Mungu akusaindie kipenzi awe na wewe wakati wote kipenzi
@claudialupimo7614 Жыл бұрын
Mungu akutunze
@faudhahamisi7588 Жыл бұрын
Mashallah dada anajutuma sana
@dayana5513story2 жыл бұрын
Mungu akubariki dear
@haskao772 жыл бұрын
Dada mzuri kuliko yule "mrembo wa ajabu" mwenye duka😁
@momrackonlinetv43522 жыл бұрын
Daah mashallah mashallah mashallah
@rehemayona22232 жыл бұрын
Wewe nisupa woomani💪🥰🥰
@victorbugobola22762 жыл бұрын
Dah ya MUNGU mengi pole da sister Mungu atasimama
@festopetro27022 жыл бұрын
Big up sister
@rachelphilbert73942 жыл бұрын
Pole mwaya
@nasmahamza98132 жыл бұрын
Pole xn dada yngu
@danielmkama242 жыл бұрын
Hii nitaifuatilia kesho vzr
@bossjooh2 жыл бұрын
Daahh pole DADA Angu Mungu Akupe Nguvu
@twaibaahmed28362 жыл бұрын
Mungu aendelee kukupambania akupe furaha na afya
@faudhiasalum72792 жыл бұрын
Jina la kinyatur ilo nyaso😘😘
@rukiaiddyyahaya95062 жыл бұрын
Kazur
@nadyasalim79562 жыл бұрын
sanaa so beautiful mashallah
@vickydan28692 жыл бұрын
Hujafa hujaumbika, ila dada mungu ni mwema amekupa uwezo na ujasili
@mejakimaro27732 жыл бұрын
❤️
@vapachannel74772 жыл бұрын
Mimi nataka uniunge na hill group
@ashamshona93212 жыл бұрын
We kaka we pind yuko mzm kwan kafaaa kha
@janethkomba4485 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@kitchenwithmanca22612 жыл бұрын
Mbona muongo sasa. Maximum Tv anasema yuko single uku yuko kwenye relation. Aya wasanii wabongo ukiwa muongo uwe na kumbukumbu
@kitchenwithmanca22612 жыл бұрын
@Amina Said 🤣🤣🤣 hii ni shida kwa kwel mana uku ni mwanaume wake wa kwanza ndo aliezaa nae kule ni single wanalea tuu mtoto. Aya wacha waendelee kutuzungusha tuu
Amesema yeye ni mchaga ,tangu lini Shirima akawa mpare?
@celinadulle41042 жыл бұрын
Amesema baba ni mchaga na mama ni mnyaturu.
@mariaswakeithekenyanmusici43932 жыл бұрын
Disability is not an ability
@realitycheck94632 жыл бұрын
Disability is not inability
@damariszuckschwert94892 жыл бұрын
@@realitycheck9463 🤣🤣🤣siyo makosa yake kizungu kilikuja na meli
@King_Of_Everything2 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️✌️
@peterdavid42302 жыл бұрын
jamani mbona unaripoti uongo ety alikua na ugonjwa unaitwa gangrene🙌😂😂
@user-fs7xc2bb5d2 жыл бұрын
Kumbe aliumwa nini maana hata maximum alipohojiwa alijibu huo ugonjwa ndio sababu iliyomoelekea kukatwa miguu
@user-fs7xc2bb5d2 жыл бұрын
🙄🙄🙄 🙄🙄
@ramsojimmykelly33792 жыл бұрын
Hivi nyinyi watu wengine mnakuwaga na matatizo ya akili au ni nn...yaani unaujua ugonjwa wa mtu kuliko mgonjwa mwenyewe anavyojijua!!!
@user-fs7xc2bb5d2 жыл бұрын
Hahahaha 🤣 🤣 🤣 hata mimi ndio maana nikashangaa nikamuuliza kumbe aliumwa nini maana hata maximum alipohojiwa alijibu huo ugonjwa ndio sababu iliyomoelekea kukatwa miguu na hata kwenye global alijibu hivyo nilipomuuliza aliumwa nini sijajibiwa kwenye chenel alizihojiwa alitaja huo ugonjwa ndio sababu iliyomoelekea kukatwa miguu
@ubongosahihi3 ай бұрын
🤨😩😩😏😏
@emmanuelmchomvu26762 жыл бұрын
Apo unataka kuuliza wananyanduana vp ila unawaza et