INGREDIENTS Wheat Flour Salt 2tbsp Olive Oil Warm Water Song: Usiniache Artist:Dallarz • Dallarz - Usiniache (o... Instagram: / bmagickitchen
Пікірлер: 119
@RoseMGONJAАй бұрын
Dada wee ni mpishi mzuri nimeelewa balaaaa asante sana ❤❤❤
@nadiasohrab234 жыл бұрын
Shukran sana Kwaku nii raisishia mapishi ya chapati ni nzuri sana na laini Ma Sha ALLAH naomba kwa jumla tuwe na usafi sana jikoni izo kucha kama wewe ni mpishi Kata izo kucha haipendezi na Nyele tuzifunge na kitambara.
@MsBupe4 жыл бұрын
Nashukuru my dear kwa support👏🏾 nimekuelewa mumy, karibu tena.
@meresianamuja76844 жыл бұрын
mbona mm nikipik chapat zinakuwa ngum nakosea wap
@MsBupe4 жыл бұрын
Fuatilia video halafu pika tena na tena mpaka uweze, asante kwa support yako🙏🏾❤
@neymillions85004 жыл бұрын
Daaaaah nimeinjoy saaaaana...congrats
@MsBupe4 жыл бұрын
Asante sana na ninashukuru sana kwa support yako👏🏾
Awwww!!! 🤗 Asante sana my dear na pia nakushukuru sana kwa suport yako🙏🏾❤
@zayanamshana2683 ай бұрын
Asante kwa mapishi ila kucha ndefu sipendi.
@RoseMGONJAАй бұрын
Safi sana
@AnithaGalla-c9x3 ай бұрын
Dada ake asante nimepika leo chapati ni nzur balaa yaan asant❤
@ireneandrew16214 жыл бұрын
B's magic upo vizur umetupa njia rahis ya kupika chapati.. much love, thanks 🤗
@MsBupe4 жыл бұрын
Asante sana, much love to you too❤
@webbytjthomas98515 жыл бұрын
Nimefata maelekezo yako aisee zimekuwa laini na tamuuuu hatareeeee... big u B's Magic kitchen..
@MsBupe5 жыл бұрын
Asante sana, endelea kuangalia Channel yangu kwa mapishi mengine.
@webbytjthomas98515 жыл бұрын
@@MsBupe sawa ntafanya hivyo..
@webbytjthomas98515 жыл бұрын
Next time fanya kebab na sambusa
@MsBupe5 жыл бұрын
@@webbytjthomas9851 sawa nitajitahidi...
@rosempelwa25215 жыл бұрын
Safii sana dear, kupika mbili mbili kumenikumbusha kwa mama tulikuwa tunapika mpaka nne nne...🤗
@MsBupe5 жыл бұрын
😂😂😂 hatutaki kabisa kupoteza muda. Asante kwa kuangalia, karibu uangalie na zingine. Naomba usubscribe na kubonyeza kengele pia naomba unifollow insta @bmagickitchen asante sana.
@SimaNaji-b1f10 күн бұрын
@@MsBupe hayo mafut uliyapaxhaaa au niya bard
@hudamohamhed48973 жыл бұрын
Dadangu nakupenda bure💖💖💖💖💖💖💖💖💖💖💖💖💖endelea vivyo hivyo kunifundisheni
@MsBupe3 жыл бұрын
Asante sana my dear🙏🏾❤❤❤
@Mardan55Sawbi5 ай бұрын
Tunashkuru sana sasa mtu akitia mayayi na maziwa itakuwa sawa
@JudithDaniel-sw4og6 ай бұрын
Asante kwa mafunzo mazur kipenz ❤❤❤❤
@damianochose33858 ай бұрын
Nimeipenda iyooo❤❤❤❤
@TereziaPaulo6 ай бұрын
Safi tamm🎉
@AshirafuHashimu7 ай бұрын
Safi sana dada Mimi nilikua nakosea
@monicaleonard66034 жыл бұрын
Nzuri love
@MsBupe4 жыл бұрын
Asante kipenzi na ninakushukuru kwa support yako dear👏🏾❤
@devotamutayoba9373 Жыл бұрын
Nimeipenda hii recipe
@magdalenajuma62293 жыл бұрын
Nilijaribu kukufatili juz kwa utube jaman nilipika chapati nzur sijaamini Asante Sana
@MsBupe3 жыл бұрын
Asante na wewe sana kwa support yako🙏🏾❤
@juditholoo35357 ай бұрын
Lovely ❤
@winfridamwigilwa21074 жыл бұрын
Always you are the best. Thanks
@MsBupe4 жыл бұрын
Aaaawww!!!🤗🤗🤗 thanx babe and thank you again for your support🙏🏾❤
@scolananyaro92374 жыл бұрын
Mamajusi choir
@najmaomar834 жыл бұрын
mashaaAllah really nice,and soft ukiangalia tu
@MsBupe4 жыл бұрын
Asante my dear👏❤
@najmaomar834 жыл бұрын
@@MsBupe karibu☺😊
@tegemeakyangenyenka61112 ай бұрын
Jamani na hizo kucha si uchafu
@redemptahndunge21714 жыл бұрын
I love it
@MsBupe4 жыл бұрын
Thanx my dear, and thank you so much for your support👏🏾❤
@severinaseverinanyoni707 Жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁😁😁😁et achaneni na ilo komwe la kwenye chapati yangu mm kesho napika likitoka komwe nakuambia😄😄😄
@maymbeyu54585 жыл бұрын
Nice one B's magic
@MsBupe5 жыл бұрын
Thank you so much, please don't forget to subscribe and click on the notification bell so that you're notified whenever i upload, also please follow me on insta @bmagickitchen for more interesting videos, thank you👏
@maymbeyu54585 жыл бұрын
It's okay...Thanks sanaaa
@mycojacksonlaban37994 жыл бұрын
Asantee mdada kwa darasa mpaka mate yananitoka
@MsBupe4 жыл бұрын
Asante sana na wewe kwa support yako🙏🏾
@oscarkambaulaya88462 жыл бұрын
Hongera.! Sana.
@adijaadija99234 жыл бұрын
🥰🥰🥰🥰🥰🥰asant sana
@MsBupe4 жыл бұрын
Krb sana my dear na ninakushukuru na wewe kwa support yako👏🏾❤
@aminasalamalekumamina62174 жыл бұрын
Salam alekum mm amina kutoka Kenya napenda mapishi yako mshallaah
@MsBupe4 жыл бұрын
Asante sana Amina, nimefurahi kujua kuna mtu kutoka Kenya anaenjoy mapishi yangu🤗 Nashukuru sana kwa support yako👏🏾❤😘
@gracemasolele3580 Жыл бұрын
Mbona mm zinakuwa ngumu kiasi kwamba ukipigiwa usoni lazma uvimbe😂
@maryamramadhan94543 жыл бұрын
Daaa mapat uwanafeli kinoma
@MsBupe3 жыл бұрын
Pole, zidisha juhudi tu.
@mariamally26093 жыл бұрын
Nzuur
@azzaalhabsi1505 Жыл бұрын
Nimestafid. Nimejifunza na nimeprnda.asante dada
@ngundejkassim32523 жыл бұрын
nice
@MsBupe3 жыл бұрын
Thank you🙏🏾
@ReveniceLengaram-m2n3 ай бұрын
Kucha sio kwa kupika punguza ku kucha sio afya
@abdullahalmahrooqi83064 жыл бұрын
Salam jaribu utuandikie vipimo halafu chapati zikiwa nene kama blanket ukila haja kubwa inakua tatizo bora nyembamba ndio international kila sehemu zinakubalika hasa zaidi kwa watoto halafu ifanye chapati iwe brown upande mmoja.
@DogoMabrouk9 ай бұрын
Sasa shoga upishi huo na makucha ya kubandika vipi? Maana kawaida hygiene muhimu kwenye mapishi kawaida kucha zikiwa ndefu zinabeba uchafu, hoteli za kimataifa huruhusiwi kuwa na kucha ndefu, hio sio sawa kabisaaaa shoga yangu.
@LodrigueIrakoze6 ай бұрын
Wew km hujui kupik chapati angalia mafunxo sio kuangalia kucha umbea tu na yasio kuhusu
@georgetavalentine46864 жыл бұрын
U so good😍
@MsBupe4 жыл бұрын
Thank You👏❤
@mgenisaid68824 жыл бұрын
ningependa ukatupa na vipimo ili tuweze kufanya vizuri shukran kwa msaada wako
@dianafredrick83823 жыл бұрын
Mbona umepaka kucha rangi? zitakuwa na ubora tena? au hizo niza kuku?
@MsBupe3 жыл бұрын
Kupaka rangi kuna shida gani? Naomba unieleweshe. Na unaposema kama zitakuwa na ubora una maanisha nn? Rangi ndio inatoa ubora? Nashukuru kwa kuangalia na karibu tena🙏🏾
@BeatriceIsame5 ай бұрын
Mbona ww huchemshi mafuta? au cio lazima
@georgetavalentine46864 жыл бұрын
But next time uanze na moja moja then ndo uoneshe mbili kama hivyo au zaidi ili watu waelewe zaid
@MsBupe4 жыл бұрын
Ipo video ya moja moja dear angalia utaiona. Asante sana kwa support yako❤
@winnifridagerald33673 жыл бұрын
Dada nauliza mafuta uliyokandia yalikuwa ya baridi au uliyachemsha??
@MsBupe3 жыл бұрын
Ya uvuguvugu my.
@lulu24peter248 ай бұрын
Yamoto
@WardaIbrahim-sz1fv Жыл бұрын
Tamu hizo mbona zangu katikati zinakywa ngumu shida ni nn
@nadyaabdallah42113 жыл бұрын
Axant kwa upixhi ili nimeon hapo komwe kweny chapat😂😂
@MsBupe3 жыл бұрын
😂😂😂 shosti weee, achana na hilo komwe kama speaker za Msondo. Nashukuru sana kwa support yako🙏🏾❤
@asenathnyanchera35453 жыл бұрын
Upishi mzuri ila mikuja yako hapana
@MsBupe3 жыл бұрын
Angalia tu mapishi ndugu yangu mengine hayakuhusu. Nashukuru sana kwa support yako dear🙏🏾❤
@asenathnyanchera35453 жыл бұрын
@@MsBupe mmmh naona umemind sana hadi umenijibu kwa pressure. My dia usafi ndio mambo yote u can cook well bt watu wasikule juu ya uchafu so it's just apiece of advice mapishi yako nakupa 👍👍
@MsBupe3 жыл бұрын
My dear wala mimi sio mtu wa kumind, inawezekana nimeidraft msg vby ila siwezi kumind. Isipokuwa nilikuwa nakwambia mm nafundisha kwenye KZbin hkn anayekula chakula changu isipokuwa mimi mwenyewe na familia yangu kwa hiyo huna sababu ya kuwa na wasiwasi maana wanaokula hawana shida na wala hawajawahi kulalamika, asante tena kwa support yako🙏🏾❤
@khdijaahmed84584 жыл бұрын
Mafutaa yamotoo au
@MsBupe4 жыл бұрын
Vuguvugu my.
@rachelmwambasa8955 жыл бұрын
Nimependa sana maana nina shida kwenye kupata chapati laini,pia naomba utuwekee ya kupika chapati moja moja maana kuweka mbili hvo nachanganyikiwa
@MsBupe5 жыл бұрын
Usijali mumy, nitaifanyia kazi haraka iwezekanavyo, naomba uendelee kuangalia Channel yangu kwa mapishi mengine zaidi.
@MatanoHamadi-m3m2 ай бұрын
Nini hufanya chapati kuwa ngumu , ama kuwa na kama layers 😢
@vickyastery20342 жыл бұрын
Ukianza frympen jikon unaweka na mafuta au bila mafuta na ukianza kupika unasubir had zibadilike rangi ndo upake mafuta
@lulu24peter248 ай бұрын
Had ibadilije rng
@derrickthedon914 жыл бұрын
Kila siku nasahau.. Dada aiseee kupika chapati unatumia unga upi?
@shannonabubakar61604 жыл бұрын
Derrick Thedon wa ngano
@derrickthedon914 жыл бұрын
@@shannonabubakar6160 poapoa dada asante
@fortunatatarimo2219 Жыл бұрын
Natamani kuona moto unaotumia
@mapishimazuri93125 жыл бұрын
Samahani Mafuta Yako Umeyachemsha Kwanza Au?
@MsBupe5 жыл бұрын
Hapana dear, naomba usubscribe na kubonyeza kengele pia naomba unifollow insta @bmagickitchen asante sana.
@mapishimazuri93125 жыл бұрын
Sawa Asante
@franksaimon70694 жыл бұрын
Ndio
@blackamina3954 жыл бұрын
Maji ni ya moto ama, zangu baada ya kupika huwa ni ngumu nakosea wapi siz
@MsBupe4 жыл бұрын
Ya baridi my dear tumia.
@dianafredrick83823 жыл бұрын
Chapati poa Ila hiyo mikucha dada yangu, imekukata max Siku nyigine uvae mifuko milaini iliyoruhusiwa,
@MsBupe3 жыл бұрын
My dear sijaelewa hii mikucha yangu inakusumbua nini? Chapati ni za nyumbani kwangu, nakula mwenyewe. Shida iko wapi mamaa?
@aloycemasele72363 жыл бұрын
Ila wkt mwingne usipake Rangi mkono wa kulia
@MsBupe3 жыл бұрын
Kwa sababu gani?
@aloycemasele72363 жыл бұрын
@@MsBupe kama umesomea mapishi utakuwa unajua sababu
@aloycemasele72363 жыл бұрын
@@MsBupe tena hata wa kushoto usipake utakuwa mpishi safi na bora!