Then nmekuja kumjua mwanya ni mtu mstaarabu sana hapendi kero for real big up broo en Mungu abariki kazi ya mikono yako
@neyney19072 ай бұрын
Kweli kabisa😊
@Nuru95682 ай бұрын
Wanao kubali Hivi ni Kweli ndo pindi pendwa tujuane 😊Mo town sanya n mmoja tz mzma❤
@edgarmandai2 ай бұрын
Mamb mrembo
@VeronicaPaskoАй бұрын
Kweri shoo ya kijanja sana🫡👏
@ashahassan74142 ай бұрын
Sema Mr mwanya mstarabu sana mtu wa Amani sana
@zuwenasalim27942 ай бұрын
Mwanya mpole jmn hana tabu na mtu ,kumbe kule anatufokea shubamiti zake😂😂😂
@TracyKim-t6u2 ай бұрын
😂😂😂😂😂sema we Sanya ni fala sana hata Mimi nilinasa kwenye hii nyimbo pamoja na kwamba najijua nikasarch ety na kujiuliza hii nyimbo kaimba shilole kweli😂😂😂😂😂
@mpenzisaidiАй бұрын
huyu mwamba nmkubali sana yaani toka mwaka juzi ndonirianza kum fwatiria nikiwa bongo hadi mpaka savi naenderea mnoma sn❤❤❤❤
@Topcentclassic2 ай бұрын
kuanzia leoi wasanii watakuwa wanaangalia hicho kipindi ila wasijae mamake dah ....hahahahahha🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ila huyo mbwa nae anaedai mpelekeni kwa lamata
@nancysixbert37522 ай бұрын
JAMAA MSTAARABU KINYAMAAA, ILA KWELI JAMAA COMEDY ET ANASEMA ME NNA MAHELA KIBAO AU MNATAKA NIWAONESHE😂😂😂 DAAH
@BakariKibauri-qh7gf2 ай бұрын
So unafikir hana au una mzarau😅
@kulyafx-c9hАй бұрын
Wasafi naikubali, miaka yote na hiki kipindi nimekiangalia zaid ya mara moja kiukwel kinakoelekea ni kuzalilishana mana ninamuonyesha mtu haiba yake ya ndani afu adharani yani tuseme ni kama uzalilishaji, nauona huyu sanya anafoc content me sijaipenda hii staili. Make inako elekea sijui
@YustaMfugale2 ай бұрын
Mwanya anahasira na misimamo ya kihehe😂😂
@Diyankurze2 ай бұрын
ila muuwaji na kwakeee😂😂😂🙌🏾🙌🏾🙌🏾 mwanya huku ana hasira huku anacheka huku anatembeza kofi nusu ya kifo kashaanzisha😅😅😅
@051Hasly2 ай бұрын
Shout out my boy Sanya u kill it 😂😂😂😂😂😂😂
@marblelonertz2 ай бұрын
Mo town kamgusa mbavu za chini mdai kumbe ni michongo hahahah huyu mjuba ni creative
Mr mwanya umepatikana sana...alafu uyo jamaa anajua sana kuekti nimempenda sana safi
@SudyMkali2 ай бұрын
Ume mpenda nn acha uzinzi
@SalamaNauthar2 ай бұрын
Kwani hii huwa inarushwa kila jumangapi Wasafi tv???
@EkronMasilu-d3j2 ай бұрын
Mr mwanya kaingia mwenye Mfumo😂😂😂😂😂
@faridakidoti67342 ай бұрын
Mr mwanya kapatikana kawa mpole 😂😂😂😂 siowi siowi
@arnaldo73192 ай бұрын
Watu wanaosema mwanya kipindi akijui, hivi vipindi vinafanyika vyote nfo vinatolewa kwsio hapo mwanya ajui chochote😂😂😂
@DoubleD691142 ай бұрын
Mwanya ana jiamini mno sana my boy shuba shuba
@HENRYSILUNGWE-i1j2 ай бұрын
Wapi ww jasho linemtoka apo
@DanielAgustin-v6c2 ай бұрын
Santanaa mpigie polisi wetu
@eliahinnocent94192 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@bethajohn2 ай бұрын
Sema anamsimamo sana mwaya twende police au muamala
@eleven-in5qw2 ай бұрын
Muamala ni nii
@فاطمهفاطمه-ش2ز9ج2 ай бұрын
😂😂😂 aliye pigwa KOF anahali gan😅😅😅
@consoponsiano972 ай бұрын
😂😂😂😂etie ee we nae una kiherehere
@AishaHaji-h4dАй бұрын
Nani huyo kapigwa kofi na mwanya 😂😂😂😂
@DjJjVitu2 ай бұрын
Kumbe Mwanya tajiri wa roho maskini yupo safi sana that’s my guy
@alberatuslinus96172 ай бұрын
Kumbe MWANYA Ni expensive hiv
@eggysulle79882 ай бұрын
Expensive life😂😂😂yupo vzr
@MiliamNeneka-us5ks2 ай бұрын
😂😂😂Huyu jamaa ni mpole alf Ana hasila
@elsabio112 ай бұрын
Kumbe Tanzania imepata uhuru dah basi walimubwa history wali tudanganya😢 me nkadhani ni Tanganyika
@SalamaNauthar2 ай бұрын
Heeee jamani nimekupenda bure Mr Mwanya una ukarimu sana jamani
@alphoncelaurent94542 ай бұрын
Mr mwanya kaingia kwenye taget😂😂😂😂😂
@Storyzaibrahim2 ай бұрын
Hii Kama mpetupanga
@hashimukiteleko26142 ай бұрын
😂😂😂😂.wanya kapatikana
@MahreenhassaniMwinjo2 ай бұрын
Au mnataka niwaonyeshe mahela yangu😂🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nimecheka mno
@vallencymacdonalds2 ай бұрын
Safi sana igizo zuri
@boazambokile25872 ай бұрын
😂😂😂😂 Mshamba wakideo wewe mwanya
@ishrak31122 ай бұрын
Kwani Tanzania ilipata uhuru lini?
@gustaphkadio51442 ай бұрын
Walio cheka mwanya alipo sema we chura nini like hap😂😂😂
@ibrahimjohnsonhenry6034Ай бұрын
Aise nimecheka saaanaa Kabis 😂😂😂😂
@RamadhaniAlphani-j6g2 ай бұрын
😂😂😂😂sanya we Noma sana bro umetisha
@aminakazogolo22292 ай бұрын
Hii noma ya leo comedy ndani😅😅😅😅
@anrelyltv37572 ай бұрын
Maigizo bro content zimeisha 😂
@rickierunyota36132 ай бұрын
Unakatwa
@Heiskmb2 ай бұрын
Big up🎉🎉🎉
@cheff7782 ай бұрын
Santana mpigie boss wetu aje kutuchukua😂😂😂
@PUGBFORBEGGINERSАй бұрын
TUKIACHANA NAUPUUZI WA SANYA.. MWANYA HAPO MWANZO KAUAA SANAAA
@Topcentclassic2 ай бұрын
sema nilichogundua mwanya ...mstaarabu sana mpaka atibuliwe ....jamaa alianza taratibu kiasi kwamba ishu ingeisha mapema tu ...nimemkubali mwanya sanaaaa
@BenjaminNickson2 ай бұрын
Wangapi wameiona hii emoji 😎😎😎
@Herly-nika2 ай бұрын
😊😊😊😊 sema mshkj anajua kubact😊
@mhinajerome59642 ай бұрын
😂😂😂😂shubamiti kajizuia mpaka kamuweka mtu makofi baada ya uvumilivu kuisha
@LuckyTemu2 ай бұрын
Nikivaa mi sio mwanya af dkk za mwsho kalegea mwanyuuuuuuuu😂😂😂
@tilderjoachim6042 ай бұрын
Nimelia sanaaa💔💔😂😂😂😂
@lorenzomanju58702 ай бұрын
Muigizaji kaigiziwa leo😂😂😂😂
@BigZhumbe2 ай бұрын
Mwanya umejaa kwenye mfumo wa Mo Town Sanya. 😂😂😂😂😂😂
@teclanembuka2 ай бұрын
Kuimba sasa😂😂😂
@Mauwezotz5782 ай бұрын
Ivi unajua Santa wemtoto nifala sana 🤣🤣🤣
@ibrahimsadick61372 ай бұрын
😂😂😂😂 nimecheka balaa
@DianamussaAlex2 ай бұрын
Kumualibia tu mr mwanya
@AminaAminaa-ox7ft2 ай бұрын
Mwanya mstarabu sana
@IssaTayariАй бұрын
Mwanya
@MagrethMagreth-x5v2 ай бұрын
😂😂😂😂 nimecheka ety mpigie police aje anichkue 😆😆😆
@Dulla_kite2 ай бұрын
Uliisha wapi? kwenye kumpengeza sasa ww haukuwepo hapa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@IddahAbdull2 ай бұрын
Masikini Mr mwanya add nimemuurumia😢
@AndreyMalisa-qj3ds2 ай бұрын
Anaonekana jamaa ni lastborn
@eggysulle79882 ай бұрын
Kumpta mtu kamamawe😂😂😂
@faridakidoti67342 ай бұрын
Dunia ishachanganya hii 😂😂😂
@JohnUruban2 ай бұрын
Mungu ingewatomba
@OmmyDseven2 ай бұрын
Wechura nn😂😂😂😂
@jamilaathumani54812 ай бұрын
Uyo jamaa aliekuja kudai anajua sana kuekti safi..lamata ebu mtafute
@MohamediKalanje2 ай бұрын
Mbon lamata 😂😂
@neaboy40322 ай бұрын
Fact
@marioo58562 ай бұрын
Kizazi👊👊👊
@mbarakamambo9152 ай бұрын
Nimemkubala San mr mwanya alikua ame focus na huy jamaa anaye dai ten kistalabu San nimeukubali ustabu wa mr mwanya
@AishaMasali-lw8pc2 ай бұрын
Ila hiki kipindi 😂😂😂
@HWAYtzАй бұрын
Weeeee uongo huo
@IbrahStaneliy2 ай бұрын
😂😂😂😂😂 kwisha mr mwanya
@Sulha-r7u2 ай бұрын
Yaani hicho kipindi wote wanakuwa wanajua wala sio kusema eti baadae wanapaniki inakuwa ugomvi hamna msituzuge hicho kipindi.......sio kabisa
@OmmyDseven2 ай бұрын
MWANYA ALIKUA AJUI NENDA KAANGALIE HABA ILITOKEA NINI WE VP
@kulyafx-c9hАй бұрын
Aisee mwanja hana shida huyu jamaa sio mtu wa matukio
@angelkidoti92452 ай бұрын
😂😂😂dah
@PaulTango-he8qo2 ай бұрын
Dah mwanya mm shabiki yako ila ujanja wote umeingiaje mtegoni na hii michezo huwa unaionaga sana broo