But all in all kazi nzuri washiriki wote wameshoo love kwa moyo mmoja kabisa japo kwa wale ambao hawaja fit ni kwakua tuu uhalisia wao hauruhusu wao kua ktk seem hizo bravo✍️
@richardchristopher714120 күн бұрын
Vigezo namasharti viko pw kabisa kwenye hii movie like kama tuko pamoja❤
@FrankLuhaha-dt5sh22 күн бұрын
Jman punguzenii kutuleteaa movies za vijijinii Kila msaniii saiv anatoaaa movie location yakee vijijinii ndo nin xax
@NiyiduhaRenè12 күн бұрын
Mbona kaisha vibaya jameeeni
@user-ee8xb1tl5n4 күн бұрын
Sandra mzuri san asee❤❤❤
@kinanaissango3492Ай бұрын
Kim VEVO apa umezingua 😅very sad kaka Ako alipitia jeshi tulitaka tumuone hukomafunzoni aliiva ,, alafu butua anafaa kuigiza mlevi tuu ama mporipori pia mmeo kwa snake boy hafai kua jambazi wamjini huko maporini ndio ana faaa ungemtumia rafiki ake kakoso Kwa snake boy anafaa kua jambazi yule
@MmenoSamuel-b3s6 күн бұрын
Liko poa Ila mmetuacha kuzubaa😂
@user-xu5rh6ub5j26 күн бұрын
Kazi nzuri kim
@joymkenya235921 күн бұрын
Movie Smart ❤wa TZ 👍 we love you 😊
@lionlee25712 күн бұрын
Mbuela safi sana Nakukubali 🔥🔥🔥
@JescaChande9 күн бұрын
Msituchoshe nakutaka tuwape like kisa wa kwanza tyache kuwapa walio tengeneza muvie 😮
@halimadonath186223 күн бұрын
😂😂😂😂umeanza lini kubutua mwanamke Mbwela
@user-nu8wz3bb8xКүн бұрын
Nampenda sana mwasi hajaolewa?
@danibboy683122 күн бұрын
Napenda movie zenu endeleeni ivyo ivyo
@damarismuli836426 күн бұрын
I love this man boya hogera sana dugu
@shadyasaid582819 күн бұрын
Msiwe mnaongea maneno ya ovyo kwenye Movie zenu kama vile Kahaba n.k kwasababu hizi movie zinatizamwa na Rika zote.
@Irankundasadiki-yx1vf26 күн бұрын
Munayiaca acaje injethu ivi kuyiingiza ndani imewashinda ahaaaa ngoja tukaonethu
@FridaMwaipaja22 күн бұрын
Unawezaaa 💯💯💯💯💯
@kellyigorNinziza14 күн бұрын
Hhahaha 😂Kipara bwana ,eti unakwend kushoot nani!!??? Jason Statham 😅, ila nawakubali saana wadau
@yohananyamaruri9105Ай бұрын
Kim hongera❤ Tunaomba part two
@remiomar7154Ай бұрын
Mbona hamukutumalizia muliachia nusu hatukujuwa hatima ya begi
@PeterChengoАй бұрын
Kim dadangu hongera🎉🎉🎉🎉🎉
@halimadonath186223 күн бұрын
Kaka mpake shedo na kijora juu 😂😂😂
@HamisiMitongu2 күн бұрын
Kwani leki ndonn
@user-dv2wl3gh4nАй бұрын
Anakuangalia kama hakuangalii😂😂😂😂
@joseulemcheshi189025 күн бұрын
Hamjaonyesha nani aliendea polisi lakini ni mimi hapa
@ukhtymwana40Ай бұрын
Nimewahi jamani taem strong Oman nawakilisha 🎉🎉🎉🎉 nipewe like zangu 😂😂😂
@NeemaNixonАй бұрын
Hujaenda kupika😂😂
@ukhtymwana40Ай бұрын
@@NeemaNixon mwanzoni nilizani chozi nikaifungua naona mkimbizano kuja kusoma jina kumbe misako nika left fast 😂😂😂