessSaji3 күн бұрын
Acha uongo
@ssrina-vz3jf5 күн бұрын
So mange kafungiwa Indigram Jamani yuko wapi
@VeronicaMussa-lu1yw5 күн бұрын
Mmmmh
@merinakassembe1185 күн бұрын
Sialisema tmyeye nitanili.kinganga hatoke tuu. Shida hanataka kufanana na Nady. Hebu imagine kaliwa na analipishwa😂😂
@yusternyirenda72315 күн бұрын
Wewe ni mpumbavu mwenye kiwango cha phd, zuchu kaongea wapi? pia huyo nandy wako hakuliwa na ruge wakati ruge anamsimamia nandy, nandy aliliwa mno na ruge tena angekuwa analiwa mpaka sasa ivi kama ruge asingefariki, acha shobo za mambo ya mitandao ambayo huna uhakika nayo tahira wewe mvivu wa kufikiria
@KhairatBundala4 күн бұрын
@@merinakassembe118 nandy kahusika vp kwenye hii maada wabongo nyieeeeee
@MaggieMkandawire-ki5mu5 күн бұрын
I love yuo mtoto Zuchu fanya vyakwako pia tinaku subili Huku Malawi
@blessmimi5 күн бұрын
Spreading misinformation is y’all job .
@RaylaElmi5 күн бұрын
Acheni fitina basi
@kariaagness42135 күн бұрын
Wache mtoto wa watu Mama Samia tunaomba kumchangia zuchu Aondoke jamani Huyu mtoto Daimondi Anamtesa MAMA Tunakulilia Mama yetu Tunakupenda
@KhairatBundala5 күн бұрын
Mama samia anahusika Nini na mapenzi ya mtu achen kumsumbua mama ,,,, huyu zuchu siku mzigo akichoka kuubeba atautua mwenyewe bila hata kulazimishwa😊😊😊😊😊😊😊😊😊
@uaeuae18715 күн бұрын
😂😂
@rukiyamohammed29454 күн бұрын
Upuuzi huu, huyo Rais Aache mambo ya msingi akachangie vitu hivi? Basi na madaktari awasaidie maana ndio watu muhimu nchini ..
@Neemamhehe_official3 күн бұрын
Kumbee waudaku ni wengii sasa mama Samia ndioo alihusika kweny kusain mikataba yaoo kumbe na ww kijinga sanaa
@rogerabdallah4392 күн бұрын
Acha umalaya na ukuma uyo mama yenu ndio mungu acha kuwa kuma
@Bravo-or8oy5 күн бұрын
Acha uongo wewe Zuchu hawezi kutoka Wasafi hata iweje. Kumbuka yeye hatafuti tu pesa anatafuta ndoa na kuzaa na simba kwa hiyo hana mpango wa kutoka
@RehemaAbdalla-m9q5 күн бұрын
Mnafika mkubwa wewe ,hebu sema Yako,yalee umesahau,!!!
@ummySheikh725 күн бұрын
Kashaona hato olewa kabisaa hapo. Ndio maana anataka kutoka