"Hizi hesabu mnaona nazidisha mimi nilipata F ya hisabati"

  Рет қаралды 162,725

BBC News Swahili

BBC News Swahili

Күн бұрын

Leonardo @laughs_on_leonardo ni moja kati ya wachekeshaji mahiri na msomi kutoka nchini Tanzania.
Mwandishi wa BBC @mcdavid_nkya_ aliongea na @laughs_on_leonardo na kuzungumza masuala mbalimbali ikiwemo msemo wa D mbili na wazo la kutumia shati lake maarufu katika vichekesho vyake mtandaoni.
Tembelea ukurasa wa KZbin wa BBCSwahili kutazama mahojiano haya kwa urefu
#bbcswahili #tanzania #uchekeshaji
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili / @bbcnewsswahili

Пікірлер: 160
@ezramnyilinga3735
@ezramnyilinga3735 Ай бұрын
jaman kumbe mahojiano yapo 20 on trending na hamsemi🎉
@drom_inthehouz
@drom_inthehouz Ай бұрын
"You once saw a homeless guy listening to house music" 😂😂
@vipackyummy6916
@vipackyummy6916 Ай бұрын
😂😂😂
@deestarsniper3315
@deestarsniper3315 Ай бұрын
This’s crazy bro 🤣
@AmbroseMamole
@AmbroseMamole Ай бұрын
This is the first Tanzanian nimeona akuflow English na nikampa Kongole.Bravo bro!
@josephezekielmasolwa8283
@josephezekielmasolwa8283 Ай бұрын
Huyu jamaa ni mtu mwenye IQ kubwa sana. I apriciat
@joannysalvatory7251
@joannysalvatory7251 Ай бұрын
Anaongea na kujibu vizur sana *very technical*
@haidarykufakunoga8869
@haidarykufakunoga8869 Ай бұрын
😂😂😂😂😂 You are my ICON. You are so cool bro and very Bright & Brilliant. Be Blessed Always always. AMINA. 🙏🙏🙏
@albertjohn8902
@albertjohn8902 21 күн бұрын
Hahaha Lazlo 😂😂😂😂😂😂 nani anakumbuka CAMP LAZLO
@selestinfrancis5904
@selestinfrancis5904 Ай бұрын
Acha kudharau mkoa wetu,tutakuroga ohooo😅😂😂
@Rasoulhk98
@Rasoulhk98 Ай бұрын
Kigoka hamchelewi
@geraldmanoti1716
@geraldmanoti1716 Ай бұрын
Hongera wasu bwachatata waongera mmabox.
@DotoOmary-i9q
@DotoOmary-i9q Ай бұрын
Walahiii huyu jamaaa niko radhii nimpeee dada angu namkubaliii sanaa 😅😅😅😅😅😅😅
@ahz6907
@ahz6907 Ай бұрын
Duh 😮
@AmbroseMamole
@AmbroseMamole Ай бұрын
You speak fluently,you're creative too!
@annamariajackson4842
@annamariajackson4842 Ай бұрын
Leonard uko vema. I am watching you from Germany 🇩🇪
@huishabitabo9407
@huishabitabo9407 Ай бұрын
Ahhh Renaldo we ni nyoko duh😂😂😂😂
@mgalabeatrice5940
@mgalabeatrice5940 Ай бұрын
Ni Leonardo siyo Renaldo😂😂😂
@heriethngigwa1782
@heriethngigwa1782 10 күн бұрын
waoooooh your english is really, nimependa 🔥🔥🔥🔥🔥
@MackKombole-jg9vv
@MackKombole-jg9vv Ай бұрын
leonaldo to the world
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo Ай бұрын
Kiufupi jamaa anajua na anajua. Hasa English pronunciation yuko vizuri atatoka kimataifa kuliko wengine wataishia mipaka ya Tanzania tu.
@comfort-rjtv3291
@comfort-rjtv3291 Ай бұрын
Kwani wewe mwandishi hujui anapomwagilia😂
@DM_15
@DM_15 Ай бұрын
Reonardo mpuuzi wewe, umesema kiswahili ni lugha mama halafu kingereza luga baba kwahivyo unataka kusema lughayetu inafanywaje nakingereza😂😂
@hafsalucky1088
@hafsalucky1088 Ай бұрын
🤣🤣🤣We mtu!!!!
@DM_15
@DM_15 Ай бұрын
@@hafsalucky1088 katuangusha bwana
@HassaniMohamedi-lk7ow
@HassaniMohamedi-lk7ow Ай бұрын
Lugha yetu inabakwa
@AmanaAmos-hv3yz
@AmanaAmos-hv3yz Ай бұрын
😂😂😂😂 acha
@AmCool_
@AmCool_ Ай бұрын
Dah mpaka kuandika pia hujui kutofautisha baina ya L na R asee.... Kuongea sawa, basi mpka maandishi. Noma sana 😂😂
@vanessastafford6426
@vanessastafford6426 Ай бұрын
Upo vizuri sana, unaondoa stress zangu. Ahsante sana
@evaristgamba4204
@evaristgamba4204 15 күн бұрын
Mjita mwenzangu unajua....nakukubali sana
@mkilwaabdul9230
@mkilwaabdul9230 23 күн бұрын
dah huyu jamaa ni mpuuzi sana😂😂😂😂😂
@AmonBuzinza
@AmonBuzinza Ай бұрын
Sawa.
@user-ji7gt4oh8u
@user-ji7gt4oh8u Ай бұрын
Yesss
@benjaminikazi
@benjaminikazi Ай бұрын
Noma sana Bro
@JumaMickidadi
@JumaMickidadi Ай бұрын
big up leonardo
@LiuChen-t7o
@LiuChen-t7o Ай бұрын
Nice bro Leonard
@Kuyasiwa
@Kuyasiwa Ай бұрын
Hongera broo
@Igauf3
@Igauf3 Ай бұрын
That’s where everyone gets lost, eti nichekeshe huh ! Comedy doesn’t work that way…
@immakulathamwambi3868
@immakulathamwambi3868 Ай бұрын
Safi sana mdogo wangu zidisha juhudi ili ufike mbali zaidi kumbuka wewe ni daraja kwa wengine ambao ni bado hawajatoboa uwaombee pia ongeza juhudi na uvumilivi ili upnye zaidi duniani ipo siku unaweza kua namba moja kwa uchekeshaji one love
@nozesybafikege8417
@nozesybafikege8417 Ай бұрын
Eti bungeni uweza , unaweza ukala hela za wananchi 😂😂😂😂
@amosethantheking8815
@amosethantheking8815 7 күн бұрын
Mimi nina 4.0 GPA...kwa hiyo tuna 4😂😂😂
@fatmashillah5482
@fatmashillah5482 17 күн бұрын
Nampenda Leonardo jaman ❤❤❤❤
@allymwashambwa5920
@allymwashambwa5920 Ай бұрын
Ila huyu mjinga😂😂😂😂😂😂
@Frank-n2z
@Frank-n2z Ай бұрын
Good babu
@phantyrhymes9536
@phantyrhymes9536 Ай бұрын
Smart
@MargrethMloka
@MargrethMloka Ай бұрын
Hongera Sana Kaka uko vzr sana
@DatiusMajara
@DatiusMajara Ай бұрын
good
@user-vl1ts1eh8s
@user-vl1ts1eh8s Ай бұрын
Uwiiii🙆🙆🙆🙆🙆
@MohamedAshif-l7k
@MohamedAshif-l7k 16 күн бұрын
Your 7 days in a cave weren't just about survival-they were a masterclass in resilience, grit, and determination. It’s incredible how you faced the darkness head-on and emerged stronger. Watching this challenge reminds me that no matter how deep the cave, there's always a way out if you keep pushing forward. Keep inspiring us all, MrBeast! 🌟💪
@glorymaeda
@glorymaeda 14 күн бұрын
😂😂😂😂 hehehe
@HERMANKAGOROBA
@HERMANKAGOROBA 24 күн бұрын
Igakonko iwachu tulashashe ila ntitulabhakeneeeee
@mohamedrajabu524
@mohamedrajabu524 Ай бұрын
Ety sipitii kitu😅😅😅
@ErasmusMakavery
@ErasmusMakavery 18 күн бұрын
hongera cn dogo .
@gilbertkimath1175
@gilbertkimath1175 23 күн бұрын
Devi una mtoto ila hujaoa yaani single fadher
@samsuyatv4594
@samsuyatv4594 9 күн бұрын
Mbona hilo sofa la bbc limechakaa sanaaaa
@johnjames6743
@johnjames6743 9 күн бұрын
70×80+20 ×10 umekosa zingatia magazjuto
@MOKIRIMaro-i3n
@MOKIRIMaro-i3n 12 күн бұрын
Mhhhh
@emmanuelwafulakhaita3073
@emmanuelwafulakhaita3073 Ай бұрын
You speak good English
@MohamedAshif-l7k
@MohamedAshif-l7k 16 күн бұрын
This challenge shows that no matter how deep the cave, there's always a way out if you keep pushing forward. And remember, tough times don't last-tough guys do! For the boys! 💪🔥
@kosmasbukuku9362
@kosmasbukuku9362 Ай бұрын
Hatarii
@naychris6548
@naychris6548 Ай бұрын
Tarakea😂😂
@lazarombala5320
@lazarombala5320 5 күн бұрын
Ana English imenyooka kama ya Gigy money 😅
@elikanahdeclassic9232
@elikanahdeclassic9232 Ай бұрын
Leo umekosa mzee hyo hesab hiyo ni magazijuto na hujazngatia umejib kienyej😂
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo Ай бұрын
Karibu na wewe uone kama haupotei😂😂
@mtukufusafari5535
@mtukufusafari5535 Ай бұрын
Huyu jamaa yuko vzr sana
@kiatu
@kiatu Ай бұрын
Great interview poor lighting
@atenionesmo_A10
@atenionesmo_A10 Ай бұрын
kweli reonaldo haonekan vzur
@mtumeananiasjohachim8760
@mtumeananiasjohachim8760 Ай бұрын
Mtangazaji anaitwa David Nkya,
@timizomlokole
@timizomlokole 26 күн бұрын
Hivi Kuna mtu kakuuliza
@Angle-bw4jr
@Angle-bw4jr Ай бұрын
Leonardo good mwanangu
@abhralyrics9816
@abhralyrics9816 Ай бұрын
Uyu jamaa anajua sana
@andrewmkini4323
@andrewmkini4323 Ай бұрын
Huyu Jamaa ndio kanifanya niipende hii fan ya uchekeshaji
@MOKIRIMaro-i3n
@MOKIRIMaro-i3n 12 күн бұрын
Leo nado ninoma sana kwa hesabu
@musagervas947
@musagervas947 Ай бұрын
Huyuuu jamaaa IQ yake hakupaswa kua commedian ❤❤😅😅😅😅😅😅
@ezramponzi-pf9ls
@ezramponzi-pf9ls Ай бұрын
Pamoja sana kaka
@martinnawe9698
@martinnawe9698 11 күн бұрын
Kijana uko vizur
@elbaricktv1632
@elbaricktv1632 Ай бұрын
😂😂et kiswahili lugha mama ila kingereza rugha baba😂
@user-mu2kq8wj4y
@user-mu2kq8wj4y Ай бұрын
umejipangaje katika maisha yako utaendelea na komedi au utaludi kwenye sistim
@godymbanyi1878
@godymbanyi1878 11 күн бұрын
Kakonko kwetu! Sio kweli kwamba Kakonko ni watu maskini! Maisha yetu ni sawa na yale ya Watanzania wengine wa kawaida
@ValerianusMunna
@ValerianusMunna 8 күн бұрын
Sorry bro usijisikie vibaya HUYU n mchekeshaji tu
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Ай бұрын
😂😂😂😂
@Rasoulhk98
@Rasoulhk98 Ай бұрын
Hesabu ya Advance balaa sana
@PatrickJulius-uy3yb
@PatrickJulius-uy3yb Ай бұрын
Nomaa sana reonado
@Rojo_Rojo
@Rojo_Rojo Ай бұрын
😂
@charliimedia
@charliimedia Ай бұрын
Presenta mbona anafanya show kibabe sana?
@sumayaishengoma4543
@sumayaishengoma4543 Ай бұрын
👍👍👍👍
@francomwacha2262
@francomwacha2262 Ай бұрын
Kwani ulitaka kusemaje kuhusu kibosho my home town😂
@francomwacha2262
@francomwacha2262 Ай бұрын
Na takwimu zinaonyesha kibosho ndo sehem ya tanzania yenye matajiri wakubwa lakini hawana umaarufu.. 😊
@YohanaYoramu-nl6bw
@YohanaYoramu-nl6bw Ай бұрын
HUYU JAMAA ANAJUA KUCHEKESHA ILA SEMA ANATUONEA SANAA SISI WAHA MBONA HAZUNGUMUZII MIKOA MINGINE NI KIGOMA TU HUO NI UBAGUZI
@traviegrey3434
@traviegrey3434 Ай бұрын
😂😂 ana ligi na NDARO
@Mariam-fm8vq
@Mariam-fm8vq Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂eti nn
@rizzyckshirima9521
@rizzyckshirima9521 Ай бұрын
Lugha baba ya moto 😂
@AnthonyNdaula
@AnthonyNdaula Ай бұрын
This can affect air users only
@princenelsonsinko5237
@princenelsonsinko5237 Ай бұрын
This guy is good in English
@ahz6907
@ahz6907 Ай бұрын
😂 which country is he 😂
@JosephJunda
@JosephJunda Ай бұрын
Huyu anaweza kua
@user-rp3zw2cm5y
@user-rp3zw2cm5y Ай бұрын
Ushetu😂😂😂
@marikwilliam9886
@marikwilliam9886 Ай бұрын
Nimeshindwa kucheka sijaelewaa
@phantyrhymes9536
@phantyrhymes9536 Ай бұрын
Kaka Leonard nahisi kama ulisoma Tosamaganga au ulikuwa na ndugu yako akisoma pale? Mmefanana sana.
@user-uw4pu9nm1u
@user-uw4pu9nm1u Ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@kiatu
@kiatu Ай бұрын
Kiswahili 🫡. Mchekeshaji wima 😅
@MartinsAgufana
@MartinsAgufana Ай бұрын
Stand Up Comedian
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo Ай бұрын
Huyu mwenyewe ni maskini th.Hakuna Tajiri anayechekesha.
@chiefchacha2992
@chiefchacha2992 Ай бұрын
Vipi kuhusu Mr Bean na Chaplin....!??
@polycarpykavishe9001
@polycarpykavishe9001 Ай бұрын
Hakuna mahali amesema nitajiri.... Ila unachembechembe za karoho mbaya flan hivi
@maryswai7780
@maryswai7780 Ай бұрын
Hufuatilii commedy wewe... Punguza roho mbaya.. Wakina Eddy Murphy, Will Smith, Mr Bean
@empafricatv
@empafricatv Ай бұрын
😂😂😂 Leonardo
@GivenMwatebela
@GivenMwatebela Ай бұрын
Eng ulipata F ya hesabu ni fedheha
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 Ай бұрын
Huyu ana akili sana bas tuu
@EmmanuelSima-qz1gd
@EmmanuelSima-qz1gd Ай бұрын
🎉🎉🎉😂
@MohamedAshif-l7k
@MohamedAshif-l7k 16 күн бұрын
MrBeast doesn’t just give away money, he’s actually planting seeds of kindness in every heart that watches his videos. 🌱💰 Watching you give back inspires me to spread generosity in my own way!
@fazo-kl9fu
@fazo-kl9fu Ай бұрын
🎉
@rweumbizalugaimukamu4905
@rweumbizalugaimukamu4905 Ай бұрын
Ana akili nyingi sana huyu kijana.
@joycekasimbazi9817
@joycekasimbazi9817 Ай бұрын
Jamani watu mmejaliwa nacheka mpk basi
@Danileor
@Danileor Ай бұрын
80×70+20×10 = 5600+200 5600+200 = 5800 Hivyo, 80×70+20×10 = 5800 Hizi hesabu bhana😂 Ukitaka kuhakikisha kama ni sahihi tumia BODMAS au MAGAZIJUTO au tumia Kikokotozi (Calculator) utaona majibu
@user-rp3zw2cm5y
@user-rp3zw2cm5y Ай бұрын
Kumbe ww ndo hujui hesabu
@Danileor
@Danileor Ай бұрын
@@user-rp3zw2cm5y Tumia BODMAS au MAGAZIJUTO au tumia Kikokotozi (Calculator) utaona majibu. Najua zaidi ya unavyofikiria, siwezi kuandika makosa kwenye umati mkubwa kama huu.
@WAVELENGTH-tp1tm
@WAVELENGTH-tp1tm Ай бұрын
Aki hizi hesabu nikija TZ nitapata sufuri. MAGAZIJUTO inamaanisha Bodmas, ehe😀
@Danileor
@Danileor Ай бұрын
@@WAVELENGTH-tp1tm ndio kiongozi 😂😂 MAGAZIJUTO ni: Mabano Gawanya Zidisha Jumlisha Toa
@WAVELENGTH-tp1tm
@WAVELENGTH-tp1tm Ай бұрын
@@Danileor Uko kwenu jamani munaamkia kiswahili na kukilalia pia. Hapa kwetu kiswahili ni cha kudonoadonoa tu😂😂
@minaelnathanael1846
@minaelnathanael1846 Ай бұрын
Yani na huyu Leonardo ujana wako woteeee umeona mchagga ndiye wa kuoa. Nashauri ujenge kwanza . Maana mabint wa kichagga kwa sasa wamefeli kwa asilmia Mia kwenye kuishi nyumba za kupanga wanatabia chafu sana kuliko hata shetani mwenyewe.
@jossporahmsw8420
@jossporahmsw8420 Ай бұрын
Acha kuzingua kijana Naldo
@nicksonmotta4012
@nicksonmotta4012 Ай бұрын
I wish to see him on Apollo live - London. Anaweza
@evelnjuma1834
@evelnjuma1834 Ай бұрын
😂😂😂❤🇹🇿
@Asheri-k5k
@Asheri-k5k Ай бұрын
Ahahah
@mbalizihospital_ifisi
@mbalizihospital_ifisi Ай бұрын
kanajua haka kajamaa
@jumannemsengi2195
@jumannemsengi2195 Ай бұрын
Huyu KENGE
Sanaa ya Vichekesho ilivyobadili maisha ya Eliud Samwel
40:37
BBC News Swahili
Рет қаралды 99 М.
LEONARDO ALIVYOWAVUNJA MBAVU WAFANYAKAZI WA CRDB!
17:39
Visit Tanzania
Рет қаралды 301 М.
АЗАРТНИК 4 |СЕЗОН 1 Серия
40:47
Inter Production
Рет қаралды 1,2 МЛН
拉了好大一坨#斗罗大陆#唐三小舞#小丑
00:11
超凡蜘蛛
Рет қаралды 16 МЛН
Matangazo ya Dira ya Dunia TV
28:10
BBC News Swahili
Рет қаралды 7 М.
Ndaro na Leonardo Waoneshana Ubabe Jukwaani, Ona hapa nani mkali?
21:33
Leonardo alivyotisha ktk fainali ya cheka tu
6:21
Sky revolution
Рет қаралды 1,3 МЛН
АЗАРТНИК 4 |СЕЗОН 1 Серия
40:47
Inter Production
Рет қаралды 1,2 МЛН